Tena mikoa yote iande ilo zoezi la kukamata makahaba wote na wapelekwe mahakamani wasipewe zamana waende magereza mpaka mwisho wa kesi wahukumiwe vifungo Kwa njia hiyo makahaba wataisha.
Sikia we chalamila msijidai watendaji sana huku mnavunja sheria hv huyo mkuu wako wa wilaya ya ubongo amekosa kero hapo wilayani kwake ok hao wadada wamefanya kosa gani na mbona mnajivuta kuwapeleka mahakamani yan msijidai mnafanya kaz huku mnavunja sheria acheni ujinga
Wewe ndg niambie kama huna dhambi yoyote je Mr chala hujafanya dhambi? Hao wamama wapeni semina ushauri mitaji waweze kutunza watoto wao kwa ajili ya kizazi kijacho cha watanzania.
Hii midada powa.ipo kira sehemu. nawashangaa wanao watuhumu.utafikiri wanauza madawa ya kurevya.hata hawa viongozi wetu wakienda nchi za watu wanawachukuwa hawahawa.tatizo ni.ushamba tu!
Usiwasikilize. hao wajinga ww kamata wote weka ndani kwa faida yao wenyewe tujjua wewe ni baadhi ya viongo waliojipambanua fanya kwa faida ya watanzania Mungu atakulipa
Wanaweza kufanya kazi yoyote zaidi ya hiyo. Nakubaliana nawe mkuu wa mkoa Muheshimiwa CHALAMILA.👏🏽👏🏽
ASANTE SANA MH RC : kazi mzurisanaa👍👍
Kazi zipo Tele Kwan kuna lazima gan ya kujiuza milli kazi zipo ht za kuosha vyomba nankufuwa majumban kupata risk za halali na kujiwekeea heshima zao
Maneno kuntu mkuu❤❤
Tena mikoa yote iande ilo zoezi la kukamata makahaba wote na wapelekwe mahakamani wasipewe zamana waende magereza mpaka mwisho wa kesi wahukumiwe vifungo Kwa njia hiyo makahaba wataisha.
Tafuta sababu nini! Tusiongee maneno mengi ilikupumbaza watu. Maneno mengi,vitendo sifuri!
Wanaotetea madadapoa hawajitambui.Wavivu wa kufikiri.Inawezekana nao washiriki au wanufaika.Wabadilike.
Kamata wote mataila
Kwan mheshimiwa Kuma sizao nyege zinasumbua sana wanaume wenyewe hawana nguvu kwann mtu asijiuze akapunguza nyege
Kama mnaona wanawasaidia kwann mnalawit na watoto wakiume? Mmelaaniwa kabisa ninyi😢
Mheshimiwa mkuu WA mkoa ,vipi kuhusu mashoga mbona hamsemi ,,,,🇷🇺
Dah
Awa machangu wazaaa watoto wa haramu kisha wanawaacha wazagae mitaaani.mwisho wa siku wanakuwa panya road
Sema baba nimetukanwa juzi tu lile sakata la ubungo Kuna watu wa ovyo sana kutetea ujinga
Haujui sheria wewe nyamaza itakukost
Ipo sku mtoto wako atajiuza mwili wake, km kweli hyo biashara ipo
Sikia we chalamila msijidai watendaji sana huku mnavunja sheria hv huyo mkuu wako wa wilaya ya ubongo amekosa kero hapo wilayani kwake ok hao wadada wamefanya kosa gani na mbona mnajivuta kuwapeleka mahakamani yan msijidai mnafanya kaz huku mnavunja sheria acheni ujinga
Wewe ndg niambie kama huna dhambi yoyote je Mr chala hujafanya dhambi? Hao wamama wapeni semina ushauri mitaji waweze kutunza watoto wao kwa ajili ya kizazi kijacho cha watanzania.
Hii midada powa.ipo kira sehemu. nawashangaa wanao watuhumu.utafikiri wanauza madawa ya kurevya.hata hawa viongozi wetu wakienda nchi za watu wanawachukuwa hawahawa.tatizo ni.ushamba tu!
Jiandae kisaikolojia mwanao nae anaenda kuwa dada poa
Serikal Ione namna ya utoaji wa ajira kwa vijana ili hayo mengine yapungue,Sio wanapenda Ila hawana Cha kufanya.
Serkali ione kuroa ajira kwa namna gani?mwanamke unashindwa kupika mandazi,chapati,kuuza matunda na mboga mboga.hata kuuza chai tu.nayo hiyo inahitaji serkali! Jamani tujitahidi kujishughurisha. Kaanga karanga uza maisha yaendelee.
Na ushoga hamuukemei au nanyie ni walewalee
Wateja wako wapi? Msipowakanata biashara itaendelea. Wavizieni nao wakamatwe
Ww hukuwepo ulijuaje?
Hao Wanatetea ni wahaya na wazaramo😅
Utukome wazaramo😂 hatuna asili hiyo
Mafisadi nao vipi
Wewe mpendwa usisikilize hao wajinga kwa faida yao wenyewe kujua we ni miongoni mwao viongozi waliojipambanua kamata wote tia ndani utalipwa na Mungu
Usiwasikilize. hao wajinga ww kamata wote weka ndani kwa faida yao wenyewe tujjua wewe ni baadhi ya viongo waliojipambanua fanya kwa faida ya watanzania Mungu atakulipa
Sasa wateja wao mnakua watamalizia shida zao wapi?
Vitabu vyote vya dini vinaeleza namna ya kuishi kwmifumo ya ndoa na siyo biashara za kuuza mwili.
Wekiingozi chalamila fanya kazi wazalilishe tu adi waache tabia hii usijali comment atausizisome watu wenyewe wameishia la nne wapewe ajila gani
Tunachoshangaa ni nguvu mmnayoitumia kuwadhalilisha hao masada poa hata hvo nguvu hyo mngeitumia kudhibiti wizi wa madini
Dah