VITA YA URUSI NA NATO UKRAINE, TRUMP AKISHINDA UCHAGUZI MAREKANII
Vložit
- čas přidán 12. 09. 2024
- If you find any error in material provided please take a minute to tell us about it. We will resolve it at the earliest.
COPYRIGHT VIOLATION
For Copyright Issues: We try our best to verify the ownership of content with the contributor. If you think your material is wrongly used, or if its a violation of copyright.
Hamuwezi kushinda NATO labda mungu asiwepo ama alale usingizi bali mtapigika marazote kadiri mnavyoichokoza urusi ndivyo mtakavyopokea kichapo
Wewe auna akili nato aiezi pigana na urisi irusi niichi ila nato ni muchanga niko wewe
Upo sahihi nato Hana ubavu wa kupambana na urusi watu hawaijui urusi kijeshi na kivita ni mahiri na Wana uwezo kuliko taifa lolote lile ila wanabaki kudanganywa na WA magharibi kua nato na marekani ndio Kila kitu ,kumbe wanajidanganya nawaambia hivi urusi haiwezi kushindwa vita hata siku Moja na ukiona urusi wameshindwa basi ujue Dunia haitakuepo nawahakikishia hasa wale mashoga wanazid kudanganywa
Sasa mbona haingozi dunia kisiasa kiuchumi na kijeshi??@@user-lv1ki7nn7t
BORA WAKOMAE IVOIVO UCRAIN ILI PUTIN AICHUKUWE YOTE
Kwanii. NATO kunanini ukrein.
Wanaoumia ni raia wa Ukraine sio Nato
Bora hata ashinde trump itakuaga saf sana tena sana
Unakumbuka trumpa alikuitaje wewe mwafrika
Vita ndio itakua kubwa sana geresha tu.
Hilo NATO tangu limeanzishwa halina faida yoyote zaidi ya kuivuruga dunia na kumwaga damu za watu.
Nato wanajikaza kisabuni ila hawamuwezi putin ,cha msingi Ukraine wakae mezani wamalize mzozo wao na urusi
Sawasawa..NATO ni waporaji na Matapeli wakubwa kazi Yao kuiba Mali za Nchi Maskini....
Trapo ashindi zuruma iishe au ipungue
Koo nato wamefanya makosa kumsaidia aliyevamiwa nyumbani kwake duuuh ushabiki huu jamani!!!!
Hivi najiuliza hizo za mwanzo zilizo pelekwa tena silaha nzito sana zimeenda wapi?
Zimeharibiwa na Urusi
Kweli NATO wanaitaji kuombewa iyo pepo ya umwangaji was damu ya binadamu wasio naatia
Dw endeleni kutupa tarifa za vita Russian na Ukraine bila upendeleo DW tunawmini xn
😊😊😊😊
NATO nimashetani hawanalolote
Hata shetan alihasii wachogombana hakuna maslahi yoyote kw b; damu wa. Kawaida ni unyama tuuu usiyopika
Yan NATO SIJUI WANACHOHITAJI NYUMA YA PAZIA NINI HAWA JAMAA YAANI WAPO KAMA WAMEJIZIMA DATA VILE
Anllaa tuepushe na hili Dunia inakwwenda kushuuhudia umwagaji damu ambao haujawai kushuhudiwa tangu kuumbwa kwa binadam
Watatandikwa na Urusi mpaka waache ushoga na dhulma,
YAANI NATO ,UN ,I CC , SIJUWI HAKIZABINADAMU, NI USENGE NA USHENZI WA WAMAGHARIBI ,SASA PUTIN KAJA NA UKOMBOZI WA ULIMWENGU SI UTUSITU. WAONGO WANAFIQ WAKUBWA. NASASA NDIO MWANZO WA MWISHOWAAO.
Piga urusi nato
Zimetumika
NATO isaidie ukrieni nakika itasida Vita kwa urusi msokosi
Hivi kumbe hicho nacho ni kiswahili!!!!