#SamiaMotocrossChampionship2024

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 6. 09. 2024
  • #SamiaMotocrossChampionship2024 | Tazama madereva wa bodaboda wanavyoruka viunzi kwenye mashindano ya pikipiki ya Samia Motocross Championship katika viwanja vya Laki Laki mkoani Arusha.
    Washindi watakwenda kuiwakilisha nchi kwenye michuano mbalimbali ya kikanda na kimataifa, ikiwemo mashindano yatakayofanyika mwezi wa tisa nchini Morocco.
    #SamiaMotocrossChampionship2024 #RacingShow #Arusha

Komentáře • 68

  • @JumaAbdallah-gn5qu
    @JumaAbdallah-gn5qu Před měsícem +5

    Makonda 👍 kiboko Nikiongozi Hajawai kufeli Anajuwa kuongoza na kujenga Maendelea Naiyona Arusha mpyaa Zaidi mbele👍👍👍Piga kazi

  • @AlhajiIssa-jb9hr
    @AlhajiIssa-jb9hr Před měsícem +1

    Makonda is very bright person 🎉

  • @Nostressalways
    @Nostressalways Před měsícem

    Big up makonda,Mwanza tupo nyumaa sana kumbe

  • @malikkb6444
    @malikkb6444 Před měsícem +1

    Big up sana. Mwanzo mzuri na kwa mara yakwanza Tanzania tunatengeneza identity nyingine ya mchezo utaoweza kututambulisha duniani..
    Kazi nzuri Mh. Makonda

  • @dannythegreat8017
    @dannythegreat8017 Před měsícem

    Waooohhh, very impressive.
    Cuddles team ya uchambuzi, your're very smart . Not boaring, your're encouraging, inspiring and appreciative to our vijana on their ride.
    Hongera sana Mheshimiwa Makonda kwa ubunifu, na uwekezaji kwa vijana wetu. Hii sasa itaaongeza dhamani ya mtu anaendesha pikipiki, lakini vijana sasa wataona umuhimu wa kazi yao.
    Kwa hao wachache wanataka kuharibu kazi ya vijana wetu, tutawashughulikia ipasavyo. Arusha oyeeeeeee!!!!!!!!!!!!!

  • @GibsonNtamamilo
    @GibsonNtamamilo Před měsícem +1

    Du! Niko Kigoma, hii tunasema imeenda. Kiufupi utadhani tuko Denmark. Big up Paul Makonga the Great RC ever seen.

  • @janethayo4967
    @janethayo4967 Před měsícem +1

    Waaaoooo Arusha yang pendwa ❤

  • @alphagroup9477
    @alphagroup9477 Před měsícem

    Arusha like America

  • @zakazakazi-fn6zy
    @zakazakazi-fn6zy Před měsícem +1

    Daaa mweli Arusha ni nchii hao maridder ni wanomaaaa ataaaariii sanaaa ni 🔥 🔥

  • @gladwellmassawe46
    @gladwellmassawe46 Před měsícem +3

    Olasit🥳🥳🥳🥳🥳

  • @user-qx6mm2lp2b
    @user-qx6mm2lp2b Před měsícem +1

    Masuuuudd mtalam wetu wa misugu sugu nimemuona bog up bro

  • @CimonMollel
    @CimonMollel Před měsícem +2

    Chuga kama mbele big up Paul makonda

  • @stevenvictor437
    @stevenvictor437 Před měsícem +1

    Duuuh safi sana, nwapats vzr nikiwa boda ya msumbiji hapa.

  • @josephlorri431
    @josephlorri431 Před měsícem +1

    Hii tamu..hadi nimesisimka kwa ninavyopenda michezo hiyo ya bikes 🏍

  • @mamakayla6697
    @mamakayla6697 Před měsícem +2

    Ni mzuri sanaaa,wakati mwingine wamwage maji kuondoa vumbi

    • @prime_215beatz
      @prime_215beatz Před měsícem

      😂😂😂 wamwage maji afu boda ipite utaua watu.. utelezi kidogo tu watajikuta wapo chini

    • @DominicKizwalo
      @DominicKizwalo Před měsícem

      😂vumbi ni sehemu mojawapo ya vigezo na obstacles. Yaonyesha ujuzi wa rider uko vipi

  • @franknnko4744
    @franknnko4744 Před měsícem +1

    Pamoja sana Arusha

  • @sylvanjosam3402
    @sylvanjosam3402 Před měsícem +1

    Saf san makonda kula yangu chukuwa🎉

  • @JolotaErastoJuma
    @JolotaErastoJuma Před měsícem +1

    Pamoja sana POUL MAKONDA

  • @user-xk7vy4gb6g
    @user-xk7vy4gb6g Před měsícem

    Mh 💪💪💪💪💪🙌🙌🙌 kweli ww noma 🎉🎉🎉🎉

  • @hashimuomary4569
    @hashimuomary4569 Před měsícem +1

    Kuanzia leo me shabik wa olasiti elisante

  • @stephenmsanzu9850
    @stephenmsanzu9850 Před měsícem +1

    Makonda safi sana

  • @ElibarikiElibarikimrema
    @ElibarikiElibarikimrema Před měsícem

    ❤❤

  • @swahilitherapytv3846
    @swahilitherapytv3846 Před měsícem

    Chuga iyooooo..😊😊

  • @AlfredMtandi
    @AlfredMtandi Před měsícem +2

    RC wewe nimwamba unaweza, Mungu akurinde nasi tunazidi kukuombea.

  • @AllyKadege-on8zb
    @AllyKadege-on8zb Před měsícem +2

    Makonda anajua kuwafurahisha watu wake

  • @ALEXLOTAN
    @ALEXLOTAN Před měsícem

    Safi sana mama. Makonda usitoke alusha tutakupa urais aki l love you chuga yangu

  • @WisleyJohn-vy6jp
    @WisleyJohn-vy6jp Před měsícem

    Nice things

  • @kibasamohamedi8029
    @kibasamohamedi8029 Před měsícem

    Safi sana

  • @FREDDYJuma-gk6lp
    @FREDDYJuma-gk6lp Před měsícem +3

    Chuga kama ulaya😁

  • @JosephMoleni
    @JosephMoleni Před měsícem

    Nakupenda makonda

  • @dullayomwinyi3359
    @dullayomwinyi3359 Před měsícem +3

    Chuga kama mambele yani

  • @user-eu5tj7yg8c
    @user-eu5tj7yg8c Před měsícem

    yes makonda

  • @WazirJuma-gd5oo
    @WazirJuma-gd5oo Před měsícem

    Yani makonda hapana wewe nikiongozi bwana unaweza kiivusha hii nchi Kwa kipndi kifupi Sana . Maana umeangalia mbali mno mungu akubariki Sana brother.

  • @MsafiriRichard-c1i
    @MsafiriRichard-c1i Před měsícem +1

    Wapo viruri sana tunaonba tanga pia iwepo kama hii. Au kila mkoa .

  • @WisleyJohn-vy6jp
    @WisleyJohn-vy6jp Před měsícem

    🎉🎉🎉🎉🎉

  • @allyzubery1768
    @allyzubery1768 Před měsícem

  • @rashidlwengo6940
    @rashidlwengo6940 Před měsícem +1

    Mmh huyo anweza kuwa mwiz huyo

  • @emmanuelmchomvu2676
    @emmanuelmchomvu2676 Před měsícem

    Hyo Elisante mamaeee watu wana balaa

  • @LeonardJumanne-p2q
    @LeonardJumanne-p2q Před měsícem +2

    Kama mbele iyo ndio arusha

  • @avitusmichael5
    @avitusmichael5 Před měsícem +1

    Makonda ni raisi ajae

  • @user-bf3mm5wu1s
    @user-bf3mm5wu1s Před měsícem

    Duuh izo vumbi 😅😅jamn

  • @bonifassimon7909
    @bonifassimon7909 Před měsícem +7

    Hapa dar labda mashindano ya pombe na majungu vitu kama hivi tutaishia kutozama kwa TV tu

  • @shuaybuMalonga
    @shuaybuMalonga Před měsícem +1

    Hawez linganiaha Chuga na mikoa ningne asee Kwa cc 2liowahi zunguka Tz Chunga n Jiji Lina Kila sfa

  • @HusnaSimbila-ig7ks
    @HusnaSimbila-ig7ks Před měsícem

    Olasitiii

  • @thomasmunis9814
    @thomasmunis9814 Před měsícem +1

    A town kama mambele

  • @evansmoshi1923
    @evansmoshi1923 Před měsícem

    Dah! ilo vimbu lisije kusababisha ajali

  • @SadikiSaid-cp1pt
    @SadikiSaid-cp1pt Před měsícem

    piki piki ndio atuna ira wapo vizuli ira biki piki sio izi sasa

  • @barrynzeyimana6270
    @barrynzeyimana6270 Před měsícem +1

    Ubaya Wa Tanzania kila kitu kinakua na kumbembeleza Rais. Kwakua wameweka mamulaka kama yote kwa Rais. Rais hana control power nyuma yake. Hakuna utofauti Wa kipindi cha tawala za wazungu na rais Wa Sasa.

    • @sundaystanley5322
      @sundaystanley5322 Před měsícem

      Unamaanisha nini hapo,hili ni wazo la makonda,na kaamua kuingiza jina la samia hapo kuna shida gani

  • @DanielMaksiro
    @DanielMaksiro Před měsícem

    NIMEIKOSA HII DAAH😢

  • @johngitau6995
    @johngitau6995 Před měsícem

    Katika vumbi ajali inaweza tokea rahisi,mbona wenye kuanda hawaweki Lori la kunyumyuiza maji na kuondoa hio hatari.

  • @ShimbaChilemeji
    @ShimbaChilemeji Před měsícem

    Olasit anakiwasha haswa

  • @rashidlwengo6940
    @rashidlwengo6940 Před měsícem

    Makonda hajawahi kufeli

  • @AthumanyMvula
    @AthumanyMvula Před měsícem +1

    Wangemwaga ata maji kupunguza vumbi

    • @fahadsalim3000
      @fahadsalim3000 Před měsícem

      Ukimwaga maji njia😂itateleza kwa bike sio salama❤

    • @JumaDezombie-cn3yu
      @JumaDezombie-cn3yu Před měsícem +1

      𝙢𝙖𝙟𝙞 𝙖𝙮𝙖𝙢𝙬𝙖𝙜𝙬𝙖𝙜 𝙝𝙖𝙩𝙖 𝙢𝙗𝙚𝙡𝙚