Hizi ndizo MBINU hatari za KIJESHI zinazoifanya URUSI iizidi UKRAINE kwenye uwanja wa VITA

Sdílet
Vložit

Komentáře • 188

  • @PatrickKagiraneza-ok8cw
    @PatrickKagiraneza-ok8cw Před 7 dny +12

    Good technique kwa urusi...

  • @AliMwingwa
    @AliMwingwa Před 7 dny +6

    Safi sana nakuku bari katika teknology upo good

  • @hazygardmericho9571
    @hazygardmericho9571 Před 7 dny +3

    Niga ur the best,, kuna mchambuzi m1 awezi kuonesha hata chembe ya zuri mnja kutoka magharibi (HADI UKIMSIKILIZA UNAGUNDUA ANA HISIA ZA CHUKI)

  • @brianbaltazar6198
    @brianbaltazar6198 Před 6 dny +3

    Uchambuzi mzuri sana kaka ally

  • @davidandrew6332
    @davidandrew6332 Před 7 dny +7

    Huyu ndiye mchambuzi Wangu Bora (Ally) hapa Sns, Hasa napenda Sana beto yake na Kipara (Djsma) Amazing Sana.

    • @hazygardmericho9571
      @hazygardmericho9571 Před 7 dny

      Mwenzake sma ni kuwapondea tu magharib yani hana jipya,,😅nauko kwenye komenti wasilamu wanavomjaza kichwa bas ndio doh,!

  • @AFRICA_D669
    @AFRICA_D669 Před 7 dny +36

    Ukiwa katika kundi LA majasusi ukiingia tu CZcams lazima ukutane na habari za kiume kama hzi na uzifatilie kwa umakini zaidi gonga like Kama muafrica harisi ila kiroho tunaishi Europe

  • @paschalfausitine7108
    @paschalfausitine7108 Před 7 dny +16

    Mungu wabariki warusi, wapate ushindi, huko , Ukraine, Viva Russia

  • @AbdillahRashidi
    @AbdillahRashidi Před 7 dny +6

    Ni Vigumu kuzizuia glide bombs au kuzitungua ndege ambazo zimebeba glide bombs(esp.SU 57) kwa Ukraine ,kwa sababu Glide Bombs zinazotumiwa na Russia zina "Flight control Surfaces" yani zinaweza kujiongoza/kuongozwa kwenda kwenye Target husika ,nje ya mpaka wa mfumo wa kujilinda wa anga yani " beyond air defence interception zone" hivo ile ndege na Pilot wote wanakuwa salama....

  • @omarymwaluko9765
    @omarymwaluko9765 Před 7 dny +5

    Kama unawafagilia marekani Israel Ukraine juwa ww ni choko

  • @ManusuraWalumona
    @ManusuraWalumona Před 7 dny +2

    Habari zenu hua zimehitimu chuo kikuu hivyo sio habari tu bali ni masomo tunafaidika mno!!ahsanteni

  • @dominicksangu8934
    @dominicksangu8934 Před 7 dny +2

    Tunakushukuru kwa kutu fafanulia vizur mtangazaji

  • @franksimonngole8481
    @franksimonngole8481 Před 7 dny +5

    Juzi nimeona Zelensky anawaalika Urusi kwenye Peace list.

  • @issakhamis9581
    @issakhamis9581 Před 7 dny +1

    Shukran kamanda kwauchambuz

  • @abdullahnassor9433
    @abdullahnassor9433 Před 7 dny +2

    Mabomu ya kuteleza, kwa nini inaitwa glide, kwa sababu imetolewa umbali wa kilomita 60 kutoka mahali pa kushambulia kwa hivyo haiwezekani kuangusha ndege. Mabomu ya kuteleza Urusi inatumia aina mbili za fab family na odab family Kwa kutumia satelaiti ya glonus Thermobaric Wanatumia TOS family ambayo inatumia hit to the degrees of sun .. wanaiita familia ya warusha moto (flame throwers )

  • @PUTINN365
    @PUTINN365 Před 7 dny +1

    Asante mchambuzi

  • @user-cw8zn2dn6m
    @user-cw8zn2dn6m Před 7 dny +2

    FAB 3000 ni hatari mbaya mbovu.

  • @muhammadmbaraka4515
    @muhammadmbaraka4515 Před 7 dny +4

    FAB=Father of All bombs🔥🔥🔥

    • @RaymondPaul-bs7su
      @RaymondPaul-bs7su Před 7 dny

      Lipo la Marekani linaitwa MOAB kirefu chake ni Massive Ordinance Air Blast, Lakini watu wamelipa kirefu cha Mother Of All Booms.Sasa sijui lipi litakua na hatari zaidii kati ya FAB na MOAB mchambuzi atuambiee

    • @mustafamasudi8093
      @mustafamasudi8093 Před 7 dny

      ​@@RaymondPaul-bs7sukuna bomu linaitwa tsari la Urusi hilo likipigwa hakuna kinachobaki

    • @hamidamussa-sy4fm
      @hamidamussa-sy4fm Před 7 dny

      Ra marekani liko vizuri​@@RaymondPaul-bs7su

  • @thelonewolf4429
    @thelonewolf4429 Před 7 dny +4

    iizidi inchi za magaribi inchi Ukraine

  • @EmanuelMinja-fv9dn
    @EmanuelMinja-fv9dn Před 7 dny +3

    Uraaaaaa

  • @mozamoza3960
    @mozamoza3960 Před 7 dny +2

    Hizi siku hamu ingeleyi mambo ya Gaza au mlikatazwa jaman tuna itaji kujua maendeleo huko

  • @jkifutu7936
    @jkifutu7936 Před 7 dny +3

    Russia 🇷🇺 msulimoto daima

  • @AbdillahRashidi
    @AbdillahRashidi Před 7 dny +5

    SNS NAOMBENI NA MIMI NAFASI SIKU MOJA NIJE NICHAMBUE MADA INAYOHUSU VITA YA RUSSIA NA UKRAINE AU VITA YA ISRAEL NA HAMAS,AU MAMBO YOYOTE YA DIPLOMACY NAJIAMINI KATIKA SEKTA HIYO NIKO VIZURI ,NAOMBENI NAFASI WALAU MARA MOJA TU NIONESHE KIPAJI NILICHONACHO

  • @HajiKlein-so1rk
    @HajiKlein-so1rk Před 7 dny +2

    🇹🇿🇹🇿🇷🇺🇷🇺💯👏

  • @raphaelgeorge517
    @raphaelgeorge517 Před 7 dny +1

    Ally Masubi is the best

  • @user-yl3be9ix4y
    @user-yl3be9ix4y Před 7 dny +3

    Kwanini urusi haijapiga mjimkuu wa ukren tupate ushindi haraka

  • @selesjandwa412
    @selesjandwa412 Před 7 dny

    Leo masud umetisha san

  • @gabrielgodwin7465
    @gabrielgodwin7465 Před 7 dny +1

    Russia wameshindikana, ila natamani mje mchambue Electronic weapons zilizo tumiwa na Russia kule Syria

  • @Chettymlambalipsi-lb9km
    @Chettymlambalipsi-lb9km Před 7 dny +1

    ❤❤❤❤

  • @Visionofeagle9689
    @Visionofeagle9689 Před 7 dny

    Cheers 🥂

  • @Ally-qi7xo
    @Ally-qi7xo Před 7 dny +1

    🇿🇦🇿🇦🇿🇦🇿🇦🇧🇮❤️

  • @user-pd5hl9di2q
    @user-pd5hl9di2q Před 7 dny +1

    Twaweza yaita mabomu vishada

  • @MohammedBwanga
    @MohammedBwanga Před 7 dny

    Glide bomb ni sawa Bomu linaloambaa lkn Pia linalosambaa

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything Před 7 dny

    👊👍✌️.

  • @user-it7ih1it3m
    @user-it7ih1it3m Před 7 dny +1

    Ali masubi umri mdogo nondo kama zote🔨

  • @nassorrashid2521
    @nassorrashid2521 Před 19 hodinami

    mashoga wataisoma numbee

  • @HajiJuma-xw7vh
    @HajiJuma-xw7vh Před 7 dny

    Sawa

  • @BlessMugisha-z4k
    @BlessMugisha-z4k Před 7 dny +6

    Ally unajua sikuhizi umeanza kua Sharp zaidi ya dj sma yani unajaribu kutupa kitu kila siku bila kupita mda mrefu sijui sma anachelewa wapi

    • @kevicristian2738
      @kevicristian2738 Před 7 dny

      Yule fundi akitoa anatoa facts na logics😂

    • @kevicristian2738
      @kevicristian2738 Před 7 dny

      Sema kijana muda huu ana improve sana✍️🙌

    • @AllyGibu-cz2vo
      @AllyGibu-cz2vo Před 7 dny

      Sema vingine anakosea kosea kusema km 12,000 badala ya mita 12,000

    • @Gulfnas1
      @Gulfnas1 Před 7 dny

      Nadhan sky ndie huwa anachagua nani atupe updates, sma hata Henry wapo on-time vile vile

    • @GeorgeAkasha-zx2rj
      @GeorgeAkasha-zx2rj Před 7 dny

      Nadhani ally atakuwa na kigugumizi hivo tusimlaumu sana, anajua na kujitahid pia

  • @rashadally6871
    @rashadally6871 Před 7 dny +1

    Tunaweza kuyaita mabomu ya vishada

  • @user-wc3hn4kt1x
    @user-wc3hn4kt1x Před 7 dny +1

    Team Russia nasikiliza kwa makini

  • @brianbaltazar6198
    @brianbaltazar6198 Před 6 dny

    Uraaaaaaaaaaa🇷🇺🇷🇺🇷🇺🇷🇺🇷🇺

  • @samuelpolepoleruhegeza8139

    Hoooraaaaaa y

  • @abubakariikumbo9721
    @abubakariikumbo9721 Před 7 dny +1

    Yanaitwa mabomu ya kuteleza

  • @user-nr2bz5pq4m
    @user-nr2bz5pq4m Před 7 dny +2

    Mabomu mtelezo

  • @user-fx3sk9kh1s
    @user-fx3sk9kh1s Před 5 dny

    Aliy umesomea chuo Gani nakukubali sana

  • @MwemajaphetyZackalia
    @MwemajaphetyZackalia Před 7 dny +2

    Piga upinde wa vua hao

  • @YahayaDewa
    @YahayaDewa Před 7 dny +4

    Pamoja sana kwa uchambuzi mzuri

  • @JosephMbagala
    @JosephMbagala Před 7 dny +1

    Mikoa mingapi mrusi aimalize Ukraine

  • @hamzafishten9560
    @hamzafishten9560 Před 7 dny

    Uraaaaa

  • @yayananajota5838
    @yayananajota5838 Před 7 dny

    Vita iendelee tuone Nani choko na Nani mwanaume, 👊

  • @hasanimkamba8377
    @hasanimkamba8377 Před 7 dny +1

    wajisilimishe tu yaishe

  • @omarymwaluko9765
    @omarymwaluko9765 Před 7 dny +1

    Putin kiboko ya mashoga

  • @CharafimalisalimoAli-qw3hk

    WACHAPWE HAO WAHUNI AMBAO SASA HAWATAKIWI HATA NA WANANCHIWAAO😂

  • @MAHAN-SMART
    @MAHAN-SMART Před 7 dny +1

    Keep going Russia you will win

  • @hamidamussa-sy4fm
    @hamidamussa-sy4fm Před 7 dny

    Ukleni akipewa mazito utasikia urusi anapiga kelele

  • @vitusjackson1354
    @vitusjackson1354 Před 7 dny +2

    Ingependeza kama ungekua unaweka na video ya lilipotua tuone

    • @hamidamussa-sy4fm
      @hamidamussa-sy4fm Před 7 dny

      Hawana wanafiki tu hawa wachambuzi wa urusi

    • @AliKaroyo
      @AliKaroyo Před 7 dny

      ​@@hamidamussa-sy4fm kma Ni Uwongo Toka Vita Iyanze Na Misaahada Ya Silaa Za America na Nato zimebadilishaa ninn kwenye Vita Hiii Ukitambua Ilo Wala Utashindana Na Urusi , Urusi Ndio Nchii Ya Kwanza Dunian Kwa kuongoza Kwa Uzalishaji Wa Silaha Kma Ujui😂😂😂😂

  • @munezeroolivier411
    @munezeroolivier411 Před 7 dny

    🇷🇺🇧🇮🙌

  • @chachamturi259
    @chachamturi259 Před 6 dny

    Oya wee achabana aka kakitu natwanga

  • @MassoudSalim
    @MassoudSalim Před 7 dny

    Pigilia mbali UKRAIN na FAB mpaka wakome.

  • @Gulfnas1
    @Gulfnas1 Před 7 dny

    Keep it up Russia 🇷🇺

  • @Abdull-AzizKhamis
    @Abdull-AzizKhamis Před 7 dny

    Mabomunya kuteleza

  • @kidyybravo5267
    @kidyybravo5267 Před 7 dny

    No GPS this week?

  • @kassimrajabu7805
    @kassimrajabu7805 Před 7 dny

    URAAAAAAAAAAAAAA

  • @hemedykuziwa1227
    @hemedykuziwa1227 Před 7 dny +1

    Putin🔥🔥🔥🔥

  • @peaceconsltd6914
    @peaceconsltd6914 Před 6 dny

    Niunge

  • @franksimonngole8481
    @franksimonngole8481 Před 7 dny +4

    Kuna FAB 3,000 Glide Bombs ni hatari sana.

  • @luqmanrajab952
    @luqmanrajab952 Před 7 dny

    Tuko pamoja

  • @Mjukuuu
    @Mjukuuu Před 5 dny

    fab3,000 ya madhara ya circle radius ya 200km unaijua kweli Mkuu?.. daaaaah😅

  • @ramadhankilango9088
    @ramadhankilango9088 Před 7 dny

    Hujafafanua vya kutosha hiyo ya kuunguza ardhi

  • @AllyGibu-cz2vo
    @AllyGibu-cz2vo Před 7 dny

    Sio km 12,000 Bali ni mita 12,000

  • @samuelpolepoleruhegeza8139

    Sasa uyu zelesky anaumwa kishwa kabisa kwani yeye anaona atafanyikiwa kwa vita ya kutemeya mwenziye 😂😂😂😂

  • @pauleranga2621
    @pauleranga2621 Před 3 dny

    Kwa nini Ukraine iharibiwe kwa faida ya wanachama wa Nato? Mungu apishe mbali Vita vya tatu vya Dunia. kwa maoni yangu tuko karibu yake. Je tunataka kuishi au kuangamia? wakati wa kuchukua hatua ndiyo sasa. Bravo Putin hata Mungu yuko pamoja na wewe.

  • @pascalmanyama2304
    @pascalmanyama2304 Před 7 dny

    Bomu mtelezo

  • @hemedykuziwa1227
    @hemedykuziwa1227 Před 7 dny

    🇷🇺

  • @JumaNjiku-df1fd
    @JumaNjiku-df1fd Před 7 dny +1

    Chonde chode Zelensky! Unaimaliza Ukraine!. Kubali matakwa ya Putin. Mkono usioweza kuukata ulambe! US na UK wanakudanganya!

  • @josepheriah5977
    @josepheriah5977 Před 7 dny +1

    Ukraine Ana himars

  • @selemaniayubu115
    @selemaniayubu115 Před 7 dny

    Zelensky ameuwasha moto kwenye nyumba yake sasa unamshinda kuuzima na wasaidizi wake amewaponza viti vyao vinawaka moto vile vile sijui itakuaje,na jamaa anamdunda kimya kimya,aliambiwa kasikia lakini kapuuza kwa maelekezo ya wapambe mtihani mkubwa anao jamaa labda aombe poo na kujitoa kimasomaso😂😂😂

  • @amonezekiel4893
    @amonezekiel4893 Před 7 dny

    Sasa kama ameona ni hatari, anasubilia nn,

    • @uwimana6533
      @uwimana6533 Před 7 dny

      Tatizo lugha ningumu kuelewa 😂😂

  • @user-cx9lt8hh4l
    @user-cx9lt8hh4l Před 7 dny

    Uraaaaaaaa🫡🇷🇺

  • @HamzaMbasha-xs2ky
    @HamzaMbasha-xs2ky Před 7 dny +2

    Kweli tumedanganywa sana marekani ndoo ilikuwa inaonekana ina jeshi kali sana kumbe ndoo yale yale ya israel mikwara mingi vitendo sifuri....
    Leo ukraine imepewa kila kitu na wanajeshi wa magharibi wote wapo ukraine lakini kibano ni kile kile...
    Israel nao wanapigana na kikundi miezi yote hiyo wameshindwa kukomboa mateka wanaishia kuua wamama na watoto wadogo..

    • @AbdillahRashidi
      @AbdillahRashidi Před 7 dny

      Kuzidungua ndege za Russia(SU-57) ambazo zimebeba Glide Bombs ni ngumu kwa sababu Zenyewe zinadondosha hizo bombs nje ya mpaka wa Ulinzi wa nga(beyond air defence interception) ni ngumu kwa mifumo ya anga ya Ukraine kujilinda na Hizo Glide Bombs,
      Na hii Tactic ndo imempa Russia hizi siku za Karibuni hapa maeneo mengi ya Ukraine

  • @YothamAlex
    @YothamAlex Před 7 dny

    Nimeskia kuna FAB 9000 inaandaliwa,ni huzuni kwa wanajeshi wa ukrain

  • @hamidamussa-sy4fm
    @hamidamussa-sy4fm Před 7 dny

    Wote wanazo na pesa wanazo wewe utaona tu

  • @muhammadmbaraka4515
    @muhammadmbaraka4515 Před 7 dny +1

    Ila hawa warusi watengwe🙌🔥🔥🔥

  • @josepheriah5977
    @josepheriah5977 Před 7 dny +1

    Asante ukrane kwa kulipua meli ya urus

  • @josepheriah5977
    @josepheriah5977 Před 7 dny +2

    Ukrane katungua ndege ya urus yalipuliwa mig 34

  • @iddkaoneka7485
    @iddkaoneka7485 Před 7 dny +1

    Hapa Ali umepiga nondo kali sana.

  • @user-oh8ig2cy9q
    @user-oh8ig2cy9q Před 7 dny

    Hamna mbinu yakijeshi ambayo wewe utaijua

  • @magrethmagonza186
    @magrethmagonza186 Před 7 dny

    Wewe kwanini Urusi kila siku ndio ina sifa nzuri uliwahi kusikia wapi. Lazima na yeye ana disadvantage zake wewe ni shabiki . Sometimes unafa usifu Ukraine nchi ndogo kupambana na nchi kubwa km hiyo ambayo ilisema itaipiga Ukraine kwa siku 3 leo tuna zungumza mwaka wa 2. So acha hizo lie

    • @user-it7ih1it3m
      @user-it7ih1it3m Před 7 dny

      Nadhan umeanza kufuatilia vita hii siku za karibuni na kama unafuatilia basi huwa una base na media za magaribi

    • @omarymwaluko9765
      @omarymwaluko9765 Před 7 dny

      Ww utakuwa choko

  • @josepheriah5977
    @josepheriah5977 Před 7 dny +2

    Ukrane kalipua visima viwil vya mafuta vy urus

    • @nizarrama225
      @nizarrama225 Před 7 dny

      siyo Ukraine wewe mbumbumbu, ni Marekani na NATO yake, Ukraine haina jeshi

  • @josepheriah5977
    @josepheriah5977 Před 7 dny +1

    Krasnoda yashambuliwa na ukrane

    • @africanmandetraveler2847
      @africanmandetraveler2847 Před 7 dny +1

      Propaganda ambayo haina kichwa wala miguu ,tunajua kichapo wanachopata Ukraine 🇺🇦 .Ruksa kujifariji😂😂

    • @Mumewangu
      @Mumewangu Před 7 dny

      Ushoga unakuhangaisha

    • @PAULNYANDILE
      @PAULNYANDILE Před 7 dny +1

      😂😂😂😂we jamaa ukapimwe akili na malinda

  • @josepheriah5977
    @josepheriah5977 Před 7 dny +1

    Ukraine Ana attacks storm shadow

  • @josepheriah5977
    @josepheriah5977 Před 7 dny

    Ukrane ya shambling mij miwili ya urusi krasnoda na rostov

  • @abdullahnassor9433
    @abdullahnassor9433 Před 7 dny

    Ali masudi stop lazy analysis, the style of battle is using know one knows, Lakini ina hitimisho kwamba Urusi inawapa ukraine vita ya uasi ..Urusi imeweka nguvu kubwa ikiwa NATO itajiunga na vita.. kwa sasa mbinu yao ni polepole lakini thabiti. Chaso vyar bado haijazingirwa, lakini ilikuwa ngome zaidi ya miaka 12 iliyopita ambayo inamaanisha ikiwa itachukuliwa Kirusi itasonga kabisa kwani chasoviyar ndio tofauti pekee iliyobaki.
    Ili kudhoofisha chaso vyar Urusi ilitumia misheni ya bomba kama walivyotumia kwenye soleda Urusi inatumia wanajeshi 17 hadi 20 na 2 kwa recon Ukraine ina wanajeshi wengi 5 sasa wananyakua watu kutoka mijini.

  • @josepheriah5977
    @josepheriah5977 Před 7 dny +1

    Ukrane babalao

  • @hamidamussa-sy4fm
    @hamidamussa-sy4fm Před 7 dny

    Urusi ni watu kama sisi subiri mfalasa aingie ukleeni inchi ndogo sana

  • @martinisadru9899
    @martinisadru9899 Před 7 dny +1

    Bado mzee putini ana hangaika na ka inchi ka Ukraine? Miaka 2 sasa.

    • @Mumewangu
      @Mumewangu Před 7 dny

      Urusi anapigana na NATO kwa mgongo wa ukrein

    • @MAHAN-SMART
      @MAHAN-SMART Před 7 dny +2

      Na mashoga wenzako wa Israel wamehangaika na Gaza kwa mda gani

    • @bonifacesembuche2295
      @bonifacesembuche2295 Před 7 dny

      Lengo la PUTIIN Ni kuua uchumi WA nchi za magharibi na Marekani,sio kuwa haiwezi kupiga Ukraine Kwa MDA mfupi ,anao uwezo ila lazima waisome Namba Uraaaaaa

    • @suleymuntar3544
      @suleymuntar3544 Před 7 dny

      Sawa sns ni timu urusi bbc pia uangalii wanavyojitia madeni wenzako kwa kumsaidia ukraine karibia inchi 20

    • @SaidKawela-qy5wv
      @SaidKawela-qy5wv Před 7 dny

      Hujui kinachoendelea

  • @josepheriah5977
    @josepheriah5977 Před 7 dny

    Urusi yaa shambuliwa mji wa voronezy kambi za slaa kalipuliwa zote ongera ukrane

    • @Mumewangu
      @Mumewangu Před 7 dny

      Ushoga unakutesa

    • @PAULNYANDILE
      @PAULNYANDILE Před 7 dny +2

      😂😂😂jamaa haujawahi kuwa na akili tangia shuleni

    • @mustafamasudi8093
      @mustafamasudi8093 Před 7 dny

      Kwan huna kaz ya kufanya mbona unakoment mara 100 halafu wenzako wanakoment mara moja tu

  • @josepheriah5977
    @josepheriah5977 Před 7 dny

    Ukraine kayatungua mskombora

  • @josepheriah5977
    @josepheriah5977 Před 7 dny

    Putin afe

    • @Mumewangu
      @Mumewangu Před 7 dny +1

      Utakufa wewe na wazee wako shoga

    • @paschalfausitine7108
      @paschalfausitine7108 Před 7 dny +1

      Hata mama yako shoga atakufa tyu

    • @paschalfausitine7108
      @paschalfausitine7108 Před 7 dny +1

      Hata babako. Shoga atakufa tyu

    • @Mumewangu
      @Mumewangu Před 7 dny

      @@paschalfausitine7108 mwanamke hawi ushoga wewe! Lakin akili zenu wewe na mashoga wenzako ndio zinakufanye useme mwanamke shpga . kumamayo na familia yenu na ukoo wenu na kabila lenu LA kishoga kumamazenu

    • @PAULNYANDILE
      @PAULNYANDILE Před 7 dny +2

      😂😂😂na hii Tena, kweli wazazi wako wamepata hasara

  • @michaelphares9411
    @michaelphares9411 Před 7 dny +2

    Wa pili Leo nipeni like