"Kasimama MJINGA MMOJA kutetea bei ya sukari, ni jambo la ajabu" Mbunge Katani achachamaa Bungeni...

Sdílet
Vložit

Komentáře • 37

  • @emmanuelpeter9744
    @emmanuelpeter9744 Před 25 dny

    Na hapa ndimpo tatizo lilipo tunapokuwa na watu wanaongea kutumia hisia bila fact halafu ndani ya Bunge.
    Tutaelewana tu soon maana huu ni wakati wa Mungu.
    Well done 👍 MPINA pamoja na ujinga wako bro but you will be counted as a hero 👍✌️

  • @MohamedBlanker-jw9qy
    @MohamedBlanker-jw9qy Před měsícem +1

    Tupo sehemu mbaya Sana

  • @teddysanga1840
    @teddysanga1840 Před měsícem +1

    msenge sana huyu jamaaa kwahiyo anafurahia ufisadii jiziiiii hili katani

  • @user-us5xl4zu3r
    @user-us5xl4zu3r Před měsícem +1

    Ni mjinga sana tu.Anajali tumbo lake,kuliko waliomweka madaakani,ndio wale Nyerere ,ni malaya malaya tu.

  • @nestor384
    @nestor384 Před měsícem +1

    Huyu jamaa si bure anataka kuwaona wananchi hawana akili na kana kwamba fikra inayopinga wizi kupitia uhaba wa sukari wa kuchonga ni mjinga.
    Yeye si mjinga tu ni fala na mpumbavu!

  • @amosmwampamba
    @amosmwampamba Před měsícem

    Mmakonde mjinga huyu, yupo kutetea ufisadi itakuwa kashalambishwa tayari

  • @hassaniulende-sp6io
    @hassaniulende-sp6io Před měsícem

    SAFI SANA MMBUNGE KATANI NI KWELI KUNA WAJINGA WENGI SANA NCHI HII ,

  • @user-dq1ss2uq6u
    @user-dq1ss2uq6u Před 24 dny

    Acheni matusi wabunge hatukuwatuma kutukana kama hamna hoja nyamazen

  • @RubenMtuwaMungu-bz8ee
    @RubenMtuwaMungu-bz8ee Před měsícem

    Bado bei ya sukari iko juu licha ya ujinga wa Mpina. Imagine sukari ya Malawi ni tsh 2400@kg ambako kampuni ya Ilovo inazalisha sawa na Kilombero.

  • @shafiijuma840
    @shafiijuma840 Před měsícem +1

    Habari digital mnakata sana taarifa

  • @JoshuakaruJoshu-pk3es
    @JoshuakaruJoshu-pk3es Před měsícem

    ❤❤❤❤ kweri kunawajingawengi umo

  • @user-ze6lx9ng6s
    @user-ze6lx9ng6s Před měsícem

    Bashe chanzo cha bei ya sukari kupanda, RIP JPM

  • @MasoudyMichael-ox7xl
    @MasoudyMichael-ox7xl Před měsícem

    Wabunge wengi Nikweli Ni .....alichosema huyo mbunge😅

  • @GodfreyMwamaso
    @GodfreyMwamaso Před měsícem

    Ujumbe umefika

  • @noelbryson7840
    @noelbryson7840 Před měsícem

    Hapa mbunge hakuna 😢

  • @user-rg5sg1xz8p
    @user-rg5sg1xz8p Před měsícem

    Hahahahahahahahahhahahahahahah kweli akili ndgo ina endesha hahahahahahahahahahahaha

  • @lutegomakoyeluhahula361
    @lutegomakoyeluhahula361 Před měsícem

    Mimi mwenyewe sijaliondoa na wala sitaliondoa hili neno kwenye Hansard ya kichwa changu.

  • @CalistiNicetas
    @CalistiNicetas Před měsícem

    Hana hoja akae chini

  • @shabansalum1848
    @shabansalum1848 Před měsícem

    Mbunge wa jimbo ni vema kuwa makini na michango unayotoa..bungeni kwa niaba ya wanainchi na taifa kwa ijumla wake

  • @user-yv8ww7lg1x
    @user-yv8ww7lg1x Před měsícem

    Huyu kachaguliwa ama kawekwa tuu na fisiem

  • @rashidyyusuph4386
    @rashidyyusuph4386 Před měsícem +1

    Kwani ujinga matusi?

  • @hamzakimaro3764
    @hamzakimaro3764 Před měsícem

    wabunge wengine wanatumwa na wenye viwanda vya sukari ili kuwatesa walaji,hii ilitokea wakati wa mwalimu julius nyerere,illafika mahali sukari haipatikani madukani!!

  • @user-cw2nj4io3v
    @user-cw2nj4io3v Před měsícem

    Kwenye hili Bunge Kuna wawakilishi wa Serikali ambao ndo wengi kuliko wawakilishi wa wananchi, hakuna sababu ya kuwachagu wateuliwe tu kama mawaziri pasiwepo na Bunge, kama mbunge anadiriki kusema lazima tutetee Serikali Sasa nani atamtetea mwanainchi?

  • @waluohopaulo2116
    @waluohopaulo2116 Před měsícem

    Hiyo sio matusi

  • @barakakevela245
    @barakakevela245 Před měsícem

    WAZALENDO NI WACHACHE WEWE NI BOXI, MPINA, MCHENGERWA MAKONDA WAKO VIZURI SANA ILA WEWE MBUNGE HATUKUELEWI

  • @NardhisMhagama-sy3eq
    @NardhisMhagama-sy3eq Před měsícem

    Ni mjinga kweli

  • @JoshuakaruJoshu-pk3es
    @JoshuakaruJoshu-pk3es Před měsícem

    Safi sana kweriuyonimjinga

  • @frbm1729
    @frbm1729 Před měsícem

    Hili ndo JINGA sasa

  • @user-hb8er6dq2q
    @user-hb8er6dq2q Před měsícem

    Wew ndo mjinga

  • @lameckbalekere1962
    @lameckbalekere1962 Před měsícem

    Hii Kenge hii

  • @albetomfuse444
    @albetomfuse444 Před měsícem

    afu huyu Kama haja wahi kupona

  • @hassanimngetege2904
    @hassanimngetege2904 Před měsícem

    Ng'ombe mwingine huyu kweli tumelaaniwa

  • @infodigtechforcommunityemp4103

    Ng'ombe mwingine huyu hapa mbuzi kabisa

  • @Lo-33
    @Lo-33 Před měsícem

    CCM hoyeeeee😂

  • @JohnManyilizu-rl5bm
    @JohnManyilizu-rl5bm Před měsícem

    No balancing here you are typically wrong

  • @Kakamkubwa3564
    @Kakamkubwa3564 Před měsícem

    Virus network.

  • @infodigtechforcommunityemp4103

    Mjinga ni wewe