"Tunashusha korodani chini kwa kufanya upasuaji" PROF JANABI kwenye kambi ya RC MAKONDA

Sdílet
Vložit

Komentáře • 9

  • @hawaelymaricca7602
    @hawaelymaricca7602 Před 27 dny +2

    Makonda Mungu akupiganie akulinde,akutie nguvu na kukupa Afya, Bila kumsahau Mama yangu Mh Rais wangu mama SAMIA SULUHU ,Uliepata maono ya kumrudisha makonda na kumpeleka Arusha Bg up mama ninakuombea Mungu aendelee kukulinda.

  • @user-ry8xf1no2s
    @user-ry8xf1no2s Před 27 dny

    Asante laisi wangu mpendwa Samia suluhuhasani Alha akulinde na maasidi kwa kutoa Pesa kwa matibabu ya muimbili
    Pia mueshimiwa makonda Alha akuongoze kwenye uongoziwako
    Uwe mfano

  • @MaryShayo-tg4vq
    @MaryShayo-tg4vq Před 26 dny

    Mungu azidi ukuwafuguwa mioyo viongezi weti wote wawe na moyo wa huruma kama makonda 🎉

  • @nurubarakekenwa7557
    @nurubarakekenwa7557 Před 27 dny +3

    Dah makonda Kwa hili umefanya kazi kubwa sana.

  • @goodluckabdul7316
    @goodluckabdul7316 Před 26 dny

    Mungu akubariki sana Mh Makonda

  • @bethkonga7944
    @bethkonga7944 Před 27 dny +1

    Makonda anapigwa sana mawe ila huyu jamaa ni hazina

  • @ThomasKipamba
    @ThomasKipamba Před 26 dny

    👍👍👍👍👍🙏🙏🇹🇿🇹🇿

  • @user-dd8ud2gk4l
    @user-dd8ud2gk4l Před 25 dny

    Kiongoz lazma uwe unawatumikia wananchi ndokaz lakn sio porojo makonda unafaa kuiongoza tz

  • @ScopionScopion-zj9cd
    @ScopionScopion-zj9cd Před 26 dny

    dah makonda huyu JANABI usiwe Nae kalibu sana wenye dii washaelewa