RAIS SAMIA AKIKAGUA JENGO LA ABIRIA KIWANJA CHA NDEGE MPANDA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 25. 08. 2024
  • Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akikagua jengo la abiria katika Kiwanja cha Ndege Mpanda mara baada ya kuwasili katika uwanja wa ndege huo mkoani Katavi ikiwa ni sehemu ya ziara yake aliyoianza leo tarehe 12 Julai, 2024.

Komentáře • 16

  • @abdulhajiahmed8735
    @abdulhajiahmed8735 Před měsícem +1

    Kazi iendelee lets Work continue hongera mheshimiwa rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dr S Hassan

  • @issahajjiira5411
    @issahajjiira5411 Před měsícem +2

    Mama tuwachie urais wetu kwanza hujiwezi Tena unajilazimisha tu , umezeeka mama

  • @ramadhanmwandambotuntufye5972
    @ramadhanmwandambotuntufye5972 Před měsícem +1

    Mheshimiwa Raisi, karibu na huku kigoma,

  • @issahajjiira5411
    @issahajjiira5411 Před měsícem +1

    Watanganyika tunataka Rais wetu

    • @ndukulusudikucho_
      @ndukulusudikucho_ Před měsícem +2

      acha kupoteza muda, tafuta kazi ya kufanya hizi mada zitakuzeesha tu mwisho vitakufanya uwe mchawi

  • @Nedjadist
    @Nedjadist Před měsícem

    1.4 b ! Hata nyumba ya mjomba wangu ya 300m ni nzuri zaidi! Huu wizi utakwisha lini? Kwa kweli inaudhi. Na huyu mama akubali kudanganywa? Funga, fukuza, taifishaaa.

  • @lakasid3860
    @lakasid3860 Před měsícem

    Hilo ni jengo la abiria au nyumba ya kupanga? Acheni utani kuna watu binafsi wanajenga mijengo ya maana kwa 1.4 Billion halafu eti serikali ndiyo inajenga kajengo gani hako 🤔

  • @karolikisaka8991
    @karolikisaka8991 Před měsícem

    Nawaza Hawa watu wameenda kukagua uwanja wa ndege na si ajabu Kuna mtu hajala na anawaza mchana atakula Nini.
    Hebu wananchi badilikeni
    Ccm inawapofusha macho msione.
    Kuna mikoa Iko imewekwa akina kubwa ya umasikini ili iwe mtaji wa ccm

  • @yordanyona1234
    @yordanyona1234 Před měsícem

    Hatimaye kaenda kwa vifaranga vyake

  • @mambas264
    @mambas264 Před měsícem

    Vizuri mama. Ila pesa mmepiga, niliposikia 600m nilijua ni inclusive kila kitu. Lakini 1B+ kwa ajili ya mifumo? Ipi? System integration ya TAA na CCTV ndio zimetajwa pekee. Tunataka viongozi wawe na uwajibikaji na uzalendo.

    • @AfricaQueen
      @AfricaQueen Před měsícem

      Uchaguzi unakaribia hawa watu dah! Wanajua danganya toto je kule Tanga kimekwisha tangu enzi za ukoloni wanakarabati tu mji kufa watu wanakula pesa ni wale wenzie wanamuangusha sio kosa lake inauma😭

  • @johnfani9380
    @johnfani9380 Před měsícem +2

    Mama umezidi upore mno watakuibia sana

  • @MohammedJaizan-yf5yt
    @MohammedJaizan-yf5yt Před měsícem

    Leo mpanda Wana jengo lipya la abiria na mwanza bado Wana jengo lakutoka ukoloni aibu kwa mwanza.
    Mama futa KAZI viongozi wote wa mwaza