PROF JANABI AMSANUA MAKONDA KUHUSU HUDUMA YA KUSHUSHA KORODANI,.

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 26. 06. 2024

Komentáře • 42

  • @shedrackmihale7329
    @shedrackmihale7329 Před 13 hodinami

    Makonda kakaangu Mungu akubariki sana kwaani kazi yako njema .

  • @SechySeche-hm6bd
    @SechySeche-hm6bd Před dnem

    Mungu awabariki wore waliowezesha zoezi hili Mungu watie nguvu na ujuzi zaidi madaktari wote

  • @Eliaskasanya-hm5yk
    @Eliaskasanya-hm5yk Před 2 dny +1

    RC Makonda ni mbunifu sana. Alipokuwa mkuu wa mkoa wa Dar alibuni namna ya kuwasaidia waalimu wa shule kusafiri bure na alifanikiwa. Anafaa kuwa kiongozi japo wapo wanaompiga vita kwamba anaingilia madaraka ya wengine

  • @CatherineMbatta
    @CatherineMbatta Před dnem

    Mungu akupe maisha marefu makonda

  • @user-ze6lx9ng6s
    @user-ze6lx9ng6s Před dnem

    Be blessed 🙏 makonda,,,,Wakuu wa mikoa mingine ni machawa wa ufisadi

  • @0783144B
    @0783144B Před 2 dny

    Unafanya kazi nzuri sana kiongozi , Ukitoka kwenye Afya Mh , uje na hukukwenye usafi wa mazingira Arusha , magari ya kukusanya uchafu mjini zinatembea zikidondosha uchafu mji mzima mpaka ikifika dampo gari halina uchafu ni vibobo tu vya chupa za maji kwa ajili ya kwenda kuuza wao wafanyakazi . Mamlaka hazisimamii ipasavyo

  • @abuuramadhan8093
    @abuuramadhan8093 Před 2 dny +1

    Kaskazin tunahitaji hospital ya Kanda ya kaskazin na hospital ya Rufaa ya mkoa wa Arusha

  • @justardzelphine6526

    Uko vizuri Makonda

  • @mrsferuzi7443
    @mrsferuzi7443 Před 23 hodinami

    Wallah nasikia mpaka kulia nikimwangalia makonda jinsi gani alivyo na upendo na watanzania

  • @justinealistides5146
    @justinealistides5146 Před 3 dny +1

    Ee mwenyezi Mungu tunakuomba uwabariki, wainue na uwajalie afya njema wote wenye moyo wa dhati wa kuhudumia jamii yetu.

  • @nathanaellekamoi7282
    @nathanaellekamoi7282 Před 2 dny

    Ashe Oleng.Mkuu wa mkoa nakuheshimu sana.umeshafanya mengi mazuri hapa kwetu Arusha. ombi langu ni hili tuongezee muda kwenye hili kambi, watu wengi bado hatujawaona madaktari.

  • @simongwandu7392
    @simongwandu7392 Před 3 dny +2

    Tukiwa na Akina Makonda
    Kwa idadi ya mikoa ya Tanzania nchi ingekwenda mbali

  • @hanifamziray277
    @hanifamziray277 Před 3 dny +3

    Kweli kbs arusha kwa.nyama ni shida wanapenda sn hasa kule kwa mrombo wa2nwamefurika kila sk😅

  • @boaziamos1224
    @boaziamos1224 Před dnem

    Hicho n kipimo kwamba watanzania wengi hawana uwezo wa kufikia huduma za afya kwa sababu mbalimbali haswa za kifedha

  • @abuuramadhan8093
    @abuuramadhan8093 Před 2 dny

    Kaskazin tunahitaji hospital ya kanda ya kaskazin kcmc Wana hujumu hospital za serikali

  • @mrdeniskomba6199
    @mrdeniskomba6199 Před 3 dny +1

    Ni Baraka sana sana

  • @juliusdonard933
    @juliusdonard933 Před 2 dny

    Mambo ya kushusha jinsia haina tofauty na kusuport ushoga

  • @yudatadeimdoe9215
    @yudatadeimdoe9215 Před 2 dny

    Hii nchi inahitaji uongozi bora tuu kila kitu tunacho

  • @abuuramadhan8093
    @abuuramadhan8093 Před 2 dny

    Tatizo Kaskazin mumeitenga sana haina hata Hospital ya kanda ya kaskazin

  • @ndetitave466
    @ndetitave466 Před 2 dny

    Mungu mbariki makonda

  • @user-cw3vu8mu3k
    @user-cw3vu8mu3k Před 3 dny +1

    Kwel watanzania ni wagonjwa sana ee Mungu tusaidie

  • @victoriamaige2862
    @victoriamaige2862 Před 3 dny +5

    Kuna mambo watanzania tunajiuliza kwani mh makonda ni peke yake tu mkuu wa mkoa nchi mzima au mbona mikoani hawawezi kuiga hiki kizuri anachofanya huyu mkuu kwa faida ya wananchi km mikoani kungekuwa Moto km Huu jmn Nani angelalamikia serikali na wakuu wengine waige Basi mazuri ya makonda kwa faida ya nchi na wananchi wake.naomba kuwasilisha.

    • @karimpaul9169
      @karimpaul9169 Před 3 dny +1

      Tatzo ushawishi wa mtu husika kka huyu mtu anajua kuvutia taasisi yyote na ikamwelewa.

    • @nathanaellekamoi7282
      @nathanaellekamoi7282 Před 2 dny +1

      Jaribuni tu kumpa nafasi ya kugombania nafasi ya kugombania urais, nitampa kura zangu zote ambazo niliacha miaka kama ishirini na tano iliyopita kupiga.Yangu ni dua na maombi tu, si mnaona anavyofanya hapa Arusha.nchi ni uongozi bora tu, kila kitu tunacho.

    • @amsiabbas3809
      @amsiabbas3809 Před dnem

      Tatizo Wakuu wamikoa wengine kabla yakua Wakuu wamikoa walikua Wakuu wafamilia zao kwaiyo wanaongozwa nahofu yakushambuliwa wao nafamilia zao kama ukipata nafasi yakumuuliza Makonda anayo yapitia kama unamoyo wafamilia Yako na Ndugu zako inaweza ukajiuzulu siku hiyohiyo kwakua Makonda ukiacha Kuteuliwa Na Raisi Kateuliwa Na MUNGU ndio maana unaona anafanya Hayo anayofanya ila Vita anayo pitia Nikubwa kuliko Umri wake ila Kwakua Mungu ndio kamteua ataendelea kufanya hayo anayo yafanya nakama Mkuu Wamkoa yeyote ataiga basi hatochukua raundi maana Vita nikubwa sana Tena sana Mungu aendelee kumlinda nakumtunza maana ni Hazina ya Taifa Mungu Mbariki Makonda Mungu Ibariki Tanzania

    • @andreakarata5469
      @andreakarata5469 Před 4 hodinami

      Makonda anafanya kazi vizuri,anajua maisha halisi ya mtanzania wa kawaida,anajua mateso ya wananchi,sio mbinafsi na anaupendo wa kweli na hofu ya MUNGU ,tumuombee sana kwa M MUNGU aendelee kumlinda na ipo siku ataikomboa Tanzania, MUNGU ambariki sana mh Paul Cristian Makonda 🙏🙏🙏

  • @abdull_hafidh
    @abdull_hafidh Před 3 dny +2

    Maana kila nikingia mitandaoni naanza kumsach makonda anafanya nini

  • @user-xz6rz2vc7j
    @user-xz6rz2vc7j Před dnem

    Nikiongozi anaejitambua

  • @jostamzxkaole3113
    @jostamzxkaole3113 Před 3 dny

    kAMERA MAN.. alie kuruhusu uipige picha Laptopu ya prof janabi Nani❓❓

  • @hamismakau4757
    @hamismakau4757 Před 3 dny

    Serikali ingeweza kuweka huduma za afya bure kwasababu mfano Leo Mgonjwa anatibiwa anapata Dawa je akimaliza Dawa Muendelezo wao unakua sio Mzuri kutokana na ugumu Wa upatkanaji Wa huduma na gharama za Dawa na huduma kwa ujumla

  • @abdull_hafidh
    @abdull_hafidh Před 3 dny

    Nashkuru na kufurahi leo kumuona makonda anasema na kufanya kitu

  • @frankwarembosaloon5316
    @frankwarembosaloon5316 Před 3 dny +1

    HIVI MINAJIULIZA YAMA MAREDIO YAKIBONGO MBONA HAMUMUONGELEAGINMAKONDA WAKATI ANAFANYA KAZI NZURI SANA

  • @AnnoyedFlowerPot-mr2ps

    Mkumbuke ya loliondo

  • @simongwandu7392
    @simongwandu7392 Před 3 dny

    Mheshimiwa Janabi Mungu amekutuma endelea na moyo huo

  • @lingwamalagila3003
    @lingwamalagila3003 Před 3 dny +1

    Amusanua nini uzushi tu na lugha za media na uzushi na unaaana gani kusema amemsanua hovyo wewe

  • @emakoresahili
    @emakoresahili Před 3 dny +7

    Hizo kambi zinaweza kusaidia watafiti kukusanya Data ambazo zinaweza kutumika kwenye uandaaji wa Bajeti ya Wizara husika.
    Lakini pia inaonesha changamoto ziko mahali gani.