Video hii ya BIDEN akimpuuza na kumbagua mpiga kura Mmarekani Mweusi yazua hasira mtandaoni

Sdílet
Vložit

Komentáře • 702

  • @abdull_hafidh
    @abdull_hafidh Před 11 dny +224

    Hakuna aliebora kwa Allah s w ispokua anaemuabudu yeye tu kama unaamini like

    • @user-es4uf6gj7u
      @user-es4uf6gj7u Před 10 dny +1

      Sis wenye tushindwa kujitambua nakujiani kama tuna uwezo wakijiongoza wenywe tunaona kama bila ya wao sisi hatuwezi nizaifu mkubwa wakifikra na kiimani husband viongozi walioko madarakani

    • @vincentcharles4385
      @vincentcharles4385 Před 9 dny +1

      Huyo Allah ana ubora gani?

    • @KHAMIS_SHILINGI
      @KHAMIS_SHILINGI Před 9 dny

      Utakuja kujua inshaallaah 😢

    • @officialsalim3955
      @officialsalim3955 Před 9 dny

      ​@@vincentcharles4385Chunga maneno yako...

  • @carolmuchiri9921
    @carolmuchiri9921 Před 11 dny +160

    Hakuna Siku Mzungu Atapenda Mtu Mweusi,Hata Akikupenda Huwa Na Kachuki Fulani,Ogopa Mzungu 😭😭😭😡

  • @AliamryBakar
    @AliamryBakar Před 11 dny +268

    Kama unaamini sote ni wa Mungu mmoja gonga like

    • @francejuya1248
      @francejuya1248 Před 11 dny +2

      Sisi na wazungu ni tofauti kabisa sisi ndio Wana wa Muumba wa kweli SEMA tumepoteza asili kupitia dini

    • @cryptoboy-5
      @cryptoboy-5 Před 11 dny +4

      hayo mambo ya mungu ndyo yanayo tuludisha nyuma tumeinginiziwa imani za hovyo na wageni kuacha ualisia wetu wa kiafrica na kujikuta kupokea imani za watu ambazo zinatufanya mpaka leo tumekuwa wajinga na kuwa kichaka cha maladhi

    • @Awatee
      @Awatee Před 11 dny +2

      ​@@cryptoboy-5jidanganye siku ukifa utajua vzr

    • @Awatee
      @Awatee Před 11 dny

      ​@@francejuya1248hakuna mzungu wala china sie sote ni wa Mwenyezi Mungu lkn wazungu wanajiona wao wajuzi

    • @zuricakes6817
      @zuricakes6817 Před 11 dny +2

      @@cryptoboy-5 sasa hapa dini imeingiaje? Watu waliozoea kwenda kwa waganga utawajua tu!😅

  • @user-ly9lp2ed4m
    @user-ly9lp2ed4m Před 11 dny +24

    Hainishtui kiasi cha kunifanya niwaze sana kuhusiana na hii ishu coz I know I’m the best in front of my creator and I believe that there’s a reason behind why I were created black, so I’m very proud to be the way I am and I’ll never ever regret to, Code ni moja tu akikubagua mbague.

    • @user-nb2jw4km6f
      @user-nb2jw4km6f Před 10 dny +1

      Yaani nilikua nasikiaga ubaguzi leo nimeuona live

  • @Chettymlambalipsi-lb9km
    @Chettymlambalipsi-lb9km Před 11 dny +47

    Aki nimeumia roho 😢😢😢

  • @user-es7jn7cp5d
    @user-es7jn7cp5d Před 11 dny +32

    Mimi siwenzi kushangaa kwa ngonzi nyeupe kuhusu ubanguzi Kama sisi kwa sisi tunabaguana wafrica kwa nn isewe kwa nzungu Africa tuungane

  • @moseskulola6913
    @moseskulola6913 Před 11 dny +43

    Hakuna chakushagaa hapo wazungu wote hawatupendi sisi weusi

  • @HamadKhamis-l9e
    @HamadKhamis-l9e Před 11 dny +14

    Ifike wakat cc watu weusi tujitambue km tunabaguliwa tusilazimishe kujichanganya nao Ni bora zaid tuish maisha yetu mana haitokuja tokezea ubaguzi WA watu weusi kuondoka duniani kwasababu hata watoto wao huwasomesha namna ya kutubagua

    • @frocoissango8973
      @frocoissango8973 Před 11 dny +2

      Acha kwenda kwenye makanisa na misikiti yaho kwaza

    • @sylvestercameo6263
      @sylvestercameo6263 Před 10 dny

      ​@@frocoissango8973Makanisa yao yako wapi?

    • @KASSIMMHILU-oh5ch
      @KASSIMMHILU-oh5ch Před 10 dny +1

      Kinachotakiwa ni kujikomboa kifikra Kwanza...Ukipenda kusaidiwa ujiandae na kibaguliwa

  • @user-el6mm4lh4m
    @user-el6mm4lh4m Před 11 dny +8

    Uyoo..so Raisi ni mubaguzi wa Rangi.....🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤ hafai kuwa mtawala

  • @andrewokbazil1018
    @andrewokbazil1018 Před 11 dny +47

    Ubaguzi Marekani haujaanza leo,una historia yake.

    • @vanessalaizer4363
      @vanessalaizer4363 Před 10 dny +1

      Sasa eti ata Biden mwenye upungufu wa kumbukumbu analeta ubaguzi duuh. Mbona rais mwenyewe mgonjwa jmn

  • @fahadhassan1714
    @fahadhassan1714 Před 11 dny +26

    Ndo ache shobo za wazungu yy ashajiona kima anakwenda vipi kwa nguruwe mweupe ndo akome

  • @jumashedafa
    @jumashedafa Před 11 dny +12

    Haya Ruto umeona kaz hiy adi unapendwa ujue wana shida zao..Na huy mbibi wa kizungu kama ndio alimuanzishia kiran yan alianz kumbagua kitambo...mie ushaur kama upo huko we tafuta pesa urud mambo yao waachie ila nk vyema kaongeza kura kwa trump hasa kwa watu weusi walioumizwa na hilo...trump naye keshapata hoja ya kumkaanga na kufanyia kampeni

  • @Brunotarimo10
    @Brunotarimo10 Před 11 dny +15

    Kutoka Gikombaa Nairobi leo sijakusikia kaka ulivyotokea nimefurahi sana big up family ya sns

  • @rajah9328
    @rajah9328 Před 11 dny +6

    Tunashabikia sana wazungu tena ao ao ndio wanasema Human Rights ila ubaguzi kwaio umezidi

  • @HappyatHome-bn8wm
    @HappyatHome-bn8wm Před 11 dny +27

    mbaguz huyu jamaaa. ameisha

  • @user-jd6vr9xw1o
    @user-jd6vr9xw1o Před 11 dny +8

    Kweli kabisa ,amebagua huyu mdada mweusi ,amekosea sana

  • @ThobiasMarandu
    @ThobiasMarandu Před 8 dny

    czcams.com/video/A65mQFVyJzY/video.html HUYU ANADANGANYA UKWELI NI HUU, WATANZANIA WAPUMBAVU UNAVAMIA KIPANDE CHA VIDEO CHA PROPANGANDA ZA TRUMP...

  • @andrewokbazil1018
    @andrewokbazil1018 Před 11 dny +10

    Ubaguzi Marekani haujaanza leo,, una historia yake

  • @fetychina3969
    @fetychina3969 Před 10 dny +2

    Dah!nimejisikia vibaya sana

  • @wallaceexpert4081
    @wallaceexpert4081 Před 11 dny +12

    Dah kuna aibu nyingine zinaumiza tena asa kwa mtu unaemuamini.

    • @salhawaziri1668
      @salhawaziri1668 Před 10 dny +1

      Yani i feel her pain mim peke nimeumia utadhan ni mim kampa mfadhaiko mbele za watu…. Ila na wao wakome

  • @user-cw8zn2dn6m
    @user-cw8zn2dn6m Před 10 dny +1

    Jmn mrembo mzuri mwamfrica yaani anapendeza kazidi hawa weupe kama vile wana ugonjwa wa ukoma. Dada mweusi mzuriii sana, angalia tu macho yake tu jmn mtoto huyu dahhh!! Wazungu jmn Mbinguni hawataingia!! Sisi sote ni wa Mungu mmoja. Amen.

  • @pauldotto7868
    @pauldotto7868 Před 11 dny +13

    Kwa kweli imeniuma hadi machozi

  • @christophermsekena616
    @christophermsekena616 Před 11 dny +12

    Baguzi halitoboi this time

    • @aliyageorge6794
      @aliyageorge6794 Před 10 dny

      Hata huyo trump mbaguzi waamerika their in trouble 😂

  • @Antelius-ew6it
    @Antelius-ew6it Před 3 dny

    Shida sio dada tatizo ni mfumo wetu wa akili katika uso wa Dunia hata ningekuwa mm ingetokea hivo tu asiwaze kwetu ss ni shujaa wetu dada mwenyewe mrembo mzuri tu jaman❤

  • @GiftAbduly
    @GiftAbduly Před 10 dny +8

    Hakuna watu wabaguzi kma hawa ngozi nyeupe sijui wanajiona kina nani hapa dunian aiseee hata mimi nishakosa kaz dubai sababu tu ni rangi n mweusi🙌🏾🙌🏾

    • @hanifa9153
      @hanifa9153 Před 10 dny

      😢😢😢😢😢

    • @AmusedCatfish-hd8wo
      @AmusedCatfish-hd8wo Před 9 dny

      Nipo Dubai mwaka 7 sijaona Hilo

    • @abdulrazackabbas2634
      @abdulrazackabbas2634 Před 9 dny +1

      Tembea kweny matamasha sio upo dubai unalal kwenye kochi siku nzima

    • @GiftAbduly
      @GiftAbduly Před 9 dny

      @@AmusedCatfish-hd8wo hayajakukuta tulia

    • @GiftAbduly
      @GiftAbduly Před 9 dny

      @@abdulrazackabbas2634 mwambie huyo haya mamb yapo ukisikia mwenzio unaona n uzishi likikukuta sasa

  • @user-kx5oc7nt5p
    @user-kx5oc7nt5p Před 6 dny +1

    Daah, kweli bhana hawa watu hawatupend. Imenihuzunisha

  • @mancholotrasco8350
    @mancholotrasco8350 Před 11 dny +8

    Is not a first time from him

  • @raissafabien4285
    @raissafabien4285 Před 8 dny

    😢😢😢😢Be strong my girl✊✊and be courage. We will win as the black😍

  • @AbdulraufSalum
    @AbdulraufSalum Před 11 dny +12

    Na yy kafat nn apo

    • @hopechidera
      @hopechidera Před 11 dny +2

      🤣🤣🤣hapo sasa,hata nami najiuliza hivo...

    • @star_wizard2792
      @star_wizard2792 Před 11 dny

      😂😂😂 kapata alichokifuata

  • @AbumishAbu-cz9su
    @AbumishAbu-cz9su Před 9 dny +1

    Sisi watu weusi Mungu alivyo tuumba ndio tunao jali utu wa watu wote dada your still strong don't be so sad

  • @worldhappiness1181
    @worldhappiness1181 Před 10 dny +1

    Yaah ,its not their home, Africa is, Africa is the paradise, Black is beauty always.

  • @frankvianey2438
    @frankvianey2438 Před 11 dny +9

    Aisee sns mpo vizur sana

  • @mtzhalisi2232
    @mtzhalisi2232 Před 11 dny +7

    Kababu kasenge haka!

    • @hanifa9153
      @hanifa9153 Před 10 dny +1

      Ucjali kana kufa tu kesho kakaktane na adhabu za mungu kibri chote kitaisha😢😢😢

  • @digital21.13
    @digital21.13 Před 8 dny

    Nyoooo. Kutwa kuzungumzia uchaguz wa Marekan.. Wa Tanzania aaah

  • @nassormessi-zk5cz
    @nassormessi-zk5cz Před 11 dny +2

    Hata Trum mbaguz na hata huku kwetu pia kuna ubaguz wabongo hujifanya wako juu na wapemba na wao usiseme waunguja tuko kimya tunawatizama tu

  • @SaidiAmiri-qv5ed
    @SaidiAmiri-qv5ed Před 10 dny +2

    Ni ssi tu huwa tunajipendekeza kwa hawa watu weupe,sio wazungu tu hata wahindi,waarabu wachina,wote wanajiona wao bora zaidi na wenye bahati zaidi yetu.SISI TUKUBALI TU KIBAYA ZAIDI HAWA WATU MUNGU AMEWABARIKI MALI HAPO KIBIRI NDO KINAZIDI ZAIDI TUFANYE IBADA SANA ILI FUNGU LETU TULIKUTE KWA MUNGU WETU ILA HAPA DUNIANI HAWA WATU WANATAMANI WANGETUONDOA WATU WOTE WEUSI WABAKI WAO TU.

  • @abuukajembe-to6sd
    @abuukajembe-to6sd Před 11 dny +4

    Mungu anawaumbua 2

  • @nickalreadyknows
    @nickalreadyknows Před 11 dny +8

    Shenzi huyu mzee 🚮

  • @ziggysamson5956
    @ziggysamson5956 Před 10 dny

    Takwambia Nini Kaka Sky mbona uku Capetown na sisi uzuni namadjozi vimetujaa,Allah Amchukue na Hamlaze mahali pema motoni

  • @eestermos9933
    @eestermos9933 Před 11 dny +3

    Dah inauma sana

  • @RamaMikidad-vm3we
    @RamaMikidad-vm3we Před 11 dny +5

    Inakeraa aricho kifanya biden. Ila kama irivyo kawaida wachafu wengi ndiyo wanavaaga nguo safi nakuaminika kiulaisi ishakua kawaida2 vitukama ivyo ugenini kule. Unakuta hao hao wa wanaobaguriwa ndiyo wanao mumarizia kula ya ushindi haanhahahaha

  • @alexmahenge3817
    @alexmahenge3817 Před 10 dny +1

    4:16 Hafai kua Rais tena Hana Maana kwa kizazi Cha sasa. Nimemfuta Kuanzia sasa. Aibu imrudie Biden mara 100

  • @MahdouMomba
    @MahdouMomba Před 10 dny

    Hawa wazungu hawawezi kutupenda sisi watu weusi, ni sisi tuu ndio tunajipendekeza kwao.
    "If one day the Europeans praise me,
    know that I have betrayed you" very great quotations By Samora Machel.

    • @santinoplacid7571
      @santinoplacid7571 Před 10 dny

      tutafanyaje sasa wakati ndio wametufanya tuwategemee kwa kila kitu😢😢

    • @MahdouMomba
      @MahdouMomba Před 10 dny

      @@santinoplacid7571 wao ndio wanaotutegemea waafrica kwa kila kitu, madini na rasilimali nyengine nyingi, ni muda kwa viongozi wetu kubadili muelekeo kwa manufaa yetu nasio manufaa ya mabeberu

  • @user-yk8em1bh8g
    @user-yk8em1bh8g Před 10 dny +1

    Mimi hata nkiambwa jckie kama upo nyumban lakn cjsahau mimi n Nan 😂😂😂😂

  • @ThobiasMarandu
    @ThobiasMarandu Před 8 dny

    You Make Me Sick, Promoting Falsehood, Wakati Unaweza Kutafuta Kujua Ukweli... Umeniambia Nikuambie Mtazamo Wangu.. Mtazamo Wangu ni Kuwa TUMIA AKILI TAFITI KITU KWANZA.

  • @aboudasilver6541
    @aboudasilver6541 Před 11 dny +7

    Si warudi kwao Africa

  • @shijandobehe4953
    @shijandobehe4953 Před 10 dny +1

    aisee kaka wewe ni mbunifu Sana kwenye Sanaa umeiwasilisha vizur Sana

  • @bakarikaoneka1080
    @bakarikaoneka1080 Před 9 dny

    Hawa weusi wanatakiwa wafanye yafuatayo:
    1. Wasimpigie kura huyu magazine na badala yake wampigie wa Republican ingawaje wao ni wabaya zaidi.
    2. Wasome kwenye disciplines tofauti
    3. Watafute pesa kwenye maeneo tofauti
    4. Watengeneze wanasiasa wengi
    5. Waongeze idadi yao nk

  • @AliyyAli-ii1uz
    @AliyyAli-ii1uz Před 10 dny

    Skay kaka nafurahi sana unavo tupa vitu va kudunia nikuambietu hawa wazungu sio watu kabisa

  • @tensotv
    @tensotv Před 10 dny

    Daah so sad.. nimelia sana

  • @hellennehemia9269
    @hellennehemia9269 Před 10 dny +1

    Yaan ingekua ni Mimi,huyo mbibi kwanza ningemtia ngumi ya uso ..

  • @user-sn4iq6cu1f
    @user-sn4iq6cu1f Před 11 dny +16

    Ndo mjioneee uko waaafrika mnaojipendekeza na wazungu eakati wala hawawapendi

    • @MathewNathan-yb2bz
      @MathewNathan-yb2bz Před 10 dny

      Ubaguzi uko kila sehemu na kila kabila duniani.Hapa hapa Tanzania tunabaguana sembuse huko Marekani.Hebu angalia hapo kenya wanavyobaguana,ww mbara nenda zanzibar au nende arabuni huko kote kuna ubaguzi.

    • @user-sn4iq6cu1f
      @user-sn4iq6cu1f Před 10 dny

      @@MathewNathan-yb2bz ni lini ww ulishawahi kwenda zanzibar ukabaguliwa au unaushahidi wwte wa video au audio ikimuonyesha mtu wabara au ww mwenyew ukibaguliwa? Usiongee kwahisia ongea kiuhalisia usiongee kwa chuki mm nimeshaenda znzibar na nimeshakaa zaidi ya miaka miwili na hawaja wahi kunibagua na sijawahi kusikia kma kuna mtu wa bara amebaguliwa labda tuseme2 kua ss wabara tumetokea kuwachukua wazanzibali huo ndio ukwel tunawatengenezea chuki ila wale watu ni watofauti kabisa kwanza hawana habal kabisa na mtu kule kila mtu anaangalia maisha yke aisee kwakwl wale jamaa ni haki yao wakatae muungano mana kwanza hatufanani nao kwachochote nikimaanisha maadili yao hayaendani kabisa na yakwetu

    • @omarymwaluko9765
      @omarymwaluko9765 Před 10 dny

      ​@@MathewNathan-yb2bzlazma uwatetee mashoga wenzako

  • @bigirumanalululouise4540
    @bigirumanalululouise4540 Před 11 dny +2

    Daah😢😢😢😢😢

  • @user-pj7ng8il4t
    @user-pj7ng8il4t Před 10 dny

    The black queen never give up, I know you feel so sad because of this but stand firm be strong coz there's a day the truth will reveal it. I know you have a lot of love with your president but the president Biden make rejected to you. But I promise you all African and worldwide appreciate you and we love you forever.

  • @ramadhaninyangasa7275
    @ramadhaninyangasa7275 Před 10 dny +1

    Anayempenda Allah tu ndio kafaulu, Allah hambagui mtu ila kwa madhabi yake usipotubu

  • @mamy8220
    @mamy8220 Před 10 dny

    Kuna kaka aisema ivi vitu walimutukana kaka wawatu nimelia sana 😢😢 ubaguzi upo 😢

  • @MzeeNdaloo
    @MzeeNdaloo Před 11 dny +2

    Hii inafunzokubwa kwa viongozi machawa wawa zungu wanaokula pesa zawazungu wajuwe wana wauza nduguzao kwa watu ambao hawawapendi
    Nandiomaana viongozi wa kiafrika wenye msimamo huwa wanawauwa
    R.i.p magufuli

  • @labancharles8453
    @labancharles8453 Před 10 dny

    nimeumia sana kwa kweli huyu jamaa anaroho mbaya sana sana

  • @mohammedkombo9798
    @mohammedkombo9798 Před 9 dny

    Very Sad 😢, Namkumbuka Jk Nyerere alisema… wazungu ni….ma….bwa! Kwa kweli

  • @mariamfritsi4943
    @mariamfritsi4943 Před 10 dny +3

    Kweli mschana kajisikia vibaya sana, inasikitisha sana amemdhalilisha kiukweli, mwanzoni nilimpenda Biden, ila kwa hili simpendi tena.

    • @hkaniugu
      @hkaniugu Před 9 dny

      Waafrika wenyewe hawapendani

  • @ebengapierre8826
    @ebengapierre8826 Před 8 dny

    Baiden raisi mpumbavu kweli 😭😭😭😭😭😭 kwakini uyo asi mfokehe pale kwanini nina bango lako linandikwa jina lako alafu unafanya ubaguzi inge trend zaidi sn 😢😢😢😢😢

  • @mohdmohd8428
    @mohdmohd8428 Před 10 dny

    Ila Luto ni mweusi zaidi kuliko huyu dada, be care African 😢

  • @user-zp6kv3ir3v
    @user-zp6kv3ir3v Před 8 dny

    Too bad for us as Africans and our race of people in USA

  • @starjay3052
    @starjay3052 Před 11 dny +4

    dah 😢

  • @cheiknamouna2058
    @cheiknamouna2058 Před 10 dny

    Nlijionea kanisani kuna mtoto aliyekuwa anabatizwa msimamizi alikuwa mweusi akaambiwa sogea kasubirie nje alipotolewa nje na mwenye mtoto akatoka nae na baadhi ya wengine wakatoka nusu ya kanisa walisusia ile ibada wakapanda magari yao wakaondoka hii kitu ipo kila sehem kwa wazungu wabaguzi sana😢

  • @user-sc5gt6gs3s
    @user-sc5gt6gs3s Před 10 dny

    Inauma ila mm nikizani mtu akiwa na umri uyo sasa anajuwa kama akuna tofauti wa mtu na ungine kumbe ukubwa njinga 😢😢

  • @hajjiomary2383
    @hajjiomary2383 Před 10 dny +1

    Ndomana uwislam umenyosha tutasimama kwenye swala hija aijalishi we mzungu au mweusi .na mbora katika cc anaefanya mazuri kwa Allah

    • @omarymwaluko9765
      @omarymwaluko9765 Před 10 dny +1

      Uislam ndo haki

    • @josephkiwale374
      @josephkiwale374 Před 10 dny

      Hata ukristo haukuruhusu ubaguzi,ubaguzi nitabia ya watu weupe wote dhidi ya mtu mweusi,warabu na wahindi ni wabaguz xana pia,hakuna Cha uislam Wala ukristo

    • @omarymwaluko9765
      @omarymwaluko9765 Před 10 dny

      @@josephkiwale374 hao mashoga wazungu wamezid ubaguz mashetani hayo

  • @noelkaale5952
    @noelkaale5952 Před 10 dny

    Yaani hawa watu weupe bado sana wanatuona Sisi sio watu lkin chaajabu kabisa hawa viongozi wetu wa afrika ni kama mbwa wakitupiwa tu mifupa ni kutingisha mikia big up sana magufuli,Gaddafi,Mandela na wengine pumzikeni kwa Aman nyie ndio viongozi mlikuwa mnajielewa

  • @ramadhankhatwib8561
    @ramadhankhatwib8561 Před 7 dny

    Tutadhalilishwa sana tu na kubaguliwa kwasababu viongoz wetu wa Africa hawajielewi wanahis bila wazungu Hakuna maisha
    Ukiangalia vizur hapo huyo dada amenza kunyapaliwa na hicho kibibi Cha kizungu kisha mkubwa wao akamalizia na huyu dada ya nn kujibebesha mbango wa mtu mpuuz kama huyu

  • @abaabelard9668
    @abaabelard9668 Před 11 dny +3

    Inaumiza sana😢

  • @wtnyambizi9876
    @wtnyambizi9876 Před 10 dny

    OMG I feel Her huu ni ubaguzi sema kama kajaribu kuuficha flani hivi

  • @hustlerchembes786
    @hustlerchembes786 Před 9 dny

    Vizee vimezeeka vinaenda kufa ndomana havijali watu sey no to rashizim lachesism

  • @lordsm.k-db3wy
    @lordsm.k-db3wy Před 10 dny +2

    Watu weusi bwana munaniudhi Kila kitu kwenu ni ubaguzi

  • @superhemed7590
    @superhemed7590 Před 10 dny

    Inauma zaid sn😢! Ila nimeangalia kwaupande wa pili jinsi raisi wa nchi kubwa kama marekani anavyoweza kukumbatiana na kupiga picha na wakereketwa wa chama chake kirahisi namna hii, sijui ingekuwa raisi wetu kama ingewezekana mbele ya walinzi wake

  • @hermanKajiru
    @hermanKajiru Před 10 dny

    I think the black American people should think twice of how to support the politician. It is so sad.

  • @sijaonalujinama
    @sijaonalujinama Před 10 dny +1

    Huyu mzee hatoboi, tuko na Trump.

  • @Divinelinna
    @Divinelinna Před 11 dny +3

    😂😂ndo sawa si afazali trump anaye sema kweli nakuonyesha hazarani lakini uyo Biden munafkiiii ohooo

    • @Ryannkae
      @Ryannkae Před 11 dny

      Mimi uwa nawaambia aleyefanya wanzi na kuhonyesha uma au ajipendekezi huyo ndo mtu mzuri ata ukiwa job sisi weusi tukihona wanatushekea first day juwa aukai apo bro wanahesabu weeks tu na wakufukunze ila ukimkuta anafunga sura juwa unakaa pakanzi kama hakufukuza siku hile ya kwanza kunja kutafuta kanzi juwa umedumu apo atokutowa kame kabda mwenyewe ukatoke

    • @Divinelinna
      @Divinelinna Před 9 dny

      @@RyannkaeKabisaa

  • @omarymwaluko9765
    @omarymwaluko9765 Před 11 dny +2

    Machoko yatakuja hapa kumtetea choko mwenzao

  • @user-nz8ly5sr3o
    @user-nz8ly5sr3o Před 10 dny

    Mababu zetu walizingua sana kuwauza ndugu zetu uko ulaya ona weusi wanavyobaguliwa pole sana weusi wenzetu mlioko uko ma ulaya marekani Asia kikubwa dua MUNGU yu pamoja nanyie

  • @lastkinglastking3326
    @lastkinglastking3326 Před 10 dny

    Pole sana dada yangu mweusi wewe ni wathamami kubwa badili tu eneo apo sio
    Alafu Ruto na weusi wake woote eti Biden kampa kiti chake akiikaliye
    Kwa mtazamo huu Mimi naamini
    Bila shaka kile kiti hakikuwa chenyewe na kama kitakuwa ni chenyewe baada ya Ruto kukiikaliya kilitupwa

  • @zachariamwita3926
    @zachariamwita3926 Před 10 dny

    Kujipendekeza Kwao sana

  • @user-pj7ng8il4t
    @user-pj7ng8il4t Před 10 dny

    Hivi inanikumbusha civil Rights movement 1960 huko marekani. Wamarekani weusi waliteseka kwa miaka mingi Sana. Walibaguliwa kwa Mambo mengi. Wakachoka wakaamua kulianzisha. Wakaazisha civil Rights movement wakinakili baadhi ya vifungu kutoka kwa katiba yao ya marekani. Nawakumbuka mashujaa wao Kama Martin Luther King, Fred shuttlesworth, Rosa Packs,, wanasheria Kama Autherin Lucy,Thurgood Marshall na Arthur Shores.

  • @user-nb2jw4km6f
    @user-nb2jw4km6f Před 10 dny

    Du!nimemuonea huruma huyu dada Jamani 😮😮 bora nilizaliwa Africa kwenye asili yetu.

  • @user-in4kg3kj8x
    @user-in4kg3kj8x Před 10 dny

    Daaaah maskin na bango lake kubwa lkn wapiiii wengne hawana hta mabango lkn hug za kutosha

  • @amsiabbas3809
    @amsiabbas3809 Před 8 dny

    Hao Ndio Wazungu Tunaowafaham Kamwe hawatofungamana nawatu wausi labda kunajambo lao wakiwa wanalitaka

  • @user-vi7ly9zh1q
    @user-vi7ly9zh1q Před 11 dny +1

    Wazungu toka lini wakawàpenda watu weusi 😢😢

  • @ghhj-ij7xs
    @ghhj-ij7xs Před 10 dny

    Weusi tunabaguliwa sana aise yote tisa kumi tupambanee yoooh😢😢😮😅

  • @goodlegacytv5068
    @goodlegacytv5068 Před 11 dny +3

    Anajipendekeza

  • @gilbertkalanda9354
    @gilbertkalanda9354 Před 11 dny +1

    Nimeumia sanaaa sitaki hata kutazama

  • @hassankilengah4786
    @hassankilengah4786 Před 9 dny

    Hakuna kiumbe mbora mbele ya mwenyezi mungu ispokuwa awe mchamungu.

  • @josej9888
    @josej9888 Před 10 dny

    Turudi African tujenge African yetu, lah sivyo tutaendelea kubaguliwa kwasababu hatuna umoja.

  • @davidmalogo7100
    @davidmalogo7100 Před 10 dny

    Yani Mimi miaka yote nilikuwa shabiki wa malekani niliipendasana sikujua kwamba malekani inafadhili ushoga ,inachonganisha watu wacongo, wapalestina wanauwawa,naislaeli kwasababu yamalekani, somalia nivita ,Burundi,Rwanda , kote nishida nayote haya nimalekani Yani tangu nijue hayo natamani malekani isambalatike Leo mana kumbe ndio inayo leta ubaguzi na uchafu wote mungu tusaidie sisi watu weusi tuwe juuzaidi ya Hawa wazungu

  • @BertrandNiyomwungere-fs9xi

    😭😭😭

  • @user-to4jw7tm1j
    @user-to4jw7tm1j Před 10 dny

    Inauma sana ila ni funzo kwa wengine wanaojipendekeza

  • @crisndembwele4016
    @crisndembwele4016 Před 9 dny

    Ilibidi sisi tuwachukie wazungu na tuwabague ila kuna mahali wametuwahi ila katika kuumbwa sisi tumebarikiwa sana trust

  • @omarmohammed5157
    @omarmohammed5157 Před 10 dny

    Waafrica acheni kujipendkeza kwa wazungu mwisho wake ndio kama hayo yanayowakuta

  • @MdNasr-jm8pj
    @MdNasr-jm8pj Před 10 dny

    Ubaguz Kwa watu weus hawishi 😢kote mataifa ya watu weupe SS tupo huku tunaona thamani zetu lkn hatuondoki ngo'oo watubague mpk

  • @kitikawamuwa1279
    @kitikawamuwa1279 Před 10 dny

    Inaumiza kweli naskia najiskiya kama ni mimi

  • @roudhamahmoud763
    @roudhamahmoud763 Před 10 dny

    Pole dada najuwa unajiskiyq vibaya hata sisi website wenzio tumeumiya mno hicho kitendo 😢😢😢😢😢

  • @pauldotto7868
    @pauldotto7868 Před 11 dny +4

    BINTI HUYO NI MZALIWA WA USA HANA HATIA...

    • @shijamohamed369
      @shijamohamed369 Před 11 dny

      @@pauldotto7868 maji na mafuta hayachanganyiki atafute asili yake na akaishi

    • @star_wizard2792
      @star_wizard2792 Před 11 dny

      😂😂😂 apunguze shobo kwani lazma aende kubeba Bango la biden angeendelea na shughuli zake

    • @user-zc1hq7dz6t
      @user-zc1hq7dz6t Před 11 dny

      😂😂😂😂😂​@@star_wizard2792