MAAJABU YA MAPACHA HAWA MAMA YAO MZAZI HAWAJUI/WAKIUMWA WANAUMWA WOTE/WANAWAZA PAMOJA
Vložit
- čas přidán 19. 07. 2021
- Usisahau ku "SUBSCRIBE" Channel yetu kwa habari nyinginezo nyingi na nzuri
MAAJABU YA MAPACHA HAWA MAMA YAO MZAZI HAWAJUI/WAKIUMWA WANAUMWA WOTE/WANAWAZA PAMOJA
#Bonatv #Exclusive #Mapacha - Zábava
Mashaallah wanavyofanana mungu nijaliena nami nipate mapacha hongereni warembo😍😍😍😍
kunawengine awo wanafanana Kama aho wanaishi tabata changombe mwenyezi mungu nijarihee namimi nipate mapacha wangu wa2kama aho Amina❣️❣️🙏
Hata mi ni pacha..Amabao wako pacha like zangu naomben 🙏💕👭
Hongera na Mimi nawezangu tupo watatu❤
Tupo my dear team twins community
MUNGU Fundi Mno 🙏🙏🙏GOD is so Adorable 🙏🙏
Ooo jaman mwenyez mungu nijalie kizaz chamapacha na mm
Mashallah ya rabby naomba nijalie watoto mapacha 🤲
Amin
Ameen
Utapt mamy mmi ninao
Aamin namie pia mpenzi
@@liliandominaic5629 mashallah my love congratulations my dear me inshallah Allah ani bless
Mi napenda story hiz z mapacha😍😍😍Mungu nijaalie n mm nizae vijipacha vyngu in Sha Allah
Inshaallah
Amen
In shaa Allah
Waooo.namm.pia tuko mapacha
Pia mm naomba mungu anijalie
Manshaallah tabarak Allah ♥❤.
Mwenyezi Mungu mtukufu Subhanah wataala awakinge na shari na husda za mahasidi Inshaalllah 🤲🏻
Kua na watoto mapacha ni raha sana mashaAllah yarrabi nijaalie na mm
Wamepishana. Sauti
In Shaa Allah amiin thumma amiin Yarabbil Aa'lamin YaRahman Rahim
MASHAALLAH. mm dada yangu anao mapacha wakike pia.yani kila siku akinitumia picha lazima niulize uyu nani kulwa au doto.paka leo siwajui kama wachina yani.mashaAllah
Mnapedeza. Sana Ila tu huyo pacha mwingine aolewe tu jamani wawe wanatembeleana tu,
Masha allah Allah nijalie na mimi nikiolewa nipate mapacha Ameen
😂😂😂
Nitafutie 0777 814883
0716841642...Piga nikupe nina asili ya mapacha but,Nina MKE amepacha na mpenzi wa nje anao...Karibu na wewe nikupe!!!
@@shukuranikibona5893 😂😂😂😂😂 kweli au
@@manasadunia3458 Ukweli kabisa... reality mom..!
Mashaa Allah Mashaa Allah Mashaa Allah yaa Allah tujalie na sisi yaarabb
Ee mungu na Mimi unipe mapacha wanao fanana katika uzao wangu Amina
shida ya pacha mukishikana sana kwakila kitu ila maisha tofauti kuna mmoja atafariki mapema kama mm niko na pacha wangu ila kashaniacha ashatangulia mbele ya mungu
Hi no 6
Kulwa ana sauti nzito na inakwaruza kuliko doto..So nice indeed
Sauti ya pombe😂😂😂
Juzi niliona picha ya kinaigeria ya mapacha ambayo wanahisi pamoja sikuamini kumbe kweli wapo,Mungu ni mkuu Sana..
Nguvu kuu asili iwalinde na kuwatunza na kuwabariki mapacha, wakubwa zangu, Mimi ni nazo ya kufuata mapacha japo walirudi Asilini
Hongereni sana 😘😘😘😘😘🌹🌹🌹🌹
Warembo, voices of worship and preaching...
+
Jamani napend mapecha Allah nijalie namimi nikiolewa unijalie mapecha amina
Nimewapenda hatarii,hapo in finger print ndio tofauti, kwalivyofanana huyo ni MTU mmoja ,very lovely girls.
Mungu nijalie nilicho kibeba kiwe mapacha wakufanana
Hongera kwao wanafanana sana huyu ambae Hana Mume mie nipo Tayari kuoa na nitawapenda wote Doto upo tayari
Napenda mimi jaman Eeer MUNGU nijaalie na mimi🙏
Warembo kweli mungu awape Maisha marefu 🤗
Mashaalah, wamefanana mpaka sauti, warembo sana
Hpn sauti hazifanani huyu wa kushoto ana sauti ya mapozi
Wa kulia sura yake pana kidogo
Asante wajina umeandika kiswahili🤔🤔
Nimesoma na mapacha jamani wanapendana hawa huwakuti wanamashoga yani wenyewe tu na hawagombani ovyo 😂😂😘
MashaAllah Tabarakallah.. Ila sauti zao hazifanani huezi kukosa kuwajua
Ndio
Sauti zao hazifanani
Nataman mungu anipe mapacha nawapenda sn
Waaa this two girls are indeed beautiful ❤️❤️👏👏👏👏👏💐🎉
Mamayangu ana mapacha namimi nikiolewa nizae mapacha insha allah❤😅😊
Ameen🤲🏽
Ameen
Mungu anijalie nani mapacha
Mapacha sana mwenye mwili mdogo ndo yuwatoka mbele 🤣🤣🤣
Katika pacha nnao wapenda bas ni hawa wa mfuko mmoja nice hutenganishwa na kifo tuu ila sio binadamu
Beautiful due to their twin bonded love; could they hav been patient may be the Lord may have bless them married by twin bros too.
Nimewaakubar sana wadogo zangu❤️
Had rah mashaallah
Mungu awajalie moyo wa kupendana hivo hivo milele🌹💖👏
Ya rabbi nijaalie na mm nipate mapacha wawili dua zenu naomba
Amiin sote Yarabbi
Sasa akipata mime!!!??
@@ashanassour1139 Ameni. Hitaji la moyo wako likatimie kwa uweza wa Mungu.
@@lucyhusein4043 si umesikia amesema yeye hata asipoolewa ni sawa?
Mmoja mnene mwengin mwembamba. Mmoja sauti kavu na wengine sauti nzito
Kweli mmoja mnene mwengine mwembamba, wala hawajafanana kiiivo unaweza kuwatofautisha😅
Nawapenda mapacha sana huwa nikiwaona nafarijika mno
Mungu anijalie na mm niwapate... inshallah 🙏
Amin atujaalie sote in sha Allah
Nice wame pendeza xana na kuhusu wanacho kizungumzia ni kweli kuhusu wa toto mapacha mmoja Aki umwa ni wote hata Mimi ninao pia nawangu niwakike pia
Masha'Allah wazuri
Yarabby nijaalie namimi Amiin👏👏
Amiin
MashaAllah nimewapenda sana
Woooooh ni nzur but hapo kwenye Mume Sasa...😊😊🤗
Sasa mimba mlipataje
Mashaallah ❤️❤️ jamani wamefanana kweli💥nimewapenda nami natamani nipate mapacha🙏🙏
Tofaut zao mmoja nwongeaji sana kuliko mwingne
Na kulwa kasura kake kembamba kidogo
Mashaallah nmewapenda
Ma sha Allah Allah awaeke in sha Allah
Kabla hujawauliza nan mkubwa nan mdogo tayar kwakuwatazama tu nikajua nan mkubwa nan mdogo usually nina mapacha Alhamdulillah pia mama zangu wadogo mapacha my family kuna mapacha fully na ninaomba mungu anipe tena mapacha inshaallah.
Lkn pia mama zangu mapacha hao waliposwa pamoja, waliolewa siku 1 na waume zao nimarafik mno wanaopendana kias kwamba mungu akawapa wake mapacha maashallah
Mtangazaji na mapacha wanavithethe kama umegundua hili weka like hp
Kurwa saut yake inakwaruza na anakithethe Sana kuliko doto waskilize kwa Makin! Na kimuonekano Doto siyo muongeaje sana
Mmefanana sana Mungu naomba unijalie mapacha
Mungu nijaliye na mimi wa Toto mapacha 🤲🤲
Jmn mpka raha ❤❤❤❤, nawapend san mapcha
Mungu anijalie pchaa
Mungu awaeke in sha Allah 🤲
❤❤ Mungu awabariki nyote
Mapacha wangu haooo nawapenda Sana Awana tabu na mtu
😘😍😚😗 warembo sana Mungu awalinde
Wow Masha Allah
Ata Mimi mke wangu ni mapacha wanafanana Sana alafu mke wangu nlishawahi kumuita shemeji alafu nao walibeba Mumbai pamoja na wakazaa watoto wanafanana Sana mpaka nlpata tuhuma kwa baadhi ya watu kuwa huenda nilideti nao wote
😅pole
Daah very interesting had nataman km wangkuw wa kwanguu😍😍😍
Mtangazaji upo vizuri sana
In Shaa Allaah Mungu atakupa Mume bora Mammy Dotto... Nawapenda sana mammy zangu Allaah awalinde na killa shari.
U look very beautiful 😍 ❤
Mashallah ❤❤❤❤❤
In shaa Allah mungu nipe namie mapacha
You are real beautiful twins
NAPENDA tu vile wanavyopendana l do love them.
Napenda.apacha
Hongereni..sauti azifanani
Jmn wanafanana kama sisi tunavyofanana lkn kuna tofauti kidog kweny saut lkn pia kulwa n mwembamba kidog Dotto mnene kidog. Yaan story yao haina tofauti na yao kama vle mama, marafk, majran na ndg wengne kutuchanganya n kawaida sana. Na cc wakat mwingne huwa anauliza ww n kulwa ama Dotto?, Kuhusu kuumwa na yenyew n hivyo. Kiufupi the way walivyoelezea halika n kwel. Nmependa mnavyoishi Mungu awape maisha marefu. Nmefeel vzr sana kuwasikiliza natamani niwaone jmn live ❤❤🎉🎉🎉
Kweli kuna tofauti kidogo Doto ana uso mpana kidogo kuliko Kulwa
Ila wazur sana
Allah kawajaalia Mashaallah♥️
sema wanacomfidance sana ma sha Allah😘wapewe movie wacheze watz tuenjoi zetu uzao wa nyumban.
Ee mungu nijalie na mimi mapacha
Acha kuwataka hao wasumbufu niulize mimi
Jmn Mungu🙏 nawapenda ❤❤❤❤
Jamani mapacha wazuri mungu awalinde ,nami pia ninao wakike na wakiume ila wananitoa jasho naniwakubwa miaka 15 lakini ni hatari
Yarrabi nijaalie na mie nipate mapacha inshallah
Amiin
Amin
Amiin
Amini
Amin
Masha Allah! hongereni sana mapacha
Mashaallah ❤❤❤more blessing
Mapacha wote huwa wanapendaga siyo hao tyu
Mungu simama na mm nipate mapacha
Yaan wanaongea wao mapacha nacheka mm😂😂😂jaman napenda sana ila sipati . Namuomba Allah anijalie nipate inshallah 🙏🙏🙏🙏
Mungu namiye mimba yangu ya kwanza nipate mapacha
Amiin mung atakujaalia ila na mm mung anilijaalia saiv wanamiak 7 mung aniwekee
Amen
Amiiiin thumma amiiiin mmi mwenyewa nataka ivo
Wawo mungu nijalie na mm
Hadi nikatamn, eeeh Mungu niajalie namie🙏 mapacha
Amin atujaalie sote in sha Allah
Half ni wazuri nimewapenda sana
Mashaaalah napenda mapacha mm 😍❤️
warembo sana napenda xana
Mungu akujaalie
Mungu nipe hitaji la moyo wangu
Nice identical,,....❣️
Anawapenda wore😂😂😂🎸🎧🎤
Manshallah ya Allah nijalie namimi mapacha Allahumma Amiin 🤲
Amin na mm
Usiseme atamm nawataka kwer
Mungu naomba nijaalie nami nipate mapacha
Wow inapendeza sana
Mimi na kulwa wangu tulitoa kali std 1 hadi form iv darasa moja na benchi moja enzi hizo hkn viti, tulikuwa tunakalia madawati,
Ila mapacha watu huwa wanawapenda mnnooo lkn walishindwa kututenganisha
Pia pacha huwa na hila mbaya hujiona wao ndio ndugu sana kuliko ndg wengine japokuwa wote wamezaliwa na baba na mama mmoja
Mashallah, inapendeza sana. Mwenyezimungu awalinde na jicho la husda
indeed fearfully and wonderfully made.
Mungu anijalie mapacha 🙏🙏
Amina yarab
Ameen ya Rabbi
Amen
Amin
Mimi siwataki ulezi mgumu 😢 na hao mapacha kwenye familia yetu ndio usiseme mpaka naogopa
watt wangu nawalolo😍
Nzuri Sana, nimeipenda mno
Safi sana
Mashaallah🥰
Mmmh 🙏🏻🙏🙏 good!
Mashallah mapacha wenzetu🥰🥰
Mungu awabarik