URUSI NDIYO NCHI YENYE JESHI BORA ZAIDI DUNIANI KULIKO MAREKANI

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 12. 09. 2024
  • Mpenzi mtazamaji wa IBM CHANNEL endelea kutufuatilia kwa ajili ya kupata elimu zaidi ya uzalendo, ukombozi wa kifkira na ukuu wa Mwaafrika hapa hapa. tunakupa pia makala mbalimbali zinazohusiana na ulimwengu tunaoishi na taarifa zetu ni za ukweli na uhakika sio za uongo. karibu tuendelee kuwa pamoja. kama hauja-subscribe tafadhali fanya hivyo ili usipitwe na chochote.

Komentáře • 347

  • @RurerekanaRichard
    @RurerekanaRichard Před rokem +3

    Wanakwita eti mwalimu wa Neno LA mungu we we we unamdhiaki mungu wewe unasapoti mauaji yanayo fanyika u ko alafu unajiita mwalimu wa Neno LA mungu pumbavu sana

  • @dominicksangu8934
    @dominicksangu8934 Před rokem +6

    Thank you my brother kwa kutuchambulia mambo ya vita na vyakula ubarkiwe

  • @MichaelMollely
    @MichaelMollely Před rokem +7

    Mwalimu uko vizuri , 👍🙏

  • @user-uv6en7xu6c
    @user-uv6en7xu6c Před rokem +11

    tunakubali sana uchambuzi wenu kuhusu vita vinavyo endelea

  • @nafuutayb8452
    @nafuutayb8452 Před rokem +7

    Hongera mwalim tunakupenda sn tunapendatukusikie unavyochambu upovizuri big up mwamba.

    • @abduljuma7807
      @abduljuma7807 Před rokem +1

      Mwalimu Asante Kwa somo tuwekee namba zako ubarikiwe sana

    • @BenjaminiJoel
      @BenjaminiJoel Před rokem

      Chambua kwa hikima maswala ya kudhani eti zerensiki anatumia unga sio vzr na usiweke hisia zako kwahilo eti unga urimuona anatumiaunga au na we mwenyewe unatumia

    • @DominickPaul-xd9wz
      @DominickPaul-xd9wz Před rokem

      Ni kweli anatumia madawa uko sana mwalim

  • @SalehBwila-sj7rn
    @SalehBwila-sj7rn Před rokem +6

    Salute wakulungwa mpoki na Benson

  • @MichaelMathew-ke6bi
    @MichaelMathew-ke6bi Před rokem +4

    Huwa nakuelewa sana. Upo safi.

  • @sharifuhusseinally542
    @sharifuhusseinally542 Před rokem +2

    MAneno yako mwalimu wa neno la mungu uko sawa mkweli mwaminifu mungu akubariki

  • @janmusquera
    @janmusquera Před rokem +3

    Uchambuzi wako safi sana🙏🏿🙏🏿🙏🏿

  • @FaustaPalermo
    @FaustaPalermo Před měsícem

    Ubarikiwe mmno mwalimu

  • @emmanuelmlowe-ew7gx
    @emmanuelmlowe-ew7gx Před rokem +6

    Bila marekani hakuna vita na magonjwa

  • @user-lv4cx1sc5d
    @user-lv4cx1sc5d Před 18 dny

    Sahihi sana urusi ndio inayongoza kuwa na jeshi imara hao wengine matapel

  • @user-ux1bq7ev5f
    @user-ux1bq7ev5f Před rokem +2

    Hongerasa mchambuzi umebobea

  • @muhammadmbaraka4515
    @muhammadmbaraka4515 Před rokem +4

    Nakubali 🙌🙌

  • @RameckMbilinyi
    @RameckMbilinyi Před 2 měsíci +2

    Kaa

  • @venancemsima3683
    @venancemsima3683 Před rokem +2

    Ahsante kwa uchambuzi hizi mbegu GMO tutazitambaje hasa

  • @mfupakhamis9751
    @mfupakhamis9751 Před rokem

    Mwal Isaya àaaaa.
    Maswali na majibu.
    Storyyý unaniangusha uzalendo umekujaa umefoka.
    Pole sana

  • @sifankubana1697
    @sifankubana1697 Před rokem +6

    Urusi ninoma Dunian. Marekan kashindwa kuingia pekeyake hata hapo libya kawashirikisha Ufaransa, Ujeruman, Uingereza na nchi zingine za Nato

  • @AjudeKaluwa-bp1zz
    @AjudeKaluwa-bp1zz Před rokem +1

    Daa nimekuerewa ukosahihi balaa

  • @christiankambuga9338
    @christiankambuga9338 Před měsícem

    Safi sana mwalim

  • @joelyjosiah
    @joelyjosiah Před rokem +2

    Marekani anatumia akili so akulupuki

  • @sammywanje2686
    @sammywanje2686 Před rokem +1

    Mnajidanganya nyinyi,, hakuna ichi imepeleka silaha nzito zaidi Ukraine,,, pili, Usiongee kwa kujipendekeza mwenyewe, Umeichukia Marekani kwasababu haujui na hautajua ukweli wa mambo yalivyo, usidharau Marekani babu, fikiria vizuri na uelewe na uache upendeleo,, Muamerika c mjinga vyenye unafikiria

    • @AlexGwiha
      @AlexGwiha Před 9 měsíci

      Et mwlim wa neno la mung anaye weza akakusikiliza ww huna uelewa wowote.broo America hakutaka kupeleka silaha nzito. Kama ni hizo Tu za majalibio Tu. Halafu kumbuka u.s.a Hana masilah uclen

  • @jumanjenga7682
    @jumanjenga7682 Před rokem +1

    Si kweli.USA is the best Military in the world.

  • @user-bo2ss3xi5b
    @user-bo2ss3xi5b Před rokem +1

    If you want to know the strongest military check defence budget,hizi vifaru unaongelelea za kutoka Germany,uk,ni za zamani sana their technology is old school,hawataki kupeana zile mpywa

  • @thomastemu3332
    @thomastemu3332 Před rokem

    Yees yees nimekuelewa vizuri mchambuzi urusi iko juu

  • @jonfredkewe3451
    @jonfredkewe3451 Před rokem +6

    Jeshi la Putini ni Bora zaidi duniani

  • @ndabaniweperusi9546
    @ndabaniweperusi9546 Před rokem +1

    Wariishiwa urusi sinabiwiya urusi niwizi waibia bifavyayirenci

  • @hassanlwabudongo6437
    @hassanlwabudongo6437 Před rokem +2

    Nimekukubali Mwakilembe

  • @drjohnkarithi4435
    @drjohnkarithi4435 Před rokem +1

    Hajafanya utafiti wa kutosha! Jeshi la urusi huwa na kauli mbiu gani!? Training yao inakuwaje? Lengo lao la vita? N.k Wakati mwingine shetani huonekana kushinda vita mara nyingi kwa kuwa ni mkorofi wa kuvamia wasio na Mungu.... lakini Mungu akitokea .....shetani hujitenga/hunyamaza

  • @mpokimwakaje8178
    @mpokimwakaje8178 Před 10 měsíci

    Wafrika nitawasifu. Hawana viwanda vya kutengeneza mabomu bunduki makombora
    Ila kutunga nyimbo za mziki wafrika wanafaa ,sana

  • @ndabaniweperusi9546
    @ndabaniweperusi9546 Před rokem +1

    Nyinyi amnakiri mkifanyiwa kavire mtafanyaje mbonamunasapoti urusi mubaya ikijakwenu munashuru

  • @user-ds7nm9dk7b
    @user-ds7nm9dk7b Před rokem

    Nimekupta vivr sana ulivyo nichambulia kwaumakini 🙏

  • @sionichaula1265
    @sionichaula1265 Před rokem +1

    Uko upande mmoja eleza ukweli urus vita vimemshnda

    • @NovatusNgombo-zu2jh
      @NovatusNgombo-zu2jh Před rokem

      😂😂kk Vita gani unaachia mateka wakivita iyo so Vita n operation

  • @thomasmsamikikowe2485
    @thomasmsamikikowe2485 Před rokem +1

    Mmmmh haihitaji elimu kubwa kujua uchambuzi wako unapendelea wapi kwa sababu tuliambiwa ni operation ndogo lkn mpaka leo............

  • @NicodemBarantanda-ud7qy
    @NicodemBarantanda-ud7qy Před rokem +1

    Mwalimu wewe inaonekana uko Urus hivyo lazima uongee hivyo

  • @RegiusMsabila-g4k
    @RegiusMsabila-g4k Před rokem

    Nimekukubari sana sana marekani kwangu ni shetani mwenye kerere....

  • @AmonBahati-nh1nu
    @AmonBahati-nh1nu Před rokem +1

    Wewenimsemakweri nakubari

  • @Hasnspop
    @Hasnspop Před rokem +4

    Urusi tomba woote hao

    • @AlexGwiha
      @AlexGwiha Před 9 měsíci

      Oya ?hakuna kamchapee wamchape huyo mwehu.anakela anachokichambua havieleeew ki.au tukitombe.utimu no mwingi

  • @user-ml7jz5rf3n
    @user-ml7jz5rf3n Před rokem +1

    Ndoto za muchana mwalimu, kama urusi ingekuwa Bora basi haingechukua mpaka Sasa vita inaendelea

  • @user-iu1iy6tz9t
    @user-iu1iy6tz9t Před rokem +1

    Alisha pigwa. Na marekani Hana ujanja. Putin ndie anavuta bangi

  • @davidmaina797
    @davidmaina797 Před rokem +1

    Waisrael mashabulizi kila wakati Syria, kwa nini na mrusi ako pale

  • @josephatmbilinyi8947
    @josephatmbilinyi8947 Před 7 měsíci

    jeshi hodari duniani,,=1Marekani2,Urusi3china acha uwongo brother.

  • @RurerekanaRichard
    @RurerekanaRichard Před rokem +1

    Vp bro we refali au maana umesimana katikati kama kahaba unataka bwana apo

  • @ndabaniweperusi9546
    @ndabaniweperusi9546 Před rokem +1

    Nyinyi mumekosa firiji kamahamunafiriji akunakitu

  • @mwassamwassa7264
    @mwassamwassa7264 Před rokem +2

    Urus ndiyo unfananishe na America, wakati amezidiwa kila kitu,kuanzia uchumi

    • @germainpennant6439
      @germainpennant6439 Před rokem

      kuna watu wanapewa hela kuitapa Urusi tu! Lakini hawajui kitu kaka! Uyo Urusi kama ana nguvu avamie nchi moja wapo ya Nato ndio aone mziki

    • @bakandehussein6507
      @bakandehussein6507 Před rokem

      Ukitaka kujua urusi ni shida,angalia siria ,marekani aliposema anamng,oa,asad ndani ya miezi SITA,mrusi aligoma akasema Yuko nyuma ya asad,mpaka Leo Asad hajatoka

  • @alisonlewis-kr5qv
    @alisonlewis-kr5qv Před rokem +1

    Kichwa Chake Kina Maji ya Betri,

  • @mpokimwakaje8178
    @mpokimwakaje8178 Před 10 měsíci

    Kesho Lilo Bora Duniani Ni kanisa linalopambana na majeshi ya pepo wabaya katika ulimwengu wa roho, Hilo ndilo jeshi Bora Huwezi kusema urusi nijeshi Bora linalouwa watu, Vita vya Damu na nyama havina ubora wowote maana wanauwa Binadamu Vita Kati ya shetani na kanisa la Bwana yesu jeshi la Bwana yesu ndilo lilobora Duniani shetani anavyopigwa na kanisa la Mungu anataka kutoroka kuzimu Kama alivyotoroka mbinguni ,Sasa anatorokea sehemu ya jehanamu ya Moto maana huko anajua kanisa la Bwana yesu kristo haliwezi kufika ,

    • @mpokimwakaje8178
      @mpokimwakaje8178 Před 10 měsíci

      Hawa wazungu wanatengeneza mabomu bunduki za Hatar makombora kwajili ya kupiga Binadamu walioumbwa na Mungu, Hawatengemesi siraha ili kuuwa nyoka au fisi siraha kwajili ya kuangamiza Binadamu niatari Sana hao wazungu, Hata Mungu Hawamuogope,Mimi siwezi kuwasifia hata kidogo,

  • @user-iu4du7ws6s
    @user-iu4du7ws6s Před 10 měsíci

    Benson unasema uongo, sema unampenda Putin, Amerika ni Super power in the world , urusi ni ya pili, kama vifaru kuchomwa vya Urusi vimetekezwa zaidi ya vifaru laki Tano, Putini katishia kupiga mabomu ya nyukilia ikiwa Amerika ikiingia vitani

  • @omarisombi9284
    @omarisombi9284 Před rokem

    Asante sana Mwalimu wetu

  • @josephatnyambeya876
    @josephatnyambeya876 Před rokem +1

    Mkiwa mnadanganya watu kwenye hizi channel zenu uchwara muwe na data sahihi. Wengine tunawachora tu

  • @hamzahuseni2555
    @hamzahuseni2555 Před rokem

    Mwakilembe watu wanasema ww ununulia iv nikweli chapa kazi nakukubar sana

    • @emmanuelmlowe-ew7gx
      @emmanuelmlowe-ew7gx Před rokem

      Ukitaka kujua nikweli putin anamiliki eneo ukrein marekani anapambana kumtoa mrusi wanashindwa zaid ya mwaka

  • @joelyjosiah
    @joelyjosiah Před rokem +1

    Tumieni akili alisema wiki moja alafu mnamsifia Kama angemueza angesha mjibu mchambuzi uyu anadanganya wasio jua kitu chochote

  • @KenedyThabiti
    @KenedyThabiti Před měsícem

    Hukuna mwalimu hapo marekani namba moja mpumbavu wewe urusi vimelipuliwa vifaru vingi sana vyake

  • @WmareteMarete
    @WmareteMarete Před rokem

    Nashukuru kutoa mchanganuo huo.Wengi hawaelewi haya yote. Tafathali usichoke.

  • @nelsonjastin2601
    @nelsonjastin2601 Před rokem +1

    Nawakubali sana

  • @damianmhagama4398
    @damianmhagama4398 Před rokem

    Asante kwa uchambuzi mzuri

  • @raphaeljickson9476
    @raphaeljickson9476 Před rokem +1

    Urusi ni noma

  • @salimamourhamad8607
    @salimamourhamad8607 Před rokem +1

    We mwalimu isaya, Vinson, Achakutudanganya nahuo uongowako, hiyo Urusi inayoisifiya Kama Eti Duniani ndioanajeshibora, jee? Mbonahuu nimwakawapili Ameshindwa kuichukuwa hiyo ukraini?? Na alisemakama week 2, tu, ataichukuwa, Sasa mbona Anahaha? Angalia jinsiy Anavyoangamizwa na Ukraine, ww ni muongosana unatombwa eee, nendaukafirwe na mrusy,

  • @josepheriah5977
    @josepheriah5977 Před rokem +1

    Kashindwa Ukraine mbwa uyo

  • @daudkhatib-qn5tr
    @daudkhatib-qn5tr Před rokem +1

    Mbona. Mpaka. Leo. Mrusi. Hajafanikiwa. Uko. Ukrein. Izo. Nguvu. Za. Urusi. Zikowaapiii. ??

  • @alexandermbijima7737
    @alexandermbijima7737 Před rokem +1

    Ndugu yangu ww ni mpotoshaji na mwongo mkubwa

  • @jkmproduction5594
    @jkmproduction5594 Před rokem

    Mwalimu wa neno la Mungu,
    Wewe mutafwiti ajabu !

  • @teddydeo8460
    @teddydeo8460 Před rokem

    URUS number one THE TOP RANk in the WORLD

  • @abeliantony7085
    @abeliantony7085 Před rokem +1

    Kuna Iziraeli hiyo nihatali

  • @BaruwanWilison
    @BaruwanWilison Před 15 dny

    Esaf ndifu alaaf uchambuz unaelewekaa nakukubali mwamba

  • @smartcom5881
    @smartcom5881 Před rokem +1

    Huyu atakuwa mwalimu wa primary

  • @RurerekanaRichard
    @RurerekanaRichard Před rokem +1

    Umesimama katikati Kama refa pumbavu Sana ww mpeleke mama yako na baba yako wakapigane uone uchungu wake baba yako Ange uwawa kwenye Vita unge jisikia je ? Pumbavu

  • @erickhenry2619
    @erickhenry2619 Před rokem +1

    Jamaa muongo sana..vifaru vinavyodaiwa kuunguzwa haviajaanza hata kutumika..😂😂 na Ukraine kufikia Leo hawajawa sawa kuvitumia.

  • @chalokalunde9429
    @chalokalunde9429 Před 11 měsíci

    Si kweli.Marekani ili ipiga Iraq kwa wiki 3.Urusi mpaka amedoda Ukraine

    • @mwengejames9182
      @mwengejames9182 Před 7 měsíci

      Hakupiga bali alifanya maangamizi umeelewa maana yangu urusi haifanyi uwo upuuzi

  • @zainulabideen6955
    @zainulabideen6955 Před rokem

    VERDADE MWALIMU RUSSIA NAO COLONIZOU NENHUM PAIS DA AFRICA

  • @ngunijames-cy6yq
    @ngunijames-cy6yq Před rokem +1

    l'Amérique a des armes sofestiquees et des militaires biens formes

  • @khamisjuma8501
    @khamisjuma8501 Před rokem +1

    Nani kakwabia numbers on USA marekani

  • @tulinaboamani1421
    @tulinaboamani1421 Před rokem +1

    bro unasema uongo sana

  • @germainpennant6439
    @germainpennant6439 Před rokem +1

    uyo mchambuzi ni mwehu au mzima kweli? Uyo bwana anachambua kitu hakijui mbona?

  • @joshuaswai8203
    @joshuaswai8203 Před 3 měsíci

    Huo nao ni upuuzi ni ujinga tu unatueleza hata hujui unatueleza upumbavu tu ushabiki uziba ufahamu mwalimu acha unajidhalilisha

  • @daudkhatib-qn5tr
    @daudkhatib-qn5tr Před rokem +1

    Mbona. Hutwambii. Vifaru. Vya. Urusi. Vilopigwaa

  • @josephmuchangi3674
    @josephmuchangi3674 Před rokem

    Nyinyi mnatetea urusi wachokozi

  • @daudkhatib-qn5tr
    @daudkhatib-qn5tr Před rokem +1

    Wewe. Mtangazaji. Ni. Muongo. Na. Mpumbavu. Mkubwaa

  • @BahatiKazibake
    @BahatiKazibake Před rokem

    Get courage mwalimu

  • @AmidoJeni
    @AmidoJeni Před 11 měsíci

    Unaweza kaka

  • @alexjaddu377
    @alexjaddu377 Před rokem

    America

  • @ibrahimnaftar9037
    @ibrahimnaftar9037 Před rokem

    Huyu mwalimu anaongea kweli kweli tupu nimemuelew san aje aelezee na dola kupigwa chini na brics

  • @TheRepublicSquare-047
    @TheRepublicSquare-047 Před rokem +1

    Uongo mossad ni ya israéli

  • @user-ou5qj8fw8m
    @user-ou5qj8fw8m Před 9 měsíci

    Kam urusi ungekua na jeshi Bora duniani mpaka Leo isinge kuwa unahangAikj na viy Ukraine

  • @ELIPHAZAMON-ex9zc
    @ELIPHAZAMON-ex9zc Před rokem +1

    Kama mnafikil vita ni ushabik endeleen ipo ck mtaumbuka yaan marekan ukachukue ardh yake kiubabe usalimike weee

  • @ramiabashiru5134
    @ramiabashiru5134 Před rokem

    Hawa Marekani wanashirikiana inji 60 eti nayo kwa inji mkojo bado hawawezi urusi kwa hiyo niBora niwatalamu hawa warusi

  • @leonardlubala393
    @leonardlubala393 Před rokem +1

    Tatizo kubwa huyu ni mshabiki wa mrusi

  • @NelsonNelson-h5u
    @NelsonNelson-h5u Před rokem

    Kska nitumie namba yako nikutumie chocho ww nikeweli nakukubali nakufatilia sana

  • @muskrilcardo9372
    @muskrilcardo9372 Před rokem +1

    Acha uvivu China iko ndani

  • @joelyjosiah
    @joelyjosiah Před rokem

    uyo sio mwalim ajui mnapoteza sifa

  • @angelomalimi2444
    @angelomalimi2444 Před rokem +1

    Wewe ni muongo kabisa jeshi Bora duniani ni marekani mrusi Hana lolote mavi yako

  • @SelemaniMeena-oo3os
    @SelemaniMeena-oo3os Před rokem

    Mimi naongea kirusi Kwa kupenda, na nakipenda sana kirusi

  • @ibrahimaziz7158
    @ibrahimaziz7158 Před rokem +1

    Uyu jamaaa tunamjua ni chawa wa Putin ss inatakiwa unapomwita kwenye interview awepo na mwengine wa kuondoa uongo wake at the same time usimwite peke ake.

  • @GilbertGombeye
    @GilbertGombeye Před rokem

    Inchi yenye jeshi bora ni marekani hakuna ubishi urusi hakuna kitu hata ukimtukuza mrusi bado hajui mungu kwakuwa anatafuta vinchi vidogo ndoo vipiga

  • @modestwenceslaus9
    @modestwenceslaus9 Před rokem +1

    Soviet Union ulikuwa muungano wa Jamhuri 15 Russia na Ukraine zikiwa kwenye muungano huo sasa kuuita Russia ndiyo Soviet Union unakosea.

  • @sharifuhusseinally542

    Mwalim waneno la mungu unasahau tuanzie 1 china 🇨🇳 2 korea kasikazini 3 Vietnam 🇻🇳 4 Africa nistan 5 Syria 🇸🇾 Na sasa Ukraine 🇺🇦

  • @josephmuchangi3674
    @josephmuchangi3674 Před rokem

    Hakuna nchi yenye nguvu kijeshi kuliko marekani,akuna wa kunitoa hapo

  • @user-dw8xz4tg7y
    @user-dw8xz4tg7y Před rokem

    Museveni na Kagame ndiyo ma présidents wanayo tumiya cakula ca asili peke yawo

  • @princeimani8078
    @princeimani8078 Před rokem +1

    😊😊😊😊

  • @user-ou5qj8fw8m
    @user-ou5qj8fw8m Před 9 měsíci

    75% unazungumzia uongoo braza unatudanganya labda n Kwa sababu umeegemea upande wa Putin ndo mana