VITA YA VIETNAM: Moto wa Wanajeshi wa Vietnam Mitego yao hatari ya JADI Iliua vibaya wanajeshi wa US

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 10. 10. 2023
  • Tembelea www.sns.co.tz kwa habari nyingi zaidi
    Follow kurasa zetu za mitandao ya kijamii:
    / simulizinasauti
    / simulizinasauti
    / simulizinasauti
    / simulizinasauti

Komentáře • 74

  • @khadijarashidy9304
    @khadijarashidy9304 Před 10 měsíci +60

    Kama unaamin sky Kwa Sasa ndio mtangazaji Bora gonga like

  • @deogratiaskatabwa5230
    @deogratiaskatabwa5230 Před 10 měsíci +10

    Sky the great mtqngazaji Bora Africa was simulizi zilizojaa ukweli 100% Tunakuombea kaka

  • @Cadabrizzo
    @Cadabrizzo Před 10 měsíci +8

    Big up brother sky

  • @user-so9rn6ld3n
    @user-so9rn6ld3n Před 10 měsíci +5

    Uko vizuri mtangazaji historian ya kweli kabisa

  • @brunoh_bx
    @brunoh_bx Před 10 měsíci +3

    Simulizi nzuri na imesimuliwa kwa utulivu sana, huwa namkubal sana huyu msimuliaji hana mbambamba😂👏👏👏

  • @martingeorgenzali5614
    @martingeorgenzali5614 Před 10 měsíci +4

    Sns...Is...The...World

  • @hamisilumona7163
    @hamisilumona7163 Před 10 měsíci +17

    Hadisi hii ni kweli America ilichindwa na vita vya vietnam, kwa maana walizani jinsi wanavyofanya kwa inchi zingine. Pia vilevile America walipigwa kwenye vita ya Somalia ndio sababu, America hawawezi kusaidia somalia hata kidogo. Wanajutiya kwenda Somalia na Vietnam.

    • @lucasmhagama8166
      @lucasmhagama8166 Před 10 měsíci +1

      Hawa jamaa wakikupiga kwa technology hautoboi ila vita isiyohusisha technology mnafanya battle, technology ndio ubavu wa hizi nchi kubwa

    • @laudadeusredemptorysidinda2750
      @laudadeusredemptorysidinda2750 Před 10 měsíci +1

      Ilipigwa lini na Somalia? 😂😂😂 au story za vijiweni, wale hawana watakachopata Somalia ndomana hawana habari nao, hiyo Somalia wanamgambo wake wenyewe had leo wameshindwa kuipindua serikali.

    • @brunoh_bx
      @brunoh_bx Před 10 měsíci +3

      ​@@laudadeusredemptorysidinda2750Fuatilia historia kaka, tatizo ni kwamba wakifanyiwa ubabe wazungu huwa haiandikwi sana lazma watatafutiza sababu ili ionekane hawakushindwa, hata Ethiopia haijawah kutawaliwa lakin ukiuliza kwnn utaambiwa et waliona kule hakuna kitu watachonufaika nacho lakin ukwel ni kwamba walishindwa. Hata huko Somalia ni vivyo hivyo

    • @Chettymlambalipsi-lb9km
      @Chettymlambalipsi-lb9km Před 10 měsíci +1

      @@brunoh_bx safi sana kijana Kwa maelezo mazuri

    • @brunoh_bx
      @brunoh_bx Před 10 měsíci

      @@Chettymlambalipsi-lb9km Pamoja sana kaka

  • @chany9950
    @chany9950 Před 10 měsíci +2

    Love you sky👍🏽👍🏽😘😘🙏🏾🙏🏾

  • @princekarani7836
    @princekarani7836 Před 10 měsíci +5

    Alafu Marekani wanavyoifichaga ihi story, hawatakagi kuiongelea kabisaa.alafu movie za kimarekani wanavyoigizaga wanawapiga wavietinam🤣🤣🤣🤣 kila movie

  • @ishaqally444
    @ishaqally444 Před 10 měsíci +1

    Watching from Hanoi Vietnam, nmefurahi sana kusikilza nakala Sky you are the best.

  • @MichaelMathew-ke6bi
    @MichaelMathew-ke6bi Před 10 měsíci +5

    Vietnam wangeshindwa na marekani usingekuwa Russia. Hawa majamaa walisaidiwa na mbinu hatari za jeshi la Russia. Bila Russia bac hata korea kaskazini wangeshindwa na marekani. Kwamaana nyingine Russia inatisha kwelikweli kwenye uwanja wa vita. Russia, boss. Putin mkombozi wa ulimwengu mzima!!

    • @nakali79
      @nakali79 Před 10 měsíci +2

      Kwani marekani hiyo vita gani imewahi kushinda ikiwa peke yake kama nchi?

    • @MichaelMathew-ke6bi
      @MichaelMathew-ke6bi Před 10 měsíci +1

      @@nakali79 hamna yaani

  • @mpjozzegalvanize4926
    @mpjozzegalvanize4926 Před 10 měsíci +14

    Nakumbuka Lufufu kwenye movie za wavietnam na USA

    • @mwajumabinwa604
      @mwajumabinwa604 Před 10 měsíci +2

      Me too I remember him

    • @kibokutiwanatanyika1540
      @kibokutiwanatanyika1540 Před 10 měsíci +2

      kwani huyo lufufu ndo nani?🙈

    • @rockyvlogs2214
      @rockyvlogs2214 Před 10 měsíci +2

      😂😂

    • @stanslauschatata3483
      @stanslauschatata3483 Před 10 měsíci

      ​@@kibokutiwanatanyika1540umezaliwa mwaka gan??😢

    • @mpjozzegalvanize4926
      @mpjozzegalvanize4926 Před 10 měsíci

      @@kibokutiwanatanyika1540 lufufu alikuwa mtafsiri wa movie Tanzania toka miaka ya tisini, movie zake uchoki msikiliza kama sky alivyo sema bwana mkubwa alikuwa na machachali kweli kweli.

  • @AndrewPaul-no2wr
    @AndrewPaul-no2wr Před 10 měsíci +2

    Sky✊

  • @Gerardirankunda2885
    @Gerardirankunda2885 Před 10 měsíci +4

    Ulikua umekawia san bro 😂😂🙏🙏🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇹🇿🇹🇿🤣❤

  • @ramaccr7525
    @ramaccr7525 Před 10 měsíci +2

    Nakukubali sana bro🙏🙏🔥

  • @salimmalaka256
    @salimmalaka256 Před 10 měsíci +6

    WA THAILAND WENGI WA KIUME WALIKUFA KATIKA VITA HII NA NDIO ILIO SABABISHA WANAWAKE KUWA WENGI MPAKA LEO.

    • @lameckraphael3743
      @lameckraphael3743 Před 10 měsíci +2

      Tukihamia sie wanaume tutakua deal ee huko

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 Před 10 měsíci +2

      @@lameckraphael3743 UTAWAKIMBIA BROO WIKI TU INAKUTOSHA 😂 😆 😆 😂

    • @AFRICA_D669
      @AFRICA_D669 Před měsícem

      😴😴😴

  • @billskeez92
    @billskeez92 Před 10 měsíci +2

    Asante bro sky ❤ @Billskeez🇧🇮

  • @fathmafatomo2962
    @fathmafatomo2962 Před 10 měsíci +1

    STRONG 💪👊

  • @SimbanaYanga_
    @SimbanaYanga_ Před 10 měsíci +1

    sky mwamba sana kwenye hizi kazi

  • @aristidesvedasto7855
    @aristidesvedasto7855 Před 10 měsíci +1

    Wazalendo wa kweli

  • @mwakasaladaniel9198
    @mwakasaladaniel9198 Před 10 měsíci +1

    Naikubali bro

  • @jameschumbula7351
    @jameschumbula7351 Před 10 měsíci +3

    Hatareeeee sana💪🏾

  • @emmanuelmasele4990
    @emmanuelmasele4990 Před 10 měsíci +1

    Marekani jau

  • @NR-ll4sr
    @NR-ll4sr Před 10 měsíci +1

    Halafu enzi hizo wanaume wakifikisha 18yrs old,wote walikuwa wanalazimishwa kwenda jeshini.

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything Před 10 měsíci +1

    ✌️👊👍

  • @NR-ll4sr
    @NR-ll4sr Před 10 měsíci +1

    Unajua kuingia nchi za watu bila vita ya technology utapigwa tu,,,km Vietnam kule nchi yao misitu na njia zote wanazijua mnajipeleka tu,,mtachapwa,,hata Wangeenda Afghanistan bila technology wangechapwa,hata hivyo wengi walikufa na kuumia,kwa sababu ya majabali yale,wenyewe wanayajua ,wameshayazoea, majangwa yale,,,acha lile joto hawaliwezi plus waliotafunwa na ng'e

  • @worldhappiness1181
    @worldhappiness1181 Před 10 měsíci +2

    Mi ninahis hata kina kinjikitile ngwale, mwanamalundi na Mkwawa waliwashindwa, bas tu historoa yetu haikukaa vyema

  • @stanslauschatata3483
    @stanslauschatata3483 Před 10 měsíci +4

    marekani hajawahi kushinda vita, labda ya japani, nayo asingetumia nyuklia wangemkanda😂

    • @sayshabani6350
      @sayshabani6350 Před 10 měsíci +1

      Na juzi wamepigia na mtu mmoja putin haàhahahahhaa . Wamejichanga na ndugu zao wa ulaya ila bado

    • @laudadeusredemptorysidinda2750
      @laudadeusredemptorysidinda2750 Před 10 měsíci +1

      Sasa kwanini wasipigwe kabisa wakaacha ubabe kama huwa hawashindi?

    • @OumaBashir-oj5hk
      @OumaBashir-oj5hk Před měsícem

      The battle at Mogadishu Marekani alipigwa hadi akatoroka

  • @OumaBashir-oj5hk
    @OumaBashir-oj5hk Před měsícem

    America wameshindwa kwenye vita zote wanazopigana ikiwemo The battle at Mogadishu

  • @kilogreekachananawatuwasio4054

    Kimbelembele chake Apa Alikomeswa kimitego 😂

  • @sonnyr1899
    @sonnyr1899 Před 10 měsíci +1

    Mmarekani popote alipo ni nuksi tu.

  • @davidwalalason7630
    @davidwalalason7630 Před 10 měsíci +1

    Maarekani have lost all fights

  • @SM-fu1yv
    @SM-fu1yv Před 10 měsíci +1

    American hakomi yupo kila sehemu

  • @samirmswahili
    @samirmswahili Před 10 měsíci +1

    Duuu kumbe zile muvi nyingi wamerka walichezea kweli?

  • @kabhikachambala3392
    @kabhikachambala3392 Před 10 měsíci +1

    Kwani hauwezi kutamka "Makala Miatatu Sitini"? ... shiriki katika kudumisha kiswahili na sio kukiuwa Swahili

  • @gabrielkabato9909
    @gabrielkabato9909 Před 6 měsíci

    Uzalendo ni kitu muhimu sana

  • @PesaMadafu
    @PesaMadafu Před 10 měsíci +2

    American got they ass beat also it was a lot racism during the period.

  • @abisaimsewa1935
    @abisaimsewa1935 Před 10 měsíci

    Ivi Wamarekani Kuna vita gani walisha shinda sehem zote walizo vamia

  • @richardburundi3090
    @richardburundi3090 Před 10 měsíci

    Kwasasa tunataka vita live Israel acana na viduvyazamani