PUTIN afichua barua aliyotumiwa na BIDEN, adai VITA na UKRAINE itaisha US ikiacha kufanya hili

Sdílet
Vložit

Komentáře • 129

  • @paschalfausitine7108
    @paschalfausitine7108 Před měsícem +17

    Babangu Putin , kazia swaumu,hapo, hapo, bado hawajasema,

  • @hassangaddafi2347
    @hassangaddafi2347 Před měsícem +7

    Putin baba lao ❤❤🇷🇺🇷🇺🇷🇺
    Free Palestinian ❤❤🇵🇸🇵🇸🇰🇪

  • @gabapentin8070
    @gabapentin8070 Před měsícem +17

    Master mind putin 🔥

    • @atutweve4160
      @atutweve4160 Před měsícem +1

      Siku utajua kua ni mkurupukaji tutakutana hapa 🤣

    • @salehkhalfan7345
      @salehkhalfan7345 Před měsícem

      ​@@atutweve4160ww nawe

    • @sultanbakary4292
      @sultanbakary4292 Před měsícem +4

      ​@@atutweve4160Putin sio gadafi ndugu Wala Russia sio Libya hao ni namba nyingine

    • @gabapentin8070
      @gabapentin8070 Před měsícem

      @@atutweve4160 kaa ivo ivo ukiisubiri siku mnajazwa upepo na Main stream media na ww unaona kama marekani ndo kila kitu yule silaa yake kubwa dollar subiri brics coin ianze famya kazi

    • @stevenlugojeremia2323
      @stevenlugojeremia2323 Před měsícem

      ​@@atutweve4160jidanganye tu hivyo hivyo kuwa Mmarekani anaweza kumpiga Mrusi 😅

  • @FranckDaniel-cc5rg
    @FranckDaniel-cc5rg Před měsícem +13

    Viongozi na mabilionea wa marekani ni mashetani

  • @deogratiusyudatadei5658
    @deogratiusyudatadei5658 Před měsícem +10

    Huo ndiyo ukweli Ukraine watakuja kujua kuwa walikuwa. Wanatumia kipindi watakapo kuja kushtuku kuwa nchii yao imekuwa jagwaa au masikini wakutupwaa

    • @atutweve4160
      @atutweve4160 Před měsícem +1

      Ungevamiwa kwako ungefanyaje? Kwa taarifa yako wakishinda kila kitu kitajengwa in a minute na huyo aliyeharibu atashtakiwa,,,, karibu ulimwengu wa kiongozi wa dunia jichanganye 😉

    • @sultanbakary4292
      @sultanbakary4292 Před měsícem

      ​@@atutweve4160bado upo kizan na kwann wavamiwe au NDio unatumia matako kufikria

    • @sultanbakary4292
      @sultanbakary4292 Před měsícem

      ​@@atutweve4160hiv Kuna mbwa Dunian anaweza kumfunga Putin amka utakojoa

    • @deogratiusyudatadei5658
      @deogratiusyudatadei5658 Před měsícem +2

      @@atutweve4160 kumbe wakishinda haya wacha tuone na labda washindee njaa 🤣🤣🤣

    • @user-lv1ki7nn7t
      @user-lv1ki7nn7t Před měsícem

      Wewee shoga wa magharibi acha uchawa kwa marekani mbwa wewe ,Ukraine hawezi kushinda hiii vita acha kudanganywa na movie za akina Rambo hii Russia sio Libya mbwa wewe tulia kama ulivyo hauwezi nenda ukaolewe nao kabisa hao marekani wako

  • @Sidrasidra636
    @Sidrasidra636 Před měsícem +6

    Hami haka kamwimbo kanako malizia hapa #sns nimesha kashika najikuta nakaimbaimba😶‍🌫️

  • @shabanibussara8454
    @shabanibussara8454 Před měsícem +3

    Dah! Maneno ya kiutu kabisa haya...Huyu Jamaa ni MTU HASWAA. I'm now Pro- Russia

  • @aminaanab1071
    @aminaanab1071 Před měsícem +4

    Mungu akue na wewe putin😊😊

  • @chachamturi259
    @chachamturi259 Před měsícem +3

    Swaaaafi sanamwamba wape. Vidonge vyao

  • @MAHAN-SMART
    @MAHAN-SMART Před měsícem +8

    Marekani na washirika wake ni wabaya kweli!

  • @kingsniper9769
    @kingsniper9769 Před měsícem

    ❤ to prezo Joe

  • @festohaule9716
    @festohaule9716 Před měsícem

    Ukreni anapaswa kujitetea kwa nguvu zote... Lakini maeneo mengi yanazidi kutekwa... Muungwana hukubari yaishe... Ukreni ikibari waishi kwa Amani!!!!!

  • @msukumamnywamaziwa2785
    @msukumamnywamaziwa2785 Před měsícem

    ❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉❤❤❤

  • @AmaniMathod
    @AmaniMathod Před měsícem

    Uraaa

  • @ItzNketiah
    @ItzNketiah Před měsícem +1

    Kwa kwel nimestahajabu sky new wameijadil hii interview lakin hawajaipost au kuiweka kweny media zao

  • @josepheriah5977
    @josepheriah5977 Před měsícem

    Putin afe

  • @user-lt1bi5nr1x
    @user-lt1bi5nr1x Před měsícem

    Akili kubwa PUTIN

  • @aediayumgo8546
    @aediayumgo8546 Před měsícem +2

    Tatizo la. Mateja kupewa uongozi Zelensik. Unga unampleka mbio

  • @josepheriah5977
    @josepheriah5977 Před měsícem

    Vita bdoo kabsa

  • @abuuabuu274
    @abuuabuu274 Před měsícem +6

    Ni kwel marekani anaisaidia ukrain ili ampunguze nguvu urusi

  • @user-ki9wu6no3d
    @user-ki9wu6no3d Před měsícem

    Guys Me niwaambie Tu,, Marekani Is the most powerful Country Coz Hiv Vita mpk mda wote huu ni sapoti ya Marekani so Marekani anaogopeka sana,Lakin pia urusi ipo Vizuri Sana Sema tu ni vile sheria za Kimataifa za ki Vita lakin all in all vita sio Nzuri kwa pande Zote..

    • @ce-08
      @ce-08 Před měsícem

      Wacha wauane tu wapigane washuke kiuchumi huenda Africa tutaamka hapo kutoka ucngizin tukaanza kuwauzia chakula

  • @mwlpierre
    @mwlpierre Před měsícem

    Lakini Anayepata hasara ni wao Urusi na Ukraine maana Askari wa ndio wanakufa lakini Askari wa Marekani hawafi kwani hawapigani kwa hiyo ni hasara yao wenyewe

  • @abdallahMohamed-yc2xw
    @abdallahMohamed-yc2xw Před měsícem

    Kwahili hata goverment inatakiwa kuangalia watu kama hao

  • @EzekiaMyila
    @EzekiaMyila Před měsícem

    Waache mda upo

  • @Brunotarimo10
    @Brunotarimo10 Před měsícem +3

    Biden Ni awamu Yake ya mwisho Trump ndo rais mtarajiwa

    • @kassimbayuu5217
      @kassimbayuu5217 Před měsícem +1

      Mungu mpe uraisi Trump iwe sababu ya kusimamisha vita

    • @user-cw8zn2dn6m
      @user-cw8zn2dn6m Před měsícem

      ​@@kassimbayuu5217kaa ukijua, Trump hawezi kusimamisha hii opareshen ya Russia nchini ukrein. Uwezo huo hana. Mwenye huo uwezo ni Putin mwenyewe.

    • @rumdeesonsoa1811
      @rumdeesonsoa1811 Před měsícem +2

      ​@@user-cw8zn2dn6mPutin hana uwezo wa kumaliza vita endapo silaha za magharibi zitaendelea kutumwa Ukraine

    • @user-cw8zn2dn6m
      @user-cw8zn2dn6m Před měsícem

      @@rumdeesonsoa1811 bado vita haijaanza

  • @Isaac_The_Genius
    @Isaac_The_Genius Před měsícem

    😂😂😂😂

  • @Gulfnas1
    @Gulfnas1 Před měsícem

    In shaa Allah, Putin utashinda!! Global south inakutegemea

  • @thehustlerafrica4368
    @thehustlerafrica4368 Před měsícem

    Mbona Putin anajitetea sana wakati anaendelea kupigana Ukraine

  • @user-km1dm8et9x
    @user-km1dm8et9x Před měsícem

    Uyu mzee sio mda tutamsaau maana ameshachanganyikiwa

  • @AdamuAdamugo
    @AdamuAdamugo Před měsícem

    😂😂

  • @raymondmushi9019
    @raymondmushi9019 Před měsícem +2

    Huyu anakwenda kuimalizia urusi kusambaratika zaidi.ni heri angejikita kujenga uchumi wa urusi,kuliko kuendelea kushindana na USA,na washirika wake maana hata weza.

    • @MohamedAhmada-ie7ke
      @MohamedAhmada-ie7ke Před měsícem +1

      Tulia wewe mbaka ukaona mtu ana jiamini amesha jipanga zamani kwani unafkiri tegemezi uyo kama ulivo wewe

    • @sultanbakary4292
      @sultanbakary4292 Před měsícem

      Unafkir Russia Kuna njaaa kama kwenu njombe kilaza ww

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah Před měsícem

      ​@@sultanbakary4292sio ngombe ni Kilimanjaro Moshi hujaona jina😂😂😂😂😂

    • @uwimana6533
      @uwimana6533 Před měsícem

      Urusi nitaifa kubwa hata wajiunge 100 watapigwa na mrusi. marekani anatafuta sapoti kwakuogopa nguvu ya urusi nandiomana anawachimba mkwala mataifa yeyote yatakae mpa mrusi silaha .tusubiri kitakachofata ,marekani kajochanganya kuleta hiyi vita mrusi hakubali kushindwa wanasili ya ubishi kama wayahudi , muwasikie ivo mtawajua badae hawachezewagi mnavyo fikiria , nawazungu wamagharibi wanawaokopa , marekani yuko anawangiza kwenye chaka ilawenyewe hawataki vita , wanamjua mrusi nikicha , kwenye mapambano ya kivita 😢😢😢

    • @Annalisejg2ur
      @Annalisejg2ur Před měsícem

      ​@@MiriamAbdallah😂😂😂😂

  • @HajiKlein-so1rk
    @HajiKlein-so1rk Před měsícem +6

    🇹🇿❣️🇷🇺

  • @zenooernest18
    @zenooernest18 Před měsícem

    Putin fanya uwezavo ila huto shinda kamwe

    • @Annalisejg2ur
      @Annalisejg2ur Před měsícem

      Putin hawezi kuwashinda ukrani au marekani?

  • @raymondmushi9019
    @raymondmushi9019 Před měsícem +1

    Mrusi anatapatapa,kuzipatia silaha nchi rafiki zake ili kuipiga USA,na washirika wake,huko ndiyo kutangaza vita kuu.kwa maana USA naye atafanya hivyohivyo.na hapo ndiyo unakuwa mwanzo wa kufyatua kitufe cha vita ya dunia.

    • @hassanpashua
      @hassanpashua Před měsícem +3

      Hao USA wanaiyogopa Russia kama korona

    • @GeorgeAkasha-zx2rj
      @GeorgeAkasha-zx2rj Před měsícem

      Tatizo ni MCHINA.

    • @sultanbakary4292
      @sultanbakary4292 Před měsícem

      Mbona USA ashafanya hivyo ila imebuma

    • @GeorgeAkasha-zx2rj
      @GeorgeAkasha-zx2rj Před měsícem +1

      @@sultanbakary4292 Mkuu ukimshinda urusi kijeshi jua uchumi wako uko hatarini sana, je utakubali china awe superpower mpya?

    • @hassanpashua
      @hassanpashua Před měsícem +1

      USA hajawai shinda vita Vietnam alikimbia Somali akakimbia chanzo cha kuitengeza NATO ni uoga kuvamia nchi peke yake yuaogopa ,wadhani Russia ingekua nchi kama vile Belarus au Serbia wangkua wameingia kitambo lkn ni nn wanaogopa wote

  • @user-tq4lx9si1n
    @user-tq4lx9si1n Před měsícem +2

    Nyny mnampamba sana putini mlifanyaivyo hatakwa Ibrahim rais mwishowasku kirichokuja kutokea nimambotu yahahibu mliwasfukwel wajemi wakovizuli wanakraktu mwishowasku hanakuja kupata hajali nakaelikopta kaenzi zaukoron halafu wamebanana kama daradara za mbagara kahelikopta kamechaka hatatu matifa yadunia yatatu ayawezi kumpandisha raisiwake

    • @AyshuuAlly
      @AyshuuAlly Před měsícem +4

      😅😅😅😅jifunze kuandika kwanza alafu uwape watu lawama😅😅😅

    • @RASHIDMOHAMMEDI
      @RASHIDMOHAMMEDI Před měsícem +4

      Jifunze kusoma na kuandika alafu urudi tena na utoe lawama zako😂

    • @MujuniKamugisha
      @MujuniKamugisha Před měsícem +3

      Putin hapambwi ,russia ni moto mwingine

    • @user-tq4lx9si1n
      @user-tq4lx9si1n Před měsícem +1

      @@RASHIDMOHAMMEDI uwezi kunipangia namna yakundika sjakulazmisha usome kahabaww

    • @user-tq4lx9si1n
      @user-tq4lx9si1n Před měsícem +1

      @@AyshuuAlly unamamlaka yakunipangia chakuandika malaya ww unatombwa wima

  • @user-cw8zn2dn6m
    @user-cw8zn2dn6m Před měsícem +1

    Tutaona nani mkali zamu hii, Russia ana silaha kali na mingi zaidi kushinda NATO na marekani. Afu kibaya zaidi, ana nuclear zenye nguvu kushinda Us marekani. Kitanuka tu. 🇷🇺

  • @modestwenceslaus9
    @modestwenceslaus9 Před měsícem

    Kumbe ushindi wa Putin katika vita hii unategemea sana uchaguzi mkuu wa US😂😂 na wala siyo kwa uwezo wa Jeshi la Russia😂😂 Shame on you Putin😮😮😮

    • @sultanbakary4292
      @sultanbakary4292 Před měsícem +1

      Sasa mbona hao American mpaka sasa hawajashinda

    • @AjiaMohamed-rt5pb
      @AjiaMohamed-rt5pb Před měsícem

      Mpuuzi kweli ww putin anakalibia kuchukua ukrsin yote mbele ya nato huo uchaguxi ni wa nini

  • @atutweve4160
    @atutweve4160 Před měsícem +1

    YEYE NCHI YA UKRAINE INAMUHUSU NINI MRUSI? Yani simuelewi 🤣🤣🤣🤣🤣😂😂😂😂

    • @MohamedAhmada-ie7ke
      @MohamedAhmada-ie7ke Před měsícem +1

      Ukikua utajua

    • @user-cw8zn2dn6m
      @user-cw8zn2dn6m Před měsícem +2

      Bado ww ni mtoto, endelea kukua afu utajua

    • @sultanbakary4292
      @sultanbakary4292 Před měsícem +1

      Kwa sababu ww ni kilaza pia bendera fata upepo Kuna watu wameamua nn uskilize na ww umekaza shingo

    • @EmanuelMandoo
      @EmanuelMandoo Před měsícem +1

      Chanzo huelewi

    • @atutweve4160
      @atutweve4160 Před měsícem

      @@sultanbakary4292 huoni nawewe bendera fata upepo mbona naskia mama kakopeshwa huko na katoa vitu hushadadii 🤣🤣🤣fatilia vitu vya kwenu ili siku usijekuwa kama leo 😉