SOBIBOR: Kambi ya kifo iliyotumiwa na Adolf Hitler kuua wafungwa wa Kiyahudi wafikao 250,000!

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 11. 09. 2024

Komentáře • 136

  • @elimumwaipaja74
    @elimumwaipaja74 Před 2 lety +9

    Nimesikiliza simulizi hii usiku huu kukiwa kumetulia bila bughuza ili nimpate vema Skywalker.. hakika Wewe ni mwalimu mzuri. Simulizi hii inatosha kabisa kuielewa historia. Nakukubali sana Skywalker.. mungu anijalie nipate fursa kukuona najifunza vingi kwako.

  • @Sadi_Tv
    @Sadi_Tv Před 2 lety +5

    Daaah mnakuja vizuri sana na mna ubunifu wa kipekee na wa kitofauti hongera sana Sky Walker na Team nzima ya Sns

  • @jcrackcrack1669
    @jcrackcrack1669 Před rokem +7

    Am from England and the problem is,I don't understand kiswahili bt hii story n nzuri Sana bro, kazi nzuri Sana

  • @kilogreekachananawatuwasio4054

    Nawakubari ndugu zangu kwa kutufafanua Uhepo wetukujua mengi kupitia makala zenu 👏🇹🇿🇬🇷

  • @zaburi2386
    @zaburi2386 Před 2 lety +14

    Kuna jamal April
    Mtiga abdarah
    Justin shed
    Na ananias edgar
    Lakn ww sky Walker ni the best bro

    • @hkmeme5437
      @hkmeme5437 Před 2 lety

      Sky ni bora, hana mbwembwe

    • @zaburi2386
      @zaburi2386 Před 2 lety

      @@rashowshine7849 ushabik maandaz uo

    • @hkmeme5437
      @hkmeme5437 Před 2 lety

      @@zaburi2386 Jamal ni ovyo kuliko wote

    • @mastaplan
      @mastaplan Před 2 lety

      Kila presenter ana IQ yake acha ushabiki uliopitiliza mzee

    • @mastaplan
      @mastaplan Před 2 lety

      @@rashowshine7849 inategemea maoni umeyatoa ukiwa katika hali gani maana sometimes maoni tunatoa tukiwa na feelings na sio Akili.

  • @MsAggie5
    @MsAggie5 Před 2 lety +9

    Niliiona hii sinema, sijui mume wangu aliipata wapi Ile cassette, siku nyingi sana sikumbuki mwaka gani ilikuwa black and white. Nililia sana, inasikitisha mno! Kwa hiyo ile wanavyosema kama Hitler aliwachukia Wayahudi baada ya kugundua walimbaka Mama ake ndo akazaliwa yeye si kweli. Asante SNS.

    • @geoffreybasesa2015
      @geoffreybasesa2015 Před 2 lety

      Wewe ulielia ulikua mkubwa manake ulifuatilia, mimi niliiona nikiwa na miaka kama 11 ou 12 hata sikutambua nini kiliendelea ilikua miaka ya 2001-2002. Ila around 14years niliifuatilia tena ndo nikatambua nini walitaka kumaanisha.

    • @MsAggie5
      @MsAggie5 Před 2 lety

      @@geoffreybasesa2015 of course nilikuwa mkubwa, nishaolewa na watoto 😂! Inasikitisha kujua ni true story. Wayahudi tangu wajue wao ni taifa teule wanajisahau Sana, hata nauliza walifuata nini Ulaya???? Na vile wabaguzi mmh!

  • @dantemaina6008
    @dantemaina6008 Před 2 lety +9

    am a Kenyan but napenda ii channel sana sana keep it up brother

  • @bishweko
    @bishweko Před 8 měsíci +3

    Tatizo mayahudi waliouwawa na Hitra sio wale waliuza siri za kijeshi. Tukumbuke kulikuweko na mayahudi safadim na mayahudi Ashikinaz hawa ndio mpaka sasa ni mafisadi na kama kawaida yao wanatabia ya kubadili uhalisia wao kwa sasa wanajiita Zayunist.

  • @sknapoleonshoo3145
    @sknapoleonshoo3145 Před rokem +1

    Thank you so much. Noted down carefully!!!

  • @mosesmbeke6137
    @mosesmbeke6137 Před 2 lety +1

    Umejitahido Sana kk,uko vizuri.Good work

  • @mohammedkombo9798
    @mohammedkombo9798 Před 2 lety +2

    Thanks Bundala makala hii, inatufanya tu reflect hii issue inayoendelea ya Russia 🇷🇺 na nchi against. Thanks @ MK from UK 🇬🇧

  • @francismwacha253
    @francismwacha253 Před 2 lety +3

    Big up sky hii makala ya kikubwa sana hii ndo maana halisi ya SNS

  • @yasminoluoch169
    @yasminoluoch169 Před 2 lety +2

    Nili watch nikiwa mdogo tena si mara moja ilikuwa 1994 tuki watch I was 6yrs yani hii movie acha tu walikuwa wanachomwa moto wah...tulikuwa na casset yake nililia sana hii ndo sababu mimi kuchukia wazungu...

  • @ramad3086
    @ramad3086 Před rokem

    Nakuku bali san mkuu unajua kuchambua stori hadi unanipa morari ya kukusikiliza t niite🔥 rama d🔥 ucku mchan nawafatiliaga san🔥🔥🔥🔥🔥

  • @aishachambo8663
    @aishachambo8663 Před 2 lety

    Shukran

  • @MohammediKihimbwa-bj4pf
    @MohammediKihimbwa-bj4pf Před 2 měsíci +1

    Wakiteswa wao mchi za magharibi Wana lala Mika wao wanawauwa wasrabu je waitweje ni magaidi tu

  • @mwaminindayishimiye4434
    @mwaminindayishimiye4434 Před 2 lety +2

    Mungu tuu 😢😢😢😭😭😭😢😢

  • @nishaismail1178
    @nishaismail1178 Před 2 lety +1

    Nimeipenda hii

  • @peteremanuel2367
    @peteremanuel2367 Před 2 měsíci +1

    Yale yanofanywa na Israel leo huko Palestina, basi Hitler alikuwa sawa kuwauwa hawa Wayaudi milioni 6, maana hawa Wayaudi ni makatili sana, na ndiyo hawa walimuua Yesu bila kosa.

    • @ibrahimgwasma1223
      @ibrahimgwasma1223 Před 7 dny

      Walimshtaki kwa Mkoloni wao aliyekuwa anawatawala wakati ule Mrumi pilato

  • @jamesverdian2445
    @jamesverdian2445 Před 2 lety +1

    Umehelezea vizuri sana nimependa maelezo yako mkuu

  • @antonyndege3278
    @antonyndege3278 Před 6 měsíci +2

    Wayaudi walistaili kuuawa

  • @MohammediKihimbwa-bj4pf
    @MohammediKihimbwa-bj4pf Před 2 měsíci +1

    Ukiona inch za magharibi znamsema mtu vibaya basi uyo ni mwema

  • @abrahemhemed8369
    @abrahemhemed8369 Před 9 měsíci

    I watched and I like this movie

  • @thepurpleonlinetv8630
    @thepurpleonlinetv8630 Před 2 lety

    Hili n balaa ahsante sana

  • @lucianoluciano6795
    @lucianoluciano6795 Před 2 lety +2

    ....Sky endelea kutoa historia kama hizi maramojamoja walau..sisi wengine niwanafunzi tutajifunza mengi toka kwako...

  • @iam_sami
    @iam_sami Před měsícem +1

    Tupe ya yule mbelgiji aliouwa wacongo mil26 …. Ss ni waafrika

  • @josemitimingi8048
    @josemitimingi8048 Před 2 lety

    Safi sana

  • @zainulabidiendhulfikar7398
    @zainulabidiendhulfikar7398 Před 5 měsíci +1

    Mm binafsi Bado sijatosheka na ushahidi juu ya haya mambo ya hitler

  • @bomonda2622
    @bomonda2622 Před 2 lety +4

    Magic voice

  • @beesmarttv3792
    @beesmarttv3792 Před 2 lety +2

    Dah bro sky unatisha Sana!! Mpangilio wa sauit na background ya huo mziki wa taratibu dah!!

  • @ziobuono.7633
    @ziobuono.7633 Před 2 lety

    Nimefrahi sana..pia Kama naeza kuomba..utuletee story ja ukuta Wa jeriko ..maarufu Bob Marley aliumbwa jeriko wallz. Asante

  • @nuhubaraza9323
    @nuhubaraza9323 Před rokem

    Nakuelewa sana kaka

  • @babaloisethan7010
    @babaloisethan7010 Před 2 lety +3

    NAHISI SNS ndio chanzo boraaa Cha habari TZ

  • @hossenhassan7092
    @hossenhassan7092 Před 2 lety

    Good

  • @mbembelatv
    @mbembelatv Před 2 lety

    Napenda sn simuliz za aina hii👏💪🏼

  • @godfreydaniel6818
    @godfreydaniel6818 Před 2 lety +3

    Adolph hitra ni mwamba alikua anatafuta heshima

  • @ediofficial483
    @ediofficial483 Před 11 měsíci +1

    Sobibor call of duty Second Word war game

  • @jigajrphil1344
    @jigajrphil1344 Před rokem +1

    Confidence haiendani na Uzao
    Ndiyo maana Baba yake na Suleiman alibaka Ila mwanae alioa wake 300 na mademu 700 ,
    Kumbe tabia haifuati Uzao
    Ni namna ambayo mtu anafundishwa ama kujifunza mwenyewe.

  • @Emmanuelmwangimwangi811-oi4wq
    @Emmanuelmwangimwangi811-oi4wq Před 8 měsíci +1

    Emmanuel mwangi kutoka kenya vidio poa sana

  • @saumusalimuhassan2499
    @saumusalimuhassan2499 Před 2 lety +1

    Story ya kusisimua sana hii.

  • @lucianoluciano6795
    @lucianoluciano6795 Před 2 lety

    ...but nakukaribisha kwa mara nyingine tena KARIBU SANA NCHI YA NGUDU KWIMBA..

  • @geoffreybasesa2015
    @geoffreybasesa2015 Před 2 lety +2

    Hii movie nilikua naichukia sana manak haikua na action ila baada ya kukua na kufuatilia story nikatambua ni bonge la movie. Wayahudi waliteseka sana kipindi hicho, hadi kutumiwa kama kuni kwa kuchomwa moto

  • @dayanaleo7537
    @dayanaleo7537 Před 2 lety +2

    Haki nilisha anza huzunika nikajua mmefuta hamto ipost tena☹️☹️ but thank you sns ur the best🤗🌹 napenda sana simulizi zinazo simuliwa na sky au babysky🤗🥰

    • @SimuliziNaSauti
      @SimuliziNaSauti  Před 2 lety +2

      Pole sana, kuna kosa dogo tulikuwa tunalirekebisha kwenye ile ya mwanzo

    • @dayanaleo7537
      @dayanaleo7537 Před 2 lety

      @@SimuliziNaSauti it’s okay 🤗🥰

  • @malkavoice2570
    @malkavoice2570 Před 2 lety +2

    Magu alikuwa mdogo wake ila mungu kamuwahisha ujue

  • @shubackmashinga3535
    @shubackmashinga3535 Před 2 lety

    Hitra

  • @cyprianboniphace-oz5lw
    @cyprianboniphace-oz5lw Před 4 měsíci

    Lile tanuri la moto noma,yaani watu wanachomwa kama mishikaki.

  • @augostinopaul3601
    @augostinopaul3601 Před 2 lety

    #Sns to the world

  • @suntzu8959
    @suntzu8959 Před 2 lety +3

    I have a tape of this video

  • @theprince5253
    @theprince5253 Před 7 měsíci

    Brother samahani naomba utuletee historia ya Mt Kilimanjaro

  • @mecksaloon81
    @mecksaloon81 Před 2 lety

    Inasikitishaga sana niliwahi kuitazama nikiwa nasoma form two.

  • @hopechidera
    @hopechidera Před 2 lety +1

    Mlifanya poa sana kuondoa hiyo video ya kwanza kwa kusahihisha,anyways asanteni kwa hiyi makala nayo nimeisikiliza a to z,mimi ni mpenzi wamakala sana...

  • @salomewandya7257
    @salomewandya7257 Před 2 lety +3

    Dah enzi hizo tunaangalia TV kwa jirani 🤣🤣

    • @kawawamamaya8543
      @kawawamamaya8543 Před 2 lety +1

      Yaaani we acha na kuulizwa kama miguu yetu ni misafi maisha haya bwna 🤣🤣🤣🤣

    • @ramaccr7525
      @ramaccr7525 Před rokem

      @@kawawamamaya8543😂😂😂

  • @kilogreekachananawatuwasio4054

    Hile sinema himepigwa maluku kuonesha labda CZcams 😂story mzuri

  • @mamskiumbe4057
    @mamskiumbe4057 Před 2 lety

    Nc

  • @rithadonatus8110
    @rithadonatus8110 Před 2 lety

    Hiyooo movie ni hatari sanaaaaa

  • @powilink6504
    @powilink6504 Před rokem

    Historia inasisimua

  • @hkmeme5437
    @hkmeme5437 Před 2 lety

    Sns mko juuu

  • @shilakodeni2853
    @shilakodeni2853 Před rokem

    Nimekukubali iwoniukweli

  • @rajabmartojr3302
    @rajabmartojr3302 Před 2 lety

    Uhh

  • @mwaminindayishimiye4434

    Hadi na sisi mka 😢😢😢😢

  • @sadikathumani1003
    @sadikathumani1003 Před 2 lety +11

    Hizo ni propaganda za mataifa ya magharibi huyo hitla mwenyew alikuw myahudi aliwauwa kwa sa7bu ya ujinga wao

    • @faumahona5769
      @faumahona5769 Před 2 lety +1

      Ww ni muisilamu huwezi kuwapenda wayahudi na inaonekana ww ni mbishi Kama mavi

    • @heritier5119
      @heritier5119 Před rokem +2

      Waislamu wanachuki na Wayahudi

    • @nakalikyumile3234
      @nakalikyumile3234 Před rokem +2

      @@faumahona5769 sasa, wewe wayahudi ni nduguzo? Wote wazungu hawawapendi nyie ila mnajipendekeza kwasababu waliwadanganya kuwa wao walichaguliwa na mungu

    • @nakalikyumile3234
      @nakalikyumile3234 Před rokem +2

      @@heritier5119 wayahudi wao wanawapenda waislamu?

    • @nakalikyumile3234
      @nakalikyumile3234 Před rokem +3

      Wazungu wote hawana maana, wao ndio chanzo cha nyie weusi kutaabika mpaka Leo, waliwatumikisha miaka nenda rudi utumwani, bibi na babu zetu wakauliwa kinyama, wakateswa, Leo ati mtu mweusi unamuonea huruma mzungu aitwaye "myahudi" huo "Unyanism"

  • @nlctomaro8226
    @nlctomaro8226 Před 2 měsíci

    Mnaupiga mwingii SNS ndo habarii za mjinii

  • @hoodlamar9284
    @hoodlamar9284 Před 2 lety +2

    kwanini mwandishi anasema ni kifo cha utata? au alikua shetani😀

    • @heritier5119
      @heritier5119 Před rokem +1

      Allkuwa ni shetani aliyeuvaa mwili wa binadamu,Ajulikani alipofia

  • @heritier5119
    @heritier5119 Před rokem +1

    Hittler hakuwa binadamu bali alikuwa ni shetani aliyeuvaa mwili wa binadamu. Kama alivyokuwa Iddi Amini.

    • @user-dc4hw4hy8z
      @user-dc4hw4hy8z Před 10 měsíci

      Kasome kwanza ukweli upo huutaki .....uliza kwa watu wenye maarifa....

    • @abdallahmasanja621
      @abdallahmasanja621 Před 10 měsíci

      Acha ujinga idd amini kafanya nini

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything Před 2 lety +1

    🇹🇿🇹🇿🇹🇿👍✌

  • @mukusinisaidijanja9773

    Nipo London nakupata

  • @hassanibanzi9322
    @hassanibanzi9322 Před 2 lety +1

    Bundle langu limeisha kihalali nimeongeza kitu kuhusu hitler

  • @hkmeme5437
    @hkmeme5437 Před 2 lety

    7:38 hao ni wafrica 😆

  • @imuutyger3175
    @imuutyger3175 Před 3 měsíci

    Bora wauliwe mn unaona palestina inavoteseka

  • @heritier5119
    @heritier5119 Před rokem

    Hittler yupo kuzimu anakula moto. Hadi SAsa hakuna raisi, mfalme, au mtawala yeyeto aliyekufa yupo peponi wote wapo kuzimu wanakula Sana moto sababu awakutenda haki

  • @husseinkaoneka5834
    @husseinkaoneka5834 Před 2 lety

    Hyo nnayo had sasa mzee naiangalia kila cku

    • @RynoFiree
      @RynoFiree Před rokem

      Mkuu inaitwaje hiyo movie niitafute

    • @AFRICA_D669
      @AFRICA_D669 Před 5 měsíci

      Mzee wako nae kboko 😂

  • @IbrahimMohamed-yy2il
    @IbrahimMohamed-yy2il Před 2 lety

    Katika Propaganda kubwa zilizonikiwa sana moja wapo ni hii movie.

  • @abedinegoraphael4774
    @abedinegoraphael4774 Před 2 lety

    niko nayo hiyo movies aseee

  • @yusuphbenjaminkugaiwa7608

    Hapa bongo hawakuwepo watu kama hitla?

  • @cosimasamonimpiniracosimas6160

    Sikumooja uje na story ya Burundi

  • @dullahmihuri
    @dullahmihuri Před 2 lety

    IKO POA MUMEKUJA TOFAUTI

  • @zeinababdi4757
    @zeinababdi4757 Před 2 lety

    Wayahudi ni wasaliti, sio watu wakuaamini lamwe

    • @Pedeshee01
      @Pedeshee01 Před rokem

      Baasi na hizi hadithi za holocoust

  • @heritier5119
    @heritier5119 Před rokem

    Hittler alikuwa shoga

  • @babaloisethan7010
    @babaloisethan7010 Před 2 lety +1

    NAHISI SNS ndio chanzo boraaa Cha habari TZ