Zelensky Amjibu Trump Suala la Kumaliza Vita Ndani ya Saa 24, Putin Asema Trump Ana Nia Ya Dhati
Vložit
- čas přidán 4. 07. 2024
- Kufuatia aliyekuwa rais wa Marekani Donald Trump kusema kuwa ataimaliza vita inayoendelea nchini Ukraine dhidi ya Urusi ndani ya saa 24 kama atarudi White House, Rais wa Ukraine Volodimir Zelensky amemjibu kwa kusema kuwa kama Trump anao huo mpango wa kumaliza vita auweke wazi hadharani.
Zelensky amesema kuwa kama mpango wa Trump wa kumaliza vita utahusu kuitaka Ukraine kusaliti amri na kutweza Utaifa wao aseme mapema ili Ukraine ijue kuwa ifikapo Novemba kama Marekani itakuwa upande wake au la!
Unaweza kutufuatilia kupitia;
TWITTER: / thechanzo
INSTAGRAM: / thechanzo
FACEBOOK: / thechanzo
TIKTOK: www.tiktok.com/@thechanzo?is_...
Au tembelea tovuti yetu: www.thechanzo.com
Je, una habari? wasiliana nasi kupitia Telegram/WhatsApp +255 753 815 105
The Chanzo Initiative, 2024 © All Rights Reserved.
Napenda mtangazaji
❤
Just simple kabisa. Maana ni kuiambia Ukraine isijiunge na Nato. Vita inaisha within 24 hours
Kumbuka trump ndo raisi wa Marekani pekee alie wahi fika korea kaskazini trump ni mbabe ila mpenda aman nalikubal sana hili dingi
Anajuwa vita vikisha zeleznsy atakuwa siyo Rais tena
Ukreni anahaki ya kupigana na kulinda Ardhi Yao..Lakini kukubali yaishe ni Muungwana sana... Ukreni nyoosha bendera nyeupe... Russia inazidi kuchukua maeneo...sijui utayarudishaje...kubali mapema!!!!!
Msaidie
Nina Imani Trump akiingia madarakani kuna uwezekano mkubwa wa vita hii ya Ukraine na Marekani kumalizika,
TRUMP GOOD AND VIP
TRUMP ANAJIAMINI WATAKAA NA PUTIN WAONGEE MPENI NCHI AMALIZE VITA.
Hawataki lakini mm nnachokijua mwisho wa vita atakua anamiliki mikoa mitatu tuu mana hata nikiwa na mm nikigombana na jirani yangu tukapigania mipaka nikishinda lazima nitasogeza mbere na litakua ni eneo langu
Na putn alisha sema hayo majmbo 4 hayarud tn ukren
Na ndio majimbo muhimu
Kwa hiyo kumbe ni kwa maslahi ya marekani 😢