Velikost videa: 1280 X 720853 X 480640 X 360
Zobrazit ovladače přehrávání
Automatické přehrávání
Přehrát
Mungu akupe nafuu amponye mtoto wetu. Tupo nawe. Mungu ambaliki mkuu wa mkoa poul c. Makonda.
Mama Ni wakati wa Bwana kwa ajiii yako...
Dada yangu pole Sana mungu awafanyie sakhali na Hali mnayo pitia.
Subhanna Allah pole sana dada Allah akupe moyo wa subra Mshukuru mungu dada usikufuru bora ufe hapana dada mitihan tu hii
Pole sana dada. M/Mungu atamjaalie apowe mtoto. Mume hongera sana
Kwani mbeya hakuna mkuu wa mkoa ?? Kwa kweli viongozi woote wanacho cha kujifunza jamani kuna viongozi halafu kuna watawala makonda ni kiongozi😢😢😢
Pole Sana mama mtoto Mungu ampe shifaa mtoto wako Mungu awe faraja kwako. 😢Pole Sana
Najisikia vibaya sana mungu amponye huyu mtoto na baba yake apone
Pole sana dada yangu Allah atakupa shifa
Mungu akusaidie baba ubarikiwe unapotoa
Kwa nini madaktari na wauguzi hawakumsaidia? Je, ni lazima kulipa kiasi ili kuokoa maisha ya mtu nilifikiri kwamba watoto wanitibiwa bure?, au ne uzembi😢
Mie jaman kwamakonda sina usemi namuombeatu
Mtu na nusu.
Mungu akujalie afya zaidi
Pole sanaa
Pole sana dada.....
Kweli dunia anaficha mengi hiii apana nizaidi ya maumivu.
pole yake san
Nikwel inauma lkn sio vizr kuongea huku unalia! Pole sana dada
Amekata tamaa
Mimi nimetokwa machozi sebuse yeye
Vaa uhusika,ndo utajua kama kulia anajitakia au ni uchungu usiozuilika
Pole sana mama😢😢
😭😭😭
Mwanaume apewe mauwa yk
Yarabi 😭😭😭😭
Ugknjwa wamifupa rain uwo
Makonda Allah akujalie upate nuru ya Uislamu
Heee
😂😂😂😂
😳
Mungu akupe nafuu amponye mtoto wetu. Tupo nawe. Mungu ambaliki mkuu wa mkoa poul c. Makonda.
Mama Ni wakati wa Bwana kwa ajiii yako...
Dada yangu pole Sana mungu awafanyie sakhali na Hali mnayo pitia.
Subhanna Allah pole sana dada Allah akupe moyo wa subra Mshukuru mungu dada usikufuru bora ufe hapana dada mitihan tu hii
Pole sana dada. M/Mungu atamjaalie apowe mtoto. Mume hongera sana
Kwani mbeya hakuna mkuu wa mkoa ?? Kwa kweli viongozi woote wanacho cha kujifunza jamani kuna viongozi halafu kuna watawala makonda ni kiongozi😢😢😢
Pole Sana mama mtoto Mungu ampe shifaa mtoto wako Mungu awe faraja kwako. 😢Pole Sana
Najisikia vibaya sana mungu amponye huyu mtoto na baba yake apone
Pole sana dada yangu Allah atakupa shifa
Mungu akusaidie baba ubarikiwe unapotoa
Kwa nini madaktari na wauguzi hawakumsaidia? Je, ni lazima kulipa kiasi ili kuokoa maisha ya mtu nilifikiri kwamba watoto wanitibiwa bure?, au ne uzembi😢
Mie jaman kwamakonda sina usemi namuombeatu
Mtu na nusu.
Mungu akujalie afya zaidi
Pole sanaa
Pole sana dada.....
Kweli dunia anaficha mengi hiii apana nizaidi ya maumivu.
pole yake san
Nikwel inauma lkn sio vizr kuongea huku unalia! Pole sana dada
Amekata tamaa
Mimi nimetokwa machozi sebuse yeye
Vaa uhusika,ndo utajua kama kulia anajitakia au ni uchungu usiozuilika
Pole sana mama😢😢
😭😭😭
Mwanaume apewe mauwa yk
Yarabi 😭😭😭😭
Ugknjwa wamifupa rain uwo
Makonda Allah akujalie upate nuru ya Uislamu
Heee
😂😂😂😂
😳