Video není dostupné.
Omlouváme se.
Viongozi wa dunia wafunguka kuhusu jaribio la kuuliwa kwa TRUMP
Sdílet
Vložit
Velikost videa:
- čas přidán 13. 07. 2024
- Tembelea sns.co.tz/ kwa taarifa zaidi
Komentáře • 77
Další v pořadí
Automatické přehrávání
GPS: ZELENSKY alia na UK, US kumpa kisogo, PUTIN ahofiwa akichokozwa zaidi atalipua NYUKLIASimulizi Na Sauti
zhlédnutí 10K
Hiki ndicho kilichomponza HARMONIZE kwenye KESI yake na CRDB, Wakili Henry Mwinuka AFAFANUASimulizi Na Sauti
zhlédnutí 27K
Baba Levo amkejeli Harmonize kisa kushindwa kesi, adai ameongea na Diamond kakubali kumlipia deniSimulizi Na Sauti
zhlédnutí 9K
Jak Mluvit Jako SigmaTaky Bige
zhlédnutí 532K
Can This Bubble Save My Life? 😱Topper Guild
zhlédnutí 54M
Woman attacks Uber driver with pepper sprayEyewitness News ABC7NY
zhlédnutí 41M
Sad To Announce I Did Not Qualify For Mens 2024 Olympic Gymnastics TeamThe Rock
zhlédnutí 28M
Mastaa waungana kulitaka jeshi la Polisi litende haki kwa binti wa Yombo aliyebakwaSimulizi Na Sauti
zhlédnutí 1,9K
Wengi waumizwa na kauli ya RPC kuwa 'Anayedaiwa kubakwa na kulawitiwa alikuwa kama anajiuza'Simulizi Na Sauti
zhlédnutí 19K
IFAHAMU PARADISO YA DUNIA USWIZISAFIRI DUNIA!
zhlédnutí 2,5K
URUSI, Marekani, UK, nani ana VIFARU bora? Vimeteketea vingapi VITA vya UKRAINE? Ukweli ni huu!Simulizi Na Sauti
zhlédnutí 22K
MWIJAKU DOTTO MAGARI AMEISHIA LA PILI ALIKUWA MWIZI ASISHINDANE NA MIMI MAGARI YANGU NI 0km SI KAMABONGO TRENDY TV
zhlédnutí 25K
RPC wa Dodoma aliyesema ‘Anayedaiwa kubakwa na kulawitiwa alikuwa kama anajiuza' aondolewaSimulizi Na Sauti
zhlédnutí 6K
ELON MUSK si mtu wa kawaida! MTANZANIA aliyeunda SATELLITE aeleza MAAJABU yakeSimulizi Na Sauti
zhlédnutí 64K
UDADAVUZI mtitiriko wa TRUMP kupigwa risasi! Kulikuwa na SNIPER wa piliSimulizi Na Sauti
zhlédnutí 33K
ISRAEL yaumiza kichwa jinsi DRONE ya WAHOUTHI ilivyopenya mfumo wa ulinzi, imetengenezwa IRANSimulizi Na Sauti
zhlédnutí 20K
DRAMA MR.BEASTAVidrail
zhlédnutí 295K
Chocolate Screwdriver! 🔩 Always have the right tool for the job! #amauryguichon #chocolateAmaury Guichon
zhlédnutí 48M
Eleftherios Petrounias helped by Arthur Zanetti = epic gala moment ❤️Olympics
zhlédnutí 49M
Ženu pronásleduje vrah #horrorshorts #shorthorrorstory #shorthorrorstoriesPrézovy noční můry
zhlédnutí 225K
JAK SE ŠKRTÍ?!! #alkan_ #fortniteAlkanhraje
zhlédnutí 133K
STEP CHALLENGE🦶Celine & Michiel
zhlédnutí 9M
Wavy or Curly? #hairstyle #hairtok #hairhack #hairtutorial #hair #easyhairstyle #beautifulcurlsAlina Shmidt
zhlédnutí 24M
Harley Quinn lost the Joker forever!!!#Harley Quinn #jokerHarley Quinn with the Joker
zhlédnutí 27M
😂😂😂😂nyoko wamefeli wanajikanyaga ngoja ashinde uchaguzi
Mashoga walokuwa wanafiki eti wamefarijika yupo salama uku kwenye myoyo zao wakisema daaah deal limefeli sasa tumekwisha mazima
😂
Km yule wa Ukrain
Mbabe ni mmoja tu na ndo maana wanamuandama kila kukicha## Russia 🇷🇺
Please please SNS na dj smaa na brothers wengine hapo studio shalom/bwana yesu asifiwe, Aisee brothers tunahitaji uchambuzi wa mahojiano aliyo fanyiwa yule kijana Joshua okayo raisi wa baraza la wanafunzi chuo cha KSL, mahojiano aliyofanyiwa na kituo cha NTV, baada ya kutekwa na kupatikana. Please please hile interview inavitu Naona Ndani yake. Please please.
Ni wanafiki sana
Wanafiki tu Macron Zelenskyy na wenzie !
Nakemea vikali jaribio hili lkn mungu mpe ushindi Trump ili akomboe vurugu za Aina hii zisijitokeze tena duniani mungu hupanga hupanga ushindi sio mauaji ya yule atakae shinda kwa kuchaguliwa na mungu kama Trump
😂😂😂 wamarekani kama wamekuwa wakiabudiwa saivi maaana kama lingetokea kwengine Hilo jambo Wala lisingekuwa kubwa kiasi hicho🙌🙌🙌
Kwany Trump mtu mdogo
@@eleven-in5qw vipi wale watu 71 waliokufa gaza, mbona hawaongelewi?
Ingekua kiongozi wa Africa wangeongea??😢😢😂😂😂😂😂 wajinga tu ao wazungu
Siasa za kichovu zinaelekea kujirudia huko marekani. Mfano mzuri uko wapi iwapo taifa kubwa kama marekani linaendeleza siasa chovu. Tupigane kwa hoja kwa faida ya maendeleo ya watu pamoja na taifa. Ukiona kiongozi anatumia mtutu wa bunduki ujue hakubaliki na ni fisadi katika taifa husika.
wacha nao waone walicho kua wakifanyiwa viongozi mashuuri wa Africa🌍 kua ni uonevu
Lakin kumbukeni Irani walishatoaga listi ya viongozi wa marekani wanaotakiwa kuuliwa
Namuona Putin anaandika anafuta 😂😂
😂😂😂
Wewe kiboko😂😂😂
😂😂
Shehbaz Shariff nayy eti anakemea Machafuko ya Kisiasa waktk Wazir mkuu wa Zaman wa nch hyo hadi leo kamuweka Gerezan
Watu wanafika hatua wanachoka na hili haliangalii wapi na nani. Tuombe sana tusifikie huku
Ivi nan ni muhusika apo....akili yang inasema biden au nakosea 😢
Inside jobs hizo, kama John Kennedy
Biden hawez hiyo ingeongeza asilimia za yeye kushindwa, marekani inamatajiri wengi ambao Trump akipita atawabana Sana ko hapo kunakamchezo Biden anaweza asihusike kabisa
Angekua na jina la kiislamu angeitwa Gaidi
Umenena sahihi, hawa si watu wa kuaminiwa na walimwengu, wana chuki mbaya sana isiyo na sababu ya kweli
This is not a dream to say you will forget in the morning when you wake up, I think that is something that Biden should understand.
Sio viongoz wote wa Dunia maana Mh dk Samia suluhu sijamsikia
Yeye sio
Samia Sio wa dunia niwa Tanzania 😂😂😂
Katangaze wewe wewe si upo
😂@@RizikiQueen
Kazi ipo
Zelensky mutu wa maana sana
Hawa viongozi waagharibi niwanafik sana akiwemo Zelensky....wanajua kinacjlhoendelea .....Hii nikazi ya NATO
Trump simuanmini uyo 😂😂😂
Wabongo tunapend ushabiki kila jambo ,tuache shobo za kijinga kam.unfk ubaki kwetu hiz nchi hazituhusu
Wanafik hao
Waongoao waliomba afe
Wame shupa wengi ingekuwa Congo awangesemaukweli
Seen by me kaka jambazi usa 🇺🇸
Duuh
Hizi ni dalili ya ushindi. Mungu mponye haraka raisi trump. Mipepo hiyo
Mbona sijawasikia kulaani motukia km hayo yaliyotokea afrika na kwengineko au afrika ni watoto wa kando...
Africa hatupo au
Na tunaitaka AU itume team ya wachunguzi kuchunguza tukio hilo. Hii sio democracy tunayoitaka na tunayoitangaza kila siku😂😂😂
Kwa jeuri ipi
Pumbavu wote hao, Wapalestina wanauwawa kila kukicha wala hatusikia hatua zozote kuchukuliwa kusitisha mauaji
Ni wanafk wote wanaojua njama hio
Acha wauane wenyewe kwa wenyewe
Trump atashinda uchaguzi
Kwanin hajadedi mshenz huyo
Wanafki tu Hao
Acha wauwane kwan mbona wananyonga viongozi wenzao
Bado mzee wa putin hajasema, Leo nimejua amerika ni father halafu urusi ni grandpa
Mbona hakuna anayeongelia miili inayoopolewa kenya?
Huu upepo ndio utamsaidia zaidi Trump kushinda.
Hawa wote ni vigagura
✌️👊🙏.
Donald trump💪
Zelensky kachanganyikiwa nn
That is life trump s the best
Wahaya wote wanalaani tukio la Trump kushambuliwa
😂😂😂Kyoma Bana😂😂
SAWA SAWA TU ACHA NA WAO WAONJE ADHA YA MACHAFUKO WASICHOCHEE VURUGU NCHI ZA WENZAO ZICHAFUKE NA WAO WABAKI SALAMA WAONE MAUMIVU YA MACHAFUKO
Wazungu ni wajinga sana ni bora wauwane wenyewe
Wacha tu afe wengi wanakufa , hajafa leo atakufa kesho,
TEFLON DON
Mbona hawaoni kama Palestine watoto na wakubwa.., huyo trump ndo wamemuona mtu kuliko maelfu ya watu wanaouliwa kisa kugombea nchi yao🙄ALLAH atawashinda yaa Rabbi 🤲🏼🤲🏼🤲🏼🤲🏼
Trump ndo mtu mwenye siasa zinazolenga kumaliza huo mzozo wa gaza
@@deniseliuter3002 anaweza kumaliza mzozo wa Ukraine na Russia sio Israel na Palestine
Amesema atamaliza wa Ukrain sio Palestina
@@deniseliuter3002 huyo ndo anaona kaam wanachewa kuwamaliza wa palestine anataka wawauwe wote kabisaaa 🤦🏽♀️
Mungu mbariki Donald Trump apone na ashinde Uchaguzi.