Sanaaaa!!Na ndiyo kinachowapa hela ss hv mpaka wanajeuli ya kufungua makampuni yao mbali mbali wamejua kujipendekeza kwa mama yao samia na ndiyo hapo wanajikuta wakimsifia sn samia hata akiaribu wao wanasema kafanya vzur,
Huyu jamaaa mimi huwa ananikata san anavyo msifia mamaake samia mdawooooote yan unaweza seme huyo mamaake ni MUNGU umsifiage bhac na mamaako mzazi mz we nn samia samia samia ndyo rakin tunakalibia kujuta sasa huyo mama kafanya nn vitu vyote ni magufur kaviacha huyo mama nikutufilis2 anatufilis bandal kauza ushoga kauweka kipaumbele bado mnamsifia we nn ww ila harmonize
Kwa hiyo ndugu yetu biashara umeona kamali tu hamna biashara nyingine yakufanya kiukwel ni mtihani na hii yote inasababishwa na kupenda dunia kuliko akhera
Huyo bila Uchawi wa ccm hawea mpumbavu tu stupid kabisa Samia toka aanze Uchawa amemtaja mara nyingi kushinda mama yake Gen Z tutanyooka nae time ikifika
Oya bro I'm waiting for you in south africa....siamini kuja SA i look up to you
Nakkbar Sanaa kaka harmonize my blood love you so much unajituma sana pia nimekskiliza sana 💕💕
Noma sana konde ❤
Like apa please ❤
Harmonize uko mkubwa tu ❤❤
One of the best interview!!! big up konde
Jeshi umekua sasa god bless you more
Konde boy jamaa ana jua saana afu ana tu inspire kinoma🇰🇪🎤🙏🏽
Bro na kukubali sana 🇨🇩 🇨🇩☝️
harmonize God bless you am proud of you 👏
Mmetisha
Mzee wa kazii big up brooh
Jeshi ametisha sna
Djkrafa fun wa konde gang fit❤
Fact
Tz wasanii wengi ni machawa wa serikali
Sanaaaa!!Na ndiyo kinachowapa hela ss hv mpaka wanajeuli ya kufungua makampuni yao mbali mbali wamejua kujipendekeza kwa mama yao samia na ndiyo hapo wanajikuta wakimsifia sn samia hata akiaribu wao wanasema kafanya vzur,
Yaan we ni mpumbavu kweli umeshasema serikali, serikali ndiyo mpango mzima mbuzi wewe tena mbuzi jike
@@MeenaHassan-fd9vvusipambanue jinsia akana alie bora.
Nikushauri tu tafuta kaz ufanye hii nguvu unatumia kufatilia maisha ya watu mitandaoni ingekusaidia kutafutia family yko ugali maragwe😂😅
Wote izipokuwa Ney wa Mitego
Harmonize aliamua baada ya vijitembe vya misuri ni kuingi mkorogo na kuwa mzungu--- hii safari ya usanii noma sana!!
❤❤
Kaka mbeya boy chuma hapa nakukukubal sana hsolin Zak
❤❤❤❤
Konde leo umeongea kikubwa nakubali 🐘🐘🐘
Konde boy ❤❤❤
Ft Rich mavoko
Huyu Harmonize amenenepa sana
Broo nakukubal sana tulia utupe mzk mzur ww sasa hv staa
Ni Tusi kubwa sana... Ni neno la Nchi za Caribbean.
Jama
Tupo pamoja kaka tunacheza
Uzushi tu ... uchawa umezidi kuliko muziki
Huyu jamaaa mimi huwa ananikata san anavyo msifia mamaake samia mdawooooote yan unaweza seme huyo mamaake ni MUNGU umsifiage bhac na mamaako mzazi mz we nn samia samia samia ndyo rakin tunakalibia kujuta sasa huyo mama kafanya nn vitu vyote ni magufur kaviacha huyo mama nikutufilis2 anatufilis bandal kauza ushoga kauweka kipaumbele bado mnamsifia we nn ww ila harmonize
Pindi bandari haijauzwa ulikuwa unaingiza sh ngapi na Sasa umepungukiwa nini nyie ndo mnashirikishwaga maandamano bila kujua yanahusu nini
Mtu mwenyewe kashindwa kuwasimamia wasanii wake ,alafu anasema ako na pesa ,,,labda akama anapesa zinazomtosha yeye na za kuhonga😁😁😁😁😁😁
Bomboclp....means vizur xna 😅
Apo umefeli mdg wangu
We ilo tusii
Wote hawajui maana ya hilo neno bhana
😂😂😂😂😂
Kwakonde nitabeti atakama nitaliwa milele jamaa mpambanaji sanaa k pomoja
Yaani lijamaa linamsifia mama wa mwanaume mwenzio badala ya mamaye
Mwanasiasa huyu
Chitoholi atukosei buana
LITOTO LISILOJALI TUNASTRUGLE VP MTAANI AMEKUWA CHAWA WA CHAMA MAZIMA, BRO! NIKUJUZE TU NIMEKUHAMA VIZURI TU.
🤣🤣🤣🤣 wew shabik mwenzang asa kuhama kwako kunamsaudia nn 🏃🦴
😂😂😂😂😂 huyu ni chawa tu kama chawa wengine
Hii comment imenifanya niirudie niisome Kisha nicheke tu😂😂😂 HARMONIZE ni mbwa hana lolote
Mbona kipini
Kistuli comasava
Konde pita jia zako
Wanatumika kutajirisha watu wengine, akili inatakiwa itumike ili na wao wafanikiwe
Ukiwa na hela huwazagi ni kuamua tu
Kwa hiyo ndugu yetu biashara umeona kamali tu hamna biashara nyingine yakufanya kiukwel ni mtihani na hii yote inasababishwa na kupenda dunia kuliko akhera
Mlisema siku gani ndo mtaweka mchongo wa Harmonize pale Dar katikati ndo heshima yake iwe duniani kote
Uke wa mwana mke ndio bombcrat kwa kijamaica
Huyo bila Uchawi wa ccm hawea mpumbavu tu stupid kabisa Samia toka aanze Uchawa amemtaja mara nyingi kushinda mama yake Gen Z tutanyooka nae time ikifika
Kuaminika tu
Pamoja nautajiri ulionao kwaniniutoboe pua na masikio hiyo siyo dalili njema dhambi inakufuata na jehamu haikuachi salama
😂 fungus kanisa kaka
bum-bum-clothe...not a vibe at all.
Bila Adam mchovu hawa majournalist woote ni nothing.
😂😂😂
Harmonize umekuwa unaongea puent.
Yaaani huhamasishi vijana kufanya kazi ila unahamasisha kamali kijana mzima siyo poa