Mwaka Mmoja Tangu Uasi wa Wagner. Rais wa Urusi Vladimir Putin Bado Yupo Imara?
Vložit
- čas přidán 2. 07. 2024
- Juni 24 mwaka huu ulitimia mwaka mmoja tangu wapiganaji wa majeshi binafsi ya Wagner wa nchini Urusi wakiongozwa na kamanda wao Prigozhin kufanya uasi uliodumu kwa takribani masaa 24.
Uasi huo wa wapiganaji wa Wagner uliibua mjadala mkubwa kote ulimwenguni kwa kuwa ilikuwa ni kwa mara ya kwanza tangu kuanguka kwa Shirikisho la Usovyeti miaka ya mwanzoni mwa 1990, Urusi kushuhudia uasi wa namna hiyo.
Unaweza kutufuatilia kupitia;
TWITTER: / thechanzo
INSTAGRAM: / thechanzo
FACEBOOK: / thechanzo
TIKTOK: www.tiktok.com/@thechanzo?is_...
Au tembelea tovuti yetu: www.thechanzo.com
Je, una habari? wasiliana nasi kupitia Telegram/WhatsApp +255 753 815 105
The Chanzo Initiative, 2024 © All Rights Reserved.
Nomaa
Mpo vizuri
Pigozini alishapewa zawadi yake!!!
Safi mh Putin.
Huyu ameliwa kichwa
Mtangazaji umekosa taharifa?
Pigozin alimsaliti putin anaona mbal
Putin afe
Hafi kwa sasa