HAWA ALIKUWA MKE WA PILI WA ADAMU| ADAMU ALIANZA KUUMBWA NA LILITH KABLA YA HAWA, HAKUWA MNYENYEKEVU
VloĆŸit
- Äas pĆidĂĄn 11. 07. 2024
- đȘđđđđđđđđ ©2024 đŸđđđđđ đŽđđ
đđ. đšđđ đđđđđđ đđđđđđđđ
.
#wasafi #wasafitv #wasafifm - ZĂĄbava
Maswali mazito na majibu mepesi kutoka kwa tapeli wa injili. đąđą
Kweli kaka
tapeli kweli kweli. ukweli anaujua hataki kuweka wazi kwani kashapotoka.
hawez kujibi hilo swali kwa ufasaha jibu kwa ufupi hana na hawez kutowa jibu lenywe
đđđ
'Gnosticism' Hii ndo hatari ya kutokukulitumaini Neno la Mungu (BIBLIA). History of Canonization inajieleza kuhusu Biblia. By the way Yesu alifanya reference ya TENAKH ( HEBREW'S LITERATURE'S) Luke 24: 44.
Lilith story inatoka kwenye "Gnosticism" roots na wala sio maandishi ya kuambatanishwa na Biblia. Ni maandishi ya jamii za siri kinyume na Biblia ili kuupinga ukweli wa Biblia.
GOD IS LOVE.
Wewe ni kipi kinachokufanya uamini Moja Kwa Moja biblia?
@@user-ws1bs5sw4c
Ushuhuda ndani ya Biblia ni dhahiri ukiisoma kwa moyo wa Imani (Kusikiliza Mungu anasema nini nawe). Pia ni kitabu chenye nguvu ya kubadilisha maisha, kimebadilisha ya kwangu. Lakini ili nikusaidie zaidi. Zipo sababu hizi
1. Biblia ni kitabu cha kale kuliko vitabu vyote na wakati huohuo nikitabu cha kisasa kuliko vitabu vyote.
2. Biblia ni kitabu kinachopemdwa sana na ni kitabu kinachochukiwa sana pia.
Chunguza
- Vita ngapi zimepiganwa dhidi ya Biblia
- Ni mara ngapi watu wamejaribu kuitokomeza Biblia.
- Ni watu wangapi wamepoteza maisha kwaajili ya Biblia.
3. Ni kitabu cha pekee ambacho kimechukua muda mrefu zaidi kukiandika.
4.Kitabu pekee kilichoandikwa na waandishi wengi (takriban 40), wasomi kwa wasio wasomi kwa wakati tofauti tofauti na kutoka mahali tofauti tofauti lakini ujumbe wao unapatana (Harmonious message)
Ingawa waandishi hawakujua kama wanaandika Biblia na wala hawakushauriana.
IKO SIKU UTAKUBALI TU, KUWA BIBLIA NI UJUMBE KUTOKA KWA MUNGU.
Kitheologiaaaa Kabisa umemjibu hayo anayoyasema Mzee n maneno ambayo hayavuviwa kutumika so the story of Lilith is not biblical
Kuwatoa watu kwenye uongo waliodanganywa miaka mingi ni kazi ngumu sana. Wenye kusema Lilith story isn't biblical wanaweza sema hata story ya kitabu cha Henoko na vingine vilivyoondolewa pia sio biblical just kwa sababu havionekani "banned"
Biblia sio kama vitabu vingine vya dini vinavyosaidiwa na Hadithi na vitabu visivyo na uvuvio , mzee wa upako asidanganye watu kwa kutumia kitabu Cha Henoko
Jesus said that âa man shall leave his father and mother and be joined to his wife, and the two shall become one flesh.â Jesus spoke of one man and one woman marrying. He said that marriage is made up of one man and one woman. The two make one flesh.
Swali logical tu, statistically mbona wanawake ni wengi kuliko wanaume ina maana hao wa ziada hawana haki ya kuwa na mume au hawana haki ya kuzaa wameumbwa kuishi maisha ya upweke miaka yao yote hapa duniani??
Kwa hiyo binadamu wakikubaliana ushoga ni njia ya mahusiano Mungu atayaheshimu? Kweli heri kijana maskini mcha Mungu kuliko Mzee mfalme mpumbavu. Kweli una kila sababu ya kuangalia ni wapi ulijikwaa ukaanguka ukatubu na kumrudia Mungu, ulianza kwa Roho ila unakoenda kumaliza waenda kumaliza kwa Mwili Mzee.
Kweli kabisa kaka
Huyu Mzee hajawahi hata kuokoka ujue ila ni sasa ndo amejifunua alivyo!
au labda mm sijui ila kama nachosema ni sahihi huyu jamaa atakuwa muongo na mpiga dili
yesu alisema yoyote amuache mkewe na kuwa na mwanamke mwingine amefanya uzinzi hapo hakusema wake amesema mke sasa hayo anayosema usimwache mke wa kwnza ameyapatia wapi
Tena kama Yesu aliwajibu akawaambia "Musa aliwaandikia Taraka Kwasababu ya ugumu wa mioyo yenu lakini tangu hapo mwanzo Mungu aliumba mwanaume na mwamke," Note; mwanaume yaani mmoja na mwanamke yaani mmoja. Tena imeandikwa mwanaume ataachan na wazazi wake na kuambatana na mkewe, elewe neno MKEWE.
Huyu Mzee wa upako anapotosha sana tuweni sana makini
â@@christianmenas9528kwani wanawake ni wangapi duniani na wanaume ni wangapi duniani? Ninyi mnahesabugi wanawake ila mbele ya Mungu mwanamke ni mmoja na mwanaume ni mmoja hata muwe ma Millions ni mtu yule yule uongo umeshawaharibu kichwaniđđđđ
Ni mtume paulo
Safi sana Mzee wa Upako, Nimeamini kweli unasoma na kutafiti mambo ya Biblia.
kwa asiyefahamu, haya yameandikwa katika machapisho ya "The Alphabet of Ben Sira" katika tamaduni za kiyahudi kati ya 700-1000CE (Early jewish literature).
Kwenye Biblia; Mwanzo 1 " Mungu akawafanya mtu Mume na Mtu Mke"....,
Mwanzo 2 " Mungu akamfanya Eva...".
Unaona kabisa kuwa kuna kipengele cha taarifa hazipo, na hakuna uhusiano kati ya Mtu Mke na Eva sababu kilichotolewa kwa Adamu ni Ubavu na sio (Mtu Mke).
Hivi utakua na akili timamu kweli kuamini kitabu kilichoandikwa kati ya mwaka 700 na 1000 AD kuhusu kuumbwa kwa Adamu? Na wala siyo early Jewish literature kwa sababu vitabu vyote vya Agano la Kale vime predate hiki kwa zaidi ya miaka 1,000! Tena kimeandikwa Uarabuni! Haupo serious wewe!đđđđ
No kweli ukisoma biblia yoyote kuna contradiction hapo mwanzo 1.1 kuna maadishi yana miss, uumbaji wa mwanamke umetamkwa Mara 2 kama alivyoeleza jamaa
@@joshuamassawe2474 Ndio. Hapo ni sawa na mimi kukuuliza: Mbona wewe unaenda ibadani kumsikiliza mtumishi aliezaliwa juzi tu hapa, na sio myahudi na unaamini mafundisho yake?? Unaakili yimamu kweli??
Ndugu, kama wewe unasoma biblia tu, basi unaufaham finyu sana kuhusu biblia yenyewe.
Mwisho wa yote, utafiti ni jambo la mtu binafsi. kama wewe huamini Baki hivyo. Sio lazima kwako!
@@joshuamassawe2474 Haujaelewa, ndio shida. Ndo maana Mzee kasema "inatakiwa uwe na mawazo huru kuelewa mambo,sio uje na akili ya kimapokeo utabaki gizani".
Nashauri ni vizuri utafiti mambo kwa kina kwanza kabla hujajibu.
-Nimemaanisha Chapisho limeandikwa kati ya kipindi hicho lakini ndani yake limerejea mambo ya kale ikiwemo Kipindi cha Adamu.
-Ni sawa na biblia ilivyorejea mambo ya Uumbaji Lakini haijaandikwa siku Adam anaumbwa.
Hoja yako ni sawa na kuuliza : Hivi unaendaje ibadani kumsikiliza Mtumishi ambae ambae ni waJuzi tu, wala sio myahudi na hajawahi hata kuwaona waliomo kwenye biblia, alafu unaamini mafundisho yake??? Hivi unaakili timamu kweli?? Haupo Serious wewe!
Hoja ya Uarabuni haina mantiki. Biblia uliyonayo imetafsiriwa na kuletwa kwako na WAzungu Wamissionari. Haikuletwa na Wayahudi.
Wayahudi hawakutaka hata umjue Mungu wao.
Tatizo mnasoma biblia kwa akili zenu ndogo,uumbaji wa kiroho na mwili , kwa lugha zingine imesema kuumba na kufanya, mwazo aliumba roho na ndio maana aliumba kwa kutamka lakin akaja kuufanya mwili wa adam na akampulizia pumzi ya uhai na akawa hai, kisha akamtoa eva ndani ya adamu na mwili wa eva ulifanyika kwa mbavu moja , acheni kutunga maana kwakua mmekosa maana
Tumepigwa sana. Nimelia sana baaada ya kusikilizađąđąđą
Wasafi huwa tunapenda sana topic za vipindi vyenu vya mahojiano, tatizo lenu ni mnakelele sana yaani hamuachiani namna ya kuongea au kuhoji. Inakuwa kama genge la wahuni. Tungeomba mpeane interval ya kuhoji ninyi waandishi na mgeni mliyemuarika ajieleze kwa uwazi bila kuingiliwa ingiliwa.
Mahojiano ni mazuri shida iko kwa watangazaji wanashindana kuongea. Muwe mnapeana nafasi na kutenga muda wa kumsikiliza mnae muhoji.
Hasa kwny mada makini km hii
Wengi hawajasomea uandishi wa habari wameletwa hapo sababu ya uchawa
â@@wemakingdaily1462sahihi kabisaaa
Huyu mzee abatumia ujinga wa watu ili apate wanaume wengi kanisani kwake. Inasikitisha sana.
Mbona wamama mmemjia juu mzee wa upako jameniđđđ yupo sawa kabisa hapo turuhusiwe tu
Toa andiko lililokataza kuoa zaidi ya mke mmoja, andiko hupingwa kwa andiko
Toa andiko lililokataza kuoa zaidi ya mke mmoja, andiko hupingwa kwa andiko
@@abdalahmwendafeysal9093 amdalah unawachokoza dada zako wa kikristo wanakuwa wakali tuliongelea hoja hiyo utawasikia sa si mbadili tu dini muwe waislamu!!!! Ukiwaambia watoe andiko wanakwambia ukileta mke ye anaondokađđđ
Ufirauni ndiyo dhambi kwa Mungu ila mwanaume anapaswa kuwa na wanawake wengi ili apate uzao mkubwa. Jiulize swali, kwanini ukinunua mifugo mfano ng'ombe unachukua dume 1 na majike 5 ili upate uzao ila kwa binadamu ukweli unapotoshwa?
Nmekuelewa
đđđ
Una kitu broo
sawa sawa mpaka tujue ukweli woteđđđđ
Point sana Mkuu
Mzee wa upako tuthibitishie kwenye maandiko
so mi napinga naye kwenye issue ya mke wa pili based on new testament not old
on the issue of lilith he might be right based on Gen 1:27 means God created male and female on his image so it means men and women were created same day on God's image the question is who is that woman because on Gen 2:18 it shows aganin woman was created from Men's ribs so its little contradiction so many might have but i think best people to explain this are Romain Catholic priests
Haya zamu yenu sasa Wakristu kumbe wake 2 sio zambi wala wamjakatazwa kuoa basi tushirikiane kupunguza wimbi la Singo mama.
Amdalah đđđđ
tunaomba andiko
Mwanzo 18
Hii story naijua na kunamastory mengine mengi amby wanadai et bibilia haijaandika...ni kutoka ancient books
Kuna kitabu cha enock ambaye na babu wa baba ake na nabii nuhu inasemekana hicho ndio kitabu chenye siri nyingi kiasi kwamba walioandaa haya maandiko walikitoa kisiwepo
Bwana Yesu aliwajibu mafarisayo akiwaambia, hamkusoma yakwamba yeye aliyewaumba mwanzo, aliwaumba mtu mme na mtu mke, na kwasababu hiyo mtu atamwacha babaye na mamaye kisha ataambatana na mkewe na hao wawili watakuwa ni mwili mmoja. Bwana Yesu hakusema mtu ataambatana na wake zake, alisema mke wake, yaani akimaanisha mke mmoja. Na ndo maana hadi leo ndoa ya kikristo ni mke mmoja tu. Mzee wa upako mwambie akasome maandiko kwa upya. Afu siku hizi amekuwa mwongo tu.
Tangia uanze kusoma biblia,umeona wapi Ibrahim aliambiwa kuwa umezini baada ya kuwa na mwanamke mwengine tofauti na Sara? Huo unaitwa utawala wa fikra
Sisi tunaishi katika tamaduni za kirumi bila kujijua,maana hata ubarikio wa ndoa haukuwa unafanyiwa makanisani ili ionekane yenye baraka bali ilikuwa ni makubaliano kati ya familia na familia
Rumi ndiyo ilianzisha kufunga ndoa makanisani
Alisema hivyo kwakuwa mtu anaoa mmoja mmoja huwezi kuoa wengi kwa muda mmoja
ngu hakumba mwanaume na mwamke bali aliumba mwanaume tu badae akalete msaidizi akuumbwa elewa
Ibrahimu hakuwa mkristo.leta nifano ya Kianzia Yesu ndioe kielelezo chetu.chochote kabla ya Yesu kwenye hii mada haituhusi wakristo.
Kama unaitwa mkristo chanzo cha maarifa yako LAZIMA KIWE BIBLIA
Na mkisto ana pata maagizo na kanuni za mungu akiiga mfano na maagizo ya Yesu YOHANA 15:14
Visa vingi katika Biblia vimeandikwa ili kutu fundisha na viwango vya mungu vya mema na mabaya ni vikamilifu alipanga Biblia iandikwe na hakusahau jambo lolote SASA KWANINI USIULISE KWANINI YESU ALI KOMESHA kanuni iliyo katika
KUMBUKUMBU LA TORATI 19:21
Kwahiyo YESU ndiye nuru ya Ulimwengu aliletwa ili kututoa wanadamu katika giza na mizigo mizito hivyo kwa kuibeba nira yake ambayo sio mzigo mzito tutapata uzima wa milele
MATHAYO 19:5 USOME NA MSTARI WA 8
@@samwelishilabhi6005 1 Tim 5:23 SUV
Tokea sasa usinywe maji tu lakini tumia mvinyo kidogo, kwa ajili ya tumbo lako, na magonjwa yakupatayo mara kwa mara.
Biblia Hiyo yako inakuruhusu unywe pombe utasema Biblia kitabu cha mungu
@samwelishilabhi6005 1 Samweli 15:3 SRUV
Basi sasa nenda ukawapige Waamaleki, na kuviharibu kabisa vitu vyote walivyonavyo, wala msiwaachilie; bali waueni, mwanamume na mwanamke, na mtoto anyonyaye, ng'ombe na kondoo, ngamia na punda,
Biblia yako inakuruhusu uuwe mpaka mtoto anaye nyonya mpaka ngombe bado tu unatetea kitabu amacho kila siku kinabadilishwa
Sawa, lakini habari za Lilith chanzo chake sio bible moja kwa moja ila ni machapisho ya wayahudi.
Mwanzo 1
27 Mungu akaumba mtu kwa mfano wake, kwa mfano wa Mungu alimwumba, mwanamume na mwanamke aliwaumba.
28 Mungu akawabarikia, Mungu akawaambia, Zaeni, mkaongezeke, mkaijaze nchi, na kuitiisha; mkatawale samaki wa baharini, na ndege wa angani, na kila kiumbe chenye uhai kiendacho juu ya nchi.
29 Mungu akasema, Tazama, nimewapa kila mche utoao mbegu, ulio juu ya uso wa nchi yote pia, na kila mti, ambao matunda yake yana mbegu; vitakuwa ndivyo chakula chenu;
30 na chakula cha kila mnyama wa nchi, na cha kila ndege wa angani, na cha kila kitu kitambaacho juu ya nchi, chenye uhai; majani yote ya miche, ndiyo chakula chenu; ikawa hivyo.
Asante kwa neno hili wale wanaobisha kwamba Lilith hakuumbwa pamoja na Adam watuambie hapo kwenye "mwanaume na mwanamke aliwaumba" huyu mwanamke ni nani aliyeumbwa? Maana tumeambiwa Hawa alitolewa kwenye ubavu wa Adam
Mimi sina tena imani na dini yoyote asaiv đąđąđą
Dini ya kweli ipo!
Sali imani yako itakuponya
Wewe kwa Biblia hujui kuisoma na kuielewa? Soma Neno la Mungu likuongoze maisha yako.
Maana lazima tukue akili tuweze kuchambua neno linaro tufaa tuchukue, lisiro faa tuliweke pembeni ili tuwe salama katika Imani yetu ya Kristo Yesu.
Kaka dini ni uongo wa shetani mwenyewe. Soma Mwanzo 22:1 Inapingana na Yakob 1:12.
@@geofreyfrank3149 Nimepitia hayo maandiko kaka,na kwa kweli Hayapingani.unahitaji tu kufafanuliwa kwa sababu maandiko hayapingani bali yanapatana!
Muwe mnasema na hivyo vitabu ni vitabu gani au hiyo mistari ya huyo Lilith
Kitabu kinaitwa "The Alphabet of Ben Sira" kiko katika tamaduni za kiyahudi kati ya 700-1000CE (Early jewish literature), ndio haya yameeelezewa.
Kwenye Biblia; Mwanzo 1 " Mungu akawafanya mtu Mume na Mtu Mke"...., Mwanzo 2 " Mungu akamfanya Eva". unaona wazi kabisa kuwa kuna kipengele cha taarifa hazipo, na hakuna uhusiano kati ya Mtu Mke na Eva sababu kilichotolewa kwa Adamu ni Ubavu.
@@Brandpeople Ni kwanini hapo Mwanzo 1:26 tunasema ni Adamu akati haijaandikwa Adamu imeandikwa tuu Mume na Mke alafu sisi tunasema mume ni Adamu na huyo Lilith akati Biblia haijasema hivyo.
Lakini huo ni utangulizi tu katika ufafanuzi wa uumbaji mtu wa kwanza ni Adamu na Hawa.Ukiniambia kama hivyo unavyosema unatakiwa kunambiya pia huyo mume alikua nani hapa pa Mwanzo 1:26 sababu hatuoni majina
Neno Lilith halipo kwenye bibilia lkn ukisoma vzr kitabu cha mwanzo sura ya Kwanza na kuendelea utagundua kuwa Adam aliumbwa kwa udongo na mke. hapo lkn siyo rahisi kujua. Lilith ipo kwenye hadithi ya maandiko ya wahahudi.
@@jacobnduya798 Kama ni hivyo bas Adamu sio wa kwanza maana Bibilia imesema aliumbwa mtu mume na mke hapa hayakutajwa majina lakini sisi tunaunda huyu mke alikua Lilith na huyu mume alikua nani sasa maana Mwanzo 1:26 haijasema
@@mwankunjatyson Ndio maana nimekupa "Source" ili usome kwa uelewa zaidi Mr. Mwankunja.
Ukifuatilia utaona hadi majina ya Malaika watatu(3) waliotumwa kumrudisha Lilith Kwa Adamu baada ya kuamua kuondoka.
Hata chanzo cha Lilith kuonekana amekosa Utii kwa Adamu kimeainishwa.
Na pia maelezo kuwa Lilith ni nani na yuko wapi sasahivi/Leo hii.
Kuna mambo mengi, kifupi kuelezea hapa kila kitu itakuwa ngumu maana kila jambo litazaa maswali mengine zaidi.
Acha uongo mzee babu!
Leo ndio nimesikia kuwa haha ni mke wa pili
Lilith aliweka kiburi coz wote ni quality moja Sasa iweje unitawale Lilith akalaaniwa.then akaumbwa hawa kupitia Adam ndio Adam akasema huyu ni Bora coz ametokana na Mimi atanitii finally mwanamke ni mwanamke tu hawa nae akamtia changalamacho Adam wakala tunda wakafukuzwa kwenye Bata wakaletwa huku tupambane na maisha haya ya uchawi fitna majungu roho mbaya kuuana kusalitiana na kila balaa Yani wanawake Wana shida Toka mbinguni sio hiku duniani tu
Leta andiko au references zinazoeleweka nami nijifunze.
kwaiyo kila wanachokubaliana binadamu mungu anakiheshimu. pasta umetupiga apo
Wakusanyikapo wawili naye Yuko kat yao ujui?
â@@Ndenza
Ndugu ni kwa Neno lake ndio Mungu anakuwa katikati yao,sio ujinga wa mwanadamu
kwahiyo watu wakikubali ushoga yy anaheshimu Muongo huyu mpigaji
Hili swala ni rahisi sana kutambua aache uongo. turudi kwenye taratibu za Kikuhani na KUHANI NI NANI LEO?
Mmoja anakua mama tu acheni hizo, imani mila za wazungu, hata mababu zetu kabla ukoloni walikuwa hata na 11
Baba Levo eti akuchagulie cha hovyođđđđđđđđ
Fundisho hili la eva kuwa mke wa pili wa Adamu ni uwongo mkubwa sana sana na ni elimu ya kufikilika sana,chanzo ni mpinga Kristo na yameenezwa kutumia mitandao tu vitabu vya asiri havisemi hivyo.vimegushiwa .vitabu vyote vya kikatoriki,na kipentekoste ,hilo jina sio kweli
Swali logical tu, statistically mbona wanawake ni wengi kuliko wanaume ina maana hao wa ziada hawana haki ya kuwa na mume au hawana haki ya kuzaa wameumbwa kuishi maisha ya upweke miaka yao yote hapa duniani??
Hata Media anayotumia mzee wa upako ni ya wajenzi huru mnatarajia kuna habari gani hapo? Mzee wa upako unaviashiria vya kwamba mwisho wako umefika, na Mungu hatokuacha uendelee kupotosha tunaomba uzima na maisha marefu tukushuhudie.
Kweli kabisa
Kweli kabisa
inaskitisha sana mchungaji hana elimu kuhusu neno la Mungu kiasi hikonđąđąđą
Wewe ndio hauna elimu, wewe umekariri, Hilo swala la Lilith lipo kwenye biblia ila wewe ndio hujasoma
Unatumia jina la kiislamu toa kwanza hilo jina andika la kwako usijifanye mwislamu kumbe ndo nyie walewale
@@user-xd2tg8eq1h kwahiyo unataka niitwe nani kama hutaki nitumie jina langu, legeza ubongo upokee maarifa usijifanye unajua Kila kitu kumbe vingi hauvijui
Anachosema mchungaji kunakaukwel .. mana apo mwanzo kuwa na wake wengi iliruhusiwa ..soma again la kale ...mfano Ibrahim tu ..utajua. lakn walirusiwa kwa agizo la kutokuachana
Kuoa wake wawili watatu wanne, haikuwa hivyo tangu zamani,, kwani MUNGU aliumba mtu mume na mtu mke.
BANGI WEWE
Jaman sio kwa ubaya ila hawa oscar wao ni wachambuzi wa kitu gan?
Mpira wachambuzi wao
Matukio ya kijamii wao
Siasa wao
Uhalifu wao
Mbona imekaaje hiii?
We ulitaka wakuchambulie nini kat ya hivyo ulivyotaja
Nyinyi studio mnapiga mikelele swali aulize mmoja mumwache anaejibu ajibu mara mcheke cheke
mnakera na background music , yaani inakeraaa
Mzeee umeayaroga Sana Rudi Kwa MUNGU ukatubu
Ila oska malaya sana đđ;;(baba wa imani ibrahimi ana wake wawili wewe ni nani)
Hapa nimeelewa kumbe uzao wa adamu kwa mwanamke Lilith upo na uzao wa hawa upo ndio maana kuna mambo yapo tofauti sana.
Safi kabisa anaebisha aje atuoneshe wapi BIBLIA inasema usiowe mke mwengineđđđ
Huyu jamaa ameshakengeuka,yafaa atubu.Kwa sasa anatumiwa na adui kwa kujua au kwa kutokujua
Huyu mnyakyusa mwenzangu leo namvua vyeo.
Mwanzo sura ya kwanza inaelezea kwa mukhtasar juu ya uumbwaji wa ulimwengu na mwanadamu mwanzo 1:27 ... Alimuumba mtu mume na mwanamke.... Lakini ukija mwanzo 2:7 inaelezea kwa undani jinsi binadamu/Adam alivyoumbwa. So mwanzo 1 ni synopsis ya siku za mwanzo. Hakuna sehemu. Au unataka kutuambia adam aliumbwa mwanzo 1:27 kisha akaumbwa na adam mwengine mwanzo 2:7. đđđđ Sadaka zenu letu kwangu nilie chips naona huyu mzee mshamuungisha sana.đđđđ
Hvo vitabu vingine vimepatia wapi hzo habari ambazo hata kwenye bibilia hazipo!!?
Mzee wa uwongo kitabu Cha bibilia hakina mbadala kime jitosheleza, nasio kusoma kwa akili unavyo sema, bibilia huwezi kuielewa bila ya msaada wa Roho wa Kristo. Sasa wewe Roho wa Kristo huna.
hapo ndipo wakristo mnapoigwa yaani bibilia ili usome uwe na roho, roho manake malaika hv nynyi malaika haji tu atakipindi icho cha manabii wlikuwa hawaji tu mpaka watumwe na aliye waumba na siokila mtu ilikuwa kwa baadhi tu ya walengwa leo hii usome uwe na roho tkt dunia hii ya leo ya ushetani hakuna wakuongzwa au kutokewa na malaika kwa uchamungu gani mliokuwa nao mtu anaweza kupata ishara na hii inatokana na kiwango cha juu cha uchaMungu lkn sio malaika hamkeni hakuna cha roho wala nn
Mungu akusamehe maana hata hao unao waongoza utawapeleka motoni
Acheni tamaaa za wanawake
Na Hilo li baba levo halijui kutangaza saiti lake Lina rafuzi ya ki muha muha,limetoka mda mrefu kigoma lakin bado linasound kimuha
Dah! Watu mna siri!? Hivi kumbe mwamba (Adam) alikuwa na EX wake kabla ya hawa!?
Mnatukoroga kwa kweli........
Lakini kuliondokea manabii wa uongo katika wale watu, kama vile kwenu kutakavyokuwako waalimu wa uongo, watakaoingiza kwa werevu uzushi wa kupoteza, wakimkana hata Bwana aliyewanunua, wakijiletea uharibifu usiokawia.
2 Petro 2:1
Anajua sanaaa huyu mzeeeđđ
Ukiangalia kwenye move ya deval kingdom ya Steven kanumba Lilith ametajwa saana kama msaliti kwenye vitabu vya roho ya unabii
Naomba unisaidie kitabu kinachoongerea kuhusu Adam na wake zake
Mathayo 5
31 Imenenwa pia, Mtu akimwacha mkewe, na ampe hati ya talaka;
32 lakini mimi nawaambia, Kila mtu amwachaye mkewe, isipokuwa kwa habari ya uasherati, amfanya kuwa mzinzi; na mtu akimwoa yule aliyeachwa, azini.
Natamani siku moja wasafi wamualike bishop ngonyani fundi wa maandiko , alielezee hili sio hawa wachungaji njaa wasiojielewa afu bible ishaweka wazi na kusema tuzipime roho zidanganyazo na mafundisho ya kishetani
MWANZO 1:26 HADI 28 NI HABARI KW UFUPI KUHUSU KUUMBA WANADAMU NA JUKUMU LAO.
LAKINI KWENYE MWANZO SURA YA 2, MUNGU ANATAJA HATUA ZA KUWAUMBA,NA MENGINE MACHACHE. MSTARI WA 7 ADAMU ANAUMBWA,BAADA YA KUANDAA BUSTANI,
MSTARI WA 15 ANAMWEKA ADAMU HUMO.
MSTARI WA 18 ANAMWAMBIA MPANGO WAKE YULE ALIYEKUWA ANAMSAIDIA KAZI KWAMBA ANAKUSUDIA KUMPA ADAM MSAIDIZI(Adam hakuwa anajua hilo)
MSTARI WA 21 HADI 24 NI MCHAKATO WA KUUMBWA KWA HAWA.
NA KUHUSU MUNGU ANA MAONI GANI KUHUSU NDOA,TAFADHALI,SOMA MATHAYO 19:4 HADI 9 (KUMBUKA ANAYESEMA MANENO HAYO NI YESU KRISTO)
Wanaume wanapenda ngono cheki yanavoshabikia umalaya tu kuoga aaah...đ
Mmmh sio kweli
Anaweza kuwa tapeli lakoni wakristo wenzangu huo niukweli lilith ndyowakwanza kabla ya hawa
Uncharted waters!!!
Ukitafuta watu 2 duniani wasio mjua MUNGU. Wasiojua neno mzee wa upako nanba (1)
Pombe sio chai
Ibrahim alioa mke mwingine akiitwa katula soma mwanzo 1.25
Tunaangamia kwa kukosa maarifa. Tusomeni biblia jamani
Lilith kwenye bible Hilo jina halipo , na anacho kizungumza nii vitabu vya mediavel, wameandika hvyo vitabu , kwenye bible hakuna kisa chaa kusema Lilith hakumtii Adamđ
Et hakuna kichochoro chochote đđđ„đ„
Mzee anajua sana apewe maua yake angali hai
Haya ndio maua yake _ asipotubu atakufa katika uangamivu na upotofu WA kile alichokiumbs kwa fikra zake!
asee mze wa upak acha kudanganya watu huy lilith ulimuona wapi upuuzi unazingua dhambi haikuwako kipind hik
Ya asili ilianzaje na lini
A prominent idea within secular culture is that the Bible has been edited and portions of text were taken out. One such example cited by feminists is the character of Lilith.
According to the story, Lilith was the first wife of Adam and was made from the dust of the earth like him. She claimed equal status with him and refused to lie under him because of it. Lilith fled the garden of Eden and refused to come back when three angels tried to persuade her to do so. She was then cursed to be the mother of demons and would seek to kill Adamâs sons. Adam, now having no wife, was given the more submissive Eve who would listen to and obey him.đ
so ifs true alikuwa na watoto na watoto wake ndio mademons au
this is not biblical view,
@@thomassalvatory8303yes alkua na watoto na waliuwawa na methuselah
@@victorguapo7827 where do you get this share refences
proof
Yaani huyu baba bwana, huyo lilith ameandikwa wapi????mbona mnapenda sana kuonekana mnajua kuliko Mungu sasa???kwaio mnaenda beyond alicho andika Mungu?kwamba vingine amesahau kuatuambia au??mzee mzima km huyu lusekelo hata busara hamna, hajui hata kwanini Mkristo anaoa mwanamke mmoja hajui???eti ndio viongozi wetu ptuuuuuuu
Vitabu gani ivo si tunaangalia neno la Mungu ndo linatuongoza saiz đđđ
Ilo Neno limeandikwa kutoka kwenye vitabu hivyo anavyosema lusekelo ila walichambua TU wakaandika Biblia hii.halafu ikaaninishwa hivyo vitabu vingine ni ila za ibilisi na watu wakaanini hivyo Ndio maana mnampinga.
Vitabu vingine ndo vitabu gan?đ€Łđ
Aseee Uongo mtupu Sjui kanisa lake Lina hali gan? Hilo Andiko linatoka wap? Daaah very sad
na kuna watu wanaenda kusali kwake ni hatari heshimuni sana Roman Catholic coz wao wanastick kwenye bible hayo mengine hatuyajui
â@@thomassalvatory8303sawa kwasababu ya imani yako lkn sisi tuko na Bwana Yesu sio dini
Kweli kabisa yesu mwenyewe alisema mtu kwenye ndoa akitoka nje anefanya uzinzi
Mwanaume akiwa na wake wawili au zaid, je kunakuwa na miili mingapi? Maana tumeambiwa mke na mume wanakuwa mwili mmoja.
Akuna kitabu kinacho sema mtu awe na mmoja hiyo ni mipango tu ya watu furani kuupotosha ukweri hata sayansi ina kataa mke kua na zaid ya mume mmoja ila ina kubari mme kua na wake wengi zaidi maana yake mungu ndie alie amua piga ua na hata wewe unae pinga vil vimada vya nin baada ya mkeo fuata haqi acha kufata mbinu za wahuni waliozo panga
Huyu mzee wa upako amesoma dini ni kweli ninewahi kusikia hii habari
Huyu jamaa anapotosha hakukuwa na mwanamke mwingne kabla ya hawa
Mwisho wa ufahamu wako ISIWE mwisho wa Watu kujua
Huo ndio ukweli badala yakupigana na ushoga tunapingana kuhusu kuowa
Mzee wa upako ana kamba sana
Hamna voice procedure makelele tupu
Mim sijui tu mbona watu huamini hawa watu wanajiita wachungaji.
Mnadanganywa kabisa na wote mnachukulia kama mchezo.
Wew mwenye unajiita mzee wa upako it's better utubu kitu unapotosha watu hapo otherwise the LORD will deal and rebuke you..
Soma wewe biblia vizuri usimuite MTU muongo bila ushahidi wewe mwenyewe ukristo umeukuta babu zako walikuwa wapagani
Upagani ndio wanao ufata wakilixto kwaxa babu wana muamini nabii xwelemani alikuwa na wake wangap
Sasa Lilith alifukuzwa akaenda wapi..???
Acheni kupotosha
Mpuuzi huyu anadanganya watu harafu anajisifu anajua biblia. Wajanja niwengi sana dunia hii ya leo kuwa macho mkristo Yesu anarudi
studio mnapiga sana makelele kwakwel,,kuna mda inabidi mkiuliza maswal mtulie kwnza mtu ajibu,, sio mnakuwa kama walevi walevi, hakuna utulivu kabisa,, au mnadhan ndo mnanogesha,,
yan mfano had mzee wa watu anajitajd kuwatuliza
Sipati picha kama mahojian hayo angekuwepo mch Hananja nahis ningemuelewa.
Waongo hao Adam mke wake ni Hawa hakuna mwanamke mwingine
Hii story niliwahi kuisikia mahali.
Huyu mzee wa upako kweli muongo đđđ
Alipofukuzwa akaelekea wapiđđđ dah mzee wa upako anawaokota
Huyo Mzee cjui wa upako mjinga Adam na Hawa ndiyo binadam wa kwanza kuumbwa,, yeye km anataka kuzini azini,, laaa km anataka mke zaidi ya mmoja mwambieni asilim
đđđ yaani nilipoona tu hii comment nikapata taswira ya kuwa huyu lazima ni mwanamke hata kabla sijasoma jina lako yet nakuta waitwa Maryamđđđ mwacheni bhana mzee wa upako hapo yupo sawa kabisa nasi inabidi tuandamane turuhusiwe bhana hii mke mmoja ni ya akina Costantino walipotaka kuzuwia wingi wa wakristo
@@maryammussa2835 Sheria ya mke mmoja ilianzia wap?
Huyu mzee anayo hatari sana sana ,na ndugu zangu wakristo msifute haya mafundisho ni hatari sana
Msiyafuate hayo
Umeona adera đđ ila baba levo
Hao wazungu hapo mmewaweka wa nn wakati yesu sio mzungu ni mweusi
Kwa ilo mzee wa upako ni uongo kitabu gan kinasema hawa sio mke wa kwanza na tufuate bibilia au tufuate kitabu gan maana mamb yote yapo Kwenye kitab cha mwanzo
Huyu mzee ni mjinga! Anachanganya hadithi za kutunga na maandiko ya kweli! Huyu Lilith ni pepo, tena ameanza kuonekana kwenye literature za Wayahudi miaka 500 baada ya YESU na ni folklore, kwamba ni fasihi tu.
MUNGU huwaaibisha manabii wa uongo siku zote. Huyu ni mmoja wao. Anataka kujifanya anajua kuliko Biblia ila kadhihirisha hajui chochote, na kama hajui hata hayo kuhusu hilo pepo analodai lilikua mke wa kwanza wa Adam basi hastahili hata kusimama madhabauni, anapotosha watu!
KUMBE MZEE WA UPAKO ANA WAKE WENGI SASA?
This guy is not a priest⊠janja janja tu âŠ
Amenyooka huyu mwamba ndio maana hamtaki kumuelewa
@@muksinimbaruku1233 tatizo kuna vitu tumekalilishwa sana.. n hatusomi..
hilo la hawa kuwa mke wa pili ukisoma mtu atakuwa ameshapita
WASAFI MEDIA, MSIISHIE KWA MZEE WA UPAKO TU KWA SABABU HUYO SIYO MKRISTO TENA, ALISHAJICHANGANYA KWA KUTAFUTA UUNGWAJI MKONO KWA KUHALALISHA UOVU WAKE ASIOTAKA KUUTUBIA....! TAFUTENI WATU WENYE MAADILI YA KIKRISTO KAMA KINA GAMANYWA etc. ILI KUBALANCE STORY!
Acha gwamanya bishop ngonyani ata gwamanya anasubiri pale