RAIS SAMIA AMTOLEA MFANO MKUU WA WILAYA ALIYEFANYA UBABE "BADO KUNA WAKUU WA MIKOA WANAENDELEZA"

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 14. 06. 2024

Komentáře • 76

  • @PhilipoMwita-wc1ku
    @PhilipoMwita-wc1ku Před měsícem +10

    Nyie ccm ndo mnaharibu nchi..watu wanakua wababe kwasababu anakua mbabe akijua hajachafguliwa na wananchi Wala mwananchi Hana pakumpeleka

  • @paschalpaul3862
    @paschalpaul3862 Před měsícem +5

    Kwa hiyo mama unataka mahakama ikiharibu mkuu wa mkoa asinyooshe mfano tumeona wizara ya ardhi ilivyoharibiwa na mahakama matokeo yake kukawa na zuluma za wanyonge, na uko Arusha tumeona kishindo cha makonda kilivyosaidia na hivyo mimi kama mpiga kura tunahitaji wakuu wa mikoa wa kutetea haki za wanyonge

  • @pidiusDominick-qi7nl
    @pidiusDominick-qi7nl Před měsícem +11

    Mbona huyu mwanamke haongeleagi ushoga amepewa Nini huyu mama mpaka anaogopa kupinga ushoga na usagaji

    • @atutweve4160
      @atutweve4160 Před měsícem +1

      USHOGA UTAMSAIDIA NINI? AMECHAGULIWA NA MASHOGA? 😂😂😂😂😂

    • @Kabwela776
      @Kabwela776 Před měsícem +1

      Mpuuzi kweli wewe mashoga si waliamua wao wenyewe mtu mzima anaamua kutoa mkubwa kwa starehe zake wew inauma Nini kuna mambo ya maana kuongelea kuliko ushoga Na usagaji , Na ushoga ulikuwepo tokea dunia inaumbwa kama umalaya Na Tanzania ushoga ungekuwepo toka enzi za Tanganyika sio Jambo jipya

    • @Kabwela776
      @Kabwela776 Před měsícem

      @@atutweve4160mpumbavu huyo kuna mambo ya maana ya kuongelea sio ushoga Na usagaji

    • @kazikazini1042
      @kazikazini1042 Před měsícem +1

      Kuongelea ni kuupa nguvu yaani promo

    • @fifo262
      @fifo262 Před měsícem

      Ushoga unamuhusu nini ? Kwani ww mtumzima hujui km kumpa mtu kiuno ni mazara yako binafsi km ilivo sigara sasa mama aseme nini apo kingine 😂

  • @BeniJohn-xd3cn
    @BeniJohn-xd3cn Před měsícem +5

    Inaonyesha jinsi serikali yako ilivyo na viongozi wenye kiburi kwenye seminar za uongozi awataki kwenda kwenye mafunzo ya uongozi bora wote ni vilaza

  • @salcle9702
    @salcle9702 Před měsícem +5

    Tatizo yule alikuwa amevurugwa na mke wake 😂😂😂mama unakazi kwelikweli

  • @Hussein-gx4qu
    @Hussein-gx4qu Před měsícem +4

    Hii nchi anatakiwa apewe makonda awanyooshe manyanga,u mama ana wambembeleza sana

  • @braystuskibassa3842
    @braystuskibassa3842 Před měsícem +3

    🤔🤔🤔🤔sawa sawa ila kwa wale majitu walioshiba na hawana nidhamu kwenye maeneo yao basi wanatakiwa kuwajibishwa kama viongozi wetu hasa wa mikoa na wilaya watachekelea uzembe, rushwa n.k basi tutavuna vitu viovu sana Tanzania na pia kama mahakama zetu hazitendi haki basi naamini wakuu wa mikoa na wilaya wanapaswa kukemea tena kwa ukali mno maana sidhani Tanzania itakuwa salama namna hiyo

  • @user-sj3wf5vz7l
    @user-sj3wf5vz7l Před měsícem +3

    Hii ishu yalujiuza imeenda mbali zaidi. Nyumba zakulala wageni zimegeuzwa madangulo.
    Nchi yetu sasa inapokea wageni kutoka nje. Wacha jiji lisafishwe

  • @kostajoseph5811
    @kostajoseph5811 Před měsícem +3

    RAIS WETU KIPENZI , MSTAARABU, UNAJUA KUELIMISHA, KUELEKEZA NA KUFUNDISHA TENA KIBINADAM MUNGU AKULINDE UENDELEE KUA MKUU WETU WA NCHI

    • @PhilipoMwita-wc1ku
      @PhilipoMwita-wc1ku Před měsícem

      Mstaarabu kwa kilipi kuwafukuza wamasai kwenye ardhi Yao..kuwabomolea watu bila fidia au kukopa mahela huko bila kupeleka BUNGENI

  • @katyalengajua6716
    @katyalengajua6716 Před měsícem

    Mam yangu mungu akutie nguvu katika kutusimamia wanao 🎉🎉❤❤ tunakupenda ole wake mtu aguse hii kometi nataka aguse yeye mwenyewe

  • @HamisiAbdallah-vu7fz
    @HamisiAbdallah-vu7fz Před měsícem +4

    mheshimiwa raisi unawachekea sana umekuwa Mpore sana ndio maana wanafanya wanayotaka

  • @travellahmsafirihiphop5325
    @travellahmsafirihiphop5325 Před měsícem +4

    Umeongea vizuri

  • @IbniAbbas-yz3kt
    @IbniAbbas-yz3kt Před měsícem +7

    Mama hii nchi huiwezi!aliye ipatia ameshaaga!

    • @theempire4058
      @theempire4058 Před měsícem

      Wapo wawili waliobakia yupo makonda na silaa

  • @ponsianomnyaru9140
    @ponsianomnyaru9140 Před 22 dny

    Ukitaka tusikusahau maisha mwetu jiuzuru

  • @user-ie2sr4fi4k
    @user-ie2sr4fi4k Před měsícem

    Asantee mama mungu akubalik 🙏🙏🙏

  • @sir_ENOCKMACHA
    @sir_ENOCKMACHA Před měsícem +3

    Ok

  • @saidnoumani7244
    @saidnoumani7244 Před měsícem +2

    Mh Rais Kuna mkuu wilaya ya Arusha naomba mchunguze! Simtaji jina hapa..

  • @ngambikomsu64
    @ngambikomsu64 Před měsícem

    Tatizo ni jinsi mnavyowachagua hao mnaowaita wakuu wa wilaya na mikoa. Wengine walikuwa ni vibaka sugu, wengine walikuwa ni wavuta bangi , ila kwakuwa mnachaguana kwa kujuana ndio matokeo hayo.
    Wengine wanajiaminisha kwakuwa wanajua hata wewe uliyewateuwa unawaogopa ndio maana umewateua pamoja na kuyajua maovu yao.Na wanajigamba hadharani kuwa ni watoto wako . Kazi iendelee.

  • @petroyohana1126
    @petroyohana1126 Před měsícem +3

    Sabaya

  • @nequiceace
    @nequiceace Před měsícem +2

    Nice

  • @DoroPot-iv5hy
    @DoroPot-iv5hy Před měsícem +5

    Mama angalia huyu wa ubungo na kamata kamata yake wanaojiuzaa ....wawape elimu sio kuwafunga

    • @magigesabai8674
      @magigesabai8674 Před měsícem +3

      acheni kutetea ujinga kwan amewapiga, wewe unaona ni sawa kujiuza ?fikiria mtoto wako anajiuza ? basi kama ni hivyo hata mwizi asikamatwe ? wa,madawa ya kulevya wasikamatwe
      unafikiri hao watu hawana elimu na uku wengi wao ni wasomi

    • @martinabayyo9982
      @martinabayyo9982 Před měsícem +1

      Yupo sahihi we unaona huo uchafu ni kitu kzr ktk jamii? Wapigwe ndani wasituharibie watoto wetu

  • @ponsianomnyaru9140
    @ponsianomnyaru9140 Před 22 dny

    Huyu mama hamna kitu hataki mtu anayekemea wiz

  • @BonnyMwajombe-iu7hb
    @BonnyMwajombe-iu7hb Před 19 dny

    Walinzi wa rais wameanza kunenepeana ,inaonyesha wanakula sana chips

  • @JaneSisili-uj9co
    @JaneSisili-uj9co Před měsícem

    Can safi

  • @user-xq6rg2pb1x
    @user-xq6rg2pb1x Před měsícem

    2025 miaka 5 tena kwako kuna mambo ya msingi ya kushughulikia sio ujingaujinga

  • @ridhwanally3119
    @ridhwanally3119 Před měsícem +10

    Wa kwanza mm kucoment nipen like zangu

  • @dominickchristopher1669
    @dominickchristopher1669 Před měsícem

    Ila mama tunaomba makonda umuache apige spuna

  • @dallasmusic6465
    @dallasmusic6465 Před měsícem

    Tatzo mama unawachekea sana tumia ule ubabe wa magu la sivyo raia wako watazidi kuichukia sana ardhi yao watu wanafanya mambo yao hawajali maslah ya nchi mama hukemei hlo 😢😢😢Doooh RIP magu daaaah 😢😢😢

  • @shabaniathumani1789
    @shabaniathumani1789 Před měsícem +1

    Mama mtetezi wa Waze mbe

  • @pidiusDominick-qi7nl
    @pidiusDominick-qi7nl Před měsícem +1

    Si unawateua wewe

  • @fifo262
    @fifo262 Před měsícem

    Piga kazi tunakuelewa mama

  • @albertinamichael6123
    @albertinamichael6123 Před měsícem +1

    Simuelewi.

  • @GbpAud_King
    @GbpAud_King Před měsícem +8

    Kuna mkuu wa wilaya Ubungo amekamata malaya achunguzwee😂

  • @sebastiansalamba313
    @sebastiansalamba313 Před měsícem +1

    Mhuu

  • @Hussein-gx4qu
    @Hussein-gx4qu Před měsícem +1

    Mama hii nchii huiwezi kabisa nilimpa kura magufuri lakini wewe sikupi umefeli kwa Kila kitu

  • @ismaelgadiye4488
    @ismaelgadiye4488 Před měsícem

    Kwisha kazi

  • @HashimuAbubakar-ej8gc
    @HashimuAbubakar-ej8gc Před měsícem

    Bila katiba mpya sawa nabule tumeshudia tume nyingi ziundwa mwisho wake atuoni mfa magufuli Alituachia mahakama ya mafisadi wananchi tukashangilia mpaka saivi atujui kama hiyo mahakama inafanya kazi tungepata katiba mpya ingekuwa mwarubaini kwa viongozi wanaotumia madaraka vibaya tofauti na hapo sawa na kutwanga maji kwenye kinu

  • @melanialeonard4031
    @melanialeonard4031 Před měsícem

    Unachukua jiwe unaliweka sehem linakukera nn?nchi hii haina viongozi ni mawe tu lihamishie sehem nyingine amua tu anawateuwa mwenyewe vyovyote mtavoamua tutaishi tu kwa neema ta MUNGU

  • @athumanimawela3021
    @athumanimawela3021 Před měsícem

    Pinga ushoga

  • @revocatusvedastus8893
    @revocatusvedastus8893 Před měsícem +2

    makonda je

    • @theempire4058
      @theempire4058 Před měsícem

      Makonda ni rais ajaye hii nchi haiitaji upole

  • @DanielleMendel-tt2ik
    @DanielleMendel-tt2ik Před měsícem +2

    Viewer wa 30

  • @JaneSisili-uj9co
    @JaneSisili-uj9co Před měsícem

    Said ccm

  • @RajabuLanda
    @RajabuLanda Před měsícem

    Hiro ripi munayutexa

  • @lucymtui8680
    @lucymtui8680 Před měsícem +1

    Mmmh wawapi huyooo??

  • @kainimlowe9646
    @kainimlowe9646 Před měsícem

    Mimama mingine bwana

  • @masanjamasunga6667
    @masanjamasunga6667 Před měsícem +4

    Umeongea point mkuu was inch

  • @jonfredkewe3451
    @jonfredkewe3451 Před měsícem +1

    Mama upo sahihi uongozi siyo kudharirisha watu hiyo siyo sawa nibora mtu awe mlevi wa pombe kuliko kuwa mlevi wa madaraka.wanaonyanyasa niwatu wako wanaonyanyaswa niwatu wako pia

  • @lugelosanga5798
    @lugelosanga5798 Před měsícem +1

    Unamwagikaaa etiiiiii tanzania da na ccm kufa kuzikana nchi hii weee mama ipelekeee unavotakaaaa na hakuna mtanzania atayekuafanya chochoteeee we tuuuze tuuuze mama ushogaas naona unapambana nao vyema piga kaz mama watz wamelala usingiz trump alisemaaa waafrica inatakiwa watawaliwee upyaaa we tawalaaa mama unavotakaaa

  • @magigesabai8674
    @magigesabai8674 Před měsícem

    Rais wetu anania nzuri ya utawala wa sheria lkn amezungukwa na watu wanaopenda siasa za majukwaa kwa kutafuta sifa ndo maana utatashangaa kiongoz anashitukiza eneo flan akiwa na media sasa hio ni gafla au planned
    viongoz watumie karama na sio kila kitu kumdharilisha kwenye media
    nampenda Rais anavyotoa maonyo na namna anavyochukua mamz huo ndo utawala wa sheria

  • @eliasmpagama7082
    @eliasmpagama7082 Před měsícem +1

    Tuta.mkumbuka.maguful

  • @laurentraphael5470
    @laurentraphael5470 Před měsícem

    Nonsense