URUSI NDIYO NCHI YENYE JESHI BORA ZAIDI DUNIANI KULIKO MAREKANI
Vložit
- čas přidán 12. 09. 2024
- Mpenzi mtazamaji wa IBM CHANNEL endelea kutufuatilia kwa ajili ya kupata elimu zaidi ya uzalendo, ukombozi wa kifkira na ukuu wa Mwaafrika hapa hapa. tunakupa pia makala mbalimbali zinazohusiana na ulimwengu tunaoishi na taarifa zetu ni za ukweli na uhakika sio za uongo. karibu tuendelee kuwa pamoja. kama hauja-subscribe tafadhali fanya hivyo ili usipitwe na chochote.
Wanakwita eti mwalimu wa Neno LA mungu we we we unamdhiaki mungu wewe unasapoti mauaji yanayo fanyika u ko alafu unajiita mwalimu wa Neno LA mungu pumbavu sana
Hakuna mwalim humo
Nyie wachoma mkaa tu
Thank you my brother kwa kutuchambulia mambo ya vita na vyakula ubarkiwe
Mwalimu uko vizuri , 👍🙏
tunakubali sana uchambuzi wenu kuhusu vita vinavyo endelea
Hongera mwalim tunakupenda sn tunapendatukusikie unavyochambu upovizuri big up mwamba.
Mwalimu Asante Kwa somo tuwekee namba zako ubarikiwe sana
Chambua kwa hikima maswala ya kudhani eti zerensiki anatumia unga sio vzr na usiweke hisia zako kwahilo eti unga urimuona anatumiaunga au na we mwenyewe unatumia
Ni kweli anatumia madawa uko sana mwalim
Salute wakulungwa mpoki na Benson
Huwa nakuelewa sana. Upo safi.
MAneno yako mwalimu wa neno la mungu uko sawa mkweli mwaminifu mungu akubariki
Uchambuzi wako safi sana🙏🏿🙏🏿🙏🏿
Ubarikiwe mmno mwalimu
Bila marekani hakuna vita na magonjwa
Sahihi sana urusi ndio inayongoza kuwa na jeshi imara hao wengine matapel
Hongerasa mchambuzi umebobea
Nakubali 🙌🙌
Kaa
Ahsante kwa uchambuzi hizi mbegu GMO tutazitambaje hasa
Mwal Isaya àaaaa.
Maswali na majibu.
Storyyý unaniangusha uzalendo umekujaa umefoka.
Pole sana
Urusi ninoma Dunian. Marekan kashindwa kuingia pekeyake hata hapo libya kawashirikisha Ufaransa, Ujeruman, Uingereza na nchi zingine za Nato
Daa nimekuerewa ukosahihi balaa
Safi sana mwalim
Marekani anatumia akili so akulupuki
Wewe inaonekana ni kibaraka wa marekani mashoga
Angekuwa na akili angemjua mungu
Mnajidanganya nyinyi,, hakuna ichi imepeleka silaha nzito zaidi Ukraine,,, pili, Usiongee kwa kujipendekeza mwenyewe, Umeichukia Marekani kwasababu haujui na hautajua ukweli wa mambo yalivyo, usidharau Marekani babu, fikiria vizuri na uelewe na uache upendeleo,, Muamerika c mjinga vyenye unafikiria
Et mwlim wa neno la mung anaye weza akakusikiliza ww huna uelewa wowote.broo America hakutaka kupeleka silaha nzito. Kama ni hizo Tu za majalibio Tu. Halafu kumbuka u.s.a Hana masilah uclen
Si kweli.USA is the best Military in the world.
If you want to know the strongest military check defence budget,hizi vifaru unaongelelea za kutoka Germany,uk,ni za zamani sana their technology is old school,hawataki kupeana zile mpywa
Yees yees nimekuelewa vizuri mchambuzi urusi iko juu
Jeshi la Putini ni Bora zaidi duniani
Wariishiwa urusi sinabiwiya urusi niwizi waibia bifavyayirenci
Nimekukubali Mwakilembe
Hajafanya utafiti wa kutosha! Jeshi la urusi huwa na kauli mbiu gani!? Training yao inakuwaje? Lengo lao la vita? N.k Wakati mwingine shetani huonekana kushinda vita mara nyingi kwa kuwa ni mkorofi wa kuvamia wasio na Mungu.... lakini Mungu akitokea .....shetani hujitenga/hunyamaza
Wafrika nitawasifu. Hawana viwanda vya kutengeneza mabomu bunduki makombora
Ila kutunga nyimbo za mziki wafrika wanafaa ,sana
Nyinyi amnakiri mkifanyiwa kavire mtafanyaje mbonamunasapoti urusi mubaya ikijakwenu munashuru
Nimekupta vivr sana ulivyo nichambulia kwaumakini 🙏
Uko upande mmoja eleza ukweli urus vita vimemshnda
😂😂kk Vita gani unaachia mateka wakivita iyo so Vita n operation
Mmmmh haihitaji elimu kubwa kujua uchambuzi wako unapendelea wapi kwa sababu tuliambiwa ni operation ndogo lkn mpaka leo............
Mwalimu wewe inaonekana uko Urus hivyo lazima uongee hivyo
Nimekukubari sana sana marekani kwangu ni shetani mwenye kerere....
Wewenimsemakweri nakubari
Urusi tomba woote hao
Oya ?hakuna kamchapee wamchape huyo mwehu.anakela anachokichambua havieleeew ki.au tukitombe.utimu no mwingi
Ndoto za muchana mwalimu, kama urusi ingekuwa Bora basi haingechukua mpaka Sasa vita inaendelea
Ile ni vita sio harusi
Urusi ayuko vitani ni operation
Alisha pigwa. Na marekani Hana ujanja. Putin ndie anavuta bangi
Waisrael mashabulizi kila wakati Syria, kwa nini na mrusi ako pale
jeshi hodari duniani,,=1Marekani2,Urusi3china acha uwongo brother.
Umebiwa urusi unafikili muko kanisani hapo
Vp bro we refali au maana umesimana katikati kama kahaba unataka bwana apo
Nyinyi mumekosa firiji kamahamunafiriji akunakitu
Urus ndiyo unfananishe na America, wakati amezidiwa kila kitu,kuanzia uchumi
kuna watu wanapewa hela kuitapa Urusi tu! Lakini hawajui kitu kaka! Uyo Urusi kama ana nguvu avamie nchi moja wapo ya Nato ndio aone mziki
Ukitaka kujua urusi ni shida,angalia siria ,marekani aliposema anamng,oa,asad ndani ya miezi SITA,mrusi aligoma akasema Yuko nyuma ya asad,mpaka Leo Asad hajatoka
Kichwa Chake Kina Maji ya Betri,
Kesho Lilo Bora Duniani Ni kanisa linalopambana na majeshi ya pepo wabaya katika ulimwengu wa roho, Hilo ndilo jeshi Bora Huwezi kusema urusi nijeshi Bora linalouwa watu, Vita vya Damu na nyama havina ubora wowote maana wanauwa Binadamu Vita Kati ya shetani na kanisa la Bwana yesu jeshi la Bwana yesu ndilo lilobora Duniani shetani anavyopigwa na kanisa la Mungu anataka kutoroka kuzimu Kama alivyotoroka mbinguni ,Sasa anatorokea sehemu ya jehanamu ya Moto maana huko anajua kanisa la Bwana yesu kristo haliwezi kufika ,
Hawa wazungu wanatengeneza mabomu bunduki za Hatar makombora kwajili ya kupiga Binadamu walioumbwa na Mungu, Hawatengemesi siraha ili kuuwa nyoka au fisi siraha kwajili ya kuangamiza Binadamu niatari Sana hao wazungu, Hata Mungu Hawamuogope,Mimi siwezi kuwasifia hata kidogo,
Benson unasema uongo, sema unampenda Putin, Amerika ni Super power in the world , urusi ni ya pili, kama vifaru kuchomwa vya Urusi vimetekezwa zaidi ya vifaru laki Tano, Putini katishia kupiga mabomu ya nyukilia ikiwa Amerika ikiingia vitani
Asante sana Mwalimu wetu
Mkiwa mnadanganya watu kwenye hizi channel zenu uchwara muwe na data sahihi. Wengine tunawachora tu
Mwakilembe watu wanasema ww ununulia iv nikweli chapa kazi nakukubar sana
Ukitaka kujua nikweli putin anamiliki eneo ukrein marekani anapambana kumtoa mrusi wanashindwa zaid ya mwaka
Tumieni akili alisema wiki moja alafu mnamsifia Kama angemueza angesha mjibu mchambuzi uyu anadanganya wasio jua kitu chochote
Hukuna mwalimu hapo marekani namba moja mpumbavu wewe urusi vimelipuliwa vifaru vingi sana vyake
Lipumbav
Nashukuru kutoa mchanganuo huo.Wengi hawaelewi haya yote. Tafathali usichoke.
Nawakubali sana
Asante kwa uchambuzi mzuri
Urusi ni noma
We mwalimu isaya, Vinson, Achakutudanganya nahuo uongowako, hiyo Urusi inayoisifiya Kama Eti Duniani ndioanajeshibora, jee? Mbonahuu nimwakawapili Ameshindwa kuichukuwa hiyo ukraini?? Na alisemakama week 2, tu, ataichukuwa, Sasa mbona Anahaha? Angalia jinsiy Anavyoangamizwa na Ukraine, ww ni muongosana unatombwa eee, nendaukafirwe na mrusy,
Urusi anapigana na mataifa mengi
Kashindwa Ukraine mbwa uyo
Mbona. Mpaka. Leo. Mrusi. Hajafanikiwa. Uko. Ukrein. Izo. Nguvu. Za. Urusi. Zikowaapiii. ??
Ndugu yangu ww ni mpotoshaji na mwongo mkubwa
Mwalimu wa neno la Mungu,
Wewe mutafwiti ajabu !
URUS number one THE TOP RANk in the WORLD
Kuna Iziraeli hiyo nihatali
Esaf ndifu alaaf uchambuz unaelewekaa nakukubali mwamba
Huyu atakuwa mwalimu wa primary
Umesimama katikati Kama refa pumbavu Sana ww mpeleke mama yako na baba yako wakapigane uone uchungu wake baba yako Ange uwawa kwenye Vita unge jisikia je ? Pumbavu
Jamaa muongo sana..vifaru vinavyodaiwa kuunguzwa haviajaanza hata kutumika..😂😂 na Ukraine kufikia Leo hawajawa sawa kuvitumia.
Si kweli.Marekani ili ipiga Iraq kwa wiki 3.Urusi mpaka amedoda Ukraine
Hakupiga bali alifanya maangamizi umeelewa maana yangu urusi haifanyi uwo upuuzi
VERDADE MWALIMU RUSSIA NAO COLONIZOU NENHUM PAIS DA AFRICA
l'Amérique a des armes sofestiquees et des militaires biens formes
Nani kakwabia numbers on USA marekani
bro unasema uongo sana
uyo mchambuzi ni mwehu au mzima kweli? Uyo bwana anachambua kitu hakijui mbona?
Huo nao ni upuuzi ni ujinga tu unatueleza hata hujui unatueleza upumbavu tu ushabiki uziba ufahamu mwalimu acha unajidhalilisha
Mbona. Hutwambii. Vifaru. Vya. Urusi. Vilopigwaa
Nyinyi mnatetea urusi wachokozi
Wewe. Mtangazaji. Ni. Muongo. Na. Mpumbavu. Mkubwaa
Get courage mwalimu
Unaweza kaka
America
Huyu mwalimu anaongea kweli kweli tupu nimemuelew san aje aelezee na dola kupigwa chini na brics
Uongo mossad ni ya israéli
Kam urusi ungekua na jeshi Bora duniani mpaka Leo isinge kuwa unahangAikj na viy Ukraine
Kama mnafikil vita ni ushabik endeleen ipo ck mtaumbuka yaan marekan ukachukue ardh yake kiubabe usalimike weee
Hawa Marekani wanashirikiana inji 60 eti nayo kwa inji mkojo bado hawawezi urusi kwa hiyo niBora niwatalamu hawa warusi
Tatizo kubwa huyu ni mshabiki wa mrusi
Kska nitumie namba yako nikutumie chocho ww nikeweli nakukubali nakufatilia sana
Acha uvivu China iko ndani
uyo sio mwalim ajui mnapoteza sifa
Wewe ni muongo kabisa jeshi Bora duniani ni marekani mrusi Hana lolote mavi yako
Mimi naongea kirusi Kwa kupenda, na nakipenda sana kirusi
Nifundishe kirusi jama
Uyu jamaaa tunamjua ni chawa wa Putin ss inatakiwa unapomwita kwenye interview awepo na mwengine wa kuondoa uongo wake at the same time usimwite peke ake.
Inchi yenye jeshi bora ni marekani hakuna ubishi urusi hakuna kitu hata ukimtukuza mrusi bado hajui mungu kwakuwa anatafuta vinchi vidogo ndoo vipiga
Marekani ameshawai pigana vita peke yake
Soviet Union ulikuwa muungano wa Jamhuri 15 Russia na Ukraine zikiwa kwenye muungano huo sasa kuuita Russia ndiyo Soviet Union unakosea.
Mwalim waneno la mungu unasahau tuanzie 1 china 🇨🇳 2 korea kasikazini 3 Vietnam 🇻🇳 4 Africa nistan 5 Syria 🇸🇾 Na sasa Ukraine 🇺🇦
Hakuna nchi yenye nguvu kijeshi kuliko marekani,akuna wa kunitoa hapo
Museveni na Kagame ndiyo ma présidents wanayo tumiya cakula ca asili peke yawo
😊😊😊😊
75% unazungumzia uongoo braza unatudanganya labda n Kwa sababu umeegemea upande wa Putin ndo mana