Zelensky Amjibu Trump Suala la Kumaliza Vita Ndani ya Saa 24, Putin Asema Trump Ana Nia Ya Dhati

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 4. 07. 2024
  • Kufuatia aliyekuwa rais wa Marekani Donald Trump kusema kuwa ataimaliza vita inayoendelea nchini Ukraine dhidi ya Urusi ndani ya saa 24 kama atarudi White House, Rais wa Ukraine Volodimir Zelensky amemjibu kwa kusema kuwa kama Trump anao huo mpango wa kumaliza vita auweke wazi hadharani.
    Zelensky amesema kuwa kama mpango wa Trump wa kumaliza vita utahusu kuitaka Ukraine kusaliti amri na kutweza Utaifa wao aseme mapema ili Ukraine ijue kuwa ifikapo Novemba kama Marekani itakuwa upande wake au la!
    Unaweza kutufuatilia kupitia;
    TWITTER: / thechanzo
    INSTAGRAM: / thechanzo
    FACEBOOK: / thechanzo
    TIKTOK: www.tiktok.com/@thechanzo?is_...
    Au tembelea tovuti yetu: www.thechanzo.com
    Je, una habari? wasiliana nasi kupitia Telegram/WhatsApp +255 753 815 105
    The Chanzo Initiative, 2024 © All Rights Reserved.

Komentáře • 13

  • @noelnjementi8511
    @noelnjementi8511 Před 4 dny +4

    Napenda mtangazaji

  • @drgeraldcubwa481
    @drgeraldcubwa481 Před 3 dny

    Just simple kabisa. Maana ni kuiambia Ukraine isijiunge na Nato. Vita inaisha within 24 hours

  • @abdulyabdunuru1476
    @abdulyabdunuru1476 Před 2 dny

    Kumbuka trump ndo raisi wa Marekani pekee alie wahi fika korea kaskazini trump ni mbabe ila mpenda aman nalikubal sana hili dingi

  • @isaacramadhan9721
    @isaacramadhan9721 Před 3 dny

    Anajuwa vita vikisha zeleznsy atakuwa siyo Rais tena

  • @festohaule9716
    @festohaule9716 Před 4 dny +1

    Ukreni anahaki ya kupigana na kulinda Ardhi Yao..Lakini kukubali yaishe ni Muungwana sana... Ukreni nyoosha bendera nyeupe... Russia inazidi kuchukua maeneo...sijui utayarudishaje...kubali mapema!!!!!

  • @sylvestercameo6263
    @sylvestercameo6263 Před 4 dny

    Nina Imani Trump akiingia madarakani kuna uwezekano mkubwa wa vita hii ya Ukraine na Marekani kumalizika,

  • @danielshimora5315
    @danielshimora5315 Před 2 dny

    TRUMP GOOD AND VIP

  • @danielshimora5315
    @danielshimora5315 Před 2 dny

    TRUMP ANAJIAMINI WATAKAA NA PUTIN WAONGEE MPENI NCHI AMALIZE VITA.

  • @IsmailMalembera
    @IsmailMalembera Před 4 dny

    Hawataki lakini mm nnachokijua mwisho wa vita atakua anamiliki mikoa mitatu tuu mana hata nikiwa na mm nikigombana na jirani yangu tukapigania mipaka nikishinda lazima nitasogeza mbere na litakua ni eneo langu

    • @HusseinSaguti-sj9nh
      @HusseinSaguti-sj9nh Před 2 dny

      Na putn alisha sema hayo majmbo 4 hayarud tn ukren
      Na ndio majimbo muhimu

  • @tausikiyabo6302
    @tausikiyabo6302 Před 4 dny

    Kwa hiyo kumbe ni kwa maslahi ya marekani 😢