Velikost videa: 1280 X 720853 X 480640 X 360
Zobrazit ovladače přehrávání
Automatické přehrávání
Přehrát
Asante sana mama kwa maneno mazuri kwa mkuu wa tra. Kiukweli nimeipenda hii hotuba. Mungu akubariki raisi wangu. Tuweke mashushu kila kona kazi zitaenda .
Rais Samia siyo mbaya shida ni wasaidizi wake ndiyo pasua kichwa wanamuangusha hii nchi inatakiwa tupate watu kama Makonda na Majaliwa
Tanzania hatunaa rais wala uongozi etu unasema mambo y kukosoa dah inakuwajeee Tanzania unakuwa ni ya kukopa tuu wakati tuna kila kituu
Viongozi tunao na Rais tunae
Seje mbona kimya hadi sasa 😢😢😢😢😢
Wafungeni mweee
Asante sana mama kwa maneno mazuri kwa mkuu wa tra. Kiukweli nimeipenda hii hotuba. Mungu akubariki raisi wangu. Tuweke mashushu kila kona kazi zitaenda .
Rais Samia siyo mbaya shida ni wasaidizi wake ndiyo pasua kichwa wanamuangusha hii nchi inatakiwa tupate watu kama Makonda na Majaliwa
Tanzania hatunaa rais wala uongozi etu unasema mambo y kukosoa dah inakuwajeee Tanzania unakuwa ni ya kukopa tuu wakati tuna kila kituu
Viongozi tunao na Rais tunae
Seje mbona kimya hadi sasa 😢😢😢😢😢
Wafungeni mweee