PAMBALU AMVAA MSIGWA, "ANASEMAJE KUHUSU UTEKAJI,", KUBAMBIKIA KESI, VIJANA WA GEN Z KUKIWASHA MBEYA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 3. 07. 2024
  • #TANZANIA: John Pambalu amvaa vikali Peter Msigwa, "kwa sasa anasemaje kuhusu utekaji?", amvaa vikali Waziri Masauni na IGP kuhusu kubambikia kesi Meya Mstaafu wa Ubungo (Boniface Jacob) na Malisa G, kukiwasha siku ya Vijana mkoani Mbeya, atangaza ujio wa Gen Z hivi karibuni.
    Fuatilia Mwanzo TV Plus
    SUBSCRIBE CZcams Channel yetu
    Follow us on X, Facebook and Instagram

Komentáře • 24

  • @tumainimwaifunga3884
    @tumainimwaifunga3884 Před 11 dny +3

    Pambalu unakitu mwanangu

  • @JoyceKabula-in1sh
    @JoyceKabula-in1sh Před 12 dny +3

    Jamaani mungu tusaidie nchi hii duu

  • @jamesmsengi7483
    @jamesmsengi7483 Před 12 dny +7

    Huyu kijana ana kitu kwenye ubongo wake, tusimdharau tumsaidie pale akienda kombo

  • @helencyprian8745
    @helencyprian8745 Před 12 dny +3

    Jibu zuri kwa mwandishi wa msigwa

  • @fabby1181
    @fabby1181 Před 12 dny +3

    Hongera Pambalu

  • @nassibdoma5408
    @nassibdoma5408 Před 2 dny

    Kijana nakuona unapambana ila tu niseme usalama hapa haupo ukifanya siasa za kuondoa watu kwenye ugali unaweza kupoteza maisha na kupewa kesi fek

  • @TM.Sullusi
    @TM.Sullusi Před 9 dny

    Shida mlisema Magufuli ndo mtekaji, sa hivi nadhani mnaelewa shida sio mtu mmoja.😢😢

  • @wamojasanga5948
    @wamojasanga5948 Před 8 dny

    2025 gwajima ndani ya ikulu kupitia ticket ya chadema tunza hii utaniamini shalom

  • @rucaserasto8154
    @rucaserasto8154 Před 10 dny

    Atali sana daa😅😅😅

  • @PhilipoMwita-wc1ku
    @PhilipoMwita-wc1ku Před 12 dny

    We,we,we, koma kama alama ya koma Yani Samia hawezi kabisa raha yake anapenda watu wakitekwa

  • @fabianmahenge301
    @fabianmahenge301 Před 10 dny

    Nguvu ya mabadiliko ni SASA

  • @abdalahgunda1319
    @abdalahgunda1319 Před 11 dny

    Swali km Hilo kwa msigwA ni sawa na kupandisha maji mlima Kilimanjaro hawezi jibu Hilo Hawaii msigwA can't answer that question is lmposible why is in ccm rooling part clouse his mouth under ccm leadership msigwA was voice in chadema not ccm forgot about msigwA on such question

  • @francissimwinga-gb2vd
    @francissimwinga-gb2vd Před 12 dny

    Sio mda mrefu wanakuja tuwachague tuwachague mnaotuteka maana kama viongozi wetu ambao madaraka yenu yametokana na wananchi lazima muwe wakalia Kwa watekaji mko kimy

  • @helencyprian8745
    @helencyprian8745 Před 12 dny +1

    Pambalu uko vizuri sana, yy alisema ni chura asikii kelele

  • @muhammedbakari2867
    @muhammedbakari2867 Před 12 dny +1

    Kwa mdomo tuu mtaongea sana na mbuzi wamelala..

    • @user-md7sd3hk6l
      @user-md7sd3hk6l Před 12 dny

      faida yake nini sasa daa aya mwezetu

    • @ceciliamagalabajimmy4391
      @ceciliamagalabajimmy4391 Před 9 dny

      Kwa hiyo wewe huoni shida!!

    • @marcokaroje8980
      @marcokaroje8980 Před 9 dny

      Kwa hiyo wakilipiza kisasi na wewe ukiwa miongoni mwa waliotekwa itakaaje kwa wapendwa wako?maana siyo kwamba hawawezi kuwateka hawawezi wanaweza ila we we Maneno yako hauyaelewi pamoja na kwamba umeandika wewe kwa kauli zako vita ikizuka mtachinjwa sana wajinga kama nyiye

  • @ndogoroedson199
    @ndogoroedson199 Před 9 dny

    We nenda kanyonye hukumaliza maziwa ya mama yako

  • @rebekakulwa6159
    @rebekakulwa6159 Před 11 dny

    Mjinga ni wewe. Lifisi emu acha tusikilize akili. Kubwa

  • @Jal210
    @Jal210 Před 12 dny

    Wewe bwaja bwaja tu mjinga wewe sana

    • @TegemeaFutemakatifu
      @TegemeaFutemakatifu Před 12 dny +1

      Nyie inawezekana ndo mnaosaidia kulinda watekaji, Haiwezekani watu wanatekwa Halafu weweeee unashadadia utekaji

  • @margarethpolepole7438

    Nendenii zènu umechokwa na chama chenu Chadema Saccoss

    • @emmanuelymganga5737
      @emmanuelymganga5737 Před 7 dny +1

      Apo apo tunaona dawa inawaingia ndomaana inauma Pambalu chapa kazi kiongozi