Majeshi ya Ukraine Yaachia Mji Mwingine, Zelensky Alalamika Kuchelewa Kwa Misaada
Vložit
- čas přidán 26. 07. 2024
- Siku za hivi karibuni zimekuwa mbaya kwa wapiganaji wa jeshi la Ukraine kufuatia mashambulizi ya vikosi vya Urusi ambavyo vimeonekana kuendelea kusonga mbele kwenye maeneo mbalimbali ya mapigano nchini Ukraine.
Siku mbili zilizopita Ukraine imethibitisha kuwa vikosi vyake vilivyokuwa vimeweka ngome katika mji wa kimkakati wa kiulinzi wa Chasivu Yar wameukimbia mji huo, na kurudi nyuma kufuatia majeshi ya Urusi kuwazingira.
Makamanda wa kijeshi wa Ukraine wamesema kuwa uamuzi wa kuuachia mji huo ulilenga kuhakikisha usalama wa vikundi vya wapiganaji wa zaidi ya Brigedi tano waliokuwa wameweka ngome mjini Chasivu Yar.
Unaweza kutufuatilia kupitia;
TWITTER: / thechanzo
INSTAGRAM: / thechanzo
FACEBOOK: / thechanzo
TIKTOK: www.tiktok.com/@thechanzo?is_...
Au tembelea tovuti yetu: www.thechanzo.com
Je, una habari? wasiliana nasi kupitia Telegram/WhatsApp +255 753 815 105
The Chanzo Initiative, 2024 © All Rights Reserved.
hapana sio Ukraine kashindwa ni marekani imeshindwa km kawaida yake
I love u jack
Thank you ❤
Asante sana kwa talifa zelu ukn atajuta
Marekani wanaidanganya ukraine
Putini piga hasa,
Ongera kwa urusi...
Sio siku za karibuni siku zote wanajali ngumu
Marekani na nato wamekimbia kijiji.zelesky ameshindwa zamani.
Misaada yote hiyo lakini bado tu
😂😂😂😂Eeee wapigwe tu, Sawa kabisa
Watajua wenyewe 😢
Wanaume wapo kazini Russia foreva ,Good job saaaana taifa letu pendwa Russia ❤❤❤❤❤mashoga lazima waseme mbwa wale na bado wataachia mji mmoja baada ya mwingine
Ukreni anahaki ya kupigana na kulinda Ardhi Yao..Lakini Muungwana hukubali yaishe... Russia inajeshi imara na lenye nguvu mno...
Hatumii Akili angekubali yaishe tu
Kwani zile silaha za kupiga urusi si juei tu amepewa
Acha uruss iwatandike hao wapuuzi naamini uruss kiboko ya mashoga
Sema vkoc vya nato
KUBARI UMESHINDWA KUMBUKA NGUO YA KUAZIMA HASTIRI MAUNGO HIYO URUSI NI LIDUDU LILILOSHINDIKANA UKAIDI WAKO UNAENDELEA KUANGAMIZA NCHI YAKO
Mpo vizuri
Vita muitake nyie, lawama apewe marekani, kwan US ndo waliwatuma kupigana?
Manyang'au Sio Binadamu,Iweje Ukakubali Nnchi yako kuwa Kiwanja cha Vita Ukitumai Manyang'au Watakusahidia ?Nnchi yako Inabomolewa watu Wako Wanakufa,Vita kwao Ni BIASHARA FAIDA WANAKULA WAO😂
Alafu huo sio msaada ni mkopo sasa vita ikiisha huyo jamaa atajua hajui kabisa mbona hiyo nchi itakuwa ni kuifanyia kazi america tu
@@peterludovick7020 Ndio Mana Wakati Mwengine Nakubali kuwa Kwenda Shule Sio ndo Kuwa na Hakili Au Kuwa Mwerevu !!!
Acha upumbavu wako sasa apo pesa ya Tanzania inaingiaje why usiseme pesa za hukoguko ulaya mbuzi mweusi wewe
Vivaa rusiaa❤