Ijue familia ya Rais Samia Suluhu -mume, watoto na historia yake
Vložit
- čas přidán 21. 10. 2021
- Katika makala hii tunakuletea wasifu wa mama Samia Suluhu Hassan tukitazama vyeo vyake vingine vya kijamii yeye kama mke, mama wa watoto na mwanafamilia kwa ujumla. Utawajua watoto wa samia Suluhu, mume wa Samia Suluhu na ndegu zake pamoja na anakotokea Kizimkazi Zanzibar.
Masha Allah mwenyezimungu akufanyie wepesi ❤❤♥️🤲
Mashallah insh allah umri Mrefu na afya kamili Love Frm Kenya 👍❤
My president you are a real definition of strong woman, I love you live long and stay blessed
Mashallah mwanamke wa kwanza zanzibar,makamu wa kwanza mwanamke Tanzania na Raisi wakwanza mwanamke pekee Tanzania 🇹🇿 ni bahati kubwa sana aliyonayo nnauhakika ndie atakuwa Raisi pekee atakaeleta maendeleo makubwa sana. Allah amjaalie katika kila malengo yake yote ayafanikishe in shaa allah I love ❤ mama
❤
Acha ujinga akuna rais aliyeleta maendeleo kama magufuri, sasa hivi viongozi wanaiba fedha akuna wa kuwazuia kipindi cha magufuri rushwa viongozi walikuwa wanaogopa na walikuwa wanapelekwa jela, sasa hivi viongozi kama mawaziri wakina mwigulu nchemba wanaiba fedha na hayupo wa kuwatisha, sasa ingekuwa marehemu magufuri thubutu kuiba fedha wangezitapika na siku hizi ukienda hospital madokta wanaanza kazi mdaa wanawotaka hakuna uwajibikaji acheni kusifia vitu ambavyo havipo magufuri ataendelea kukumbukwa kwa upendo wake kwa watanzania na alibana fedha kwa kutokusafiri wakati kuna balozi.
Kizimkazii kwa dolfing wakirukaa juu mashallah ndio maanaa allah kakuchaguu ufanyee maendeleo sio uwezowako ila ni allah fanya kszi kwaumanifu mjubwa mum hongeraa kazi njema
Nakupenda Muheshimiwa Mama Samia Suluhu,Mungu aendelee kulinda katika yote,Hongera Tanzania.
Hongera sana sana
Mashaalah Mwenyezi Mungu azidi kukusimamia na kukulinda ili uzidi kutuongoza pamoja na kukupa afya njema.
Am in love with her dressing code. MashaAllah
Rais samia alikua pis kali sana nimempenda bure mungu ambariki aishi maisha marefu dada yetu
Hongera mama kwa historian yako na uongoz
Mama kama mama ❤️ hongera sais wetu mwanamke wa kwanz kua rais ni historia tunakupend sana rais weru🤩🤩
Mashaallah tunamuomba Allah swt akulinde.
Dada yangu Rais wangu yaani nakupenda sana dada yangu
Asante kwa somo hilo la our beloved President
Maa shaa Allah Mwenyeezi Mungu akulinde Rais wetu mpendwa Mama wa Taifa
Ameen
Maa shaa Allah
Kazi iendelee my President #Ssh
Mungu akujalie maisha marefu mama
binti yake Suluhu wa Hassan. Mungu akubariki sana. twakuombea na majukumu yako. Mungu akupe afya uzima na wepesi. hekima na maarifa pia mama yetu
"Kumbuka shuka mapema" na uhakikishe kijini kwako hawajutii Kuwa na Wewe. Mtu kwao . Mungu aliyekupa Wewe Basi na Kijiji Chalo wakufaidi walau.
Ongera Sana mheshimiwa rais wetu hatutaacha kukpongeza mwanamke wa jembe mungu akuweke inshaallah
Mashallah mashallah 😍🥰😘
Safi sana samia rais wetu wa Tanzania kila lenye kheri kwako
Mashaallah mama samia
Mashaallah mashallah
Tunakupenda raisi wetu,mchapakazi ,muadilifu,mkweli na mwenye huruma na Imani Kwa watanzania.
Be blessed
Ahsante Kwa history zr,
Mashallah Ma Samia Mungu amekujalia nyota ya uongozi❤❤❤❤
Love mama sanaaa....
Hongera mama Samia kila kitu kinawezekana,God bless
Allah akusimamie Kila hatua rais wangu kiukweli Nakupenda sana rais wetu
Nimekubali mama wetu mungu akubariki mahali ulipo
Hongeraa sanaà mama angu nimekupendaa bureee mama
Allah akulinde akupe afya njema, hekima, uwaongoze ndugu zetu wa Tanzania, Kwa njia nzuri, Mimi ni mkenya nafurahi Sana, pongezi Sana mama yetu Samia
Asante mwandshi kwa mkusanyiko mzr wa hbr Kuhusu rais wetu
Asante sana dada Loveness kwa ujumbe wako🙏
Historia nzuri Hongera.
Allah akubariki sana mama
Heko sana,raise wa Tanzania Samia suluhu.
Üzeni nchi yetu, Ahsanteni sana!
Anazingu tu bhana anazunguka tuu machinga tunanyanyasika Hana habali wanting yuko bize na matajiri tu RIP magufuli mungu akulinde
vumilia
Amina Amina
Safi-sana
Mama ssmia watanzania tunajivunia ushupavu wako.hongera mama❤
Mashaallah
"Nitaendelea kulinda heshima ya mwanamke wa Tanzania.". Mungu akujalie uyatekeleze hayo.
Nakumbuka Mazishi ya kiongozi mmoja alizikwa kijijini kwao alijisahau hata vifaa vya msikitini! Hapana viongozi jalini vikiji vyenu sio kuwekaweka mbele familia. Kijiji Cha kiongozi kifanane na hadhi yake. Msikubali aibu mkiwa mmeshanyamaza milele ( kifo)
MES RESPECTS MAMAN SAMIIA NAKUPENDA SANA JUU UNAONESHAKA GISI MAMA ANAPASHWA KUJIKAMATA
ASANTE SANA MAMA PRESIDENTI
Hongera mama Tz
Maashaallah maashaallah
Mashalwaa
Mama mchapakaz., Ubarikiwe.
Hongera sana mama nasi tupo pamoja nawe
Ahsante
Amina
Baba yake yupo wapi?na mama yake yupo wapi nataka kujua walio toa chombo hiki kizuri kilicho sheheni mambo mazuri tabia sura jamani mashallaa
Mungu nimwema ahsante Mungu nimwema ahsante Mungu kutupatia mama Samia suluhu
HONGERA SANA MAMA WA TAIFA, MUNGU NISAIDIE NAMIMI KIZAZI CHANGU KIWE BORA ZAIDI YA MAMA WA TAIFA INSHAALLAH🙏
Allahumma amin
Thanks for the informative video.
Thank you very much. We are happy that you find it informative 🙏
Sawa Mam samia umetish kinyam
Dada huyu ameunga unga sana mpaka akapata elimu, nilijua tu Samia ameunga unga sana, hapo tujifunze kuwa hakuna mafanikio bila maangaiko huyu dada ame struggle Sana
😎👀
Mungu akusimamie ktk kuliongoza taifa letu mama yetu
Hongera sana Mama.
Hy Ndio Rais Wa Nchi Alopanga Mungu Mwanaadam Huwezi Kulipangua Ukitaka Kaa Tanzania Huwezi Hamia Marekani Bibi Upo
Nusu wewe
habari ndio hiyo 🤣🤣
Maashaallah mama wa taifa
Nakupenda sana mama.
Kazi iendelee
Ongera
😮😮
Yaaahh
Toeni historia za Waheshimiwa na picha za maisha ya wanavijiji wao. Zingine aibu tupu. Msahau kwao hawezi kutunza kwa wenzake.
Safi sanà
Mama Samia
Napenda mavazi yake mama
Kama mKenya, naskia wivu sana kutokuwa na rais kama mama Samia. MUNGU AKUHIFADHI.
Acha ujinga sisi tunaangaika alafu wewe unasema rais mzuri, mda wote anasafiri pasipo na faida kwa fedha za wananchi
Mungu humpa amtakae achauchoyo
MWENYEZI MUNGU NDIYE MWENYE MAAMUZI YA MWISHO!
Sawa
Mashaallahmamasamiamwenyezimungunaakuweke
Napenda xana kazi unayofanya jaman
Asante kwa ujumbe wako
Mashallllah naic mashalllah
Nice
Thanks
Furaha ya Mama
huyu mama namkubali sana asee
Watanzania tuliiheshimu katiba yetu na hakika tumedhihirisha uungwana wetu. Tuendelee na uungwana.
Asee juzi tu ✍️
Ft
RIP Saint Magufuli
Ati Saint? 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Issa asqfirulaa.
Naomba kwa. Eshima na sisi usitusahau kabisa nahishi okokola kijiji cha okokola
Wewe Ester Una Roho Mbaya Kwa Kuwa Hy Anaitwa Samia Umeumia Engekuwa Anaitwa Magdalena Ungesema Bwana Yesu Asifiwe
Koo
Munguamulazepenyewemamzeemagufuli
Ulaaaaniwe😊
Mhhhh, aaaaaah
We mean the Transcript
Mashallah mabrouk mama samia
God bless you mama Samia
Very proud of You Mama Samia.🙏
Namu mama samiya eshina kwa mume
Mdg waandishi nashauli mpate jp picha zake za utotoni km mlivyofanya kwa maraisi wengine.
Mwalmu alitofautisha Urais na familia yake. Hii ilimjengea heshima na leo hata mjane wake na familia wanaheshimika. nchini