"Usiniletee mambo ya WhatsApp hapa, nipe taarifa hiyo" Waziri AWESO amuwashia moto mtumishi Ruvu

Sdílet
Vložit

Komentáře • 12

  • @saidmabanga388
    @saidmabanga388 Před 21 dnem +1

    Tatizo liko kwenye mfumoo kaka uyoo hana shida

  • @SalumonEustace-cl4mk
    @SalumonEustace-cl4mk Před 21 dnem +1

    watumishi wa serikali wengine hadi aibuuu kuliko maelezoo, inaonekana hata elimu yakee haikumsaidiaa chochote zaidi ya kuhesabikaa kama mfanyakazi akili yake ni zeroo

  • @clemencemkondya8561
    @clemencemkondya8561 Před 21 dnem +1

    Fukuza hao kama wanakudanganyana na waziri

  • @emilianchibinda82
    @emilianchibinda82 Před 20 dny

    Msiwe mnatuonesha mambo yenu ya ajabu ajabu!! Hivi jamani kweli kwa mazingira haya, watu wanalipwa mishahara ya kodi za wananchi halafu watendaji ndio hivi!?!! Huyu kaajiriwaje jamani? Daaaah!!

  • @hawaelymaricca7602
    @hawaelymaricca7602 Před 20 dny

    Hao fukuza wanalipwa mishahara ya bure wanakuangusha hao, hata haelekei kua afisa.

  • @mwazanimnyamani8493
    @mwazanimnyamani8493 Před 20 dny

    Waachieni vijana wafanye kazi kama.kazi huelewi acha wanaoelewa.wafanye hizo kazi

  • @SalumonEustace-cl4mk
    @SalumonEustace-cl4mk Před 21 dnem

    Sina mashaka na wewe ila watendaji wako wanakuangushaa waziri Aweso usipo chukua hatua haraka kwa watu wako haoo, rungu litaaanza na wewe

  • @hawaelymaricca7602
    @hawaelymaricca7602 Před 20 dny

    Wapo wasomi wamesoma wanatafuta kaz hao walishachoka wanafanya kaz mazoea

  • @ChrisMwambeje
    @ChrisMwambeje Před 21 dnem

    Hizi nafasi jamani kuna vijana kibao huku wanazitaka hizi nafasi aisee,daah hii ni aibu sana

  • @jamesmaths2296
    @jamesmaths2296 Před 21 dnem

    ina disappoint sana mtumishi analipwa mshahara halafu utendaji wake ni kama huo. wapo watu committed wanaota jua vijiweni halafu wajinga wanapewa kazi. Ndio maana hatupigi hatua

  • @zobakazizi7637
    @zobakazizi7637 Před 21 dnem

    Waziri umechelewa sanaaa