URUSI yalinasa kombora la Storm Shadow ambalo Ukraine anapewa na Uingereza kulifanyia uchunguzi

Sdílet
Vložit

Komentáře • 57

  • @AbdillahRashidi
    @AbdillahRashidi Před 18 dny +14

    Hii tactic ya kukamata silaha ya Adui na kuifanyia uchunguzi ni tactic nzuri sana na kwa upande wa Urusi hii ni mara ya pili keshafanya kwa ATACMS(Army Tactical Missile System) ya Marekani na Sasa yupo na Storm Shadow ya UK....hii ni habari nzuri sana ,,Thanks SNS

  • @sautisevarino1656
    @sautisevarino1656 Před 19 dny +5

    Russia anatisha aisse,yani wanasoma silaha zote za NATO😮😮

  • @nassoroshakiru7094
    @nassoroshakiru7094 Před 19 dny +4

    Leo mie wakwanza nawapata kutokea Bahrain 🇧🇭

  • @abdullahnassor9433
    @abdullahnassor9433 Před 19 dny +4

    Urusi itashiriki teknolojia hii na marafiki zake, china, India, Korea kaskazini na zaidi

  • @user-ty9yg8fg9g
    @user-ty9yg8fg9g Před 18 dny +3

    Kama umesoma mpaka darasa la saba towa ziro nadhani huwezi kuelewa urusi anapigana na marekani pamoja na Nato kupitia mgongo wa nchi ya Ugreni na pale pamekuwa pakufanyia majaribio ya silaha zao na nchi hiyo ikiteketea kwa makombora ya urusi lakini wenye malengo yao wala hawajali ndiyo kwanza wanamsifia ujinga

  • @festohaule9716
    @festohaule9716 Před 19 dny +4

    Russia watacopy na kuboresha mara dufu zaidi!!!

  • @abuuabuu274
    @abuuabuu274 Před 18 dny +3

    Wenzetu wana Tecnelogly kubwa sana

  • @isihakajongo4832
    @isihakajongo4832 Před 17 dny

    Urusi inawanyoosha vizuri

  • @MAHAN-SMART
    @MAHAN-SMART Před 19 dny +4

    Vita vimekua vinafaida sana kwa Russia hata vikiisha atakua na silaha zote za nato

  • @bjngft4985
    @bjngft4985 Před 18 dny +2

    Wanaenda China tu hapa kwa rafiki yao. Copy kama milioni 10..

  • @DeusRobart
    @DeusRobart Před 19 dny +3

    storm shadow kwisha abari yake aiwezikua tishiotena kwa urus

  • @Happy-be8hh
    @Happy-be8hh Před 18 dny +1

    Mbona Urusi tayari has captured imekamata zamani tu kombora la British Storm Cruise Missile

  • @jkifutu7936
    @jkifutu7936 Před 18 dny +2

    Wana na nakubali sana

  • @thelonewolf4429
    @thelonewolf4429 Před 19 dny +2

    Hahaha Tumewaambia urusi atawanyoosha mashoga mbaka waache kujifanya hii dunia ni yao pekeyao

  • @hazygardmericho9571
    @hazygardmericho9571 Před 19 dny +2

    tunakubali wakwetu...unajua masubi

  • @STEVEN-f6g
    @STEVEN-f6g Před 18 dny +2

    Jack sparow

  • @shaurisaidi7470
    @shaurisaidi7470 Před 18 dny

    Hongera urusi

  • @zakariaabdalla-uo3nk
    @zakariaabdalla-uo3nk Před 19 dny +2

    Wamagharibi akili hawana

  • @AFRICA_D669
    @AFRICA_D669 Před 18 dny +3

    Hii vita imekua kama kamchezo ka njoo nikupige, hapana, anza wewe uwone yaani full kuogopana,. Mataifa 32 yanaogopa mmliki wa Asia pacific, sema sio pw 😁

  • @geoufo2858
    @geoufo2858 Před 19 dny +1

    Vzuri

  • @ibnujumanne4054
    @ibnujumanne4054 Před 18 dny

    Nasikitikia Sana Ukraine nchi inayoongozwa na mchekeshaji pengine yeye bado anadhani wanafanya comed kumbe aniangamiza nchi yake

  • @ShekhMufyd-mn9zn
    @ShekhMufyd-mn9zn Před 18 dny

    Mpelekeeni nyengine bado chopa ya f 22

  • @djmaxbeatztz
    @djmaxbeatztz Před 18 dny +1

    Wanawasoma na Gps😂

  • @user-tq4lx9si1n
    @user-tq4lx9si1n Před 19 dny +3

    Tunachotaka hashinde vta siyo utoto mnaoushabikia uwa kwan Ukraine hana silaa za urusi nyingtu mbona ktuchakawaida sana kukamata slaa za haduiyako yani tekenojia ya urusi marekani anayoyote kabla hatayavta tekenojia unaweza kuzpata hatakuptia majasus

    • @theempire4058
      @theempire4058 Před 18 dny

      Umeongea ukweli sana sasa subiri sisi team urusi wenye ushabiki wa kipumbavu usio na maana tunachojuaga kushabikia ni oooh mashoga ao huo ndo utetezi wetu wakipumbavu

    • @user-tq4lx9si1n
      @user-tq4lx9si1n Před 18 dny

      @@theempire4058 hawa mbona mashabiki waugali wanasingzia ushoga sasa ushoga unakujaje wakat mada nivta kwani kunamtu wanamlazmisha kuwashoga mbona hata urusi kwenye mahoga wakuzditu yani izomidia za mitandaon kiraktu kinachofanywa na urusi nichasaii halafu nichamana yani mbaka kukamata slaa wanahona ktukikubwa sana slaa za urusi na zamagaribi zinauzwa kwaiyo kwa hanazoziitaj kuzpata raisi sana kama hanaela histoshe hata urusi kaznunua nakulingshia

    • @DEMSEY_TV
      @DEMSEY_TV Před 17 dny +1

      Urusi unajua uganda nn kamsome vzr urusi kwny vitabu utajua huyo sio mtu wa kubeza Tangu dunia iumbwe vita ya tecnolojia hajawai shindwa yeye ndio master wa silaha duniani ana salilaha nyingi had zina chacha ameivamia ukraine amechukua crimea au unajua crimea ipo kongo mwanetu ongea Fact sio muvi za lambo na adolf zinakudanganya 😊

    • @omarymwaluko9765
      @omarymwaluko9765 Před 15 dny

      ​@@theempire4058ww na huyo mwenzako wote mashoga

  • @user-pd5hl9di2q
    @user-pd5hl9di2q Před 19 dny

    Urusi anafaida zaidi maana magharibi wote wanampa fursa ya kupata technology ya siraha zao pale wanapompa zelensky kisha urusi akayadaka pia itamfaidisha Irani pengine na China

  • @valerianchamlungu7268
    @valerianchamlungu7268 Před 18 dny

    Likisha fanyiwa reverse engineering tunapeleka iran 4 mass production

  • @msukumamnywamaziwa2785
    @msukumamnywamaziwa2785 Před 18 dny +1

    ❤❤❤❤❤❤❤😢🎉🎉🎉🎉😮😊😊😊

  • @deusidaudi2477
    @deusidaudi2477 Před 18 dny

    Storm shadow, atcams n.k, kwan Zko nchin Ukraine tu kanakwamba Russia apate kiu ya namna hii ya kuyachinguza. Hakuna nchi rafk na Russia ambapo makombora haya yaliuzwa uko Russia akashndwa kuyafkia na kuyakagua. Naona kama ni psychological warfare tu hii. Yan kutushia adui wasizid kupeleka makombora zaid

  • @hamisinamala
    @hamisinamala Před 19 dny +1

    safiiiii

  • @directortwicep3028
    @directortwicep3028 Před 18 dny

    Kumbe mrusi bado nae maana kila siku anajifunza wakati wen zake every day wanaendelea kutengeneza vitu zaid8 ya hicho

    • @Awatee
      @Awatee Před 18 dny

      Wee nawe acha kujizima data urusi inatengeza silaha mara 3 zaid ya nato

    • @academicsite8524
      @academicsite8524 Před 18 dny

      ​@@Awateeakili huna, umejaa ushabiki tu

    • @Awatee
      @Awatee Před 18 dny

      @@academicsite8524 kama ulivo jaa weye tafuta kazi ufanye ndugu 😃

    • @alextanzania
      @alextanzania Před 18 dny

      Bila fact zinakuwa ni kelele​@@Awatee

    • @mlelwatv5831
      @mlelwatv5831 Před 18 dny

      Anaenda kufanya reverse engineering 😅

  • @godfrey3926
    @godfrey3926 Před 17 dny

    Urusi ni majasusi wakubwa duniani, na ninavyosema Urusi nina maana ya Putin, raia wa Urusi wanadanganywa na serikali ya huyu jasusi na inavyoonekana mpaka kwenye nchi yetu nzuri kuna watu wanajaribu kuendeleza propaganda zao.Putin atakamatwa na kupelekwa kujibu yote aliyofanya.Nchi ya Urusi ina matatizo ya ajabu, nyumba zinadondoka zenyewe, lift za kwenye magorofa zinaanguka zikiwa na watu ndani, ndege zinaanguka maana hakuna parts, wamepigwa marufuku kununua parts za ndege ambazo zipo Ulaya na Marekani. Hii nchi ya Urusi itakuwa masikini kuliko nchi za Africa na wataanza kuomba msaada.Kisa, huyu jasusi mpumbavu

  • @maroahkissiry4863
    @maroahkissiry4863 Před 17 dny

    Hiyo inaonesha namna Russia hawana silaha nzuri. Western are the BEST

  • @josepheriah5977
    @josepheriah5977 Před 19 dny +2

    Na ukrane wanayo makombora ya urus