Apart from hayo yote, hio pia ni attempted kidnapping. Wacha still attempted murder, kwa kumsukuma nnje ya moving vehicle, na, katikati ya barabara. Ambapo, hata gari ingine ingemgonga na maybe kumuua au kumpa majeraha makubwa. Watanzania, mnahatarisha maisha yenu, kuruhusu mtu au watu hatari km hawa, kuwa dereva wenu. Jueni, bibi zenu, mama zenu, watoto wenu, wezee wenu... woteee mpaka marafiki na majirani zenu, hutegemea hii aina ya transportation, mara kwa mara. Wanainchi, tafathali, mkipuuza hili jambo, mtakua mmehatarisha maisha yenu sasa and in coming days. Mnangojea mmoja wenu afe kwa njia hii ndio muamke? Remember tena, au, linganisha nguvu ya bajaji and all that sorrounds it, eg magari, barabara ya lami, other motorist etc etc. Ndugu watanzania, mnapatia madereva km hawa, hizo nguvu za ku decide na maisha yenu na jamii yenu? Wah!!! Hata km Africa inasemekana ni nnchi ya ... ... ... .Please amkeni, hatuko nyuma hivyo tafathali. Tumeruhusu 'kulala... or 'sleep on job'. Please tuchunge maisha. Sikitiko.
Nimeumia sana ila ndugu zangu aya maisha ni mafupi na sote njia yetu ni moja...basi inahitajika huruma katika maisha yetu... Kidogo dreva kaonesha ustaraabu na kukubari makosa yake hivo tuwaombee kwa Allah aya yaishe salama. Lkini vijana tujifunze hustahimilivu katika utaftaji siku zote katika utaftaji kuna changamoto na mafanikio yalipo tujifunze ustahilivu vijana wenzangu (subra)
Hapo siyo kujua kujieleza. Ila ukweli na huwongo huwa vinajitenga, haviwezi kukaa pamoja. Ndiyo maana unaona bolt pia wanasita kutoa hukumu ya moja kwa moja.
HILO NI FUNDISHO kwadada wengine, ukiona kawambia mshuke haingii ndani shuken hataki kuingia hasara wadada wengi ni watata huwa hawalipi wanambadilikia dereva baada ya kuingia alipe meenyewe wakati wakutoka, pili ikitokea jamaa anaondoa bajaji kurudi mliopo toka tulieni , tumieni lugha kiungwana sio ya matusi na kumtisha,kumuitia polisi au kumsemea bolt afungiwe, sikilizeni haha jamaa wa boda na bajaji wanarisk sana maisha yao barabarani , jaribuni kuwa heshimu kazi ya kuendesha chombi cha moto ni changamoto sana, zina stress sana kuwabeza ,, Kunawengine nimeshudia dereva katukanwa, kashindwa kuvumilia kabaki bajaji ,kamshukia abiria kwenda kumtwanga ngumi, raia ikabidi tuingilie kati maana dereva alipanik sana, yule mdada bado alikuwa akipolomosha matusi. na mwisho ushauri kwa akina dada msipende kujiweka hatarini kwa kujifanya kumando unataka kuruka, au kujifanya jeuri utamzingizia kesi, sasa angalia unavyoteseka masikini hufanyi kazi hali imeshakuwa mbaya.
Poleni sana wadogo zangu wakiume poleni sana kaka zangu poleni sana watoto wangu wakiume nimesema hivi huwa mnapitia changamoti sana ktk utafutaji na tena mkifika nyumbani mbakutana na changamoto za wake zenu na tena ambao huwa wanatetewa ni wanawake
Ktk utu uzima wangu nilichoexperience jinsia Me wanachangamoto nyingi mnoo humu duniani sema wameumbiwa koromeo. Mungu awakumbuke ktk hasle zenu......🙇
Pole sana dad mungu akufanyie wepesi...... ila kwan hapo nje na nadani kuna umbali gani 🤔 mngeshuka tu kuondokan na some unnecessary complication ..na why dereva alichukulia hasira ya kutaka kuwarudisha walipotoka angemalizana nao kiume 2 yangisha ..na nyie wanawake hamuogopi kuruka wakti bjaji inaenda ?🤔🤔 Duuuh na i hope mpaka dereva amechukua maamuzi ya kuwarudisha hao wadada walimjibu kweli vibaya maana wanawake nao 😶 hyaa poleni woote mungu ataleta haki ya kila mmoja
Kwa maelezo ya driver inaonekana ni kweli hawa wameruka wenyewe jamani. Kwa kuibiwa milion 10 sio rahic. Kwa kweli mimi sio mkazi wa TZ. Lkn kwa mwaka nakuja mara 3 kuona wazazi na familia. Karibia safari zetu nyingi tunapanda bolt. Ila cjawahi kuona tatizo lolote ktk usafiri kwaweli.
Wanaokuja ku comment HP wengi ni wanawake, lkn jua tu Leo kwake kesho kwako, ushauri wangu ukiwa unafanya kazi usiwe na hasira sabbu kazi zote Zina changamoto, hmna kazi nyepesi, hvyo tupunguze hasira kazini jmn
unatakiwa kujua kuheshim kaz ya mwingine and mfanyakaz ni binadam wa kawaida na binadam yeyote lazima awe na emotion so wewe pia usiwe na hasira wala kibur kila mmoja atakua mwema kwako
Abiria wengi wanakujaga kwenye hzi public transport wakiwa na emotions ambazo cyo nzuri kutokana na na sababu zao wenyewe Sasa wanataka kumtrit dereva kama kama mtt mdogo, na isitoshe wadada wana luggage chafu sana pale inapotokea kutokuelewana, japonica si wote
Inshu wadada Kuna vitu ambavyo havitakiwi na bolt mkiambiwa hv haiwezekani mnafos hiyo mm ilishanikuta sana abilia tunashusha nje ikiwa unataka kuingia ndan toa TAARIFA Kwa dereva mapema akimaliza safar nje ndan haingii pili sikiliza vizuri maelezo ya dada inaonyesha alikuwa analazimisha kuingia ndani Kwa bei ya request ndio maana dereva alikataa na walikuwa hawataki kutoa hela Mm nimeshawaweka ndani police abilia wawili Kwa tabia hizo hizo nimefika mwisho wa safari una leta Sheria za nyumban Kwako bolt ni kampuni Ina Sheria na taratibu zake inapaswa zifuatwe abilia wakike mnaongoza Kwa kuwa wajuaji wa Kila kitu na hamtaki kueleweshwa kuwa utaratibu uko hv mna command tu
Kabisa alileta dharau Bajaj sio kichaa kama kungekuwa na case kama hiz tunegesikia case nying,huyu dada anamakosa a acheni kuwaharibia bajaji, mtafute na dereva wa bajaji umuhiji acha kusikiliza shida za upande mmoja sky
Hii kitu usiombe yakukute,imewahi nitokea nashukuru Mungu Huber walinisaidia Kwa kunionyesha red na kuniambia call police your going wrong direction..,Ilibid nianze kumwambia nishushe ..haki ya Mungu niliomba Kwa upole nikasema samahi geuza kuna kitu nimesahau alafu akawa mkali na kunifokea pia as speed Kali ,Niliogopa alafu alikuwa anachati SMS .. Asante Mungu kuokoa Maisha yangu na pia ilikuwa usiku WA manane nimetoka kumpeleka mama yangu alikuwa akisafiri. Usiombe yakukute ..pole Sana dada ..
Me ningependa kuiomba serikali kwenye inshu ya mtu kuumia au kupata ajali unapitia polisi kwanza kupata PF3 then unaenda hospital itolewe watu wengi sana wanapoteza maisha kwa kuchelewa kupata huduma kwa haraka wakirusubiria iyo PF3 unakuta unamaumivu makali either umevunjika unaenda polisi badala ya hospital kutibiwa nadhani waliowahi pitia situation hii wanaelewa zaidi uwekwe utaratibu either PF3 iwe inatolewa hospitalini🙏🙏🙏
Ebu subirini kwanza uyo ndio wa kwenye picha ?😢😢😢 ila ule ukweli natumia sana bajaji na nilicho gundua wadada wengi tumekosa heshima na ustaarabu yani tumekosa ile haiba ya kike unakuta mdada kisa analipia anataka kufoka foka tu au dereva afanye vile anavyo taka yeye kitu ambacho sio sawa kwanza ata kama unalipia huduma tujitahidi kuongea na kuelekezana kistaarabu watu wanapitia mambo mengi kwenye maisha yao afu bado uje umletee mambo meusi ndo mnasababisha watu wanafanya vitu ambayo havikutarajiwa 😢 Mungu akusaidie upone haraka
Sio kufokea nipesa kama aliboltiwa alitakiwa aende seem husika na pesa yake inasoma sio uishie njian angekua na haraka angeomba angeeleweka wengi hawana kaul nzur kimenikuta icho k.koo
Dereva wa bajaji yuko sahihi sana mwanzoni kabisa nilitamani kumtukana bolt ila nilivosikiliza kwa umakini mpaka mwisho nimegundua wadada wanamakosa dereva hana kosa kabisa ila kitu alichokosea nipale mdada wakwanza alivoruka ilitakiwa bajaji nae asimame hakutakiwa kuendelea na safari hili ndilo kosa kubwa alilolifanya dereva daaah😢😢😢😢😢😢
@@suleimanbalemba3348 hii kuwa responsible ni ule uoga wetu na tamaduni zetu tu,lkn kisheria utakiwi kuwa responsible kwa chochote,ili mkamalizane mahakamani.
@@giftmbepwa7849 mm ni dereva wa hili Jiji ata police wanajua Abiria akileta ukorofi usipige nae kelele mpeleke police na Abiria akigoma kushuka kwa mujibu wa latra usafiri mtandao unamrudisha ulipo mtoa dereva alikuwa anatimiza wajibu wake kuwarudisha alipo watoa ata mm simuonei huruma ata kdg huyo dada najua kamjibu ovyo Hawa madada wa vyuo wakishajua yes no wanaona wamemaliza wanaleta dharau wakati sisi wenyewe tumepita vyuoni uko Ajira tumekosa tumeamua kujiari kwenye hivi vyombo vya moto ila elimu tunayo ata kuwazidi walio wengi wanaofanya kazi hizi za mitandao ni educated people
Dereva kafikisha bajaji nje wameambiwa washuke hawatak wanataka wapelekwe ndani na kwa mujibu wa Dereva alisema walikua hawana kauli nzuri so Dereva kwa hasira akasema awarudishe Sinza maana hawakutaka kushuka nje yeye akatoa bajaji kwa hasira
Uwenda waliruka lakin kosa lake ni vile umemaliza safari unaondoka na abilia kumpeleka wapi sasa? Pili sio kweli kua huwezi msukuma mtu kisa unakua unatumia mikono yoye hilo linawezekana kusukuma Tatu uwenda wote wana makosa lakini mzizi wa haya yote ni dere kugeuza na abilia angetafuta namna ya kulimaliza bira kugeuza nao.
yes uwezekano wa kumsukuma upo..coz maelezo ya yule dada alisema alikua akichungulia nje so inakua ni rahisi kumsukuma hataa kama dereva anaendesha chombo...huyo ni mwanaume ana iyo nguvu ya kupush
Wazazi badala ya kuwa wakali,tuwafundishe watoto wetu jinsi ya kujieleza na kujenga hoja...ni silaha kubwa sana,wengi wanakosa haki kwa kushindwa kujenga hoja na kujieleza,hawajui ni wakati gani wa kuongea na ni wakati gan wa kunyamaza
@@khaalidcheo5383wakati mwingine madereva nao ni balaa kuna wakati nilipigiwa simu na bolt wakiulizia simu ya abiria alie panda kabla yangu kama nimeiona kiukweli nilishangaa kwasababu wakati nashuka kwenye bajaji kuna kitu kilidondoka na mwenye bajaji akaniuliza umedondosha nini nilivyo geuka kuangalia nikaona ni simu lakini haikua yangu kwahiyo nikajua ni ya dereva nikamwambia simu yako ndo imedondoka sasa nikarudi kuiokota na kumpa wakati nampa ile simu ilikua inaita na jina linetokea (my love) lakini kulikua na picha ya mwanamke nikapata mashaka pengine hata simu sio ya dereva ila sikujali nikampa simu yake nikaondoka baada ya siku mbili napigiwa na bolt wanauliza kama niliona simu nikawaambia ndiyo niliona na nilimpa dereva nikajua tu dereva atakua alisingizia mimi lakini nilinyoosha maelezo kwa bolt na hawakunipigia tena nahisi walifanikiwa kuipata ila madereva hawaaminiki
yani hivi vidada vikishafika mjini hivishikiki,yani wanajiona kama miungu watu istoshe vimetoka familia maskini mazingira ya porini afu wakishafika chuo wanajiona kam wamefika binguni yani mimi siwezikuwapa sheria hivo vidada vyenyewe ndo vina matatizo kwanza vinaonekana vimalaya tu. hakuna jipya hapo,vinaleta masiara na maisha
Kesi ngumu sana hii, Mfano wa Tembo aliyepatikana akiwa amekatwa pembe na kubakwa.. cha muhimu kampuni ya Bolt ifidie matibabu dada arudie uzima wake,.. Nimekomenti kutoka kenya🇰🇪 napenda Mwanza na tanzania kiujumla kama sio nyie singekuwa hapa nilipo
Huyu derever akamatwe awekwe ndan huu ni ukatili mkubwa alaf mbaya zaid compn nzima ya bolt inaonekana kuto kumjali hu siyo ubinadam nawala siyo utanzania huyu mtu achunguzwe vizuri huyu ni mnyama ndo hawa wavamiz wa nch yetu watanzania hatuko hivyo me sjawah kuona ukatil wa namna hi je mtoto wawa watu ziwa likioza itakuwaje au angekanyagwa na gar 😭😭😭😭
Jambo la kwanza mlango wa bajaji ni mdogo sana kwa umri wake hata kaka angesukumwa asingetoka nje kwa sabbu ya udogo wa mlango na pia dereva anakusukuma vip akiwa anaendesha?? Bajaj huwez kuachia mikono yote miwili sas usiniambie kwmaba alisukumwa na mkono mmoja akatoka mpka mlangoni hilo sio kweli labda kama alikua amekaa pale mbele ya dereva ni rahis kuanguka lakin kama alikaa nyuma haiwezekani kabisa yaan never
Yaani najaribu kuwaza sitetei dereva ila hapa lazma huyu dada alipata woga na akataka kutoka ikiwa bajaji Bado Iko mwendo hivyo huenda shoga angu akafos kuruka nje nakuanguka kuumia pole kwake
Ukiwasikiliza wanawake unapotea, wanatumia kigezo cha unyonge kutunga story, mwanamke ni mtu mbaya sana akitaka kukuangamiza, hao wadada ni waongo, kwann aseme polisi hakutoa maelezo wakat yeye ndo kaathirika na alikaa nje, hao ni majeuri wanao tafuta huruma ya jamii, mtaan kuna mambo meng, dereva hana hatia
sns mpo vizuri.. Mmejitahidi sana kubalance story.. Dereva bajaji hawezi sukuma mtu wakati anaendesha.. Uyo dada aseme tu ukweli kama anaitaji msaada wa matibabu kwa uzembe wake mwenyewe.
Hawa wadada watapoteza haki yao kwa sababu ya kusikiliza maneno ya watu imagine mnaenda kushitaki mmepoteza milion 10 halafu shughuli mnayoifanya mtu akiangalia hawezi amini kama mlitembea na milion 10 ndani ya usafiri pia dereva hawezi kumsukuma abiria huku anaendesha,nadhani wangeenda Street wangesaidika mapema
Hahahahahaha tatizo watoto wa kike wanapends raha sanaa, ww ushafikishwa mlimani nje, unataka lazima ufikishwe ndani hahahaha shuka ingia ndani kwa mguu, kulegeee snaaa
NA SIO VIBAYA NA SISI KUTOA MAONI KAMA WAZAZI,NDUGU, JAMAA, MARAFIKI NA JAMII KIUJUMLA🤝, HILA KTK HAYO MAONI SIO VIZURI SANA KUTOA HUKUMU YA TUKIO ZIMA... NA KUMKANDAMIZA MOJA PENGINE NDIO MWENYE HAKI⚖️...
Sasa baada ya deleva kugoma kuingia si mngeshuka tatizo na nyny mtakuwa mligoma kushuka mnampetezea mtu mda mana ilo lilikua ni umbi kuingia ndan either likubaliwe au likataliwe nyinyi tatizo mnazalau watu
Mimi ni dereva wa bolt wa gari na ni mwanamke, lakini hawa wateja wetu hasa hawa mabinti ni wakolofi sana na wanadharau sana, mtu umeshafika unang'angania nini? Halafu ni WAONGO SANA
@@user-pv8zg8ps9sAloyce anasema aliamua kuwarudisha Sinza does it make sense kushindwa muingiza mtu getini kwakuwa upo nnje ya muda bt he was willing kuwarudisha Sinza???
Kiukweli dereva bajaji hawezi kumsukuma mtu itakua bajaji ilivyokua inaondoka kwa haraka wao walijaribu kuruka ili waokoe maisha yao wakisahau kua ni hatar,hii ilisha nikuta mimi nilikua natokea kawe ilikua usiku nilikaa jirani na mlango wa bajaji nlikua nachezea simu yangu ikaniponyoka ikadondoka chini muda huo bajaji ipo speed mimi niliruka ili niokote simu uku nikimwambia dereva simama dereva alisimama mbali kidogo mimi tayali nlikua nsha ruka niliumia sana kiasi kwamba dereva ndio alikuja kunibeba na kuniweka ndani ya bajaji alinionea huruma alinipeleka adi nyumbani tabata akaniambia nisirudie tena kuruka ntakuja kufa,ivyo dada mgonjwa pole sana pia ni vyema kua mkweli ili upate kusaidiwa sio vyema kumuharibia mtu ambae pengine anategemewa kwa kusukumwa kwenye bajaji na dereva sina hakika labda kama kunamtu ulikua umekaa nae nyuma yeye ndio kakusukuma iyo sawa ila nisiongee sana Allahhu yaalam ,mafuta hujitenga na maji ...nikutakie kila la kheri na upone kwa haraka pole mdogo wangu pia pole kaka dereva kila la kheri kwa wote
😂😂ata vyombo vingelikua vya bott nani atoe kiulaisi milioni kumi wanataka vya bule watajilikie hapo mikundu awa wadada awajui kazi hii ilivyokua ngumu...🎉🎉
Ishu ipo very clear hawa wadada wana makosa wanatafuta sympathy mtandaoni, bajaj hana kosa hapo. Hawa wadada especially wa 2000's wengi wao hawana nidham vina midomo sana.
Shortly root yake ilikuwa inaishia nje na sio ndani, unapokodi bolt ukiingia tu ndani ya usafiri ana click destination anapofika maana yake safari imeishia hapo, na ndio maana aliwauliza kwanini msingesema mapema? Tatizo wadada wengi hudharau kazi za watu wakidhani waendesha bajaji na pkpk wameshafeli maisha hivyo hawastahili kiheshimiwa na kuongea nao kistaarabu, pesa mali magari ni vitu tu, lakini utu na ustaarabu ni kila kitu hata mbele za Muimba ustaarabu na utu vinathamani na thawabu.
Wewe unaweza kuachia bajaji na kumsukuma mtu...acha hzo kaka ungemua mdada wa watu...na tabia zenu kujifanya mnamihasira ya kifala kidogo tu mnawasha bajaj na kuondoka ndivo mlivo...utasikia ntakurudisha tulikotoka kuwen na huruma
@@aprilrosaliapanda4895 nikukopeshe mwenye hela anajulikana tu wameenda kufungua kesi police wakataja vitu walivyo poteza ili kumkomoa dereva kwani wangesema hata m1 imepotea si wangepewa m10 nikumkomoa mtu na malipo nihapa hapa kwenye aridhi ya Samia 😂😂
Me mwenyew bolt ila abiria mnakuaga na Nongwa sana. Mfano mteja Ana request kituo flani ukifka kw destination yake anataka umpeleke mbele zaid ana dai huko anako enda, location haisomi tena badala aombe anaforce kupelekwa huko. Au una requestiwa unamsubir mtu hata 30min afu ukimpgia unaskia subir kma huwez cancel kwel
@@Theman-dn8vo ni wachache ndiyo wastarabu Kwa mfano Kuna siku nimepanda bajaji kimara temboni ninashuka baruru bei ni elfu 1000 me Nina elfu 10 yn yule kaka alinigombeza sijui kitu Gani kwann sijawaambia km Nina elfu 10 yy ana Chechi ikabidi nimulize me ningeota km una Chechi ila alikasika htr sema nilikuwa kimya tu akaenda kuomba Chechi kwny mwendo Kasi ila aliongea mno tn maneno ya ajabu
Sema nilichogundua hapo km ni kweli Hawa wadada wameandika million kumi ni uwongo akuna mtu anaweza kuwa na million kumi hp ila madereva wa pkpk na bajaji Huwa wamevurungwa mno
@@naturelle1097mjinga mjinga huyu shida yao wanapenda snaa raha, sehemu ya hatua 10 anataka bolt impeleke na ndo maana hawa watoto wa kike wanakufa sn kwenye hizo bajaj na bodaboda
Mimi mwenyewe mwaka 2014 niliwai kuona abiria wakike akiluka kwenye bajaji alivyofika chini akapiga akaanguka vibya tunaenda pale kumpa msaada tunakuta kazimia yule dereva akarud kamchukua na kumpeleka hospital sisi abaria tunapaswa kupewa elimu zidi ya vyombo vyamoto sio chombo kipo barbarn unafny tu maamuz yakuluka kisa unastress uko za mpenz wako au maisha yko bas ndio inakua advantage ya kuwPa madereva wakati mgumu
Hatua za kisheria zichukuliwe jamani! Huo ni unyama zaidi ya unyama!!😢 Watu kama hawa ndio wanaosababisha madereva kushambuliwa na raia inapotolea ajili 😢
Kazi zinachangamoto sana mimi nishaendesha bajaji abiria wasumbufu sana,sasa tatizo likishatokea uongo unaongezeka zaidi ila dereva nimemkubali sana kwa maelezo yake(abiria wapunguze maneno ya dharau)
Wote story zao haziingii akilini km umegundua hilo, 1.Ni ngumu dereva bajaj kumsukuma abiria huku yeye akiwa anaendesha 2.Ni ngumu mtu kujirusha kutoka kwenye bajaj otherwise kama ana nia ya kumtengenezea kesi dereva.
Hii Dunia ya kileo wanaume tunaonewa sawa Hawa viumbe wa kike wanapendelewa sana ndiyo maana imefika mahali wanaume wanaona wanakosa haki zao ,ikifuatilia vizuri huyu mwanamke ndiyo alianza uchokozi
Dda pole sana lakn bolt awawez kukusaidia chochote zaid ya kkuzungusha ssi wenyewe madereva tukiwa nachangamoto zetu awatusaidii kwanza kampuni gani awana customer care so pole sana utakua saw tu
Huyu Dada ni mwizi anatafuta mtaji huyu Dada ni mkorofi mahali imefika sasa wanaume tuwe tunajisuport wenyewe ukiona mwanaume mwezako hako kwa shida tushikane kabsa, maana haki kwa wanaume siku zote hakuna
Huyu dada ni MPUMBAVU sana,yeye safari yake imeisha but anaforce safari iendelee kwani huyo dereva anatumia maji? Kesi iko polisi dereva bajaji kaenda kushtaki na uyo dada nae kaenda kushtaki,wadada acheni kujikuta much know sana japo uyo dereva amekuwa blocked kwenye system na bolt.
@@ashurajuma4837 kwa kutumia logic ya kawaida tu unafkiri dereva aliekaa kwenye bajaji kwa mbele anaweza kumsukuma abiria aliekaa nyuma huku bajaj ikitembea?
Sawa. , bila Shaka atakua amejirusha mwenyewe kutokana na hofu, sababu alikua haelewi hatima ya dereva ninini kuendesha Bajaj kwa speed Tena bila kujua wanaenda wapi. Hii shida na uoga wa namna hii wanao wadada wengi tu...... Lkn pia dereva kakosea kutomsikiliza mteja wake. Inabidi dereva pia achukuliwe hatua
@@fasterwalker1464 ume muelewa sawa lakini jamaa ..nae ni mkorofi....yaani alikuwa ana chelewa veep kutoka Getini mpaka ndani ..ni dakika ngapi !?....aka ona bola kuwa rudisha walipo toka seriously 😐 huja. ni tapeli
Pole sana kwake ni mgonjwa sawa ila kwasasa angejaribu kudeal na afya yake maana kama hao bolt hawako concern ni hata angepiga x-ray ya kifua kama sehemu kubwa inayomuuma ni Hapo ushauri tu
Wewe unahisi dereva bajaji anaweza kumsukuma mtu aliekaa nyuma huku yeye yupo mbele anaendesha? Ni kwel walijirusha kwa nia ya kumtengenezea kesi dereva bajaj
We Nae Usiwe kama Kilaza walikuwa wawili mwenzake Karuka Akafanikiwa Watoto wa mjini Wanaita Kutema Ngazi Na yeye Akajaribu Kuruka Moja kwa Moja kakosea timing ni kosa lake SEMA ndo hivyo Dereva Nae Angechangia TU Matibabu lakini Imekuwa Ngumu maana Kesha Singiziwa Kuiba mamilioni Ambayo Huyo Binti Hajawahi Hata kuzishika @@Mimi1960ly
@@user-pm7oe5gj8g hawaajiri Ila wanasajiri nadhani hii business ni bolt ndio muhusika na risk taker wa hii business platform na chochote kinachotokea kuhusu dereva ni wao ndio business employee of the drive register sijui unamaanisha nini hapa hebu tuelekeze vizuri
@@bongo5914 bolt wanalipa pia ndio maana hao maderever wanatumia platform yao maana watu wanalipa online payments Kila safari Tena Kuna muda discount zinakuwepo zakutosha kwa customer Sasa dereva kama halipwi na bolt siwajitoe tu.
Hii ndio maana halisi ya habari.
Tofauti na vile vyombo vinavyotoa taarifa za upande mmoja. Big up sana sky
Sky is the best siku zote
Apart from hayo yote, hio pia ni attempted kidnapping.
Wacha still attempted murder, kwa kumsukuma nnje ya moving vehicle, na, katikati ya barabara. Ambapo, hata gari ingine ingemgonga na maybe kumuua au kumpa majeraha makubwa.
Watanzania, mnahatarisha maisha yenu, kuruhusu mtu au watu hatari km hawa, kuwa dereva wenu.
Jueni, bibi zenu, mama zenu, watoto wenu, wezee wenu... woteee mpaka marafiki na majirani zenu, hutegemea hii aina ya transportation, mara kwa mara.
Wanainchi, tafathali, mkipuuza hili jambo, mtakua mmehatarisha maisha yenu sasa and in coming days.
Mnangojea mmoja wenu afe kwa njia hii ndio muamke?
Remember tena, au, linganisha nguvu ya bajaji and all that sorrounds it, eg magari, barabara ya lami, other motorist etc etc.
Ndugu watanzania, mnapatia madereva km hawa, hizo nguvu za ku decide na maisha yenu na jamii yenu?
Wah!!! Hata km Africa inasemekana ni nnchi ya ... ... ... .Please amkeni, hatuko nyuma hivyo tafathali.
Tumeruhusu 'kulala... or 'sleep on job'.
Please tuchunge maisha. Sikitiko.
Nimeumia sana ila ndugu zangu aya maisha ni mafupi na sote njia yetu ni moja...basi inahitajika huruma katika maisha yetu...
Kidogo dreva kaonesha ustaraabu na kukubari makosa yake hivo tuwaombee kwa Allah aya yaishe salama. Lkini vijana tujifunze hustahimilivu katika utaftaji siku zote katika utaftaji kuna changamoto na mafanikio yalipo tujifunze ustahilivu vijana wenzangu (subra)
Wadada wana usumbufu sana na kauli zao mbovu
Nakubali
Hakika umeongea point sana mkuu
Sky umetisha sana hizi ndo habari zinazo takiwa ZA upande wa kushoto na kulia safi sana UKIMWONA ZABRON C MWITA MSALIMIE SANA
Daaaaahhh huyu jamaa anajua sana kujielezea na kujitetea kwa Sheria sana siyo kulalamika
Hapo siyo kujua kujieleza. Ila ukweli na huwongo huwa vinajitenga, haviwezi kukaa pamoja. Ndiyo maana unaona bolt pia wanasita kutoa hukumu ya moja kwa moja.
@@christianchando7041hikika 🔥
HILO NI FUNDISHO kwadada wengine, ukiona kawambia mshuke haingii ndani shuken hataki kuingia hasara wadada wengi ni watata huwa hawalipi wanambadilikia dereva baada ya kuingia alipe meenyewe wakati wakutoka, pili ikitokea jamaa anaondoa bajaji kurudi mliopo toka tulieni , tumieni lugha kiungwana sio ya matusi na kumtisha,kumuitia polisi au kumsemea bolt afungiwe, sikilizeni haha jamaa wa boda na bajaji wanarisk sana maisha yao barabarani , jaribuni kuwa heshimu kazi ya kuendesha chombi cha moto ni changamoto sana, zina stress sana kuwabeza ,, Kunawengine nimeshudia dereva katukanwa, kashindwa kuvumilia kabaki bajaji ,kamshukia abiria kwenda kumtwanga ngumi, raia ikabidi tuingilie kati maana dereva alipanik sana, yule mdada bado alikuwa akipolomosha matusi.
na mwisho ushauri kwa akina dada msipende kujiweka hatarini kwa kujifanya kumando unataka kuruka, au kujifanya jeuri utamzingizia kesi, sasa angalia unavyoteseka masikini hufanyi kazi hali imeshakuwa mbaya.
Ww wamlazimisha mtu muingie ndani wajua getini wanakata hela wamn,gan,ganiza alafu wanachuo wanamajibu Sana mtakufa kizembeee saizi kujiliza
pole sana deleva mwenzangu Mungu atakutangulia
Tunajifunza kitu hapa ukisimamia kwenye ukwel siku zote utakuwa na confidence ya kutoshaa
Poleni sana wadogo zangu wakiume poleni sana kaka zangu poleni sana watoto wangu wakiume nimesema hivi huwa mnapitia changamoti sana ktk utafutaji na tena mkifika nyumbani mbakutana na changamoto za wake zenu na tena ambao huwa wanatetewa ni wanawake
Asante sana umetuona🎉
Asante dada etu❤
Ktk utu uzima wangu nilichoexperience jinsia Me wanachangamoto nyingi mnoo humu duniani sema wameumbiwa koromeo.
Mungu awakumbuke ktk hasle zenu......🙇
@@tunkuh661 Asante sana
Changamoto gani huyo kaka kulikuwa na haja gani ya kukimbia na msichana anamsimisha ashuke
Pole sana dad mungu akufanyie wepesi...... ila kwan hapo nje na nadani kuna umbali gani 🤔 mngeshuka tu kuondokan na some unnecessary complication ..na why dereva alichukulia hasira ya kutaka kuwarudisha walipotoka angemalizana nao kiume 2 yangisha ..na nyie wanawake hamuogopi kuruka wakti bjaji inaenda ?🤔🤔 Duuuh na i hope mpaka dereva amechukua maamuzi ya kuwarudisha hao wadada walimjibu kweli vibaya maana wanawake nao 😶 hyaa poleni woote mungu ataleta haki ya kila mmoja
Kwa maelezo ya driver inaonekana ni kweli hawa wameruka wenyewe jamani. Kwa kuibiwa milion 10 sio rahic. Kwa kweli mimi sio mkazi wa TZ. Lkn kwa mwaka nakuja mara 3 kuona wazazi na familia. Karibia safari zetu nyingi tunapanda bolt. Ila cjawahi kuona tatizo lolote ktk usafiri kwaweli.
Wanaokuja ku comment HP wengi ni wanawake, lkn jua tu Leo kwake kesho kwako, ushauri wangu ukiwa unafanya kazi usiwe na hasira sabbu kazi zote Zina changamoto, hmna kazi nyepesi, hvyo tupunguze hasira kazini jmn
unatakiwa kujua kuheshim kaz ya mwingine and mfanyakaz ni binadam wa kawaida na binadam yeyote lazima awe na emotion so wewe pia usiwe na hasira wala kibur kila mmoja atakua mwema kwako
Kweli kaka yani kilicholeta matatizo yote aya ni kushindwa kutuliza hasira
Abiria wengi wanakujaga kwenye hzi public transport wakiwa na emotions ambazo cyo nzuri kutokana na na sababu zao wenyewe
Sasa wanataka kumtrit dereva kama kama mtt mdogo, na isitoshe wadada wana luggage chafu sana pale inapotokea kutokuelewana, japonica si wote
Umeongea point ya muhimu sana wapunguze hasira
Makasiriko kwenye kazi hayafai,unaharibu biashara
Tujifunze kauli nzuri, sisi abiria na watoa huduma, mara nyingi ugomvi unakuja kwa kutofautiana kauli
@@zainabkazige7388 Yes kauli ndo kila kitu
Kabisaa
Inshu wadada Kuna vitu ambavyo havitakiwi na bolt mkiambiwa hv haiwezekani mnafos hiyo mm ilishanikuta sana abilia tunashusha nje ikiwa unataka kuingia ndan toa TAARIFA Kwa dereva mapema akimaliza safar nje ndan haingii pili sikiliza vizuri maelezo ya dada inaonyesha alikuwa analazimisha kuingia ndani Kwa bei ya request ndio maana dereva alikataa na walikuwa hawataki kutoa hela
Mm nimeshawaweka ndani police abilia wawili Kwa tabia hizo hizo nimefika mwisho wa safari una leta Sheria za nyumban Kwako bolt ni kampuni Ina Sheria na taratibu zake inapaswa zifuatwe abilia wakike mnaongoza Kwa kuwa wajuaji wa Kila kitu na hamtaki kueleweshwa kuwa utaratibu uko hv mna command tu
Dahhhh pole sana kaka😢😢 mwandishi pokea mauwaa yako
Mimi naendesha na bolt....kiukweli abilia wengi ni mtihani sanaaaa wanakupelekesha na wanadharau sana hasa wanawake
Kweli kabisa
Poleni sana. Kila utafutaji una changamoto zake broo
Ndio umtupe, mshushe aende tu vzuri. Huu si utu. Mmeshindwana muache riziki utazipata zaidi muache yeye alaaniwe
Sahihi
Watupwe hawana maana niwajinga wanajiona kama usafiri niwao kumbe hata sio wa bolt
This driver is very smart. Hao dada ni wadangaji na wezii
Kabisa
Kabisa alileta dharau Bajaj sio kichaa kama kungekuwa na case kama hiz tunegesikia case nying,huyu dada anamakosa a acheni kuwaharibia bajaji, mtafute na dereva wa bajaji umuhiji acha kusikiliza shida za upande mmoja sky
Hongera nyingi kwa mwandishi. Nimekupenda halafu nikakupenda tena.
Asante sana sky Kwa ufafanuzi mzuri tumeelewa maana tulikuwa hatuelewi kabisa ila mungu amsaidie huyo dada apone
Hii kitu usiombe yakukute,imewahi nitokea nashukuru Mungu Huber walinisaidia Kwa kunionyesha red na kuniambia call police your going wrong direction..,Ilibid nianze kumwambia nishushe ..haki ya Mungu niliomba Kwa upole nikasema samahi geuza kuna kitu nimesahau alafu akawa mkali na kunifokea pia as speed Kali ,Niliogopa alafu alikuwa anachati SMS .. Asante Mungu kuokoa Maisha yangu na pia ilikuwa usiku WA manane nimetoka kumpeleka mama yangu alikuwa akisafiri. Usiombe yakukute ..pole Sana dada ..
walipo ambiwa washuke kwanini hawakusbuka
kiukweli bolt wapo vizurisana ilatatizo wateja hawana elimuhiyo ushauliwangu watejawoote wapelekwe mafunzo yakutumia bolt
Huyo kijana ni smart sana
Me ningependa kuiomba serikali kwenye inshu ya mtu kuumia au kupata ajali unapitia polisi kwanza kupata PF3 then unaenda hospital itolewe watu wengi sana wanapoteza maisha kwa kuchelewa kupata huduma kwa haraka wakirusubiria iyo PF3 unakuta unamaumivu makali either umevunjika unaenda polisi badala ya hospital kutibiwa nadhani waliowahi pitia situation hii wanaelewa zaidi uwekwe utaratibu either PF3 iwe inatolewa hospitalini🙏🙏🙏
Ni kwa sababu za ki usalama…
Yah kuwe na kitengo icho hospital 📌
@@marlonstudios4408usalama haupo hospital?
Hili jambo nilishaliomba saana.kwa nini hizo pf3 zisikae hospital za serekali?
Ebu subirini kwanza uyo ndio wa kwenye picha ?😢😢😢 ila ule ukweli natumia sana bajaji na nilicho gundua wadada wengi tumekosa heshima na ustaarabu yani tumekosa ile haiba ya kike unakuta mdada kisa analipia anataka kufoka foka tu au dereva afanye vile anavyo taka yeye kitu ambacho sio sawa kwanza ata kama unalipia huduma tujitahidi kuongea na kuelekezana kistaarabu watu wanapitia mambo mengi kwenye maisha yao afu bado uje umletee mambo meusi ndo mnasababisha watu wanafanya vitu ambayo havikutarajiwa 😢 Mungu akusaidie upone haraka
Umeongea kweli kabisa.
Ni kweli najiunga mkono wadada sisi ni jau sana
Tatizo lenu ujuaji sana wadada na mnataka mumfokee kila mwanaume na mmeshajua mna msaada mkubwa sasa mnatumia kama kigezo
Sio kufokea nipesa kama aliboltiwa alitakiwa aende seem husika na pesa yake inasoma sio uishie njian angekua na haraka angeomba angeeleweka wengi hawana kaul nzur kimenikuta icho k.koo
Kabisa wanakuaga na dharau sana
Ni hivi hii biashara wafanye watu wasio ma hasira period
Kaka kama una hasira usifanye bolt
Kwani angemshusha halafu akadai pesa yake kuna shida gani
Dereva wa bajaji yuko sahihi sana mwanzoni kabisa nilitamani kumtukana bolt ila nilivosikiliza kwa umakini mpaka mwisho nimegundua wadada wanamakosa dereva hana kosa kabisa ila kitu alichokosea nipale mdada wakwanza alivoruka ilitakiwa bajaji nae asimame hakutakiwa kuendelea na safari hili ndilo kosa kubwa alilolifanya dereva daaah😢😢😢😢😢😢
Asa dereva hawezi kusimama Kwa haraka coz kuna msongamano wa Magari Ni hatari zaid
Asa dereva hawezi kusimama Kwa haraka coz kuna msongamano wa Magari Ni hatari zaid
Dereva angesimamisha bajaji dada ashuke..alikua anampeleka wapi.Alivokua anapiga kelele angesimamisha bajaji dada ashuke..kwa vile hakusimama..dereva yuko responsible for her injuries.
Kwa mujibu wa sheria gani?
Wewe ni mpumbavu hii kazi ya Abiria uijui
@@suleimanbalemba3348 hii kuwa responsible ni ule uoga wetu na tamaduni zetu tu,lkn kisheria utakiwi kuwa responsible kwa chochote,ili mkamalizane mahakamani.
@@giftmbepwa7849 mm ni dereva wa hili Jiji ata police wanajua Abiria akileta ukorofi usipige nae kelele mpeleke police na Abiria akigoma kushuka kwa mujibu wa latra usafiri mtandao unamrudisha ulipo mtoa dereva alikuwa anatimiza wajibu wake kuwarudisha alipo watoa ata mm simuonei huruma ata kdg huyo dada najua kamjibu ovyo Hawa madada wa vyuo wakishajua yes no wanaona wamemaliza wanaleta dharau wakati sisi wenyewe tumepita vyuoni uko Ajira tumekosa tumeamua kujiari kwenye hivi vyombo vya moto ila elimu tunayo ata kuwazidi walio wengi wanaofanya kazi hizi za mitandao ni educated people
Dereva kafikisha bajaji nje wameambiwa washuke hawatak wanataka wapelekwe ndani na kwa mujibu wa Dereva alisema walikua hawana kauli nzuri so Dereva kwa hasira akasema awarudishe Sinza maana hawakutaka kushuka nje yeye akatoa bajaji kwa hasira
Tusiwahukum ila dada anapitia maumivu makali ziwa linauma kupita maelezo😢😢😢kaka kajieleza vizuri
Wasaidiane apone
Hivi vidada vinajikuta vimechanganyikiwa vina mdomo sana halafu hata maisha hawa yajui zaidi ya udangaji tu nyoko zao
Mmmmmh
👀
kweli kabisaa
Uwenda waliruka lakin kosa lake ni vile umemaliza safari unaondoka na abilia kumpeleka wapi sasa?
Pili sio kweli kua huwezi msukuma mtu kisa unakua unatumia mikono yoye hilo linawezekana kusukuma
Tatu uwenda wote wana makosa lakini mzizi wa haya yote ni dere kugeuza na abilia angetafuta namna ya kulimaliza bira kugeuza nao.
Victoria nitumie namba yako nikutumie vocha mana nilikua sijui kama tz kunawatu wenye akili kama wewe.
@@patricemacky1164 Daaah mbona wa Tz kama umewakanda? Wapi sema tu wapuuzi ndio wanajiamini saana kuongea upuuzi
Pole
Point yako kubwa ni kwa nini kugeuza na Abilia na umemaliza safari. Hayo mengine umeharibu.
Shida Yao hhao wadada wnafikiri maggar na bajajii ni bolt
Hongera dereva ninge kufaham ningekuchukulia bajaji mpya🎉🎉🎉
yes uwezekano wa kumsukuma upo..coz maelezo ya yule dada alisema alikua akichungulia nje so inakua ni rahisi kumsukuma hataa kama dereva anaendesha chombo...huyo ni mwanaume ana iyo nguvu ya kupush
Wazazi badala ya kuwa wakali,tuwafundishe watoto wetu jinsi ya kujieleza na kujenga hoja...ni silaha kubwa sana,wengi wanakosa haki kwa kushindwa kujenga hoja na kujieleza,hawajui ni wakati gani wa kuongea na ni wakati gan wa kunyamaza
I wish you quick recovery my sister
Kazi ya bajaji na boda boda ni ngumu sana abiria wengi changamoto
Sio pw
Kabisa abilia wa bolt ni mtiani sana.mimi mwenyewe ilinikuta iyo.
Hapana sio kweli wao ndio wakorofi hawana customer care wala nini halafu wanalaumu wateja,mi natumiwa sana bolt ila inachosha..
Hakuna kazi isiyo na changamoto
@@khaalidcheo5383wakati mwingine madereva nao ni balaa kuna wakati nilipigiwa simu na bolt wakiulizia simu ya abiria alie panda kabla yangu kama nimeiona kiukweli nilishangaa kwasababu wakati nashuka kwenye bajaji kuna kitu kilidondoka na mwenye bajaji akaniuliza umedondosha nini nilivyo geuka kuangalia nikaona ni simu lakini haikua yangu kwahiyo nikajua ni ya dereva nikamwambia simu yako ndo imedondoka sasa nikarudi kuiokota na kumpa wakati nampa ile simu ilikua inaita na jina linetokea (my love) lakini kulikua na picha ya mwanamke nikapata mashaka pengine hata simu sio ya dereva ila sikujali nikampa simu yake nikaondoka baada ya siku mbili napigiwa na bolt wanauliza kama niliona simu nikawaambia ndiyo niliona na nilimpa dereva nikajua tu dereva atakua alisingizia mimi lakini nilinyoosha maelezo kwa bolt na hawakunipigia tena nahisi walifanikiwa kuipata ila madereva hawaaminiki
Mbona rais sanaaaa,nenden maduka ya pemben mkachukue CCTV CAMERA
Mimi ni.mwanamke ila huyu dada.ni.muongo huwezi kuendesha Bajaj harafu umsukume abiria
@@rosemneney3244 kabisa baba angu.baazi ya wadada changamoto
@@rosemneney3244 mimi mwenyewe ilinifika iyo.
@@rosemneney3244 basi kama mwanamke mwenzie utakua na roho mbaya sana na kwanini uassume amedanganya
Wewe nyamaza hayajakukuta Kuna jirani yangu aliuliwa kisa kudai chenchi kwenye gari shilingi mia mbili@@rosemneney3244
yani hivi vidada vikishafika mjini hivishikiki,yani wanajiona kama miungu watu istoshe vimetoka familia maskini mazingira ya porini afu wakishafika chuo wanajiona kam wamefika binguni yani mimi siwezikuwapa sheria hivo vidada vyenyewe ndo vina matatizo kwanza vinaonekana vimalaya tu. hakuna jipya hapo,vinaleta masiara na maisha
Acha kuhukumu kaka alaf unajiita mfuas was yesu
Punguza maneno mengi fatilia pande zote mbili
Kesi ngumu sana hii, Mfano wa Tembo aliyepatikana akiwa amekatwa pembe na kubakwa.. cha muhimu kampuni ya Bolt ifidie matibabu dada arudie uzima wake,.. Nimekomenti kutoka kenya🇰🇪 napenda Mwanza na tanzania kiujumla kama sio nyie singekuwa hapa nilipo
Sky ww ni mnoma bro ,naipenda saan sns na nitaendelea kuipenda
Mh abilia ni mtiani sana cc tunawajua wanawake
Ogopa sana matapeli , hawa watoto wa kike wanatafuta pesa kwa nguvu bila kujali wanaweza kuhatarisha maisha yao
Bro pole na kazi
Nimemuelewa dereva 😢
Huyu derever akamatwe awekwe ndan huu ni ukatili mkubwa alaf mbaya zaid compn nzima ya bolt inaonekana kuto kumjali hu siyo ubinadam nawala siyo utanzania huyu mtu achunguzwe vizuri huyu ni mnyama ndo hawa wavamiz wa nch yetu watanzania hatuko hivyo me sjawah kuona ukatil wa namna hi je mtoto wawa watu ziwa likioza itakuwaje au angekanyagwa na gar 😭😭😭😭
Acha swagga
njaa zitawaua dada zetuuu😂😂😂😂
Nasema hivi ukianguka na kuona kimya basi unatakiwa kuhisi kua umekufa 😂😂. Polen kwa mitihan
Shida kubwa Wadada wanajuaga bolt wamewaajili hao madereva na ivyo vyombo vya usafiri ni vya bolt kumbe bolt ni mpigadebe ...
True
Hawa wadada wapo ambao wako vzr but Kuna wengine wanamajibu makali na ya hovyo
Jambo la kwanza mlango wa bajaji ni mdogo sana kwa umri wake hata kaka angesukumwa asingetoka nje kwa sabbu ya udogo wa mlango na pia dereva anakusukuma vip akiwa anaendesha?? Bajaj huwez kuachia mikono yote miwili sas usiniambie kwmaba alisukumwa na mkono mmoja akatoka mpka mlangoni hilo sio kweli labda kama alikua amekaa pale mbele ya dereva ni rahis kuanguka lakin kama alikaa nyuma haiwezekani kabisa yaan never
Yaani najaribu kuwaza sitetei dereva ila hapa lazma huyu dada alipata woga na akataka kutoka ikiwa bajaji Bado Iko mwendo hivyo huenda shoga angu akafos kuruka nje nakuanguka kuumia pole kwake
Kama n mdogo una ingiaje
Hao madereva ni makatili sana walinifanya mpk nikanunua gari
Bolt ni wahuni na hawana msaada wwt ni matapeli
@@UNIQUEMASSAGEDODOMA😂😂ila wewe
Nmeskiliza had mwsh nmefuta comment yangu huyo dada ni MUONGO tena kakorofi kanavyooneka na pia .Pole sana dereva bajaj.
Hahaha dada alikuwa anategemea ataambiwa toa namba kama mtu ataguswa akutumie chochote ila imekula hahah
Ila tupende kusikiliza pande zote
Ndio vidada vya chuo ivyoo 😂😂 ni kichefuchefu asew
Dada anaonekana ana ngebe sana, sema hapa kwa sababu yupo kwa jamii ndio kaficha makucha yake
Kwanza huyu dada tapel
Nimemuelewa sana huyo kaka Wallah Allah akupiganie ushinde iyo kesi
Usitetee ujinga..huto kaka hana akili kabisa
@@josephinelwamlema7331ila alieruka ndiy mwenye akili😂 au na wewe upo umo kweny uwo mgao wa milion 10🤣🤣
@@sharifajuma9945aliyeruka ana akili sana tu sababu hujui unapelekwa wapi
Acha ujinga angekuwa dadako ndio kasukumwa ungesema ivo
Hivi wewe una leseni na unatambulika kwani dereva angetulia nn kingetokea sasa unakumbiza Bajaj ya nn? Huo ni uhuni TU wa dereva na kampuni pia
Ukiwasikiliza wanawake unapotea, wanatumia kigezo cha unyonge kutunga story, mwanamke ni mtu mbaya sana akitaka kukuangamiza, hao wadada ni waongo, kwann aseme polisi hakutoa maelezo wakat yeye ndo kaathirika na alikaa nje, hao ni majeuri wanao tafuta huruma ya jamii, mtaan kuna mambo meng, dereva hana hatia
Sina upande
Ss hivyo alivyoumia?
Mi naona wote Wana makosa
Wewe unaye sema mwanamke nimtu mbaya wewe mama yako mbona alikuzaa ajakutupa angekutupa ungekuja wanawake mama yako ndiye anayejua mimba Ina siku ngapi pia wiki tu angetoa mimba usingeongea ayo maneno yako machafu unayosema wanawake niwatu wabaya
Pole sana dear 😢😢
Mademu wa sikuhizi wanazani kila mwanaume anavutiwa nao kumbe wengine tupo kikazi zaidi oya hatufagilii chura
Nawewe huu mda sio wa maneno kama hayo
@@NeemaSamson-ti8pcacha awambie wanakela😂😂
😂🙌mbona chura eeh sema kuna mda tujifunze uugwana wangeshuka yasingetokea yote aya
@@BerthaModest au wangeomba kistaraabu isitoshe walikuwa wanafosi na ruti yao imeishia nje
🎉Story ya uwongooo
Dada anatafuta mtaji wa maisha kwa gharama yeyote ile😂😂😂😂
Hyu dereva anaonekana anaongea ukweli Kabisa
Hahahaha alafu najaribu kujiliza machozi ayatoki yani uyu mungu jaman
Saa kumi usiku wadada wa chuo mnatoka wapi kama siyo kitambaa cheupe kuji.........
Mwamafunzi Milion kumi za wapi 😅😅sisi pia tumesoma chuo
Ety anatafuta mtaji😂😂
Huyu dada jmn nmfahamu jmn she was my classment daa!! Catherine innocent polee
Bolt ni washari sana 😢 yani wakolofi sana hawana good customer.. period 👌
@@Chakol123-k7s ukiona ivo ujue ww ndo unashida nahudumia watu elfu kumi ko woote hao nagombana nao
Wewe unayo good castomar
@@luckiiinuswe1725 sio na shida nyie Bolt kapingwa kibuti huko anakuletea hasira za kuachwa
@@Chakol123-k7s uyo kamaanisha bolt woote naara kwa mara kila day lazma nipakie mdada mwenye gubu maboe nmara chache sana
@@hilarysalustiani4529 ningekuwa bolt nngekuwa na good customer siendeshi bolt
sns mpo vizuri.. Mmejitahidi sana kubalance story.. Dereva bajaji hawezi sukuma mtu wakati anaendesha.. Uyo dada aseme tu ukweli kama anaitaji msaada wa matibabu kwa uzembe wake mwenyewe.
Hawa wadada watapoteza haki yao kwa sababu ya kusikiliza maneno ya watu imagine mnaenda kushitaki mmepoteza milion 10 halafu shughuli mnayoifanya mtu akiangalia hawezi amini kama mlitembea na milion 10 ndani ya usafiri pia dereva hawezi kumsukuma abiria huku anaendesha,nadhani wangeenda Street wangesaidika mapema
Wanataka pesa tu hawana lolote😂😂washaona hii ndio sehemu yakupata pesa
@@khadijatanzania8040 Watashangaa kesi imeyeyuka wasipate hata mia 😄
Hahahahahaha tatizo watoto wa kike wanapends raha sanaa, ww ushafikishwa mlimani nje, unataka lazima ufikishwe ndani hahahaha shuka ingia ndani kwa mguu, kulegeee snaaa
@@khadijatanzania8040yaan una milion 10 hafu upande Bajaj ya Milion 7 😂😂😂
Huyo kaka nhs yupo sahihi sna siamni km amewasukuma ila hao mabint waongo
NA SIO VIBAYA NA SISI KUTOA MAONI KAMA WAZAZI,NDUGU, JAMAA, MARAFIKI NA JAMII KIUJUMLA🤝, HILA KTK HAYO MAONI SIO VIZURI SANA KUTOA HUKUMU YA TUKIO ZIMA... NA KUMKANDAMIZA MOJA PENGINE NDIO MWENYE HAKI⚖️...
Sasa baada ya deleva kugoma kuingia si mngeshuka tatizo na nyny mtakuwa mligoma kushuka mnampetezea mtu mda mana ilo lilikua ni umbi kuingia ndan either likubaliwe au likataliwe nyinyi tatizo mnazalau watu
Mimi ni dereva wa bolt wa gari na ni mwanamke, lakini hawa wateja wetu hasa hawa mabinti ni wakolofi sana na wanadharau sana, mtu umeshafika unang'angania nini? Halafu ni WAONGO SANA
@@user-pv8zg8ps9sAloyce anasema aliamua kuwarudisha Sinza does it make sense kushindwa muingiza mtu getini kwakuwa upo nnje ya muda bt he was willing kuwarudisha Sinza???
@@LigobatovYuko nje ya muda kwani halipwi au aliwabeba bure
Madereva wa bolt mmezidi mnaringa sana acheni ya wakute pole sana catherine Mungu atakufanyia wepesi utapona
Na bolt wanasikikiza sana abiria sio dereva hawajuagi tunapitia changamoto gani madereva
bro yupo very straight ... i think ingekua better idea watoe receipt za phone inayosemekana imepotea na source ya izo M10
Hakuna dereva ambae angeepuka kesi ya namna hii nimepeleka habiria weng sana miliman wanashukia nje
sometime ubishi tuu na ukorofi wa abiria hasa hivi vidada
Wewe ndio utakuwa shahidi mzuri maana watu wana wengine hawaelewi
pole kwa mpambanaji mwenzangu hao madem wanashda
Dada anaitajia maisha uyo muongo
Na ivo vidonda ni uongo
The driver is clever
Kiukweli dereva bajaji hawezi kumsukuma mtu itakua bajaji ilivyokua inaondoka kwa haraka wao walijaribu kuruka ili waokoe maisha yao wakisahau kua ni hatar,hii ilisha nikuta mimi nilikua natokea kawe ilikua usiku nilikaa jirani na mlango wa bajaji nlikua nachezea simu yangu ikaniponyoka ikadondoka chini muda huo bajaji ipo speed mimi niliruka ili niokote simu uku nikimwambia dereva simama dereva alisimama mbali kidogo mimi tayali nlikua nsha ruka niliumia sana kiasi kwamba dereva ndio alikuja kunibeba na kuniweka ndani ya bajaji alinionea huruma alinipeleka adi nyumbani tabata akaniambia nisirudie tena kuruka ntakuja kufa,ivyo dada mgonjwa pole sana pia ni vyema kua mkweli ili upate kusaidiwa sio vyema kumuharibia mtu ambae pengine anategemewa kwa kusukumwa kwenye bajaji na dereva sina hakika labda kama kunamtu ulikua umekaa nae nyuma yeye ndio kakusukuma iyo sawa ila nisiongee sana Allahhu yaalam ,mafuta hujitenga na maji ...nikutakie kila la kheri na upone kwa haraka pole mdogo wangu pia pole kaka dereva kila la kheri kwa wote
😂😂😂
But pole sana mungu akuponye.
Watu wengi wanawalaumu hawa wadada lkn dereva hana weledi wa kazi pia
Acha kuropoka weledi ndo nini
Hajui chochote huyo anyamaze
😂😂ata vyombo vingelikua vya bott nani atoe kiulaisi milioni kumi wanataka vya bule watajilikie hapo mikundu awa wadada awajui kazi hii ilivyokua ngumu...🎉🎉
Wadada wanajifanya wajuaji hawa
@@rumdeesonsoa1811 wanaizungumzia M10 kama elf 10
Ishu ipo very clear hawa wadada wana makosa wanatafuta sympathy mtandaoni, bajaj hana kosa hapo. Hawa wadada especially wa 2000's wengi wao hawana nidham vina midomo sana.
Uyu dada muhongo me nidereva ningum kumsukuma uyo aliluka
Bolt pls do something to this issue
Dereva still ataweza kufungwa kama au kuwajibishwa kama kweli route yake ilikuwa inaenda mpaka ndani ya mlimani na akaishia nje.
Shortly root yake ilikuwa inaishia nje na sio ndani, unapokodi bolt ukiingia tu ndani ya usafiri ana click destination anapofika maana yake safari imeishia hapo, na ndio maana aliwauliza kwanini msingesema mapema? Tatizo wadada wengi hudharau kazi za watu wakidhani waendesha bajaji na pkpk wameshafeli maisha hivyo hawastahili kiheshimiwa na kuongea nao kistaarabu, pesa mali magari ni vitu tu, lakini utu na ustaarabu ni kila kitu hata mbele za Muimba ustaarabu na utu vinathamani na thawabu.
Boti inakupeleke mpaka unakoshukia kwann yy awashushe nje na geti adi kuingia ndani ni parefu…uyu alikwepa kulipia getini
@@Marzzzzzz20wewe hujasikiliza mpaka mwisho kumbe ! Uyo dada ni muongo!! Dereva anakusukumaje bajaji ikiwa inatembea!?
@@taucdulle7460hujui kitu nyamaza
@@Marzzzzzz20Nina mashaka huja sikiliza maongez had maisho uka elewa
mmh! kweli kuna ukakasi ila nimechoka ao wadada wanavyosema wamepoteza milioni 10 aloooh! watu hawana huruma, Mungu amsimamie uyo dereva
sasa why asingeshuka pale pake nnje mliman
Wewe unaweza kuachia bajaji na kumsukuma mtu...acha hzo kaka ungemua mdada wa watu...na tabia zenu kujifanya mnamihasira ya kifala kidogo tu mnawasha bajaj na kuondoka ndivo mlivo...utasikia ntakurudisha tulikotoka kuwen na huruma
Hawa abilia wa bolt mtihani sana kama unataka kupelekwa ndani nunua gali mtu kama huyo wakupoteza milioni 10. haka kadada kaongo
😂😂😂Kabisa yani milion kumi
Walijikuta mastaa,,wanunue private car
Shetani akijitetea ili dereva aukumiwe …mil 10 upati na umeumia jiuguze, wadangaji wa mjini
Kwasababu wewe huna m10 sio kila mtu wamlipe
@@aprilrosaliapanda4895 nikukopeshe mwenye hela anajulikana tu wameenda kufungua kesi police wakataja vitu walivyo poteza ili kumkomoa dereva kwani wangesema hata m1 imepotea si wangepewa m10 nikumkomoa mtu na malipo nihapa hapa kwenye aridhi ya Samia 😂😂
Hao ma dada wezi, matapeli n waongo xanaaaa. Wezi hao. Achananao bro. Allah atakusimamia.
Madereva wengi ni vichaa aswa pkpk na bajaji alafu ni waongo htr
Me mwenyew bolt ila abiria mnakuaga na Nongwa sana. Mfano mteja Ana request kituo flani ukifka kw destination yake anataka umpeleke mbele zaid ana dai huko anako enda, location haisomi tena badala aombe anaforce kupelekwa huko. Au una requestiwa unamsubir mtu hata 30min afu ukimpgia unaskia subir kma huwez cancel kwel
Skiliza mpaka mwisho na unga dot
@@zagadat1129 nimesikiliza mpk mwsh ndiyo maana nimeandika
@@Theman-dn8vo ni wachache ndiyo wastarabu Kwa mfano Kuna siku nimepanda bajaji kimara temboni ninashuka baruru bei ni elfu 1000 me Nina elfu 10 yn yule kaka alinigombeza sijui kitu Gani kwann sijawaambia km Nina elfu 10 yy ana Chechi ikabidi nimulize me ningeota km una Chechi ila alikasika htr sema nilikuwa kimya tu akaenda kuomba Chechi kwny mwendo Kasi ila aliongea mno tn maneno ya ajabu
Sema nilichogundua hapo km ni kweli Hawa wadada wameandika million kumi ni uwongo akuna mtu anaweza kuwa na million kumi hp ila madereva wa pkpk na bajaji Huwa wamevurungwa mno
Pole sana
Mimi nimetumia bolt sana nikiwa Dar, ukienda Mlimani City unashushiwa getini 😂😂😂
Na hio distance from gate was it worth àll this trouble?👀
@@naturelle1097mjinga mjinga huyu shida yao wanapenda snaa raha, sehemu ya hatua 10 anataka bolt impeleke na ndo maana hawa watoto wa kike wanakufa sn kwenye hizo bajaj na bodaboda
Mwezako ameumia we unacheka kenge we😢😮!!!
We ni kenge unacheka nn sasa punbavu😮😮😮!!!
Mimi mwenyewe mwaka 2014 niliwai kuona abiria wakike akiluka kwenye bajaji alivyofika chini akapiga akaanguka vibya tunaenda pale kumpa msaada tunakuta kazimia yule dereva akarud kamchukua na kumpeleka hospital sisi abaria tunapaswa kupewa elimu zidi ya vyombo vyamoto sio chombo kipo barbarn unafny tu maamuz yakuluka kisa unastress uko za mpenz wako au maisha yko bas ndio inakua advantage ya kuwPa madereva wakati mgumu
Pole sana dada!! Utapona,nipeni like Sasa na mie Leo nimekuwa 1st, sky naomba like yako Mimi nilikuwa subscription,nawewe nipe like
Like itakusaidia nn?
Kwani hii comment yako inanisaidia?@@emmanuelmanga25
Kwani hii comment yako inanisaidia?@@emmanuelmanga25
Like unaenda kufanyia nini sasa?😮
Acha ushamba
Hatua za kisheria zichukuliwe jamani! Huo ni unyama zaidi ya unyama!!😢
Watu kama hawa ndio wanaosababisha madereva kushambuliwa na raia inapotolea ajili 😢
Kumsukuma mtu akiwa nyuma ,,inawezekana ,bajaji tunaendesha mkono mmoja ,labda awadanganye wasiojua kuhusu bajaji
lete ushahid km amewasukuma
Kazi zinachangamoto sana mimi nishaendesha bajaji abiria wasumbufu sana,sasa tatizo likishatokea uongo unaongezeka zaidi ila dereva nimemkubali sana kwa maelezo yake(abiria wapunguze maneno ya dharau)
I feel sorry for the lady but Her story doesnt add up Mtu anawezaje kumsukuma mteja wa bajaj akiwa anaendesha.?! Na kuna kizuizi baina yao HOW..?
Wote story zao haziingii akilini km umegundua hilo,
1.Ni ngumu dereva bajaj kumsukuma abiria huku yeye akiwa anaendesha
2.Ni ngumu mtu kujirusha kutoka kwenye bajaj otherwise kama ana nia ya kumtengenezea kesi dereva.
Hahaha ni ngumu sana jmn hyu dada anadrama sana
Kwamba dereva ana mkono mmoja au???
Videmu vya sinza havinaga akili,,,,apo wamejazana upepo waseme wameibiwa millioni 10 na aifoni 14😂😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂ndiyo vipuuzi sana milioni kumi anaijua ikoje
Mpwa umeongea kwa hisia sana😂😂
Wanawaza iphone 14 umbwa hawa😊😊
Hahahaha no comment
Visenge sana😮
Wanautafuta utajiri kwa nguvu mabinti...
Anyways poleni sana warukaji😢
Hawa inaonekani walishazoea sana kuruka mageiti wakadhani na Bajaji ni rais mtakufu nichombo chamoto😂😂😂😂😂
Hahahh kazi ipo 🤭
Hii Dunia ya kileo wanaume tunaonewa sawa Hawa viumbe wa kike wanapendelewa sana ndiyo maana imefika mahali wanaume wanaona wanakosa haki zao ,ikifuatilia vizuri huyu mwanamke ndiyo alianza uchokozi
Dda pole sana lakn bolt awawez kukusaidia chochote zaid ya kkuzungusha ssi wenyewe madereva tukiwa nachangamoto zetu awatusaidii kwanza kampuni gani awana customer care so pole sana utakua saw tu
Huyu Dada ni mwizi anatafuta mtaji huyu Dada ni mkorofi mahali imefika sasa wanaume tuwe tunajisuport wenyewe ukiona mwanaume mwezako hako kwa shida tushikane kabsa, maana haki kwa wanaume siku zote hakuna
Kabisa Brother!
Mmmh! Wanaume muungane dhidi ya wanawake🤣🤣🤣kweli hatuna wanaume miaka hii!
Kabisa aisee
aseme achangiwe tu izi buku buku nimesikiliza nimecheka sana aisee
Muhimu haki ipatikane kwa yoyote yule
Aisee huyo dada ni muongooo kinomaaa😂😂😂😂
Huyu dada ni MPUMBAVU sana,yeye safari yake imeisha but anaforce safari iendelee kwani huyo dereva anatumia maji? Kesi iko polisi dereva bajaji kaenda kushtaki na uyo dada nae kaenda kushtaki,wadada acheni kujikuta much know sana japo uyo dereva amekuwa blocked kwenye system na bolt.
Ndio amsukume
@@ashurajuma4837 kwa kutumia logic ya kawaida tu unafkiri dereva aliekaa kwenye bajaji kwa mbele anaweza kumsukuma abiria aliekaa nyuma huku bajaj ikitembea?
Mjinga2
Customer care ni muhimu
Mteja ana haki zake
Usimjaji vibayaa
Hupaswi kumsukumanmtejaa
Mheshimu kwa sababu ndo anaekuweka mjini
Eti nihix nimekufa, pole lakn sijaelewa
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
:-D
Sawa. , bila Shaka atakua amejirusha mwenyewe kutokana na hofu, sababu alikua haelewi hatima ya dereva ninini kuendesha Bajaj kwa speed Tena bila kujua wanaenda wapi. Hii shida na uoga wa namna hii wanao wadada wengi tu...... Lkn pia dereva kakosea kutomsikiliza mteja wake. Inabidi dereva pia achukuliwe hatua
Walizozana wakamuongelea kauli chaf km walikua wanaenda mliman na wamefika kwann wasishuke wakawa wanataka nn sa zingine wanajitakiaga
Je bila abiria kuleta ubishi wa kushuka nje Mlimani city hayo yote yangetokea?
@@fasterwalker1464 ume muelewa sawa lakini jamaa ..nae ni mkorofi....yaani alikuwa ana chelewa veep kutoka Getini mpaka ndani ..ni dakika ngapi !?....aka ona bola kuwa rudisha walipo toka seriously 😐 huja. ni tapeli
@@officialaziry3305 unajua waliomba kwa lugha gan
Pole sana kwake ni mgonjwa sawa ila kwasasa angejaribu kudeal na afya yake maana kama hao bolt hawako concern ni hata angepiga x-ray ya kifua kama sehemu kubwa inayomuuma ni Hapo ushauri tu
Hata kama ameongeza chumvi huwezi kujirusha kuhatarisha maisha yako.
Bora angefanya kitu kingine huyu Bajaji pia anamakosa yake.
Wewe unahisi dereva bajaji anaweza kumsukuma mtu aliekaa nyuma huku yeye yupo mbele anaendesha? Ni kwel walijirusha kwa nia ya kumtengenezea kesi dereva bajaj
😂😂😂 Hugo Dada mshenzi saan kajirusha mwenyew kabisa hiy iko wazi
@@aronboy1sasa mtu ajirushe kwa faida gan na till now matibabu kagharamia mwenyewe
@@Mimi1960ly hayo nikama majut ya baade ksbb huwend aliruka sabb ya ukaidi2 na ujinga alionao we umewaza hivy Lkn yy hakuwaza hay
We Nae Usiwe kama Kilaza walikuwa wawili mwenzake Karuka Akafanikiwa Watoto wa mjini Wanaita Kutema Ngazi Na yeye Akajaribu Kuruka Moja kwa Moja kakosea timing ni kosa lake SEMA ndo hivyo Dereva Nae Angechangia TU Matibabu lakini Imekuwa Ngumu maana Kesha Singiziwa Kuiba mamilioni Ambayo Huyo Binti Hajawahi Hata kuzishika @@Mimi1960ly
Barbara kubwa Kama mlimani city ilifaa iwe na CCTV camera, hapo tungeondoa utata ote..na tungekua na ushahidi wa kutosha
Bolt madereva wanashida sana kiukweli nahisi hawawalipi madereva zao vizuri maana Kuna muda wanausumbua sana
uliza mtu yoyote kama bolt wanalipa mishala bolt hamulipi dereva ila dereva ndie anawalipa wao bolt
Bolt hawaajiri dereva ila wanasajili TU na dereva ndiyo anawalipa kiasi kidogo baadae ya kupata chochote kwenye mizunguko yake...
@@user-pm7oe5gj8g hawaajiri Ila wanasajiri nadhani hii business ni bolt ndio muhusika na risk taker wa hii business platform na chochote kinachotokea kuhusu dereva ni wao ndio business employee of the drive register sijui unamaanisha nini hapa hebu tuelekeze vizuri
@@bongo5914 bolt wanalipa pia ndio maana hao maderever wanatumia platform yao maana watu wanalipa online payments Kila safari Tena Kuna muda discount zinakuwepo zakutosha kwa customer Sasa dereva kama halipwi na bolt siwajitoe tu.
bolt hawalipi mishahar Kuna asilimia wanachukua kwa kila safar unayoend dereva
Wangemuangalia ili apate matibabu haraka pole sana nenda muhimbili haraka ukacheki hilo ziwa jamaniii 😢😢😢😢😢
Pole dada wanaosema we ni muongo hayajawakuta wao mungu akusaidie upone haraka
Huyu dada ni muongo, kaibiwa milioni 10?
Muongo kajirusha na hajapoteza mil10