Mazoezi ya Kijeshi ya China, Urusi na Belarus Yana lengo Kutuma Salamu Kwa NATO?
Vložit
- čas přidán 26. 08. 2024
- Wakati vikosi vya majeshi ya China na Belarus yakiendelea na mazoezi ya kijeshi mashariki ya Belarus, umbali wa takribani maili 40 mahali ulipo mpaka wa nchi mwanachamawa NATO, siku ya jumapili pia China na Urusi zimetangaza kuanza zoezi jingine la kijeshi katika eneo la bahari ya Pasifiki.
Katika taarifa yake Wizara ya Ulinzi ya China imeeleza kuwa zoezi la kijeshi kati ya Urusi na nchi yao litahusisha majeshi ya majini na melivita, ambapo tayari melivita za Urusi zimeshawasili katika bandari ya kijeshi iliyopo katika jimbo la Guangdong. Zoezi hilo linatarajia kufanyika kwa siku kadhaa ndani ya mwezi huu wa saba.
Unaweza kutufuatilia kupitia;
TWITTER: / thechanzo
INSTAGRAM: / thechanzo
FACEBOOK: / thechanzo
TIKTOK: www.tiktok.com....
Au tembelea tovuti yetu: www.thechanzo.com
Je, una habari? wasiliana nasi kupitia Telegram/WhatsApp +255 753 815 105
The Chanzo Initiative, 2024 © All Rights Reserved.
Wangejumlisha na N,korea
Waafrica wote tunamtaka urusi sio marekani anae taka watoto wetu wawe mashoga
😂😂😂😂😂😂😂😂haya huwa ni mazuzu yenyewe sijui ninan kayapa mamulaka ya kumsaidia Ukraine 🇺🇦