Volodymyr Zelensky Amshukia Modi wa India Kufuatia Ziara Yake Nchini Urusi

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 8. 07. 2024
  • Mapema siku ya jana Rais wa Urusi Vladimir Putin alimkaribisha Waziri Mkuu wa India Narendra Modi ambaye yupo ziarani nchini Urusi kwa lengo la kuimarisha uhusiano kwenye maeno ya biashara ya nishati na uchumi kwa ujumla.
    Mapokezi ya Modi yalikuwa ya aina yake, kwani licha ya Putin kumtembeza Modi kwenye makazi yake yaliyopo nje kidogo ya Moscow, wawili hao waliopoonana walisalimiana kwa bashasha na kukumbatiana kitu ambacho kilidhihirisha shauku ya mashirikiano baina ya wawili hao.
    Hata hivyo wakati mapokezi hayo yakiendelea jijini Moscow, huko nchini Ukraine makombora ya Urusi yamelindima katika miji mbalimbali ikiwemo mji mkuu wa Kiev kupelekea vifo vya watu takribani 38 na wengine zaidi ya 190 wakijeruhiwa.
    Unaweza kutufuatilia kupitia;
    TWITTER: / thechanzo
    INSTAGRAM: / thechanzo
    FACEBOOK: / thechanzo
    TIKTOK: www.tiktok.com/@thechanzo?is_...
    Au tembelea tovuti yetu: www.thechanzo.com
    Je, una habari? wasiliana nasi kupitia Telegram/WhatsApp +255 753 815 105
    The Chanzo Initiative, 2024 © All Rights Reserved.

Komentáře • 23

  • @user-lv4cx1sc5d
    @user-lv4cx1sc5d Před 15 dny +2

    Gazaa kule amuoni kama ni ukatili putini fanya vyovyote unavyojua ww

  • @DottoMussa-ro6rw
    @DottoMussa-ro6rw Před 14 dny

    Asante mody kazi nzuri

  • @ablestclemence7382
    @ablestclemence7382 Před 15 dny +1

    Mwamba putin,,,,hiv huyu jamaa bado hajaoa😅😅😅

  • @hashirali4587
    @hashirali4587 Před 15 dny +1

    Jee gaza hakuna haki za binaadam?washenzi wakubwa

  • @KilimbikeHaji-iy2fm
    @KilimbikeHaji-iy2fm Před 15 dny +1

    Hao mashoga wa kimarekani ni washenzi mbona hao wanauwa Kila sehem au wakiuwa
    Hao sio kosa ila wenzao ndio kero hakika marekani ni mashetani wasio kuwa na faida kwenye hii dunia 😊

  • @user-lv4cx1sc5d
    @user-lv4cx1sc5d Před 15 dny +1

    Zelensiky ni kicha ambaye ayaelewrki

  • @ShekhMufyd-mn9zn
    @ShekhMufyd-mn9zn Před 15 dny +1

    Zelenski anaua raia wake bila sababu ya msingi huyu kweli mpuuzi

  • @Chewy___
    @Chewy___ Před 15 dny

    Zelenskyy is like Oliver Twist “please sir can I have some more”

  • @user-pd5hl9di2q
    @user-pd5hl9di2q Před 15 dny +1

    Zelensky atateseka sana

  • @komuhsengo9796
    @komuhsengo9796 Před 15 dny +1

    Huraaa putin

  • @lukafbbwebelof3874
    @lukafbbwebelof3874 Před 15 dny +1

    Kwa nini hajasema Marekani na Ulaya wamekuwa bubu wakati Israel inahua watu wasio kuwa na hatia? Hata yeye Ukraine haija lahumu mahuaje ya GAZA. Unafikiri tu ndio Democrats yenu?

  • @chrisdot9914
    @chrisdot9914 Před 15 dny +1

    Zelensky kama nani? 😂
    Nyie Chanzo ndio mnafanya kazi ya wabepari kupeleka agenda zao mbele

  • @aeshitoyota2499
    @aeshitoyota2499 Před 14 dny

    Wamagharibi wakiona hivi wanachanganyikiwa

  • @PhilipoMwita-b2x
    @PhilipoMwita-b2x Před 13 dny

    Zelensky kazi anayo

  • @MbarakSoud
    @MbarakSoud Před 12 dny

    Bismilaahi rahmani raahim namshukuru mungu tena sana alhaamdulilaah na yeye ni mfalme hakuna mwingine zaidi YAKE AMIN AMIN AMIN yaarab AMIN alhaamdulilaah puting kapiga hospital israil amuongei anaoiga hospital anauwaaa watoto malipo hapa hapa duniani putin piga nguruwe haooo

  • @ismailmshana2828
    @ismailmshana2828 Před 11 dny

    Putini unauwa watu unapata faidagani kuuwa watu nchi siyo yako mungu anakulaani

  • @user-qh9gw2vr6k
    @user-qh9gw2vr6k Před 15 dny

    Mimi nipo hapa nimekaa Wacha nione uraaàaaaaaaaaaaa

  • @josephjulio6112
    @josephjulio6112 Před 15 dny

    Mpaka waseme

  • @jumamussantuiche
    @jumamussantuiche Před 15 dny

    Israel je! Uko gaza.

  • @swedywamba5535
    @swedywamba5535 Před 13 dny

    Kubali yaishe bro utamaliza raia wako kiburi chako ndio kinampa hasira putin nyosha mikono juu maisha yaendelee? Mbona kitu simple tuh kataa kujiunga na nato huyo jamaa atakumaliza

  • @NassoroMbawala
    @NassoroMbawala Před 10 dny

    Putini hua wote paka hao huyo mmamerikani wakati anashusha mabomu Iraq. Libya. Uko akuna watoto walio stahili kuishi

  • @Kituramohamed9698
    @Kituramohamed9698 Před 14 dny

    Mashoga nipuuzi piga uko ulaya