![Habari Digital](/img/default-banner.jpg)
- 1 159
- 16 645 379
Habari Digital
Tanzania
Registrace 18. 10. 2016
Habari Digital
a registered online TV with registration number TCRA/0CS-OT/02/2019 by Tanzania Communications Regulatory Authority.
we report all kinds of news in and outside the country every day.
Habari Digital ni runinga ya mtandaoni ambayo imejikita katika kutoa taarifa za kweli za michezo,burudani, siasa, elimu, sayansi na teknolojia na matukio mbalimbali kwa saa 24, siku 7 za wiki
Wewe kama mfuatiliaji (subscriber) wetu Karibu sana kwenye channel hii na endelea kufuatilia taarifa zetu kwa kuzingatia sheria na maadili ya nchi yetu,
Hepuka lugha za matusi na kashifa, heshimu mawazo ya kila mtu kwani kila mmoja ana haki ya kutoa maoni yake.
Habari Digital ina haki ya kufuta maoni ya mtu yoyote yanayokiuka sheria na miongozo ya nchi
Habari Digital ina haki ya kumzuia yeyote atakaekiuka sheria na miongozo ya nchi.
SUBSCRIBE CHANNEL HII ILI SIKU ZOTE UWE WA KWANZA
Contacts
Email: habaridigitalmedia@gmail.com
Contacts: +255 745 026 000
a registered online TV with registration number TCRA/0CS-OT/02/2019 by Tanzania Communications Regulatory Authority.
we report all kinds of news in and outside the country every day.
Habari Digital ni runinga ya mtandaoni ambayo imejikita katika kutoa taarifa za kweli za michezo,burudani, siasa, elimu, sayansi na teknolojia na matukio mbalimbali kwa saa 24, siku 7 za wiki
Wewe kama mfuatiliaji (subscriber) wetu Karibu sana kwenye channel hii na endelea kufuatilia taarifa zetu kwa kuzingatia sheria na maadili ya nchi yetu,
Hepuka lugha za matusi na kashifa, heshimu mawazo ya kila mtu kwani kila mmoja ana haki ya kutoa maoni yake.
Habari Digital ina haki ya kufuta maoni ya mtu yoyote yanayokiuka sheria na miongozo ya nchi
Habari Digital ina haki ya kumzuia yeyote atakaekiuka sheria na miongozo ya nchi.
SUBSCRIBE CHANNEL HII ILI SIKU ZOTE UWE WA KWANZA
Contacts
Email: habaridigitalmedia@gmail.com
Contacts: +255 745 026 000
Kwa uchungu MAKONDA afichua ukweli wote, MAKONTENA yake yaliyokamatwa kipindi cha MAGUFULI
Kwa uchungu MAKONDA afichua ukweli wote, MAKONTENA yake yaliyokamatwa kipindi cha MAGUFULI
zhlédnutí: 23 320
Video
Sakata la Mtoto ALIELAWITIWA Arusha lachukua sura mpya, RC MAKONDA aingilia kati, Mama asimulia...
zhlédnutí 7KPřed 2 hodinami
.................. Kwa taarifa zaidi subscribe channel yetu na endelea kutufuatilia kupitia mitandao ya kijamii Instagram, Twitter na Facebook
"Hii inaitwa ALIEJUU MUANGALIE HUKO HUKO JUU" Vijana waendesha Pikipiki wakiwasha Arusha
zhlédnutí 1,7KPřed 4 hodinami
"Hii inaitwa ALIEJUU MUANGALIE HUKO HUKO JUU" Vijana waendesha Pikipiki wakiwasha Arusha
Rais SAMIA ageuka Mbogo "Mlikua mnaiba, Tumechoka kunyanyasika kukopa, uhuni wa TRA wote unaujua"
zhlédnutí 4,5KPřed 9 hodinami
Rais SAMIA ageuka Mbogo "Mlikua mnaiba, Tumechoka kunyanyasika kukopa, uhuni wa TRA wote unaujua"
"Nisisikie mfanyabiashara analalamika" JAFO atumwa kazi maalumu KARIAKOO Rais SAMIA ampa somo
zhlédnutí 13KPřed 9 hodinami
"Nisisikie mfanyabiashara analalamika" JAFO atumwa kazi maalumu KARIAKOO Rais SAMIA ampa somo
"Usiniletee mambo ya WhatsApp hapa, nipe taarifa hiyo" Waziri AWESO amuwashia moto mtumishi Ruvu
zhlédnutí 4,4KPřed 14 hodinami
"Usiniletee mambo ya WhatsApp hapa, nipe taarifa hiyo" Waziri AWESO amuwashia moto mtumishi Ruvu
Waziri AWESO AMTUMBUA ELIZA bila huruma, wananchi walipuka kwa shangwe
zhlédnutí 39KPřed 16 hodinami
Waziri AWESO AMTUMBUA ELIZA bila huruma, wananchi walipuka kwa shangwe
BREAKING!! Msigwa wa CHADEMA ahamia CCM na kupokelewa na Rais SAMIA
zhlédnutí 8KPřed 21 hodinou
BREAKING!! Msigwa wa CHADEMA ahamia CCM na kupokelewa na Rais SAMIA
MPINA amjibu MUSUKUMA kuhusu kumchongea CCM, asema watakuwa na kibalua kizito
zhlédnutí 18KPřed 21 hodinou
MPINA amjibu MUSUKUMA kuhusu kumchongea CCM, asema watakuwa na kibalua kizito
KAMA UNA ROHO NDOGO usiangalie, Mtoto ananyofoka nyama na kukatika Mifupa, mama amlilia RC MAKONDA
zhlédnutí 3,7KPřed dnem
KAMA UNA ROHO NDOGO usiangalie, Mtoto ananyofoka nyama na kukatika Mifupa, mama amlilia RC MAKONDA
"Tunashusha korodani chini kwa kufanya upasuaji" PROF JANABI kwenye kambi ya RC MAKONDA
zhlédnutí 2,8KPřed dnem
"Tunashusha korodani chini kwa kufanya upasuaji" PROF JANABI kwenye kambi ya RC MAKONDA
"siogope kipimo cha TEZI DUME, sio hicho mnachokijua" RC MAKONDA
zhlédnutí 1,2KPřed dnem
"siogope kipimo cha TEZI DUME, sio hicho mnachokijua" RC MAKONDA
HUU JINUPENDO, Tazama MAKONDA alivyompakia mgonjwa kwenye HELKOPTA na kumuwahisha hopital
zhlédnutí 12KPřed 14 dny
HUU JINUPENDO, Tazama MAKONDA alivyompakia mgonjwa kwenye HELKOPTA na kumuwahisha hopital
SPIKA amfungisha vilago MPINA afungiwa VIKAO 15 vya Bunge, Wabunge washangilia
zhlédnutí 21KPřed 14 dny
SPIKA amfungisha vilago MPINA afungiwa VIKAO 15 vya Bunge, Wabunge washangilia
MUSUKUMA amraru MPINA kwenye hukumu yake, MPINA ashindwa kujizuia asimama kuongea
zhlédnutí 39KPřed 14 dny
MUSUKUMA amraru MPINA kwenye hukumu yake, MPINA ashindwa kujizuia asimama kuongea
Rais Samia ampigia simu MAKONDA ampongeza kuleta HELKOPTA kwaajili ya kubeba wagonjwa ARUSHA
zhlédnutí 19KPřed 14 dny
Rais Samia ampigia simu MAKONDA ampongeza kuleta HELKOPTA kwaajili ya kubeba wagonjwa ARUSHA
MAKONDA APELEKA MADAKTARI ZAIDI YA 450 KUTOA HUDUMA JIJINI ARUSHA
zhlédnutí 5KPřed 14 dny
MAKONDA APELEKA MADAKTARI ZAIDI YA 450 KUTOA HUDUMA JIJINI ARUSHA
"Kasimama MJINGA MMOJA kutetea bei ya sukari, ni jambo la ajabu" Mbunge Katani achachamaa Bungeni...
zhlédnutí 11KPřed 14 dny
"Kasimama MJINGA MMOJA kutetea bei ya sukari, ni jambo la ajabu" Mbunge Katani achachamaa Bungeni...
RC CHALAMILA akemea wanaowatete WADADA WANAOJIUZA, atoa mfano wa mtoto aliyelawitiwa
zhlédnutí 7KPřed 14 dny
RC CHALAMILA akemea wanaowatete WADADA WANAOJIUZA, atoa mfano wa mtoto aliyelawitiwa
BALAA!!! Mashindano ya Pikipiki ya RC MAKONDA, Arusha kumepamba moto
zhlédnutí 815Před 14 dny
BALAA!!! Mashindano ya Pikipiki ya RC MAKONDA, Arusha kumepamba moto
Lipia shilingi MILIONI 5, FARU apewe jina lako
zhlédnutí 1,4KPřed 21 dnem
Lipia shilingi MILIONI 5, FARU apewe jina lako
KITILA ashindwa kujizuia amnyooshea mikono MAKONDA, akubali moto wake ARUSHA
zhlédnutí 7KPřed 21 dnem
KITILA ashindwa kujizuia amnyooshea mikono MAKONDA, akubali moto wake ARUSHA
"NATUKANWA lakini SISIKII nimejigeuza CHURA" Rais SAMIA ajibu kuhusu kutukanwa na.....
zhlédnutí 11KPřed 28 dny
"NATUKANWA lakini SISIKII nimejigeuza CHURA" Rais SAMIA ajibu kuhusu kutukanwa na.....
NATHAN ATANGAZA NIA YA KUWEKEZA KATIKA UTALII ARUSHA
zhlédnutí 430Před měsícem
NATHAN ATANGAZA NIA YA KUWEKEZA KATIKA UTALII ARUSHA
MAKOMDA amtumbua mtendaaji "Haufai hata kua MFAGIA ofisi, kuanzia leo wewe sio MTENDAJI"
zhlédnutí 7KPřed měsícem
MAKOMDA amtumbua mtendaaji "Haufai hata kua MFAGIA ofisi, kuanzia leo wewe sio MTENDAJI"
"Rais SAMIA anivumilie nipige SPANA" Bila Woga MAKONDA ashusha maneno mazito mbele ya Katibu Mkuu
zhlédnutí 5KPřed měsícem
"Rais SAMIA anivumilie nipige SPANA" Bila Woga MAKONDA ashusha maneno mazito mbele ya Katibu Mkuu
Kila lain ya simu kukatwa Tsh 50, Kauli ya Mbunge ILINUKULIWA VIBAYA huu ndio uhalisia wake
zhlédnutí 518Před měsícem
Kila lain ya simu kukatwa Tsh 50, Kauli ya Mbunge ILINUKULIWA VIBAYA huu ndio uhalisia wake
"Lipeni MILIONI 132, ninyi ni WEZI" ndani ya Dakika 10 MAKONDA afanikisha malipo yaliyokwama
zhlédnutí 9KPřed měsícem
"Lipeni MILIONI 132, ninyi ni WEZI" ndani ya Dakika 10 MAKONDA afanikisha malipo yaliyokwama
"USINICHOKONOE sitaki Tugombane" Bila woga mbele ya MAKONDA, mbunge GAMBO acharuana na MKUU WA WILAY
zhlédnutí 5KPřed měsícem
"USINICHOKONOE sitaki Tugombane" Bila woga mbele ya MAKONDA, mbunge GAMBO acharuana na MKUU WA WILAY
MAKONDA awatumbua VIONGOZI WAWILI kwa mpigo "andikeni barua wenyewe semeni hamfai"
zhlédnutí 11KPřed měsícem
MAKONDA awatumbua VIONGOZI WAWILI kwa mpigo "andikeni barua wenyewe semeni hamfai"
Looooooh
Mama yetu we love you so much❤❤❤❤❤❤❤
Makonda mkoa wa Mara uko hovyo sanaaaaa hasa ktk huduma za Afya...watu wanakufa wakiwa wanasubiri huduma...madactari na wauguzi wamkoa huu wengi niwababe sanaaa..tunataman ungekuwa kwenye mkoa wetu utusaidie ktk hili Ndgu zetu wanapoteza maisha kwa uzembe kbs wa watoa huduma..yani inasikitisha sanaaa Tunaye mkuu wetu wa mkoa lkn nikama Simba aliyekufa ni afadhali ya mbwa aliye hai Watu niwazembe Sana mahospitalini..Juzi nilikuwa nyasho hospital nikasikia mama mmoja analia kwa uchungu akisema HIVI NININI KILICHOMUUWA MAGUFULII...INASIKITISHA SANA BAADHI YA WAUGUZI NA MADACTARI WA HOVYO HAWA KUENDELEA KUWEPO
Uko sahihi lakini sio la kukumbuka sababu aliokua waziri wa fedha ni boss wako😅
Mccm bhana hayana hata akili, Sasa Hilo jambo mbona lilikuwa dogo tu
Walikula hella, police
Tatizo tukiwapata watu kama hawa ambao mda wote wanamtukuza mungu huwa hawakaagi sana sjui kwanini
We mwongo ilikua mpigaji magum ataperiwi
Pole obama
Kweli baba pole iko wazi
Wewe piga kazi Mungu anakupigania.
Msukuma akili yako ndogo humuwezi mpina wewe kelele tu huna hoja msukuma
Piga Kaz mkuu mwenyezi mungu akulinde
Watu Wana Roho mbaya tu
Fukuza
Makonda uko sahihi
Tapeli
Mheshimiwa Makonda Mungu akubariki kwa kuwa na moyo wa kipekee wa kutusaidia wananchi!! Mimi NINAOMBA Mmoja hizi shule za watu binafs naombai zifatiliwe kwa ukaribu zinamanyanyaso mengi sanaa
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Hapo mkamatemi uyo mume anaishi nae atakupeni habari.kwa upande wangu sijui kama mtu anatoka mbali.mtoto hato kuwa na nguvu ya kumwaribu mschana😢😢
Utakubali vipi mwanao alawitie,nenda kwenye sheria ikishindikana msomee Albadil huyo mtu awe chizi au afe ngoma iwe droo.
Kuna watendaji wengi mno mizigo kwenye utumishi wa umma. Usipokuta wizi na rushwa,utakuta urasimu,uvivu,uzembe,mazoea,kiburi na kutojali. Watendaji wa namna hii wapo kila mahali nchi nzima.
Kuzaa sio kupata😢
Jidhalau mwenyewe kabla hujadharau mwingine Mwanri ni bonge la mchapakazi,SUKUMA NDANI
Maombi ya kusambaratisha vikao vya sirini😅😅😅
Good broo pambana na Jiji la East Africa ❤
Mungu akulinde makonda huo mkowa wa Arusha niwatu wenye roho mbaya mnoo hata hofu yamungu hawana kabisaaa pesa kwao ndio wameona zinafutiamaovu yao
Tarehe 21 mwezi wa 3 mwaka 2024 ilikuwa cku ya Alhamis siwezi hisahau iyo cku nilipoteza mtu muhimu sana kifo kilimchukuwa iyo cku saa 12 jioni
Pole sana ni nani uyo mpenz
Mifano ya makonda hiyo
SubhanaAllah
Huyu anayemsema aliyekimbia nchi yuko nje anajifanya mwanaharakati eti anatetea nchi kumbe anatafuta ugali........ Bila shaka anamlenga bwana mmoja mtanzamia aliyekimbilia Sweden ana channel yake CZcams na hutoa makala kadhaa kama hizo anazosema Makonda. Ugali maana yake analipwa na mabeberu kwa kazi hiyo kwa sababu bwana huyu hakuna hata siku moja akasema mema ya maendeleo ikiwemo miradi ya kimkakati inayofanyika nchini kwa manufaa ya watanzania !!!!! Makonda anajua kwa kusema hivyo kwani bwana huyu mtafuta ugali mara baada ya Makonda kuteuliwa kuwa mwenezi ccm na Polepole kuwa balozi alitoa makala mtazamo hasi dhidi yao katika channel yake na akatamka eti Makonda na Samia ni sawa na Idd Amini na Malyamungu wa Uganda!!! Cha kushangaza bwana huyu hivi karibuni katika channel yake alitumia muda mwingi kusimulia "birthday" ya mwanasiasa mmoja wa chama chake. Swali je watanzania hiyo sherehe ta kuzaliwa mwanasiasa huyo inawahusu nini?
Rais wa awamu ya saba mungu akutangulie akiachia mama uingie ww
unaagizaje vitu pasipo kuwasiliana na mamlaka ?
Nakuona mbali sana rais ajae
Mhe Makonda mkuu wa Mkoa Wa Arusha wafundishe hao kazihawajui wamekalia yulee huyuuu hawatoshi mungu awaone haooo piga kazi wewe nikiongozi wawanyonge wateteeee mpaka mwisho ❤🎉🎉🎉
Mh makonda mungu akulinde
Kiongozi wa kweli mungu akulinde
Transparency sio Transparent!
Ila umeelewa😂
wajinga kama nyie mnaangaliaga spelling mnaacha content
Sawa mwalimu, ulichokiona ndo hicho tu??😢😢,
Hongera Sana Mheshimiwa Waziri kwa uchapaji kazi wako
Utendaji kwa serikali hii umeshuka Sana, tunawaigizaji kwenye ofisi za umma.
Makonda wew gombea urais.mimi nakupa kura no 1baba
Viongoz wote walioteuliwa na JPM ni hatari sana father like a son.
Huyu Makonda namuona Akiwa Rais wa Tanzania
Ubarikiwe sana Mhe. Makonda. RC Arusha kwa kipawa chako hiki cha ubunifu na uthubutu.
Go up📤 God bless you bro
Na magu alikupiga vita?Muongo
Hajasema magu!! Amesema watu walimpelekea Rais magu taarifa ambayo sio sahihi
Daddy alimpenda mako da kwa kazi nzuri kushinda kiongozi yoyote Ila wale kwenye wivu ndio walimchanganya daddy
Keep on my brother @ Hon Paul Makonda
Amen mh hayo maombi kiboko watandikee sawasawa na sisi tunakuombea
Siasa za bongoo😂😂
Hata saizi mh. Wanasema kuwa huyu anajitafutia jina. Lakini mungu akulinde nasi tunakuombea