VIDEO: SPIKA TULIA ACKSON AKUTANA NA RAIS WA URUSI 'PUTIN', AELEZA WALIYOZUNGUMZA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 11. 07. 2024
  • Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU) na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Tulia Ackson, amekutana na kufanya mazungumzo na Rais wa Urusi, Mhe. Vladimir Putin Jijini St. Petersburg nchini Urusi leo tarehe 12 Julai, 2024 ambapo katika mazungumzo yao wamejadili kuhusu namna bora ya kuimarisha amani Duniani.
    Kuhusiana na mgogoro unaoendelea baina ya Urusi na Ukraine, Dkt. Tulia amesema “Kabla ya kuzungumza naye tayari tulishazungumza na Maspika wa nchi zote hizo mbili na sisi kama Umoja wa Mabunge Duniani tumezungumza naye kama Kiongozi wa nchi katika sura ambayo tunaweza kuziweka pamoja nchi zote mbili na tutarajie kwamba IPU itatengeneza fursa ya Mabunge ya pande zote ili kuweza kuzungumzia amani katika maeneo yao ya utawala”

Komentáře • 478

  • @movingdiamonds5718
    @movingdiamonds5718 Před 20 dny +59

    Wakenya si walisema hatujui English wamuone spika wetu anavyopasua yai sasa.........kama wewe ni Mtanzania like hapa

    • @user-wh7gj9ug9s
      @user-wh7gj9ug9s Před 19 dny +2

      Wao ndio hawajui

    • @habibnjowele7751
      @habibnjowele7751 Před 18 dny +2

      hata wakijua hiko kirengesa lakini mahindi wanafuata tz

    • @aminata3702
      @aminata3702 Před 16 dny +1

      Acha hizo ,Unaleta vitu na watu wa hovyo

    • @alifbe4395
      @alifbe4395 Před 13 dny

      Dah bro una akili finyu sana hivi waona walioserikalini hawajui kizungu

    • @karibunyumbani3824
      @karibunyumbani3824 Před 10 dny

      Sasa Kenya na kiingiresa Chao na kuandamana na masufuria kisa unga wapi na wapi sisi tulime tuwauzie wasije wakafa bure maana hicho kingereza pekee naona hawashibi MUNGU IBARIKI TZ

  • @Avith-lj2sp
    @Avith-lj2sp Před 23 dny +216

    Oyaa kama unakubali putting alivyomkazia jicho spika wetu like hapa👍

  • @bashiruamri2167
    @bashiruamri2167 Před 23 dny +32

    Kazi nzuri sana rais wa mabunge Duniani uko vizuri kwa hilo,lakini usipika wa Tanganyika/Tanzania sijakuelewa vizuri Inshu ya bandari Inshu ya mpina mbuge mzalendo msema kweli mtetezi Adui wa mafisadi na wahujumu uchumi ukamfukuza bungeni Daaaa Itanichukuwa mda kuelewa

  • @godfreyfrugence4176
    @godfreyfrugence4176 Před 21 dnem +21

    Mim naipenda urusi san na nataman urusi ije Tanzania kuwekeza kama nawew unaipenda urusi kuliko marekan gonga like yako hapo timu puttin tujuaje

    • @professorimmah
      @professorimmah Před 16 dny

      U are not patriotic sometime i can say that u slave country my advice to u take of your slave u wanna to like your country

    • @ELIAMbise-sy5ue
      @ELIAMbise-sy5ue Před 13 dny

      Napenda marekani na urusi50/50

  • @HarunaMassamaky
    @HarunaMassamaky Před 22 dny +13

    Hongera Mh Tulia.Big up!

  • @ifmknowledgepower7333
    @ifmknowledgepower7333 Před 23 dny +47

    Putin hapepesi macho, kayakaza balaa, naye tulia katuliza akili balaaaa🎉🎉

  • @ludovicsaronganangawe2720
    @ludovicsaronganangawe2720 Před 21 dnem +10

    Congratulations on your great presentation Tulia Ackson. Tanzania TUNASABABISHA!

  • @florashauri9228
    @florashauri9228 Před 23 dny +13

    Big up madam speaker,I'm proud of you❤

  • @FredrickKabura-gd7hg
    @FredrickKabura-gd7hg Před 22 dny +10

    Namuomba Mwenyezi mungu asimamie mahusiano mema ya TANZANIA na RUSSIA pia urafiki katika nyanja zote haswa kiuchumi, kisiasa, kijamii, kiutamaduni na kiteknolojia na mengine mengi Amina. 💗💕

  • @juliusdonard933
    @juliusdonard933 Před 23 dny +29

    Putin aje Tanzania jaman naomba

  • @user-dk6rc9kb3f
    @user-dk6rc9kb3f Před 19 dny +3

    Tanzania has gone far not only competitiveness revolution but political revolution 👍👍

  • @christopherjoseph8330
    @christopherjoseph8330 Před 22 dny +6

    Ungenda kwa Biden ungesikia Tulia must go😂😂😂

  • @johngerald4677
    @johngerald4677 Před 22 dny +24

    Mzee anaona kama anapotezewa muda2

  • @jastinekyungai1023
    @jastinekyungai1023 Před 22 dny +6

    Tz to the world superb sana @tulia

  • @erastozawadi8002
    @erastozawadi8002 Před 22 dny +6

    Mm kama mm nnaihitaji Urusii kuliko Marekani Kwa sasa maana hapa tulipo tupo kama sehem ya influence ya America na EU so we can change mode of action

  • @msambalamjukuu3866
    @msambalamjukuu3866 Před 23 dny +29

    mwambie na ss tunataka awe mshilika wetu tuachane na machoko atujengee vinu vya nyuklia dunian akuna amani ww auwezi kumshauli chochote

    • @magesagambajr3546
      @magesagambajr3546 Před 22 dny

      Kijana unataka Vinu😅😅

    • @nassercurtis9579
      @nassercurtis9579 Před 22 dny +3

      Waliomchagua unadhani hawajui uwezo wake, wewe kapuku ndio una jicho la tatu la kuona hawezi kumshauri chochote, ila umesahau akili za mwadamu huishi kwa kutegemeana, maandazi wewe

    • @evarimdecoration4256
      @evarimdecoration4256 Před 22 dny

      Kweli hawezi kumshauri Putin chochote maana hilo jicho alilomkata daah

    • @evarimdecoration4256
      @evarimdecoration4256 Před 22 dny

      Haaaaa haaaaa

    • @JamesJastin-bg1rx
      @JamesJastin-bg1rx Před 22 dny +1

      Mheshimiwa spika mshauli Mzee putin mwambie aandae makombora ya nyukria Mzee wakuyavurumisha nipo nije nimchape mmarekani na washirika wake

  • @nickoemily8267
    @nickoemily8267 Před 22 dny +1

    Big up our speaker Tulia Ackon,Tanzania tunajivunia sana kuwa na Kiongozi mashuhuri kama wewe.May our mighty God bless you.

  • @francomkandawile8572
    @francomkandawile8572 Před 20 dny

    Dada yangu Tulia Ackson nakupenda sana katika Bwana, God has created you with a lot of benefits for others. I real appreciate your efforts towards responsibilities.

  • @greysondavid6445
    @greysondavid6445 Před 22 dny +3

    Tanzania has to make a very strongly tie with russia.Tanzania has to make the right decision to trade and technological share.I urge all africa to tie and trde with russia.

  • @KELVINHENRY-j1k
    @KELVINHENRY-j1k Před 10 dny

    Respect putting

  • @user-dk6rc9kb3f
    @user-dk6rc9kb3f Před 19 dny +2

    Hatua kubwa sana madam tulia

  • @MusaDadi-pd3jd
    @MusaDadi-pd3jd Před 23 dny +9

    Putin ni hatari

  • @user-qo8uj1ym4m
    @user-qo8uj1ym4m Před 21 dnem +2

    ❤ madam tulia spika wetu mpendwa tunakuamini sana ila Mr putin hapepesi macho amekusikiliza kiumakini sana mzuri sana madam tunakupenda,kz iendelee

  • @samwelkulagwa861
    @samwelkulagwa861 Před 19 dny

    Asante uwe na Mungu daima,,,,,kiongozi nakuona mbali sana katika nafasi ya siasa.Utakuwa kiongozi furani ivi pale juuuuuuuu

  • @joshuawenceslaus2466
    @joshuawenceslaus2466 Před 22 dny +2

    Jamaa anasoma saikolojia 😂😂😂😂 this guy, is intelligent

  • @thompsonkiputa6842
    @thompsonkiputa6842 Před 21 dnem +1

    Safi sana Mhe. Speaker 👏💯

  • @user-dk4iq5ct6r
    @user-dk4iq5ct6r Před 23 dny +5

    Mweshimiwa kazi nzuri naomba zawadi ya kirussi mama

  • @salumjumaruhaga2513
    @salumjumaruhaga2513 Před 22 dny +3

    Big up to sipika Tulia Rais ajaee

  • @user-pt7lc4xu3d
    @user-pt7lc4xu3d Před 22 dny +2

    Jaman dada yngu mungua akutunze

  • @brother_majesty
    @brother_majesty Před 23 dny +6

    noma

  • @christopherkiswaga9270

    Asante sana kwa kazi ya kuleta amani . Heri kwa nchi yetu Pendwa kupata nafasi hii.

  • @ElneySheddy-is1dv
    @ElneySheddy-is1dv Před 12 dny +1

    Hakika huyu turia kaenda kwaishugani jamani kama hatuuzwi mm chizi hawa wanatuuza😢😢😢

  • @user-yu2mb4bk8i
    @user-yu2mb4bk8i Před 10 dny

    Mnyakyusa anaflow balaaa❤

  • @ErnestMhangwa
    @ErnestMhangwa Před 22 dny

    I appreciate your work our leader Tulia Akson mungu awe nawe na akutie nguvu .

  • @shaibukhamis863
    @shaibukhamis863 Před 22 dny +5

    Jamaa jicho alichezi sio poa

  • @ericktesha1668
    @ericktesha1668 Před 23 dny +12

    Spika katulia sana

  • @levispaultitus8623
    @levispaultitus8623 Před 20 dny

    Well presentation for national ❤

  • @allironjo2698
    @allironjo2698 Před 23 dny +10

    Nimependa sana hasa ninapomuona Dr Tulia anaongea kwa heshima sana yani kama mwanafunzi wa darasa la pili kaitwa ofisini na mwalimu mkuu nimependa hongera spika wetu

  • @khalifaaliomar7989
    @khalifaaliomar7989 Před 22 dny +1

    Asante

  • @MSAMBWANYAKUSOTA
    @MSAMBWANYAKUSOTA Před 21 dnem

    Congratuation Dr. Tulia Akson for repsenting our nation

  • @Allybinamour
    @Allybinamour Před 23 dny +10

    Nadhani speaker anazunguka mbuyu saaaana,putin yupo tayar kusitisha vita wakat wowote kwa sharti ukraine iache mpango wake wa kujiunga na NATO,ushauri mwengine wowote hauzingatii ndo akamtolea speaker jicho kali mana anajua hajawa tayar na anachokizungumza.

    • @drgeraldcubwa481
      @drgeraldcubwa481 Před 22 dny +1

      Na hilo ndilo Spika anatakiwa kuwashawishi ma spika wote wamshauri Zelensky aachane na mpango wa kujiunga na NATO

    • @user-hq5qx1hu2x
      @user-hq5qx1hu2x Před 22 dny +1

      Tulia NI kama zeelenziky tu
      Hastahili kukaa na putin

  • @SamsonLalika
    @SamsonLalika Před 22 dny +3

    Hongera tulia mbunge wetu kwa kukutana na putin

  • @allythabiti8150
    @allythabiti8150 Před 23 dny +7

    Nataman siku moja Putin aje afanye ziara Tanzania ni mtu wa maana saana, kwanza ilifaa Tanzania tujiunge na umoja BRICS

  • @barakamwangeni6589
    @barakamwangeni6589 Před 22 dny

    Hongera sana mh Tulia
    Tanzania 🇹🇿 tunakupenda umetuwakilisha vema.

  • @NdovuDentalClinic_
    @NdovuDentalClinic_ Před 23 dny +3

    Hongera Sana Spika wetu kwa kukutana na Raisi wetu wa Africa, heshima kubwa sana

  • @josephminja7953
    @josephminja7953 Před 22 dny

    RAISI wa umoja wa mabunge,cyo Tanzania,cyo Africa, dunian, hakika nicheo kikubwa sana hongera MH tulia🎉

  • @davidmpiluka5224
    @davidmpiluka5224 Před 22 dny

    Hongera kwa kutuwakilisha vizuri.

  • @Thobiaslucaskipara
    @Thobiaslucaskipara Před 23 dny +4

    IPO KAZI

  • @mwarabukabandama3797
    @mwarabukabandama3797 Před 16 dny

    Big up🎉

  • @issakawaya8315
    @issakawaya8315 Před 22 dny +1

    Ongera mauwa yako❤

  • @jonahmathayo5156
    @jonahmathayo5156 Před 22 dny +3

    TULIA NI DOCTOR KWELIKWELI SHE DESERVES TO BE A PROFESSOR

  • @rashidkingazi3430
    @rashidkingazi3430 Před 20 dny

    Top imemuangusha bahna imejikunja daaah ila sio mbaya tanzania❤❤❤❤

  • @edgarlinus2720
    @edgarlinus2720 Před 22 dny

    Hongera sana Mh spika Tulia Akson

  • @maidimples8236
    @maidimples8236 Před 22 dny

    Ur accent is fly for sure🔥

  • @maniamba.tz_
    @maniamba.tz_ Před 23 dny +2

    Nilijua kaenda kama mwakilishi wa Serekali kumbo kama kiongozi wa Mabunge😂😂😂

  • @user-zr1ry5lm7d
    @user-zr1ry5lm7d Před 22 dny

    Kiongoz kam kiongoz mungu akubariki san mweshimiwa spika upo na future san mungu akubariki katika harakat zanko🎉

  • @MuungwaMtwana
    @MuungwaMtwana Před 23 dny +2

    Hongera dada usisahau kunoletea zawadi ya cm kutoka urus

  • @AdamuIbrahimu-e9m
    @AdamuIbrahimu-e9m Před 9 dny

    Safi spika wetu TULIA.

  • @georgeherman5613
    @georgeherman5613 Před 7 dny

    President Putin is so smart and well determined to success in every thing he tries

  • @GeradLeonard
    @GeradLeonard Před 21 dnem

    Hongera sana mh Tulia

  • @nyaturuboy1068
    @nyaturuboy1068 Před 22 dny +1

    I hope tulia will be the second women to be tanzanian president, let's wait time will tell I swear to god

    • @nth3512
      @nth3512 Před 22 dny

      Acha ujinga ww, hatuchagui mwanamke cc, ata huyo aliyopo kapita alternative way

  • @TOUNDISELASSIE-xj8oy
    @TOUNDISELASSIE-xj8oy Před 23 dny +10

    Tanzania tuna hazina kubwa ya viongozi wanaojiamini. Tuwaombee.

    • @ramadhanmahongole9293
      @ramadhanmahongole9293 Před 23 dny +3

      Wanajiamini kwa lipi kwa kuuza twiga zetu au?

    • @TOUNDISELASSIE-xj8oy
      @TOUNDISELASSIE-xj8oy Před 23 dny

      @@ramadhanmahongole9293
      Tulia ni spika wa bunge la Tanzania. Ni muhimili pia.

    • @johnv6916
      @johnv6916 Před 23 dny +2

      ​@TOUNDISELASSIE-xj8oy Binafsi sitawaombea nitaombea familia, ndugu na marafiki ila sio hao. Mhimili wa nini? Bunge la chama kimoja na zaidi ya 90% wameingia bila haki ata ukiwaombea ni kupoteza mda wakatubu kwanza kwa uporaji wa 2020.

    • @TOUNDISELASSIE-xj8oy
      @TOUNDISELASSIE-xj8oy Před 22 dny

      @@johnv6916
      Siasa ni propaganda, unaweza kuwahadaa watu wote kwa mara moja, ila sio kwa wakati wote. Siku moja wakiujua ukweli wa propaganda zako, wanakukimbia ama kukukwepa. Kama alivyofanya mchungaji msigwa. Hivyo nakushauri jenga imani na viongozi waliopo madarakani. Waheshimu, waombee, lakini pia usiache kuwashauri. Tulia ni kiongozi mahili na imara.

    • @johnv6916
      @johnv6916 Před 22 dny +1

      @@TOUNDISELASSIE-xj8oy siombei wezi wa kura mimi nitakua napoteza mda, pili uyo msigwa ni mchumia tumbo tu, tatizo lako unadhani mwanasiasa atabadili maisha yako ndio tatizo la waafrica, amna cha upunzani au chama tawala kitakachokuletea mabadiliko, nachokuambia pambania na ombea familia yako, nakuhakikishia ukiombea wezi wa kura hamna ombi lako litakalosikilizwa ni kupoteza mda.

  • @SilasKanunga
    @SilasKanunga Před 22 dny +1

    Inapendeza sana

  • @victorburetta2972
    @victorburetta2972 Před 23 dny +1

    ❤❤

  • @user-uh5rs7me2m
    @user-uh5rs7me2m Před 22 dny

    Tulia akson🔥🔥🔥🥰

  • @rev.thobias2756
    @rev.thobias2756 Před 2 dny

    HONGERA SANA MADAM MAAJABU YANAWEZA TOKEA TUKIAMINI MUNGU YUPO TANZANIA TUKIMWOMBA ANAWEZA YOTE LUKA 1:37 BY MAKAMU MWENYEKITI TAKURAWA DAR ES SALAAM TAASIS YA MAOMBI INAYOONGOZWA NA DR PETER RASHID DGF

  • @AthanasFrancis
    @AthanasFrancis Před 11 dny

    Long live African Queene!!

  • @godmbise-gj9ug
    @godmbise-gj9ug Před 15 dny

    Great Tulia Ackson

  • @selemanisabihi5994
    @selemanisabihi5994 Před 22 dny

    Mungu akujaze ujasili kwakazi mzuri❤❤❤

  • @mbwanamtessa8607
    @mbwanamtessa8607 Před 15 dny

    Wow....madame speaker congoreee

  • @The_Original44
    @The_Original44 Před 22 dny +1

    Piga kazi dada yangu🫡🙏❤️
    God Bless You All🙏

  • @SirPiere
    @SirPiere Před 23 dny +8

    Dah kweli tuongee na Putin the tujitambue ni nini tunafanya tusiende kama maonyesho kwa Putin ❤ just like it🎉 Doctor and Tanzanian speaker

    • @jimmandela
      @jimmandela Před 22 dny

      Inaonekana alikua na wakat mzuri nchini Russia kuliko alichoenda kuzungumza

  • @neemakyando2579
    @neemakyando2579 Před 20 dny

    Congratulation Tilia Ackson

  • @KelvinMtavangu-ow8yo
    @KelvinMtavangu-ow8yo Před 23 dny +2

    HONGERA SANA SPIKA WA KIMATAIFA. UAMBIE ULIMWENGU KUWA WAAFRIKA NI NANI! HAKIKA SPIKA WETU KWA MARA YA KWANZA WAONYESHE KUWA TANZANIA KUNA DEMOKRASIA ILIYOKOMAA. HONGERA Mh. SPika.

    • @IbniAbbas-yz3kt
      @IbniAbbas-yz3kt Před 22 dny

      Hamna kitu anaweza kumuelewa hapo anamuona kama kinyago cha maonesho tuu😅

    • @KelvinMauky
      @KelvinMauky Před 22 dny

      Hakuna democrasia bongo bali uwoga na kutishiwa tuh

    • @Sh_Taqee
      @Sh_Taqee Před 22 dny

      Wewe unaongelea Demokrasia ipi Tanzania? Kuiba Kura ktk Uchaguzi ndio Demokrasia?

  • @linusluka5358
    @linusluka5358 Před 13 dny

    Asante Mungu kwakutupatia viongozi imara wacio na uoga na wenye hekima

  • @swahilitheafricantongue7041

    Hongera yako mwanamama. Mshukuru sana Mungu amekuona

  • @MtazameKristoTv
    @MtazameKristoTv Před 21 dnem

    Hongera mama yetu

  • @zefamange7281
    @zefamange7281 Před 22 dny +3

    Mnafikiri urusi kuna msaada?😂

  • @EmanueliSimbwe-ru5fu
    @EmanueliSimbwe-ru5fu Před 19 dny

    Asante Tulia Ackson

  • @ebenezermachange-zp4es
    @ebenezermachange-zp4es Před 22 dny +1

    Glory be to God kwaajili ya speaker wetu

  • @NkwabiMasanja
    @NkwabiMasanja Před 22 dny +2

    Anavyomwagalia. Jamaa ivi huyu ndo aliyemuonea mpna au nipite nae au nimxbil akirud

  • @alfinmbilinyi5985
    @alfinmbilinyi5985 Před 22 dny +1

    Yeah Putin I love you so much come and invest in Tanzania we have enough urenium in the southern part and also construct us a good standard gauge railroad from mtwara to songea Ruvuma to boost the economy in mtwara development corridor.we love you Putin and Russia.karibu sana nchi ya Mwl.Nyerere.

  • @zuberkasim7150
    @zuberkasim7150 Před 22 dny

    Nimependa Brics ❤

  • @rodamkunda9081
    @rodamkunda9081 Před 20 dny

    Doctor. Tulia hongera sana kua kufafanua Marengo muhm ya kutaka amani dunian including Russia

  • @herilello4
    @herilello4 Před 22 dny

    Happening Macho

  • @holyspiritpropheticministr3687

    Nchi zetu bado changa sana na bado tuko kwenye usingizi ,wenzetu waliashaamaka zamani sana wanachoangalia ni their interest and what you broughout to them ,if it doesnot line with thier interest ,you are dead ,thus why Putin was very careful to listern and talk little ,It is the time for our mind to walk up and worked and tutoke kwenye usingizi na tujielewa tunataka nin ,na kwanin na tunapataje ,hata siaza zetu hatujui jinsi ya kuzicheza ,kiukweli with respect sijaona Mheshimiwa Spika alikuwa anazungumza nini na kwa Lengo gani hasa and sijaona Putin kama alikuwa anatake serious ,and nilichogundua Bado tunasafari ndefu sanaa Mungu atusaidie tutoke katika Huu usingizi bado tumelala,Since we dont know what do we want and Bora tungeongea hata biashara direct since eti zinazoitaji utekelezaji eti hiyo conversation eti Tulia na Putin wameificha and sasa kama wameificha kuna haja gani ya kutuonyesha this meeting dialogue?i make sense ,Inabidi ifike wakati tujitambue tunayoyafanya sioni kama kuna jipya ,Juzi tuliona mazungumzo ya PM Modi wa India na Putin and it is open conversation and Me i get Kuwa Putin alikuwa anamsikiliza Mheshimiwa speaker kwa Makini Sana ,This Peoples knows what their doing ,and With Respect ,sisi inaonekana like we have a long way to Go

  • @user-vy9en5ly1z
    @user-vy9en5ly1z Před 15 dny

    Wewe unastahili kuwa Mzungu Tena Mzaliwa Wa Golden family maana wewe ni very intelligent dadaangu Tulia.

  • @HABARIKATV-q3w
    @HABARIKATV-q3w Před 23 dny +2

    Duh aise noma putin

  • @TimothyAlex-it2lm
    @TimothyAlex-it2lm Před 16 dny

    Hongera Tanzania kwakutoa mtu kamili mwenye zamira nzuri na dunia Jamani TANZANIA ndiyo Taifa pekee lililo na fursa mbalimbali na ni Taifa ambalo limeteuliwa na kuandikwa kwenye VITABU vingi vya dini na vya farsafa za utawala asante Tulia Kama jina lako lilivyo tajwa na manabii wazazi wako tuliza kweli magomvi yanayotokea duniani by Engineer Mayala

  • @AtupokleLusago
    @AtupokleLusago Před 17 dny

    Hongela mama umetuwakilisha wa tz.

  • @eliudbeyanga8575
    @eliudbeyanga8575 Před 12 dny

    Safi spika wetu

  • @kibwetere1418
    @kibwetere1418 Před 22 dny +2

    Pootin jama katulia na tulia wetu

  • @joshuakitunzi9500
    @joshuakitunzi9500 Před 21 dnem

    Dingi alivokaza macho kikamanda,big up gentleman💪

  • @mwamvitamwebeyo5547
    @mwamvitamwebeyo5547 Před 21 dnem +1

    Anakushangaa rangi yakoooo..kuna sehemuu amecheka..
    Kwa kichwa😂😂

  • @zully756
    @zully756 Před 23 dny +2

    Kuingia BRICS kuna masharti, hawataki pro marekani.

  • @professorimmah
    @professorimmah Před 16 dny

    Mh tulia your very brain I really likely your talking

  • @emanwelmsuya7320
    @emanwelmsuya7320 Před 22 dny

    Mungu atuokoe na hiliwimbi la kinamama itafikia hatuatutaundiwa hakiza kinababa

  • @user-kd6hp1pl5k
    @user-kd6hp1pl5k Před 23 dny +10

    KAZI NJEMA SANA JEMBE LETU LA MBEYA CITY.MUNGU AKULINDE

    • @NkwabiMasanja
      @NkwabiMasanja Před 22 dny +1

      Jembe kwakoooo

    • @user-hq5qx1hu2x
      @user-hq5qx1hu2x Před 22 dny

      Mungu hawezi kumsamehe Acha unazi katika maslahi ya nchi.swala la mpina ni uonevu soma nilicho andika hapo juu

  • @igotv9978
    @igotv9978 Před 22 dny

    Sawa

  • @japhethrogasiano-hp3lj

    Mama tulia umeongea vizuri sana