Hii tactic ya kukamata silaha ya Adui na kuifanyia uchunguzi ni tactic nzuri sana na kwa upande wa Urusi hii ni mara ya pili keshafanya kwa ATACMS(Army Tactical Missile System) ya Marekani na Sasa yupo na Storm Shadow ya UK....hii ni habari nzuri sana ,,Thanks SNS
Kama umesoma mpaka darasa la saba towa ziro nadhani huwezi kuelewa urusi anapigana na marekani pamoja na Nato kupitia mgongo wa nchi ya Ugreni na pale pamekuwa pakufanyia majaribio ya silaha zao na nchi hiyo ikiteketea kwa makombora ya urusi lakini wenye malengo yao wala hawajali ndiyo kwanza wanamsifia ujinga
Hii vita imekua kama kamchezo ka njoo nikupige, hapana, anza wewe uwone yaani full kuogopana,. Mataifa 32 yanaogopa mmliki wa Asia pacific, sema sio pw 😁
Tunachotaka hashinde vta siyo utoto mnaoushabikia uwa kwan Ukraine hana silaa za urusi nyingtu mbona ktuchakawaida sana kukamata slaa za haduiyako yani tekenojia ya urusi marekani anayoyote kabla hatayavta tekenojia unaweza kuzpata hatakuptia majasus
Umeongea ukweli sana sasa subiri sisi team urusi wenye ushabiki wa kipumbavu usio na maana tunachojuaga kushabikia ni oooh mashoga ao huo ndo utetezi wetu wakipumbavu
@@theempire4058 hawa mbona mashabiki waugali wanasingzia ushoga sasa ushoga unakujaje wakat mada nivta kwani kunamtu wanamlazmisha kuwashoga mbona hata urusi kwenye mahoga wakuzditu yani izomidia za mitandaon kiraktu kinachofanywa na urusi nichasaii halafu nichamana yani mbaka kukamata slaa wanahona ktukikubwa sana slaa za urusi na zamagaribi zinauzwa kwaiyo kwa hanazoziitaj kuzpata raisi sana kama hanaela histoshe hata urusi kaznunua nakulingshia
Urusi unajua uganda nn kamsome vzr urusi kwny vitabu utajua huyo sio mtu wa kubeza Tangu dunia iumbwe vita ya tecnolojia hajawai shindwa yeye ndio master wa silaha duniani ana salilaha nyingi had zina chacha ameivamia ukraine amechukua crimea au unajua crimea ipo kongo mwanetu ongea Fact sio muvi za lambo na adolf zinakudanganya 😊
Urusi anafaida zaidi maana magharibi wote wanampa fursa ya kupata technology ya siraha zao pale wanapompa zelensky kisha urusi akayadaka pia itamfaidisha Irani pengine na China
Storm shadow, atcams n.k, kwan Zko nchin Ukraine tu kanakwamba Russia apate kiu ya namna hii ya kuyachinguza. Hakuna nchi rafk na Russia ambapo makombora haya yaliuzwa uko Russia akashndwa kuyafkia na kuyakagua. Naona kama ni psychological warfare tu hii. Yan kutushia adui wasizid kupeleka makombora zaid
Urusi ni majasusi wakubwa duniani, na ninavyosema Urusi nina maana ya Putin, raia wa Urusi wanadanganywa na serikali ya huyu jasusi na inavyoonekana mpaka kwenye nchi yetu nzuri kuna watu wanajaribu kuendeleza propaganda zao.Putin atakamatwa na kupelekwa kujibu yote aliyofanya.Nchi ya Urusi ina matatizo ya ajabu, nyumba zinadondoka zenyewe, lift za kwenye magorofa zinaanguka zikiwa na watu ndani, ndege zinaanguka maana hakuna parts, wamepigwa marufuku kununua parts za ndege ambazo zipo Ulaya na Marekani. Hii nchi ya Urusi itakuwa masikini kuliko nchi za Africa na wataanza kuomba msaada.Kisa, huyu jasusi mpumbavu
Hii tactic ya kukamata silaha ya Adui na kuifanyia uchunguzi ni tactic nzuri sana na kwa upande wa Urusi hii ni mara ya pili keshafanya kwa ATACMS(Army Tactical Missile System) ya Marekani na Sasa yupo na Storm Shadow ya UK....hii ni habari nzuri sana ,,Thanks SNS
Russia anatisha aisse,yani wanasoma silaha zote za NATO😮😮
Leo mie wakwanza nawapata kutokea Bahrain 🇧🇭
Urusi itashiriki teknolojia hii na marafiki zake, china, India, Korea kaskazini na zaidi
Kama umesoma mpaka darasa la saba towa ziro nadhani huwezi kuelewa urusi anapigana na marekani pamoja na Nato kupitia mgongo wa nchi ya Ugreni na pale pamekuwa pakufanyia majaribio ya silaha zao na nchi hiyo ikiteketea kwa makombora ya urusi lakini wenye malengo yao wala hawajali ndiyo kwanza wanamsifia ujinga
Russia watacopy na kuboresha mara dufu zaidi!!!
Wenzetu wana Tecnelogly kubwa sana
Urusi inawanyoosha vizuri
Vita vimekua vinafaida sana kwa Russia hata vikiisha atakua na silaha zote za nato
Wanaenda China tu hapa kwa rafiki yao. Copy kama milioni 10..
storm shadow kwisha abari yake aiwezikua tishiotena kwa urus
Mbona Urusi tayari has captured imekamata zamani tu kombora la British Storm Cruise Missile
Wana na nakubali sana
Hahaha Tumewaambia urusi atawanyoosha mashoga mbaka waache kujifanya hii dunia ni yao pekeyao
tunakubali wakwetu...unajua masubi
Jack sparow
Hongera urusi
Wamagharibi akili hawana
Hii vita imekua kama kamchezo ka njoo nikupige, hapana, anza wewe uwone yaani full kuogopana,. Mataifa 32 yanaogopa mmliki wa Asia pacific, sema sio pw 😁
Hahahaaaaa 😂😂
@@Shehasweet-hy6xn 😂😂
Vzuri
Nasikitikia Sana Ukraine nchi inayoongozwa na mchekeshaji pengine yeye bado anadhani wanafanya comed kumbe aniangamiza nchi yake
Mpelekeeni nyengine bado chopa ya f 22
Wanawasoma na Gps😂
Tunachotaka hashinde vta siyo utoto mnaoushabikia uwa kwan Ukraine hana silaa za urusi nyingtu mbona ktuchakawaida sana kukamata slaa za haduiyako yani tekenojia ya urusi marekani anayoyote kabla hatayavta tekenojia unaweza kuzpata hatakuptia majasus
Umeongea ukweli sana sasa subiri sisi team urusi wenye ushabiki wa kipumbavu usio na maana tunachojuaga kushabikia ni oooh mashoga ao huo ndo utetezi wetu wakipumbavu
@@theempire4058 hawa mbona mashabiki waugali wanasingzia ushoga sasa ushoga unakujaje wakat mada nivta kwani kunamtu wanamlazmisha kuwashoga mbona hata urusi kwenye mahoga wakuzditu yani izomidia za mitandaon kiraktu kinachofanywa na urusi nichasaii halafu nichamana yani mbaka kukamata slaa wanahona ktukikubwa sana slaa za urusi na zamagaribi zinauzwa kwaiyo kwa hanazoziitaj kuzpata raisi sana kama hanaela histoshe hata urusi kaznunua nakulingshia
Urusi unajua uganda nn kamsome vzr urusi kwny vitabu utajua huyo sio mtu wa kubeza Tangu dunia iumbwe vita ya tecnolojia hajawai shindwa yeye ndio master wa silaha duniani ana salilaha nyingi had zina chacha ameivamia ukraine amechukua crimea au unajua crimea ipo kongo mwanetu ongea Fact sio muvi za lambo na adolf zinakudanganya 😊
@@theempire4058ww na huyo mwenzako wote mashoga
Urusi anafaida zaidi maana magharibi wote wanampa fursa ya kupata technology ya siraha zao pale wanapompa zelensky kisha urusi akayadaka pia itamfaidisha Irani pengine na China
Bila kumsahau Kiduku
Likisha fanyiwa reverse engineering tunapeleka iran 4 mass production
Hamna kitu kama hiyo
❤❤❤❤❤❤❤😢🎉🎉🎉🎉😮😊😊😊
Storm shadow, atcams n.k, kwan Zko nchin Ukraine tu kanakwamba Russia apate kiu ya namna hii ya kuyachinguza. Hakuna nchi rafk na Russia ambapo makombora haya yaliuzwa uko Russia akashndwa kuyafkia na kuyakagua. Naona kama ni psychological warfare tu hii. Yan kutushia adui wasizid kupeleka makombora zaid
Sio rahisi hvyo na haiendi hvyo unavyofikiria.
safiiiii
Kumbe mrusi bado nae maana kila siku anajifunza wakati wen zake every day wanaendelea kutengeneza vitu zaid8 ya hicho
Wee nawe acha kujizima data urusi inatengeza silaha mara 3 zaid ya nato
@@Awateeakili huna, umejaa ushabiki tu
@@academicsite8524 kama ulivo jaa weye tafuta kazi ufanye ndugu 😃
Bila fact zinakuwa ni kelele@@Awatee
Anaenda kufanya reverse engineering 😅
Urusi ni majasusi wakubwa duniani, na ninavyosema Urusi nina maana ya Putin, raia wa Urusi wanadanganywa na serikali ya huyu jasusi na inavyoonekana mpaka kwenye nchi yetu nzuri kuna watu wanajaribu kuendeleza propaganda zao.Putin atakamatwa na kupelekwa kujibu yote aliyofanya.Nchi ya Urusi ina matatizo ya ajabu, nyumba zinadondoka zenyewe, lift za kwenye magorofa zinaanguka zikiwa na watu ndani, ndege zinaanguka maana hakuna parts, wamepigwa marufuku kununua parts za ndege ambazo zipo Ulaya na Marekani. Hii nchi ya Urusi itakuwa masikini kuliko nchi za Africa na wataanza kuomba msaada.Kisa, huyu jasusi mpumbavu
Hiyo inaonesha namna Russia hawana silaha nzuri. Western are the BEST
Ww choko ndomana
Na ukrane wanayo makombora ya urus
jinga😂😂😂 hupo
Ww choko