ULINZI WA RAIS SAMIA NOMA! TAZAMA ALIVYOFIKA KWAO KIZIMKAZI NA NDEGE ZA KIJESHI UTAPENDA..

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 27. 08. 2023

Komentáře • 72

  • @FatnaAlly-go7yt
    @FatnaAlly-go7yt Před dnem

    Mashallah

  • @abuuramadhan8093
    @abuuramadhan8093 Před 10 měsíci +4

    Tunahitaji hospital ya Kanda ya kaskazini ijengwe Arusha tuachane na kcmc na tuachane na hospital ya bugando tujenge hospital ya Kanda ya ziwa zilipe kodi

  • @abuuramadhan8093
    @abuuramadhan8093 Před 10 měsíci +2

    Tunahitaji hospital za kidini zijitegemee na zisipate bajeti kutoka serikali kuu na serikali zijenge hospital zake za kanda

  • @user-ki4sg8yz9j
    @user-ki4sg8yz9j Před 10 měsíci

    Zanzibar ni kisiwa kimezungukwa na bahari. Usafiri lazina boti au ndege/helikopta. Walinzi wamefupisha safari. Kutoka air-port au bandarini hadi Kizimkaazi ni maili nyingi sana. Ndio wameona bora helikopta ni moja kwa moja kutoka dodoma hadi Kizimkaazi. Na ndio penye shuguli.

  • @salimothmanhoza
    @salimothmanhoza Před 10 měsíci +1

    Akifa mama kwa mujibu wa katiba,Philip Mpango anakuwa Rais? Itafutwe mpya kuepuka mashaka haya

  • @ABDULLAOALI
    @ABDULLAOALI Před 10 měsíci +3

    Hongera mama, Mungu ibariki tanzania Mungu ibariki znz

  • @iddihassan2677
    @iddihassan2677 Před 10 měsíci +1

    Yaani ww mtangazaji saut kma unasoma nasar hujuw kutangaza bado uka some Tena

  • @KassimAlly-xp4dz
    @KassimAlly-xp4dz Před 10 měsíci

    Inakuaje muandishi wa habari upo mbali na sehemu ya tukio kwann usisoge karibu

  • @sadakombo-li7yi
    @sadakombo-li7yi Před 10 měsíci

    Mama samia nione mkizimkaz mwenzio niko pemba please nione

  • @PhilipoMussa-kd6nw
    @PhilipoMussa-kd6nw Před měsícem

    Mama Samia sisi watoto wa masikini tunaomba mchango wako selection za kujiunga kidato Cha Tano Ziandike upya maana Kuna wanafunzi tumeonewa tumechagua sayansi afu tumetumwa ATI

  • @ABDULLAOALI
    @ABDULLAOALI Před 10 měsíci

    Inajiweka sawa!!! Hy bwn kiswahili chetu hicho!

  • @ashachitemo7816
    @ashachitemo7816 Před 10 měsíci

    Helcopter mmezionaaa😂😂😂

  • @TimothyAlex-it2lm
    @TimothyAlex-it2lm Před 12 dny

    Kazikazi

  • @IjumaaIjumaa
    @IjumaaIjumaa Před 10 měsíci

    Sirikali iache kutegemea hispitali za kidini ijenge zake na iache hispitali za kidini zijitegemee zijiendeshe zenyewe bona zinaingiza mapato

  • @VenaEliki
    @VenaEliki Před 10 měsíci

    Naona mambo mnayoyafanya wewe na magufuri ni Kama uchifu mbona hatujaona marais awamu ya Kwanza mpaka yanne hawakujitwika ufalme Kama huo

  • @user-ki4sg8yz9j
    @user-ki4sg8yz9j Před 10 měsíci

    Hata Magufuli alijenga kwao na uwanja mkubwa wa kutua ndege yake tu. Kikwete kajenga kijiji cha kifalme kwao Bwagamoyo. Ali Hassan mwinyi ndi hasemeki kwao huko na msasani. Kuna ajabu gani Mama samia kutua kwa helikopta? Au kufanya jambo la maendeleo ya Umma? Acheni roho mbaya Wakavirondo nyie.

  • @mariammalendeja370
    @mariammalendeja370 Před 10 měsíci

    maghufuli nataman ungemuona zuena ooh ungemuona zuwena eeh zuuwena

  • @SAIDIMUKSIN-iy2op
    @SAIDIMUKSIN-iy2op Před 10 měsíci +2

    Mbona anashukia porin jmn

    • @KassimAlly-xp4dz
      @KassimAlly-xp4dz Před 10 měsíci +1

      M2 kwao unataka ashukie wapi mjini au ushaona wapi helicopter ikatua mjini

    • @user-ki4sg8yz9j
      @user-ki4sg8yz9j Před 10 měsíci

      Ndio eneo kubwa la kushuka kwa helikopta. Kashukia Kizimkazi ni shamba kama hamjui.

  • @sarahmuhammed6872
    @sarahmuhammed6872 Před 10 měsíci

    Huyu mwandishi vipi?? Side yoyotevwaexa kumuinterview bila kumshika

  • @rahma6189
    @rahma6189 Před 10 měsíci

    Kwani huyo ni raisi wa zanziba

  • @salehesalehe2967
    @salehesalehe2967 Před 10 měsíci +1

    Safi mama fanya kazi tuki pamoja

  • @user-ki4sg8yz9j
    @user-ki4sg8yz9j Před 10 měsíci

    Ccm acheni ushamba. Kila jambo mnavaa magwanda yenu tu. Kwani hizo sherehe ni za chama??

  • @user-dy5fn6qj1q
    @user-dy5fn6qj1q Před měsícem

    Safii kukumbuka nyumbani Kila jambo hufanikiwa wanaporudi kushukuru makwaooo Kila kiongozi. Wajifunze kwa mama na hasa wabunge kweye maeneo yaoooo

    • @FatnaAlly-go7yt
      @FatnaAlly-go7yt Před dnem

      Oooh Allah nijaalie na unipe nguvu NAMI niwe ni miongoni mwa kutekeleza inshallah

  • @zuberymwenge6780
    @zuberymwenge6780 Před 10 měsíci +1

    Kudadeki tutakutana kaburinj

  • @DadialiDadi
    @DadialiDadi Před 9 měsíci

    Haikuhusu kama Rai's wa znzbar wa bars Kula chuma iyooooo😅😅😅😅

  • @user-fi2xy4tw3p
    @user-fi2xy4tw3p Před 3 měsíci

    Honger mam Samia unaupig mwing

    • @FabianTebeka
      @FabianTebeka Před měsícem

      Acha ujinga anaupiga mwingi kwa kusafiri kila wakati wakati hospital akuna madawa, maisha magumu mawaziri wakina mwigulu nchemba wanaiba fedha na hayupo wa kuwatisha sasa ingekuwa marehemu magufuri thubutu kuiba fedha wangezitapika na mda wote anawateua wa nzanzibar tu

  • @verdianabanabi2205
    @verdianabanabi2205 Před 10 měsíci +2

    Wacha aponde raha

  • @chankamba
    @chankamba Před 10 měsíci

    Herocopita 😂😂 wameziona

  • @ally0thmanfundikira463
    @ally0thmanfundikira463 Před 10 měsíci +2

    Mtoto huyo warda mwalimu alikua anamtesa sana na anasema kazaa na polisi mkubwa ni kibaha mama yake nakuomba sana msaidie mueshimiwa ninakuomba fuatilia global tv

    • @sarahmuhammed6872
      @sarahmuhammed6872 Před 10 měsíci

      Swali aliempeleka kwa huyo.mwl mkuu ni nani??? Mpaka wakawa wanamtafuta???

  • @ally0thmanfundikira463
    @ally0thmanfundikira463 Před 10 měsíci +2

    Mueshimiwa Rais ninakuomba mama yetu tuonee tuonee huruma ingilia kati sakata la mtoto Warda Muhamed aliyepotea kule kinahan kiwa anakaa na mwalimu huyu mwalimu anakivuna yuko na mkubwa tusaidie fiatilia global tv

    • @KassimAlly-xp4dz
      @KassimAlly-xp4dz Před 10 měsíci

      Wa2 wake wapo kazini kulishulikia ilo subra muhimu sn

  • @MICHAELPANCRASS
    @MICHAELPANCRASS Před 10 měsíci

    Hahahaha

  • @MICHAELPANCRASS
    @MICHAELPANCRASS Před 10 měsíci

    SAUTI YA WATU NI SAUTI YA MUNGU

    • @user-ki4sg8yz9j
      @user-ki4sg8yz9j Před 10 měsíci

      Na wengi ndio tunata waekezaji waje ili tuneemeke tulokua wengi. Acheni unoko wenu mtatafuta njia ya kupitisha magendo na kokeni zenu na kukwepa kodi kwa kisingizio eti mizigo ya Kanisa. Madam Samia Oyeeeee mitano tenaaaa

  • @muzneali4747
    @muzneali4747 Před 10 měsíci

    Mama Samia Jenga kiwanja cha ndege hapo

    • @Azikiwe-qi6jd
      @Azikiwe-qi6jd Před 10 měsíci

      Your have a mind of lazzy people, wewe ni mzembe wa kufikiri, unata kusema kila kiongozi anapoingia madarakani lazima ajenge kiwanja cha ndege kwao, unajua hali ya kiwanja cha ndege chat kwa sasa?

    • @sarahmuhammed6872
      @sarahmuhammed6872 Před 10 měsíci +1

      ​@@Azikiwe-qi6jdmaxuri kawaida huigwa

  • @solomonwanjala9351
    @solomonwanjala9351 Před 3 měsíci

    Unaongea sana

  • @HamadHamad-oy7mp
    @HamadHamad-oy7mp Před 10 měsíci

    Nakupenda mzee kikwete nakupenda mama Samia

  • @sponsor7882
    @sponsor7882 Před 10 měsíci

    gabon niger

  • @user-ki4sg8yz9j
    @user-ki4sg8yz9j Před 10 měsíci

    Watanganyika mliwazarau wazanzibali mkaona hawawezi. Mumeona Mama anavyo tusuta? Mama unaweza Hekooooo❤

    • @FabianTebeka
      @FabianTebeka Před měsícem

      Acha ujinga anaupiga mwingi kwa kusafiri kila wakati na wanzanzibar unasema anatusuta kwa kusafiri kila wakati anasababisha maisha kuwa magumu mawaziri wakina mwigulu nchemba wanaiba fedha akuna wa kuwazuia kipindi cha magufuri thubutu kuiba fedha wangezitapika na huyu mama ata akiongoza milele awezi kumfikia magufuri kamwe

  • @deusurio9056
    @deusurio9056 Před 10 měsíci

    Watanzania kama hamtakaa na kuomba Mungu awafungue ktk uwezo wakufikiri ,Iko siku mtauzwa mkiwa mmelala, hii ccm wanalaana na Wala hawajali maisha yenu ,wao ni kuuza rasilimali zenu ,Kila rais inaeingia anauza kilichobaki, kilicho Baki ni bahari ardhi mlima kmanjaro vikiuzwa mtakwenda kuwa wakimbizi kwenye nchi yenu

  • @rahma6189
    @rahma6189 Před 10 měsíci

    Kumbe kwao ni masikini hivo ndio mana anachetuka

  • @MICHAELPANCRASS
    @MICHAELPANCRASS Před 10 měsíci

    Nchi hii tunahitaji maombi sana Mungu atuepushe na hiki kikombe

    • @jolemerci2155
      @jolemerci2155 Před 10 měsíci

      Kwa kweli umeona muonekano wa hiyo ndege? Yani Tanzania kwa sasa imeongozwa n'a farao

  • @ayubumoha6313
    @ayubumoha6313 Před 10 měsíci

    Hii nch imekuwa basi Tena magufuli ameondoka na vyake😭😭😭😭😭

  • @MICHAELPANCRASS
    @MICHAELPANCRASS Před 10 měsíci

    TUKUTANE 2025

  • @suleimanmwita-oh1up
    @suleimanmwita-oh1up Před 10 měsíci

    kisa nini huna akili ww

    • @salehesalehe2967
      @salehesalehe2967 Před 10 měsíci +1

      Hivi unajua wakatoliki walisaini mkataba serikali isijenge hospitali pale ambapo wao wamejenga na sasahivi wanaipinga serikali Sasa Bora serikali iachane nao

    • @user-ki4sg8yz9j
      @user-ki4sg8yz9j Před 10 měsíci

      Na wewe mwehu haswaaa

  • @romanamassawe814
    @romanamassawe814 Před 10 měsíci

    Vitu vya kitoto

    • @onelovetz7935
      @onelovetz7935 Před 10 měsíci

      Nakupata hanashida na wananchi wanakula Bata ogopa wanaokwea na ndege hawawezi kujenga nchi

  • @lugelosanga5798
    @lugelosanga5798 Před 10 měsíci +1

    Seema cna kituuu na hasiraaaa sanaaaa ila mda unakuja ardhi italoa damuuuu

  • @Clement-px8eg
    @Clement-px8eg Před 10 měsíci

    Mama yenu huyoo abaki hukohuko

    • @salehesalehe2967
      @salehesalehe2967 Před 10 měsíci

      Mjinga wewe ulitaka mama yako ndo awe rais

    • @Clement-px8eg
      @Clement-px8eg Před 10 měsíci

      Sina.mama

    • @user-ki4sg8yz9j
      @user-ki4sg8yz9j Před 10 měsíci

      Huyo mnae mitano tenaaa. Mnaona aibu Mzanzibari tena Mwanamke kaongoza kwa muda mfupi sana, kaleta maendeleo kibao huko Tanganyika. Kazi kusema Wazanzibari kazi yetu kula urojo tu. Hiyo ndio faida ya urojo. Mama Samia ni Chaguo la Mungu❤

    • @FabianTebeka
      @FabianTebeka Před měsícem

      Acha ujinga chaguo la MUNGU kwa kusafiri kila wakati ww unajua tokea awe rais ametumia kiasi gani kwa ajili ya safari, gharama aliyotumia kwa miaka 3 ni zaidi ya aliyotumia magufuri kwa miaka 6 na nchi inadaiwa matilioni ya shilingi alafu unaongea upumbavu akuna rais alifeli kama huyu na ataendelea kufeli mwamba ameondoka na akili zake ata raisi husen mwinyi alisema alipokuwa wanamuoji TBC na mnukuu alisema tuta chukua mdaa mrefu kupata kiongozi wa kariba ya magufuri. Kwa hiyo nyinyi semeni ila ukweli utabaki kuwa ukweli.

  • @onelovetz7935
    @onelovetz7935 Před 10 měsíci

    Usifanye maigizo Kama ya chadema yakukwea na ndege huku wananchi hoyi huko ndiko kujenga nchi hakuna kutembea na gali

    • @KassimAlly-xp4dz
      @KassimAlly-xp4dz Před 10 měsíci

      Unatakaje labda hebu acheni chuki nyie dah au tukupe ww urais halafu utembe kwa mguu