Velikost videa: 1280 X 720853 X 480640 X 360
Zobrazit ovladače přehrávání
Automatické přehrávání
Přehrát
Mhe Makonda hamna kumbwelambwela Arusha kazi tunaiona mh endele na spana wengi watajifunza kwako nawaona mungu azidi kukubariki. Insha Allah ❤
Miaka mitatu nje ya utumishi kumbe ulikuwa darasani. Hongera mwamba Makonda
Mungu akuongoze kk watuwenge wanaonewa sana wasaidie
Fire fire fire @Makonda chumaaa
Kamanda hapa Tanzania wapo wawili wa kwanza Makonda wa pili Chalamila hawa wanaojitambua sana wakuu wa mikoa iliyobaki hawafai
Na sillaa basi
😮 yaani kweli useme umejenga kitu na kumbe hujajenga?Like serious?
Hapo ndipo ccm. Inachafuliwa kwa kuajili ndugu mbumbu waajiliwe wasomi kama hapa gongolamboto bwana afya mwekiti katibukata wa mtaa shida
Ndg makonda kuna mtu hawezi kujieleza hadharani kwa kushtukuzwa. Mtu ana 59 hawezi jua kila kitu papo hapo
Mweshiwa makonda ata uku sinoni mtaa wa engosingiu kuna kivuko kina ubadhirifu kama cha uko matevesi kilichokuwa kikijengwa na tasafu having kiwango
Mmmmmm haya bana tutayaona mengi?
Mtendaji nikiboko
sᴘᴀɴᴀ ᴢɪᴇɴᴅᴇʟᴇᴇ
auna uwezo wa kumfukuza kazi mtendaji.mbona unaingilia mamlaka yasiyo yako.makonda badilika
Amemuonea
Nani kaonewa?Mtendaji anasema amejenga darasa wakati hajajenga?
Duh
Mhe Makonda hamna kumbwelambwela Arusha kazi tunaiona mh endele na spana wengi watajifunza kwako nawaona mungu azidi kukubariki. Insha Allah ❤
Miaka mitatu nje ya utumishi kumbe ulikuwa darasani. Hongera mwamba Makonda
Mungu akuongoze kk watuwenge wanaonewa sana wasaidie
Fire fire fire @Makonda chumaaa
Kamanda hapa Tanzania wapo wawili wa kwanza Makonda wa pili Chalamila hawa wanaojitambua sana wakuu wa mikoa iliyobaki hawafai
Na sillaa basi
😮 yaani kweli useme umejenga kitu na kumbe hujajenga?
Like serious?
Hapo ndipo ccm. Inachafuliwa kwa kuajili ndugu mbumbu waajiliwe wasomi kama hapa gongolamboto bwana afya mwekiti katibukata wa mtaa shida
Ndg makonda kuna mtu hawezi kujieleza hadharani kwa kushtukuzwa. Mtu ana 59 hawezi jua kila kitu papo hapo
Mweshiwa makonda ata uku sinoni mtaa wa engosingiu kuna kivuko kina ubadhirifu kama cha uko matevesi kilichokuwa kikijengwa na tasafu having kiwango
Mmmmmm haya bana tutayaona mengi?
Mtendaji nikiboko
sᴘᴀɴᴀ ᴢɪᴇɴᴅᴇʟᴇᴇ
auna uwezo wa kumfukuza kazi mtendaji.mbona unaingilia mamlaka yasiyo yako.makonda badilika
Amemuonea
Nani kaonewa?
Mtendaji anasema amejenga darasa wakati hajajenga?
Duh