Haloo uyu apa kiongozi makini m'bunifu mwenye roho moja ya kizalendo na watanzania hakika mm nina kuombea siku moja ukamate nchi hii yaani sijui itakuaje ivi awa jamaa kwann awakuigi mkuu aisee ww ni hatari ongera mungu akubariki sisi tunasema tupo pamoja na ww salute mh. Paul makonda
Naamini ukipata nafasi ya u Rais...tulikokuwa tunaelekea na JPM tutafika kwa Kasi kubwa.... Mungu nipe hekma ya kutenda na kuongoza vema watu uliowaweka katika usimamizi na utegemezi wangu.,..ili ukiniweka juu ya wengi utukufu upewe wewe uumbae mioyo ya heri kwa waja wako...
Nakumbuka Kuna sku pindi magu ametutoka, Nape alizungumza bungen yakuwa legas yakiongoz Huwa haipotei ikiwa nzri hvyo legas yamagu haitopotea kwakuwa makonda ni miongon mwaviongoz wachache sana tz wanaoienzi legas hiyo. Anafanya kwavitendo ingawaje najua pia kwake kuna vita kubwa sana unaendelea kuififisha legasi hyo, barikiwa sana mkuu
Amina mkuu wetu Makonda asante sana kwa hilo ni faraja kubwa sana Mungu akupe maisha marefu yenye afya tele pamoja na familia yako Mungu ibariki Tanzania na wananchi wake
Haloo uyu apa kiongozi makini m'bunifu mwenye roho moja ya kizalendo na watanzania hakika mm nina kuombea siku moja ukamate nchi hii yaani sijui itakuaje ivi awa jamaa kwann awakuigi mkuu aisee ww ni hatari ongera mungu akubariki sisi tunasema tupo pamoja na ww salute mh. Paul makonda
Jaman tunaomba mipango namikakati kama hii ifanyike hata jijini kwetu Dodoma,
Mungu akubariki sana mh Paul makonda
Naamini ukipata nafasi ya u Rais...tulikokuwa tunaelekea na JPM tutafika kwa Kasi kubwa.... Mungu nipe hekma ya kutenda na kuongoza vema watu uliowaweka katika usimamizi na utegemezi wangu.,..ili ukiniweka juu ya wengi utukufu upewe wewe uumbae mioyo ya heri kwa waja wako...
Magufuli mwingine huyu ,Mungu azidi kukulinda kwa utendaji kazi wak mzuri 😘🙏🙏 zoezi hilo litakua maeneo gani
Amina mungu akulinde na akuongoze katika KAZI zako unazozifanya akuepushe na watu wabaya
Nakumbuka Kuna sku pindi magu ametutoka,
Nape alizungumza bungen yakuwa legas yakiongoz Huwa haipotei ikiwa nzri hvyo legas yamagu haitopotea kwakuwa makonda ni miongon mwaviongoz wachache sana tz wanaoienzi legas hiyo. Anafanya kwavitendo ingawaje najua pia kwake kuna vita kubwa sana unaendelea kuififisha legasi hyo, barikiwa sana mkuu
❤❤
Amina makonda mungu akubariki
Hongera makonda kwa kazi nzuri iyo
Safi sana kaka. Du! Mungu hakubariki sana na hakuepushe na mabaya.
Amina mkuu wetu Makonda asante sana kwa hilo ni faraja kubwa sana Mungu akupe maisha marefu yenye afya tele pamoja na familia yako Mungu ibariki Tanzania na wananchi wake
Amin amin amin
Hongera jembe
Kiongozi wa mfano!!
Makonda ana heka heka jamani.
Hv kna sababu gan ya makonda kutopewa kit Cha urais mm nashindwa kuelewa rais anatakiwa awe na sifa zipi