Juma Zangira: Afisa Usalama wa Taifa Aliyeshitakiwa Kwa Kosa la Ujasusi Dhidi ya TZ (Espionage) 1977

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 26. 08. 2024
  • Hii ni Makala maalumu kuhusu mkasa wa Juma Thomas Zangira, Mtanzania wa kwanza kushitakiwa na kufungwa kwa kosa la ujasusi (Espionage) dhidi ya Tanzania mwaka 1977.
    Unaweza kutufuatilia kupitia;
    TWITTER: / thechanzo
    INSTAGRAM: / thechanzo
    FACEBOOK: / thechanzo
    TIKTOK: www.tiktok.com....
    Au tembelea tovuti yetu: www.thechanzo.com
    Je, una habari? wasiliana nasi kupitia Telegram/WhatsApp +255 753 815 105
    The Chanzo Initiative, 2024 © All Rights Reserved.

Komentáře • 62

  • @apostleck
    @apostleck Před 2 měsíci +11

    Mheshimiwa, hii kazi ya documentaries za aina hii ni utaalamu wa hali ya juu na husaidia sana jamii kufahamu historia, matukio nyeti kwenye jamii, na upanuzi wa demokrasia na uhuru wa taarifa katika jamii.
    Hongera sana, mheshima kwa taaluma hii haba katika nchi yetu. Hii ndiyo kwa kitaalamu huitwa forensic journalism. Ni.moja ya taaluma ambayo imechochea sana ukuaji wa demokrasia na maendeleo katika nchi nyingi zilizoendelea. Nakutia moyo ukuze kipaji hicho na kukiendekeza. Mwenyezi Mungu akupe kheri 🙏

  • @ibrahimmaulid2704
    @ibrahimmaulid2704 Před 2 měsíci +18

    Duh umenikumbusha mbali sana chanzo Mzee Tena mbali sana mchambuzi wa chanzo Shafiee KHAMIS so nice to remember that I still remember I was small boy on that time thks so much

  • @erastosanga1694
    @erastosanga1694 Před 2 měsíci +4

    Sharper man zangira, very iodiotic one

  • @JamshidiKiobya
    @JamshidiKiobya Před měsícem +1

    Duu#Bado yuko salama Zangira,,nimemlinda sana Butimba-Mwanza

  • @user-oe1ew9de9h
    @user-oe1ew9de9h Před 2 měsíci +6

    Africa tuna roho za ajabu sana yaani unadiliki kuisaliti nchi yako doh

    • @Mapenzi2635
      @Mapenzi2635 Před měsícem

      Tuna akili nyingi sana hivyo hatuna maarifa

  • @marylibaba2589
    @marylibaba2589 Před měsícem +2

    KAMA HAUNA KARAMA HII UNAWEZA KWELI KUTOA MAELEZO YOOOOTE HAYA❤

  • @MinskBelarus-il2tl
    @MinskBelarus-il2tl Před 2 měsíci +4

    Je,huyo Juma Zangira,alitumikia kifungo chake, bado yuko Hai,na hakuwa na Washirika katika ujasusi huu. Ningeshauri AFANDE MSIKA atengeneze Filamu ya tukio hilo

  • @mshengajuma.9113
    @mshengajuma.9113 Před 2 měsíci +2

    Ahsante sana the chanzo

  • @eliaezekiel6766
    @eliaezekiel6766 Před 2 měsíci +5

    Mwamba Shafie Khamis anajua kushika masikio ya msikilizaji

    • @shafiihamisi1984
      @shafiihamisi1984 Před 2 měsíci +2

      Pamoja sana bro Elia

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 Před 2 měsíci

      ​@@shafiihamisi1984TUPE STORI ILE BARUWA BOMU ILIO MUUWA MONDLANI NA KIJITI KILIENDELEZWA NA SAMORA MASHEL PLZ

  • @lovenessvisent9408
    @lovenessvisent9408 Před měsícem +1

    Daraja la salenda kuna stori moja matata sana naiomba kwa sauti mkuu

  • @rausathsued8852
    @rausathsued8852 Před 2 měsíci +3

    Makala nzuri Sana, Ila sauti imetushika masikio 🔥🔥🔥🔥🔥

  • @HassanWasiwasi-lq1kh
    @HassanWasiwasi-lq1kh Před 2 měsíci +1

    KAZI nzuri 🎉

  • @Mapenzi2635
    @Mapenzi2635 Před měsícem

    Hongera sana, Ndugu Shafii

  • @rshidmwasa8493
    @rshidmwasa8493 Před 2 měsíci +3

    Makala nzuri

  • @aflahrajabu9919
    @aflahrajabu9919 Před 2 měsíci +1

    Hongera sana kamanda mssika

  • @erastosanga1694
    @erastosanga1694 Před 2 měsíci +1

    Let's be patriotic as was during nyerere days

  • @nigananurunjema
    @nigananurunjema Před měsícem

    Huyo alikuwa haini kabisa wala hakuwa raia mwema na hakustahili kulitumikia taifa letu pendwa. Inastaajabisha na ni aibu kubwa sana walimjuaje kuwa anafanya hiyo kazi nyeti mpaka wakamtumia? Hatari sana.

  • @erastosanga1694
    @erastosanga1694 Před 2 měsíci +1

    Je zangira yupo hadi sikuhizi?

  • @salumjuma3152
    @salumjuma3152 Před 2 měsíci +5

    Where is zangira now ??

    • @MinskBelarus-il2tl
      @MinskBelarus-il2tl Před 2 měsíci +1

      Hilo ndio Swali zuri sana.

    • @boban16
      @boban16 Před 2 měsíci +1

      hawezi kuwa hai hata siku moja

    • @shafiihamisi1984
      @shafiihamisi1984 Před měsícem +1

      Zangira alitumikia kifungo chake na alipomaliza alitoka akawa huru...baadae alifariki

    • @MinskBelarus-il2tl
      @MinskBelarus-il2tl Před měsícem

      @@shafiihamisi1984 Ooh,Asante kwa Taarifa🙏🙏

  • @mwaikuka
    @mwaikuka Před 2 měsíci +1

    Great

  • @ibrahimomari2458
    @ibrahimomari2458 Před měsícem +1

    Je alitoa hizo siri?...

  • @shukranisibale1739
    @shukranisibale1739 Před 2 měsíci +2

    Somo zuri kwa vizazi vyetu

  • @MichaelShigela
    @MichaelShigela Před 2 měsíci +3

    Huyuu ndio DOUBLE AGENT mkuu😂😂😂

  • @shabanponera2895
    @shabanponera2895 Před měsícem

    Yaani hakuna anaejua alipo Juma Zangira?

  • @erastosanga1694
    @erastosanga1694 Před 2 měsíci +1

    Aah zangira , aah zangira why this?

  • @marylibaba2589
    @marylibaba2589 Před měsícem

    HONGERENI WATUMISHI WOOOOOTE WA USALAMA WATAIFA WANA KAZI KUBWA SANA.

  • @marylibaba2589
    @marylibaba2589 Před měsícem

    NI KARAMA HIYOOO KUTOKA KWA MWENYEZI MUNGU

  • @homeboybeyondtheborders4935
    @homeboybeyondtheborders4935 Před 2 měsíci +4

    Mssika yupo hai mpaka leo

  • @anastaziuscyriacus5415
    @anastaziuscyriacus5415 Před měsícem

    Tz ilipanic tu,

  • @user-bt5kv8ik4y
    @user-bt5kv8ik4y Před měsícem

    Makachero

  • @marylibaba2589
    @marylibaba2589 Před měsícem

    MUNGU AWALINDENI TU

  • @user-hu3bz3lv7s
    @user-hu3bz3lv7s Před 2 měsíci +1

    Huyo hakuwa tena jasusi Bali kibaraka wa mabeberu, mhaini na msaliti wa Taifa !

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything Před 2 měsíci

    ✌️👍👊.

  • @LishaPasha
    @LishaPasha Před 2 měsíci +1

    saafi sana.
    tu document historia na matukio ya nchi yetu