MREMBO aliyelalamika KUJERUHIWA vibaya na Dereva wa BOLT asimulia kilichotokea, DEREVA naye afunguka

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 7. 09. 2024
  • Tembelea sns.co.tz/ kwa taarifa zaidi

Komentáře • 1,3K

  • @ramamabinda5063
    @ramamabinda5063 Před měsícem +116

    Hii ndio maana halisi ya habari.
    Tofauti na vile vyombo vinavyotoa taarifa za upande mmoja. Big up sana sky

    • @rumdeesonsoa1811
      @rumdeesonsoa1811 Před měsícem +6

      Sky is the best siku zote

    • @VeronicaDunbar
      @VeronicaDunbar Před měsícem

      Apart from hayo yote, hio pia ni attempted kidnapping.
      Wacha still attempted murder, kwa kumsukuma nnje ya moving vehicle, na, katikati ya barabara. Ambapo, hata gari ingine ingemgonga na maybe kumuua au kumpa majeraha makubwa.
      Watanzania, mnahatarisha maisha yenu, kuruhusu mtu au watu hatari km hawa, kuwa dereva wenu.
      Jueni, bibi zenu, mama zenu, watoto wenu, wezee wenu... woteee mpaka marafiki na majirani zenu, hutegemea hii aina ya transportation, mara kwa mara.
      Wanainchi, tafathali, mkipuuza hili jambo, mtakua mmehatarisha maisha yenu sasa and in coming days.
      Mnangojea mmoja wenu afe kwa njia hii ndio muamke?
      Remember tena, au, linganisha nguvu ya bajaji and all that sorrounds it, eg magari, barabara ya lami, other motorist etc etc.
      Ndugu watanzania, mnapatia madereva km hawa, hizo nguvu za ku decide na maisha yenu na jamii yenu?
      Wah!!! Hata km Africa inasemekana ni nnchi ya ... ... ... .Please amkeni, hatuko nyuma hivyo tafathali.
      Tumeruhusu 'kulala... or 'sleep on job'.
      Please tuchunge maisha. Sikitiko.

  • @zclassicfashionz1573
    @zclassicfashionz1573 Před měsícem +26

    Nimeumia sana ila ndugu zangu aya maisha ni mafupi na sote njia yetu ni moja...basi inahitajika huruma katika maisha yetu...
    Kidogo dreva kaonesha ustaraabu na kukubari makosa yake hivo tuwaombee kwa Allah aya yaishe salama. Lkini vijana tujifunze hustahimilivu katika utaftaji siku zote katika utaftaji kuna changamoto na mafanikio yalipo tujifunze ustahilivu vijana wenzangu (subra)

  • @BarnabasFabiani
    @BarnabasFabiani Před měsícem +21

    Sky umetisha sana hizi ndo habari zinazo takiwa ZA upande wa kushoto na kulia safi sana UKIMWONA ZABRON C MWITA MSALIMIE SANA

  • @MCHEZOHD
    @MCHEZOHD Před měsícem +66

    Daaaaahhh huyu jamaa anajua sana kujielezea na kujitetea kwa Sheria sana siyo kulalamika

    • @christianchando7041
      @christianchando7041 Před měsícem +5

      Hapo siyo kujua kujieleza. Ila ukweli na huwongo huwa vinajitenga, haviwezi kukaa pamoja. Ndiyo maana unaona bolt pia wanasita kutoa hukumu ya moja kwa moja.

    • @kelvinanselimu1281
      @kelvinanselimu1281 Před měsícem

      ​@@christianchando7041hikika 🔥

    • @MWANGAZAbrain
      @MWANGAZAbrain Před měsícem

      HILO NI FUNDISHO kwadada wengine, ukiona kawambia mshuke haingii ndani shuken hataki kuingia hasara wadada wengi ni watata huwa hawalipi wanambadilikia dereva baada ya kuingia alipe meenyewe wakati wakutoka, pili ikitokea jamaa anaondoa bajaji kurudi mliopo toka tulieni , tumieni lugha kiungwana sio ya matusi na kumtisha,kumuitia polisi au kumsemea bolt afungiwe, sikilizeni haha jamaa wa boda na bajaji wanarisk sana maisha yao barabarani , jaribuni kuwa heshimu kazi ya kuendesha chombi cha moto ni changamoto sana, zina stress sana kuwabeza ,, Kunawengine nimeshudia dereva katukanwa, kashindwa kuvumilia kabaki bajaji ,kamshukia abiria kwenda kumtwanga ngumi, raia ikabidi tuingilie kati maana dereva alipanik sana, yule mdada bado alikuwa akipolomosha matusi.
      na mwisho ushauri kwa akina dada msipende kujiweka hatarini kwa kujifanya kumando unataka kuruka, au kujifanya jeuri utamzingizia kesi, sasa angalia unavyoteseka masikini hufanyi kazi hali imeshakuwa mbaya.

    • @user-js4bu1jp7n
      @user-js4bu1jp7n Před měsícem

      Ww wamlazimisha mtu muingie ndani wajua getini wanakata hela wamn,gan,ganiza alafu wanachuo wanamajibu Sana mtakufa kizembeee saizi kujiliza

  • @yustomoses3334
    @yustomoses3334 Před měsícem +17

    pole sana deleva mwenzangu Mungu atakutangulia

  • @HalimaYahaya-mo6il
    @HalimaYahaya-mo6il Před měsícem +19

    Tunajifunza kitu hapa ukisimamia kwenye ukwel siku zote utakuwa na confidence ya kutoshaa

  • @maryamtanzania9743
    @maryamtanzania9743 Před měsícem +40

    Poleni sana wadogo zangu wakiume poleni sana kaka zangu poleni sana watoto wangu wakiume nimesema hivi huwa mnapitia changamoti sana ktk utafutaji na tena mkifika nyumbani mbakutana na changamoto za wake zenu na tena ambao huwa wanatetewa ni wanawake

    • @user-zs4qz4wm2n
      @user-zs4qz4wm2n Před měsícem

      Asante sana umetuona🎉

    • @AdamMsele-nd1ci
      @AdamMsele-nd1ci Před měsícem

      Asante dada etu❤

    • @tunkuh661
      @tunkuh661 Před měsícem +3

      Ktk utu uzima wangu nilichoexperience jinsia Me wanachangamoto nyingi mnoo humu duniani sema wameumbiwa koromeo.
      Mungu awakumbuke ktk hasle zenu......🙇

    • @user-zs4qz4wm2n
      @user-zs4qz4wm2n Před měsícem

      @@tunkuh661 Asante sana

    • @josephinelwamlema7331
      @josephinelwamlema7331 Před měsícem

      Changamoto gani huyo kaka kulikuwa na haja gani ya kukimbia na msichana anamsimisha ashuke

  • @IBRAHIMUSHABANI-f5r
    @IBRAHIMUSHABANI-f5r Před 19 dny +2

    Pole sana dad mungu akufanyie wepesi...... ila kwan hapo nje na nadani kuna umbali gani 🤔 mngeshuka tu kuondokan na some unnecessary complication ..na why dereva alichukulia hasira ya kutaka kuwarudisha walipotoka angemalizana nao kiume 2 yangisha ..na nyie wanawake hamuogopi kuruka wakti bjaji inaenda ?🤔🤔 Duuuh na i hope mpaka dereva amechukua maamuzi ya kuwarudisha hao wadada walimjibu kweli vibaya maana wanawake nao 😶 hyaa poleni woote mungu ataleta haki ya kila mmoja

  • @umfahad2609
    @umfahad2609 Před měsícem +8

    Kwa maelezo ya driver inaonekana ni kweli hawa wameruka wenyewe jamani. Kwa kuibiwa milion 10 sio rahic. Kwa kweli mimi sio mkazi wa TZ. Lkn kwa mwaka nakuja mara 3 kuona wazazi na familia. Karibia safari zetu nyingi tunapanda bolt. Ila cjawahi kuona tatizo lolote ktk usafiri kwaweli.

  • @meryeastereaster
    @meryeastereaster Před měsícem +34

    Wanaokuja ku comment HP wengi ni wanawake, lkn jua tu Leo kwake kesho kwako, ushauri wangu ukiwa unafanya kazi usiwe na hasira sabbu kazi zote Zina changamoto, hmna kazi nyepesi, hvyo tupunguze hasira kazini jmn

    • @juliussamson6143
      @juliussamson6143 Před měsícem +4

      unatakiwa kujua kuheshim kaz ya mwingine and mfanyakaz ni binadam wa kawaida na binadam yeyote lazima awe na emotion so wewe pia usiwe na hasira wala kibur kila mmoja atakua mwema kwako

    • @zclassicfashionz1573
      @zclassicfashionz1573 Před měsícem +2

      Kweli kaka yani kilicholeta matatizo yote aya ni kushindwa kutuliza hasira

    • @herielmao3900
      @herielmao3900 Před měsícem +4

      Abiria wengi wanakujaga kwenye hzi public transport wakiwa na emotions ambazo cyo nzuri kutokana na na sababu zao wenyewe
      Sasa wanataka kumtrit dereva kama kama mtt mdogo, na isitoshe wadada wana luggage chafu sana pale inapotokea kutokuelewana, japonica si wote

    • @beatricejoseph2784
      @beatricejoseph2784 Před měsícem

      Umeongea point ya muhimu sana wapunguze hasira

    • @eveliynejoseph7944
      @eveliynejoseph7944 Před měsícem

      Makasiriko kwenye kazi hayafai,unaharibu biashara

  • @zainabkazige7388
    @zainabkazige7388 Před měsícem +29

    Tujifunze kauli nzuri, sisi abiria na watoa huduma, mara nyingi ugomvi unakuja kwa kutofautiana kauli

    • @Theman-dn8vo
      @Theman-dn8vo Před měsícem

      @@zainabkazige7388 Yes kauli ndo kila kitu

    • @salomewandya7257
      @salomewandya7257 Před měsícem +2

      Kabisaa

    • @stanleymwaselela1849
      @stanleymwaselela1849 Před měsícem

      Inshu wadada Kuna vitu ambavyo havitakiwi na bolt mkiambiwa hv haiwezekani mnafos hiyo mm ilishanikuta sana abilia tunashusha nje ikiwa unataka kuingia ndan toa TAARIFA Kwa dereva mapema akimaliza safar nje ndan haingii pili sikiliza vizuri maelezo ya dada inaonyesha alikuwa analazimisha kuingia ndani Kwa bei ya request ndio maana dereva alikataa na walikuwa hawataki kutoa hela
      Mm nimeshawaweka ndani police abilia wawili Kwa tabia hizo hizo nimefika mwisho wa safari una leta Sheria za nyumban Kwako bolt ni kampuni Ina Sheria na taratibu zake inapaswa zifuatwe abilia wakike mnaongoza Kwa kuwa wajuaji wa Kila kitu na hamtaki kueleweshwa kuwa utaratibu uko hv mna command tu

  • @annaepmack7270
    @annaepmack7270 Před měsícem +6

    Dahhhh pole sana kaka😢😢 mwandishi pokea mauwaa yako

  • @user-zs4qz4wm2n
    @user-zs4qz4wm2n Před měsícem +35

    Mimi naendesha na bolt....kiukweli abilia wengi ni mtihani sanaaaa wanakupelekesha na wanadharau sana hasa wanawake

    • @suleimanbalemba3348
      @suleimanbalemba3348 Před měsícem

      Kweli kabisa

    • @mariamkibindo1741
      @mariamkibindo1741 Před měsícem

      Poleni sana. Kila utafutaji una changamoto zake broo

    • @loycenicolao7488
      @loycenicolao7488 Před měsícem +3

      Ndio umtupe, mshushe aende tu vzuri. Huu si utu. Mmeshindwana muache riziki utazipata zaidi muache yeye alaaniwe

    • @geoffreymzaga4644
      @geoffreymzaga4644 Před měsícem

      Sahihi

    • @user-ib2ew9ec3d
      @user-ib2ew9ec3d Před měsícem

      Watupwe hawana maana niwajinga wanajiona kama usafiri niwao kumbe hata sio wa bolt

  • @barakamshiu7146
    @barakamshiu7146 Před měsícem +10

    This driver is very smart. Hao dada ni wadangaji na wezii

    • @Mina.15
      @Mina.15 Před 27 dny

      Kabisa

    • @yaedlifemedia3203
      @yaedlifemedia3203 Před 24 dny

      Kabisa alileta dharau Bajaj sio kichaa kama kungekuwa na case kama hiz tunegesikia case nying,huyu dada anamakosa a acheni kuwaharibia bajaji, mtafute na dereva wa bajaji umuhiji acha kusikiliza shida za upande mmoja sky

  • @ole_larusai587
    @ole_larusai587 Před měsícem +6

    Hongera nyingi kwa mwandishi. Nimekupenda halafu nikakupenda tena.

  • @aishaabdul9287
    @aishaabdul9287 Před 18 dny

    Asante sana sky Kwa ufafanuzi mzuri tumeelewa maana tulikuwa hatuelewi kabisa ila mungu amsaidie huyo dada apone

  • @simphoslyvia2570
    @simphoslyvia2570 Před měsícem +9

    Hii kitu usiombe yakukute,imewahi nitokea nashukuru Mungu Huber walinisaidia Kwa kunionyesha red na kuniambia call police your going wrong direction..,Ilibid nianze kumwambia nishushe ..haki ya Mungu niliomba Kwa upole nikasema samahi geuza kuna kitu nimesahau alafu akawa mkali na kunifokea pia as speed Kali ,Niliogopa alafu alikuwa anachati SMS .. Asante Mungu kuokoa Maisha yangu na pia ilikuwa usiku WA manane nimetoka kumpeleka mama yangu alikuwa akisafiri. Usiombe yakukute ..pole Sana dada ..

    • @iscobosco6489
      @iscobosco6489 Před měsícem

      walipo ambiwa washuke kwanini hawakusbuka

    • @iscobosco6489
      @iscobosco6489 Před měsícem

      kiukweli bolt wapo vizurisana ilatatizo wateja hawana elimuhiyo ushauliwangu watejawoote wapelekwe mafunzo yakutumia bolt

  • @yasinikimaro4700
    @yasinikimaro4700 Před měsícem +6

    Huyo kijana ni smart sana

  • @DOLMOCK
    @DOLMOCK Před měsícem +21

    Me ningependa kuiomba serikali kwenye inshu ya mtu kuumia au kupata ajali unapitia polisi kwanza kupata PF3 then unaenda hospital itolewe watu wengi sana wanapoteza maisha kwa kuchelewa kupata huduma kwa haraka wakirusubiria iyo PF3 unakuta unamaumivu makali either umevunjika unaenda polisi badala ya hospital kutibiwa nadhani waliowahi pitia situation hii wanaelewa zaidi uwekwe utaratibu either PF3 iwe inatolewa hospitalini🙏🙏🙏

    • @marlonstudios4408
      @marlonstudios4408 Před měsícem +1

      Ni kwa sababu za ki usalama…

    • @bhokesaid3264
      @bhokesaid3264 Před měsícem +4

      Yah kuwe na kitengo icho hospital 📌

    • @chax255
      @chax255 Před měsícem

      ​@@marlonstudios4408usalama haupo hospital?

    • @sophiakimaro5174
      @sophiakimaro5174 Před měsícem +2

      Hili jambo nilishaliomba saana.kwa nini hizo pf3 zisikae hospital za serekali?

  • @ashurajengela3926
    @ashurajengela3926 Před měsícem +12

    Ebu subirini kwanza uyo ndio wa kwenye picha ?😢😢😢 ila ule ukweli natumia sana bajaji na nilicho gundua wadada wengi tumekosa heshima na ustaarabu yani tumekosa ile haiba ya kike unakuta mdada kisa analipia anataka kufoka foka tu au dereva afanye vile anavyo taka yeye kitu ambacho sio sawa kwanza ata kama unalipia huduma tujitahidi kuongea na kuelekezana kistaarabu watu wanapitia mambo mengi kwenye maisha yao afu bado uje umletee mambo meusi ndo mnasababisha watu wanafanya vitu ambayo havikutarajiwa 😢 Mungu akusaidie upone haraka

  • @user-ii6gs2jg4g
    @user-ii6gs2jg4g Před měsícem +43

    Tatizo lenu ujuaji sana wadada na mnataka mumfokee kila mwanaume na mmeshajua mna msaada mkubwa sasa mnatumia kama kigezo

    • @fmcgfood-fc1oh
      @fmcgfood-fc1oh Před měsícem

      Sio kufokea nipesa kama aliboltiwa alitakiwa aende seem husika na pesa yake inasoma sio uishie njian angekua na haraka angeomba angeeleweka wengi hawana kaul nzur kimenikuta icho k.koo

    • @zahrababygarl1568
      @zahrababygarl1568 Před měsícem +1

      Kabisa wanakuaga na dharau sana

    • @beatricejoseph2784
      @beatricejoseph2784 Před měsícem

      Ni hivi hii biashara wafanye watu wasio ma hasira period

    • @MariamSamwel-nz8vu
      @MariamSamwel-nz8vu Před měsícem

      Kaka kama una hasira usifanye bolt

    • @WardaChande
      @WardaChande Před měsícem

      Kwani angemshusha halafu akadai pesa yake kuna shida gani

  • @user-mz3kx4dt5b
    @user-mz3kx4dt5b Před měsícem +18

    Dereva wa bajaji yuko sahihi sana mwanzoni kabisa nilitamani kumtukana bolt ila nilivosikiliza kwa umakini mpaka mwisho nimegundua wadada wanamakosa dereva hana kosa kabisa ila kitu alichokosea nipale mdada wakwanza alivoruka ilitakiwa bajaji nae asimame hakutakiwa kuendelea na safari hili ndilo kosa kubwa alilolifanya dereva daaah😢😢😢😢😢😢

    • @Edoublej4_tz
      @Edoublej4_tz Před měsícem

      Asa dereva hawezi kusimama Kwa haraka coz kuna msongamano wa Magari Ni hatari zaid

    • @Edoublej4_tz
      @Edoublej4_tz Před měsícem

      Asa dereva hawezi kusimama Kwa haraka coz kuna msongamano wa Magari Ni hatari zaid

  • @millymack1370
    @millymack1370 Před měsícem +10

    Dereva angesimamisha bajaji dada ashuke..alikua anampeleka wapi.Alivokua anapiga kelele angesimamisha bajaji dada ashuke..kwa vile hakusimama..dereva yuko responsible for her injuries.

    • @giftmbepwa7849
      @giftmbepwa7849 Před měsícem

      Kwa mujibu wa sheria gani?

    • @suleimanbalemba3348
      @suleimanbalemba3348 Před měsícem

      Wewe ni mpumbavu hii kazi ya Abiria uijui

    • @giftmbepwa7849
      @giftmbepwa7849 Před měsícem

      @@suleimanbalemba3348 hii kuwa responsible ni ule uoga wetu na tamaduni zetu tu,lkn kisheria utakiwi kuwa responsible kwa chochote,ili mkamalizane mahakamani.

    • @suleimanbalemba3348
      @suleimanbalemba3348 Před měsícem

      @@giftmbepwa7849 mm ni dereva wa hili Jiji ata police wanajua Abiria akileta ukorofi usipige nae kelele mpeleke police na Abiria akigoma kushuka kwa mujibu wa latra usafiri mtandao unamrudisha ulipo mtoa dereva alikuwa anatimiza wajibu wake kuwarudisha alipo watoa ata mm simuonei huruma ata kdg huyo dada najua kamjibu ovyo Hawa madada wa vyuo wakishajua yes no wanaona wamemaliza wanaleta dharau wakati sisi wenyewe tumepita vyuoni uko Ajira tumekosa tumeamua kujiari kwenye hivi vyombo vya moto ila elimu tunayo ata kuwazidi walio wengi wanaofanya kazi hizi za mitandao ni educated people

    • @ngwacahnyagwaswa9979
      @ngwacahnyagwaswa9979 Před měsícem +1

      Dereva kafikisha bajaji nje wameambiwa washuke hawatak wanataka wapelekwe ndani na kwa mujibu wa Dereva alisema walikua hawana kauli nzuri so Dereva kwa hasira akasema awarudishe Sinza maana hawakutaka kushuka nje yeye akatoa bajaji kwa hasira

  • @user-rw1xh2tt8c
    @user-rw1xh2tt8c Před měsícem +10

    Tusiwahukum ila dada anapitia maumivu makali ziwa linauma kupita maelezo😢😢😢kaka kajieleza vizuri

  • @Sampovoice8088
    @Sampovoice8088 Před měsícem +28

    Hivi vidada vinajikuta vimechanganyikiwa vina mdomo sana halafu hata maisha hawa yajui zaidi ya udangaji tu nyoko zao

  • @victorburser1717
    @victorburser1717 Před měsícem +31

    Uwenda waliruka lakin kosa lake ni vile umemaliza safari unaondoka na abilia kumpeleka wapi sasa?
    Pili sio kweli kua huwezi msukuma mtu kisa unakua unatumia mikono yoye hilo linawezekana kusukuma
    Tatu uwenda wote wana makosa lakini mzizi wa haya yote ni dere kugeuza na abilia angetafuta namna ya kulimaliza bira kugeuza nao.

    • @patricemacky1164
      @patricemacky1164 Před měsícem +4

      Victoria nitumie namba yako nikutumie vocha mana nilikua sijui kama tz kunawatu wenye akili kama wewe.

    • @victorburser1717
      @victorburser1717 Před měsícem +1

      @@patricemacky1164 Daaah mbona wa Tz kama umewakanda? Wapi sema tu wapuuzi ndio wanajiamini saana kuongea upuuzi

    • @HusnaMuhammed-yx8nl
      @HusnaMuhammed-yx8nl Před měsícem

      ​Pole

    • @zachariakalimbi23
      @zachariakalimbi23 Před měsícem +1

      Point yako kubwa ni kwa nini kugeuza na Abilia na umemaliza safari. Hayo mengine umeharibu.

    • @hilarysalustiani4529
      @hilarysalustiani4529 Před měsícem

      Shida Yao hhao wadada wnafikiri maggar na bajajii ni bolt

  • @user-ib2ew9ec3d
    @user-ib2ew9ec3d Před měsícem +6

    Hongera dereva ninge kufaham ningekuchukulia bajaji mpya🎉🎉🎉

  • @MISAMBAA
    @MISAMBAA Před měsícem +3

    yes uwezekano wa kumsukuma upo..coz maelezo ya yule dada alisema alikua akichungulia nje so inakua ni rahisi kumsukuma hataa kama dereva anaendesha chombo...huyo ni mwanaume ana iyo nguvu ya kupush

  • @richzebest2029
    @richzebest2029 Před měsícem +9

    Wazazi badala ya kuwa wakali,tuwafundishe watoto wetu jinsi ya kujieleza na kujenga hoja...ni silaha kubwa sana,wengi wanakosa haki kwa kushindwa kujenga hoja na kujieleza,hawajui ni wakati gani wa kuongea na ni wakati gan wa kunyamaza

  • @user-hd9jv7jk2x
    @user-hd9jv7jk2x Před měsícem +1

    I wish you quick recovery my sister

  • @mdachiog5211
    @mdachiog5211 Před měsícem +83

    Kazi ya bajaji na boda boda ni ngumu sana abiria wengi changamoto

    • @HENRYSILUNGWE-i1j
      @HENRYSILUNGWE-i1j Před měsícem +3

      Sio pw

    • @khaalidcheo5383
      @khaalidcheo5383 Před měsícem +5

      Kabisa abilia wa bolt ni mtiani sana.mimi mwenyewe ilinikuta iyo.

    • @sakinaomary7207
      @sakinaomary7207 Před měsícem +7

      Hapana sio kweli wao ndio wakorofi hawana customer care wala nini halafu wanalaumu wateja,mi natumiwa sana bolt ila inachosha..

    • @zagadat1129
      @zagadat1129 Před měsícem

      Hakuna kazi isiyo na changamoto

    • @salmabasil385
      @salmabasil385 Před měsícem

      @@khaalidcheo5383wakati mwingine madereva nao ni balaa kuna wakati nilipigiwa simu na bolt wakiulizia simu ya abiria alie panda kabla yangu kama nimeiona kiukweli nilishangaa kwasababu wakati nashuka kwenye bajaji kuna kitu kilidondoka na mwenye bajaji akaniuliza umedondosha nini nilivyo geuka kuangalia nikaona ni simu lakini haikua yangu kwahiyo nikajua ni ya dereva nikamwambia simu yako ndo imedondoka sasa nikarudi kuiokota na kumpa wakati nampa ile simu ilikua inaita na jina linetokea (my love) lakini kulikua na picha ya mwanamke nikapata mashaka pengine hata simu sio ya dereva ila sikujali nikampa simu yake nikaondoka baada ya siku mbili napigiwa na bolt wanauliza kama niliona simu nikawaambia ndiyo niliona na nilimpa dereva nikajua tu dereva atakua alisingizia mimi lakini nilinyoosha maelezo kwa bolt na hawakunipigia tena nahisi walifanikiwa kuipata ila madereva hawaaminiki

  • @giftmusa6543
    @giftmusa6543 Před měsícem +49

    Mbona rais sanaaaa,nenden maduka ya pemben mkachukue CCTV CAMERA

    • @rosemneney3244
      @rosemneney3244 Před měsícem +9

      Mimi ni.mwanamke ila huyu dada.ni.muongo huwezi kuendesha Bajaj harafu umsukume abiria

    • @khaalidcheo5383
      @khaalidcheo5383 Před měsícem

      @@rosemneney3244 kabisa baba angu.baazi ya wadada changamoto

    • @khaalidcheo5383
      @khaalidcheo5383 Před měsícem

      @@rosemneney3244 mimi mwenyewe ilinifika iyo.

    • @fadhiliibrahim9702
      @fadhiliibrahim9702 Před měsícem

      @@rosemneney3244 basi kama mwanamke mwenzie utakua na roho mbaya sana na kwanini uassume amedanganya

    • @DoreenMwanga-p5s
      @DoreenMwanga-p5s Před měsícem

      Wewe nyamaza hayajakukuta Kuna jirani yangu aliuliwa kisa kudai chenchi kwenye gari shilingi mia mbili@@rosemneney3244

  • @user-sy4ku4xm7q
    @user-sy4ku4xm7q Před měsícem +13

    yani hivi vidada vikishafika mjini hivishikiki,yani wanajiona kama miungu watu istoshe vimetoka familia maskini mazingira ya porini afu wakishafika chuo wanajiona kam wamefika binguni yani mimi siwezikuwapa sheria hivo vidada vyenyewe ndo vina matatizo kwanza vinaonekana vimalaya tu. hakuna jipya hapo,vinaleta masiara na maisha

  • @Abby_Shawn_KE
    @Abby_Shawn_KE Před měsícem +14

    Kesi ngumu sana hii, Mfano wa Tembo aliyepatikana akiwa amekatwa pembe na kubakwa.. cha muhimu kampuni ya Bolt ifidie matibabu dada arudie uzima wake,.. Nimekomenti kutoka kenya🇰🇪 napenda Mwanza na tanzania kiujumla kama sio nyie singekuwa hapa nilipo

  • @aronboy1
    @aronboy1 Před měsícem +4

    Sky ww ni mnoma bro ,naipenda saan sns na nitaendelea kuipenda

  • @jisrainomwa4015
    @jisrainomwa4015 Před měsícem +2

    Mh abilia ni mtiani sana cc tunawajua wanawake

  • @sabaschiwangu371
    @sabaschiwangu371 Před měsícem +11

    Ogopa sana matapeli , hawa watoto wa kike wanatafuta pesa kwa nguvu bila kujali wanaweza kuhatarisha maisha yao

  • @abdulfatahhussein4087
    @abdulfatahhussein4087 Před měsícem +1

    Bro pole na kazi

  • @noorrajpar3928
    @noorrajpar3928 Před měsícem +7

    Nimemuelewa dereva 😢

  • @frankpatrik-fd9gh
    @frankpatrik-fd9gh Před měsícem +2

    Huyu derever akamatwe awekwe ndan huu ni ukatili mkubwa alaf mbaya zaid compn nzima ya bolt inaonekana kuto kumjali hu siyo ubinadam nawala siyo utanzania huyu mtu achunguzwe vizuri huyu ni mnyama ndo hawa wavamiz wa nch yetu watanzania hatuko hivyo me sjawah kuona ukatil wa namna hi je mtoto wawa watu ziwa likioza itakuwaje au angekanyagwa na gar 😭😭😭😭

  • @user-jb7of2oq7k
    @user-jb7of2oq7k Před měsícem +8

    njaa zitawaua dada zetuuu😂😂😂😂

  • @mweusiasili8345
    @mweusiasili8345 Před měsícem +3

    Nasema hivi ukianguka na kuona kimya basi unatakiwa kuhisi kua umekufa 😂😂. Polen kwa mitihan

  • @josephdonald6199
    @josephdonald6199 Před měsícem +14

    Shida kubwa Wadada wanajuaga bolt wamewaajili hao madereva na ivyo vyombo vya usafiri ni vya bolt kumbe bolt ni mpigadebe ...

  • @SidenigaBoy
    @SidenigaBoy Před měsícem +26

    Jambo la kwanza mlango wa bajaji ni mdogo sana kwa umri wake hata kaka angesukumwa asingetoka nje kwa sabbu ya udogo wa mlango na pia dereva anakusukuma vip akiwa anaendesha?? Bajaj huwez kuachia mikono yote miwili sas usiniambie kwmaba alisukumwa na mkono mmoja akatoka mpka mlangoni hilo sio kweli labda kama alikua amekaa pale mbele ya dereva ni rahis kuanguka lakin kama alikaa nyuma haiwezekani kabisa yaan never

    • @mariamkibindo1741
      @mariamkibindo1741 Před měsícem +7

      Yaani najaribu kuwaza sitetei dereva ila hapa lazma huyu dada alipata woga na akataka kutoka ikiwa bajaji Bado Iko mwendo hivyo huenda shoga angu akafos kuruka nje nakuanguka kuumia pole kwake

    • @aprilrosaliapanda4895
      @aprilrosaliapanda4895 Před měsícem +4

      Kama n mdogo una ingiaje

    • @UNIQUEMASSAGEDODOMA
      @UNIQUEMASSAGEDODOMA Před měsícem +1

      Hao madereva ni makatili sana walinifanya mpk nikanunua gari

    • @ashuraashura9511
      @ashuraashura9511 Před měsícem

      Bolt ni wahuni na hawana msaada wwt ni matapeli

    • @asnathmwaipopo6877
      @asnathmwaipopo6877 Před měsícem

      @@UNIQUEMASSAGEDODOMA😂😂ila wewe

  • @thabitdaudi9815
    @thabitdaudi9815 Před měsícem +62

    Nmeskiliza had mwsh nmefuta comment yangu huyo dada ni MUONGO tena kakorofi kanavyooneka na pia .Pole sana dereva bajaj.

    • @zagadat1129
      @zagadat1129 Před měsícem +4

      Hahaha dada alikuwa anategemea ataambiwa toa namba kama mtu ataguswa akutumie chochote ila imekula hahah

    • @zagadat1129
      @zagadat1129 Před měsícem +7

      Ila tupende kusikiliza pande zote

    • @RaymondRamson
      @RaymondRamson Před měsícem +3

      Ndio vidada vya chuo ivyoo 😂😂 ni kichefuchefu asew

    • @adamnkiko5319
      @adamnkiko5319 Před měsícem +2

      Dada anaonekana ana ngebe sana, sema hapa kwa sababu yupo kwa jamii ndio kaficha makucha yake

    • @romanshirima5883
      @romanshirima5883 Před měsícem +1

      Kwanza huyu dada tapel

  • @rafiaahmad168
    @rafiaahmad168 Před měsícem +24

    Nimemuelewa sana huyo kaka Wallah Allah akupiganie ushinde iyo kesi

    • @josephinelwamlema7331
      @josephinelwamlema7331 Před měsícem

      Usitetee ujinga..huto kaka hana akili kabisa

    • @sharifajuma9945
      @sharifajuma9945 Před měsícem +1

      @@josephinelwamlema7331ila alieruka ndiy mwenye akili😂 au na wewe upo umo kweny uwo mgao wa milion 10🤣🤣

    • @rebbywealth9869
      @rebbywealth9869 Před měsícem

      ​@@sharifajuma9945aliyeruka ana akili sana tu sababu hujui unapelekwa wapi

    • @aprilrosaliapanda4895
      @aprilrosaliapanda4895 Před měsícem

      Acha ujinga angekuwa dadako ndio kasukumwa ungesema ivo

    • @tisgftanzania4593
      @tisgftanzania4593 Před měsícem

      Hivi wewe una leseni na unatambulika kwani dereva angetulia nn kingetokea sasa unakumbiza Bajaj ya nn? Huo ni uhuni TU wa dereva na kampuni pia

  • @vom84
    @vom84 Před měsícem +14

    Ukiwasikiliza wanawake unapotea, wanatumia kigezo cha unyonge kutunga story, mwanamke ni mtu mbaya sana akitaka kukuangamiza, hao wadada ni waongo, kwann aseme polisi hakutoa maelezo wakat yeye ndo kaathirika na alikaa nje, hao ni majeuri wanao tafuta huruma ya jamii, mtaan kuna mambo meng, dereva hana hatia

    • @christinewomanoffaith5479
      @christinewomanoffaith5479 Před měsícem

      Sina upande
      Ss hivyo alivyoumia?
      Mi naona wote Wana makosa

    • @AgnesEphraim-jw6dv
      @AgnesEphraim-jw6dv Před měsícem

      Wewe unaye sema mwanamke nimtu mbaya wewe mama yako mbona alikuzaa ajakutupa angekutupa ungekuja wanawake mama yako ndiye anayejua mimba Ina siku ngapi pia wiki tu angetoa mimba usingeongea ayo maneno yako machafu unayosema wanawake niwatu wabaya

  • @Zafaabutterfly
    @Zafaabutterfly Před 28 dny +1

    Pole sana dear 😢😢

  • @user-cv4jb1bm6i
    @user-cv4jb1bm6i Před měsícem +12

    Mademu wa sikuhizi wanazani kila mwanaume anavutiwa nao kumbe wengine tupo kikazi zaidi oya hatufagilii chura

    • @NeemaSamson-ti8pc
      @NeemaSamson-ti8pc Před měsícem +1

      Nawewe huu mda sio wa maneno kama hayo

    • @user-zs4qz4wm2n
      @user-zs4qz4wm2n Před měsícem

      ​@@NeemaSamson-ti8pcacha awambie wanakela😂😂

    • @BerthaModest
      @BerthaModest Před měsícem +2

      😂🙌mbona chura eeh sema kuna mda tujifunze uugwana wangeshuka yasingetokea yote aya

    • @user-cv4jb1bm6i
      @user-cv4jb1bm6i Před měsícem

      @@BerthaModest au wangeomba kistaraabu isitoshe walikuwa wanafosi na ruti yao imeishia nje

  • @IsackAndrew
    @IsackAndrew Před měsícem +5

    🎉Story ya uwongooo

  • @EdnahKebson
    @EdnahKebson Před měsícem +41

    Dada anatafuta mtaji wa maisha kwa gharama yeyote ile😂😂😂😂

    • @JELSONMAUKI
      @JELSONMAUKI Před měsícem +3

      Hyu dereva anaonekana anaongea ukweli Kabisa

    • @zagadat1129
      @zagadat1129 Před měsícem +1

      Hahahaha alafu najaribu kujiliza machozi ayatoki yani uyu mungu jaman

    • @christianchando7041
      @christianchando7041 Před měsícem +5

      Saa kumi usiku wadada wa chuo mnatoka wapi kama siyo kitambaa cheupe kuji.........

    • @denitechnologies
      @denitechnologies Před měsícem +5

      Mwamafunzi Milion kumi za wapi 😅😅sisi pia tumesoma chuo

    • @HalimaYahaya-mo6il
      @HalimaYahaya-mo6il Před měsícem +1

      Ety anatafuta mtaji😂😂

  • @sabinajoseph6733
    @sabinajoseph6733 Před měsícem +1

    Huyu dada jmn nmfahamu jmn she was my classment daa!! Catherine innocent polee

  • @Chakol123-k7s
    @Chakol123-k7s Před měsícem +7

    Bolt ni washari sana 😢 yani wakolofi sana hawana good customer.. period 👌

    • @luckiiinuswe1725
      @luckiiinuswe1725 Před měsícem +1

      @@Chakol123-k7s ukiona ivo ujue ww ndo unashida nahudumia watu elfu kumi ko woote hao nagombana nao

    • @hilarysalustiani4529
      @hilarysalustiani4529 Před měsícem

      Wewe unayo good castomar

    • @Chakol123-k7s
      @Chakol123-k7s Před měsícem

      @@luckiiinuswe1725 sio na shida nyie Bolt kapingwa kibuti huko anakuletea hasira za kuachwa

    • @luckiiinuswe1725
      @luckiiinuswe1725 Před měsícem

      @@Chakol123-k7s uyo kamaanisha bolt woote naara kwa mara kila day lazma nipakie mdada mwenye gubu maboe nmara chache sana

    • @Chakol123-k7s
      @Chakol123-k7s Před měsícem

      @@hilarysalustiani4529 ningekuwa bolt nngekuwa na good customer siendeshi bolt

  • @cleverboy3812
    @cleverboy3812 Před měsícem

    sns mpo vizuri.. Mmejitahidi sana kubalance story.. Dereva bajaji hawezi sukuma mtu wakati anaendesha.. Uyo dada aseme tu ukweli kama anaitaji msaada wa matibabu kwa uzembe wake mwenyewe.

  • @rosemahenge9071
    @rosemahenge9071 Před měsícem +28

    Hawa wadada watapoteza haki yao kwa sababu ya kusikiliza maneno ya watu imagine mnaenda kushitaki mmepoteza milion 10 halafu shughuli mnayoifanya mtu akiangalia hawezi amini kama mlitembea na milion 10 ndani ya usafiri pia dereva hawezi kumsukuma abiria huku anaendesha,nadhani wangeenda Street wangesaidika mapema

    • @khadijatanzania8040
      @khadijatanzania8040 Před měsícem +2

      Wanataka pesa tu hawana lolote😂😂washaona hii ndio sehemu yakupata pesa

    • @rosemahenge9071
      @rosemahenge9071 Před měsícem

      @@khadijatanzania8040 Watashangaa kesi imeyeyuka wasipate hata mia 😄

    • @ZanaatTv_Vlogs
      @ZanaatTv_Vlogs Před měsícem +3

      Hahahahahaha tatizo watoto wa kike wanapends raha sanaa, ww ushafikishwa mlimani nje, unataka lazima ufikishwe ndani hahahaha shuka ingia ndani kwa mguu, kulegeee snaaa

    • @fasterwalker1464
      @fasterwalker1464 Před měsícem +2

      ​@@khadijatanzania8040yaan una milion 10 hafu upande Bajaj ya Milion 7 😂😂😂

    • @TatuAbdi-jt3gt
      @TatuAbdi-jt3gt Před měsícem +2

      Huyo kaka nhs yupo sahihi sna siamni km amewasukuma ila hao mabint waongo

  • @eddiemohamed9003
    @eddiemohamed9003 Před 14 dny

    NA SIO VIBAYA NA SISI KUTOA MAONI KAMA WAZAZI,NDUGU, JAMAA, MARAFIKI NA JAMII KIUJUMLA🤝, HILA KTK HAYO MAONI SIO VIZURI SANA KUTOA HUKUMU YA TUKIO ZIMA... NA KUMKANDAMIZA MOJA PENGINE NDIO MWENYE HAKI⚖️...

  • @manfredherman2898
    @manfredherman2898 Před měsícem +5

    Sasa baada ya deleva kugoma kuingia si mngeshuka tatizo na nyny mtakuwa mligoma kushuka mnampetezea mtu mda mana ilo lilikua ni umbi kuingia ndan either likubaliwe au likataliwe nyinyi tatizo mnazalau watu

    • @user-pv8zg8ps9s
      @user-pv8zg8ps9s Před měsícem +2

      Mimi ni dereva wa bolt wa gari na ni mwanamke, lakini hawa wateja wetu hasa hawa mabinti ni wakolofi sana na wanadharau sana, mtu umeshafika unang'angania nini? Halafu ni WAONGO SANA

    • @Ligobatov
      @Ligobatov Před měsícem

      @@user-pv8zg8ps9sAloyce anasema aliamua kuwarudisha Sinza does it make sense kushindwa muingiza mtu getini kwakuwa upo nnje ya muda bt he was willing kuwarudisha Sinza???

    • @davidtentacion3104
      @davidtentacion3104 Před měsícem

      ​@@LigobatovYuko nje ya muda kwani halipwi au aliwabeba bure

  • @loyceaziz1438
    @loyceaziz1438 Před měsícem +1

    Madereva wa bolt mmezidi mnaringa sana acheni ya wakute pole sana catherine Mungu atakufanyia wepesi utapona

  • @xadyndwanga4900
    @xadyndwanga4900 Před měsícem +3

    Na bolt wanasikikiza sana abiria sio dereva hawajuagi tunapitia changamoto gani madereva

  • @nassoroally8473
    @nassoroally8473 Před měsícem

    bro yupo very straight ... i think ingekua better idea watoe receipt za phone inayosemekana imepotea na source ya izo M10

  • @luckiiinuswe1725
    @luckiiinuswe1725 Před měsícem +13

    Hakuna dereva ambae angeepuka kesi ya namna hii nimepeleka habiria weng sana miliman wanashukia nje

    • @alfredjohn5693
      @alfredjohn5693 Před měsícem +1

      sometime ubishi tuu na ukorofi wa abiria hasa hivi vidada

    • @hashimukasimu2716
      @hashimukasimu2716 Před měsícem

      Wewe ndio utakuwa shahidi mzuri maana watu wana wengine hawaelewi

  • @allyhassan4k
    @allyhassan4k Před měsícem

    pole kwa mpambanaji mwenzangu hao madem wanashda

  • @khaalidcheo5383
    @khaalidcheo5383 Před měsícem +17

    Dada anaitajia maisha uyo muongo

  • @kelvinjons730
    @kelvinjons730 Před měsícem +1

    The driver is clever

  • @Zafaabutterfly
    @Zafaabutterfly Před 28 dny +4

    Kiukweli dereva bajaji hawezi kumsukuma mtu itakua bajaji ilivyokua inaondoka kwa haraka wao walijaribu kuruka ili waokoe maisha yao wakisahau kua ni hatar,hii ilisha nikuta mimi nilikua natokea kawe ilikua usiku nilikaa jirani na mlango wa bajaji nlikua nachezea simu yangu ikaniponyoka ikadondoka chini muda huo bajaji ipo speed mimi niliruka ili niokote simu uku nikimwambia dereva simama dereva alisimama mbali kidogo mimi tayali nlikua nsha ruka niliumia sana kiasi kwamba dereva ndio alikuja kunibeba na kuniweka ndani ya bajaji alinionea huruma alinipeleka adi nyumbani tabata akaniambia nisirudie tena kuruka ntakuja kufa,ivyo dada mgonjwa pole sana pia ni vyema kua mkweli ili upate kusaidiwa sio vyema kumuharibia mtu ambae pengine anategemewa kwa kusukumwa kwenye bajaji na dereva sina hakika labda kama kunamtu ulikua umekaa nae nyuma yeye ndio kakusukuma iyo sawa ila nisiongee sana Allahhu yaalam ,mafuta hujitenga na maji ...nikutakie kila la kheri na upone kwa haraka pole mdogo wangu pia pole kaka dereva kila la kheri kwa wote

  • @Akauntil
    @Akauntil Před měsícem

    But pole sana mungu akuponye.

  • @khalsasalim7930
    @khalsasalim7930 Před měsícem +16

    Watu wengi wanawalaumu hawa wadada lkn dereva hana weledi wa kazi pia

    • @JosephSalema-pg4ot
      @JosephSalema-pg4ot Před měsícem

      Acha kuropoka weledi ndo nini

    • @herielmao3900
      @herielmao3900 Před měsícem

      Hajui chochote huyo anyamaze

    • @deniccgabriel6153
      @deniccgabriel6153 Před měsícem +1

      😂😂ata vyombo vingelikua vya bott nani atoe kiulaisi milioni kumi wanataka vya bule watajilikie hapo mikundu awa wadada awajui kazi hii ilivyokua ngumu...🎉🎉

    • @rumdeesonsoa1811
      @rumdeesonsoa1811 Před měsícem

      Wadada wanajifanya wajuaji hawa

    • @JosephSalema-pg4ot
      @JosephSalema-pg4ot Před měsícem

      @@rumdeesonsoa1811 wanaizungumzia M10 kama elf 10

  • @elymollel
    @elymollel Před měsícem +1

    Ishu ipo very clear hawa wadada wana makosa wanatafuta sympathy mtandaoni, bajaj hana kosa hapo. Hawa wadada especially wa 2000's wengi wao hawana nidham vina midomo sana.

  • @akandungoma2404
    @akandungoma2404 Před 21 dnem +4

    Uyu dada muhongo me nidereva ningum kumsukuma uyo aliluka

  • @danreckgodfrey4663
    @danreckgodfrey4663 Před měsícem +1

    Bolt pls do something to this issue

  • @njeyabox7788
    @njeyabox7788 Před měsícem +18

    Dereva still ataweza kufungwa kama au kuwajibishwa kama kweli route yake ilikuwa inaenda mpaka ndani ya mlimani na akaishia nje.

    • @nassercurtis9579
      @nassercurtis9579 Před měsícem +9

      Shortly root yake ilikuwa inaishia nje na sio ndani, unapokodi bolt ukiingia tu ndani ya usafiri ana click destination anapofika maana yake safari imeishia hapo, na ndio maana aliwauliza kwanini msingesema mapema? Tatizo wadada wengi hudharau kazi za watu wakidhani waendesha bajaji na pkpk wameshafeli maisha hivyo hawastahili kiheshimiwa na kuongea nao kistaarabu, pesa mali magari ni vitu tu, lakini utu na ustaarabu ni kila kitu hata mbele za Muimba ustaarabu na utu vinathamani na thawabu.

    • @taucdulle7460
      @taucdulle7460 Před měsícem +2

      Boti inakupeleke mpaka unakoshukia kwann yy awashushe nje na geti adi kuingia ndani ni parefu…uyu alikwepa kulipia getini

    • @Chapo_ggg
      @Chapo_ggg Před měsícem

      @@Marzzzzzz20wewe hujasikiliza mpaka mwisho kumbe ! Uyo dada ni muongo!! Dereva anakusukumaje bajaji ikiwa inatembea!?

    • @user-zs4qz4wm2n
      @user-zs4qz4wm2n Před měsícem +1

      ​@@taucdulle7460hujui kitu nyamaza

    • @amymobilesphone4241
      @amymobilesphone4241 Před měsícem

      @@Marzzzzzz20Nina mashaka huja sikiliza maongez had maisho uka elewa

  • @happinesspascalnyambita8426
    @happinesspascalnyambita8426 Před měsícem +1

    mmh! kweli kuna ukakasi ila nimechoka ao wadada wanavyosema wamepoteza milioni 10 aloooh! watu hawana huruma, Mungu amsimamie uyo dereva

  • @starjay3052
    @starjay3052 Před měsícem +4

    sasa why asingeshuka pale pake nnje mliman

  • @JaneEnock
    @JaneEnock Před měsícem +1

    Wewe unaweza kuachia bajaji na kumsukuma mtu...acha hzo kaka ungemua mdada wa watu...na tabia zenu kujifanya mnamihasira ya kifala kidogo tu mnawasha bajaj na kuondoka ndivo mlivo...utasikia ntakurudisha tulikotoka kuwen na huruma

  • @gracethobias8069
    @gracethobias8069 Před měsícem +15

    Hawa abilia wa bolt mtihani sana kama unataka kupelekwa ndani nunua gali mtu kama huyo wakupoteza milioni 10. haka kadada kaongo

    • @zahrababygarl1568
      @zahrababygarl1568 Před měsícem +2

      😂😂😂Kabisa yani milion kumi

    • @samchris1914
      @samchris1914 Před měsícem +2

      Walijikuta mastaa,,wanunue private car

    • @sabaschiwangu371
      @sabaschiwangu371 Před měsícem +4

      Shetani akijitetea ili dereva aukumiwe …mil 10 upati na umeumia jiuguze, wadangaji wa mjini

    • @aprilrosaliapanda4895
      @aprilrosaliapanda4895 Před měsícem

      Kwasababu wewe huna m10 sio kila mtu wamlipe

    • @gracethobias8069
      @gracethobias8069 Před měsícem

      @@aprilrosaliapanda4895 nikukopeshe mwenye hela anajulikana tu wameenda kufungua kesi police wakataja vitu walivyo poteza ili kumkomoa dereva kwani wangesema hata m1 imepotea si wangepewa m10 nikumkomoa mtu na malipo nihapa hapa kwenye aridhi ya Samia 😂😂

  • @OllerDesononline6333
    @OllerDesononline6333 Před měsícem

    Hao ma dada wezi, matapeli n waongo xanaaaa. Wezi hao. Achananao bro. Allah atakusimamia.

  • @neykombe8831
    @neykombe8831 Před měsícem +16

    Madereva wengi ni vichaa aswa pkpk na bajaji alafu ni waongo htr

    • @Theman-dn8vo
      @Theman-dn8vo Před měsícem +1

      Me mwenyew bolt ila abiria mnakuaga na Nongwa sana. Mfano mteja Ana request kituo flani ukifka kw destination yake anataka umpeleke mbele zaid ana dai huko anako enda, location haisomi tena badala aombe anaforce kupelekwa huko. Au una requestiwa unamsubir mtu hata 30min afu ukimpgia unaskia subir kma huwez cancel kwel

    • @zagadat1129
      @zagadat1129 Před měsícem

      Skiliza mpaka mwisho na unga dot

    • @neykombe8831
      @neykombe8831 Před měsícem

      @@zagadat1129 nimesikiliza mpk mwsh ndiyo maana nimeandika

    • @neykombe8831
      @neykombe8831 Před měsícem

      @@Theman-dn8vo ni wachache ndiyo wastarabu Kwa mfano Kuna siku nimepanda bajaji kimara temboni ninashuka baruru bei ni elfu 1000 me Nina elfu 10 yn yule kaka alinigombeza sijui kitu Gani kwann sijawaambia km Nina elfu 10 yy ana Chechi ikabidi nimulize me ningeota km una Chechi ila alikasika htr sema nilikuwa kimya tu akaenda kuomba Chechi kwny mwendo Kasi ila aliongea mno tn maneno ya ajabu

    • @neykombe8831
      @neykombe8831 Před měsícem

      Sema nilichogundua hapo km ni kweli Hawa wadada wameandika million kumi ni uwongo akuna mtu anaweza kuwa na million kumi hp ila madereva wa pkpk na bajaji Huwa wamevurungwa mno

  • @user-ev6bq9gf1f
    @user-ev6bq9gf1f Před měsícem +1

    Pole sana

  • @cavoo4get649
    @cavoo4get649 Před měsícem +19

    Mimi nimetumia bolt sana nikiwa Dar, ukienda Mlimani City unashushiwa getini 😂😂😂

    • @naturelle1097
      @naturelle1097 Před měsícem +5

      Na hio distance from gate was it worth àll this trouble?👀

    • @ZanaatTv_Vlogs
      @ZanaatTv_Vlogs Před měsícem

      ​@@naturelle1097mjinga mjinga huyu shida yao wanapenda snaa raha, sehemu ya hatua 10 anataka bolt impeleke na ndo maana hawa watoto wa kike wanakufa sn kwenye hizo bajaj na bodaboda

    • @dullahmmebela5624
      @dullahmmebela5624 Před měsícem +1

      Mwezako ameumia we unacheka kenge we😢😮!!!

    • @dullahmmebela5624
      @dullahmmebela5624 Před měsícem

      We ni kenge unacheka nn sasa punbavu😮😮😮!!!

  • @Tallent1234hfds
    @Tallent1234hfds Před měsícem +1

    Mimi mwenyewe mwaka 2014 niliwai kuona abiria wakike akiluka kwenye bajaji alivyofika chini akapiga akaanguka vibya tunaenda pale kumpa msaada tunakuta kazimia yule dereva akarud kamchukua na kumpeleka hospital sisi abaria tunapaswa kupewa elimu zidi ya vyombo vyamoto sio chombo kipo barbarn unafny tu maamuz yakuluka kisa unastress uko za mpenz wako au maisha yko bas ndio inakua advantage ya kuwPa madereva wakati mgumu

  • @ezekielabel5843
    @ezekielabel5843 Před měsícem +4

    Pole sana dada!! Utapona,nipeni like Sasa na mie Leo nimekuwa 1st, sky naomba like yako Mimi nilikuwa subscription,nawewe nipe like

  • @phiriminalyimo3119
    @phiriminalyimo3119 Před měsícem +1

    Hatua za kisheria zichukuliwe jamani! Huo ni unyama zaidi ya unyama!!😢
    Watu kama hawa ndio wanaosababisha madereva kushambuliwa na raia inapotolea ajili 😢

  • @jeremiahcharles6027
    @jeremiahcharles6027 Před měsícem +6

    Kumsukuma mtu akiwa nyuma ,,inawezekana ,bajaji tunaendesha mkono mmoja ,labda awadanganye wasiojua kuhusu bajaji

  • @ibrahimpengele6362
    @ibrahimpengele6362 Před měsícem +1

    Kazi zinachangamoto sana mimi nishaendesha bajaji abiria wasumbufu sana,sasa tatizo likishatokea uongo unaongezeka zaidi ila dereva nimemkubali sana kwa maelezo yake(abiria wapunguze maneno ya dharau)

  • @Kitabu_tv
    @Kitabu_tv Před měsícem +5

    I feel sorry for the lady but Her story doesnt add up Mtu anawezaje kumsukuma mteja wa bajaj akiwa anaendesha.?! Na kuna kizuizi baina yao HOW..?

    • @aman.weusUS
      @aman.weusUS Před měsícem

      Wote story zao haziingii akilini km umegundua hilo,
      1.Ni ngumu dereva bajaj kumsukuma abiria huku yeye akiwa anaendesha
      2.Ni ngumu mtu kujirusha kutoka kwenye bajaj otherwise kama ana nia ya kumtengenezea kesi dereva.

    • @peninanelson1380
      @peninanelson1380 Před měsícem

      Hahaha ni ngumu sana jmn hyu dada anadrama sana

    • @conniefabian4427
      @conniefabian4427 Před 24 dny

      Kwamba dereva ana mkono mmoja au???

  • @vibetz9991
    @vibetz9991 Před měsícem +13

    Videmu vya sinza havinaga akili,,,,apo wamejazana upepo waseme wameibiwa millioni 10 na aifoni 14😂😂😂😂😂😂😂

  • @dawhacker2216
    @dawhacker2216 Před měsícem +2

    Wanautafuta utajiri kwa nguvu mabinti...
    Anyways poleni sana warukaji😢

    • @jovinmancomedytz
      @jovinmancomedytz Před měsícem

      Hawa inaonekani walishazoea sana kuruka mageiti wakadhani na Bajaji ni rais mtakufu nichombo chamoto😂😂😂😂😂

    • @IBRAHIMUSHABANI-f5r
      @IBRAHIMUSHABANI-f5r Před 19 dny

      Hahahh kazi ipo 🤭

  • @emmanuelgastomwachamwacha6042
    @emmanuelgastomwachamwacha6042 Před měsícem +6

    Hii Dunia ya kileo wanaume tunaonewa sawa Hawa viumbe wa kike wanapendelewa sana ndiyo maana imefika mahali wanaume wanaona wanakosa haki zao ,ikifuatilia vizuri huyu mwanamke ndiyo alianza uchokozi

  • @user-iu1qq3kp3m
    @user-iu1qq3kp3m Před měsícem +1

    Dda pole sana lakn bolt awawez kukusaidia chochote zaid ya kkuzungusha ssi wenyewe madereva tukiwa nachangamoto zetu awatusaidii kwanza kampuni gani awana customer care so pole sana utakua saw tu

  • @emmanuelgastomwachamwacha6042
    @emmanuelgastomwachamwacha6042 Před měsícem +12

    Huyu Dada ni mwizi anatafuta mtaji huyu Dada ni mkorofi mahali imefika sasa wanaume tuwe tunajisuport wenyewe ukiona mwanaume mwezako hako kwa shida tushikane kabsa, maana haki kwa wanaume siku zote hakuna

    • @MfalmeMteule
      @MfalmeMteule Před měsícem

      Kabisa Brother!

    • @fridageorge2809
      @fridageorge2809 Před měsícem

      Mmmh! Wanaume muungane dhidi ya wanawake🤣🤣🤣kweli hatuna wanaume miaka hii!

    • @AdamMsele-nd1ci
      @AdamMsele-nd1ci Před měsícem

      Kabisa aisee

    • @chibudenga8977
      @chibudenga8977 Před měsícem +1

      aseme achangiwe tu izi buku buku nimesikiliza nimecheka sana aisee

    • @rajabdibwa6415
      @rajabdibwa6415 Před měsícem

      Muhimu haki ipatikane kwa yoyote yule

  • @stephanishirima3585
    @stephanishirima3585 Před měsícem +1

    Aisee huyo dada ni muongooo kinomaaa😂😂😂😂

  • @aman.weusUS
    @aman.weusUS Před měsícem +6

    Huyu dada ni MPUMBAVU sana,yeye safari yake imeisha but anaforce safari iendelee kwani huyo dereva anatumia maji? Kesi iko polisi dereva bajaji kaenda kushtaki na uyo dada nae kaenda kushtaki,wadada acheni kujikuta much know sana japo uyo dereva amekuwa blocked kwenye system na bolt.

    • @ashurajuma4837
      @ashurajuma4837 Před měsícem

      Ndio amsukume

    • @aman.weusUS
      @aman.weusUS Před měsícem +1

      @@ashurajuma4837 kwa kutumia logic ya kawaida tu unafkiri dereva aliekaa kwenye bajaji kwa mbele anaweza kumsukuma abiria aliekaa nyuma huku bajaj ikitembea?

    • @ramadhanichuma7925
      @ramadhanichuma7925 Před měsícem

      Mjinga2

    • @lucymtui8680
      @lucymtui8680 Před měsícem

      Customer care ni muhimu
      Mteja ana haki zake
      Usimjaji vibayaa

    • @lucymtui8680
      @lucymtui8680 Před měsícem

      Hupaswi kumsukumanmtejaa
      Mheshimu kwa sababu ndo anaekuweka mjini

  • @ireneasimwe135
    @ireneasimwe135 Před měsícem +2

    Eti nihix nimekufa, pole lakn sijaelewa

  • @juniorsonofgod5675
    @juniorsonofgod5675 Před měsícem +6

    Sawa. , bila Shaka atakua amejirusha mwenyewe kutokana na hofu, sababu alikua haelewi hatima ya dereva ninini kuendesha Bajaj kwa speed Tena bila kujua wanaenda wapi. Hii shida na uoga wa namna hii wanao wadada wengi tu...... Lkn pia dereva kakosea kutomsikiliza mteja wake. Inabidi dereva pia achukuliwe hatua

    • @fasterwalker1464
      @fasterwalker1464 Před měsícem +1

      Walizozana wakamuongelea kauli chaf km walikua wanaenda mliman na wamefika kwann wasishuke wakawa wanataka nn sa zingine wanajitakiaga

    • @raymondclaud6026
      @raymondclaud6026 Před měsícem

      Je bila abiria kuleta ubishi wa kushuka nje Mlimani city hayo yote yangetokea?

    • @officialaziry3305
      @officialaziry3305 Před měsícem

      @@fasterwalker1464 ume muelewa sawa lakini jamaa ..nae ni mkorofi....yaani alikuwa ana chelewa veep kutoka Getini mpaka ndani ..ni dakika ngapi !?....aka ona bola kuwa rudisha walipo toka seriously 😐 huja. ni tapeli

    • @fasterwalker1464
      @fasterwalker1464 Před měsícem

      @@officialaziry3305 unajua waliomba kwa lugha gan

  • @lisiahbear1574
    @lisiahbear1574 Před měsícem

    Pole sana kwake ni mgonjwa sawa ila kwasasa angejaribu kudeal na afya yake maana kama hao bolt hawako concern ni hata angepiga x-ray ya kifua kama sehemu kubwa inayomuuma ni Hapo ushauri tu

  • @talentshow2024
    @talentshow2024 Před měsícem +9

    Hata kama ameongeza chumvi huwezi kujirusha kuhatarisha maisha yako.
    Bora angefanya kitu kingine huyu Bajaji pia anamakosa yake.

    • @aman.weusUS
      @aman.weusUS Před měsícem

      Wewe unahisi dereva bajaji anaweza kumsukuma mtu aliekaa nyuma huku yeye yupo mbele anaendesha? Ni kwel walijirusha kwa nia ya kumtengenezea kesi dereva bajaj

    • @aronboy1
      @aronboy1 Před měsícem

      😂😂😂 Hugo Dada mshenzi saan kajirusha mwenyew kabisa hiy iko wazi

    • @Mimi1960ly
      @Mimi1960ly Před měsícem +1

      @@aronboy1sasa mtu ajirushe kwa faida gan na till now matibabu kagharamia mwenyewe

    • @aronboy1
      @aronboy1 Před měsícem +2

      @@Mimi1960ly hayo nikama majut ya baade ksbb huwend aliruka sabb ya ukaidi2 na ujinga alionao we umewaza hivy Lkn yy hakuwaza hay

    • @user-rk6jf6zq6d
      @user-rk6jf6zq6d Před měsícem

      We Nae Usiwe kama Kilaza walikuwa wawili mwenzake Karuka Akafanikiwa Watoto wa mjini Wanaita Kutema Ngazi Na yeye Akajaribu Kuruka Moja kwa Moja kakosea timing ni kosa lake SEMA ndo hivyo Dereva Nae Angechangia TU Matibabu lakini Imekuwa Ngumu maana Kesha Singiziwa Kuiba mamilioni Ambayo Huyo Binti Hajawahi Hata kuzishika ​@@Mimi1960ly

  • @Aishahussein-sy9zb
    @Aishahussein-sy9zb Před měsícem +2

    Barbara kubwa Kama mlimani city ilifaa iwe na CCTV camera, hapo tungeondoa utata ote..na tungekua na ushahidi wa kutosha

  • @eddsonjeremiah6669
    @eddsonjeremiah6669 Před měsícem +8

    Bolt madereva wanashida sana kiukweli nahisi hawawalipi madereva zao vizuri maana Kuna muda wanausumbua sana

    • @bongo5914
      @bongo5914 Před měsícem +1

      uliza mtu yoyote kama bolt wanalipa mishala bolt hamulipi dereva ila dereva ndie anawalipa wao bolt

    • @user-pm7oe5gj8g
      @user-pm7oe5gj8g Před měsícem +1

      Bolt hawaajiri dereva ila wanasajili TU na dereva ndiyo anawalipa kiasi kidogo baadae ya kupata chochote kwenye mizunguko yake...

    • @eddsonjeremiah6669
      @eddsonjeremiah6669 Před měsícem

      @@user-pm7oe5gj8g hawaajiri Ila wanasajiri nadhani hii business ni bolt ndio muhusika na risk taker wa hii business platform na chochote kinachotokea kuhusu dereva ni wao ndio business employee of the drive register sijui unamaanisha nini hapa hebu tuelekeze vizuri

    • @eddsonjeremiah6669
      @eddsonjeremiah6669 Před měsícem

      @@bongo5914 bolt wanalipa pia ndio maana hao maderever wanatumia platform yao maana watu wanalipa online payments Kila safari Tena Kuna muda discount zinakuwepo zakutosha kwa customer Sasa dereva kama halipwi na bolt siwajitoe tu.

    • @user-rm4rd3hq3s
      @user-rm4rd3hq3s Před měsícem

      bolt hawalipi mishahar Kuna asilimia wanachukua kwa kila safar unayoend dereva

  • @Shadia544
    @Shadia544 Před měsícem +1

    Wangemuangalia ili apate matibabu haraka pole sana nenda muhimbili haraka ukacheki hilo ziwa jamaniii 😢😢😢😢😢

  • @NeemaSamson-ti8pc
    @NeemaSamson-ti8pc Před měsícem +3

    Pole dada wanaosema we ni muongo hayajawakuta wao mungu akusaidie upone haraka

    • @iconbwoy6550
      @iconbwoy6550 Před měsícem +1

      Huyu dada ni muongo, kaibiwa milioni 10?

    • @bongomsasa2496
      @bongomsasa2496 Před měsícem

      Muongo kajirusha na hajapoteza mil10