Ifahamu Historia ya Idara ya Usalama wa Taifa ya Tanzania: Kutoka Special Branch Hadi TISS

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 26. 08. 2024
  • Wakati Marekani wana CIA na NSA huku Urusi nao FSB na uingereza wana MI5 na MI6 kwa Tanzania, kuna Idara ya Usalama wa Taifa ama kwa kimombo inafahamika kama Tanzania Intelligence and Security Services, TISS, ambayo ipo kwa mujibu wa Sheria ya mwaka 1996 na marekebisho yake ya mwaka 2023.
    Fuatilia makala hii mwanzo mwisho uweze kufahamu historia ya Idara hii.
    Rejea
    Peter D. M. Bwimbo (2016), Mkuki na Nyota Publishers, Tanzania, Mlinzi Mkuu wa Mwalimu Nyerere
    Thomas J. Maguire and Hannah Franklin (2020), International History Review, Creating a Commonwealth security culture? State-building and the international politics of security assistance in Tanzania.
    George Roberts (2021), Cambridge University Press, London, Revolutionary State-Making in Dar Es Salaam: African Liberation and the Global Cold War, 1961-1974.
    Paul Bjerk (2015), University of Rochester Press, Building a Peaceful Nation.
    Issa G. Shivji, Saida Yahya-Othman, and Ng’wanza Kamata. Mkuki na Nyota, Dar es Salaam, 2020, Development as rebellion: A biography of Julius Nyerere.
    Issa G. Shivji (1990), Institute of Southern African Studies, State Coercion and Freedom in Tanzania.
    James Robert Brennan (2021),The International History Review, The Secret Lives of Dennis Phombeah: Decolonization, the Cold War, and African Political Intelligence, 1953-1974
    Mark J. Mwandosya & Juma V. Mwapachu (2022), Mkuki na Nyota Publishers, Tanzania, 38 Reflections on Mwalimu Nyerere
    Yoweri Kaguta Museveni (2016), Moran Publishers,Kenya, Sowing the Mustard Seed
    Stephen Isaac Mtemihonda (2023), Mkuki na Nyota Publishers, Vita vya Kagera
    Watafiti/Wahariri
    Joel Ntile
    Tony Alfred K
    Sauti
    Tony Alfred
    Mhariri Video/Sauti
    Shafii Hamisi
    Unaweza kutufuatilia kupitia;
    TWITTER: / thechanzo
    INSTAGRAM: / thechanzo
    FACEBOOK: / thechanzo
    TIKTOK: www.tiktok.com....
    Au tembelea tovuti yetu: www.thechanzo.com
    Je, una habari? wasiliana nasi kupitia Telegram/WhatsApp +255 753 815 105
    The Chanzo Initiative, 2024 © All Rights Reserved.

Komentáře • 117

  • @thechanzo
    @thechanzo  Před měsícem +7

    Unaweza kutufuatilia kupitia;
    TWITTER: / thechanzo
    INSTAGRAM: / thechanzo
    FACEBOOK: / thechanzo
    TIKTOK: www.tiktok.com/@thechanzo?is_...
    Au tembelea tovuti yetu: www.thechanzo.com
    Je, una habari? wasiliana nasi kupitia Telegram/WhatsApp +255 753 815 105

  • @jamesverdian2445
    @jamesverdian2445 Před měsícem +46

    Idara yetu ya usalama wa taifa ni kati ya idara bora sana shida imeshikiliwa na wanasiasa wanaitumia vibaya
    Inaumiza sana

    • @miltonjohn9779
      @miltonjohn9779 Před měsícem +1

      Umesema ukweli kabisa

    • @zonko0488
      @zonko0488 Před měsícem +2

      Kama imeshikiliwa na wanasiasa basi sio idara bora. Ingekuwa bora ingesimamia malengo mapana ya Taifa na sio matakwa binafsi ya wanasiasa. Haina tofauti na idara nyingine zozote kwenye serikali zetu ambazo zinapelekwa hovyo na wanasiasa wasio waadilifu.

    • @JemisMolel
      @JemisMolel Před 4 dny

      ​@@zonko0488u

    • @MilloWamilonga-ft8ir
      @MilloWamilonga-ft8ir Před 2 dny

      @@jamesverdian2445 kwani wanausalama hulipwa na nani??

  • @peterkefand7835
    @peterkefand7835 Před měsícem +9

    Hongeren sana. yaani historia yetu ni kubwa sana na ipo kizalendo🎉

  • @ibrahimmaulid2704
    @ibrahimmaulid2704 Před měsícem +14

    Naomba hii historià iruduwe kusoma ni nzuri sana

  • @athumanimuhammadam3601
    @athumanimuhammadam3601 Před měsícem +7

    Naipenda saaaana kazi hii,,,inapatikanaje???

  • @aziadifukira
    @aziadifukira Před 14 dny

    Hongera msomaji wa makala hii umesoma vizur.Mungu awabariki staffs wote wa TISS

  • @alipipijimmy7605
    @alipipijimmy7605 Před měsícem +2

    Hongera chana chawa ni watu wema Sana na hii idara inatusaidia Sana iwapo kiongozi mwenye mamlaka anawatumia vizuri , pia nashukuru sana maana amani tulionayo ni usalama Wana sababisha nchi yetu iwe na amani pia nampongeza sana mwandishi amechambua vizuri mungu ambariki Sana yupo vizuri sana tuandalia na vitabu.

  • @mosestemi9875
    @mosestemi9875 Před 7 dny

    Hongera sana kweli Kuna kila sababu ya nchi yetu kupanda milima na mabonde

  • @noelmarapachi1808
    @noelmarapachi1808 Před měsícem +4

    Msomaji wa makala hii umesoma vizuri sana, kiswahili kimenyooka, hakuna shida za L na R, safi sana, japo angepatikana msimulizi mzuri zaidi ingekuwa tamu zaidi.

    • @wechemakambo2182
      @wechemakambo2182 Před měsícem +1

      Msomaji Mzuri zaidi ni yupi?Huyu kaeleweka vyema tu...

    • @Manyohu.tv1
      @Manyohu.tv1 Před měsícem

      @@wechemakambo2182 unasifia na kuponda, binadamu bhana😁

    • @nasibuAbel
      @nasibuAbel Před 23 dny

      mkuu hata hii Mimi nime ipenda sana tu

  • @ibrahimmaulid2704
    @ibrahimmaulid2704 Před měsícem +3

    Kwa kweli ni historià nzuri sana kwa taifa hili ni safi mie nimeipenda big up chanzo

  • @matthewmichaelsylvester5612
    @matthewmichaelsylvester5612 Před měsícem +17

    kazi nzuri sana hii me napenda sana hii kazi

    • @bakorea
      @bakorea Před měsícem

      Kabisa. na kama ulivyoona, wachambuzi wa Chanzo wamezama na kutuletea madini hasa. toka enzi ya Mwalimu mtu kuwa katika idara hii ulijua anakubalika kwa uzalendo, weledi. Zaidi wamezuia maadui wa nje na ndani. Hata Yugoslavia yenyewe ilisambaratika kwa idara yao kutotabiri mipango ya maadui wa nje. Angalia Somalia, hadi leo vita na mgawanyiko, Somali land ilijitenga na hakuna wa kuzuia. Watu kama Kitine hadi leo anakemea kabisa tabia za rushwa na unafiki.

  • @Yefta-i2i
    @Yefta-i2i Před 10 dny

    Hako kamziki kanakopigwa kwa nyuma, tafadhali husikatoe. Safi sana hako

  • @ndukulusudikucho_
    @ndukulusudikucho_ Před měsícem +8

    FBI ,CIA ,KGB na zote zinazofanana na hizo, Ni Kazi nzuri lakini kama una hofu ya Mungu Zina maswali mengi saana mbele ya Mungu, some of careers u learn not to question orders in order to put food on the table, hasa ukiwa mtu wa operation, ukipewa maelekezo tu mfyatue fulani haina kuhoji hata kama Ni mwenzenu, mnaweza mumchome Dawa ya usingizi na kumzamisha kwenye swimming pool alafu mnatangaza jamaa kafa Maji, asilimia kubwa mwisho wao huwa mbaya saaana vifo vyao vinatisha

    • @suleimansalym7537
      @suleimansalym7537 Před měsícem +4

      Kazi ngumu sana hii ni kazi ambayo unamjua mkurugenzi tu ila watendaji huwajui kma wachawi tu vile yan kuna watu wanaipenda sana hii ila dahh!!! Inaonekana ni kazi hatar sana hasa ukifikiria mwisho wetu kma binadamu

  • @bobjulieoneheartband
    @bobjulieoneheartband Před měsícem +1

    Hongera kwake Mr Mombo....Mtu Mpole Sana na Mnyenyekevu

  • @saimonmkangala7637
    @saimonmkangala7637 Před měsícem +1

    Kazi nzuri pongezi kwenu, Mungu awatunze.

  • @abdallahmsham-eb7jz
    @abdallahmsham-eb7jz Před 18 dny +1

    duuuuu mungu aninusuru sifahamu

  • @jumankumilwa4139
    @jumankumilwa4139 Před měsícem +2

    HONGERA SANA BRO MOMBO

  • @user-hx7tr5iw8p
    @user-hx7tr5iw8p Před měsícem +2

    Hii ni ya kizalendo Zaidi .nimeipenda ila kuna hichi kizazi kipya kichunguzwe sana kimeweka tamaa mbele kuliko uzalendo adui pia anaweza kuwashawishi wakaleta mihemko. Naipenda nchi yangu na nitaifia nchi yangu ya mababu zetu na bibi zetu mungu ibariki tanzania 🇹🇿mungu ibariki Africa 🌍

    • @bakorea
      @bakorea Před měsícem

      hapo sasa. zamani watu wote wa Usalama walikuwa wanaitwa , Vijana wa Mwalimu, ikimaanisha waliopikwa na kupikika, hakuna rushwa, ubadhirifu, unafiki, nk..sasa wakati wa Magufuli yupo afisa wa Usalama wa Wilaya, nadhani Mkoani Arusha alihusishwa narushwa..aibu..ila wachache hao

  • @elibarikikivuyo5946
    @elibarikikivuyo5946 Před měsícem +2

    🎉 Hongera sana show up

  • @nasibuAbel
    @nasibuAbel Před 23 dny +2

    Upo sa sahihi kabisa naamini hivyo na mimi mwenye ndoto za kuwa kwenye hicho kitengo

  • @officialkyenx4773
    @officialkyenx4773 Před měsícem +2

    mbwa hyo ange kufa tu na mlengaji haku lenga
    vzuri angelenga kichwa tu akafa .mbaguzi sana

  • @Nedjadist
    @Nedjadist Před měsícem +4

    Hii ilikuwa Idara kabambe sana. Siku hizi nashuku majukumu yake ni kuwakomoa Watanzania kuitumikia CCM. Haijui hata jinsi rasilmali za Tanzania zinavyoibiwa! Hivi wanaweza kuwaambia Watanzania Magufuli alikufaje?

    • @MilloWamilonga-ft8ir
      @MilloWamilonga-ft8ir Před měsícem

      @@Nedjadist wewe ukitaka afe vipi kwa mfano?
      Siku yako ikifika hata ashuke yesu utakufa tu. Acha kuuliza uozo kama huo jiongeze?

  • @Dr_Heart.
    @Dr_Heart. Před měsícem +4

    Hii ingewekwa voice na yule shafii ingenoga sana, anajua kusimulia

    • @noelmarapachi1808
      @noelmarapachi1808 Před měsícem +2

      Au Sky Walker wa SNS

    • @wechemakambo2182
      @wechemakambo2182 Před měsícem

      @@Dr_Heart. hatupaswi kumdharau aliyefanya tukajua badala yake tumtie moyo azidi kuwa bora...Sasa Shafii hakuyajua haya.

    • @Dr_Heart.
      @Dr_Heart. Před měsícem

      @@wechemakambo2182 Hakuna aliyedharauliwa hapo, kila kazi na mtaalamu wake, haina haja ya kuwa na unafiki kwenye suala linaloeleweka, pongeza panapostaili pongezi....nyie ndo machawa nyie mnataka kusifia kila kitu bastard😎

  • @jerichoseth4188
    @jerichoseth4188 Před měsícem +1

    Idara ya usalama wa Taifa ni idara Bora Sana pongezi kwao

  • @RaphaelMichael-g3x
    @RaphaelMichael-g3x Před měsícem +1

    Big up to TISS

  • @hansmutta2549
    @hansmutta2549 Před měsícem +2

    Sikujua kama tuko vizuri kwenye intelijensia big up sana

  • @seifmohammed9167
    @seifmohammed9167 Před měsícem +5

    Kwa kweli chanzo mpo vizuri kwa stori yote ulioeleza ni kweli kabisa

  • @user-kg5yu4kg9p
    @user-kg5yu4kg9p Před měsícem +3

    Hongera sana idara ya usalama wa taifa Kwa kulinda amani ya nchi

  • @ibrajuma8399
    @ibrajuma8399 Před měsícem +13

    Hii ni ndoto yangu ila kuipata ndio shida

  • @NixonJohnson-r4m
    @NixonJohnson-r4m Před měsícem +3

    Huyo mama waisulamu ndio kwenye hii nchi miaka yote. Yakwake.......

    • @nelsonnikodem1100
      @nelsonnikodem1100 Před měsícem

      Lakini serekali yetu Haina dini

    • @MilloWamilonga-ft8ir
      @MilloWamilonga-ft8ir Před měsícem

      Wewe ndio mpumbavu kweli pimbi wewe.
      Unavyosema muislam una maana gani? Unaijua history ya nchi hii vzr?
      Pwani ya waislam ndio chimbuko wa kila kitu nchi hii.
      Nani alifahamu mikoa ya huko porini?
      Hata uhuru umedaiwa mikoa ya pwani na sio mikoa ya mbugani.
      Acha ujinga waislam ndio vinara wa kila kitu bongo mzima

    • @suleimansalym7537
      @suleimansalym7537 Před měsícem

      Wewe ulitaka vp Kwan wanahubir au wanafanyakazi tu? Kazi yao ni utendaji hakuna hata siku moja uliosikia wanahubir ..watu wote wapo huru makanisa yapo na misikiti ipo hakuna siku huyu mama amezuia watu kwenda kanisani wala msikitini sio vzur hata kidogo kuhusisha Serikali na mambo ya kidini ...akili zako Zina ujauzito wa mawazo

  • @alexdaniel7985
    @alexdaniel7985 Před měsícem +1

    Kazi iendeleeeeeeeee

  • @ChristmasMaheri
    @ChristmasMaheri Před měsícem +4

    Hii ndiyo Idara iliyo na watu wasiojulikana? Mbona watu wasiojulikana hawajaweza kujulikana hadi leo? Hii Idara haiwezi kuwajua?

  • @hazygardmericho9571
    @hazygardmericho9571 Před měsícem +4

    I wonder where you guys get infomations

  • @JK-uq1tv
    @JK-uq1tv Před měsícem +2

    JPM aliwatumia vizuri usalama wa Taifa hasa kwenye maswala ya usama wa uchumi wa Nchi.

    • @MilloWamilonga-ft8ir
      @MilloWamilonga-ft8ir Před měsícem

      @@JK-uq1tv mbona viroba vya maiti kila siku coco Beach ktk utawala wake, hao TISS walikuwa wapi??

  • @EmmanuelJoshua-yn8ly
    @EmmanuelJoshua-yn8ly Před 2 dny

    😊

  • @Stanlykanwakabos
    @Stanlykanwakabos Před 15 dny

    asante

  • @peterchristopher5216
    @peterchristopher5216 Před měsícem +1

    Habyarimana alionywa na Mkuu wa usalama wa taifa Tanzania Luteni jenerali Imran Kombe, Mobutu na Rais Moi hawakuja Tz, walikubali onyo la Kombe, lasivyo habyarimana asingetunguliwa kwenye ndege mwaka 1994 na hatimaye mauaji ya kimbari Rwanda yasingetokea.

    • @MilloWamilonga-ft8ir
      @MilloWamilonga-ft8ir Před měsícem +1

      @@peterchristopher5216 Acha kutupeleka peleka wewe, Kombe atawaambiaje hao marais wasije kwani kulikuwa na tatizo gani Dar?
      Huyo Habyarimana na mwenzake wa Burundi wametunguliwa wakiwa wanarudi kwao baada ya kuhitimisha mkutano na sio ndani ya Tanzania, walitunguliwa ktk ardhi ya Rwanda huko.

    • @peterchristopher5216
      @peterchristopher5216 Před měsícem +1

      @@MilloWamilonga-ft8ir hujaelewa mantiki yangu, najua kuwa hawajatunguliwa Dar, ila Kombe alivujisha Siri ya assassination kwa mmoja wapo, Hadi wengine hawakuja, waliambiana, Habyarimana alishauriwa asiondoke hiyo tarehe, badala yake akalazimisha, yakamkuta.

    • @silvanuskuloshe7995
      @silvanuskuloshe7995 Před 23 dny

      Usijibu mjinga nawe utakuwa mjinga​@@peterchristopher5216

  • @mosesmagubira3700
    @mosesmagubira3700 Před měsícem +3

    Niliwahi kutuma maombi lakini sikufanikiwa . Kisa kikubwa cha kutuma maombi ni uzalendo .

    • @boscofidelis6223
      @boscofidelis6223 Před měsícem

      Tafadhali nijulishe namna ya kuomba maombi tafadhali

  • @khamisjohn7639
    @khamisjohn7639 Před měsícem

    Uchambuzi mzuri saana na Idara yetu ina historia ya kizalendo saana. Kazi kwao viongozi wa sasa nao kuweka historia nzuri kwa kutenda haki kwa watanzania wote na kulinda rasilimali za nchi yetu kwa wivu mkubwa

  • @elibarikimollel7149
    @elibarikimollel7149 Před měsícem

    Historia ni kitu kizuri sana,tunaomba irudiwe,na kurudiwa tena na tena. Kumbe chanzo cha TIS kuwa chini ya Rais ikulu ni hii iliyopelekea Idara hii kuwa chombo chini ya Rais na chama kimoja na ulinzi wa viongozi wa serikali na chama pekee na sio chombo cha usalama wa nchi na maadui kutoka ndani na nje pekee na Polisi kubakia mambo ya ndani ya ulinzi wa wananchi na mali zao!

  • @richardmwandanji65
    @richardmwandanji65 Před měsícem +1

    Kazi yao ni mhimu mno Ila kuna halufu mbaya na minong' ono mhimu kujilekebisha maana idara hi kisheria ni nyeti Mungu awapefikra za uweredi katika majukumu yenu.

  • @N.T.KDigitalCreation
    @N.T.KDigitalCreation Před 8 dny

    Hawa ni watu wanaojua nini kinachoendelea Tz.

  • @frankkinyaiya.8217
    @frankkinyaiya.8217 Před 14 dny

    Huyu Laurence Gama mwanae ndio Leonidas Gama aliyekuwa mkuu wa mkoa kilimanjaro kwa sasa ni marehem??

  • @abdulqadriabdallah9332

    Kumbe mzena ni hospital ya viongoz coz mzena alikuwa kiongozi WA usalama WA taifa

  • @goodluckandrew3392
    @goodluckandrew3392 Před měsícem +1

    Twalipo , KAMBI YA TWALIPO IKO KALIBU NA UHASIBU

  • @user-pj7ng8il4t
    @user-pj7ng8il4t Před měsícem +1

    Mwamba hapa alikuwa laurance Gama na Imran kombe. Kuuawa kwa kombe ni hasara kubwa

    • @MilloWamilonga-ft8ir
      @MilloWamilonga-ft8ir Před měsícem

      @@user-pj7ng8il4t kuuwawa ka Kombe haikuwa hasara kwa taifa, bali ilikuwa kwa faida ya taifa
      Ndio maana unakuta yeye aliuliwa na polisi live kwa pengine malengo flan.

  • @chaulachaulaya5259
    @chaulachaulaya5259 Před měsícem

    Itoshe kusema 'madingi' walikua ni watu wenye akili, wabishi, wenye maono pia wazalendo, tuna kazi kubwa ya kuyaishi yaliyoanzishwa

  • @peterchristopher5216
    @peterchristopher5216 Před měsícem

    Edwardo Mondlane wa Msumbiji alikufa mwaka 1969 na siyo 1965

  • @gregoryntibani6640
    @gregoryntibani6640 Před měsícem

    Msomaji ameeharibu kiswahili. "HICHO" na siyo "Hiko"

  • @allyngoda761
    @allyngoda761 Před měsícem

    Mmmh

  • @naimame763
    @naimame763 Před měsícem

    Dahh mung nijalie na mim hii kazi natamni siku moj na mm niwe TISS

  • @overplantv21
    @overplantv21 Před měsícem

    morning tiss 3:40 3:44 3:47

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything Před měsícem

    ✌️👊👍.

  • @MohdMohd-fv1my
    @MohdMohd-fv1my Před měsícem

    Amani na Usalama tunajivunia...

  • @ruahakennelsandvetservices6567

    😮😢😢

  • @wechemakambo2182
    @wechemakambo2182 Před měsícem

    Hapo kwenye gazeti la 1965 la nationalist linasema watatu zaidi wakamatwa ni juu ya ile uasi wa jeshi inaonekana picha ya huyo afisa Wayne Mbwambo na J.T.Zangira sasa huyu Zangira baadaye 1977 alikamatwa tenaa na kufungwa kwa kusidiana na Wazungu wa Southern Rhodesia(Zimbabwe),hii imekaaje?

    • @MilloWamilonga-ft8ir
      @MilloWamilonga-ft8ir Před měsícem

      @@wechemakambo2182 uasi wa jeshi ni 1964, Nyerere alifichwa Kigamboni na matokeo yake Julius hakumsaidia lolote hadi kifo chake.
      Julius alikuwa ni kiongozi mwenye roho ya kwa nini halafu roho mbaya nature

  • @OmarMohamed-bs2hf
    @OmarMohamed-bs2hf Před 29 dny

    Hapa ndio utajuwa vp muungano huu tulonao m zanzibar hakuekwa hata mmoja kwenye itara hii

  • @OmarMohamed-bs2hf
    @OmarMohamed-bs2hf Před 29 dny

    Hii idara hakuna m zanzibar anaewe kuongoza sindio

  • @lovenessvisent9408
    @lovenessvisent9408 Před měsícem

    Kikao cha maraisi 2015 au 2005

  • @shabanikimeru8409
    @shabanikimeru8409 Před měsícem

    Kwaiyo Tiss ni jwtz au polis???

  • @user-dy8ss4ly8z
    @user-dy8ss4ly8z Před 26 dny

    Kujiunga unafanyaje napenda pia

  • @hamzangakola8822
    @hamzangakola8822 Před měsícem

    Kuna mmoja anaitwa lilungulu umemsahau kwenye hiyo orodha

  • @selemanichimogo4789
    @selemanichimogo4789 Před měsícem

    Mbona marehemu ng'itu hayupo

  • @ElibarikiEliud
    @ElibarikiEliud Před měsícem +4

    Mbona uteuzi umeegemea udini zaidi..tumeshuhudia matumizi mabaya ya madaraka ya ukiukaji wa katiba na viongozi kuingiza nchi kwenye mikataba isiyonufaisha nchi idara ikiwa kimya maana yake nini. hizi ni nchi mbili zilizouungana.idara inawajibika vipi kuhakikisha viongozi hawatumii nafasi zao kuhamisha rasilimali za upande moja. Isiieshie kushauri tu. Pia ichukue hatua

    • @MilloWamilonga-ft8ir
      @MilloWamilonga-ft8ir Před měsícem

      Huna akili kama ni udini basi huyo Julius. Kuanzia TISS wa kwanza hadi wanane na hakuna mtu alieliongelea hilo coz hatuna udini, umefahamu wewe pimbi?

    • @helladeogratias7630
      @helladeogratias7630 Před měsícem

      Udini unakuja baada ya kukosekana hoja zenye mashiko.

    • @suleimansalym7537
      @suleimansalym7537 Před měsícem

      Kuna sheikh kateuliwa kwani? Acheni mawazo finyu sidhani kma ni uzalendo kuhusisha Serikali na mambo ya dini.
      Siku zote mbona hamjasema kwann? Au sababu ni huyu mama tu je umeona sehemu yoyote kiongozi wa Serikali anahubir dini ?
      Mbona LUKUVI alipoenda kanisani na kuongea udini hukusema lolote?

    • @MilloWamilonga-ft8ir
      @MilloWamilonga-ft8ir Před měsícem

      @@suleimansalym7537 wakristo huwa hawajiamini, na wengine hujiamini kutokana na dikteta Nyerere kuwa rais wa kwanza lkn hawajui bidii zote zilifanzmywa na waislam wa pwani na ndio wenye pwani yao rasmi, kuanzia Mtwara, Lindi, Pwani. Dar na Tanga.
      Hata uhuru haujapatikana huko porini bara ndani.
      Kila kitu kwa wastaarabu pwani (DUR AL SALAAM)
      ambayo ndio Dar es salaam ya sasa.

    • @mussakantumba9914
      @mussakantumba9914 Před měsícem +2

      Ndugu ukisema Udini kwa kuwa aliyechaguliwa ni Muislamu, Basi Waislamu nao wataanza kusema, mbona Wakuu wote wa jeshi la wananchi ni wakristo toka uhuru isipokuwa mmoja tu Abdallaah Twalipo? Kiongozi anatakiwa aingoze vizuri bila kujali dini

  • @ga2revocatus91
    @ga2revocatus91 Před měsícem +1

    Nifanyeje ili niwe members TISS

  • @herrygeofreykilasi8658
    @herrygeofreykilasi8658 Před měsícem

    😅p

  • @user-sw5kz8ep3e
    @user-sw5kz8ep3e Před měsícem

    mbn kam umechanganya apo kweny diwan athuman msuya mbele yake hakuja uyo uliemuek badala yake alikuj moj kw moj Ali iddi

  • @preciousmoshi3392
    @preciousmoshi3392 Před 5 dny

    Muongo wewe

  • @athumanmapunda
    @athumanmapunda Před měsícem

    Okay

  • @alexdaniel7985
    @alexdaniel7985 Před měsícem +1

    Kazi iendeleeeeeeeee

  • @user-dy8ss4ly8z
    @user-dy8ss4ly8z Před 26 dny

    Kujiunga unafanyaje napenda pia