Video není dostupné.
Omlouváme se.

PUTIN amkarimu Narendra MODI kwa tende, matunda na karanga kwenye makazi yake ya NOVO-OGARYOVO

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 7. 07. 2024
  • Tembelea sns.co.tz/ kwa taarifa zaidi

Komentáře • 94

  • @msafirimiracle6613
    @msafirimiracle6613 Před měsícem +27

    Tukifika hapa Tz itakuwa safi sana hakuna muda wa kupoteza kusoma kiingereza ni wanasoma wachache wengine kujenga uchumi, nguvu nyingi sana inatumika kusoma kiingereza,kuliko kufunza uchumi,huu ni utumwa wa kifikra.

    • @ZuhuraNassoro
      @ZuhuraNassoro Před měsícem +2

      Utumwa wa fikra ndio unaliangamiza taifa letu

    • @HamzaMbasha-xs2ky
      @HamzaMbasha-xs2ky Před měsícem +4

      Wanapewa mikopo ya masharti wanapangiwa hadi cha kufundisha mashuleni hatuwezi kufika...

    • @mohdmohd8428
      @mohdmohd8428 Před měsícem +3

      Isipochukuliwa kisiasa comment yako ni fact moja kubwa sana

    • @maniamba.tz_
      @maniamba.tz_ Před měsícem

      Kweli vipaji vingi vinaishia uko

  • @user-pj7ng8il4t
    @user-pj7ng8il4t Před měsícem +4

    This man Putin I appreciate him. Hapo bhana no retreat no surrender, forever forward 🪓☠️🪓🌹🌹

  • @africanmandetraveler2847
    @africanmandetraveler2847 Před měsícem +4

    Bora mara nyingine bro sky umetuletea haya makala mwenyewe sababu kaka Dj smaa na Ally wakituambia ukweli kuhusu Russia 🇷🇺 kuna comments mbili tatu zinapenda kuwatukana watu bila sababu.I love ❤️ Russia 🇷🇺

  • @cocotz1892
    @cocotz1892 Před měsícem +6

    Ni 🔥 sana

  • @antonymathias8219
    @antonymathias8219 Před měsícem +3

    Mm naomba mnaotoa habari za urusi nawapenda sana tumekuwa gizani mda mrefu sana

  • @johnmajondokitulla
    @johnmajondokitulla Před měsícem +3

    I love 💕💕💕 them much more

  • @bensonscott3491
    @bensonscott3491 Před měsícem +5

    Quality voice 🎉🎉🎉

  • @kamazima11
    @kamazima11 Před měsícem +3

    Hawa jamaa sio kama awajui kiingereza wa najua vizuri tu lakin wanathamini lugha Zao, alikuwa akifanya TAnzania MAgufuli kutumia Kiswahili watu wakasema hajui kiingereza 😊 ( akili za kushikiwa ni mbaya sana unakuwa mtumwa wa fikra 😂)

    • @MsAggie5
      @MsAggie5 Před měsícem

      Kweli kabisa, Magufuli alikuwa na PHD na amesomea England sasa Nani alimfanyia research? Watu wanapenda utumwa. Hata kama unajua kiingereza haina haja iwe ndo lugha yako na kuacha Kiswahili chetu

  • @aboudasilver6541
    @aboudasilver6541 Před měsícem +13

    Hiyo ndio nchi ya kushirikiana nayo sio America

  • @hassangaddafi2347
    @hassangaddafi2347 Před měsícem +2

    Putin baba lao ❤❤🇷🇺🇷🇺🇷🇺
    Free Palestinian❤❤🇵🇸🇵🇸🇵🇸🇰🇪

  • @PlatnamMogo
    @PlatnamMogo Před měsícem +8

    Tanzania sijui ina feli wapi !? Wanasiasa wa Tanzania wame kazana na Marekani na Europe huku ku mtegemea Mwigulu avushe nchi kwenye uchumi.

    • @pascalntandu1217
      @pascalntandu1217 Před měsícem

      Hatari sana; watu wanakimbia wezi wa magharibi sisi tunawakaribisha na kuwakumbatia;nyuki hakumbatiwi jamani;heri kwa mali;BurkinaFaso na niger maana sasa wanajitambua.

    • @farajiissa560
      @farajiissa560 Před měsícem

      Cc tunatawaliwa na magenge si viongoz

  • @KilonzoGodson
    @KilonzoGodson Před měsícem +7

    Nataka wale wanaosema Kiingereza ni elimu na ndio ujanja.
    Miamba 2 hii inabidi wakae na mkalmani maana mmoja hajui kiingereza na ni Raisi wa taifa kubwa duniani

    • @musasaidi7193
      @musasaidi7193 Před měsícem

      Putin anaogopa kijerumani na kingereza. Kumbuka alikuwa nani kabla ya siasa.

    • @MsAggie5
      @MsAggie5 Před měsícem +1

      Wote wanajua kiingereza ila Putin hapendi kuonekana mtumwa WA nchi za America na Uingereza. Miaka ya nyuma raisi WA America alienda Urusi wakawa wenyewe tu walikuwa waliongea kiingereza na ndipo magazeti yakaanza kuuliza na kuhoji Putin alikuwa anaongea lugha gani kama sio kiingereza pia Putin alikuwa mjasusi wa Urusi haiwekani afanye hiyo kazi bila kujua kizungu.

  • @omarmohammed5157
    @omarmohammed5157 Před měsícem +2

    Modi kaipenda memory ya Putin na korea kaskazini ❤

  • @paschalfausitine7108
    @paschalfausitine7108 Před měsícem +1

    Safi Sana ❤

  • @emmanuelfari8924
    @emmanuelfari8924 Před měsícem +5

    Hapo English haitakiwi kbs huu ni uzarendo ama hakika💯🙌

    • @eyanlenjorin4566
      @eyanlenjorin4566 Před měsícem

      Hawa si wa English ni mhindi na mrusi wataongea vipi English.

    • @evelynemugeni2369
      @evelynemugeni2369 Před měsícem

      Kwasababu wana thamini vyakwao ss wa Africa ndo tunashobokea lugha za wenyewe.usipo ongea kingeleza vizuri ao kifaransa unachekwa sanaaa.watu weusi ss tuna ujinga

  • @SalmaKhamis-io4ei
    @SalmaKhamis-io4ei Před měsícem +3

    Pamoja sana.

  • @MustaphaManole
    @MustaphaManole Před měsícem

    Good

  • @georgedaniel4962
    @georgedaniel4962 Před měsícem +2

    Mm kwa uelewa wangu NATO mwisho wao upo karibu.

  • @abdallahathuman9493
    @abdallahathuman9493 Před měsícem

    Putin nampenda sana mungu ampe maixha malef

  • @mohamedrashid6578
    @mohamedrashid6578 Před měsícem +6

    Amesahau pilipili tu hapo kwa mgeni

  • @HappyatHome-bn8wm
    @HappyatHome-bn8wm Před měsícem

    Mungu akurinde putin

  • @Brunotarimo10
    @Brunotarimo10 Před měsícem +2

    America kwisha

  • @enocksitta6350
    @enocksitta6350 Před měsícem

    Safi sana

  • @ClementJacob-sd8lf
    @ClementJacob-sd8lf Před měsícem

    always great thinkers plant ther croups on good fertile soil to allow them to grow better do you know the better government

  • @paschalsafari9747
    @paschalsafari9747 Před měsícem

    Safi sana putin

  • @jamesmethusela1148
    @jamesmethusela1148 Před měsícem

    Putin smart sana.

  • @johnmalembo6464
    @johnmalembo6464 Před měsícem

    Viongozi wetu wa afrika wanafikiri kuongea lugha zao za nchi mfano kiswahili, kiganda, kirundi, kijaluo... Wanapokuwa katika mataifa ya nje ....eti kama vile ni kukoswa elimu.....viva JPM....ULIONGEA KISWAHILI DAIMA.....tuige jamani....kiswahili chetu kina radha nzuri....mi nakipenda

  • @mohdmohd8428
    @mohdmohd8428 Před měsícem +1

    Mnangagwa ajifunze kutafuta nguvu ya uchumi

  • @kibwetere1418
    @kibwetere1418 Před měsícem

    Walau hawa viongozi wanaweza kutembea wenyewe,sio kama lile lizee linalotembea kwa kushikiliwa

  • @brianbaltazar6198
    @brianbaltazar6198 Před měsícem

    ❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️

  • @user-dg7wf6fg2j
    @user-dg7wf6fg2j Před měsícem

    Mangaribi wanaumia Sana master plan Putin amechagua watu wa mhimu tu

  • @jotafungo4622
    @jotafungo4622 Před měsícem

    Ok sawa.
    Ila kupiga stori na wakalimani hainogi😂

  • @jumashedafa
    @jumashedafa Před měsícem

    Bas huku kwetu ukitafsiriw unaonekan hujasoma...Kwann tusitumie lugha yetu na sisi unatak unambie hawajui kiingereza...Mama Samia ww ndio unatakiw uwe kiongoz ktk hili yan watafutwe wakaliman watakao tafsir kiswahili kwend kwa hao wazungumz lugha ingin

  • @aminaali792
    @aminaali792 Před měsícem +2

    Huyu mhindi nae siwakumuamini maana wa Europe wanamtumia vile vile 🙄🤦🏽‍♀️pengine wamemtuma 😒

    • @user-do2id6pp4g
      @user-do2id6pp4g Před měsícem

      Hapa ni ngumu sio Africa hiyo ni Russia

    • @aminaali792
      @aminaali792 Před měsícem

      @R1Lifestyle-f6nmmmmh kwa kweli tuendelee kuwaombea wazalendo wanajielewa 🤲🏼😃

    • @aminaali792
      @aminaali792 Před měsícem

      @@user-do2id6pp4g tuzidi kuomba kheri kwa Rasia na wanampa support maana anajielewa sio kama wale wa Europe wanaotafuta vita kila siku 🤦🏽‍♀️😒

    • @aminaali792
      @aminaali792 Před měsícem

      @R1Lifestyle-f6n hasa kwa waliokuwa hawana dini ndani ya mioyo yao hawana kukinai🤦🏽‍♀️

  • @user-dg7wf6fg2j
    @user-dg7wf6fg2j Před měsícem

    Hawa wanao tafsiri lugha za viongozi kazi wanayo wako makini Sana vyakula hapo baga hamna

  • @kassimrajabu7805
    @kassimrajabu7805 Před měsícem

    Uraaaa

  • @Chettymlambalipsi-lb9km
    @Chettymlambalipsi-lb9km Před měsícem +1

    Ni zaidi ya upendo .lakini naomba kuuliza bwana sky kwanini leo VLADIMIR PUTIN hajavaa tai?

  • @mapundarajabu5416
    @mapundarajabu5416 Před měsícem

    DUH jamaa wame wachukia wazungu adi runga yai

  • @salehkhalfan7345
    @salehkhalfan7345 Před měsícem

    Huyu mwana mama asije akawa Mkaliman km yuleee wa Magufuli

  • @julianmsele3880
    @julianmsele3880 Před měsícem

    putin ni mkarimu sana mwaka jana tulienda kumtembelea jamaa alitubless had makaa ya mawe, mshikaji ni mtu na nusu

  • @Oboss_billharvester
    @Oboss_billharvester Před měsícem +1

    Wenzetu wanazipa nguvu laugha zao Sisi tupo busy na kingereza cha wenyewe😢,

    • @MsAggie5
      @MsAggie5 Před měsícem

      Lakini wote wanajua kiingereza ila wanataka kuionyesha dunia kama they don't give a sh........na kiingereza.

    • @Oboss_billharvester
      @Oboss_billharvester Před měsícem

      @@MsAggie5 and that's a reason why God gave everyone his or her own language so that when he or she speaks his or her language nobody understand, Great God with marvellous action

  • @goodluckmsoka3660
    @goodluckmsoka3660 Před měsícem

    Unaona Sasa kutokujuwa lugha Fulani sio kwambia wewe ni mjinga tujifunze

  • @djdeprince3266
    @djdeprince3266 Před měsícem +1

    Mwamposa katajwa alie sikia kama mmi like apa

  • @kaittheleast
    @kaittheleast Před měsícem

    .......🏃

  • @filmsx6484
    @filmsx6484 Před měsícem

    SKy young killer katoa nyimbo kakudiss 😂😂😂😂😂😂😂😂 sema tusimfananishe na kizazi cha gen z yuko mbele ya muda kama kendrick lamar

  • @FredrickMatiku-xf2uk
    @FredrickMatiku-xf2uk Před měsícem

    Asije akawa kama mkalimani wetu hapa bongo anaweka na maneno yake

  • @hajimlaponi1900
    @hajimlaponi1900 Před měsícem

    Kwann mkaliman? Hakai kwenye kiti😢😅

  • @msukumamnywamaziwa2785
    @msukumamnywamaziwa2785 Před měsícem +1

    ❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @MasterOil-qm6vw
    @MasterOil-qm6vw Před měsícem

    Putin anaishi kiisilam sana huyu mwamba

  • @josepheriah5977
    @josepheriah5977 Před měsícem

    Ukraine babalao

  • @aishaarusha894
    @aishaarusha894 Před měsícem

    Tena chori chori

  • @kalengashoppingcenter1108
    @kalengashoppingcenter1108 Před měsícem

    🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉😂❤ Putin

  • @paulhema5713
    @paulhema5713 Před měsícem

    Ivi India wanaongozwa na waziri mkuu au....mbona simsikii rais wao...

  • @AbdallahBakar-oc3ue
    @AbdallahBakar-oc3ue Před měsícem

    Huyu jamaa hapingiki duniani raisi wa kenya alijalibu tu chamoto anakiona kivumbi chake

  • @aminielkombe66
    @aminielkombe66 Před měsícem

    Mzee tembea yake kama chalii

  • @evansogutu4167
    @evansogutu4167 Před měsícem

    Wakalimani wako wa wili

  • @user-up2rz4ye2g
    @user-up2rz4ye2g Před měsícem

    Putin lazima awashukuru sana India na china.la sivyo urusi sa wangekua wanabeba ela na Marlboro..😅😅😅😅😅

    • @Awatee
      @Awatee Před měsícem +1

      Binaadam kusaidiana Mungu mkubwa hawezi kuwakosesha ridhiki waja wak alizo wapangia

    • @user-ye3fy9kk6r
      @user-ye3fy9kk6r Před měsícem

      Umepongea kitu kikubwa sana,binaadamu tunategemeana,huo ndio mpango wa M'mungu ​@@Awatee

  • @muzafarsharif9465
    @muzafarsharif9465 Před měsícem

    kwani Putin hajui English??!

    • @jut1161
      @jut1161 Před měsícem

      Anajua ila hapendi kuongea hata dakika moja

    • @RamadhaniMohamedi-de2vc
      @RamadhaniMohamedi-de2vc Před měsícem

      Anajua ila akiwa kwenye taifa lake aongei kingereza anajitambua mana watu wake wanao msikiliza ni warusi kwaiyo lazima aongee kirusi.

  • @mohdmohd8428
    @mohdmohd8428 Před měsícem

    Mnangagwa ajifunze kutafuta nguvu ya uchumi