MUNGU ALISEMA UKIWA LOFA USIENDE KANISANI| MUNGU AMEANDAA MAZINGIRA YA UTAJIRI, UMASIKINI NI UZEMBE.

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 11. 07. 2024
  • 𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2024 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm
  • Zábava

Komentáře • 48

  • @allahisone6386
    @allahisone6386 Před 23 dny +9

    ALHAMDULILLAH
    MUUMBA WANGU
    NIFISHE KWENYE UISLAM

  • @MichaelNgowi-nc3vn
    @MichaelNgowi-nc3vn Před 23 dny +4

    Yesu Ali waambia wanafunzi wake nendeni mkaihubiri injili mkisema ufalume wa mbinguni ume karibia pozeni wagonjwa fufueni wafu takaseni wenye ukoma toeni pepo". Mme pata bure toeni bure. Msichukue dhahabu Wala fedha Wala mapesa mishipini mwenu ,, soma mathayo sura10:7-15

    • @allahisone6386
      @allahisone6386 Před 23 dny

      😅😅

    • @goldmansun5859
      @goldmansun5859 Před 17 dny

      Soma biblia uelewe, bila sadaka huduma itaenda wapi, ujue hata Yesu alikuwa akipokea sadaka, unajua nani alikuwa anazipiga?Mr Yuda, usichomoe kaandiko kamoja tu tumia na akil yako, sema kuuza muujiza ni kosa kibiblia

    • @goldmansun5859
      @goldmansun5859 Před 17 dny

      Halaf ulishawah kwenda kwa mganga bila kitu, kama hapana hujawah na haiwezekan basi usimdharau Mungu

    • @MichaelNgowi-nc3vn
      @MichaelNgowi-nc3vn Před 17 dny

      @@goldmansun5859 Bado huijui Imani na upo nyuma sana kiimani ivo watu kama nyie mna hitaji msaada wa ziada kumtambua mungu ipasavyo

  • @barakakevela245
    @barakakevela245 Před 23 dny +3

    MCHUNGAJI LUSEKERO YUKO SAWA UNAENDA KANISANI UKIWA LOFA TATIZO WATU WENGI HAWAPENDI KUWAAMBIA UKWELI

  • @user-sj3wf5vz7l
    @user-sj3wf5vz7l Před 23 dny +1

    Nampenda mzee wa upako huwa hapindishi maneno.

  • @aboudasilver6541
    @aboudasilver6541 Před 23 dny +2

    Yup sawa huyo😊

  • @user-sj3wf5vz7l
    @user-sj3wf5vz7l Před 23 dny +3

    Ni kumdharau mungu kwenda kanisani mikono mitupu. Ukikosa hela peleka hata mahindi.

    • @goldmansun5859
      @goldmansun5859 Před 17 dny

      Ulishawahi kwenda kwa mganga bila kitu, hahah, tusindharau Mungu

  • @AmbokileIbrahim
    @AmbokileIbrahim Před 21 dnem +1

    Bora umpende mungu ,soma

  • @hamisimkoma7380
    @hamisimkoma7380 Před 23 dny

    Dah!

  • @user-sj3wf5vz7l
    @user-sj3wf5vz7l Před 23 dny

    Ni sawa huwezi kwenda kwa Mungu mikono mitupu.

  • @ombenimbise9293
    @ombenimbise9293 Před 23 dny +1

    Tutaona na kusikia mengi hizi nyakati, huku Lusekelo huku mwamposa. Kazi ipo .

  • @gabrielmchau8764
    @gabrielmchau8764 Před 4 dny

    Mungu amrehemu huyu

  • @alzawahirabdallah2299
    @alzawahirabdallah2299 Před 23 dny +1

    Wachungaji wezi tu hao wanataka sadaka tu

  • @RaphaelKaswahili
    @RaphaelKaswahili Před 23 dny +1

    Kumsikiliza huyu ni sawa na kuvaa kondomu iliyotumika 😅😅 yaani ni uchafu kama uchafu mwingine

  • @fidelfidel-jz4iw
    @fidelfidel-jz4iw Před 23 dny

    Yupo sawa kabisa tumifunikwa gunia kichwani mungu alimuumba mtu na kumpa utajili hapo kuna shida mtu akiwa maskini hiyo ni ahadi ya mungu imagine madini mashamba bahari mafuta gas nk mungu aliweka kutusaidia ila binadamu ndio anayesababisha shida yote hii.

    • @andrewmhagama9816
      @andrewmhagama9816 Před 23 dny

      Ndugu Mungu anaposema utajiri anamaana ya Mtu mwenye neno la kweli .Ata ukipewa vitu vyote alafu ukakosa ufalme wa Mungu si umejisumbukia nafsi yako?
      Watumishi wa sasa ndio mafarisayo wa kipindi cha Yesu. Neno limefunguliwa kwa wao limefungwa hawaelewi.

  • @Zenny89
    @Zenny89 Před 19 dny

    Hawa Wezi tuu wanajifanya watumishi wa Mungu

  • @user-iw1ro5lh9d
    @user-iw1ro5lh9d Před 23 dny

    🤔 Dunia ina matokeo yaajabu.Wakati wa Kuomba,Nusura ya Mungu wa Mbinguni,ni huu sasa.Tukizembea ndio.Tusubiri Majanga ya Kutengezwa...👈

  • @user-px3po9lt8g
    @user-px3po9lt8g Před 20 dny

    Duuuuh mwisho wa siku tutatozwa mbaka pumzi tunayovuta zama za manabii wa uwongo ndio hizii someni vitabu vya dini sio maji mafuta jamanii

  • @universaldesign4295
    @universaldesign4295 Před 23 dny

    Amejibu in very political way, safi kabsa...

  • @hamoudcreator6343
    @hamoudcreator6343 Před 23 dny +1

    DAAAHHH, YANI MTU ANAONGEA BILA HATA USHAHIDI KUTOKA KWENYE HUCHO KITABU ANACHOKIAMINI.. SIASA KWENYE DINI.. WATU WAZIMA WAMEKAA WANAITIKIA, WAKITOKA HAPO HAWAFANYI HATA UCHUNGUZI WAO BINAFSI, NDO IMEISHA IYOOO... MUNGU TUONGOZE WAJA WAKO 🤲🤲🤲

  • @user-db6ej8cc1n
    @user-db6ej8cc1n Před 23 dny

    Duh siku za mwisho

  • @robertkisasa1346
    @robertkisasa1346 Před 23 dny

    mzee wa upako kiukweli ana knowledge sana na neno la Mungu ila tu kauli zake anavyoongea anaongea kinamna flani watu wanaona wanatukanwa😀😀😀😀...halafu sisi masikini tunatakaga sana huruma

  • @edwinmbunda6709
    @edwinmbunda6709 Před 18 dny

    Kutoza muumini ili kumuona Mchungaji, Nabii ni utapeli, wizi

  • @franklinjoseph5487
    @franklinjoseph5487 Před 23 dny

    Nyinyi wote mnaitajika kisi

  • @user-gv2un4jl3m
    @user-gv2un4jl3m Před 23 dny +2

    Jamani Adela malofa tusimuabudu MUNGU? Kisa hatuna pesa Tobaasa

  • @evaristkobelo3936
    @evaristkobelo3936 Před 19 dny

    Kanisani ni mahali pakujifunza njooni tujifunze

  • @sorwasoudy6256
    @sorwasoudy6256 Před 23 dny

    Hamna kitu apa,,anapotosha t.

  • @festofeisag392
    @festofeisag392 Před 20 dny

    Nmeingiza kitu

  • @stewartmgallah
    @stewartmgallah Před 23 dny

    Tufanye hiviii yeye aachane na sadaka za kanisa alafu atafute utajiri na asipopata asirudi kanisani

  • @MichaelNgowi-nc3vn
    @MichaelNgowi-nc3vn Před 23 dny

    Hamna kitu apo siwezi kupoteza muda kumsikiliza pumba uyu

  • @noahchepe8036
    @noahchepe8036 Před 19 dny +1

    Mpuuzi tu huyu! kwahiyo kama mtu ni maskini hafai kuingia kanisani. Masikini si ndio aingie kanisani aombe mungu akafanye kazi ili afanikiwe?

  • @osmanhajj3059
    @osmanhajj3059 Před 20 dny +1

    Uislamu raha karibunii

  • @nduwayoplacide3174
    @nduwayoplacide3174 Před 23 dny +1

    These so called men of God ni wale waliosemwa kwenye Bible ambao watakuja siku za mwisho wa dunia

    • @GibsonNtamamilo
      @GibsonNtamamilo Před 23 dny

      Bahati mabaya kwa dhambi uluzonazo huna jicho la kimungu kujua hilo😂😂😂

  • @albertvalentino130
    @albertvalentino130 Před 23 dny

    Kwani yeye huyo MZEE LUSEKELO ni tajiri ? --- Mzee LUSEKELO acha kupptosha watu ---- unadanda danda tu.Hicho unachokizungumza,kinakubaliana na maandiko ? --- " Mungu hahitaji visaidizi --- " umefirisika kiroho mzee "

    • @BenjaminChakwe
      @BenjaminChakwe Před 23 dny

      We chura kweli we kwa akiri zako huyo ni masikini tuulize sisi tunaemjua hadi nyumba zake

  • @zebedayokatamaduni9676

    Lusekelo umepata pesa kidogo moyo wako umesha badilika , usidharau watu maskini, ni watu wa Mungu.
    Mungu hakusema marofa hayo ni maneno yako. Mungu alisema tusiingie nyumbani mwake mikono mitupu.
    Maana yake Kutoa ni Ibada.
    Mungu asinge sema hilo neno watu tungetumia hiari kwenda na kitu au la. Sasa umeweka dhana kwamba hilo neno lina wahusu malofa hapana siyo tafsiri sahihi ya hilo neno.

  • @PrinceMgambwa-h7r
    @PrinceMgambwa-h7r Před 23 dny

    Wakala wa mizimu na uchawi ndiyo huyu anajiita chufu