Video není dostupné.
Omlouváme se.

Viongozi wa dunia wafunguka kuhusu jaribio la kuuliwa kwa TRUMP

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 13. 07. 2024
  • Tembelea sns.co.tz/ kwa taarifa zaidi

Komentáře • 77

  • @wakayakaya6
    @wakayakaya6 Před měsícem +6

    😂😂😂😂nyoko wamefeli wanajikanyaga ngoja ashinde uchaguzi

  • @thelonewolf4429
    @thelonewolf4429 Před měsícem +9

    Mashoga walokuwa wanafiki eti wamefarijika yupo salama uku kwenye myoyo zao wakisema daaah deal limefeli sasa tumekwisha mazima

  • @valentinesyekeye6846
    @valentinesyekeye6846 Před měsícem +17

    Mbabe ni mmoja tu na ndo maana wanamuandama kila kukicha## Russia 🇷🇺

  • @noonelike6382
    @noonelike6382 Před měsícem +1

    Please please SNS na dj smaa na brothers wengine hapo studio shalom/bwana yesu asifiwe, Aisee brothers tunahitaji uchambuzi wa mahojiano aliyo fanyiwa yule kijana Joshua okayo raisi wa baraza la wanafunzi chuo cha KSL, mahojiano aliyofanyiwa na kituo cha NTV, baada ya kutekwa na kupatikana. Please please hile interview inavitu Naona Ndani yake. Please please.

  • @RynoFiree
    @RynoFiree Před měsícem

    Ni wanafiki sana

  • @mubarakahussein9950
    @mubarakahussein9950 Před měsícem +6

    Wanafiki tu Macron Zelenskyy na wenzie !

  • @abdallahlugendo3221
    @abdallahlugendo3221 Před měsícem +4

    Nakemea vikali jaribio hili lkn mungu mpe ushindi Trump ili akomboe vurugu za Aina hii zisijitokeze tena duniani mungu hupanga hupanga ushindi sio mauaji ya yule atakae shinda kwa kuchaguliwa na mungu kama Trump

  • @mtulivu-ir1nq
    @mtulivu-ir1nq Před měsícem +5

    😂😂😂 wamarekani kama wamekuwa wakiabudiwa saivi maaana kama lingetokea kwengine Hilo jambo Wala lisingekuwa kubwa kiasi hicho🙌🙌🙌

  • @kalengashoppingcenter1108
    @kalengashoppingcenter1108 Před měsícem +8

    Ingekua kiongozi wa Africa wangeongea??😢😢😂😂😂😂😂 wajinga tu ao wazungu

  • @juliusmwanyonga2877
    @juliusmwanyonga2877 Před měsícem

    Siasa za kichovu zinaelekea kujirudia huko marekani. Mfano mzuri uko wapi iwapo taifa kubwa kama marekani linaendeleza siasa chovu. Tupigane kwa hoja kwa faida ya maendeleo ya watu pamoja na taifa. Ukiona kiongozi anatumia mtutu wa bunduki ujue hakubaliki na ni fisadi katika taifa husika.

  • @frankkitomary3878
    @frankkitomary3878 Před měsícem +13

    wacha nao waone walicho kua wakifanyiwa viongozi mashuuri wa Africa🌍 kua ni uonevu

  • @HashimOlomi
    @HashimOlomi Před měsícem +2

    Lakin kumbukeni Irani walishatoaga listi ya viongozi wa marekani wanaotakiwa kuuliwa

  • @danielnyangasi8808
    @danielnyangasi8808 Před měsícem +6

    Namuona Putin anaandika anafuta 😂😂

  • @salehkhalfan7345
    @salehkhalfan7345 Před měsícem +2

    Shehbaz Shariff nayy eti anakemea Machafuko ya Kisiasa waktk Wazir mkuu wa Zaman wa nch hyo hadi leo kamuweka Gerezan

  • @Shafikimanga7
    @Shafikimanga7 Před měsícem +1

    Watu wanafika hatua wanachoka na hili haliangalii wapi na nani. Tuombe sana tusifikie huku

  • @paulhema5713
    @paulhema5713 Před měsícem +4

    Ivi nan ni muhusika apo....akili yang inasema biden au nakosea 😢

    • @richardcastromzena5136
      @richardcastromzena5136 Před měsícem

      Inside jobs hizo, kama John Kennedy

    • @RynoFiree
      @RynoFiree Před měsícem

      Biden hawez hiyo ingeongeza asilimia za yeye kushindwa, marekani inamatajiri wengi ambao Trump akipita atawabana Sana ko hapo kunakamchezo Biden anaweza asihusike kabisa

  • @abdallahmohammed6865
    @abdallahmohammed6865 Před měsícem

    Angekua na jina la kiislamu angeitwa Gaidi

    • @salumyusuph6633
      @salumyusuph6633 Před měsícem

      Umenena sahihi, hawa si watu wa kuaminiwa na walimwengu, wana chuki mbaya sana isiyo na sababu ya kweli

  • @disanatv4485
    @disanatv4485 Před měsícem +1

    This is not a dream to say you will forget in the morning when you wake up, I think that is something that Biden should understand.

  • @husseinhemedi9314
    @husseinhemedi9314 Před měsícem +2

    Sio viongoz wote wa Dunia maana Mh dk Samia suluhu sijamsikia

  • @fatimawazeer701
    @fatimawazeer701 Před měsícem

    Kazi ipo

  • @thehustlerafrica4368
    @thehustlerafrica4368 Před měsícem

    Zelensky mutu wa maana sana

  • @USDisdoomed
    @USDisdoomed Před měsícem

    Hawa viongozi waagharibi niwanafik sana akiwemo Zelensky....wanajua kinacjlhoendelea .....Hii nikazi ya NATO

  • @amraniamuri3080
    @amraniamuri3080 Před měsícem

    Trump simuanmini uyo 😂😂😂

  • @user-jh9yv1zp1l
    @user-jh9yv1zp1l Před měsícem

    Wabongo tunapend ushabiki kila jambo ,tuache shobo za kijinga kam.unfk ubaki kwetu hiz nchi hazituhusu

  • @jimmyhabarugira4232
    @jimmyhabarugira4232 Před měsícem

    Wanafik hao

  • @dengepandu9734
    @dengepandu9734 Před měsícem +1

    Waongoao waliomba afe

  • @user-ui5zo9re8b
    @user-ui5zo9re8b Před měsícem

    Wame shupa wengi ingekuwa Congo awangesemaukweli

  • @Kakajambazitv..
    @Kakajambazitv.. Před měsícem

    Seen by me kaka jambazi usa 🇺🇸

  • @monicasimpilu6257
    @monicasimpilu6257 Před měsícem

    Hizi ni dalili ya ushindi. Mungu mponye haraka raisi trump. Mipepo hiyo

  • @user-hi7ry5bc9t
    @user-hi7ry5bc9t Před měsícem

    Mbona sijawasikia kulaani motukia km hayo yaliyotokea afrika na kwengineko au afrika ni watoto wa kando...

  • @BONGOINMOTION
    @BONGOINMOTION Před měsícem

    Africa hatupo au

  • @valentinesyekeye6846
    @valentinesyekeye6846 Před měsícem +2

    Na tunaitaka AU itume team ya wachunguzi kuchunguza tukio hilo. Hii sio democracy tunayoitaka na tunayoitangaza kila siku😂😂😂

  • @eddechriss2664
    @eddechriss2664 Před měsícem

    Pumbavu wote hao, Wapalestina wanauwawa kila kukicha wala hatusikia hatua zozote kuchukuliwa kusitisha mauaji

  • @user-to4jw7tm1j
    @user-to4jw7tm1j Před měsícem

    Ni wanafk wote wanaojua njama hio

  • @IddyAmir-gq1jr
    @IddyAmir-gq1jr Před měsícem

    Acha wauane wenyewe kwa wenyewe

  • @NdovuDentalClinic_
    @NdovuDentalClinic_ Před měsícem

    Trump atashinda uchaguzi

  • @user-lv3de1pi7j
    @user-lv3de1pi7j Před měsícem

    Kwanin hajadedi mshenz huyo

  • @billskeez92
    @billskeez92 Před měsícem +3

    Wanafki tu Hao

  • @antonyelias866
    @antonyelias866 Před měsícem

    Acha wauwane kwan mbona wananyonga viongozi wenzao

  • @kassimbayuu
    @kassimbayuu Před měsícem +1

    Bado mzee wa putin hajasema, Leo nimejua amerika ni father halafu urusi ni grandpa

  • @totonata5384
    @totonata5384 Před měsícem

    Mbona hakuna anayeongelia miili inayoopolewa kenya?

  • @emanuelidamiani2943
    @emanuelidamiani2943 Před měsícem

    Huu upepo ndio utamsaidia zaidi Trump kushinda.

  • @user-td4le3xf7h
    @user-td4le3xf7h Před měsícem

    Hawa wote ni vigagura

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything Před měsícem

    ✌️👊🙏.

  • @Brunotarimo10
    @Brunotarimo10 Před měsícem

    Donald trump💪

  • @Yayouselim
    @Yayouselim Před měsícem

    Zelensky kachanganyikiwa nn

  • @sailortraveler9880
    @sailortraveler9880 Před měsícem

    That is life trump s the best

  • @baizoboy1719
    @baizoboy1719 Před měsícem

    Wahaya wote wanalaani tukio la Trump kushambuliwa

  • @ahmadmasunda9892
    @ahmadmasunda9892 Před měsícem

    SAWA SAWA TU ACHA NA WAO WAONJE ADHA YA MACHAFUKO WASICHOCHEE VURUGU NCHI ZA WENZAO ZICHAFUKE NA WAO WABAKI SALAMA WAONE MAUMIVU YA MACHAFUKO

  • @anafisuleimani7083
    @anafisuleimani7083 Před měsícem

    Wazungu ni wajinga sana ni bora wauwane wenyewe

  • @yayananajota5838
    @yayananajota5838 Před měsícem

    Wacha tu afe wengi wanakufa , hajafa leo atakufa kesho,

  • @Ankobiotics
    @Ankobiotics Před měsícem

    TEFLON DON

  • @aminaali792
    @aminaali792 Před měsícem

    Mbona hawaoni kama Palestine watoto na wakubwa.., huyo trump ndo wamemuona mtu kuliko maelfu ya watu wanaouliwa kisa kugombea nchi yao🙄ALLAH atawashinda yaa Rabbi 🤲🏼🤲🏼🤲🏼🤲🏼

    • @deniseliuter3002
      @deniseliuter3002 Před měsícem

      Trump ndo mtu mwenye siasa zinazolenga kumaliza huo mzozo wa gaza

    • @ce-08
      @ce-08 Před měsícem +1

      ​@@deniseliuter3002 anaweza kumaliza mzozo wa Ukraine na Russia sio Israel na Palestine

    • @abdallahmohammed6865
      @abdallahmohammed6865 Před měsícem +1

      Amesema atamaliza wa Ukrain sio Palestina

    • @aminaali792
      @aminaali792 Před měsícem

      @@deniseliuter3002 huyo ndo anaona kaam wanachewa kuwamaliza wa palestine anataka wawauwe wote kabisaaa 🤦🏽‍♀️

  • @bezalelmbijima8182
    @bezalelmbijima8182 Před měsícem +3

    Mungu mbariki Donald Trump apone na ashinde Uchaguzi.