HATIMAYE MAGRETH APATA MCHUMBA BAADA YA KUKATALIWA NA MR RIGHT KADHAA
Vložit
- čas přidán 29. 08. 2024
- Kwa story zaidi za maisha, burudani, vipindi na za kila siku tufuatilie kupitia Mitandao ya kijamii hii :
►JOIN OUR WhatsApp Group chat.whatsapp....
►SUBSCRIBE / @stbongotv
►Instagram / stbongotv
►TikTok / stbongotv.tz
►Facebook / stbongotv
►Twitter / stbongotv
ST BONGO TV Channel 401 (Dish) 161 (Antena) on Startimes Decoder
RATIBA ZA VIPINDI VYETU
THE BANTU JUMATATU HADI IJUMAA KUANZIA SAA 10 JIONI
SPOTLIGHT JUMATATU HADI IJUMAA KUANZIA SAA 12 JIONI
TWENDE JIKONI KILA IJUMAA KUANZIA SAA 1:30 JIONI
FASHIONISTA KILA JUMAPILI SAA 1 USIKU
MR RIGHT SHOW KILA JUMAMOSI SAA 4 USIKU
KIU SERIES JUMATATU HADI IJUMAA SAA2:30 USIKU
THE SPIRIT NA IBADA LIVE KILA JUMAPILI KUANZIA SAA 4 ASUBUHI
MOVIE NIGHT NI KUANZIA JUMATANO MPAKA IJUMAA KUANZIA SAA NNE USIKU NA MARUDIO MCHANA KILA SIKU
I love this game,,,,Tanzania mna heshima sana🥰,,,mr right ya kenya haina hata respect 😢
It's a very nice show.. Catch up with us for season five very soon
Hamna ya kenya ipo scripted ndio maana huwaga n ovyo ovyo
Kabsa hata sitki kuangalia
I felt like crying aki this has shown me how ladies are yearning for love out here😢😢
Nmefurahi jmni uyu dada mrembo,mpole mdogodogo hongera mna nilikua naisubiri hii siku ya leo kwa hamu😍😍🙏
8TH of March and I have to wait until after graduation in
God hv mercy on our girls..These ladies r very beautiful ❤️
Dunia kweli ipo mwishoni kha!watoto wa kike wananadiwa kwenye mnada kama mbuzi?mungu saidia kizazi hiki kinapita kwenye majaribu makubwa mno
Dunia imeisha
Sana ndugu yangu maana hapo hamna swala la Imani wala nini eeMungu tusaidie watoto wetu .
Hapana Mbona ni swala kawaida watafunga ndoa watajadili wote Kwa pamoja kuhusu Hilo swala
Hamna SAwa hapo mpka inafika hatua wanawake wanajiweka kama mbuz vile wakiuzwa mnadan ni upuuz mtup
Kama kuku afadhali mbuli
Lulu leo uko smart Masha Allah mtoto wetu wa kislamu ..Mob love from Kenya
Mungu ndie ameweka ndoa,nashangaa Mungu tumemwacha atupae vitu sahihi,kwa Akili zetu tutaambulia makurumbembe tu,
Congratulations man we like it Hadi mm l wish kukuja uko niweze kuchagua mbitti moja wakati ikifika nami nitawasili ebana shukran pongezi Sanaa ✌️✌️✌️✌️👌👌👌👏👏👏👏👏👏👏👏👏😍😍🔥
Am from Uganda 🇺🇬 and I would like to join that game for sure ❤❤❤
You are welcome
Hehehe naawe oyagala ka zannyo kano! If u can speak kiswahili I think the game will be easy otherwise not a simple task
Welcome phiona
Why if I can invite you to kenya and we date 😅
Ila dada mwenye nguo nyeusi amenibariki sana japo mm n mdada
Yaani hata Mimi kwakweli
Upo sahihi
Umepataa mwanaume ambae kila mwanamke hupenda mwanaume yuko hivyo 🎉🎉🎉🎉🎉🔥🔥🔥🔥🔥🔥🥰🥰🥰🥰🥰🥰
Nivyaukweli ivi
@@tumainishekalaghe6224 ndiyo ila kila mwanamke na chaguo lake me binafs mwaume tufupi hapana pia me n mrefu so hata tukilingana urefu so mbya iko sawa 😂🥰
jameni nimefatilia hii show sana magret ameteseka sana🤔ila namtakia kila la heri na Mr right wke
Subhanallah.. wake wachaguliwa kama tomato
Waoooo🎉🎉🎉🎉🎉👌👌umenifurayisha kaka 👌👌
It was cool to seee me right iko na Respect kuliko yakenya
Mm binafsi nimefurahi sn Magreth amempata Chaguo lake Sahihi... nawatakia Mapenzi Mema mpendane Milele Daima 👏👏👏👏👏
Kwan hii kitu ni kweli,???
@@ashasendoki6888 ndio ni Kwl kbs Maana kuna Wengine Wanapenda sn mpk wanafunga ndoa na kuzaa Watoto kbs
@@ashasendoki6888 halafu wakifanikiwa wanakuja Kushukuru
Congratulations my dear magret
honger
Islam ☪️ gives values for our women that’s we don’t accept such things
Haibu ukiachwa hapo😂😂😂😂❤❤❤hongera dadaangu
i love this game...iko serious like hell..hongera margret💋💋
Bro umeangukia Dem mrembo❤❤❤... Waaa haki sifichi nilishikwa na wivu
😂we ni kenge
Mungu awenanyiiii amennnnnnnnnnnnnnnn🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Ni vizuli ila tuwe tunapata maendeleo ya hai watu
I really like that ñiggå❤ selection indeed
Mnahararisha ngono
Hongera Sana mrembo nimefurah❤❤
Hi jennifer
Hi
@@munisialpha6465 hi
Allah Awastiri Watoto Wetu Na Ndugu N.K Allah Awastiri Yarabiy Tuliaambiwa Hilo Wataona Kisiki Wasafiri Mwanaume
Ma single tujuane Hapa Kwa Coment Bonyeza Like. alafu sema vitu vitatu amabvo wa penda kwa future Baby girl ama Baby Boy.
Napenda nije fanikiwa kumpata mwenzangu Kwanza ustaarabu ,heshima, upendo wa kweli, na mwenyemchango wa akili Nini tufanye tupate pesa tusiishi kwa kuteseka, mengine ni madogo yanajiset simpo
@@OrecyOwdenI love your comment❤
@@OrecyOwden daah napenda sana ningepata kama wewe cz huenda tungeendana 🥺
Any connection to How jecinter can be reached to
True love, respectful, and truthful
Nakubali
Mashaallah ❤️💞💕🥰😍
Congratulations magreth
Heshima kwenu nawapenda
Kila mutuu nawakati yake dada hongera hongera utuliye kwa ndoa yako
🤣🤣🤣🤣🤣
Hiz ni drama mim hua siziamin😅😅😅😅
@@marrypius576kbsa 😂😂😂ni drama to but we enjoyed
Niingie na fimbo niwatandike nyote hapa😂😂😂😂😂😂😂😃😃
Kwann
@@hanifahanifa1010 wengi wanaenda kuendeleza uzinzi before hiyo ndoa kama itakuwa ipo maana kuna kale katabia kakusomana kabla ya nikah huku wakiendelea kula vitu
ingia tu na fimbo ndugu yangu tandika wote kichwn hawata fany ujing ten
Hahaha kwa nn uwatandike kwa ujinga wanaofanya am
@@omanoman2044 eeeh kuna ujinga mwingi sana hapo yaani ni mtihani tu
Mtihani sana sijui nini kimebaki kuashiria kiama kusimama😢😢😢😢
😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢kweli kabisa aturehemu Allah kwa mambo yanayo fanywa
Dunia imesha
Mtihani wa kijamii huu
Tunahitaji mtuletee maisha ya baadae ya hao ambao wamepata wenzi wao na hawa wanaondelea kuwapata na kuondoka huko waliko Tafadhali... ili ku inspire uhalisia wa kile kinachofanyika
Nimaigizo
My hapo hakuna ndoa maana wengi tunaowaona hapo wanataka kufahamika baadae nimewaona kwenye film
Mwijaku yeye anaenjoy kuwakumbatia wale wanaoshindwa 😂😂😂😃
😂😂😂😂😂
hongera sana kipenzi 😍
Very nice game I would love to be there 😅😅😅❤❤
It was cool to see Magg happy
Bora niolewe uke wenza kama wanawake wamefikia uku😂
Kila raher mage. Mefurah
Hongera❤ mager
Hivi lengo kuu la hiki kipindi chenu ni NINI?
Kuhamasisha zinaa na kueneza ukimwi na watoto wasio kuwa na baba
Hongera wajina wa mwananimefurai sana
Nimefrahi ❤️❤️
Na mm nimefurah kwakweri mgrt hongera
Hbr yako !! Je umeolewa dd ?
Watu wanaipenda dunia kuliko Akheir dalili za kiama hizi Mtume Muhammad s a w alitabiri mwisho watu waipenda dunia
i rill like mwanamke anayedeka yani acha kabisaaa uwa ananimaliza
Her dress her choice though 😊
Hongera wajina
Nafikiri tupate na mrejesho baada ya miaka miwili maana mahusiano sio rahisi kiasi hiki
Umeona eee
Ivi hufanya kweli au
Miaka miwili au miez miwil😀
Hawafiki mbali hawa ni maigizo tu haya😂😂😂😂
nice san magret
Kuna ambao weoana kutoka kwenye iki kipindi?
Nakubali san
Magreth she is beautful
hivi huko bongo siku hizi muna wanawake weusi kweliii
Hii dunia Mungu atusaidie hv tumefikia kweli hata Mungu nazan anashangaa haya mambo yaan tunatafuta ndoa kwanjia hii alafu kwa wazazi mnaenda kusema nn au hawana wazazi hawa
Weweee embu kojoa ulale
Halafu mnajiimbia nyimbo takatifu za Mungu kwenye upuuzi
Im single
Why are yua shows short we want full videos
Mmmmmh haya bahna.
Yuko bomba..😍 mgrat
Jamani tujuambien kama kuna nafas ya kujiunga❤
Ivi niulizee mtu unakosa hapo mwanamme unalia kabsaa yani unalia uwiii hakii tunajiabishaa jmnii kweli soko gumu🙌🙌
😂
😂😂😂😂 mim nashangaa aibu san mbona wanaume wako
😂😂
Si ndio jamni 😅😅😅 ndo unaliajee ivoo kweliii jmnii 🙌🏼🙌🏼🙌🏼
Naomba nije from Kenya guys
Mmm❤❤❤❤
I like the game
hongera
Tunataman kujua maisha yao baada ya hapo
Naweza Tamani kujua pia
Waaaah 😳
Masoud anapenda vtu vidogo masoudiiiiiiiii😂😂😂🔥
Napenda kuuliza iv huwa wanaowana jumula au nikamchezo faran t
Islamic be careful usije kutumbukia motoni kwa matakwa yako we are leaving the end life 😭😭😭😭💔
Napenda xaaana jamn hiki kipind
Kweli true
Magreth love you
Hivi ni kweli Au uongo
Huyu Binti nilimtamani japokuwa alimchamba ex wake ila ni karembo sana.
Napenda mwanamke mweusi awe mrefu kiasi napia awe mchapakazi
Mmmmhh
Hivi ni kweli hawa watoto wa like wamekosa wanaume wa kuwaowa mpaka wanafanyiwa mnada kweli,?
Here I am,🖤💖💖💖💖
Natmn nje
Like it
Waooooooooo
This lady is super beautiful 😻 and baby❤
Magreth umesema ukweli ila so bahati yako Mungu ndo kakuandalia huyo mpende sana
Wow
🎉🎉
Kinaa Magee haoo🔥🔥🔥🔥🔥🙌🙌🙌🙌😅😅😅😅 Motoo wa kuotea Mbali
Hii ina kazi gan
Mume kapata yeye kulia nalia mm😢😢😂😂😂
Asa walia nn
@@ImamuIdarusi 😆😆
😂😂😂😂
@@ImamuIdarusi furaha 2🤣
Magret she is so baby🤣🤣🤣🤣🖐
Wameendana jaman
Ivii inakuwaga kweli au
Duuuh Dunia hii
Hivi ni kweli wanapataga ndoa ama utani.... na mimi niende
Mko wapi jmn na mmm nje
mm siamin hii mambo nikwel au maigizo?