Hiki ndicho kilichomponza HARMONIZE kwenye KESI yake na CRDB, Wakili Henry Mwinuka AFAFANUA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 11. 09. 2024
  • Tembelea sns.co.tz/ kwa taarifa zaidi

Komentáře • 257

  • @nyandatesther6045
    @nyandatesther6045 Před 23 dny +23

    Woooiii Harmonize😢😢
    Harmonize should have a financial advisor and good management.

    • @philbertzacharia3087
      @philbertzacharia3087 Před 23 dny +2

      Absolutely, anatakiwa kuajiri mshauri wa biashara na masoko ,mtu atakayekuwa anadeal na soko la bidhaa zake na promotion, anatakiwa kuwa na manager msomi na anajua masuala ya mziki ,anatakiwa kuwa na mtu wa ratiba zake tokea anapoamka mpk anapoenda kulala, lkn muhasibu mtu wa maswala ya udhibiti matumizi yasiyo ya msingi. Aachane na gange la watu wengi wasio na ufaham lkn pia awe na wakili wake

    • @suleymanjusem8076
      @suleymanjusem8076 Před 22 dny +1

      Kachelewa sasa 😢

  • @vincej9275
    @vincej9275 Před 23 dny +16

    Ananunulia Kajala Range Rover na wazazi wa Posh Queen gari na halipi deni zake ! Poor financial management.

  • @MfaumeRoger
    @MfaumeRoger Před 24 dny +28

    Kutoka Congo Lubumbashi nawa pata vizuri kabisa🎉🎉🎉🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩

  • @hamoudcreator6343
    @hamoudcreator6343 Před 24 dny +22

    Unadaiwa.. Then unaenda kufungua Kampuni ya Kamari, maana ake, unataka kuwaibia Wananchi Walala Hoi...

    • @user-nb2jw4km6f
      @user-nb2jw4km6f Před 23 dny +4

      Ameona njia rahisi ya kurudisha mkopo wake😂😂😂😂

    • @BigZhumbe
      @BigZhumbe Před 23 dny +2

      Kwani anawalazimisha watu kucheza kamari?

    • @taseleli9181
      @taseleli9181 Před 23 dny

      kwani yeye ndo wa kwanza kufungua kampuni ya kamari? Hii ni njia ya yeye pia kupata kipato mbona Kuna kampuni nyingi za kamari shida ni nini wacheza kamari si wanaokwenda wao wenyewe

  • @Igauf3
    @Igauf3 Před 24 dny +21

    The issues he is encountering are clearly outlined in the fine print. The underlying problem stems from a culture of not honoring debt obligations. It’s important to remember that the bank is a financial institution, not a benevolent family member. If the debt remains unpaid, the bank has the right to initiate arbitration proceedings. It is essential to uphold the discipline of repaying what was borrowed. Due to this unacceptable behavior, the bank may choose to discontinue doing business with him in the future. This could also impact other artists who wish to work with the bank, as this situation may serve as a litmus test for the bank to avoid similar circumstances.

  • @MD-sz5ti
    @MD-sz5ti Před 24 dny +47

    harmonize ... kachukulia kujuana na viongozi wakubwa ndo ana weza kuvunja sheria ....akili za bangi

    • @user-oq5xl6by7s
      @user-oq5xl6by7s Před 24 dny +6

      Achana na bangi ww apo watu wanazungumzia deni

    • @Zuu673
      @Zuu673 Před 23 dny +1

      😂😂😂😂😂

    • @PizzoBeatz
      @PizzoBeatz Před 23 dny

      ​@@user-oq5xl6by7saachane na majani yetu

    • @upendoweja6010
      @upendoweja6010 Před 23 dny +1

      Aseme kajala kamfilisi sasa😂

    • @benhanclove5997
      @benhanclove5997 Před 21 dnem

      @@upendoweja6010 atakua poshi queen 😂😂😂

  • @johnnyharrymusic4666
    @johnnyharrymusic4666 Před 24 dny +54

    Wa kwanza tokea kenya nairobi wapi likes zenu nawaomba

  • @personalitiesan9806
    @personalitiesan9806 Před 23 dny +28

    Kajala one and two Tena zote ni range.......😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @saeedmagoda9651
    @saeedmagoda9651 Před 23 dny +9

    Na kwa mwanaume kudaiwa hyo ni kawaida sana hyo ni mistake tu imetokea ila Mungu amsaidie tu bwana Rajabu aweze kulipa mapema kuepuka hiyo penaty

  • @ramadhanihudhaifani4376
    @ramadhanihudhaifani4376 Před 23 dny +6

    Laana ya kumfananisha Mungu wake na Mwanamke imeanza kumtafuna! Na bado. 😡

  • @mohammedkombo9798
    @mohammedkombo9798 Před 23 dny +11

    Hamo hana washauri au management nzuri.. yeye ni msanii lazima angekua na ulinzi ktk financial. Thanks SNS

  • @saifalyazeedy8351
    @saifalyazeedy8351 Před 23 dny +10

    Thanks SNS tumepata funzo kubwa sana

  • @hanspop6961
    @hanspop6961 Před 24 dny +9

    Shukrani Sns tumejifunza kitu

  • @jamesngasi7252
    @jamesngasi7252 Před 24 dny +21

    Me wa kwanza naomba lake zangu

  • @hakimkhamis-b8f
    @hakimkhamis-b8f Před 23 dny +13

    C nlisema bangi mbaya

  • @ChoroTesla
    @ChoroTesla Před 23 dny +8

    Hapa ndo napowaaambiaga watu hatuongozwi na mihemko tunaongozwa na sheria ndo hii hapa ingekua hakuna sheria watu wangekopa wangekimbia

  • @EmmyNamoyo
    @EmmyNamoyo Před 23 dny +3

    Asante Sky nimejifunza kitu ❤

  • @muanashaswaleh5110
    @muanashaswaleh5110 Před 23 dny +9

    Yani uyu nae uchukue pesa badala ufanye biashara una ekea boda boda mafuta kugawa mitaani wakati pesa yenyewe yaloni kutafuta magari uwape wanawake jamani mbona ivi tena

    • @taseleli9181
      @taseleli9181 Před 23 dny

      Huwa hatupangiani matumizi ya pesa kila mmoja anatumia kadri anavyoona inafaa Kwa vile hata namba ya kutafuta anaijua yeye mwenyewe, kila mtu anaweza ona matumizi ya mwenzie mabaya tuombeane tu.

  • @MwanaishaShattry
    @MwanaishaShattry Před 23 dny +13

    Hamo ni mshamba sanaaa. Kama sio kuimba angekuwa hadi leo yuko kijijini analima karanga. Hajui chochote kinachohusu maisha yeye anadhani kukaa uchi, kuvuta bangi na cigars, kufanya ufuska hadharani ni ushamba ulio pitiliza kwa hicho kibra ulichonacho sasa unaaibikqa. Pumba kichwa maji.

    • @noonelike6382
      @noonelike6382 Před 23 dny

      @mwanaishashattry , siyo Kwa povu hilo 😂😂😂😂.

    • @taseleli9181
      @taseleli9181 Před 23 dny +1

      Ukiona mtu anatoa povu hivyo ujue ni dalili za roho mbaya na wivu na ushamba huo anaomwambia Harmo, asingekuwa mshamba asingeongelea habari za wengine Kwa povu hivyo hakuna asie mshamba kila mmoja ana aina yake ya ushamba eti isingekuwa mziki angekuwa shamba analima kwani kulima ni shida @Mwanamisi.

  • @DouglasMassop
    @DouglasMassop Před 24 dny +27

    Baba levo anawaambia kila siku ukitaka kumuiga mondi utapelekwa kwenye maji marefu kisha utashindwa kuogelea

    • @jacobmenganyi7830
      @jacobmenganyi7830 Před 23 dny +4

      Ww nae Shoga kumbe Sasa Mambo ya kisheria na loan mond anahusikaje apa

    • @upendoweja6010
      @upendoweja6010 Před 23 dny

      Ukitaka kuwa km fulani usiige ila aanae chin akufundishe ila kibur kimemponza kijan

  • @HeriRamadhan-q7m
    @HeriRamadhan-q7m Před 24 dny +42

    Ukitaka kuiga maisha anayoishi Diamond waallahi lazima ufilisike, yule mwamba akili mingi na ni mjanja sana .

    • @user-xw3wz5ov3u
      @user-xw3wz5ov3u Před 24 dny +8

      😂😂 nyashi imemponza nyashi ya poshi inamfirisi

    • @Aminmwansile-we8vn
      @Aminmwansile-we8vn Před 24 dny +5

      Kibaka wee unamwamini diamond kama mungu wako ? Mbona hata mwenyewe diamond Hana hata nyumba ya kuishi? Kwa taarifa yako diamond hata nyumba ya kuishi Hana anapanga tuu

    • @lindacharles998
      @lindacharles998 Před 23 dny +4

      ​@@Aminmwansile-we8vnile aliyojenga madale ni kichuguu???

    • @Zuu673
      @Zuu673 Před 23 dny

      😂😂😂😂😂😂

    • @fadhilngalanda7520
      @fadhilngalanda7520 Před 23 dny +3

      Mbona ni watu mnapenda kutengeneza ushindani et kuiga maisha ya Diamond nani amesema maisha ni utata huyo ndio mpambanaji yaan maisha siyo mtelezo na sasa anajiongezea followers mnamsoma yaan ni mbinu tu unadhani hawezi kulipa hiyo million 103 amkeni ninyi

  • @Zenny89
    @Zenny89 Před 24 dny +28

    Kazi kukopa tuu kulipa aaahh!!!
    Kumbuka hii ni Benki!!! Wanauza mpaka Chupi😆.. Hata Mama Samia hawezi mkomboa hapa.

    • @TM.Sullusi
      @TM.Sullusi Před 23 dny +2

      Anaweza kumkomboa kwa kumlipia deni lakini😂

    • @BarakaSimon-xy9mp
      @BarakaSimon-xy9mp Před 20 dny +1

      Akimlipia itakuwa ni matumizi mbaya ya fedha za uma na au hata akitoa pesa zake mfukoni .. Itakuwa anachochea upotovu wa kimaadili kwa kijana harmonize... Nchi inadhiki kubwa sana hii

  • @kadito-o3j
    @kadito-o3j Před 24 dny +24

    Nipeni like moja tu ya SNS wanaupiga mwingiii

  • @BIGBOSS-hl3bu
    @BIGBOSS-hl3bu Před 24 dny +17

    Sasa Kwa hizo bangi ataweza kujua kama Kuna KESI MAHAKAMANI 😂😂😂

  • @maryschroeder521
    @maryschroeder521 Před 23 dny +2

    Well spoken 👏🏾

  • @mtazycomedy
    @mtazycomedy Před 24 dny +14

    Bangi za harmo ashaurik

    • @missp1814
      @missp1814 Před 23 dny

      Yule bangi zinampelekesha...zinamfanya anakuwa kweli hashauriki.

  • @NoName-pp4lo
    @NoName-pp4lo Před 24 dny +16

    Kukopa safi ila kulipa mbaya iyooo sensema malumde 🤣🤣🤣

  • @JoyceFrank-be3rj
    @JoyceFrank-be3rj Před 24 dny +12

    Harmo uwo ni uzembe kwa muda wote huo ungekuw umeish lipa

    • @Humanity21216
      @Humanity21216 Před 24 dny +2

      Kabisa yani million 3 au 4 kwa harmonize daaa hii ni kujishushia Brand aisee

    • @svt3
      @svt3 Před 24 dny

      ​@@Humanity21216lakini ukiangalia vizuri kwenye lebel yake ana msanii 1 tu Ibrah ila ku mu brand, kumu promote na ku mfanyia marketing Ameshindwa hiyo tu inaonesha hakuna pesa

    • @nuhumaalim4976
      @nuhumaalim4976 Před 23 dny

      Kweli kabisa ila angeacha mademu kuwanunulia vitu vya bei kubwa kama range saa hiv angelikua hana deni

  • @isunga1964
    @isunga1964 Před 23 dny +6

    Kama anadaiwa alipe tu hizo ndoo pes za wanyonge sisi tunaweka tu hatujui kukopa kesho tukiambiwa benk haina pesa tutasema crdb wamekula pesa pls Harmo lipa pesa zetu😂😂😂

  • @ZephaniahSekwa-fl2go
    @ZephaniahSekwa-fl2go Před 23 dny +4

    Mwanasheria ameeleza vizur sana . Great ✊️

  • @ukhutfatumah1154
    @ukhutfatumah1154 Před 23 dny +2

    Daaaaa pole Sana aise harmonize naogopa snaa mikopo, yaaan hata vikoba 😢

  • @davidtillya8464
    @davidtillya8464 Před 24 dny +17

    Wakwanza kuona naomba like zangu

  • @BarbaraPatience-qt9cc
    @BarbaraPatience-qt9cc Před 23 dny +6

    Hamo alikua amezoea kulilia watu uongo aonewe huruma,sai hajui aseme nini! Mwijaku yuko wapi amtetee! Huyu hamo ni mjinga sana!!!!! Anautaka!!!!!

    • @nuhumaalim4976
      @nuhumaalim4976 Před 23 dny +1

      😂mwijaku mwenyewe anakesi watakuna mahakamn

  • @evansmumo3921
    @evansmumo3921 Před 24 dny +11

    Kumbe jomba ananunulia malaya wake magari na mikopo hajalipa😂😂😂

    • @Zuu673
      @Zuu673 Před 23 dny +1

      Ndo maisha ya mashindano😂😂😂

  • @billomlewa4985
    @billomlewa4985 Před 24 dny +27

    Shida jamaa ulimbukeni ndio unamponza

  • @sheilacruz6458
    @sheilacruz6458 Před 24 dny +9

    Wa kwanza hapa leo

  • @user-fy9pw2zr8l
    @user-fy9pw2zr8l Před 24 dny +10

    😅😅😅😅huo na zharau zake

  • @davidwalalason7630
    @davidwalalason7630 Před 24 dny +13

    So does it mean he's been living a fake life.

  • @KhadijaJuma-jx7ny
    @KhadijaJuma-jx7ny Před 23 dny +2

    Kabisa kila mtu anahaki ya kusikilizwa hata kama unadaiwa mabilion

  • @mwili_wa_ndoto_yangu
    @mwili_wa_ndoto_yangu Před 23 dny

    Asante SNS

  • @RamadhanMbwana-o1j
    @RamadhanMbwana-o1j Před 24 dny +14

    Mtani apunguze Bangi..

  • @amourabdallah2978
    @amourabdallah2978 Před 23 dny +3

    Jamaa anaongea kama mwana FA

  • @nassoromfumya7319
    @nassoromfumya7319 Před 24 dny +18

    Aendelee tu kula kijiti akili itamsogea, aendelee kumuiga Mondi... atapotea sana mjini hapa😂

    • @Zuu673
      @Zuu673 Před 23 dny

      😂😂😂😂😂

    • @mckobatz5861
      @mckobatz5861 Před 23 dny +1

      Kijiti hakijawahi kumwacha mtu salama 😂😂😂😂

    • @taseleli9181
      @taseleli9181 Před 23 dny

      Kumuinga Mondi kivipi ongeeni hoja ya msingi kwani yeye ndo wakwanza kukopa?

    • @mckobatz5861
      @mckobatz5861 Před 23 dny

      @@taseleli9181 we gotta live accordingly

  • @richkaja3317
    @richkaja3317 Před 23 dny +2

    Bora awekwe ndani huyo mpumbavuu sanaa ttzo majungu

  • @Eneraizerofficial-ci3fp
    @Eneraizerofficial-ci3fp Před 23 dny +6

    Kweli yeye na rayvanny waliimba kukopa safi Ila kulipa mbaya iyo😂😂😂

    • @ce-08
      @ce-08 Před 23 dny

      😂😂😂😂

  • @justinmwenda7449
    @justinmwenda7449 Před 21 dnem

    🎉🎉nawapata vinzr kutoka songea namtumbo.

  • @chibudenga8977
    @chibudenga8977 Před 24 dny +16

    mmakonde ujuaji mwingi unakopa kimya kimya ukishindwa kulipa tunajua ndio hii mtoto kautaka apewe

    • @ArafaAmirAmir-ci7ld
      @ArafaAmirAmir-ci7ld Před 23 dny

      😂😂😂😂

    • @taseleli9181
      @taseleli9181 Před 23 dny

      Kwa hiyo baada ya kujua kuwa anadaiwa wewe umepata faida gani? Kwani yeye ndo wa kwanza kudaiwa hapa duniani?

  • @criminalminds7723
    @criminalminds7723 Před 24 dny +14

    Hilo ndio yatizo la wasani wabongo,unawaona wana pesa lakini kashida kidogo tu wanaanza kuhangaika,

  • @user-iu8mi4vs1c
    @user-iu8mi4vs1c Před 22 dny

    🔥

  • @elidadinyalemaelidadinyale3686

    Usiku Kama mchana tuko pamoja

  • @mialanomanqobo6639
    @mialanomanqobo6639 Před 23 dny +3

    Mandi halinganishwi na wasani was Tz
    Alijipanga poa sana
    Yuko hadi na law firm kwa utetezi
    Siyo kama anakopa, Ila yuko sharp kwa hata wa accounter wake kufanya malipo kwa wakati kwanza wafanyakazi na mikopo yote ya Wasafi na yeye binafsi

  • @jamilaathumani5481
    @jamilaathumani5481 Před 23 dny

    Nawakubali Sana Yan guys

  • @jumas.sendekwa2788
    @jumas.sendekwa2788 Před 23 dny +2

    Baada ya hili hataaminika na banks!

  • @trendz_2548
    @trendz_2548 Před 23 dny +2

    😂😂😂😂😂huku aliongana range mbili 😂😂😂🙌🙌🙌🙌ushamba mkubwa sana huu

  • @joshuasanga9213
    @joshuasanga9213 Před 23 dny +2

    Kijeba ni maskini sana that's way anamdomo sana usha wai ona wapi mvuta bangi akawa tajirii

  • @CharlesMboya-gq1wh
    @CharlesMboya-gq1wh Před 23 dny +3

    Kuhonga magari tuu kulipa ahaa

  • @muanashaswaleh5110
    @muanashaswaleh5110 Před 23 dny +3

    Twataka ustadhi juma na pimbi tv nayule DJ digambo mwenye jipua wajitokeze wamlipie wasitukane mody tu bila sababu

  • @Ibrahim-ne3in
    @Ibrahim-ne3in Před 23 dny +6

    Ndio maana hakua na vibe Yanga day kumbe alikua na mastress yake ya mkopo😂😂...kukopa tu kulipa aaaah

    • @taseleli9181
      @taseleli9181 Před 23 dny

      Maelezo yako wazi Hilo deni alishaanza kulipa sema hajakamilisha ila binadamu sie Kwa kufurahia matatizo ya watu twaongoza ,Nawe usijisahaulishe deni lako Kwa Mangi 😂😂😂😂😂😂

  • @givembwilo141
    @givembwilo141 Před 23 dny

    auze magari yale

  • @shangwefisima54
    @shangwefisima54 Před 24 dny +6

    Duuuuh aibuuu

  • @davidsika5292
    @davidsika5292 Před 23 dny +5

    Ila wamakonde wanapenda sifaaaaa

  • @user-cw6jq7cv2k
    @user-cw6jq7cv2k Před 22 dny

    Harmonize pole jamani, pambana you solve this issue, the bank will hurt you financially. Mungu atusaidie

  • @comics3437
    @comics3437 Před 22 dny

    Duh si auze tu hayo magari?

  • @ibrahimkabeniani4934
    @ibrahimkabeniani4934 Před 23 dny +2

    akili hana badala yakufanya kaI amekalia mapenz

  • @Gujay7
    @Gujay7 Před 23 dny +2

    Yan kama hadi wasanii wana madeni sasa mimi kwanin nisikopee😅😅 sema hii kesi ni ndogo sanaa kwa msanii kama harmonize kwhy watu msipende kuweka negative thou

  • @nimahnoizy8068
    @nimahnoizy8068 Před 23 dny +3

    Huyo jamaa nilikuwa shabiki yake ila vitu anavyo fanya vyakisenge sana

  • @flinchclassic1531
    @flinchclassic1531 Před 23 dny +3

    Kajala1 na kajala 2😂😂😂😊

  • @dinahkimario3361
    @dinahkimario3361 Před 23 dny

    Maisha ya kistar ni changamot sanaaaa....

  • @adelinatate9704
    @adelinatate9704 Před 23 dny

    Nampataje huyu lawyer?

  • @LouisianaRiri
    @LouisianaRiri Před 20 dny +1

    🎶 huwezi kumsema mwenzako bangi mbaya kama ujawahi hata mgongea😅 Hakuna alie kamilika ataunaemzani malaika anaweza kuwa shetaniiiiiiii🎶

  • @MagomaPato
    @MagomaPato Před 23 dny +4

    Harmonize anaamini uchawi utamusaidia Hadi kwa mikopo.... Laana Tz😭😭😭😭😭😭😭

  • @KassimAlly-xp4dz
    @KassimAlly-xp4dz Před 23 dny +3

    Harmonise hana ushauri kabisa na wa2 wake yy wanamshauri avute bangi tu

  • @khamisrubea5083
    @khamisrubea5083 Před 23 dny

    Mara atahusishwa diamond apo watu bwana

  • @murtalla2826
    @murtalla2826 Před 23 dny

    Henry 🎉🎉🎉 kichupa kimejaa madini

  • @hamissalum8604
    @hamissalum8604 Před 23 dny +2

    Hao mameneja wa CRDB Pesa wanazo ongezea katika deni alilokopa huyo mtu inalingana? Au wametumia mifumo ya waamerica wanavyofanyiana igeni mazuri yanayofanana hili kama vile kuna kuumizana hapo.

  • @lilyanmongi1075
    @lilyanmongi1075 Před 23 dny

    Tatizo la wasanii we2 wengi ni kufake maisha na majigambo yasiyo na maana. Inaonyesha wazi hana management sahihi

  • @user-ms8zt2im6x
    @user-ms8zt2im6x Před 23 dny +2

    Wasaniii bhana 😂

  • @user-oq5xl6by7s
    @user-oq5xl6by7s Před 24 dny +3

    Kama nakuon harmoniz unavo tizam hii interview 😂

  • @Ruu974
    @Ruu974 Před 22 dny

    Kwa nn wakukope alafu wao wanataka riba kuu zaidi Bora wanidai adi kufa

  • @rehemamejja8342
    @rehemamejja8342 Před 22 dny

    Wanaodaiwa Ni wengi tafuta wakil

  • @SalmaAthuman-hp3en
    @SalmaAthuman-hp3en Před 23 dny +1

    Bwana ee atalipa acheni kelele kudaiwa kwa mwanaume ni kawaida mkopaji ndo tubasubili aongee mwenyewe harmonize sio chizi wenda hiyo benk kuna kitu walifanya kinyume na makubaliano yao konde hawezi kushindwa kulipa

  • @SteveWamichano-pk3mv
    @SteveWamichano-pk3mv Před 23 dny +1

    Konde hela anayo anataka iwekiki mtaonaa jeshiiii atawaimba crdb mpaka mitandaoni vikao au kwavile no star dunian kuna watu wanadaiwa mabilioni kwenye mtandao aaah acheni ujinga i go by the name Steve wamichano from mafisiog

    • @HissanEzrom
      @HissanEzrom Před 23 dny

      😂pesa anayo wap ww acha ushabik wa kishambas

    • @SteveWamichano-pk3mv
      @SteveWamichano-pk3mv Před 23 dny

      @@HissanEzrom ko wewe ndio unahela kama konde unasema hana?yan alipe million 500 ashindwe hiyo au hesabu hamna

    • @TabiaMwangaya
      @TabiaMwangaya Před 23 dny

      Hata hio ml500 alikopo ndipo akalipa kashindwa kulipa hata mln 3 imemshinda kila mwenzi

  • @hajjiomary2383
    @hajjiomary2383 Před 23 dny

    Kaka sky kumbuka naitaji taarifa zako kuna ishu ya hong kong wanatuzuhia kuingia bila sababu wakati cc tupo entry

  • @stanslausjohn8791
    @stanslausjohn8791 Před 23 dny +2

    Diamond ni level za mbaaali
    Anaweza kumiliki bank zaid ya CRDB😂😂😂
    Harmonize hata hiyo kampuni yake ya kubet kakopa😂😂😂

  • @franciskalinga6560
    @franciskalinga6560 Před 23 dny

    Hela mnamalizia ktk starehe na madem lipa sasa

  • @philbertzacharia3087
    @philbertzacharia3087 Před 23 dny

    Ili afike mbali aachane na ushikaji piga chini wote wasio na elimu ajiri watakao kufikisha unakotaka kufika

  • @EliudiJastini
    @EliudiJastini Před 24 dny +1

    Tumchangieni

    • @humbleshoal
      @humbleshoal Před 23 dny

      Atalipa maana huyo c wa kuchangia

  • @AFRICA_D669
    @AFRICA_D669 Před 24 dny +2

    Asahivi tuko naye huku salasala, havimbi tena anatufungulia tinted kutusalimia ila hatumshobokei tuko bze kuwaza uchaguzi itakuaje kama kitawaka, huyo braza hajui wanawake hawa sio wakuwekeza wakati yeye anakopa mikopo kununua mahusiano na wanawake mastaa mwenzie boss wake anatumia umaarufu wake kuwatomba mademu zake, anashindana na aliko toka mbona mwaka huu kayakanyaga atavaa shati kama baba yangu😂,

  • @user-bv4bw1wp2e
    @user-bv4bw1wp2e Před 23 dny

    Starehe Kwa pesa za mkopo

  • @TumsifuErick
    @TumsifuErick Před 23 dny

    Hiyo ni sawa na kesi ya nyanya mbele ya harmonize 🤣🤣

  • @SefuHabibu-sn8cx
    @SefuHabibu-sn8cx Před 23 dny

    Wasanii wa bongo bwana kufeki Maisha wanajua sana haya sasa wanaumbuka tu mara kanunua range kampa kajara or mara posh wanazingua sana

  • @carmelmountainchurch4949

    Mimi niko bujumbura kwa hivi

  • @esauelias9301
    @esauelias9301 Před 23 dny +1

    Afu Hana hela hyo kwel msanii unajiita Mkubwa una hela afu 3million per month ashidwe 😂😂😂

  • @jeffnchagwa4883
    @jeffnchagwa4883 Před 23 dny +2

    Kulikua na umuhim gani au sababu zipi za CRDB kuweka madai haya kweny media kwani wadaiwa wote wanawekwa hadharani hivi au kisa Harmonize ni msanii mkubwa?au kuna kipengele gani cha sheria kinachosema mdaiwa akiwa msanii asipolipa deni kwa wakati atatangazwa kupitia medias?..me nadhan harmonize ndo anatuchora tu hapa😂,hizo pesa uwezo wa kuzilipa anazo

    • @shabanJuma-fe6wf
      @shabanJuma-fe6wf Před 23 dny +1

      Ata kanye west anadaiwa na yupo Marekani,, Tumejua sembuse harmonize.

  • @suleimanbalemba3348
    @suleimanbalemba3348 Před 22 dny

    Wanawake pumbavu sana kajala ndo kamtia madeni hawa viumbe nawachukia sana shenzi sana

  • @zuweinaalhabsya8773
    @zuweinaalhabsya8773 Před 23 dny

    Sio kama Hana pesa pesa anazo Ila basi kama ni Dharau tu alifanya

  • @Green_v4w
    @Green_v4w Před 23 dny

    Mwamba chunga sana ukianza mambo ya makesi hua huepuki

  • @ngoyaboy1590
    @ngoyaboy1590 Před 23 dny

    Kajala one and kajala two

  • @IsakaMgeje
    @IsakaMgeje Před 24 dny +2

    Dogo misambwanda inamsumbua na yuko busy nayo kujikuta Sharukhan .amfate mzee wa msoga .

  • @jamilaathumani5481
    @jamilaathumani5481 Před 23 dny

    Kaka herny watu wengi matapeli hapa Tanzania hawajali kuhusu mkataba na kudaiwa wengi hawaogopi madeni Hadi wanakera