TAZAMA MUONEKANO MPYA UWANJA WA MKAPA TAA KILA KONA, INTERNET BURE, RAIS SAMIA AMWAGA BILIONI 31

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 25. 08. 2024
  • Ripoti za Ayo Tv leo zinatokea Uwanja wa Benjamin Mkapa wengine wakipaita Lupaso ambapo Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dr Samia Suluhu Hassan ametoa Shilingi Bilioni 31 kwa ajili ya ukarabati wa uwanja huo.
    Timu ya Ayo Tv imefika hadi Lupaso na kushuhudia maboresho yaliyofanyika ikiwemo Taa, Screen za LED, vyumba vya Wachezaji, nyasi mpya na huduma ya Internet
    Kaimu Meneja wa Uwanja Milinde Mahona ameeleza kuwa Uwanja huo ulizinduliwa mwaka 2007 ni takribani miaka 17 haujafanyiwa ukarabati Mkubwa kama huo unaoendelea.

Komentáře • 251

  • @cuthbertswai2774
    @cuthbertswai2774 Před 10 měsíci +1

    nawapongeza serikali kwa kazi nzuri ya kuukarabati uwanya wetu yaani umenoga sana

  • @isackmikosi-th3wv
    @isackmikosi-th3wv Před 10 měsíci +1

    Quality peach,

  • @emmanueltarimo892
    @emmanueltarimo892 Před 10 měsíci +50

    Mtangazaji tupeleke sehemu korofi kama vyooni kwa mashabiki tuone marekebisho

    • @MabulaPatrick-bv5io
      @MabulaPatrick-bv5io Před 10 měsíci

      😆

    • @fanuelykitambule5542
      @fanuelykitambule5542 Před 10 měsíci +3

      Hilo nalo neno wasijipendelee wao tu wakatusahau sisi

    • @reiphan9894
      @reiphan9894 Před 10 měsíci

      😀😀😀 hilo nalo nimuhimu

    • @mamboshepea8888
      @mamboshepea8888 Před 10 měsíci +1

      @@reiphan9894 ulibomolewa au ni ukarabati tuuuu😃😃!!!

    • @reiphan9894
      @reiphan9894 Před 10 měsíci +1

      @@mamboshepea8888 huo ni ukarabati sasa je sehem zote hata za mashabiki? Wanaonesha pich na taa tu vipi kuhusu kule ofisini kwa mashabiki

  • @Raphaelsmaterials
    @Raphaelsmaterials Před 10 měsíci +1

    Thanks 🙏🙏🙏

  • @MashaSayi-ui7dz
    @MashaSayi-ui7dz Před 10 měsíci +7

    Hongera rais wetu KAZI iendeleeeeeeeeee. Mafanikio wengine yanawaumiza hawataki kabisa kusikia vitendo halisia ni shiiiiida Kwa wanaopinga

    • @francisphilipo5749
      @francisphilipo5749 Před 10 měsíci +1

      Acha upumbafu mpira na siasa ni tofaut

    • @MashaSayi-ui7dz
      @MashaSayi-ui7dz Před 10 měsíci

      @@francisphilipo5749
      Kuna siasa Gani ambayo nimeihusisha hapo. Be knowledgeable when you're replying someone's comment usikurupuke!

    • @hemedmtunguja9788
      @hemedmtunguja9788 Před 10 měsíci

      Raisi kwafuata nn na Kama sio siasa acha shobo

    • @Kijana-wa-Tanzania
      @Kijana-wa-Tanzania Před 10 měsíci

      Kwani huo uwanja haukuwa ukiingiza mapato kwa kipindi chote mpaka leo pesa itoke serekalini?
      Wewe haujui wanaokusanya mapato na kuuendesha uwanja wa Mkapa sio serekali?
      Alafu hiyo pesa imepitishwa kwenye budget ipi? Ama raisi katoa kwenye pension yake?

    • @zephaniamanembe6929
      @zephaniamanembe6929 Před 10 měsíci

      Mmeamua kuutangazia ulimwengu kua ninyi mnashiliki Mambo ya ushoga, fafanua na hizo rangi za mlango mkuu

  • @PanchoValentino-wh7wt
    @PanchoValentino-wh7wt Před 10 měsíci +2

    L.A.D Safi saana iyoo 💯🔝🔥💥💪

  • @MaryErnest-pm1qz
    @MaryErnest-pm1qz Před 10 měsíci +8

    Kombe la dunia iko siku mungu yupo

  • @enockemanuel108
    @enockemanuel108 Před 9 měsíci

    Tanzania is the big country

  • @AbduraufuIbrahim-vm3ee
    @AbduraufuIbrahim-vm3ee Před 10 měsíci +17

    Sehemu ya kuchezea boli inajaa maji mvua ikinyesha cjui kama wameliangapia hilo!😢😢

    • @yohanayohanaadamu6483
      @yohanayohanaadamu6483 Před 10 měsíci

      We mgumu kuelewa hivi umuelewa meneja anachokionge kwel we kichwa ngumu

    • @EdsonEdwin-tg5ey
      @EdsonEdwin-tg5ey Před 10 měsíci

      Wataliangalia siku iyo iyo Braza usijali ,kwan si ushajua kuna ubabaifuu ..ha ha ha ha vumilia tu ndo viongozi tulionao uchawa wingi ili mradi majambo yao yaendeee

    • @willygraphics360
      @willygraphics360 Před 10 měsíci

      ​@@EdsonEdwin-tg5eyhivi nyie mnajua maana ya Matengenezo?😂

    • @user-jt2xo5dw7e
      @user-jt2xo5dw7e Před 10 měsíci

      😂😂😂

    • @isackmikosi-th3wv
      @isackmikosi-th3wv Před 10 měsíci

      sure,

  • @Samsonilaizer
    @Samsonilaizer Před 10 měsíci +13

    eshima kwa simba 🦁❤❤❤❤❤👏👏👏👏👏

  • @petercostakisoka
    @petercostakisoka Před 10 měsíci +1

    Apo vizuri sana imekaa poaa

  • @dennischarles8524
    @dennischarles8524 Před 10 měsíci

    Kinachouma bado Africa maisha yetu duni sana,efforts Kama hizi zielekezwe mwingine pia

  • @salimtumba8804
    @salimtumba8804 Před 10 měsíci

    Hongera karia

  • @ellymwampashe8927
    @ellymwampashe8927 Před 10 měsíci

    All the best mnyama🦁

  • @vincentjohn3193
    @vincentjohn3193 Před 10 měsíci +8

    Ayotv siku nyingine mkienda ulizieni kuhusu VAR tafadhali

    • @emanuelherman7029
      @emanuelherman7029 Před 10 měsíci

      😂😂😂VAR Haiwezi kuwekwa kwa uwanja moja labda Ccm wakarabati viwanja vyao nchi mzima maana ndo wamiliki

    • @ahmednoor1412
      @ahmednoor1412 Před 10 měsíci

      Var inawezekana popote Uganda wanaweka magari maalum ya var

  • @Johnsonmkubwa
    @Johnsonmkubwa Před 10 měsíci +1

    Vyoo vichafu sana

  • @ShabaniHussein-om1up
    @ShabaniHussein-om1up Před 10 měsíci

    Bg up

  • @ramseytekeye-ol1jx
    @ramseytekeye-ol1jx Před 10 měsíci +2

    Me naona nimambo yakawaida mbona tulijichelewesha wenyewe wenzetu mpaka washasahau izi mambo

  • @ernestsinje-ng8hm
    @ernestsinje-ng8hm Před 10 měsíci

    Tanzania is developing fast

  • @user-im6ex4sj4h
    @user-im6ex4sj4h Před 10 měsíci +1

    All this happen due to the presence of simba💥💥

  • @Msanii12
    @Msanii12 Před 10 měsíci +2

    Hongera sana mama etu samia hongera tff hongera timu ya simba kuufanya uwanja uwe wa viwango zaid tuzidi ombea amani nchi etu izid songa

  • @braisonhabibu6201
    @braisonhabibu6201 Před 10 měsíci +1

    Mimi naomba niwe wakwanza ku koment hahahaaaa

  • @medyproductionTz
    @medyproductionTz Před 10 měsíci +6

    Nimependa izo L.A.D zinazowaka Pembeni ya Uwanja safi sana🔥🔥👏👏👏

  • @MohamediAbdallah-mb7xj
    @MohamediAbdallah-mb7xj Před 10 měsíci +6

    Kingine kikubwa zaidi tunaomba mfunge VAR mtakua mmetisha Sanaa....

    • @isackmikosi-th3wv
      @isackmikosi-th3wv Před 10 měsíci

      together

    • @omaribakari2894
      @omaribakari2894 Před 10 měsíci

      Wenye Mamlaka Ya VAR ni CAF Pekeyao Ndio Wenye Dhamana Hiyo Wao Wanahaki Ya Kufunga VAR Kutokana Na Mashindano Husika Silipingi Wazolako Nizuri Sana Na Lenye Maana Kutokana Na Maamuzi Batili Ya Waamuzi.

    • @mkubwajuma4367
      @mkubwajuma4367 Před 10 měsíci

      Hata wakifunga VAR kama refa amedhamiria kufungisha anafungisha tu Kilichotokea Liver na Spurs VAR ilikuepo

  • @cleveronlinemedia820
    @cleveronlinemedia820 Před 10 měsíci +2

    Duh ko serikal miaka yote iyo ilishindwa kutoa ka fedha kadogo kwa ajili ya malekebisho mpaka fifa wakaingilia kati

  • @abiboseleman1649
    @abiboseleman1649 Před 10 měsíci +1

    Ila jamani manager wetu abadirike nayeye aendane na mkapa mpya sio kwa koti hizi nahiyo miwani😊😊😊😅

  • @EdsonEdwin-tg5ey
    @EdsonEdwin-tg5ey Před 10 měsíci +1

    Ulizeni maswali ya msingi," je hayo mabango ya display pemben yataendelea kuepo ? Manake si mama katoa pesa yamenunuliwa au tumekodii?

  • @shadrackdamson7904
    @shadrackdamson7904 Před 10 měsíci

    Safiiiiiiii sanaaaa

  • @ErastoKawa-xu5op
    @ErastoKawa-xu5op Před 10 měsíci

    Vyooo

  • @Davio123
    @Davio123 Před 10 měsíci +2

    Hapo kwnye taa mmekula ela 😂😂

    • @AbdulatifSaidy
      @AbdulatifSaidy Před 10 měsíci

      Wamezifunga chache kwaajili ya kufanya mechi ya simba ipite lakini kuna taa kama 128 ivi zipo lakini hazijafungwa. Watafunga baada ya Super league

  • @aminatanzanya7475
    @aminatanzanya7475 Před 10 měsíci

    Kiukweli mmejitahid jpo sio sana

  • @sultanhamis9292
    @sultanhamis9292 Před 10 měsíci +2

    Taa bado hizo kuna kiza na eneo jingine eneo la kuchezea mvua ikinyesha maji hukai kiwanjan

  • @saidiomari708
    @saidiomari708 Před 10 měsíci +1

    Wanatakiwa waangalie na hizo paa mechi za saa 10 au mvua ikinyesha watu wa chini wanaathirika sana.

  • @EdsonEdwin-tg5ey
    @EdsonEdwin-tg5ey Před 10 měsíci +1

    Yaani tatizo wandishi sijui mnapangwa hadi maswali ya kuuliza? Daaah nchii hiii uchawa kila kona yaani!!

  • @amosiabdulallh7965
    @amosiabdulallh7965 Před 10 měsíci

    Kazi iendelee

  • @lilyngonyani2312
    @lilyngonyani2312 Před 10 měsíci +1

    Haya tuonyesheni vyoo maan Ni vya hovyo Kama nn😓😓😭

  • @SitaAlphonce
    @SitaAlphonce Před 10 měsíci +4

    samia ametufanya tuheshimike sana

    • @flova7022
      @flova7022 Před 10 měsíci

      Ila Kuna kajirangi Ka ushogaaa kaleeeee

    • @magigesabai8674
      @magigesabai8674 Před 10 měsíci

      Sio mkapa tena

    • @rayisadesigns2646
      @rayisadesigns2646 Před 10 měsíci

      @@magigesabai8674 mkakati wa ujenzi ulianza kipindi cha mwinyi, mkapa akajenga, mama anaukarabati, sasa shida iko wapi?!

  • @user-lh5tj9hu4k
    @user-lh5tj9hu4k Před 10 měsíci

    safi sanaaa

  • @bonnymakuke3153
    @bonnymakuke3153 Před 10 měsíci

    Ela ndogo kulingana na ukubwa wa huo uwanja😢😢

  • @user-ou1fj3vg2c
    @user-ou1fj3vg2c Před 10 měsíci +1

    Kiwanja ni kizuri hongera sana mmepambana.

  • @IssaSwalehe
    @IssaSwalehe Před 10 měsíci

    Jaman tushukuru kwa hapa

  • @frankkashner
    @frankkashner Před 10 měsíci

    Nione vyoo kwanza maana daaah ni kinyaaa

  • @user-wn6rr5dk8t
    @user-wn6rr5dk8t Před 10 měsíci +1

    Adi matangazo ya kiektronic

  • @twalibubaweni4078
    @twalibubaweni4078 Před 10 měsíci

    saw mbona L.A.D mbona nusu sehem nyigine haijawekwa

  • @felisteronesmo3091
    @felisteronesmo3091 Před 10 měsíci

    Mh!, Kaimu anatone yasiasa .. hii nchi hii

  • @mafurumatijo8803
    @mafurumatijo8803 Před 10 měsíci +3

    Bila Simba uwanja usingefanyiwa ukarabati mkubwa kama huo.

  • @Samsonilaizer
    @Samsonilaizer Před 10 měsíci +3

    Simba nguvu moja 🦁 ❤ 💪

    • @sebastiageofrey1377
      @sebastiageofrey1377 Před 10 měsíci

      Nyoko we 😅😅😅😅

    • @jumakibe5032
      @jumakibe5032 Před 10 měsíci

      Nguvu moja kwani mmetengeneza nyinyi au mtacheza wenyewe😂😂😂😂😂

    • @Thekidp3702
      @Thekidp3702 Před 10 měsíci

      @@jumakibe5032 Sababu ya matengenezo ni nini?

    • @Thekidp3702
      @Thekidp3702 Před 10 měsíci

      @@sebastiageofrey1377 umeumia

    • @Thekidp3702
      @Thekidp3702 Před 10 měsíci

      Huu uwanja ni wa Simba wengine tunawafadhili 2 🙏

  • @kabwelasutiviraka4765
    @kabwelasutiviraka4765 Před 10 měsíci +2

    Kwa Tanzania ya mavi kunuka subiri mwezi tu wamefanya uharibifu

  • @OmerSuley-gl7go
    @OmerSuley-gl7go Před 10 měsíci

    Viva rais Samia anazidi kuijenga Tanganyika ❤

    • @magigesabai8674
      @magigesabai8674 Před 10 měsíci

      Ni serikali inajenga,hakuna maendeleo bila watu na watu ni Serikali

    • @rayisadesigns2646
      @rayisadesigns2646 Před 10 měsíci

      @@magigesabai8674 akiwemo kiongozi wao ambaye ni mama

    • @OmerSuley-gl7go
      @OmerSuley-gl7go Před 10 měsíci

      @@magigesabai8674 Mama Samia ndie mkuu wa serikali na yeye ndio anapanga kila jambo kubwa nchi hii

  • @reginaogiro4845
    @reginaogiro4845 Před 10 měsíci +1

    Mtuwekee na sehemu ya kuchajia simu

    • @saidseleman3269
      @saidseleman3269 Před 10 měsíci

      Hahahaa duu wi-fi umepewa Bure wataka Upewe na sehemu ya kuchajia kabisa ili uwe live Instagram

  • @zakiaesaa972
    @zakiaesaa972 Před 10 měsíci

    Kumenoga kwa mkapa❤

  • @mbonimanakisenya4178
    @mbonimanakisenya4178 Před 10 měsíci

    Bdilisheni paa

  • @mussamussa8181
    @mussamussa8181 Před 10 měsíci

    Sa ndo muweke mambomba yakufungua jaman..vya kuminya akuna au automatic bomba..

  • @user-vs7ll8dn6t
    @user-vs7ll8dn6t Před 10 měsíci +1

    Kujaa maji kiwanja kujaa maji vipi limefanyiwa kazi

  • @kikungo4774
    @kikungo4774 Před 10 měsíci

    koki zenyewe za 3500 wekeni koki za kisasa
    _acheni kuweka mabango ya matangozo badilisheni aina ya matangazo yawe wa tv pembeni kama viwanja vya wenzetu

  • @abdalahsambala6667
    @abdalahsambala6667 Před 10 měsíci

    Makabati yapakwe rangi nzuri

  • @sebastianchisunga5899
    @sebastianchisunga5899 Před 10 měsíci +1

    Msenge tu huyo kiongozi hana lolote mpigaji tu huyo na huyo Ndio anaturoga simba tunafungwa kwa mkapa 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂haha

  • @marthabura2266
    @marthabura2266 Před 10 měsíci

    Fungeni VR

  • @whiteAfrican83
    @whiteAfrican83 Před 10 měsíci

    Miaka 7 inayokuja Tz itakuwa ni sehemu nyingine kabisa nayaona mafuriko ya watu kutamani kufika Kwa ardhi hii

    • @Thekidp3702
      @Thekidp3702 Před 10 měsíci

      🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿 tunatembea na kasi ya 5G mchezo tushaushtukia 😎😎😎

    • @whiteAfrican83
      @whiteAfrican83 Před 10 měsíci

      @@Thekidp3702 maana Kila sehemu ni Tz japo Kwa udogo wetu
      hii ina maana kubwa sana

  • @johnirungu4550
    @johnirungu4550 Před 10 měsíci +1

    Viti vya kukaa wachezaji wa bench??

  • @doctordoctorshumbi-fk2fq
    @doctordoctorshumbi-fk2fq Před 10 měsíci

    Ila wamejitaidi sijugi choon

  • @rajabumshana8167
    @rajabumshana8167 Před 10 měsíci

    Tupo RAIVU na Ayo tivi😅

  • @DavalsonMarlony
    @DavalsonMarlony Před 10 měsíci

    vp kuu tv ya uwa njan Mana ipo of every time

  • @Daud-hi3oe
    @Daud-hi3oe Před 3 měsíci

    Kama ulaya

  • @user-wd4ir8dk2s
    @user-wd4ir8dk2s Před 10 měsíci

    Ety wko rive

  • @bellam.vyampi5528
    @bellam.vyampi5528 Před 10 měsíci

    Ayoo TV hamna bayaa

  • @isaackamando8484
    @isaackamando8484 Před 10 měsíci +1

    Wazee wa pirated games tutakuwepo apo kudownload cracked games! Need for speed unbound sina hii game ntakuja kuidownload

  • @jeromeshirima2053
    @jeromeshirima2053 Před 10 měsíci

    Mngerekebisha paaa liwe kubwa mpka watu wa chini wasinyeshwe na mvua na juu mfunge panel Za solar apo ndo yatakuwa ukarabati wa maana sio uwo kwa iko kiwango cha pesa

  • @charleswilliam2481
    @charleswilliam2481 Před 10 měsíci

    VAR wapi?

  • @msafirimfilinge8222
    @msafirimfilinge8222 Před 10 měsíci

    Vioooooooni mtangazaji 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣😂😂😂😂😂😂

  • @masakaupdate1488
    @masakaupdate1488 Před 10 měsíci +1

    Kweli tanzania yangu eti bilioni 30 ivi nyie hhhhh acheni utani apo bilioni 2 tu ila TZ nchi ya wahuni 🇹🇿✋

    • @geofreymahujilo9600
      @geofreymahujilo9600 Před 10 měsíci

      AWAMU YA KWANZA TAYAR,
      BADO AWAM YA PILI NDO KUBWA KULIKO HII

  • @sabrinakassimu
    @sabrinakassimu Před 10 měsíci

    msinge weka wifi mnge weka VR inge pendeza zaidi

  • @kingdavidmoto6149
    @kingdavidmoto6149 Před 10 měsíci

    Bilioni 31 duuu😢😢

  • @nicksonclinton5842
    @nicksonclinton5842 Před 10 měsíci

    Led mmetisha yaani mnapiga hela tu

  • @KidoKasimu-fr4fz
    @KidoKasimu-fr4fz Před 10 měsíci

    Kununuwa V R msisahau pia , hicho ndichocha muhimu than mambomengine muboreshe.

  • @AraphaKhamis-dv4pt
    @AraphaKhamis-dv4pt Před 10 měsíci

    Mbn hayo mabango cyo hd

  • @Raymondi23
    @Raymondi23 Před 10 měsíci +1

    Wa pili😂

  • @Kijana-wa-Tanzania
    @Kijana-wa-Tanzania Před 10 měsíci

    Bilion 31 kukarabati uwanja?😮
    Acheni wizi serekali ya ccm. Bilioni 31 inajenga uwanja mpya wa hadi wakaaji elfu 20 na unakamilika.
    Uwanja umekuwa ukiingiza pesa toka ulipozinduliwa, leo mnatoa kodi zetu kufanya marekebisho.
    Acheni ujambazi majizi ninyi.
    CAG tafadhali pitia hiyo.

  • @FrimatiremjiMassawe-ss5bv
    @FrimatiremjiMassawe-ss5bv Před 10 měsíci

    Kweli tunajitaidi kimtindo ila bado xana kiukweli

  • @abdulkadirramadhan
    @abdulkadirramadhan Před 10 měsíci

    hv hiz za uwanjan wachezaj wakiwa wanachez mpira ukipgwa juu hiz taa haziwez waumiz macho na wakashindw kuon mpira

  • @erickndabhasik1727
    @erickndabhasik1727 Před 10 měsíci +1

    Vyooni waweke walizi ili watu wakijoe wakiwa wamesimamiwa

  • @Migabo928
    @Migabo928 Před 10 měsíci +1

    Eti kombe la dunia 😅😢

  • @allywaziri1997
    @allywaziri1997 Před 10 měsíci +1

    Tuiheshimu simba

  • @MaikoKonya-ue9zt
    @MaikoKonya-ue9zt Před 10 měsíci

    jamn B 31 uwanja mwngn... Ukarqbt tu

  • @brysonkaale3003
    @brysonkaale3003 Před 10 měsíci

    Nguvu kubwa ielekezwe kwenye vyoo,ni pamoja na usimamizi makini na wahudumu wa kutosha ktk eneo la vyoo.

  • @GabrielalmightyTanzania
    @GabrielalmightyTanzania Před 10 měsíci

    Nasikia kuna yale mabendera ya Rainbow huko 😂😂😂⚠️

  • @SeveriniKazaura45-ek3jw
    @SeveriniKazaura45-ek3jw Před 10 měsíci

    Dah uyu mzee mtamchosha

  • @omarybakunda2554
    @omarybakunda2554 Před 10 měsíci +4

    Samia anamawazo mazuri sana.

    • @ajeymoses
      @ajeymoses Před 10 měsíci

      czcams.com/video/XN9ALi0JFJs/video.htmlsi=pNKY0lX2Ce2Q4ADl

    • @ajeymoses
      @ajeymoses Před 10 měsíci

      czcams.com/video/XN9ALi0JFJs/video.htmlsi=pNKY0lX2Ce2Q4ADl

  • @salimsacy6973
    @salimsacy6973 Před 10 měsíci

    Duuh hayo ndo makabati ya kisasa hiv mnaona Makati ya kisasa kam pale bernabeu

  • @IjumaaIjumaa
    @IjumaaIjumaa Před 10 měsíci

    Hawa wamisiri ni waislamu au mayahúdi wamekubali kutangaza ushoga

  • @NorberthThobias-fp3rt
    @NorberthThobias-fp3rt Před 10 měsíci

    Uko pw

  • @user-eg8nc1gt2k
    @user-eg8nc1gt2k Před 10 měsíci

    Badilishen na ile screen kubwa

  • @flova7022
    @flova7022 Před 10 měsíci

    Tatizo naona ushogaa

  • @OriginalKibiki
    @OriginalKibiki Před 10 měsíci

    Nmekubali kwa marekebisho ila kwenye 31bilion duuuuh😅😅😅😅tumrpigwa kama bilioni 13

    • @kabwelasutiviraka4765
      @kabwelasutiviraka4765 Před 10 měsíci

      Umewahi kukarabati uwanja wako unajua thamani ya vitu na gharama zake au unaropoka tu umeshiba makande unaropoka tu

  • @lothphin_starpercent
    @lothphin_starpercent Před 10 měsíci

    Issue ya seat no. vipi? mambo ya umelipia VIP alafu unakaa mzunguko sio Sawa

  • @RamadanPaul
    @RamadanPaul Před 10 měsíci +1

    Mama kajitahid bwana

  • @deliciouschalse8776
    @deliciouschalse8776 Před 10 měsíci

    Mhuuu wasije wakawa wameboresha tu kwa wakubwa!!!!! Maaana hawaonyeshi.

  • @RahelMwakasala-zw6qw
    @RahelMwakasala-zw6qw Před 10 měsíci

    5

  • @vincentjohn3193
    @vincentjohn3193 Před 10 měsíci

    Vip kuhusu VAR Kwann wasiweke

  • @Daud-hi3oe
    @Daud-hi3oe Před 3 měsíci

    Niulaya vile