MAKONDA APELEKA MADAKTARI ZAIDI YA 450 KUTOA HUDUMA JIJINI ARUSHA

Sdílet
Vložit

Komentáře • 16

  • @lucascosmas908
    @lucascosmas908 Před měsícem +1

    Haloo uyu apa kiongozi makini m'bunifu mwenye roho moja ya kizalendo na watanzania hakika mm nina kuombea siku moja ukamate nchi hii yaani sijui itakuaje ivi awa jamaa kwann awakuigi mkuu aisee ww ni hatari ongera mungu akubariki sisi tunasema tupo pamoja na ww salute mh. Paul makonda

  • @user-dd8ud2gk4l
    @user-dd8ud2gk4l Před měsícem

    Jaman tunaomba mipango namikakati kama hii ifanyike hata jijini kwetu Dodoma,
    Mungu akubariki sana mh Paul makonda

  • @johnmalembo6464
    @johnmalembo6464 Před měsícem +5

    Naamini ukipata nafasi ya u Rais...tulikokuwa tunaelekea na JPM tutafika kwa Kasi kubwa.... Mungu nipe hekma ya kutenda na kuongoza vema watu uliowaweka katika usimamizi na utegemezi wangu.,..ili ukiniweka juu ya wengi utukufu upewe wewe uumbae mioyo ya heri kwa waja wako...

  • @merymbise5763
    @merymbise5763 Před měsícem

    Magufuli mwingine huyu ,Mungu azidi kukulinda kwa utendaji kazi wak mzuri 😘🙏🙏 zoezi hilo litakua maeneo gani

  • @sabinajoseph9297
    @sabinajoseph9297 Před měsícem +2

    Amina mungu akulinde na akuongoze katika KAZI zako unazozifanya akuepushe na watu wabaya

  • @user-dd8ud2gk4l
    @user-dd8ud2gk4l Před měsícem

    Nakumbuka Kuna sku pindi magu ametutoka,
    Nape alizungumza bungen yakuwa legas yakiongoz Huwa haipotei ikiwa nzri hvyo legas yamagu haitopotea kwakuwa makonda ni miongon mwaviongoz wachache sana tz wanaoienzi legas hiyo. Anafanya kwavitendo ingawaje najua pia kwake kuna vita kubwa sana unaendelea kuififisha legasi hyo, barikiwa sana mkuu

  • @user-bc2hc4xn9v
    @user-bc2hc4xn9v Před měsícem

    ❤❤

  • @gladistaemanueliy6336
    @gladistaemanueliy6336 Před měsícem

    Amina makonda mungu akubariki

  • @stephanokanyika6321
    @stephanokanyika6321 Před měsícem

    Hongera makonda kwa kazi nzuri iyo

  • @robsonlotyloy5678
    @robsonlotyloy5678 Před měsícem

    Safi sana kaka. Du! Mungu hakubariki sana na hakuepushe na mabaya.

  • @esthersissamo1120
    @esthersissamo1120 Před měsícem +1

    Amina mkuu wetu Makonda asante sana kwa hilo ni faraja kubwa sana Mungu akupe maisha marefu yenye afya tele pamoja na familia yako Mungu ibariki Tanzania na wananchi wake

  • @MubinaRoshan
    @MubinaRoshan Před měsícem

    Amin amin amin

  • @user-qp6so3bf3p
    @user-qp6so3bf3p Před měsícem

    Hongera jembe

  • @daudimichael7338
    @daudimichael7338 Před měsícem +1

    Kiongozi wa mfano!!

  • @user-ym6hd7xh3g
    @user-ym6hd7xh3g Před měsícem

    Makonda ana heka heka jamani.

  • @user-qj2fz8uq3j
    @user-qj2fz8uq3j Před měsícem

    Hv kna sababu gan ya makonda kutopewa kit Cha urais mm nashindwa kuelewa rais anatakiwa awe na sifa zipi