ZELENSKY awa mpole, ataka PUTIN ahudhurie mkutano wa pili wa Amani!

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 26. 08. 2024

Komentáře • 62

  • @msukumamnywamaziwa2785
    @msukumamnywamaziwa2785 Před měsícem +16

    😂😂😂😂😂😂😂😂bado hawanjasema vinzuri kichapo KINAENDELEA kwa usahihi.

  • @BenPeter-vp2cy
    @BenPeter-vp2cy Před měsícem +16

    Hakuna maelewano apa mpaka mmoja akubali mziki😂😂😂😂😂 .. kwani si alisema mwenyewe hakuna maelewano yani apo bado na russia washasema hawatoingia kwenye mtego wa maelewano

  • @JohnCage-we6tp
    @JohnCage-we6tp Před měsícem +11

    Mageneral wake wanatak kusurrendered huko vitan muache t ajitowe fuse

  • @user-sr8tc8ke6q
    @user-sr8tc8ke6q Před měsícem +11

    Wamemwona Trump anadumbukia Marekani so muelekeo wa vita utakula kwao😅😅😅

    • @user-hj4bc5uh2x
      @user-hj4bc5uh2x Před měsícem +1

      Nandiopwenty kubwa vinginevyo wanataka kusambazapesa na ahadi wamgeuke puting lakin urusi ipoimala kwasababu puting mwanaumeharisi

  • @BarakaKissava
    @BarakaKissava Před měsícem +10

    Ameona trump anakuwa raisi😂😂😂😂😂

    • @atiqaly6567
      @atiqaly6567 Před měsícem +1

      Uharo una mtoka saivi😂😂😂 mwamerica anamruka karbuni tu, putin anaenda kumsalimia sasaivi

  • @salehkhalfan7345
    @salehkhalfan7345 Před měsícem +7

    Bahat mbaya xana mm sihusiki na chcht pale Urusi lkn vyengnevo namm Mara hii wangenialika nisingetokea
    Naam Unyama-Unyama tu

    • @norbertmbena5896
      @norbertmbena5896 Před měsícem +2

      Umenifurahisha ,
      hongera umeifanya iwe siku njema kwangu kwa comment yako

  • @mustaphaabbasihassani6519
    @mustaphaabbasihassani6519 Před měsícem

    Ngoja unyoonshwe zaidi.

  • @Gulfnas1
    @Gulfnas1 Před měsícem +5

    Na bado

  • @SamwelMartin-h7c
    @SamwelMartin-h7c Před měsícem +4

    Bado hawajasema

  • @NdovuDentalClinic_
    @NdovuDentalClinic_ Před měsícem +3

    Israel na NATO WAGONGWE TU SPANA wanaviburi Sana hawa 😂😂😂😂

  • @AliMwingwa
    @AliMwingwa Před měsícem +2

    Mpaka waseme

  • @aliijumanne8293
    @aliijumanne8293 Před měsícem +3

    Ashajua Trump ako high chances ya kushinda uchaguzi na anajua akishinda tu hatapata msaada so anaamua kumaliza hii vita kwa njia ya mazungumzo kuliko kushindwa kijeshi 😅😅😅😅

  • @gosbertireneus5558
    @gosbertireneus5558 Před měsícem +2

    Putin alishasema kuwa Ile mikoa minne itambuliwe kuwa ni eneo la Urusi, Ukraine aondoe wanajeahi wake ktk hiyo mikoa minne na marufuku kwa Ukraine kujiunga NATO....
    saivi ndo anataka amani wakati awali alikataa...apigane mpaka tone la mwishooo

  • @cineplus-tv255
    @cineplus-tv255 Před měsícem +5

    Unapigwa mpk unajuta😂😂😂😂

  • @Mumewangu
    @Mumewangu Před měsícem

    Zelensky hawezi kuamuwa chochote bila ya marekani

  • @jerryndondole1965
    @jerryndondole1965 Před měsícem

    Washaanza kulegea,watalainika tu

  • @paschalsafari9747
    @paschalsafari9747 Před měsícem +1

    Safi sana Russia..

  • @HajiKlein-so1rk
    @HajiKlein-so1rk Před měsícem +3

    🇷🇺🇹🇿🇷🇺🇹🇿🌹👏

  • @user-eg1ts2fu9z
    @user-eg1ts2fu9z Před měsícem +1

    Mambo yalisha kuwa magumu Kwa upande Wake

  • @StephanoMoses
    @StephanoMoses Před měsícem

    Hivi wale tim magharibi wamepotelea wapi. Au wamefirwa wakahara hadi kifi nini . Maana naona kimya sion tena zile comment zao

  • @farajiissa560
    @farajiissa560 Před měsícem +1

    Wasiende watawawekea sumu

  • @saimongilala8938
    @saimongilala8938 Před měsícem +1

    Uraaaaa🇷🇺🇷🇺🇷🇺

  • @emmanuelbonifase1114
    @emmanuelbonifase1114 Před měsícem +1

    The greatest salesman a.k.a zerobrain bora atawale magofu i never seen him before

  • @shirimabenedict5431
    @shirimabenedict5431 Před měsícem

    Vita ikiisha kwa vyovyote Putin awezi kuacha kichwa chake

  • @zahorhemed1045
    @zahorhemed1045 Před měsícem +1

    Kwhiyo russia ndo mshindi

  • @user-jx1rg4eq9x
    @user-jx1rg4eq9x Před měsícem +2

    Wanajibaraguza, baada ya kuona upepo wa ujio wa Donald TRUMP "wakome kuringa"

  • @NdovuDentalClinic_
    @NdovuDentalClinic_ Před měsícem +2

    Kimeumana kila Kona TRUMP VS BIDEN , ISRAEL VS HAMAS, UKRAINE VS RUSSIA, RUTO VS KENYA . Yaaaaani karma 😂😂😂😂😂

  • @murtalla2826
    @murtalla2826 Před měsícem

    Ally masumbwi 😂 si ulisema urusi kapoteza vifaru vingi kwenye medali za vita katika makala iliyopita 😂😂 masumbwi bhana

  • @user-ii6gs2jg4g
    @user-ii6gs2jg4g Před měsícem +1

    Timu magharibi wako wapi. Niwaone niwacheke kwa kushabikia mashoga huenda na wao wanafirwa sio bule

  • @sultanmswahilitv4864
    @sultanmswahilitv4864 Před měsícem

    Kimeramba...end of him,,,biden is going

  • @Dangotemagairo
    @Dangotemagairo Před měsícem +1

    Vladimir Putin viva❤❤❤

  • @festohaule9716
    @festohaule9716 Před měsícem

    Mazunguzo sio dawa mpaka Mmoja anyooshe mikono juu!!! Papa alishasema anapingwa sana anyooshe ainue bendera nyeupe akapigwa vikali sana ...

  • @michaeljuma254
    @michaeljuma254 Před měsícem

    Kichapo kimezidi

  • @asiamohammed3266
    @asiamohammed3266 Před měsícem +1

    The New Cold War😂

  • @mohammed-_-home-_-boy0018
    @mohammed-_-home-_-boy0018 Před měsícem +1

    They are playing With Punti mind

  • @user-fl1xz3ln3c
    @user-fl1xz3ln3c Před měsícem

    Wamepanga kumuua 😁😁 hataenda mwamba

  • @fxmarkettz
    @fxmarkettz Před měsícem

    Ataka au aomba 😅. Mpaka ateme ndoano

  • @aminaali792
    @aminaali792 Před měsícem +2

    Huyu anajifanya kama anataka amani tu lkn hao watu wake wanao mtumia ndio wanao mfundisha kuwa na two faces 🙄😏

  • @Muzammil99p
    @Muzammil99p Před měsícem

    Uraaa russia

  • @aishaarusha894
    @aishaarusha894 Před měsícem +1

    Putin usiende

  • @user-bz5ti6op6z
    @user-bz5ti6op6z Před měsícem

    Trumpo jamaa yake sana Putin

  • @kassimbayuu
    @kassimbayuu Před měsícem

    Putin huo mtego

  • @muhengamakunga
    @muhengamakunga Před měsícem

    awe makin huyo zelensik sio mtu poa aebade kwa maakin

  • @CharafimalisalimoAli-qw3hk
    @CharafimalisalimoAli-qw3hk Před měsícem

    AAANTE PUTIN. MDAHUU WA MIAKA 2 YA OPERESHEN TUMEONA UPUMBAVU NA UDHAIFU WA FIKRA ZA WAMAGHARIBI😂😂😂

  • @rukiaiddyyahaya9506
    @rukiaiddyyahaya9506 Před měsícem +2

    Puttin watie dole

  • @chande2k250
    @chande2k250 Před měsícem

    Viva putin Mpk wamtoe mlio wa asili cku Zote kuku akikomaa chake kisu UKRAINE amekuwa kama kuku maisha yake yanacontroliwa na MAGHARIBI amekuwa mbuzi wa kafara na shughuli imeisha tayari

  • @user-rr6jg6qb1p
    @user-rr6jg6qb1p Před měsícem

    Wamefeli kumuua Trump,akae asubir novemba misaada ije kukatwa apigwe ka mbwa koko,,.aache kujikomba yeye aendelee2 na vita

  • @OscarAsukenie
    @OscarAsukenie Před měsícem

    Ukute Wanataka kumuua mwamba putin, maana hawa watu huwa hawaaminiki.

    • @uwimana6533
      @uwimana6533 Před měsícem

      Kabisa ,wanajuana wote niwalewale 😂😂😂

  • @bensonwissa5777
    @bensonwissa5777 Před měsícem

    Huo ni mtego

  • @jumamussantuiche
    @jumamussantuiche Před měsícem

    Baadae utasikia urusi amepoteza vifaru 7000. Ukreine 3000 uchambuzi massude ata aweleki ila tunakuele.

    • @thefactbook...1607
      @thefactbook...1607 Před měsícem

      Kupoteza vifaru elfu 7 sio kushindwa vita juma.urussi ana vifaru vingi sana.

  • @festohaule9716
    @festohaule9716 Před měsícem

    Zeleboy ndiye aliyesaini kuwa Marufuku kuongea na Russia hasa Putin..Mpaka vita iamue ushindi wake!!!!Aendeleee na kiburi Ukreni inazidi kufutika kabisa kabisa!!!!!!

  • @mussakimaro5588
    @mussakimaro5588 Před měsícem +2

    mi nataka Russia ichukue Ukraine yote tuwaone manyan'gau watafanyeje sasa