MAKOMDA amtumbua mtendaaji "Haufai hata kua MFAGIA ofisi, kuanzia leo wewe sio MTENDAJI"

Sdílet
Vložit

Komentáře • 17

  • @menelus911mene5
    @menelus911mene5 Před měsícem +2

    Mhe Makonda hamna kumbwelambwela Arusha kazi tunaiona mh endele na spana wengi watajifunza kwako nawaona mungu azidi kukubariki. Insha Allah ❤

  • @yusuphmwambete2777
    @yusuphmwambete2777 Před měsícem +3

    Miaka mitatu nje ya utumishi kumbe ulikuwa darasani. Hongera mwamba Makonda

  • @ramadhanseif4178
    @ramadhanseif4178 Před měsícem

    Mungu akuongoze kk watuwenge wanaonewa sana wasaidie

  • @user-yf2ro1wb4y
    @user-yf2ro1wb4y Před měsícem +1

    Fire fire fire @Makonda chumaaa

  • @hssanrubota3891
    @hssanrubota3891 Před měsícem +2

    Kamanda hapa Tanzania wapo wawili wa kwanza Makonda wa pili Chalamila hawa wanaojitambua sana wakuu wa mikoa iliyobaki hawafai

  • @christinewomanoffaith5479
    @christinewomanoffaith5479 Před měsícem +1

    😮 yaani kweli useme umejenga kitu na kumbe hujajenga?
    Like serious?

  • @user-sw7tf1ob1b
    @user-sw7tf1ob1b Před měsícem

    Hapo ndipo ccm. Inachafuliwa kwa kuajili ndugu mbumbu waajiliwe wasomi kama hapa gongolamboto bwana afya mwekiti katibukata wa mtaa shida

  • @JJ-fb9jp
    @JJ-fb9jp Před měsícem

    Ndg makonda kuna mtu hawezi kujieleza hadharani kwa kushtukuzwa. Mtu ana 59 hawezi jua kila kitu papo hapo

  • @OnesphoroLema
    @OnesphoroLema Před měsícem

    Mweshiwa makonda ata uku sinoni mtaa wa engosingiu kuna kivuko kina ubadhirifu kama cha uko matevesi kilichokuwa kikijengwa na tasafu having kiwango

  • @JamesChrizestome
    @JamesChrizestome Před měsícem

    Mmmmmm haya bana tutayaona mengi?

  • @Esterkomba-ef7eb
    @Esterkomba-ef7eb Před měsícem

    Mtendaji nikiboko

  • @ThomasMayungaCharles
    @ThomasMayungaCharles Před měsícem +1

    sᴘᴀɴᴀ ᴢɪᴇɴᴅᴇʟᴇᴇ

  • @mpindafamily1496
    @mpindafamily1496 Před měsícem

    auna uwezo wa kumfukuza kazi mtendaji.mbona unaingilia mamlaka yasiyo yako.makonda badilika

  • @mtummoja6882
    @mtummoja6882 Před měsícem

    Amemuonea

  • @MosesMnyantope-zw4ed
    @MosesMnyantope-zw4ed Před měsícem

    Duh