Video není dostupné.
Omlouváme se.

NATO kujadili mashambulio ya URUSI yaliyoua raia UKRAINE huku Zelensky akimuita PUTIN 'Gaidi'

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 8. 07. 2024
  • Tembelea sns.co.tz/ kwa taarifa zaidi

Komentáře • 145

  • @KhamisOmar-kt4kz
    @KhamisOmar-kt4kz Před měsícem +23

    Hawa mbwa kila siku wanawauwa wapalestina lkn hawajadili wameuliwa wao wanaanza kubweka big up urusi

    • @josephwilliam5813
      @josephwilliam5813 Před měsícem +1

      Kuitetea URUSI hakuifanyi Gaza kua na amani,,,usiwe mnafiq kama WAO simamia haki

    • @Fgldesigns
      @Fgldesigns Před měsícem

      ​@@josephwilliam5813Wapuuzi hao Ukraine

    • @abdul-qadirkhamis2518
      @abdul-qadirkhamis2518 Před měsícem

      Huna akili, jaribu kufikiriakabla hujajibu​@@josephwilliam5813

    • @KAMTUPE
      @KAMTUPE Před měsícem

      Sasa haki n ipi?

    • @josephwilliam5813
      @josephwilliam5813 Před měsícem +1

      @@KAMTUPE haki ni kuamini KILA mtu ana haki BILA kujali UPANDE wake kua tofauti na wako

  • @Mumewangu
    @Mumewangu Před měsícem +16

    Lakin palestina wanauliwa wapo kimya kumamazao nato

  • @michaeljuma7764
    @michaeljuma7764 Před měsícem +15

    Ally Masubi kwenye ubora wake kwenye uchambuzi. Asante Kwa habari

  • @Ufahamu-01
    @Ufahamu-01 Před měsícem +7

    Safii mpo fasta sana kutupa Habari makini na sahihi.. Mbarikiwe sana katika kazi zenu.

  • @paschalfausitine7108
    @paschalfausitine7108 Před měsícem +15

    Gaza hawaoni Israel anachokifanya jamani

    • @aftapat5365
      @aftapat5365 Před měsícem +1

      mbona unaenda huko kote angalia kongo na sudan

  • @KulwaMatiku
    @KulwaMatiku Před měsícem +14

    urusi wapo vizuri 😂😂

  • @zachariakisweswe6034
    @zachariakisweswe6034 Před měsícem +11

    gaza vp hawa oni

    • @tahiyasaidi6532
      @tahiyasaidi6532 Před měsícem

      kikao cha dharula lkn gaza watoto wanakufa hoefuly wajadili na hayo

  • @user-pd5hl9di2q
    @user-pd5hl9di2q Před měsícem +7

    Wakae vikao walie urusi cha kumfanya hawana dawa wasalimu amri vinginevyo atawamaliza

  • @mtulivu-ir1nq
    @mtulivu-ir1nq Před měsícem +3

    Kwaiyo lile kombora lililorushwa na ukrain kwa makombora ya mmarekani kwenda urusi na kuuwa watoto kwao sio tatizo ila wakifanyiwa wao ndo tatizo 😅😅😅 so sad😢😢

  • @celestinlyimo
    @celestinlyimo Před měsícem +2

    ally masubi improvent Yako now ni kubwa sn ktk uchambuzi tofauti na awali.. big up!!

  • @user-pd5hl9di2q
    @user-pd5hl9di2q Před měsícem +4

    Hata wakikaa kwani mara yao ya kwanza kukaa wanapoteza muda ni aibu zinawatesa urusi ndiye mbabe wa dunia sasa wazungu wa nato sijui washitaki wapi maana hata Mungu wamemsusa

  • @kherisalum6304
    @kherisalum6304 Před měsícem +8

    Russia🙌🙌🙌🙌

  • @MasterOil-qm6vw
    @MasterOil-qm6vw Před měsícem +3

    Marekani mwenyewe hamuwezi urusi marekani anayadanganya mataifa madogo kwamba yeye ni super power kumbe super power ni urusi ambae ndie mshindi wa vita zote kubwa za dunia marekani hajawahi shinda hata vita moja hata na makundi kama hamas marekani haijawahi kushinda

  • @boscow9380
    @boscow9380 Před měsícem +3

    Mko fasta kabisa kutupatia Habari kamili.kwa sasa mda wakufatilia bbc, rfi na media zao zimekwisha .hongereni sana tuna wapata inchi Canada ottawa 🙌🤝👍

    • @kwisa4899
      @kwisa4899 Před měsícem

      Habari ya jana unasema wapo fasta nenda wion ndio unapata habari haraka sio media hizi za bongo

  • @ameirzapy1318
    @ameirzapy1318 Před měsícem +3

    Nato washenzi Sanaa, ni kikundi cha fitina

  • @Nyaki-rh5oi
    @Nyaki-rh5oi Před měsícem +3

    Wazungu watu wa ajabu sana yani wale wanao uliwa kule gaza siyo binadamu

  • @vintz338
    @vintz338 Před měsícem +6

    Gen z wakawasaidie Ukraine kumtoa zelensky

  • @jkifutu7936
    @jkifutu7936 Před měsícem +2

    Absolutely 💯

  • @zahorhemed1045
    @zahorhemed1045 Před měsícem +6

    Putin piga hao nyau wakiuwa warusi kimyaaaa waache undumilakuwili

  • @allysimu6856
    @allysimu6856 Před měsícem +1

    Awajamaa mashoga kweli mbona palestina awasemi auwaosio watu NATO nimagaidi

  • @aboudasilver6541
    @aboudasilver6541 Před měsícem +5

    Ivi hao mashoga hawaoni watoto Gaza wanavyoangamia washenzi sana hao

    • @user-tq4lx9si1n
      @user-tq4lx9si1n Před měsícem +1

      Kilamtu hashinde mechzake kulegaza kulekuna watoto wanyoka wakibak watang,ata watu

    • @user-tq4lx9si1n
      @user-tq4lx9si1n Před měsícem +2

      Ushahanza kuleta udini hapo gaza inakujaje wakat mtu hanatafta magaid wanao uwalaia nihamas wanaojficha kwa watoto nakinamama kwann wasjtokeze kupambana

    • @Stillrunlikeaball
      @Stillrunlikeaball Před měsícem +1

      @@user-tq4lx9si1nNnjoo Umchukulie MAMA AKO CHUPI LAKE Kalisahau geto huku jana Nililila Mavii sana😋😋

    • @barakashaban9698
      @barakashaban9698 Před měsícem

      ​@@user-tq4lx9si1nacha ushenze we kafiri ww inamaana wale watot wanaouliwa Gaza sio binaadam? Au kwasababu mmezowea kuchokolewa ndio mnaona kuwachukia watu wanaopinga uchoko acha ujinga kila mtu anahaki ya kuishi

  • @khalidbelhasa2137
    @khalidbelhasa2137 Před měsícem +4

    Wanamzungusha tu Zelesky hawana solutions

  • @georgebataze6625
    @georgebataze6625 Před měsícem +5

    Ukraine wameua watu urusi siku kadhaa nyuma, hao Umoja wa mataifa hawakulaani, sasa Urusi imelipiza kelele nyingi wuh wuh wuh wuh kama mbwa koko😂

  • @user-lv4cx1sc5d
    @user-lv4cx1sc5d Před měsícem +2

    Mbona urusi alivyoshambuliwa amukuweka kikao

  • @kobajumakuziwa9976
    @kobajumakuziwa9976 Před měsícem +1

    Baiden na hao mbwa wenzie mbona hawalaani makombora ya Israel kila saa yanauwa watoto wa palestinians laanatulah wote hao

  • @StevenTaylorx
    @StevenTaylorx Před měsícem +5

    Russian technology...

  • @matukutajuma156
    @matukutajuma156 Před měsícem +1

    SNS super Sonic ❤

  • @nizarrama225
    @nizarrama225 Před měsícem +8

    Magaidi ni marekani na nato yake na wala si Urusi!

  • @SmilingGamingHeadset-mh6cn

    Urusi,oye, 🇭🇹🇭🇹🇭🇹🇭🇹

  • @gabapentin8070
    @gabapentin8070 Před měsícem +3

    Zelensk aliua wiki ilopita akashangilia saivi analia akipigwa

    • @AFRICA_D669
      @AFRICA_D669 Před měsícem +1

      😂😂

    • @gabapentin8070
      @gabapentin8070 Před měsícem

      @@AFRICA_D669 😂😂 kajamaa kalishangilia sana

    • @AFRICA_D669
      @AFRICA_D669 Před měsícem +1

      @@gabapentin8070 nikwel nakumbuka ,kalivyo kahovyo et kanapiga nyumba za fukwen Hotel hakajui matajiri sku hyo hyo wanaamsha tena motel😂 mazish yanafanyikia otelin Vita inaendelea

  • @user-es7jn7cp5d
    @user-es7jn7cp5d Před měsícem +1

    Pamoja kaka mm nasuburi tarifa zako pare sns

  • @abdullahnassor9433
    @abdullahnassor9433 Před měsícem +2

    Ni waongo makombora yote yaligonga lengo lao zelensky walikwenda Poland kujificha kutoka kwa makombora

  • @WazirBoy-fe5ew
    @WazirBoy-fe5ew Před měsícem +1

    Huyu sio rahisi tena kikatiba, sasa hivi kawa kibaka

  • @shubebunyesi542
    @shubebunyesi542 Před měsícem

    kaaah wazungu wanafki hatali yaani Urusi akishambuliwa wanamwambia zeleksi apo safi ila wao aaah navikao mtiti kama wanataka vita iishe c aingie vitani moya kwa moya dunia iwake ndio watu wataheshimiana

  • @MasterOil-qm6vw
    @MasterOil-qm6vw Před měsícem +3

    Mpumbavu ameshaikimbia nchi mwehu

  • @HassaniHassani-gb8oc
    @HassaniHassani-gb8oc Před měsícem

    Wanajadili mauaji yanayofanyika Ukraine lakini wnaipa Israel silaha kushambulia hospitals na shule

  • @isaacklazaro3780
    @isaacklazaro3780 Před měsícem

    Viva Masubi Viva sns

  • @shukurmuha554
    @shukurmuha554 Před měsícem +1

    Ukouwa kwa upanga utakufa kwa upanga wache waiting maumivu kama walivyowafanyia warusi

  • @hasanimkamba8377
    @hasanimkamba8377 Před měsícem

    tatizo marekani nawashilika wake niwanafiki tu

  • @user-lv4cx1sc5d
    @user-lv4cx1sc5d Před měsícem +1

    Yani NATO ficheni siraha urusi hatapiga popoamna muda wa kumpangia apige wapi

  • @ziongate5464
    @ziongate5464 Před měsícem +1

    Ndugu wachambuzi tunaomba pia kwa matokeo ya mauaji ya Wa palestina yanayo endelea uko Gaza zidi ya Waisraili tupeni taarifa pia hizo kwa kila siku.

  • @abdullahchabukila6686
    @abdullahchabukila6686 Před měsícem

    Naona dunia inaamka kutoka gizan 🎉 Gaza awaoni wao wamegushwa kidogo milio Kama ya paka Putin ✌️ ura uraaaaa

  • @user-xc5mk4ro2z
    @user-xc5mk4ro2z Před měsícem +1

    Ata bado acha wauwawe mbwa wakubwa watu 30 tu wanabweka kile Gaza maelfu kwa maelfu kimyaa ata bado😅😅😅😅😅😅😅😅😅

  • @nkeshimanayuda1115
    @nkeshimanayuda1115 Před měsícem

    Kwahiyo Ukraine pamoja na hao marekani wenyewe sio magaidi? Wakishambuliwa wenyewe wanasema Ugaidi. Watulize mshono!

  • @Pablolookman
    @Pablolookman Před měsícem

    Naitakia ushindi urusi Leo hii urusi wakuwa magaidi Kwa kujilinda ila Israel amaeuwa wazee na watoto sio magaidi

  • @mussajuma7460
    @mussajuma7460 Před měsícem

    Nato ni takataka tuu ipo siku afrika italipiza kisasi dhidi ya nato kwa kuuwa viongozi wetu

  • @boniphace1
    @boniphace1 Před měsícem +1

    Zelensky hataki jadili na Putin/Russia, anaenda kujadiliana na westerners.

  • @MohamediOmari-nz4vv
    @MohamediOmari-nz4vv Před měsícem +1

    Marekani ni mchochezi wa vita hii naona anachokitafta atakipata kwa ushauri wa bure Biden afai kuwa rais maana ni mshenzi tu

  • @AhmedAli-xk8cv
    @AhmedAli-xk8cv Před měsícem

    Nato mbona hawajadili mauwaji ya Palestina?

  • @thelonewolf4429
    @thelonewolf4429 Před měsícem +2

    Haha ndio mjuwe asa kama Urusi inapigana na nato. Waliua watu urusi wakajuwa wanamkomesha mrusi sasa wanajifanya wanajificha umo kumbe satellite zaurusi ziliwa nasa😂 wakafumuliwa sasa wana go frenzy

  • @asyajey3479
    @asyajey3479 Před měsícem +2

    Ukraine akifanya sio gaidi na Israel anavofanya Gaza sahihi nato bana 😂

  • @jumaciza461
    @jumaciza461 Před měsícem +2

    Wana fica silaha uko lazima pashambuliwe

  • @abdulbonomali6548
    @abdulbonomali6548 Před měsícem

    Amelipiza kisasi putini alisema atajibu kwaukalisana mnalia mini sasa

  • @SAYMOEKARIM
    @SAYMOEKARIM Před měsícem

    angeliga wote hao mbwa Walichokifanya Afghanistan na Iraq Lybia Kwa Gaddafi vipi uko Gaza vipi wanachokifanya congo .???

  • @VeronicaMhapa
    @VeronicaMhapa Před měsícem +1

    Bro Russia hausiki kwenye shambulio ilo

  • @mansoursiulapwa8624
    @mansoursiulapwa8624 Před měsícem

    Mbona wameuwa wachache, wangemaliza raia wote hapo.. Viva Russia, Viva Putin

  • @danielsostenes1640
    @danielsostenes1640 Před měsícem

    Kwan msaada wa dollar billion 60 umeisha?

  • @user-tq4lx9si1n
    @user-tq4lx9si1n Před měsícem +2

    Urusi vta vimemshnda hanahanza kuuwa laia hashageuka Netanyahu .kumauyo

    • @rashidmaty7824
      @rashidmaty7824 Před měsícem +2

      Hauna unachojua ww kaa kimyaa dawa iwaingia

    • @user-tq4lx9si1n
      @user-tq4lx9si1n Před měsícem +1

      @@rashidmaty7824 hamna ktupale yule ni Netanyahu saizi hanawinda raia

  • @user-oh8ig2cy9q
    @user-oh8ig2cy9q Před měsícem +1

    Ukiwa mmbea uwe na kumbu kumbu

  • @user-bz5ti6op6z
    @user-bz5ti6op6z Před měsícem

    Yes Putin piga hao

  • @chabrumachabruma
    @chabrumachabruma Před měsícem

    Kazi yao ni kukutana na kujadili kikichofanywa na Urusi....

  • @issalyanali4119
    @issalyanali4119 Před měsícem

    Walipotuma magaidi urusi wakaua watu disco walifurahi makuma hawa,,,,sasa putin wacha aonesha panapovuja

  • @user-sd7li4qo6q
    @user-sd7li4qo6q Před měsícem

    Bona iziraeli awasemiii

  • @alzawahirabdallah2299
    @alzawahirabdallah2299 Před měsícem

    Mbona hamlaani kwa anayo yafanya israile

  • @ZuhuraNassoro
    @ZuhuraNassoro Před měsícem +1

    Ukraine wamepata wanacho sitahili

  • @amonezekiel4893
    @amonezekiel4893 Před měsícem

    Mtaaramu piga mpaka hao mashoha waseme bac,

  • @jotafungo4622
    @jotafungo4622 Před měsícem

    Putin kamatia hapo hapo

  • @muharramhamisi5140
    @muharramhamisi5140 Před měsícem +1

    Wakwanz apa nipeni like zangu❤❤❤

  • @ziongate5464
    @ziongate5464 Před měsícem

    Napicha pia za mauaji ya Wapalestina huko Gaza kama mnavyo onyesha picha hizo za Waukraina zidi ya Mashambulizi ya Kirashia

  • @MasterOil-qm6vw
    @MasterOil-qm6vw Před měsícem

    Hao bwana zake siwamesema wanaweza kuizuia urusi kuichukua ukrein haya wamsaidie sasa

  • @arafahhh5574
    @arafahhh5574 Před měsícem

    Ila palestina ni mbwa wanao uwawa yahudi sio gaidi

  • @salehkhalfan7345
    @salehkhalfan7345 Před měsícem

    Juzi tu Ukrain wameshambulia Crimea na kuua watu kadhaa na wengn 150 kujeruhiw
    Kwny hili walikaa kimyaa km hawakuliona

  • @user-lv4cx1sc5d
    @user-lv4cx1sc5d Před měsícem

    Hao NATO Awana kazi ya kufanya

  • @KAIPAAA3211
    @KAIPAAA3211 Před měsícem

    Hiyo Hosptal ilikuwa inahifadh sraha

  • @saimongilala8938
    @saimongilala8938 Před měsícem

    Urus 🇷🇺 tupo pamoja

  • @AliKaroyo
    @AliKaroyo Před měsícem +1

    Russia Alisema Atalipiza Kisasi cha Ukraine Last week Ukraine Alifanya Shambulizi Kubwa na Kuuwa Watu 11 wasio Na hatia Creamea Na Putin Akasema Ukraine Atalipia Kisasi Icho Mbona Kelele Sasa Niza nin

    • @Kingo1410
      @Kingo1410 Před měsícem

      Kweli kabisa akifanya Urusi wote wanapiga kelele waki piga Ukraine Wana kama kimya....wanapiga kelele tu

  • @nemecykongolo5457
    @nemecykongolo5457 Před měsícem

    Urusi piga pimbi hao

  • @johnsonzuma4932
    @johnsonzuma4932 Před měsícem

    Mbona kipindi Ukraine hali uwa watu kwenye fukwe ya bahari hawa kuka chini?

  • @ElijahOwino-xe2cd
    @ElijahOwino-xe2cd Před měsícem

    Wanao isifia Urusi kwa shambulio hili ndio wao Hao Wanao lialia mitandaoni mashambulizi ya Gaza.... Halafu wengi wao ni waislamu... na ndio maana ninapenda anachokifanya Israel huko Middle East.. Kiboko cha waarabu ni Israel tu... Hakuna kucheka nao

    • @barakashaban9698
      @barakashaban9698 Před měsícem

      Na kiboko cha Israel ni Hasbollah

    • @ElijahOwino-xe2cd
      @ElijahOwino-xe2cd Před měsícem

      @@barakashaban9698 Hezbollah ndo Bure kabisa... hata hawawezi mlinda kiongozi wao🤣.... Ngoja uwone kinachoikujia Lebanon

    • @barakashaban9698
      @barakashaban9698 Před měsícem

      @@ElijahOwino-xe2cdhah una chekesha kweli mazayuni maoga ndio maana yanauwa viongoza kwa kuvizia kama wanauwezo waingie bato wakione cha moto

    • @ElijahOwino-xe2cd
      @ElijahOwino-xe2cd Před měsícem

      @@barakashaban9698 sasa Mbona Hao magaidi wanajificha kama panya... mtu aje akutandike kwenyu na amuue kiongozi wako kwa ardhi yenyu halafu bado unasema eti ni muoga...? 🤣🤣🤣🤣

    • @barakashaban9698
      @barakashaban9698 Před měsícem

      @@ElijahOwino-xe2cd hah🤣 lini wameingia Lebanon wakauwa kiongozi kama sio kuvizia kwa drone lkn juz kati walipo muuwa kiongozi wa Hasbollah uliliona majibu Yao Israel ilivyo shambuliwa kwa makombora hd kuuwa makamanda w2 wa Israel au ndio mapenzi yamezidi hd huoni namna mazayuni yanavyo kufa?

  • @salymsuleiman2035
    @salymsuleiman2035 Před měsícem

    Putin piga mashoga haoooo

  • @nemecykongolo5457
    @nemecykongolo5457 Před měsícem

    Mashoga nyie

  • @MohammedBwanga
    @MohammedBwanga Před měsícem +1

    Putin mwanaume wa Karne Nato wanapiga Kelele lkn yeye kimyaa anaongea kw. Kuwatwanga tu.

    • @user-tq4lx9si1n
      @user-tq4lx9si1n Před měsícem +1

      Wanatwangana wekahaba hacha ufala

    • @MohammedBwanga
      @MohammedBwanga Před měsícem

      @@user-tq4lx9si1n VP nawewe upo ktk chama cha mashoga au

    • @MohammedBwanga
      @MohammedBwanga Před měsícem

      @@user-tq4lx9si1n nawewe unataka haki zako au

    • @barakashaban9698
      @barakashaban9698 Před měsícem

      ​@@user-tq4lx9si1nanawatwanga bhana acha kujifariji😀😀

  • @omarymwaluko9765
    @omarymwaluko9765 Před měsícem

    Urusi piga mashoga hao

  • @aminielkombe66
    @aminielkombe66 Před měsícem

    West wamejipiga

  • @mtzhalisi2232
    @mtzhalisi2232 Před měsícem

    Vikao vingiiiiiii kama wachawi.. Mpeni silaha comedian... Ili mzozo uzidi!

  • @hamoudcreator6343
    @hamoudcreator6343 Před měsícem +2

    Wazungu Bhana, Wanafiki Sana, Gaza hawajawahi kukaa.. Ahaaa kwasababu ni Nchi ya Waislam...
    Nilisahau...

    • @user-jh9yv1zp1l
      @user-jh9yv1zp1l Před měsícem +1

      Hich nd kinawaponz unaendekez udini tu

    • @user-tq4lx9si1n
      @user-tq4lx9si1n Před měsícem +1

      ​@@user-jh9yv1zp1lmimwenye mamahangu ni mwislamu hanakesha kuiombea palestrina lakinimi kimoyon napenda sana hanachokfanya Netanyahu hawajama wabaguzi sana Netanyahu kazi nzuli baba mungu yuponawe

    • @user-jh9yv1zp1l
      @user-jh9yv1zp1l Před měsícem

      @@user-tq4lx9si1n hams walopoivamia Israel ,waislm wot walisifia lkn ss mamb yalipobdrk sahv wanalilia tu Allah awatangulie baad ya kipigo kikubw,na bado watapigw san

    • @athumanshaban
      @athumanshaban Před měsícem

      Mwafrika atabaki kuwa muafrika tu yani nyie wote mkiristo yupo Israel na muislamu yupo palestina wote dini mmeletewa mkose kuwa mnaongelea utu kazi dini yan sijuwi ni lini tutajitambua mlusi hapigani kwa sababu ya dini anapigania maslahi yake na wala hana lengo la kuisaidi Afrika na sisi nato inatuuwia viongozi ambao wanania ya kuleta mabadiliko Afrika ila bado tunawashabikia

    • @user-tq4lx9si1n
      @user-tq4lx9si1n Před měsícem

      @@athumanshaban nyikpndi mnaishabikia hamasi hamkujua kunautu hahu mnatakatu huruma

  • @josephwilliam5813
    @josephwilliam5813 Před měsícem

    Putin ni mbwa

  • @MwambaWarusaka
    @MwambaWarusaka Před měsícem

    Gaza wanao uwawa si binadam mbona kwa siku moja wameuwa mia moja acha wafe na wenyewe

  • @MohamedRashid-py7ro
    @MohamedRashid-py7ro Před měsícem +1

    Kombora lilio dondoka hospitali Ukraine walidungua juu ndipo likashuka hapo hospitali Urusi walielekeza kambi ya jeshi Ukraine wamejiuwa wenyewe

  • @alisalimo2861
    @alisalimo2861 Před měsícem +1

    nawao izirail mbona inaua gaza hawajadili wala hatuon kueka vikwazo

  • @zakariaabdalla-uo3nk
    @zakariaabdalla-uo3nk Před měsícem

    Wenyewao wameua watoto iyo icc ianze na ukraine

  • @NdovuDentalClinic_
    @NdovuDentalClinic_ Před měsícem

    Hahaha ila NATO kama watoto WA mtaani kwa kulialia. ICC ni ya kumshughulikia Ruto😂😂

  • @user-gh4mg2wn8y
    @user-gh4mg2wn8y Před měsícem

    Putin ponda ponda hao mashoga paka waishe mbona huko Gaza hawongelei

  • @alphoncewilliam4325
    @alphoncewilliam4325 Před měsícem

    Ukreini wakiuwa watu wa urusi wanashangili wapuuzi sana .na kinacho tafutwa ni nato wangie mazima

  • @Gulfnas1
    @Gulfnas1 Před měsícem +1

    Wakulaumiwa hata si mrusi ni hao wanaohifadhi salaha na ku base wanejeshi maeneo ya kiraia!!

  • @mlelwatv5831
    @mlelwatv5831 Před měsícem

    Walishaambiwa wasishambulie ndani ya russia sasa wao kushambulia tuu wakishambuliwa wao aaaaaah 😂😂 putin piga haoo 😂😂