Rais SAMIA ageuka Mbogo "Mlikua mnaiba, Tumechoka kunyanyasika kukopa, uhuni wa TRA wote unaujua"

Sdílet
Vložit

Komentáře • 7

  • @user-sc1gx5zi8i
    @user-sc1gx5zi8i Před 18 dny +1

    Asante sana mama kwa maneno mazuri kwa mkuu wa tra. Kiukweli nimeipenda hii hotuba. Mungu akubariki raisi wangu. Tuweke mashushu kila kona kazi zitaenda .

  • @MashakaMagesa
    @MashakaMagesa Před 16 dny

    Rais Samia siyo mbaya shida ni wasaidizi wake ndiyo pasua kichwa wanamuangusha hii nchi inatakiwa tupate watu kama Makonda na Majaliwa

  • @user-ot1ff7yq2l
    @user-ot1ff7yq2l Před 18 dny +1

    Tanzania hatunaa rais wala uongozi etu unasema mambo y kukosoa dah inakuwajeee Tanzania unakuwa ni ya kukopa tuu wakati tuna kila kituu

  • @NicolasiLuhende
    @NicolasiLuhende Před 18 dny

    Seje mbona kimya hadi sasa 😢😢😢😢😢

  • @AnnoyedDove-oo3kk
    @AnnoyedDove-oo3kk Před 18 dny

    Wafungeni mweee