GPS: RAIS Mpya wa IRAN Masoud Pezeshkian huenda akaenda sawa na MAREKANI kupunguza vikwazo, ataweza?

Sdílet
Vložit

Komentáře • 135

  • @goodluckmwamboneke5591
    @goodluckmwamboneke5591 Před měsícem +23

    Leo nimepata chance ya kuview mwanzoni ntacomment mpk mnichoke, I love sns

  • @mussamabawa2973
    @mussamabawa2973 Před měsícem +11

    Hongeleni kwa uchambuzi mzur

  • @goodluckmwamboneke5591
    @goodluckmwamboneke5591 Před měsícem +16

    Lawyer anamadini sana, ila sma mtafit sana na ally mdadisi sana wa vifaa mbali mbali vyakivita na anaijua siasa ya kijeshi. Siku zote huwa nawawek kweny haya makundi matatu ila nawaheshim sana uncles, maan mi niko na 19yrs, na kunakitu smaa uliwai kusem- watanzania wengi tuliopo abroad tunatamani sana nchi yetu to allow duo citizenship so we can invest back in our country but this Sims like a trap to our government, I'm so sad for that😢

  • @goodluckmwamboneke5591
    @goodluckmwamboneke5591 Před měsícem +8

    I'm ll watching GPS from seattle Washington, I love you guys na sikutegemea kuona combination ya dj,royal,student engineering wakawa na madini kiasi hicho, big up bro sky and God bless u all.

  • @mrdocta3106
    @mrdocta3106 Před měsícem +3

    Salamu kwa mzee wa Facts and logic, Mwana sberia na Mr Masubi. From Canada

  • @elishaluhwago6940
    @elishaluhwago6940 Před měsícem +2

    DJ SMA Una hekima sana brother... upo so matured.. and unajua...... shout out to Henry mwinuka pia... very knowledgeable

  • @user-yv2mx1vq3w
    @user-yv2mx1vq3w Před měsícem +2

    Uchambuzi wenu ni wa Kisayansi sana. Uelewa wenu ni wa kitaaluma tena kwa ngazi ya juu sana. Hongera sana. Hata Waislamu walio wengi hawana uelewa ngazi hiyo.

    • @Gulfnas1
      @Gulfnas1 Před měsícem +1

      Una hakika na hyo unayo yasema??

  • @tunechmkumbwa6047
    @tunechmkumbwa6047 Před měsícem +5

    Huwa nafurahi sana na kujifunza vitu vingi sana pindi ninapo sikiliza GPS na SNS Kwa ujumla

  • @godwinmandary5116
    @godwinmandary5116 Před měsícem +2

    GPS hakika ni darasa huru najifunza vingi sana mengi nilikuwa sijui kupitia GPS nawaelewa sana ❤❤

  • @kdloon2030
    @kdloon2030 Před měsícem +1

    Jamaa ana chukua kiti katika wakati mgumu sana!

  • @HabibuHobohobo-py2mq
    @HabibuHobohobo-py2mq Před měsícem +8

    Mmesahau kuwataja wapalestna kwa uzalendo wao ndo wako NAMBA MOJA wako tayari kufa wakiwa wanaipigania NCH Yao

  • @Gulfnas1
    @Gulfnas1 Před měsícem +8

    Aiseee mmetupa wakat mgumu, kila muda ku chungulia CZcams

  • @Brunotarimo10
    @Brunotarimo10 Před měsícem +4

    Kipindi bora GPS kutoka 254

  • @issakhamis9581
    @issakhamis9581 Před měsícem +1

    Shukran kwauchambuzi❤❤❤❤❤

  • @abubakariali9848
    @abubakariali9848 Před měsícem +4

    Nchi zenye uzalendo zaid
    1. North and South korea 🇰🇷
    2. Iran 🇮🇷
    3. China 🇨🇳
    4. Kenya 🇰🇪
    5. Cuba 🇨🇺
    1000. Tanzania 🇹🇿 😔

    • @ce-08
      @ce-08 Před měsícem

      😂😂😂

    • @GeorgeAkasha-zx2rj
      @GeorgeAkasha-zx2rj Před měsícem

      ​@@ce-08Kenya itoe

    • @jasonwatz7457
      @jasonwatz7457 Před měsícem

      Kenya ina uzalendo kuliko hata tz, mdomo tu ndio kitu tz wanaweza​@@GeorgeAkasha-zx2rj

  • @SaraphinaKidoti-qe7gi
    @SaraphinaKidoti-qe7gi Před měsícem +3

    Ally amu acha nawenzik waongee wamalize bs 😅😅😅

  • @user-ni9gx1ho6c
    @user-ni9gx1ho6c Před měsícem +3

    Henr mo faya

  • @tidomilinga3750
    @tidomilinga3750 Před měsícem +2

    Acha kuombaomba ridhika na unachopata unajiweza lakini hutosheki

  • @GraceMashinga-be9wb
    @GraceMashinga-be9wb Před měsícem

    Yan naview huku mara pa kwann nato walimua gadafi🙏🙏🙏🙏🙏🙏 Asante gps

  • @hemedmwipopo780
    @hemedmwipopo780 Před měsícem +2

    Mwanasheria umeukonga moyo wangu uko sahihi.

  • @Muba-Gucci-TV
    @Muba-Gucci-TV Před měsícem +2

    Nafatilia kutoka Burundi 🇧🇮

  • @JumaMkele-lm7qy
    @JumaMkele-lm7qy Před měsícem +3

    Mwana sheria ameupiga mwingi leo nipo pamoja na wote Wana sns

  • @AbillaiShabani
    @AbillaiShabani Před měsícem +1

    Tanzania 1

  • @issaibonyissaibony9934
    @issaibonyissaibony9934 Před měsícem +2

    Naitwa KhatiBu (Irani ni watu wanye asili ya kuifumba dunia ili waweze kufikia malengo yao

  • @brianbaltazar6198
    @brianbaltazar6198 Před měsícem

    Hongereni sana❤❤...Uchambuzi mzuri sana..

  • @GeorgeAkasha-zx2rj
    @GeorgeAkasha-zx2rj Před měsícem +1

    Lists ya nchi wazalendo.
    1: USA.
    2: Germany
    3: China
    4: Venezuela.
    5: Iran

  • @Mubarak552
    @Mubarak552 Před měsícem +1

    Iran hata Rais awe nani, mwenye maamuzi ni Ayatullah Khamenei na lile baraza lake la viongozi, na inapokuja kuhusu maslahi ya taifa lao, Iran husimama kwa pamoja bila kujali misimamo ya Rais wao, na wao wakigundua Rais ni kibaraka basi wanamfyekelea mbali

  • @omarymwaluko9765
    @omarymwaluko9765 Před měsícem

    Nchi zinazongoza kwa uzalendo
    N Korean
    Iran
    China
    Urusi
    Cuba
    Venezuela
    Vietnam

  • @oppatz5544
    @oppatz5544 Před 9 dny

    Mko vizur sana kwa nini selikali isiajiri vijana kama awa

  • @user-km1dm8et9x
    @user-km1dm8et9x Před měsícem +3

    Namsubiri the MVP masub ally

  • @christiankambuga9338
    @christiankambuga9338 Před měsícem

    Safii

  • @AliNassor-qt6fm
    @AliNassor-qt6fm Před měsícem +2

    Ile jamhuri ya mapinduzi ya Irani , haiwezi kwenda sawa na magharibi na irani anaipinga Israel % how come aende sawa na magharibi pale khamaney ndo muamuzi wa mwisho

  • @naqiahmad26
    @naqiahmad26 Před měsícem +1

    wallah naipenda hii channel kinoma

  • @user-qo2dk6iv3u
    @user-qo2dk6iv3u Před měsícem +1

    Kitu wachambuz hamjakielewa hakuna kulisi nchini IRAN balaza la maulama kiongoz mkuu wa kidini Iran akifaliki lile balaza miongoni mwao anapatikana kiongoz mkuu wa kidini

  • @bonemwaminifu3935
    @bonemwaminifu3935 Před měsícem +1

    Ali masubi

  • @khalifanoti6974
    @khalifanoti6974 Před měsícem +1

    Lakini mjue kuwa ktk serikali ya irani maamuzi ya jambo lolote yanaamuliwa na baraza la Ayatullah Khomeini.

  • @josephinarobert3325
    @josephinarobert3325 Před měsícem +1

    Kwahiyo nyie siyowazalende mbona munachanganya kingeleza nakiswahiri

  • @user-km1dm8et9x
    @user-km1dm8et9x Před měsícem +3

    Magaidi hawaamini

  • @LucasLagos-dq4mh
    @LucasLagos-dq4mh Před 26 dny

    We jamaa unaependa kuongea kizunguzungu unajitahidi japo unatumia hisia nyingi kuliko uhalisia

  • @kdloon2030
    @kdloon2030 Před měsícem

    Upande wa uzalendo Tanzania hatumo,maana viongozi wetu wenyewe wanatufanyia ambayo siyo.Huo ni usaliti tosha

  • @kidyybravo5267
    @kidyybravo5267 Před měsícem +2

    Huyu jamaa anaesema nailii Whats NANILII??

  • @SaraphinaKidoti-qe7gi
    @SaraphinaKidoti-qe7gi Před měsícem +1

    Ally million mia 5 zote ndo niuze nnchi mm 20 zinatosha 😅😅

  • @gateberaildephonse5488
    @gateberaildephonse5488 Před měsícem +1

    from kigali

  • @Eng2460
    @Eng2460 Před měsícem

    My fav media🎉

  • @jamalkishangu
    @jamalkishangu Před dnem

    Wanasiasa wenye msimamo mkali nini maana yake?

  • @nassoroshakiru7094
    @nassoroshakiru7094 Před měsícem

    Binafsi naona Tanzania baado tupo chini sana kwenye uzalendo ila kwa Africa Mashariki naweza kuizungumzia Rwanda

  • @allyhasani3750
    @allyhasani3750 Před měsícem

    Nawakubali sana

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything Před měsícem

    👊✌️👍.

  • @brianbaltazar6198
    @brianbaltazar6198 Před měsícem

    Nchi zinazoongoza kwa kuwa na raia wenye uzalendo sana duniani..1.China. 2.North korea.3.Iran.4.Russia.

  • @RAMAMOHA-vn9xv
    @RAMAMOHA-vn9xv Před měsícem

    Yes Good

  • @nassoroshakiru7094
    @nassoroshakiru7094 Před měsícem

    Kwa upande wangu nchi zenye uzalendo ya kwanza ni 1.IRAN 2.KOREA KASKAZINI 3.CHINA 4.URUSI 5.VETINAM

  • @HeriDunia-i7m
    @HeriDunia-i7m Před měsícem

    tanzania watu wake wazalendo akujawai kutokea duniani yan adi wanaogopa viongozi wao akunaga iyo😂😂😂😂😂😂 ovyo tu tanzania mwisho jaman

  • @josephkostans9128
    @josephkostans9128 Před měsícem

    Akisubutu kwenda sawa na mkoloni basi siku zake zitahesabika yaliomkuta mtangulizi wake hayatamuacha salama.

  • @SamsonEzekiel-or9xc
    @SamsonEzekiel-or9xc Před 23 dny

    Nawapata kipindi bomba ila Umesikia ya Traore mwanajeshi kuhusu Afrika na pembe tatu alivyoongea au ndio kuitawala dunia huko

  • @fraternitesecondaire7073
    @fraternitesecondaire7073 Před měsícem

    hapo Iran inaenda kuwa vizuri zaidi

  • @OsmanKauli
    @OsmanKauli Před měsícem

    🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪 I think 🤔 pia turkey Wana uzalendo

  • @AFRICA_D669
    @AFRICA_D669 Před měsícem +1

    Tuelewe yakwamba iran haiwez kupata kiongozi anaye kubali matakwa ya magharibi iran itaongozwa na maghaidi mpka mwisho, ila nawakubali sana

    • @emmadora7848
      @emmadora7848 Před měsícem +1

      😂😂😂😂 Ile tu kutumia vitu vyao ni kwamba bado wanaongozwa # Helicopter ya rais

    • @salumabdallah2990
      @salumabdallah2990 Před měsícem

      Kwaiyo magaidi ni wairan na sio marekani si ndio?

    • @KhamisOmar-kt4kz
      @KhamisOmar-kt4kz Před měsícem

      Ww unaukimwi wa maskio na mawazo pia israel na marekani ndio magaidi ww demu

    • @AFRICA_D669
      @AFRICA_D669 Před měsícem

      @@emmadora7848 😂😂😂ila ilikua ni zaman

    • @AFRICA_D669
      @AFRICA_D669 Před měsícem

      @@salumabdallah2990 sio hvo mimi siwez ita mtu gaid

  • @GraceMashinga-be9wb
    @GraceMashinga-be9wb Před měsícem

    1. korea kasikazin
    2. China
    3. Iran
    4. Urusi
    5. Venezuela
    6. Burkina Faso
    7. Burundi
    8. India
    9.__
    10 naiweka tz kwa uzalendo wa lugha na uhamiaj

  • @peterilimwa5754
    @peterilimwa5754 Před měsícem +1

    watanzania wenye akili sn gps

  • @lusitamagora23
    @lusitamagora23 Před měsícem

    Pezeshkian keshasema wazi kuwa yeye anaamini kuwa Khamenei ndiye kiongozi mkuu na hawezi kwenda kinyume na anavyoamua kiongozi huyo mkuu. Iran ins sera madhubuti inayojengwa na msingi na dini ya Kiislamu.

  • @khalidmdotta3843
    @khalidmdotta3843 Před měsícem

    Anajisimbua kwasababu tayar marecan anahasira na Iran labda marecan watamtumia kuidhoofisha iran

  • @user-eg1ts2fu9z
    @user-eg1ts2fu9z Před měsícem

    Mnachambua vitu tunaogopa sns kuwa blocked na CZcams. tunawakubali Sana

  • @OsamSaleh-k3v
    @OsamSaleh-k3v Před měsícem

    1 palestine
    2 north Korea
    3iran
    4china
    5cuba

  • @rajdaboy
    @rajdaboy Před měsícem

    🇰🇪🔥

  • @gateberaildephonse5488
    @gateberaildephonse5488 Před měsícem

    kamenei ndiye kazikwa cairo??

  • @allyhasani3750
    @allyhasani3750 Před měsícem

    Naona ya Kwanza urusi ila sisi 150

  • @user-qo2dk6iv3u
    @user-qo2dk6iv3u Před měsícem

    Iran kageza vikwazo kuwa fusra ya kimaendeleo

  • @abdalahgunda1319
    @abdalahgunda1319 Před měsícem

    Kiongozi mkuu ndani ya lran anakuwa sauti tuu lakini maamuzi makubwa ndani ya nchi ni aigc control lran na bunge na ndio lnayoshikilia uchumi amatoller Khomeini ndio alioifikisha nchi ya lran kujulikana kimataifa na kushikilia msimamo wake ktk mashariki ya kati lran lnaanza kuondoa vikwazo kutumia njia nyingine kujikwamua ktk kuleta maendeleo ktk serekali ya lran lran hawezi badilika msimamo wake

  • @samiraabdimahamed4449
    @samiraabdimahamed4449 Před měsícem

    😢😢😢😢

  • @AyoubHajj
    @AyoubHajj Před měsícem

    Naomba kuliza ni mda gani anakaa madarakani raisi wa Iran

  • @khamisfarouk9493
    @khamisfarouk9493 Před měsícem

    Ally punguza izo nanilii😂😂

  • @hamsikrasheedi1796
    @hamsikrasheedi1796 Před měsícem

    GPS ❤🫡

  • @EzekiaMyila
    @EzekiaMyila Před měsícem

    Turishawambia kuwatsa watu bila sababu ni ujinga huu ndiye rais anayestairi

  • @Gulfnas1
    @Gulfnas1 Před měsícem +1

    Nchi 5 zenye raia wazalendo
    North Korea
    Iran
    Russia
    China
    Cuba

  • @user-mf7hl7jh6s
    @user-mf7hl7jh6s Před měsícem

    Naika Iran miaka 10 kwakwwli huyu pezekian kuna mambo atabadilisha ndani Ya Iran sana sana sheria zinazo husu Wanawake (hijabu....) ila kuhusu ku support hizbullah huthi Palestine daah hayo hawez kuyafikilia maana Huu ndio msingi wao

  • @mdbosco1640
    @mdbosco1640 Před měsícem

    ❤🇧🇮 🇧🇮 ✌

  • @r.m.a7570
    @r.m.a7570 Před měsícem

    Kuna jamaa yote kama anaijua anasema uzalendo sifur Tanzanian

  • @aishaarusha894
    @aishaarusha894 Před měsícem

    Nchi yenye uzalendo ni Tanzania 🇹🇿 tulimzika magufuli na wengine walimsindikiza kaburini😅

  • @MAHAN-SMART
    @MAHAN-SMART Před měsícem

    Ya kwanza Palestine 🇵🇸 licha ya vita na mauaji ya kikatili ila bado hawajakata tamaa na kutetea taifa lao

  • @SaraphinaKidoti-qe7gi
    @SaraphinaKidoti-qe7gi Před měsícem

    Korea
    Iran
    Urusi
    China
    South korea

  • @swedikagusa9300
    @swedikagusa9300 Před měsícem

    bro sk mpe hi herry imemuelewa xana

  • @naqiahmad26
    @naqiahmad26 Před měsícem

    mnatukosha wakubwa

  • @Ally-qi7xo
    @Ally-qi7xo Před měsícem

    🇿🇦🇿🇦🇿🇦🇿🇦🇿🇦🇿🇦🇿🇦🇿🇦🇿🇦🇿🇦💯🇧🇮

  • @abulaaliyah77amani91
    @abulaaliyah77amani91 Před měsícem

    Mhh

  • @user-ww5iu4gz4b
    @user-ww5iu4gz4b Před měsícem

    DJ SMAA NAMKUBALI KWMBA MUDA USEME KWAMFANO IRAN ASIPATANE NA MAREKANI WAKATI WOTE WANATAKA WAPATANE NA URUSI NA CHINA LAZMA MKANGANYIKO UTAKUWEPO APO

  • @salumabdallah2990
    @salumabdallah2990 Před měsícem

    Si myahudi huyu

  • @BIGBOSS-hl3bu
    @BIGBOSS-hl3bu Před měsícem

    Mhhhhh sijui kama hawajamchagua MZUNGU maana Kuna mapandikizi pia tusisahau 😂😂😂

    • @omarymwaluko9765
      @omarymwaluko9765 Před měsícem +1

      Iran mfumo ww uelew nchi zisizo kuwa na mifumo kama tz ndo unaweza kuweka kibaraka ila hapo hata wakimuweka kazi bure

    • @BIGBOSS-hl3bu
      @BIGBOSS-hl3bu Před měsícem +1

      @@omarymwaluko9765 nimekusoma mwamba🤣🤣🤣🤣

  • @Pablolookman
    @Pablolookman Před měsícem

    Iran inaenda kuangamia

  • @martinisadru9899
    @martinisadru9899 Před měsícem

    Hii chanel, babu kubwa,, hakuna ngonjela hum, taarifa zao ni uhakika! Zisizo na upendeleo, wala ushabiki, naiweka ubora wa hali ya juu,, naitabilia itakua bora zaidi bbc.

  • @raydanfrenk
    @raydanfrenk Před měsícem

    😂😂😂😂 mtakuja kuaibika subili atakuwa Bega kwa Bega nchi za magharib

    • @khalifanoti6974
      @khalifanoti6974 Před měsícem

      Sahau hiyo kuwa rafiki na magharibi wale wa iran wanaongozwa na baraza la ulamaa

  • @mrdaslam301
    @mrdaslam301 Před měsícem

    Nchi yenye watu wazalendo ni Russia ... Vikwazo vya kumgombanisha Putin na watu wake halafu wamemchagua Putin kwa asilimia 87 bigg up kwao.

    • @ce-08
      @ce-08 Před měsícem +2

      😂😂 uchaguz unasiri nyingi hicho huenda c kipimo Cha sahihi Cha uzalendo wa watu kwa nchi Yao Je Tz wazalendo kwa chama tawala sababu nchi nzima karbu wabunge wote ccm

    • @GeorgeAkasha-zx2rj
      @GeorgeAkasha-zx2rj Před měsícem

      Mkuu Marekani ndo nchi yenye wazalendo 1 duniani hakuna mfano.Ndo maana wako radhi wakushughulikie ww Kwa ajili ya taifa lao mkuu.Russia Putin na wachache ndo wazalendo halisi, ila Oligarches wengi wa Russia sio wazalendo.

    • @rumdeesonsoa1811
      @rumdeesonsoa1811 Před měsícem

      Uzalendo wa kulazimshwa nao mnauita uzalendo? Hizo nchi zote walizotaja jamaa sidhani kama ndio zinaongoza kwa uzalendo maana wananchi wake wanalazimishwa kujifanya wazalendo bila ridhaa yao.

    • @omarymwaluko9765
      @omarymwaluko9765 Před měsícem

      ​@@GeorgeAkasha-zx2rjmarekani wazalendo wa ushoga

    • @omarymwaluko9765
      @omarymwaluko9765 Před měsícem

      ​@@rumdeesonsoa1811marekani wazalendo wa ushoga

  • @sonnyr1899
    @sonnyr1899 Před měsícem

    Mtaji mkubwa wa Magharibi ni kupotosha vijana na wanawake kwa hio wa Iran wawe makini.
    Maendeleo makubwa wa nchi za magharibi ni kuingiza UGASHO katika Afrika na Asia sasa sijuwi hii inatusaidia nini?

    • @MathewNathan-yb2bz
      @MathewNathan-yb2bz Před měsícem

      Hivi kwa ujinga wako unaamini kuwa nchi za magharibi ndizo zinasambaza ushoga? Ushoga ni tabia ya mtu mwenyewe.Na je na umalaya nao ni hao hao wazungu?Nchi za magharibi hazimlazimishi mtu kuwa shoga.

    • @sonnyr1899
      @sonnyr1899 Před měsícem +1

      @@MathewNathan-yb2bz
      We ndio mjinga wa kwanza kukutana nae mwaka 2024 asie juwa kuwa bank ya dunia ukiomba mkopo miongoni mwa masharti unayo pewa ni ugasho

    • @kamanapomo7029
      @kamanapomo7029 Před měsícem

      ​@@MathewNathan-yb2bzwew ndio hauna akili zezeta mkubwa, yani inamaana na ujinga wako woote hujui hilo

    • @MathewNathan-yb2bz
      @MathewNathan-yb2bz Před měsícem

      @@sonnyr1899 ww ndio mjinga kwa kwanza mwenye matumizi mabaya ya akili.Marekani na nchi nyingine hawalazimishi mtu yeyote yule kuwa shoga bali wanataka watu hao walindwe wasinyanyaswe.Hata ndani ya marekani kwenyewe kuna majimbo hayaruhusu ndoa za jinsia moja hususani huo ushoga.

    • @MathewNathan-yb2bz
      @MathewNathan-yb2bz Před měsícem

      @@kamanapomo7029 ww ndio una matumizi mabaya ya akili kwani kuna siku hizo nchi za magharibi zilikulazimisha kwa nguvu kuwa shoga?

  • @saidiomar6642
    @saidiomar6642 Před měsícem

    1-korea kaskazin
    2- china
    3-iran
    4-Russia
    5-Japan

    • @rumdeesonsoa1811
      @rumdeesonsoa1811 Před měsícem

      Vigezo vipi vinazingatiwa kujua kuwa nchi fulani ina uzalendo sana?

  • @mrdaslam301
    @mrdaslam301 Před měsícem +5

    Why GPS hatujazindua studio mpya