VIDEO: SPIKA TULIA ACKSON AKUTANA NA RAIS WA URUSI 'PUTIN', AELEZA WALIYOZUNGUMZA
Vložit
- čas přidán 11. 07. 2024
- Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU) na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Tulia Ackson, amekutana na kufanya mazungumzo na Rais wa Urusi, Mhe. Vladimir Putin Jijini St. Petersburg nchini Urusi leo tarehe 12 Julai, 2024 ambapo katika mazungumzo yao wamejadili kuhusu namna bora ya kuimarisha amani Duniani.
Kuhusiana na mgogoro unaoendelea baina ya Urusi na Ukraine, Dkt. Tulia amesema “Kabla ya kuzungumza naye tayari tulishazungumza na Maspika wa nchi zote hizo mbili na sisi kama Umoja wa Mabunge Duniani tumezungumza naye kama Kiongozi wa nchi katika sura ambayo tunaweza kuziweka pamoja nchi zote mbili na tutarajie kwamba IPU itatengeneza fursa ya Mabunge ya pande zote ili kuweza kuzungumzia amani katika maeneo yao ya utawala”
Wakenya si walisema hatujui English wamuone spika wetu anavyopasua yai sasa.........kama wewe ni Mtanzania like hapa
Wao ndio hawajui
hata wakijua hiko kirengesa lakini mahindi wanafuata tz
Acha hizo ,Unaleta vitu na watu wa hovyo
Dah bro una akili finyu sana hivi waona walioserikalini hawajui kizungu
Sasa Kenya na kiingiresa Chao na kuandamana na masufuria kisa unga wapi na wapi sisi tulime tuwauzie wasije wakafa bure maana hicho kingereza pekee naona hawashibi MUNGU IBARIKI TZ
Oyaa kama unakubali putting alivyomkazia jicho spika wetu like hapa👍
Putin sio putting
😂😂😂 inaonesha hakuna hata 1 alokubaliana nalo katika aloambiwa.
Spika kapigwa jicho hilo
😂😂😂😂
@@rumdeesonsoa1811😂😂😂😂
Kazi nzuri sana rais wa mabunge Duniani uko vizuri kwa hilo,lakini usipika wa Tanganyika/Tanzania sijakuelewa vizuri Inshu ya bandari Inshu ya mpina mbuge mzalendo msema kweli mtetezi Adui wa mafisadi na wahujumu uchumi ukamfukuza bungeni Daaaa Itanichukuwa mda kuelewa
Shida sio yeye,sheria anazozitekeleza.
Mim naipenda urusi san na nataman urusi ije Tanzania kuwekeza kama nawew unaipenda urusi kuliko marekan gonga like yako hapo timu puttin tujuaje
U are not patriotic sometime i can say that u slave country my advice to u take of your slave u wanna to like your country
Napenda marekani na urusi50/50
Hongera Mh Tulia.Big up!
Putin hapepesi macho, kayakaza balaa, naye tulia katuliza akili balaaaa🎉🎉
Tunaomba tu asijichanganye maana uyo kiumbe nihatari asije akavigeuzia vinu kweny nch ytu ongea vzr mama
😂😂hapo akizingua atamkimbiza
Yaan tulia anajieleza weee mwamba bado anatafuta point ni ipi😂
😂😂😂😂@@FerdinandCharles-ko7de
@@nimujocentre2173 😁😁😁 kweli
Congratulations on your great presentation Tulia Ackson. Tanzania TUNASABABISHA!
Big up madam speaker,I'm proud of you❤
Namuomba Mwenyezi mungu asimamie mahusiano mema ya TANZANIA na RUSSIA pia urafiki katika nyanja zote haswa kiuchumi, kisiasa, kijamii, kiutamaduni na kiteknolojia na mengine mengi Amina. 💗💕
Putin aje Tanzania jaman naomba
shida wamerakani hawapendi
Tanzania has gone far not only competitiveness revolution but political revolution 👍👍
Ungenda kwa Biden ungesikia Tulia must go😂😂😂
Mzee anaona kama anapotezewa muda2
Ningumu Tulia ni Rais wa mabunge Duniani ndiomana lazima amsikilize
🎉🎉🎉
Tulia akitaja IPU mwamba anazidi kukaza jicho 😅
Acha wenge ww
Aya mambo bwana sasa uyu mama anamwambia nn putin
Tz to the world superb sana @tulia
Mm kama mm nnaihitaji Urusii kuliko Marekani Kwa sasa maana hapa tulipo tupo kama sehem ya influence ya America na EU so we can change mode of action
mwambie na ss tunataka awe mshilika wetu tuachane na machoko atujengee vinu vya nyuklia dunian akuna amani ww auwezi kumshauli chochote
Kijana unataka Vinu😅😅
Waliomchagua unadhani hawajui uwezo wake, wewe kapuku ndio una jicho la tatu la kuona hawezi kumshauri chochote, ila umesahau akili za mwadamu huishi kwa kutegemeana, maandazi wewe
Kweli hawezi kumshauri Putin chochote maana hilo jicho alilomkata daah
Haaaaa haaaaa
Mheshimiwa spika mshauli Mzee putin mwambie aandae makombora ya nyukria Mzee wakuyavurumisha nipo nije nimchape mmarekani na washirika wake
Big up our speaker Tulia Ackon,Tanzania tunajivunia sana kuwa na Kiongozi mashuhuri kama wewe.May our mighty God bless you.
Dada yangu Tulia Ackson nakupenda sana katika Bwana, God has created you with a lot of benefits for others. I real appreciate your efforts towards responsibilities.
Tanzania has to make a very strongly tie with russia.Tanzania has to make the right decision to trade and technological share.I urge all africa to tie and trde with russia.
Respect putting
Hatua kubwa sana madam tulia
Putin ni hatari
❤ madam tulia spika wetu mpendwa tunakuamini sana ila Mr putin hapepesi macho amekusikiliza kiumakini sana mzuri sana madam tunakupenda,kz iendelee
Asante uwe na Mungu daima,,,,,kiongozi nakuona mbali sana katika nafasi ya siasa.Utakuwa kiongozi furani ivi pale juuuuuuuu
Jamaa anasoma saikolojia 😂😂😂😂 this guy, is intelligent
Safi sana Mhe. Speaker 👏💯
Mweshimiwa kazi nzuri naomba zawadi ya kirussi mama
Kirusi cha UTI 😂😂
Big up to sipika Tulia Rais ajaee
Jaman dada yngu mungua akutunze
noma
Asante sana kwa kazi ya kuleta amani . Heri kwa nchi yetu Pendwa kupata nafasi hii.
Hakika huyu turia kaenda kwaishugani jamani kama hatuuzwi mm chizi hawa wanatuuza😢😢😢
Mnyakyusa anaflow balaaa❤
I appreciate your work our leader Tulia Akson mungu awe nawe na akutie nguvu .
Jamaa jicho alichezi sio poa
Spika katulia sana
Kama jina lake
Well presentation for national ❤
Nimependa sana hasa ninapomuona Dr Tulia anaongea kwa heshima sana yani kama mwanafunzi wa darasa la pili kaitwa ofisini na mwalimu mkuu nimependa hongera spika wetu
anakufaidiisha na nini
Haaaaaa haaaaaaaa
Duuuuuh! Wewe Jamaa hatari sana. Umenivunja mbavu
😂,,😂😂
Asante
Congratuation Dr. Tulia Akson for repsenting our nation
Nadhani speaker anazunguka mbuyu saaaana,putin yupo tayar kusitisha vita wakat wowote kwa sharti ukraine iache mpango wake wa kujiunga na NATO,ushauri mwengine wowote hauzingatii ndo akamtolea speaker jicho kali mana anajua hajawa tayar na anachokizungumza.
Na hilo ndilo Spika anatakiwa kuwashawishi ma spika wote wamshauri Zelensky aachane na mpango wa kujiunga na NATO
Tulia NI kama zeelenziky tu
Hastahili kukaa na putin
Hongera tulia mbunge wetu kwa kukutana na putin
Nataman siku moja Putin aje afanye ziara Tanzania ni mtu wa maana saana, kwanza ilifaa Tanzania tujiunge na umoja BRICS
Hilo ndo hitaji letu
Si mnasema wapinzani wanajipendekeza kwa mabeberu
Hongera sana mh Tulia
Tanzania 🇹🇿 tunakupenda umetuwakilisha vema.
Hongera Sana Spika wetu kwa kukutana na Raisi wetu wa Africa, heshima kubwa sana
RAISI wa umoja wa mabunge,cyo Tanzania,cyo Africa, dunian, hakika nicheo kikubwa sana hongera MH tulia🎉
Hongera kwa kutuwakilisha vizuri.
IPO KAZI
Big up🎉
Ongera mauwa yako❤
TULIA NI DOCTOR KWELIKWELI SHE DESERVES TO BE A PROFESSOR
Top imemuangusha bahna imejikunja daaah ila sio mbaya tanzania❤❤❤❤
Hongera sana Mh spika Tulia Akson
Ur accent is fly for sure🔥
Nilijua kaenda kama mwakilishi wa Serekali kumbo kama kiongozi wa Mabunge😂😂😂
Kiongoz kam kiongoz mungu akubariki san mweshimiwa spika upo na future san mungu akubariki katika harakat zanko🎉
Hongera dada usisahau kunoletea zawadi ya cm kutoka urus
Safi spika wetu TULIA.
President Putin is so smart and well determined to success in every thing he tries
Hongera sana mh Tulia
I hope tulia will be the second women to be tanzanian president, let's wait time will tell I swear to god
Acha ujinga ww, hatuchagui mwanamke cc, ata huyo aliyopo kapita alternative way
Tanzania tuna hazina kubwa ya viongozi wanaojiamini. Tuwaombee.
Wanajiamini kwa lipi kwa kuuza twiga zetu au?
@@ramadhanmahongole9293
Tulia ni spika wa bunge la Tanzania. Ni muhimili pia.
@TOUNDISELASSIE-xj8oy Binafsi sitawaombea nitaombea familia, ndugu na marafiki ila sio hao. Mhimili wa nini? Bunge la chama kimoja na zaidi ya 90% wameingia bila haki ata ukiwaombea ni kupoteza mda wakatubu kwanza kwa uporaji wa 2020.
@@johnv6916
Siasa ni propaganda, unaweza kuwahadaa watu wote kwa mara moja, ila sio kwa wakati wote. Siku moja wakiujua ukweli wa propaganda zako, wanakukimbia ama kukukwepa. Kama alivyofanya mchungaji msigwa. Hivyo nakushauri jenga imani na viongozi waliopo madarakani. Waheshimu, waombee, lakini pia usiache kuwashauri. Tulia ni kiongozi mahili na imara.
@@TOUNDISELASSIE-xj8oy siombei wezi wa kura mimi nitakua napoteza mda, pili uyo msigwa ni mchumia tumbo tu, tatizo lako unadhani mwanasiasa atabadili maisha yako ndio tatizo la waafrica, amna cha upunzani au chama tawala kitakachokuletea mabadiliko, nachokuambia pambania na ombea familia yako, nakuhakikishia ukiombea wezi wa kura hamna ombi lako litakalosikilizwa ni kupoteza mda.
Inapendeza sana
❤❤
Tulia akson🔥🔥🔥🥰
HONGERA SANA MADAM MAAJABU YANAWEZA TOKEA TUKIAMINI MUNGU YUPO TANZANIA TUKIMWOMBA ANAWEZA YOTE LUKA 1:37 BY MAKAMU MWENYEKITI TAKURAWA DAR ES SALAAM TAASIS YA MAOMBI INAYOONGOZWA NA DR PETER RASHID DGF
Long live African Queene!!
Great Tulia Ackson
Mungu akujaze ujasili kwakazi mzuri❤❤❤
Wow....madame speaker congoreee
Piga kazi dada yangu🫡🙏❤️
God Bless You All🙏
Dah kweli tuongee na Putin the tujitambue ni nini tunafanya tusiende kama maonyesho kwa Putin ❤ just like it🎉 Doctor and Tanzanian speaker
Inaonekana alikua na wakat mzuri nchini Russia kuliko alichoenda kuzungumza
Congratulation Tilia Ackson
HONGERA SANA SPIKA WA KIMATAIFA. UAMBIE ULIMWENGU KUWA WAAFRIKA NI NANI! HAKIKA SPIKA WETU KWA MARA YA KWANZA WAONYESHE KUWA TANZANIA KUNA DEMOKRASIA ILIYOKOMAA. HONGERA Mh. SPika.
Hamna kitu anaweza kumuelewa hapo anamuona kama kinyago cha maonesho tuu😅
Hakuna democrasia bongo bali uwoga na kutishiwa tuh
Wewe unaongelea Demokrasia ipi Tanzania? Kuiba Kura ktk Uchaguzi ndio Demokrasia?
Asante Mungu kwakutupatia viongozi imara wacio na uoga na wenye hekima
Hongera yako mwanamama. Mshukuru sana Mungu amekuona
Mshukuru nawewe mungu kwa nafasi yako
Always namshukuru sana
Hongera mama yetu
Mnafikiri urusi kuna msaada?😂
Asante Tulia Ackson
Glory be to God kwaajili ya speaker wetu
Anavyomwagalia. Jamaa ivi huyu ndo aliyemuonea mpna au nipite nae au nimxbil akirud
Yeah Putin I love you so much come and invest in Tanzania we have enough urenium in the southern part and also construct us a good standard gauge railroad from mtwara to songea Ruvuma to boost the economy in mtwara development corridor.we love you Putin and Russia.karibu sana nchi ya Mwl.Nyerere.
Nimependa Brics ❤
Doctor. Tulia hongera sana kua kufafanua Marengo muhm ya kutaka amani dunian including Russia
Happening Macho
Nchi zetu bado changa sana na bado tuko kwenye usingizi ,wenzetu waliashaamaka zamani sana wanachoangalia ni their interest and what you broughout to them ,if it doesnot line with thier interest ,you are dead ,thus why Putin was very careful to listern and talk little ,It is the time for our mind to walk up and worked and tutoke kwenye usingizi na tujielewa tunataka nin ,na kwanin na tunapataje ,hata siaza zetu hatujui jinsi ya kuzicheza ,kiukweli with respect sijaona Mheshimiwa Spika alikuwa anazungumza nini na kwa Lengo gani hasa and sijaona Putin kama alikuwa anatake serious ,and nilichogundua Bado tunasafari ndefu sanaa Mungu atusaidie tutoke katika Huu usingizi bado tumelala,Since we dont know what do we want and Bora tungeongea hata biashara direct since eti zinazoitaji utekelezaji eti hiyo conversation eti Tulia na Putin wameificha and sasa kama wameificha kuna haja gani ya kutuonyesha this meeting dialogue?i make sense ,Inabidi ifike wakati tujitambue tunayoyafanya sioni kama kuna jipya ,Juzi tuliona mazungumzo ya PM Modi wa India na Putin and it is open conversation and Me i get Kuwa Putin alikuwa anamsikiliza Mheshimiwa speaker kwa Makini Sana ,This Peoples knows what their doing ,and With Respect ,sisi inaonekana like we have a long way to Go
Wewe unastahili kuwa Mzungu Tena Mzaliwa Wa Golden family maana wewe ni very intelligent dadaangu Tulia.
Duh aise noma putin
Hongera Tanzania kwakutoa mtu kamili mwenye zamira nzuri na dunia Jamani TANZANIA ndiyo Taifa pekee lililo na fursa mbalimbali na ni Taifa ambalo limeteuliwa na kuandikwa kwenye VITABU vingi vya dini na vya farsafa za utawala asante Tulia Kama jina lako lilivyo tajwa na manabii wazazi wako tuliza kweli magomvi yanayotokea duniani by Engineer Mayala
Hongela mama umetuwakilisha wa tz.
Safi spika wetu
Pootin jama katulia na tulia wetu
Dingi alivokaza macho kikamanda,big up gentleman💪
Anakushangaa rangi yakoooo..kuna sehemuu amecheka..
Kwa kichwa😂😂
Kuingia BRICS kuna masharti, hawataki pro marekani.
Mh tulia your very brain I really likely your talking
Mungu atuokoe na hiliwimbi la kinamama itafikia hatuatutaundiwa hakiza kinababa
KAZI NJEMA SANA JEMBE LETU LA MBEYA CITY.MUNGU AKULINDE
Jembe kwakoooo
Mungu hawezi kumsamehe Acha unazi katika maslahi ya nchi.swala la mpina ni uonevu soma nilicho andika hapo juu
Sawa
Mama tulia umeongea vizuri sana