MAKONDA AONGEA KAULI NZITO MBELE ya WAZIRI KITILA "Mimi ni Tofauti na Wengine Sipendi Ubabaishaji"

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 4. 07. 2024

Komentáře • 45

  • @abdialijamaa1643
    @abdialijamaa1643 Před 2 dny +14

    a leader is the one who knows the way,goes the way and shows the way .this is the kind of people we need in leadership paul makonda . keep shining like a star

  • @LeahGyei
    @LeahGyei Před 2 dny +13

    Wewe ni kiongozi kutoka kwa Mungu. Barikiwa sana mwanangu

  • @user-xk7vy4gb6g
    @user-xk7vy4gb6g Před 2 dny +7

    Safi sana Mh Makonda, hongera sana unakitendea haki cheo chako 🎉🎉🎉 Mungu akulinde akupiganie uchape kazi hakika ww ni kiongozi wa kuigwa 🎉🎉

  • @kamogesamuel2461
    @kamogesamuel2461 Před 2 dny +7

    Barikiwa sana kwa utumishi uliotukuka na maono makubwa

  • @yahayampangilwa
    @yahayampangilwa Před 2 dny +9

    Viongozi wazalendo kama Makonda wanatakiwa kulindwa sana.

  • @kwisa4899
    @kwisa4899 Před 2 dny +9

    Makonda kwa hili nimekupongeza umeongea kwa hekima na uwezo wa juu sana leo unazidi kuimalika kwene uongozi, i wish siku koja yapi awe makamu wako mpo vizuri.

    • @section8ight174
      @section8ight174 Před 2 dny

      *KuimaRika but yeah great point you’ve put across!!

  • @yusuphchimwala4126
    @yusuphchimwala4126 Před 2 dny +4

    Uko vizur sanaaa mkuu Allah akuongoze katika utendaji wako mkuu🎉

  • @JudicaJoseph
    @JudicaJoseph Před 2 dny +5

    Haya kama wakisema Ni siasa Ni sawa tungekuwa tunafanyiwa siasa nzuri kama hizi za vitendo Na viongozi wote nchi ingekuwa mbali Sana Na wananchi tungepona

  • @menelus911mene5
    @menelus911mene5 Před 2 dny +1

    Mhe Mkuu wa Mkoa Arusha mhe
    Makonda wewe ni kiongozi mbunifu sana wewe ni mlezi wa kila lika duh !!! Sijawahi kuona masha allah mungu akufanyie wepesi wakazi zako za kila siku piga kazi mhe makonda

  • @IlalioMbunju-hv7kw
    @IlalioMbunju-hv7kw Před 2 dny +5

    Chapa kazi Mungu anakuona unachofanya

  • @nichoojr.6747
    @nichoojr.6747 Před 2 dny +4

    Sema Kaka We NI Raisi Miaka ijayo 🙏

  • @shabannayopa5406
    @shabannayopa5406 Před 2 dny +3

    Viva makonda cna neno chapa kaz, 💯 nakubal

  • @abasibogga4798
    @abasibogga4798 Před 2 dny +3

    U are the leader ofcause big up makonda

  • @abdallahomary515
    @abdallahomary515 Před 2 dny +5

    Huyu jamaa ana vision kiukweli

  • @MossesMeleji
    @MossesMeleji Před 2 dny +1

    Makonda ubarikiwe sana! Songa mbele

  • @JudicaJoseph
    @JudicaJoseph Před 2 dny +4

    Safi kaka makonda kiongozi wa mfano

  • @kaundasutikaunda7769
    @kaundasutikaunda7769 Před dnem +1

    Ubarikiwe sana Mh Makonda.

  • @Hillary_Daudi_Mrema
    @Hillary_Daudi_Mrema Před 2 dny +3

    Big up sana Vijana tunakuelewa sana Makonda

  • @user-md7ug5dd9r
    @user-md7ug5dd9r Před 2 dny +3

    Mungu akubarki sana

  • @jerichoseth4188
    @jerichoseth4188 Před 2 dny +1

    Bro you are my lol model in leadership

  • @user-nd1le6zp3e
    @user-nd1le6zp3e Před 2 dny +5

    Sema mwamba tunakuamini

  • @PeterNMzee
    @PeterNMzee Před 2 dny +1

    Makonda Akili kubwa sana.....heko kwake

  • @daudkindy8062
    @daudkindy8062 Před 2 dny +1

    Ishaallah Makonda utafika mbali ishaallah

  • @khamismtoma4902
    @khamismtoma4902 Před 2 dny +3

    PhD ya makonda

  • @barakakevela245
    @barakakevela245 Před dnem +1

    NINAKUELEWA SANA MHE MAKONDA UKO VIZURI KAKA

  • @Antelius-ew6it
    @Antelius-ew6it Před 2 dny +1

    Karibu ikilu ❤

  • @user-dn9lb9ct1w
    @user-dn9lb9ct1w Před 2 dny +3

    Mh poul makonda hakika upo vzuri Arusha is the big city now co of u

  • @zakarialuhemeja444
    @zakarialuhemeja444 Před 2 dny +1

    Intelligent

  • @elizabethbigilwa6822
    @elizabethbigilwa6822 Před 2 dny +2

    Chapa kazi. Kama ulivyoacha DSM

  • @peterpaschal4522
    @peterpaschal4522 Před 2 dny +2

    Mheshimiwa makonda hapo kwenye kusema au nilikosea kufanya hi biashara kuna siku nilijisemea walai maana kumsimamia mtu ambaye hajitambui ilikuwa hatari

  • @masakamgalla9273
    @masakamgalla9273 Před 2 dny +3

    A man and ahalf

  • @DON-ERICKDANIELKINDOLE-pj8to

    Je mbuga ya ngorongoro haijauzwa kwa nini wamasai wanahamishwa je Watanzania wameelezwa.

  • @loyakanuda2521
    @loyakanuda2521 Před 2 dny +1

    ❤❤❤❤❤

  • @samwelmkufya3694
    @samwelmkufya3694 Před dnem

    Wewe ni Rais unaesubiri kuapishwa tu brother piga kazi

  • @user-pi5df7qu3y
    @user-pi5df7qu3y Před dnem

    Rais wangu miaka inayokuja

  • @lucascosmas908
    @lucascosmas908 Před dnem

    Sawa

  • @user-pw9ir4fg7x
    @user-pw9ir4fg7x Před dnem

    Ikulu unakaribixhwa

  • @masakamgalla9273
    @masakamgalla9273 Před 2 dny +3

    Takwimu za milembe kubwa kidogo hapo chuga😂😂

  • @vincentmhoro1952
    @vincentmhoro1952 Před 2 dny

    Vivo hivyo, msiwa-treat mapinzani wa kisiasa kama maadui

  • @evelynmwaimu-vd9jo
    @evelynmwaimu-vd9jo Před 2 dny

    wamechaguliwa na nani

  • @kaaakwakutuliaa5179
    @kaaakwakutuliaa5179 Před 2 dny

    sheria ndio mbovu wewe unampaje mtubwa tra mamlaka ya kukadiliaaa hela ya serikali na anamaamuzi yote ya kufanya anachotaka na hakaguliwi

    • @section8ight174
      @section8ight174 Před 2 dny

      *KukadiRia, tobwe wewe! Acheni kuaribu lugha nyie wa kuletwa!!

  • @JohnJoseph-qq7ow
    @JohnJoseph-qq7ow Před 2 dny

    Makonda unatakiwa uwe raisi sio huyu mtalii