Majeshi ya Ukraine Yaachia Mji Mwingine, Zelensky Alalamika Kuchelewa Kwa Misaada

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 26. 07. 2024
  • Siku za hivi karibuni zimekuwa mbaya kwa wapiganaji wa jeshi la Ukraine kufuatia mashambulizi ya vikosi vya Urusi ambavyo vimeonekana kuendelea kusonga mbele kwenye maeneo mbalimbali ya mapigano nchini Ukraine.
    Siku mbili zilizopita Ukraine imethibitisha kuwa vikosi vyake vilivyokuwa vimeweka ngome katika mji wa kimkakati wa kiulinzi wa Chasivu Yar wameukimbia mji huo, na kurudi nyuma kufuatia majeshi ya Urusi kuwazingira.
    Makamanda wa kijeshi wa Ukraine wamesema kuwa uamuzi wa kuuachia mji huo ulilenga kuhakikisha usalama wa vikundi vya wapiganaji wa zaidi ya Brigedi tano waliokuwa wameweka ngome mjini Chasivu Yar.
    Unaweza kutufuatilia kupitia;
    TWITTER: / thechanzo
    INSTAGRAM: / thechanzo
    FACEBOOK: / thechanzo
    TIKTOK: www.tiktok.com/@thechanzo?is_...
    Au tembelea tovuti yetu: www.thechanzo.com
    Je, una habari? wasiliana nasi kupitia Telegram/WhatsApp +255 753 815 105
    The Chanzo Initiative, 2024 © All Rights Reserved.

Komentáře • 26

  • @DottoMussa-ro6rw
    @DottoMussa-ro6rw Před 20 dny +4

    hapana sio Ukraine kashindwa ni marekani imeshindwa km kawaida yake

  • @faridaseif657
    @faridaseif657 Před 20 dny +3

    I love u jack

  • @danielsilungwe3596
    @danielsilungwe3596 Před 21 dnem +3

    Asante sana kwa talifa zelu ukn atajuta

  • @Inkubutembo7779
    @Inkubutembo7779 Před 20 dny +2

    Marekani wanaidanganya ukraine

  • @amonezekiel4893
    @amonezekiel4893 Před 21 dnem +3

    Putini piga hasa,

  • @PatrickKagiraneza-ok8cw
    @PatrickKagiraneza-ok8cw Před 21 dnem +1

    Ongera kwa urusi...

  • @harithimahmoud1577
    @harithimahmoud1577 Před 21 dnem +1

    Sio siku za karibuni siku zote wanajali ngumu

  • @jumamussantuiche
    @jumamussantuiche Před 13 dny +1

    Marekani na nato wamekimbia kijiji.zelesky ameshindwa zamani.

  • @jofreykilangila4118
    @jofreykilangila4118 Před 8 dny

    Misaada yote hiyo lakini bado tu

  • @yayananajota5838
    @yayananajota5838 Před 21 dnem

    😂😂😂😂Eeee wapigwe tu, Sawa kabisa

  • @OmerSuley-gl7go
    @OmerSuley-gl7go Před 20 dny

    Watajua wenyewe 😢

  • @user-lv1ki7nn7t
    @user-lv1ki7nn7t Před 20 dny

    Wanaume wapo kazini Russia foreva ,Good job saaaana taifa letu pendwa Russia ❤❤❤❤❤mashoga lazima waseme mbwa wale na bado wataachia mji mmoja baada ya mwingine

  • @festohaule9716
    @festohaule9716 Před 21 dnem +1

    Ukreni anahaki ya kupigana na kulinda Ardhi Yao..Lakini Muungwana hukubali yaishe... Russia inajeshi imara na lenye nguvu mno...

  • @tausikiyabo6302
    @tausikiyabo6302 Před 21 dnem

    Kwani zile silaha za kupiga urusi si juei tu amepewa

  • @RajabuHussein-to7jz
    @RajabuHussein-to7jz Před 21 dnem

    Acha uruss iwatandike hao wapuuzi naamini uruss kiboko ya mashoga

  • @HusseinSaguti-sj9nh
    @HusseinSaguti-sj9nh Před 14 dny

    Sema vkoc vya nato

  • @ahmadmasunda9892
    @ahmadmasunda9892 Před 20 dny

    KUBARI UMESHINDWA KUMBUKA NGUO YA KUAZIMA HASTIRI MAUNGO HIYO URUSI NI LIDUDU LILILOSHINDIKANA UKAIDI WAKO UNAENDELEA KUANGAMIZA NCHI YAKO

  • @asingizibwejacobkalokola7351

    Mpo vizuri

  • @solobennymwanshinga6714

    Vita muitake nyie, lawama apewe marekani, kwan US ndo waliwatuma kupigana?

  • @ibba8082
    @ibba8082 Před 21 dnem +1

    Manyang'au Sio Binadamu,Iweje Ukakubali Nnchi yako kuwa Kiwanja cha Vita Ukitumai Manyang'au Watakusahidia ?Nnchi yako Inabomolewa watu Wako Wanakufa,Vita kwao Ni BIASHARA FAIDA WANAKULA WAO😂

    • @peterludovick7020
      @peterludovick7020 Před 11 dny +1

      Alafu huo sio msaada ni mkopo sasa vita ikiisha huyo jamaa atajua hajui kabisa mbona hiyo nchi itakuwa ni kuifanyia kazi america tu

    • @ibba8082
      @ibba8082 Před 11 dny +1

      @@peterludovick7020 Ndio Mana Wakati Mwengine Nakubali kuwa Kwenda Shule Sio ndo Kuwa na Hakili Au Kuwa Mwerevu !!!

  • @bellasi349
    @bellasi349 Před 15 dny

    Acha upumbavu wako sasa apo pesa ya Tanzania inaingiaje why usiseme pesa za hukoguko ulaya mbuzi mweusi wewe

  • @fabiomemba9563
    @fabiomemba9563 Před 21 dnem

    Vivaa rusiaa❤