@@atutweve4160 kaa ivo ivo ukiisubiri siku mnajazwa upepo na Main stream media na ww unaona kama marekani ndo kila kitu yule silaa yake kubwa dollar subiri brics coin ianze famya kazi
Ungevamiwa kwako ungefanyaje? Kwa taarifa yako wakishinda kila kitu kitajengwa in a minute na huyo aliyeharibu atashtakiwa,,,, karibu ulimwengu wa kiongozi wa dunia jichanganye 😉
Wewee shoga wa magharibi acha uchawa kwa marekani mbwa wewe ,Ukraine hawezi kushinda hiii vita acha kudanganywa na movie za akina Rambo hii Russia sio Libya mbwa wewe tulia kama ulivyo hauwezi nenda ukaolewe nao kabisa hao marekani wako
Guys Me niwaambie Tu,, Marekani Is the most powerful Country Coz Hiv Vita mpk mda wote huu ni sapoti ya Marekani so Marekani anaogopeka sana,Lakin pia urusi ipo Vizuri Sana Sema tu ni vile sheria za Kimataifa za ki Vita lakin all in all vita sio Nzuri kwa pande Zote..
Lakini Anayepata hasara ni wao Urusi na Ukraine maana Askari wa ndio wanakufa lakini Askari wa Marekani hawafi kwani hawapigani kwa hiyo ni hasara yao wenyewe
Huyu anakwenda kuimalizia urusi kusambaratika zaidi.ni heri angejikita kujenga uchumi wa urusi,kuliko kuendelea kushindana na USA,na washirika wake maana hata weza.
Urusi nitaifa kubwa hata wajiunge 100 watapigwa na mrusi. marekani anatafuta sapoti kwakuogopa nguvu ya urusi nandiomana anawachimba mkwala mataifa yeyote yatakae mpa mrusi silaha .tusubiri kitakachofata ,marekani kajochanganya kuleta hiyi vita mrusi hakubali kushindwa wanasili ya ubishi kama wayahudi , muwasikie ivo mtawajua badae hawachezewagi mnavyo fikiria , nawazungu wamagharibi wanawaokopa , marekani yuko anawangiza kwenye chaka ilawenyewe hawataki vita , wanamjua mrusi nikicha , kwenye mapambano ya kivita 😢😢😢
Mrusi anatapatapa,kuzipatia silaha nchi rafiki zake ili kuipiga USA,na washirika wake,huko ndiyo kutangaza vita kuu.kwa maana USA naye atafanya hivyohivyo.na hapo ndiyo unakuwa mwanzo wa kufyatua kitufe cha vita ya dunia.
USA hajawai shinda vita Vietnam alikimbia Somali akakimbia chanzo cha kuitengeza NATO ni uoga kuvamia nchi peke yake yuaogopa ,wadhani Russia ingekua nchi kama vile Belarus au Serbia wangkua wameingia kitambo lkn ni nn wanaogopa wote
Tutaona nani mkali zamu hii, Russia ana silaha kali na mingi zaidi kushinda NATO na marekani. Afu kibaya zaidi, ana nuclear zenye nguvu kushinda Us marekani. Kitanuka tu. 🇷🇺
@@sultanbakary4292 huoni nawewe bendera fata upepo mbona naskia mama kakopeshwa huko na katoa vitu hushadadii 🤣🤣🤣fatilia vitu vya kwenu ili siku usijekuwa kama leo 😉
Babangu Putin , kazia swaumu,hapo, hapo, bado hawajasema,
Putin baba lao ❤❤🇷🇺🇷🇺🇷🇺
Free Palestinian ❤❤🇵🇸🇵🇸🇰🇪
Master mind putin 🔥
Siku utajua kua ni mkurupukaji tutakutana hapa 🤣
@@atutweve4160ww nawe
@@atutweve4160Putin sio gadafi ndugu Wala Russia sio Libya hao ni namba nyingine
@@atutweve4160 kaa ivo ivo ukiisubiri siku mnajazwa upepo na Main stream media na ww unaona kama marekani ndo kila kitu yule silaa yake kubwa dollar subiri brics coin ianze famya kazi
@@atutweve4160jidanganye tu hivyo hivyo kuwa Mmarekani anaweza kumpiga Mrusi 😅
Viongozi na mabilionea wa marekani ni mashetani
Huo ndiyo ukweli Ukraine watakuja kujua kuwa walikuwa. Wanatumia kipindi watakapo kuja kushtuku kuwa nchii yao imekuwa jagwaa au masikini wakutupwaa
Ungevamiwa kwako ungefanyaje? Kwa taarifa yako wakishinda kila kitu kitajengwa in a minute na huyo aliyeharibu atashtakiwa,,,, karibu ulimwengu wa kiongozi wa dunia jichanganye 😉
@@atutweve4160bado upo kizan na kwann wavamiwe au NDio unatumia matako kufikria
@@atutweve4160hiv Kuna mbwa Dunian anaweza kumfunga Putin amka utakojoa
@@atutweve4160 kumbe wakishinda haya wacha tuone na labda washindee njaa 🤣🤣🤣
Wewee shoga wa magharibi acha uchawa kwa marekani mbwa wewe ,Ukraine hawezi kushinda hiii vita acha kudanganywa na movie za akina Rambo hii Russia sio Libya mbwa wewe tulia kama ulivyo hauwezi nenda ukaolewe nao kabisa hao marekani wako
Hami haka kamwimbo kanako malizia hapa #sns nimesha kashika najikuta nakaimbaimba😶🌫️
Dah! Maneno ya kiutu kabisa haya...Huyu Jamaa ni MTU HASWAA. I'm now Pro- Russia
Mungu akue na wewe putin😊😊
Swaaaafi sanamwamba wape. Vidonge vyao
Marekani na washirika wake ni wabaya kweli!
Sanaaaa
❤ to prezo Joe
Ukreni anapaswa kujitetea kwa nguvu zote... Lakini maeneo mengi yanazidi kutekwa... Muungwana hukubari yaishe... Ukreni ikibari waishi kwa Amani!!!!!
❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉❤❤❤
Uraaa
Kwa kwel nimestahajabu sky new wameijadil hii interview lakin hawajaipost au kuiweka kweny media zao
Putin afe
Akili kubwa PUTIN
Tatizo la. Mateja kupewa uongozi Zelensik. Unga unampleka mbio
Comedy mbwa yule
😂😂😂😂😂😂
Vita bdoo kabsa
Ni kwel marekani anaisaidia ukrain ili ampunguze nguvu urusi
Kwaio ukraine iliwaita URUSI ndani ya ukraine ili iwapunguze nguvu? Stupidity idea
@@josephwilliam5813brother huwezi elewa huu mchezo Kama utakuwa upo kishabikii
@@josephwilliam5813fala mmoja wewe
Unafikiri Urus hana akili? Urus akili kubwa sana.
Kwani nani hana akili
Guys Me niwaambie Tu,, Marekani Is the most powerful Country Coz Hiv Vita mpk mda wote huu ni sapoti ya Marekani so Marekani anaogopeka sana,Lakin pia urusi ipo Vizuri Sana Sema tu ni vile sheria za Kimataifa za ki Vita lakin all in all vita sio Nzuri kwa pande Zote..
Wacha wauane tu wapigane washuke kiuchumi huenda Africa tutaamka hapo kutoka ucngizin tukaanza kuwauzia chakula
Lakini Anayepata hasara ni wao Urusi na Ukraine maana Askari wa ndio wanakufa lakini Askari wa Marekani hawafi kwani hawapigani kwa hiyo ni hasara yao wenyewe
Kwahili hata goverment inatakiwa kuangalia watu kama hao
Waache mda upo
Biden Ni awamu Yake ya mwisho Trump ndo rais mtarajiwa
Mungu mpe uraisi Trump iwe sababu ya kusimamisha vita
@@kassimbayuu5217kaa ukijua, Trump hawezi kusimamisha hii opareshen ya Russia nchini ukrein. Uwezo huo hana. Mwenye huo uwezo ni Putin mwenyewe.
@@user-cw8zn2dn6mPutin hana uwezo wa kumaliza vita endapo silaha za magharibi zitaendelea kutumwa Ukraine
@@rumdeesonsoa1811 bado vita haijaanza
😂😂😂😂
In shaa Allah, Putin utashinda!! Global south inakutegemea
Mbona Putin anajitetea sana wakati anaendelea kupigana Ukraine
Uyu mzee sio mda tutamsaau maana ameshachanganyikiwa
We w ndo Umechanga nikiwa na maisha akili haiko sawa
😂😂
Huyu anakwenda kuimalizia urusi kusambaratika zaidi.ni heri angejikita kujenga uchumi wa urusi,kuliko kuendelea kushindana na USA,na washirika wake maana hata weza.
Tulia wewe mbaka ukaona mtu ana jiamini amesha jipanga zamani kwani unafkiri tegemezi uyo kama ulivo wewe
Unafkir Russia Kuna njaaa kama kwenu njombe kilaza ww
@@sultanbakary4292sio ngombe ni Kilimanjaro Moshi hujaona jina😂😂😂😂😂
Urusi nitaifa kubwa hata wajiunge 100 watapigwa na mrusi. marekani anatafuta sapoti kwakuogopa nguvu ya urusi nandiomana anawachimba mkwala mataifa yeyote yatakae mpa mrusi silaha .tusubiri kitakachofata ,marekani kajochanganya kuleta hiyi vita mrusi hakubali kushindwa wanasili ya ubishi kama wayahudi , muwasikie ivo mtawajua badae hawachezewagi mnavyo fikiria , nawazungu wamagharibi wanawaokopa , marekani yuko anawangiza kwenye chaka ilawenyewe hawataki vita , wanamjua mrusi nikicha , kwenye mapambano ya kivita 😢😢😢
@@MiriamAbdallah😂😂😂😂
🇹🇿❣️🇷🇺
NOT TRUE
@@atutweve4160😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@@atutweve4160true
@@atutweve4160 why bro?
Putin fanya uwezavo ila huto shinda kamwe
Putin hawezi kuwashinda ukrani au marekani?
Mrusi anatapatapa,kuzipatia silaha nchi rafiki zake ili kuipiga USA,na washirika wake,huko ndiyo kutangaza vita kuu.kwa maana USA naye atafanya hivyohivyo.na hapo ndiyo unakuwa mwanzo wa kufyatua kitufe cha vita ya dunia.
Hao USA wanaiyogopa Russia kama korona
Tatizo ni MCHINA.
Mbona USA ashafanya hivyo ila imebuma
@@sultanbakary4292 Mkuu ukimshinda urusi kijeshi jua uchumi wako uko hatarini sana, je utakubali china awe superpower mpya?
USA hajawai shinda vita Vietnam alikimbia Somali akakimbia chanzo cha kuitengeza NATO ni uoga kuvamia nchi peke yake yuaogopa ,wadhani Russia ingekua nchi kama vile Belarus au Serbia wangkua wameingia kitambo lkn ni nn wanaogopa wote
Nyny mnampamba sana putini mlifanyaivyo hatakwa Ibrahim rais mwishowasku kirichokuja kutokea nimambotu yahahibu mliwasfukwel wajemi wakovizuli wanakraktu mwishowasku hanakuja kupata hajali nakaelikopta kaenzi zaukoron halafu wamebanana kama daradara za mbagara kahelikopta kamechaka hatatu matifa yadunia yatatu ayawezi kumpandisha raisiwake
😅😅😅😅jifunze kuandika kwanza alafu uwape watu lawama😅😅😅
Jifunze kusoma na kuandika alafu urudi tena na utoe lawama zako😂
Putin hapambwi ,russia ni moto mwingine
@@RASHIDMOHAMMEDI uwezi kunipangia namna yakundika sjakulazmisha usome kahabaww
@@AyshuuAlly unamamlaka yakunipangia chakuandika malaya ww unatombwa wima
Tutaona nani mkali zamu hii, Russia ana silaha kali na mingi zaidi kushinda NATO na marekani. Afu kibaya zaidi, ana nuclear zenye nguvu kushinda Us marekani. Kitanuka tu. 🇷🇺
Kumbe ushindi wa Putin katika vita hii unategemea sana uchaguzi mkuu wa US😂😂 na wala siyo kwa uwezo wa Jeshi la Russia😂😂 Shame on you Putin😮😮😮
Sasa mbona hao American mpaka sasa hawajashinda
Mpuuzi kweli ww putin anakalibia kuchukua ukrsin yote mbele ya nato huo uchaguxi ni wa nini
YEYE NCHI YA UKRAINE INAMUHUSU NINI MRUSI? Yani simuelewi 🤣🤣🤣🤣🤣😂😂😂😂
Ukikua utajua
Bado ww ni mtoto, endelea kukua afu utajua
Kwa sababu ww ni kilaza pia bendera fata upepo Kuna watu wameamua nn uskilize na ww umekaza shingo
Chanzo huelewi
@@sultanbakary4292 huoni nawewe bendera fata upepo mbona naskia mama kakopeshwa huko na katoa vitu hushadadii 🤣🤣🤣fatilia vitu vya kwenu ili siku usijekuwa kama leo 😉