RC CHALAMILA akemea wanaowatete WADADA WANAOJIUZA, atoa mfano wa mtoto aliyelawitiwa

Sdílet
Vložit

Komentáře • 36

  • @Maryc2G
    @Maryc2G Před 29 dny

    Wanaweza kufanya kazi yoyote zaidi ya hiyo. Nakubaliana nawe mkuu wa mkoa Muheshimiwa CHALAMILA.👏🏽👏🏽

  • @suleim505
    @suleim505 Před měsícem +1

    ASANTE SANA MH RC : kazi mzurisanaa👍👍

  • @user-rc6lk2if1k
    @user-rc6lk2if1k Před měsícem

    Kazi zipo Tele Kwan kuna lazima gan ya kujiuza milli kazi zipo ht za kuosha vyomba nankufuwa majumban kupata risk za halali na kujiwekeea heshima zao

  • @HanifaOman-oo4pl
    @HanifaOman-oo4pl Před měsícem

    Maneno kuntu mkuu❤❤

  • @user-oz4gz8kq9e
    @user-oz4gz8kq9e Před měsícem

    Tena mikoa yote iande ilo zoezi la kukamata makahaba wote na wapelekwe mahakamani wasipewe zamana waende magereza mpaka mwisho wa kesi wahukumiwe vifungo Kwa njia hiyo makahaba wataisha.

  • @user-hj4sy9fy4g
    @user-hj4sy9fy4g Před měsícem

    Tafuta sababu nini! Tusiongee maneno mengi ilikupumbaza watu. Maneno mengi,vitendo sifuri!

  • @anoldamkumba3208
    @anoldamkumba3208 Před měsícem

    Wanaotetea madadapoa hawajitambui.Wavivu wa kufikiri.Inawezekana nao washiriki au wanufaika.Wabadilike.

  • @jamessimkonda-ox8cb
    @jamessimkonda-ox8cb Před měsícem

    Kamata wote mataila

  • @user-qz5xv5if2u
    @user-qz5xv5if2u Před měsícem

    Kwan mheshimiwa Kuma sizao nyege zinasumbua sana wanaume wenyewe hawana nguvu kwann mtu asijiuze akapunguza nyege

    • @kutailass6671
      @kutailass6671 Před měsícem

      Kama mnaona wanawasaidia kwann mnalawit na watoto wakiume? Mmelaaniwa kabisa ninyi😢

  • @MarioNdanzi-kp9hp
    @MarioNdanzi-kp9hp Před měsícem

    Mheshimiwa mkuu WA mkoa ,vipi kuhusu mashoga mbona hamsemi ,,,,🇷🇺

  • @Kulwakaunda-fr1xt
    @Kulwakaunda-fr1xt Před měsícem

    Dah

  • @user-ui4oh8gf8n
    @user-ui4oh8gf8n Před měsícem

    Awa machangu wazaaa watoto wa haramu kisha wanawaacha wazagae mitaaani.mwisho wa siku wanakuwa panya road

  • @AminaLibisa
    @AminaLibisa Před měsícem

    Sema baba nimetukanwa juzi tu lile sakata la ubungo Kuna watu wa ovyo sana kutetea ujinga

  • @RajabuMkonje
    @RajabuMkonje Před měsícem

    Haujui sheria wewe nyamaza itakukost

  • @user-wj6zj1ly4e
    @user-wj6zj1ly4e Před měsícem

    Ipo sku mtoto wako atajiuza mwili wake, km kweli hyo biashara ipo

  • @user-zu8ou2oe4c
    @user-zu8ou2oe4c Před měsícem

    Sikia we chalamila msijidai watendaji sana huku mnavunja sheria hv huyo mkuu wako wa wilaya ya ubongo amekosa kero hapo wilayani kwake ok hao wadada wamefanya kosa gani na mbona mnajivuta kuwapeleka mahakamani yan msijidai mnafanya kaz huku mnavunja sheria acheni ujinga

  • @ndiditheodore8272
    @ndiditheodore8272 Před měsícem

    Wewe ndg niambie kama huna dhambi yoyote je Mr chala hujafanya dhambi? Hao wamama wapeni semina ushauri mitaji waweze kutunza watoto wao kwa ajili ya kizazi kijacho cha watanzania.

  • @georgemahenge
    @georgemahenge Před měsícem

    Hii midada powa.ipo kira sehemu. nawashangaa wanao watuhumu.utafikiri wanauza madawa ya kurevya.hata hawa viongozi wetu wakienda nchi za watu wanawachukuwa hawahawa.tatizo ni.ushamba tu!

  • @user-sr4ig4sl8y
    @user-sr4ig4sl8y Před měsícem

    Serikal Ione namna ya utoaji wa ajira kwa vijana ili hayo mengine yapungue,Sio wanapenda Ila hawana Cha kufanya.

    • @ericamwkyokile4681
      @ericamwkyokile4681 Před měsícem

      Serkali ione kuroa ajira kwa namna gani?mwanamke unashindwa kupika mandazi,chapati,kuuza matunda na mboga mboga.hata kuuza chai tu.nayo hiyo inahitaji serkali! Jamani tujitahidi kujishughurisha. Kaanga karanga uza maisha yaendelee.

  • @edsonisrael8996
    @edsonisrael8996 Před měsícem

    Na ushoga hamuukemei au nanyie ni walewalee

  • @VashtyBurge
    @VashtyBurge Před měsícem

    Wateja wako wapi? Msipowakanata biashara itaendelea. Wavizieni nao wakamatwe

  • @user-wj6zj1ly4e
    @user-wj6zj1ly4e Před měsícem

    Ww hukuwepo ulijuaje?

  • @annamussa185
    @annamussa185 Před měsícem +1

    Hao Wanatetea ni wahaya na wazaramo😅

  • @user-bz3kk5te4m
    @user-bz3kk5te4m Před měsícem

    Mafisadi nao vipi

  • @hssanrubota3891
    @hssanrubota3891 Před měsícem

    Wewe mpendwa usisikilize hao wajinga kwa faida yao wenyewe kujua we ni miongoni mwao viongozi waliojipambanua kamata wote tia ndani utalipwa na Mungu

    • @hssanrubota3891
      @hssanrubota3891 Před měsícem

      Usiwasikilize. hao wajinga ww kamata wote weka ndani kwa faida yao wenyewe tujjua wewe ni baadhi ya viongo waliojipambanua fanya kwa faida ya watanzania Mungu atakulipa

  • @victorwilliam1111
    @victorwilliam1111 Před měsícem

    Sasa wateja wao mnakua watamalizia shida zao wapi?

    • @suleim505
      @suleim505 Před měsícem

      Vitabu vyote vya dini vinaeleza namna ya kuishi kwmifumo ya ndoa na siyo biashara za kuuza mwili.

  • @user-pd7bw6bd7c
    @user-pd7bw6bd7c Před měsícem +1

    Wekiingozi chalamila fanya kazi wazalilishe tu adi waache tabia hii usijali comment atausizisome watu wenyewe wameishia la nne wapewe ajila gani

  • @user-it7ih1it3m
    @user-it7ih1it3m Před měsícem

    Tunachoshangaa ni nguvu mmnayoitumia kuwadhalilisha hao masada poa hata hvo nguvu hyo mngeitumia kudhibiti wizi wa madini

  • @dismasmariananga4776
    @dismasmariananga4776 Před měsícem

    Dah