HARMONIZE AFUNGUKA SAKATA LA KUMPIGA BABA LEVO CASINO, KUFUNGUA KAMPUNI YA KUBASHIRI

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 9. 07. 2024

Komentáře • 125

  • @adolfmathew9698
    @adolfmathew9698 Před 17 dny +116

    Vijana wenzangu tutafute hela. Tusali sana. Tujipambanie sisi na familia zetu. Harmonize.kiba.diamond.mario sjui simba na yanga wasitufanye tukeshe mtandaoni tujikumbuke. Nakaribisha matusi pia

  • @EnockLubengo-uu3zi
    @EnockLubengo-uu3zi Před 16 dny +3

    congratulations from Zambia 🙌😍👏

  • @isackpatrick3743
    @isackpatrick3743 Před 14 dny +2

    Sijawahi aisee kuona interview mbaya ya harmonize kama hii

  • @brightmboya596
    @brightmboya596 Před 17 dny +2

    Iko poa sana one konde boy congratulations

  • @reusmwampamba
    @reusmwampamba Před 17 dny +4

    Ujumbe umewafikia
    No matter what

  • @VunjabeiVunjabei
    @VunjabeiVunjabei Před 17 dny +7

    Vijana na wazee natoa ml 200 Kwa mwaka acheni kubeti piga namba hii nikusapoti

  • @RomeoGago
    @RomeoGago Před 17 dny +6

    Big up bro Kila la kheri kwako konde

  • @nassercurtis9579
    @nassercurtis9579 Před 17 dny +6

    Dah! Asee eti Mwenuezi Mungu amefanikisha😭 kweli jamani? Hapana hii haikai sawa, tusipende kumshirikisha Mungu kwa mambo ya anasa tena hasa kamari ni mchezo wa laana kupitiliza si poa kumshirikisha Mungu.

  • @josephlorri431
    @josephlorri431 Před 17 dny +2

    Acheni kamari...tufanye kazi.. Dini zote zinakataza kamari

  • @hadija846
    @hadija846 Před 15 dny

    JESHII NIPO PAMOJA NAWE WAKATI KWOTE 💐💕💕💕💕💕KONDE DAMDAM💗

  • @Kibudu
    @Kibudu Před 17 dny +11

    Unamtaja Mungu kwenye kufungua kampuni y kamali, innalillah

  • @AllyBabu-kr6lg
    @AllyBabu-kr6lg Před 13 dny

    Ayo konde ndo abari ya mjini hii imeenda❤❤❤

  • @TellaaxisTz
    @TellaaxisTz Před 17 dny +2

    Hahahah mimi sina la kusema apo😂 #tellaaxistz

  • @hisanmwakijungu10
    @hisanmwakijungu10 Před 17 dny +4

    Siasa

  • @madisonjonathan4112
    @madisonjonathan4112 Před 17 dny +6

    Mi nmefrah tu alipoongelea ugomvi wake na baba levo kaongea Kwa busara sana

  • @alexmbigi4878
    @alexmbigi4878 Před 17 dny +2

    Safi ila betingi dah😢 ime nifilisi sana sina ata hamu nayo
    uki iendekeza sana una kufu masiki 😅😂😅

  • @Nasir-zc1mz
    @Nasir-zc1mz Před 17 dny

    😂😂😂😂😂anatangaza biashara vzr harmonize dadeki

  • @karimjuma4019
    @karimjuma4019 Před 17 dny +3

    Mtangazaji unaongea sana

  • @HalimaKassim-yz3we
    @HalimaKassim-yz3we Před 17 dny +6

    Jeshii yaoo yaoooh

  • @omarymnuru8746
    @omarymnuru8746 Před 17 dny

    Umejenga hoja vizuri lakini haujaonesha aliyecheza na kushindwa ananufaika vipi... angalau ungesema asilimia 10 ya pesa yake atapata...kwa mfano 1000 umeshindwa..unapata shs 100

  • @nunuuali5316
    @nunuuali5316 Před 17 dny

    Rajab we ndo wangu

  • @eggysulle7988
    @eggysulle7988 Před 17 dny

    🔥🔥🔥👌👌

  • @singidaprincetz1883
    @singidaprincetz1883 Před 14 dny

    Daaah jmn tutafute pesa mno tuje tusaidie familia zetu jomn

  • @allysudi4429
    @allysudi4429 Před 14 dny

    Kwani hamna michongo mingine ya kuongeza production nchini na kutoa deal kwa mashabik zaid ya kamari yan kila sehemu bet kamari tu ela zenyewe ziko wapi mitaa ina njaa kufulu...??

  • @Tiondo
    @Tiondo Před 4 dny

    Huyu hana jipya? Kila kitu lazima am-copy yule mwenzake?

  • @fabianmainchanyangachika5017

    Badala mjenge mashule kukomboa family za kimasikini mnaanzisha michezo ya Kamali kufirisi watoto wa kimasikini

  • @carrasco416
    @carrasco416 Před 17 dny

    Hawa watu hawakuji na kitu kipya. Diamond kafungua radio kila mtu sasa anafungua media, kaweka betting sasa watu wakimbia huko.

  • @richkaja3317
    @richkaja3317 Před 15 dny

    Konde achana na kamali fanya mziki unapitia njia za baba ako mondi pita jia zako

  • @titoamani-e8b
    @titoamani-e8b Před 17 dny +2

    Harmonize alichokifanya casino ndo kile kile alijaribu kufanya kwa Diamond State House...Kuiba Nyota za Wasanii...Majini amebuma😅😅😅😅😅😅

    • @user-mi7yx8ew1k
      @user-mi7yx8ew1k Před 17 dny

      Tupe kithibitosho sasa baba levo ana nyota gan mpk iibwe na harmonize😮😮😮

  • @jumahamadkali4683
    @jumahamadkali4683 Před 17 dny

    Media kubwa ila inasema uongo

  • @kaaakwakutuliaa5179
    @kaaakwakutuliaa5179 Před 17 dny

    huyu jamaa bado hajielewi intervie yako unaanza kuongelea stori za baba levo hujauliza

  • @sadikidaudi460
    @sadikidaudi460 Před 17 dny

    Umamsapoti maskini au unazidi kumkandamiza?😅

  • @eliashibundabalinze2754
    @eliashibundabalinze2754 Před 17 dny +2

    Allah wa waislam amemsaidia kijana kufungua kamali ili watu waendelee kubeti na kukesha kwenye kasino badala ya kukesha misikitini

    • @josephlorri431
      @josephlorri431 Před 17 dny

      Wamechakachua dini ili kuhalalisha maovu.. wengine wamekusanya watoto wadogo kwenye concentration camp kuwafundisha ugaidi

  • @AhmedMohamed-mw3ev
    @AhmedMohamed-mw3ev Před 17 dny +15

    Kamari ni haramu kwa sisi waislamu Allah akujalie uwache mziki na kila linalomchukiza Allah rudi kwa Allah Allah atujalie mwisho mwema na atujalie njanna

    • @awadhally1052
      @awadhally1052 Před 17 dny +2

      Kwel kabisaa

    • @yama_virginhairthequeen1065
      @yama_virginhairthequeen1065 Před 17 dny +1

      Upo na akili nyingine au ni hii tu 😢 dini zimeletwa ilamnavyozishobokea😂😂 ww kazana tu ukkdhani Kuna peponi😮 ndio maana hatuendelea Africa kwa akili km zihi😂😂😂

    • @salimhassan3369
      @salimhassan3369 Před 17 dny

      ​@@yama_virginhairthequeen1065
      Mungu akusamehe sio makosa yko

    • @AhmedMohamed-mw3ev
      @AhmedMohamed-mw3ev Před 17 dny +1

      @@yama_virginhairthequeen1065 sawa haina shida kama ni hivyo tatizo pumzi zina tuhada zitakapo chukuliwa hapo ndo tutajuwa ukweli kama ni shobo au laa

    • @ManirakizaOmar
      @ManirakizaOmar Před 17 dny +1

      ❤Amin

  • @user-le6jm2tf5y
    @user-le6jm2tf5y Před 17 dny

    Ukipata fulsa ww piga hela tu mambo mengitu tutakutana nayo mbele kwa mbele tukifa potelea mbali

  • @JophlayVicent
    @JophlayVicent Před 17 dny

    Sio watoto yatima

  • @ashuramuhammed3257
    @ashuramuhammed3257 Před 17 dny +2

    Mmbwa wewe unatuletea kamar fk

  • @allyhamisi6394
    @allyhamisi6394 Před 17 dny

    KAMALI😢

  • @brunomelody1174
    @brunomelody1174 Před 17 dny +1

    Unataka kusapoti maskini kwa kuchukua bukubuku zaooo daaah wazee betting ni mbaya 😢

  • @user-pt7lc4xu3d
    @user-pt7lc4xu3d Před 17 dny

    Acha huuni ww wasanii wamekushinda ukawashike bodaboda asee

  • @AmourHaroub-lv8ll
    @AmourHaroub-lv8ll Před 17 dny +1

    Huna jipyaa mziki umekushinda 😅😅😅

  • @swahilitherapytv3846
    @swahilitherapytv3846 Před 17 dny

    Kamari ni laana acheni kucheza kamari

  • @manbubabubaraja5075
    @manbubabubaraja5075 Před 10 dny

    𝑺𝒂𝒇𝒊 𝒔́𝒂𝒏𝒂 𝒃𝒓𝒐𝒕𝒉𝒆𝒓 𝑯𝒂𝒓𝒎𝒐𝒏𝒊𝒛𝒆