watumishi wa serikali wengine hadi aibuuu kuliko maelezoo, inaonekana hata elimu yakee haikumsaidiaa chochote zaidi ya kuhesabikaa kama mfanyakazi akili yake ni zeroo
Msiwe mnatuonesha mambo yenu ya ajabu ajabu!! Hivi jamani kweli kwa mazingira haya, watu wanalipwa mishahara ya kodi za wananchi halafu watendaji ndio hivi!?!! Huyu kaajiriwaje jamani? Daaaah!!
ina disappoint sana mtumishi analipwa mshahara halafu utendaji wake ni kama huo. wapo watu committed wanaota jua vijiweni halafu wajinga wanapewa kazi. Ndio maana hatupigi hatua
Tatizo liko kwenye mfumoo kaka uyoo hana shida
watumishi wa serikali wengine hadi aibuuu kuliko maelezoo, inaonekana hata elimu yakee haikumsaidiaa chochote zaidi ya kuhesabikaa kama mfanyakazi akili yake ni zeroo
Fukuza hao kama wanakudanganyana na waziri
Msiwe mnatuonesha mambo yenu ya ajabu ajabu!! Hivi jamani kweli kwa mazingira haya, watu wanalipwa mishahara ya kodi za wananchi halafu watendaji ndio hivi!?!! Huyu kaajiriwaje jamani? Daaaah!!
Hao fukuza wanalipwa mishahara ya bure wanakuangusha hao, hata haelekei kua afisa.
Waachieni vijana wafanye kazi kama.kazi huelewi acha wanaoelewa.wafanye hizo kazi
Sina mashaka na wewe ila watendaji wako wanakuangushaa waziri Aweso usipo chukua hatua haraka kwa watu wako haoo, rungu litaaanza na wewe
Wapo wasomi wamesoma wanatafuta kaz hao walishachoka wanafanya kaz mazoea
Hizi nafasi jamani kuna vijana kibao huku wanazitaka hizi nafasi aisee,daah hii ni aibu sana
du
ina disappoint sana mtumishi analipwa mshahara halafu utendaji wake ni kama huo. wapo watu committed wanaota jua vijiweni halafu wajinga wanapewa kazi. Ndio maana hatupigi hatua
Waziri umechelewa sanaaa