Volodymyr Zelensky Amshukia Modi wa India Kufuatia Ziara Yake Nchini Urusi
Vložit
- čas přidán 8. 07. 2024
- Mapema siku ya jana Rais wa Urusi Vladimir Putin alimkaribisha Waziri Mkuu wa India Narendra Modi ambaye yupo ziarani nchini Urusi kwa lengo la kuimarisha uhusiano kwenye maeno ya biashara ya nishati na uchumi kwa ujumla.
Mapokezi ya Modi yalikuwa ya aina yake, kwani licha ya Putin kumtembeza Modi kwenye makazi yake yaliyopo nje kidogo ya Moscow, wawili hao waliopoonana walisalimiana kwa bashasha na kukumbatiana kitu ambacho kilidhihirisha shauku ya mashirikiano baina ya wawili hao.
Hata hivyo wakati mapokezi hayo yakiendelea jijini Moscow, huko nchini Ukraine makombora ya Urusi yamelindima katika miji mbalimbali ikiwemo mji mkuu wa Kiev kupelekea vifo vya watu takribani 38 na wengine zaidi ya 190 wakijeruhiwa.
Unaweza kutufuatilia kupitia;
TWITTER: / thechanzo
INSTAGRAM: / thechanzo
FACEBOOK: / thechanzo
TIKTOK: www.tiktok.com/@thechanzo?is_...
Au tembelea tovuti yetu: www.thechanzo.com
Je, una habari? wasiliana nasi kupitia Telegram/WhatsApp +255 753 815 105
The Chanzo Initiative, 2024 © All Rights Reserved.
Gazaa kule amuoni kama ni ukatili putini fanya vyovyote unavyojua ww
Asante mody kazi nzuri
Mwamba putin,,,,hiv huyu jamaa bado hajaoa😅😅😅
Jee gaza hakuna haki za binaadam?washenzi wakubwa
Hao mashoga wa kimarekani ni washenzi mbona hao wanauwa Kila sehem au wakiuwa
Hao sio kosa ila wenzao ndio kero hakika marekani ni mashetani wasio kuwa na faida kwenye hii dunia 😊
Zelensiky ni kicha ambaye ayaelewrki
Zelenski anaua raia wake bila sababu ya msingi huyu kweli mpuuzi
Zelenskyy is like Oliver Twist “please sir can I have some more”
Zelensky atateseka sana
Huraaa putin
Kwa nini hajasema Marekani na Ulaya wamekuwa bubu wakati Israel inahua watu wasio kuwa na hatia? Hata yeye Ukraine haija lahumu mahuaje ya GAZA. Unafikiri tu ndio Democrats yenu?
Zelensky kama nani? 😂
Nyie Chanzo ndio mnafanya kazi ya wabepari kupeleka agenda zao mbele
Wamagharibi wakiona hivi wanachanganyikiwa
Zelensky kazi anayo
Bismilaahi rahmani raahim namshukuru mungu tena sana alhaamdulilaah na yeye ni mfalme hakuna mwingine zaidi YAKE AMIN AMIN AMIN yaarab AMIN alhaamdulilaah puting kapiga hospital israil amuongei anaoiga hospital anauwaaa watoto malipo hapa hapa duniani putin piga nguruwe haooo
Putini unauwa watu unapata faidagani kuuwa watu nchi siyo yako mungu anakulaani
Mimi nipo hapa nimekaa Wacha nione uraaàaaaaaaaaaaa
Mpaka waseme
Israel je! Uko gaza.
Kubali yaishe bro utamaliza raia wako kiburi chako ndio kinampa hasira putin nyosha mikono juu maisha yaendelee? Mbona kitu simple tuh kataa kujiunga na nato huyo jamaa atakumaliza
Putini hua wote paka hao huyo mmamerikani wakati anashusha mabomu Iraq. Libya. Uko akuna watoto walio stahili kuishi
Mashoga nipuuzi piga uko ulaya