Video není dostupné.
Omlouváme se.

Ukraine: URUSI yadai kuidungua Drone ya MAREKANI, RQ-4 Global Hawk yenye thamani ya Bilioni 353!

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 29. 06. 2024
  • Tembelea sns.co.tz/ kwa taarifa zaidi

Komentáře • 87

  • @josephkostans9128
    @josephkostans9128 Před měsícem +24

    Israel ukiipiga Lebanon nitakupa zawadi. Haiwezi kutokea kamwe bali Israel ndio mwisho wake unakuja sasa itachomwa moto haijawahi kutokea toka dunia ianze . Sibishani na yeyote mwenye maono tofauti bali nakupa muda tu ushuhudie makubwa

    • @user-nb6yh2bn9y
      @user-nb6yh2bn9y Před měsícem +1

      Maisha yako yenyewe yaku mlilia samia iyo zawadi ya kumpa tajiri wapi rabda kuku wakienyeji yaani jogoo la Africa

    • @hamisisalum6116
      @hamisisalum6116 Před měsícem

      Nakubaliana nawe, wale Hizbullah siyo hamas, wamejiandaa kwa muda mrefu na viwango bya juu sana labda Israel itumie bomu la nuclear ambapo ndiyo itakuwa mwisho wake pia maana haitavumiliwa kabisa hapo.

    • @hunstonjuliusmkonyionlinetv
      @hunstonjuliusmkonyionlinetv Před měsícem +1

      Sasa hizbullah hawana mabomu ya nyuklia hawana air system diffence ya kutungua makombora hawana makombora mazito kama ya ATCMS ya kutungua na kushamburia ambayo mabomu haya ndiyo ya marekani yamefumua crimea kwa mifumo ya system ya airststem ya urusi na kuna tofaut kubwa sana ya uwelewa nenda kaangalie rank ya majeshi bora duniani israel yupo kwenye saba bora ya dunia au sita hizbullah sijui hayupo hata kwenye 100 bora hayupo hao ni kama jeshi la afaganistani tu. maana wanaishi kwa nguvu za kigaidi hawajawai fanya maajabu yoyote. israel kapiga nchi 5 kwa wakati mmoja sembuse hicho kichaka cha hizbullah hakuna kitu msidanganyike nyie vita sikia tu wenzako kombora moja sawa la israel sawa na milion 400 long range sasa ndugu yangu hizbullah anatumia rocket ambazo hata tanzania tunazo nyingi na tulitumia hadi vita vya iddy amini tena sirahi hizo toka enzi za soviet mpaka leo

    • @ManyaSumaili
      @ManyaSumaili Před měsícem

      @@hamisisalum6116 wewe Israel ina uwezo uwezo mukubwa Sana kivita

    • @BernadPeter-q2o
      @BernadPeter-q2o Před měsícem

      Nenda shule ukasome ujifunze kuandika

  • @viootanzania9080
    @viootanzania9080 Před měsícem +8

    From dodoma ❤

  • @jefjigaz7684
    @jefjigaz7684 Před měsícem +6

    We classmate mwanangu

  • @FeruziIsa-nc5vo
    @FeruziIsa-nc5vo Před měsícem +4

    ALLY unawasifia sana wamarekani kwenye makala zako nyingi. Lakini jua ya kwamba, huu ndio mwisho wa MAREKANI ndugu.

  • @user-iq5wr8fq7c
    @user-iq5wr8fq7c Před měsícem +1

    Thx young bro
    Unajuwa kuchambuwa sijui kama ni ufanisi was lugha ya kiswahili
    Mrci beaucoup

  • @youssefsanje8743
    @youssefsanje8743 Před měsícem +11

    Hiyo drone lran imewahi kuitwanga kiulaini sana

    • @hunstonjuliusmkonyionlinetv
      @hunstonjuliusmkonyionlinetv Před měsícem

      Wangeweza kutungua hata rais wao asinge kufa. unazani rais wao kapata ajari kwa taarifa yako watu wametungua ndege na wakaficha ushaidi.

    • @omarymwaluko9765
      @omarymwaluko9765 Před měsícem

      @@hunstonjuliusmkonyionlinetv toa uwo ushahid choko ww acha mawazo ya kishoga

  • @Gulfnas1
    @Gulfnas1 Před měsícem +6

    Ikiwa houthi wanawexa, basi sina shaka na uwezo wa urusi

    • @rumdeesonsoa1811
      @rumdeesonsoa1811 Před měsícem

      Hizo zinadunguliwa na kila nchi zenye mfumo wa radar

  • @omarymwaluko9765
    @omarymwaluko9765 Před měsícem +9

    umoja wa mashoga wamekutana na kidume

  • @brianbaltazar6198
    @brianbaltazar6198 Před měsícem +2

    From Arusha ❤

  • @HusseinMohamad-pl2cf
    @HusseinMohamad-pl2cf Před měsícem +7

    Leo sihitaji likes

  • @jumaseif7514
    @jumaseif7514 Před měsícem +4

    Sikuhizi mmekuwa wavivu sana kutupa habar za vita mpaka naanza kuwachukia.. Juzi bolvia kumetokea mapinduz nyiye hamjatuchambulia ilikuwaje.. Lebanon na israel hamtujuzi kunaendeleaje mnachelewa kutupa update ya vita ya urus na ukren .. Kazi yenu kutuwekea dimond wenzake sisi hatufatilii mambo ya dimond .. Fanyen kama mwanzo hakuna kupoa kweny vita

  • @user-dg7wf6fg2j
    @user-dg7wf6fg2j Před měsícem +4

    Kweli pigo hawa jamaa wanapiga sehemu mhimu mikakati mikali

  • @user-ty9yg8fg9g
    @user-ty9yg8fg9g Před měsícem +4

    Vitu kama hivyo vinafichwa kwa sababu ni aibu kwa taifa teule la mashoga duniani lazima waangalie namna ya kuchuja habari

  • @bakarimakomola
    @bakarimakomola Před měsícem +1

    Tunaomba habari ya kuthibitisha taaarifa ya NASA kwenye ukweli kuhusu dunia.
    Maswali yanakua raised now days
    1. Ni kweli dunia ni Duara au tulipumbazwa na taarifa za NASA? Kwa maana kwamba NASA walifoji?
    2. Pia mtuchambulie ukweli kuhusu uwepo wa Firmanent ukingo wa dunia ambao hautuhusu mtu yeyote kwenda nje ya dunia.
    3. Uongo kuhusu uwepo wa space na baadhi ya mambo ambayo wanadai kua wanasayansi wameyafanya kama kwenye kwenye space na kwenye mwezi pamoja na baadhi ya sayari

  • @dominicksangu8934
    @dominicksangu8934 Před měsícem

    Good urus

  • @khalfanmlala5093
    @khalfanmlala5093 Před měsícem +1

    Asante sana Ally

  • @Gody360
    @Gody360 Před měsícem +1

    Hatari sana

  • @NdovuDentalClinic_
    @NdovuDentalClinic_ Před měsícem +3

    Sinza madukani #ndovudentalclinic

  • @HassanRamadhanPashua
    @HassanRamadhanPashua Před měsícem +3

    Ebu mtupatie hint kuhusu Lebanon na Israel kunaendaje

  • @muhammadmbaraka4515
    @muhammadmbaraka4515 Před měsícem

    Hio drone ni nzuri sanaa ila tu wamarekani wamefeli kuto kuipa uwezo wa kujilinda na makombora

  • @jumamussantuiche
    @jumamussantuiche Před měsícem +1

    Drone bora kwa matango sio kivita.

  • @AzizihFarijala
    @AzizihFarijala Před měsícem

    Urusi hii ni ya pili kutunguliwa na warusi

  • @mudybaaroo4540
    @mudybaaroo4540 Před měsícem

    good

  • @JoelFortunatus-du8ww
    @JoelFortunatus-du8ww Před měsícem +2

    Drone za marekan waga anazisifia sana lkn zinakuwa zinadunguliwa mpaka na makundi ya wapiganaji wayemen🇾🇪 mfano MQ-9 mbili zilisha pigwa chini

    • @rumdeesonsoa1811
      @rumdeesonsoa1811 Před měsícem

      Zinasifiwa kwenye ukusanyaji data. Kwenye kuidungua ni kawaida maana hizo sio stealth aircrafts

  • @abdullahnassor9433
    @abdullahnassor9433 Před měsícem

    Tangu zimitunguliwa mpaka leo hamna global hawk imirushwa tena 😂

  • @jumaseif7514
    @jumaseif7514 Před měsícem +2

    Nikisikia kuna jambo lavita limetokea huwa sina wasiwasi kwani naamin chanel hii itachambuwa lakni ukifunguwa hakuna jambo.. Kazi kurusha mambo yakiumbea sie wengine tumeioenda hii kwa mambo ya vita

  • @hamzafishten9560
    @hamzafishten9560 Před měsícem +2

    Sio poa hio dron

  • @Jonathankwizera-sl9pi
    @Jonathankwizera-sl9pi Před měsícem

    Iran walishaga itungua

  • @HajiKlein-so1rk
    @HajiKlein-so1rk Před měsícem +1

    🇷🇺🇷🇺🇹🇿🇹🇿❣️

  • @noelnjementi8511
    @noelnjementi8511 Před měsícem

    Uyu jamaa anajuwa kuchambuwa vzr sn uyu inatakiwa asiishi apa Aishi marekani au uingereza namkubali sn

  • @malugukushaha6764
    @malugukushaha6764 Před měsícem

    Kiama cha Marekani na mtoto wake Israel kimefika, Viva Putin, viva Russia.

  • @user-pd5hl9di2q
    @user-pd5hl9di2q Před měsícem

    Hizo drone hamna kitu wahouthi wanazidungua zile nyingine ni mbwembwe tu

  • @Shehasweet-hy6xn
    @Shehasweet-hy6xn Před měsícem

    Murusi kibokoooooo,,,awatwange tu Hao mashoga....naamin kuwa urus inauwezo wa kuiteketeza Ukraine kwa siku 3...anachokifanya ni kudhoofisha uwezo wa marekani na ubabe wake..ndo maana anawachapa taratiiiiiiibuuu..mungu msaidie putin...ikiwa wataweza kumuua dunia imekwishaaa

  • @BernadPeter-q2o
    @BernadPeter-q2o Před měsícem

    Uongo

  • @maroahkissiry4863
    @maroahkissiry4863 Před měsícem

    Hiyo ni ndoto. Mpaka leo Russia hawana uwezo wa kudeal na RQ-4

  • @MUSTAPHAMCHUCHA-sp3tq
    @MUSTAPHAMCHUCHA-sp3tq Před měsícem

    kudungua

  • @SaraphinaKidoti-qe7gi
    @SaraphinaKidoti-qe7gi Před měsícem

    Et we uwogopi HApo 😅😅😅

  • @user-sd5hj2im4q
    @user-sd5hj2im4q Před měsícem

    Anasubiri nini urusi

  • @johnmichaellukindo21
    @johnmichaellukindo21 Před měsícem

    Mjomba mbona unazunguka sana kueleza kitu kimoja!!

  • @reginaldmasato9932
    @reginaldmasato9932 Před měsícem

    Ally Masubi bhana, Eti wewe huogopi? 😂😂 Mrusi ndo kashaitungua bila kuogopa

  • @jumashedafa
    @jumashedafa Před měsícem +2

    Sasa ndugu yang kumbe haijathibitishwa usingetuletea

    • @thefactbook...1607
      @thefactbook...1607 Před měsícem

      Vyombo vikubwa vyote vimeripoti na ww unahaki ya kujua.habari hii haijaokotwa.au kutungwa.

    • @jumashedafa
      @jumashedafa Před měsícem +1

      @@thefactbook...1607 saw rafik yang ahsant kunifahamisha

    • @rumdeesonsoa1811
      @rumdeesonsoa1811 Před měsícem

      Ulitaka nani ndio athibitishe?

    • @jumashedafa
      @jumashedafa Před měsícem

      @@rumdeesonsoa1811 ukijibu tizama kwanz jibu la mwisho lina mantiki gan au msimamo gan; ule ule au umebadilika then jibu sasa

  • @jefjigaz7684
    @jefjigaz7684 Před měsícem +1

    Ww allly masoud we username yak ya ig mwanangu

  • @MUSTAPHAMCHUCHA-sp3tq
    @MUSTAPHAMCHUCHA-sp3tq Před měsícem

    wewe muongo roporopo nyingi maneno mengi siwenzio tunazama tunakugea afu unajikanyaga

  • @Gamba177
    @Gamba177 Před měsícem +3

    Ikiwa wenyewe na vyombo vya dunia hawajatangaza sasa wewe umezipata wapi ?

    • @Fgldesigns
      @Fgldesigns Před měsícem +1

      Uwe unasikiliza vizuri kabla ya kuuliza taarifa zilipotolewa kaeleza rudia kusikiliza

    • @uwimana6533
      @uwimana6533 Před měsícem

      Hao niwale majirani zenu wanaosumbuliwa na kiswähili kinawapa shida kuelewa 😂😂

    • @rumdeesonsoa1811
      @rumdeesonsoa1811 Před měsícem

      Sikiliza upya

  • @BillyJames-l6x
    @BillyJames-l6x Před měsícem +1

    Kutungua ndio nini tena??