Viongozi wa Kijeshi Mali, Bukina Faso na Niger Waunganisha Nchi Zao, Waunda Shirikisho la Sahel

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 7. 07. 2024
  • Jumamosi ya Julai 6, 2024 viongozi wa kijeshi wa mataifa ya Naija, Bukina Faso na Mali wametia saini makubaliano ya kuunda Shirikisho la Nchi za Sahili yaani Alliance of Sahel States.
    Makubaliano hayo yaliwekwa saini na Jenerali Abdourahmane Tchian wa Naija, Kepteni Ibrahim Traore wa Bukina Faso na Kanali Assimi Goita wa mali katika sherehe zilizofanyika jijini Niamey nchini Naija baada ya mkutano wa wakuu hao wa nchi.
    Lengo la shirikisho hilo jipya wameeleza kuwa ni kujenga utengamano mpya wa uchumi, siasa na ulinzi wa nchi hizo za Afrika magahribi.
    Unaweza kutufuatilia kupitia;
    TWITTER: / thechanzo
    INSTAGRAM: / thechanzo
    FACEBOOK: / thechanzo
    TIKTOK: www.tiktok.com/@thechanzo?is_...
    Au tembelea tovuti yetu: www.thechanzo.com
    Je, una habari? wasiliana nasi kupitia Telegram/WhatsApp +255 753 815 105
    The Chanzo Initiative, 2024 © All Rights Reserved.

Komentáře • 38

  • @nunikayuni6394
    @nunikayuni6394 Před 3 dny

    Freedom to Africa

  • @user-zz6vf8ry2p
    @user-zz6vf8ry2p Před 17 dny +5

    Nchi za kiafrika ambazo Marais wao Bado wanajipendekeza kwa wazungu inabidi wananchi tuwatoe madarakani kwa nguvu

  • @user-ol2vd1zv7u
    @user-ol2vd1zv7u Před 16 dny +2

    good job❤

  • @abdullahhashimu2380
    @abdullahhashimu2380 Před 16 dny +2

    Safi sana

  • @MwigaAdam
    @MwigaAdam Před 18 dny +7

    Zanzibar tunatafuta njia ya kutoka ktk muungano usio na maslah na ss

    • @Kingstonbagamoyo
      @Kingstonbagamoyo Před 14 dny +1

      ❤❤❤❤❤❤🎉

    • @OmerSuley-gl7go
      @OmerSuley-gl7go Před 13 dny +1

      KABISA KIJANA hivi sasa ni miaka 60 hatuoni faida ya Muungano ❤

    • @user-cg1vd5jr8t
      @user-cg1vd5jr8t Před 10 dny

      Hami j we kula urojo tu Kisha ulale

    • @LugomeRisasi
      @LugomeRisasi Před 6 dny

      Wewe jamaa hauna hakili waafrika inatakiwa tuungane ili tuwe na nguvu ili tuweke Sheria zetu zitakazo ilinda Africa wewe unataka tugawanyike

    • @LugomeRisasi
      @LugomeRisasi Před 6 dny

      ​@@OmerSuley-gl7gowanzazibar hamuoni faida ya muungano kweli mbona ninyi mnamiliki aridhi huku bara lakini wa bara hawamiliki Zanzibar kuweka na akili basi Mimi binafsi naunga mkono tuweke Sheria ya kulinda watu wa Africa

  • @user-it7ih1it3m
    @user-it7ih1it3m Před 16 dny +2

    Inabidi nchi zote za afrika zitengeneze shirikisho la kijeshi na tutengeneze mabomu ya atomic ya shirikisho

  • @damaspmtz1018
    @damaspmtz1018 Před 18 dny +1

    Mwenyezi Mungu awatangulie

  • @hizzasheshe3209
    @hizzasheshe3209 Před 17 dny +2

    hawa vingozi wan niazakweli kwa wananchiwoa

  • @Kingstonbagamoyo
    @Kingstonbagamoyo Před 14 dny +1

    Kongole sana umoja ní nguvú,ibra,goita,show show,babylon out,,,,,allahu barik

  • @kaguripenina63
    @kaguripenina63 Před 18 dny +1

    Nmeipenda hii

  • @medsonulendo4221
    @medsonulendo4221 Před 18 dny +1

    Respect 💪

  • @samuelndungukaranja5627

    Ruto must go

  • @BakariMsoka
    @BakariMsoka Před 9 dny

    Wametisha sana

  • @TozzyMay
    @TozzyMay Před 18 dny +1

    Nimefurahi kupata hii habari
    Walichokifanya Mungu wa Afrika awatangulie
    Akili nzuri hii

  • @nunikayuni6394
    @nunikayuni6394 Před 3 dny

    Congo msaidieni naye ajiondowe huko aliko

  • @DrLachi19
    @DrLachi19 Před 15 dny +1

    Magharibi na sio mangaribi

  • @gervas58
    @gervas58 Před 12 dny

    Nimeipenda sana

  • @amournassorsaid7694
    @amournassorsaid7694 Před 18 dny +1

    Viva sahel

  • @dbamwenzaki
    @dbamwenzaki Před 18 dny +1

    Naamini raia hawateswi chini ya uongozi wa kijeshi.

  • @user-vf8wv8hi5b
    @user-vf8wv8hi5b Před 18 dny +1

    Nimewapende hao wanajeshin

  • @EsterPaul-jt5im
    @EsterPaul-jt5im Před 18 dny +1

    Saruti wakuu

  • @islamsultan8563
    @islamsultan8563 Před 14 dny

    Hii Safi Sana 🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @hizzasheshe3209
    @hizzasheshe3209 Před 17 dny +1

    eweemola wahaki wajaalie waja wako hawa wenye nia yazati ya kufuua uchumi wa nchizao wafanikiwe

  • @ayubumoha6313
    @ayubumoha6313 Před 14 dny

    Good

  • @medsonulendo4221
    @medsonulendo4221 Před 18 dny +1

    Watu weus tuache kudanganywa na waxungu ili waendelee kutunyonya

  • @hemedjackson2261
    @hemedjackson2261 Před 18 dny +2

    Rais Rutto ndo Kwanza Kaenda kuwafuata wamagharibi na wamarekani Kuja kujenga base East Africa 😂😂😂 Africa hii sijui nani katuroga

    • @leahmgunda4154
      @leahmgunda4154 Před 15 dny +1

      Toa boriti jichoni mwako ndipo uone kibanzi kwa jirani.

    • @godfreyfrugence4176
      @godfreyfrugence4176 Před 13 dny

      Mim ningekuwa ndo rais wa Tanzania namim ningeenda kuungana na mrusi mali niger na burkinafasso vile vile ningeleta base ya jeshi la russia nchin mwangu kwaajili ya mafunz mapya kwa jeshi langu kudhibit magaid watakajitokeza nchin mwangu

  • @RajaaRajaa-id5wx
    @RajaaRajaa-id5wx Před 18 dny

    Og sn

  • @WillyNzowa
    @WillyNzowa Před 16 dny +1

    Nchi zingine za afrika zijifunze apa