Mtumishi wa MUNGU IPM, Hongera sana kwa neno lako na umejua sana kuelezea hii ni biashara ya watu. Asiyejua haya yote, atafute na asome kitabu cha aliyefanya mamboo hayo ya kuuza mafuta,maji,vitanbaa, udongo, hela za mapepo , n.k anaitwa Makhado Ramabulana, na kitabu chake kinaitwa Church Mafia. Soma utaelewa ni kitabu kizuri.
Mafuta na maji yakiombewa yanakuwa na nguvu ya kuondoa vifungo na nira vinavyopelekea magonjwa laana na mapepo,hasa ukiyatumia kwa imani, sema wanaoyachukua na kuyatumia ndio shida, akili za kuambiwa changanya na kwako
Kuhusu Kafara ya Wanyama mtumishi wa Mungu nakushaur kwamba iliishia msalabani kama unasoma maandiko vzr Yesu alpokata roho Pazia la hekalu lilikatika katikati kumanisha upatanisho wetu na Mungu ni kupitia damu ya mwana wa Mungu. Wanyama,biashara,mazao,na vngne vpo tu kwa ajili ya kutolea zaka na sadaka na syo vingnevyo. Mungu wa mbinguni awape uwelewa
Inamana walio kuwa wanatoa kafara Au sadaka ya wanyama walikiwa awantii mwenyezi mungu? Acha kuzarau agano la kale. Ayo yote ni mapendekezo ya mwenyewe.
Daah brother umeongea facts ambazo wanufaika zitawauma sana! Watu wamepigwa na vitu vizito mpaka wanakuwa mazuzu Kwa kuamini vitu badala ya Mungu. Yaani huo mchanha ungewasaidia Israel na Palestina waache kuuwana. Asante Kwa upelmbuzi yakinifu
Anaelewa kur ani na mtume Muhammad alimtambua Issa na alisema kwamba yeye ndie prophet wa mwisho iweje yeye nae awe prophet? Si ni uongo? Muongo si mtu wa motoni? Huyu kaenda ukristo ameona kuna wadanganywa kirahisi na kujiongezea kipato. Hupati waislam wa kuwadanganya kirahisi. Sidhani kama anaombea watu bure na hachukui sadaka na kuzitumia yeye
Ana nini cha ziada hadi nae ajitawadhe uprophet? Kuna Yule wa Nigeria Joshua kumbe alikua na maovu kibao na wengi tu ni hivyo hivyo kudanganya tu na kujitajirisha
Neno lako ni zuri lakin apo kwenye kafara mchungaji sijaelewa Bado, nachojua mm kafara kafara ya dam ya yesu ilimaliza hakunaga mnyama au fahari inayoweza ondoa dhambi (damu ya yesu yatosha) amen
Some times ifike mahali watumishi wa Mungu mfocus na mambo yenu jmn kma mwenzio ana karama amekuzid basi mshukur Mungu kila mtu ana karama yake kma huna uwezo basi acha wanatoa muujiza watoe Mungu ndo hakimu wa kweli
Hujafanya utafiti ,Mungu akusaidie.waliofanikiwa Ni wengi mno.Na nani alikwambia wanaotoa mafuta wanawambia watu wasifanye KAZI.Jifunze bila Hila utajua Nini kinaendelea .Petro alipovua usiku kucha asipate samaki,shida ilikuwa Nini, na kwanini alipoambiwa na Yesu atupe nyavu alipata samaki wengi mpaka akaita watu kumsaidia.Yapo mambo mengi yanayozuia watu kufanikiwa licha ya kufanya KAZI kwa bidii.Mwombe Mungu atakufungua macho.asilimia kubwa ya wanaofanya KAZI kwa bidii ndio hafanikiwi wanapata mlo TU
@@richardsiame8328 kwa kuwa anekuwa mungu anahukumu watu au watumishi wengine yeye ni mungu au .kila mtu acheze kalata yake mwenyewe mambo ya watumishi wa mungu yeye inamuhusu nini.yeye kama kashidwa atulie au akalime vitunguu shamba
Ni kweli kwenye Agano jipya Yesu alikufa pale msalabani na damu yake imetukombo tena inafanya kazi mpaka sasa,hatuhitajiki kutumia tena damu za wanyama,tuanaweza kutumia damu ya Yesu Kristo kwa kuitamka,hayo mambo ya kafara ya kuchunja wanyama na watu yapo kwa shetani.
Waebrania 10:1-4”Basi torati, kwa kuwa ni kivuli cha mema yatakayokuwa, wala si sura yenyewe ya mambo hayo, kwa dhabihu zile zile wanazozitoa kila mwaka daima, haiwezi wakati wo wote kuwakamilisha wakaribiao. 2 Kama ndivyo, je! Dhabihu hazingekoma kutolewa; kwa maana waabuduo, wakiisha kusafishwa mara moja, wasingejiona tena kuwa na dhambi? 3 Lakini katika dhabihu hizo liko kumbukumbu la dhambi kila mwaka. 4 Maana haiwezekani damu ya mafahali na mbuzi kuondoa dhambi.”
Penye mzoga ndipo wakutanikapo ndege waitwao tai,brother. Ni kweli watu wanainuka kiuchumi baada ya upako na ndomana wanaweza kuhudhuria mara zote hizo na kutoa sadaka hizo mara zote hizo. Umati mnaouona kwa watumishi hao maisha yao yamebadilika na ndomana wanakua na uwezo wa kutoa kila wakati. Hawajaaminishwa,wanaona matokeo ndomana wanaendelea kwenda. Inashangaza kuona mtumishi wa Mungu anapoona miujiza anasema ni nguvu za giza! Hii tafsiri yake ni kwamba wanaamini shetani ndo mwenye miujiza mikubwa na sio Mungu. Mungu wao ana mipaka na matendo ya miujiza. Watu wameinuka kiuchumi sana na wao wenyewe ni mashahidi ndomana anaweza hata kutoa 50,000 kila wiki na alikua hata 2,000 hawezi kutoa. Watu wanakwenda ili kazi zao zifunguliwe na sio hawafanyi kazi,huo ni upotoshaji.
Die twee lesers wat onthou word, maar die wat nie geglo het in trots en spiesjies, hoeveel mense is voor hulle Hulle is 'n gevolg van hulle, en hulle het gesê: Hulle loop en wees geduldig met jou afleiding Ons het nie gehoor nie dit in die hiernamaals Dit is niks anders as 'n versinsel nie. Die Boodskap is uit ons midde gestuur Voor hulle was die mense van Noag en Aad Farao, die man met stokke, en die mense van Lot, en die metgeselle van Mekka reg Aqaba al -Masabar oor wat hulle sê en onthou ons dienaars, dit is dieselfde Die een wat 'n muddhur het Moenie bang wees vir die twee opsommings nie, ons wil hê ons moet dit doen, so ek sal onder ons wees met die waarheid Soetheid van die bose, ons het jou 'n opvolger in die land gemaak. Diegene wat deur die pad van God mislei word, het 'n ernstige pyniging van wat hulle vergeet het op die dag van die rekenskap. , of ons sal maak Die wat veilig is, doen die geregtigheid in die land in die land Wat is die aanbidder, want hy is 'n wyk Met die sluier, het hulle geantwoord op my, so hy het geslaag
Keki, chumvi, mafuta, maji na kitambaa ni biashara ya kichawi. Serikali inafahamu na imekaa kimya matapeli wanawaua watu kwa kuwaambia wasitumie dawa za hospitali wameponywa. Yatima wameongezeka kwa ajili ya vibaka waliyojificha kwenye dini.
Sema me ulinipiga lakimbili Mtumishi na hivo mbona na wewe huwa unauza kichupa Cha Asali kidogooo unasema hiyo Asali umeionbea ina Nguvu flani ya Mafanikio hicho kichupa Cha Asali unauza elf kumi
Wewe unakosoa makosa na wew unafanya makosa makubwa zaidi.Unawaambia wafanye kazi ya Kuuza pombe,sigara na vilevi ili kupata Pesa. Kama umeamua KUNYOOKA,NYOOOKA NA NENO LA MUNGU SIO MAWAZO YAKO
Hakalii wivu anawafungua wati macho wajue nini Mungu anasema siyo wivu kumbuka pia utafanikiwa lakini utaviacha hivo vote mtafute Mungu atakufanikisha mjue sana Mungu
Lalini mimi sitaki unafiki wewe IPM c uliwahi kuwauzia wafanya biashara na wafanya kazi mafuta ulikua unasema ni mafuta ya dhahabu we hukua mwongo acha unafiki wivu tu umekujaa
Prophet IPM ubarikiwe sana kwa ukweli wako nafwatiliya kabisaa pia Na mimi nimewahi kununuwa shule ya Tanzania kwenye kanisa ya SUNGUYE na Mafuta ya upako sijaona hata kitu kufanyikiwa hahahaha Mungu tusamehee kweli
Mafuta yanakusaidia kuondoa vipingamizi kwenye maisha yako my be uchawi nguvu za Giza amefungwa Kila anacho Fanya afanikiwi kwahio mafuta yanamsaidia anacho kifanya afanikiwe
Huyu Jamaa haekeweki kabisa ukiwa unasema unaamini ktk kafara Je wewe ulipewa Na Nani Hilo jukumu la kuwafanyia watu hizo kafara We ni mtume WA Nani acha ubwege Unamnyea mwenzako wakati we mwenyewe ni tapeli Huna Lolote fara 17:44
Duu😢,prophet anamwita mwandishi broo , maneno ya kihuni hayo afu unajiita nabii , umeongea point ila nakuona na wale wale tu ,manabii wa uongo unawapondea wenzako ila wote ni walaji wa waumini
Tuna jua ila mafuta nikama yesu alivyo pakwa mafuta ya bei mbaya na jule m mama wengi wana jatumia kwa jini ya kujilinda na maatui wa kidunia ila sio kwajili ya mafaniko
Mtumishi hakuna mtume au nabii mwenye uwezo wa kuuzia watu Kwa maelfu vifaa vya kiroho kama unavyodanganya watu. Sikatai Kwamba Kuna wanaoigiza upako na wanajipatia pesa lakini si Kwa kiwango kikubwa kivile. Pia elewa Kwamba Kila nabii au mtume wa kweli lazima awe na ufunuo wake aliopewa na Mungu. Wewe ni vizuri ukashughulika na mambo yako uliyotumwa na Mungu wako. Sijui wewe ni mtumishi gani unayetumia usembe?
Sasa na maji ya dhahabu ni mma.na yeye ndio walewale tu.hubilini injili ya kweli watu wamjue Mungu wa kweli sio mimaji yenu ukaona utokelezee kivyako ukaita maji ya dhahabu
Ondersoek met die mark en die bejaardes Niemand van my nie, na jou, jy is die spoke, so ons sal beloon word vir die troos van die wind Waar in my genade, my God, wys my die wonders van u vermoë, krag, onderdrukking , en tirannie, o God O God, O Yahi Yaqiyam, liewe Eerbewyse en die meeste, dit is, en vir diegene wat die oudstes van die Hel is, het hulle gebid, sodat hulle dieselfde sal wees, so laat hulle dit proe, die hitte en duisternis O God, stop die onderdrukkers, die tiranne. Hierdie golf kom saam met hulle , O Heer van die wêrelde, vir ons verraad in Palestina, Gaza, Rafah, en al die Palestynse lande hulle het gesê: "Wat is die saak met ons dat ons nie mense sien nie?" rusie tussen mense Vuur Sê: "Ek is net 'n waarskuwer, en daar is geen god behalwe Allah, die Een, die Allerhoogste," in die hemele en die aarde en alles wat tussen hulle is O, die Magtige, die Vergewensgesinde God, Amen, Here van die wêrelde.☝☝🤲🤲☝☝
Nilikuwa nakuchukia Sana ipm, kutokana na yale uliyokuwa unayasuport, na binafsi niliona kitu kikubwa kwako lakini mpaka Sasa ukibadilisha tu kidogo, ntakapokuja dar, ntakuja kusalia kanisan kwako.
@@lucaslupaso5824 alikuwa anafanya tafiti na hivyo amejiridhisha, na hivyo uwezi kuelewa jambo bila kwenda field, uwezi elewa uchawi bila kwenda kwa mchawi
Wewe ujapewa hayo mafunuo kaka waache waliopewa wafanye kazi zao, Mungu mwenyew aliwatifautisha Kwa karama na vipawa, ndo mana cyo wote ni wachungaji wengine ni Manabii, wengine Waalimu, wengine ni wainjilisti Kila mtu afanye kazi kulingana na nafasi yake na alichotumwa kufanya, wewe ujapewa kazi hyo, uwezi kujua misingi yake acha kupotisha uma kaka
Ni kweli kabisa. Ubaya ni kwamba mtu akishaenda kwa hao wachungaji hashauriki tena. Kuna dawa wanapewa zinawafunga wanakuwa wakali kweli ukitaka kuwashauri. Hata huku kwenye comment ukiona mtu anapinga huu ukweli jua kashafungwa hajielewi tena.
Mtumishi wa MUNGU IPM, Hongera sana kwa neno lako na umejua sana kuelezea hii ni biashara ya watu. Asiyejua haya yote, atafute na asome kitabu cha aliyefanya mamboo hayo ya kuuza mafuta,maji,vitanbaa, udongo, hela za mapepo , n.k anaitwa Makhado Ramabulana, na kitabu chake kinaitwa Church Mafia. Soma utaelewa ni kitabu kizuri.
Kitabu kipo Mtandaoni yaani soft copy bure.
Mafuta na maji yakiombewa yanakuwa na nguvu ya kuondoa vifungo na nira vinavyopelekea magonjwa laana na mapepo,hasa ukiyatumia kwa imani, sema wanaoyachukua na kuyatumia ndio shida, akili za kuambiwa changanya na kwako
Asifiwe Yesu Prophet..Mungu akubariki Sana Kwa kusema ukweli..hayo nimeoyaona Mimi..unasema ukweli mtubu.🎉
Hapo IPM nakuunga mkono kabisa Mungu akulinde na kukujaza ujasiri zaidi damu ya Yesu kristo ikufunike
Ubarikiwe sana sana kwa kuliona hilo hawa watu wanatumia nguvu za giza mwish wanaua watu mungu akupe maisha marefu sana
Mbarikiwa Mwakipesile, hata mwisho ataeleweka kwa,njia yakumbinga uovu. Big up Mbarikiwa Mwakipesile wetu.
Yaani umenifunguwa sana baba Mungu akubariki eweeee baba muumba wa mbinguni Akulinde jaman Mungu baba mlinde IPM
Kuhusu Kafara ya Wanyama mtumishi wa Mungu nakushaur kwamba iliishia msalabani kama unasoma maandiko vzr Yesu alpokata roho Pazia la hekalu lilikatika katikati kumanisha upatanisho wetu na Mungu ni kupitia damu ya mwana wa Mungu.
Wanyama,biashara,mazao,na vngne vpo tu kwa ajili ya kutolea zaka na sadaka na syo vingnevyo.
Mungu wa mbinguni awape uwelewa
Inamana walio kuwa wanatoa kafara Au sadaka ya wanyama walikiwa awantii mwenyezi mungu? Acha kuzarau agano la kale. Ayo yote ni mapendekezo ya mwenyewe.
I appreciate your research is alright IPM, may God defend you always, and go ahead.
Aiseee asant mtumishii umenifungua macho kuhusu kafaraa asnte saana❤
kweli nimevutiwa na mazungumzo yako! Ninatamani sana uwe mwokovu genuine! Ubarikiwe!!!
Nakuombea Mungu akulinde Mungu akusimamie na Mungu akupe ngu ya neno lake takatifu
Daah brother umeongea facts ambazo wanufaika zitawauma sana! Watu wamepigwa na vitu vizito mpaka wanakuwa mazuzu Kwa kuamini vitu badala ya Mungu. Yaani huo mchanha ungewasaidia Israel na Palestina waache kuuwana. Asante Kwa upelmbuzi yakinifu
Hakuna cha dear brother yy mwenyewe mpigie tu!..... Ameshauza mafuta huyu tena yeye 5000-10000 kama sijakosea nimesahau tu gharama lakini
Sasa nae ni prophet gani kama si biashara tu. Prophet wa mwisho ni Muhammad basi. Wala maprophet wenyewe hawakufanya hivyo
Anaelewa kur ani na mtume Muhammad alimtambua Issa na alisema kwamba yeye ndie prophet wa mwisho iweje yeye nae awe prophet? Si ni uongo? Muongo si mtu wa motoni? Huyu kaenda ukristo ameona kuna wadanganywa kirahisi na kujiongezea kipato. Hupati waislam wa kuwadanganya kirahisi. Sidhani kama anaombea watu bure na hachukui sadaka na kuzitumia yeye
Ana nini cha ziada hadi nae ajitawadhe uprophet? Kuna Yule wa Nigeria Joshua kumbe alikua na maovu kibao na wengi tu ni hivyo hivyo kudanganya tu na kujitajirisha
Fact kabisa Leo umeongea ukweli
Mtumishi naamini ujumbe umefika, na usirudi nyuma katika hili mungu akupe nguvu
Nakubalisana mtumishi
Ipm Mungu akupenguvu
Naitwa Alex kutokeya canada
Neno lako ni zuri lakin apo kwenye kafara mchungaji sijaelewa Bado, nachojua mm kafara kafara ya dam ya yesu ilimaliza hakunaga mnyama au fahari inayoweza ondoa dhambi (damu ya yesu yatosha) amen
Hongera mtumishi..umenena ukweli. Mitume na manabii hawa ni matapeli watupu..nimelia kabisa kwa jinsi watu wa imani zote wanavyotapeliwa
Hongera kiongozi kwenye uislamu pia yupo tapeli mmoja aitwa Dokta S
❤❤❤❤❤❤apo niko nacwewe Ubarikiwe mnooo
Some times ifike mahali watumishi wa Mungu mfocus na mambo yenu jmn kma mwenzio ana karama amekuzid basi mshukur Mungu kila mtu ana karama yake kma huna uwezo basi acha wanatoa muujiza watoe Mungu ndo hakimu wa kweli
Karama gani alafu sisi tushakuwa kama manyumbu iyo ni siri yao hakuna karama yoyote kaka amka
Ushaliwa
Hujafanya utafiti ,Mungu akusaidie.waliofanikiwa Ni wengi mno.Na nani alikwambia wanaotoa mafuta wanawambia watu wasifanye KAZI.Jifunze bila Hila utajua Nini kinaendelea .Petro alipovua usiku kucha asipate samaki,shida ilikuwa Nini, na kwanini alipoambiwa na Yesu atupe nyavu alipata samaki wengi mpaka akaita watu kumsaidia.Yapo mambo mengi yanayozuia watu kufanikiwa licha ya kufanya KAZI kwa bidii.Mwombe Mungu atakufungua macho.asilimia kubwa ya wanaofanya KAZI kwa bidii ndio hafanikiwi wanapata mlo TU
Endelea kubeba mafuta kwenye pochi kuna siku utatajirika 😂😂😂
Yesu mwenyewe alimkuta petro akiwa anafanya kazi😂
👏👏👏🙌♥️🙏
We muongo tu
Ipm mbona wewe unauza maji na mafuta unaonana na watu kwa pesa broo au umeacha umemrudia mungu kaka
Nikweli lakini hata wew hauna imani kabiza aloo sikukubali kabisa
Nikweli nilishetani tosha tuu 😢😢😢
Tatizo ndio lo Iman ndio itakukomesha
Hata yeye so salm japo anayoongea ni kweli.
Waacheni wabongo wajinga sana. Watapigwa mpk wanyooke
Mtu kusema kweli ni shetan? @@user-nb6yh2bn9y
inshaallah Mungu Atakulinda Bro bora ukwli ukifa unanafac yko kwa Mungu
God bless you it's true brother
Mungu atusaidie mwisho watimia yan binadamu tunaangamia kwa kukosa maarifa
Barikiwa sana IPM
Hongera sana usichoke kutupa elimu Mungu yuko pamoja na wewe
Mungu atusaidie saana,Kujifunza MEMA
Mungu atusaidie sana ww mwenyewe hueleweki unasema tuuze sigara ktk biashara zetu je ni sawa?
Mchungaji nimekupenda sana
Wewe kalia wivu sisi tunaendelea kupiga mafanikio yetu kupitia upako wetu arise and shine kazi iendelee
Umepotea kwasababu hujui maandiko
Mwapotea kwasababu hamjui maandiko
Wivu Tu 😅
Sio wazima nyie kunawivu hapo ,anaongea kweli tupu
@@richardsiame8328 kwa kuwa anekuwa mungu anahukumu watu au watumishi wengine yeye ni mungu au .kila mtu acheze kalata yake mwenyewe mambo ya watumishi wa mungu yeye inamuhusu nini.yeye kama kashidwa atulie au akalime vitunguu shamba
Uko sahihi, MUNGU akulinde Amina
Huyo amekosa waumini ache kuponda
Uko saw mtumishi.unajua hao watumishi siyo wabaya ila sisi tunao wafuata ndio wabaya.Mungu atusaidie tu
Kivuli cha Agano la kale ...kiliwakilisha watu kutoa kafara za wanyama ...ila kwa kufa kwake Yesu sisi sote tumesamehewa
Endeleatu kufanya zambi na uzidijuamini umesamehewa utajua hauajua lakini siku yamwisho utasaga meno
Ni kweli kwenye Agano jipya Yesu alikufa pale msalabani na damu yake imetukombo tena inafanya kazi mpaka sasa,hatuhitajiki kutumia tena damu za wanyama,tuanaweza kutumia damu ya Yesu Kristo kwa kuitamka,hayo mambo ya kafara ya kuchunja wanyama na watu yapo kwa shetani.
Fanya zambi ukijua umesamehewa maana ya kila mtu na msalaba wake naona huijui jichanganye ukifanya zambi utajua baadae
Waebrania 10:1-4”Basi torati, kwa kuwa ni kivuli cha mema yatakayokuwa, wala si sura yenyewe ya mambo hayo, kwa dhabihu zile zile wanazozitoa kila mwaka daima, haiwezi wakati wo wote kuwakamilisha wakaribiao.
2 Kama ndivyo, je! Dhabihu hazingekoma kutolewa; kwa maana waabuduo, wakiisha kusafishwa mara moja, wasingejiona tena kuwa na dhambi?
3 Lakini katika dhabihu hizo liko kumbukumbu la dhambi kila mwaka.
4 Maana haiwezekani damu ya mafahali na mbuzi kuondoa dhambi.”
@@farajis3dtech306wacha asime ukweli 🫵🏾
Ubarikiwe sana baba yesu atakulinda
Amina, Umeongea ukweli na umefunguwa watu macho
Ubushakashatsi hamwe nisoko hamwe nabasaza Ntamuntu numwe, nyuma yawe, uri ghos, bityo tuzagororerwa guhumurizwa numuyaga Aho mubuntu bwanjye, Mana yanjye, nyereka ibitangaza byubushobozi bwawe, imbaraga, gukandamizwa , n'igitugu, yewe Mana Mana Mana, yewe Yahi Yaqiyam, Banyakubahwa Cyubahiro kandi benshi, ibi ni, kandi kubakuru b'ikuzimu, barasenze, bityo bazabe bamwe. Reka rero baryohe, ubushyuhe n'umwijima. Mana, hagarika abarenganya, abanyagitugu, n'abagome. Uyu muhengeri uraza hamwe nawe. Binjiye mu muriro , Nyagasani w'isi, kubera ubuhemu bwacu muri Palesitine, Gaza, Rafah, no mu bihugu byose bya Palesitine Bati: "Mwami wacu," watugejejeho ibi, byongera umubabaro we, kandi wikubye kabiri mu muriro baravuze bati: "Ikibazo ni iki kuri twe ko tutabona abagabo?" Twakundaga kubatekereza mu bantu babi gutongana hagati yabantu. Vuga uti: "Ndi umuburo gusa, kandi nta yindi mana ibaho uretse Allah, Umwe, Isumbabyose," mu ijuru no ku isi ndetse n'ibiri hagati yabo Oh, Nyirububasha, Kubabarira Mana, Amen, Mwami w'isi.☝☝🤲🤲☝☝
Acha. Umbea wakutega. Masikio kwa. Watumishi. Wenzio. Mbona. Kwa. Waganga. Wa kienyeji. Wanapeleka. Vingapi? Fanya. Yako. We. Prophet. Wa. Kuzim. Wewe.
Penye mzoga ndipo wakutanikapo ndege waitwao tai,brother. Ni kweli watu wanainuka kiuchumi baada ya upako na ndomana wanaweza kuhudhuria mara zote hizo na kutoa sadaka hizo mara zote hizo. Umati mnaouona kwa watumishi hao maisha yao yamebadilika na ndomana wanakua na uwezo wa kutoa kila wakati. Hawajaaminishwa,wanaona matokeo ndomana wanaendelea kwenda. Inashangaza kuona mtumishi wa Mungu anapoona miujiza anasema ni nguvu za giza! Hii tafsiri yake ni kwamba wanaamini shetani ndo mwenye miujiza mikubwa na sio Mungu. Mungu wao ana mipaka na matendo ya miujiza. Watu wameinuka kiuchumi sana na wao wenyewe ni mashahidi ndomana anaweza hata kutoa 50,000 kila wiki na alikua hata 2,000 hawezi kutoa. Watu wanakwenda ili kazi zao zifunguliwe na sio hawafanyi kazi,huo ni upotoshaji.
Hakuna kitu kama hicho, wengi ni choka Mbaya
Umeongea umemalza Kila kitu Asante !binafsi nimeielewa point Yako 👏👏👏🙌♥️🙏
MUNGU akulinde mtumishi
ipm nakukubali San mungu akubalik lakn loho inaniuma San make nakupigia San SMU unisaidie lakin hopokei SMU yang
Kafala ilishia msalabani IPM Yesu alipokufa na kumwaga damu hiyo yote ilikuwa ni kielelezo tosha kwa kuacha kafala za wanyama.
Una uhakika? imeandikwa kitabu gan sura ipi?
Die twee lesers wat onthou word, maar die wat nie geglo het in trots en spiesjies, hoeveel mense is voor hulle Hulle is 'n gevolg van hulle, en hulle het gesê: Hulle loop en wees geduldig met jou afleiding Ons het nie gehoor nie dit in die hiernamaals Dit is niks anders as 'n versinsel nie. Die Boodskap is uit ons midde gestuur Voor hulle was die mense van Noag en Aad Farao, die man met stokke, en die mense van Lot, en die metgeselle van Mekka reg Aqaba al -Masabar oor wat hulle sê en onthou ons dienaars, dit is dieselfde Die een wat 'n muddhur het Moenie bang wees vir die twee opsommings nie, ons wil hê ons moet dit doen, so ek sal onder ons wees met die waarheid Soetheid van die bose, ons het jou 'n opvolger in die land gemaak. Diegene wat deur die pad van God mislei word, het 'n ernstige pyniging van wat hulle vergeet het op die dag van die rekenskap. , of ons sal maak Die wat veilig is, doen die geregtigheid in die land in die land Wat is die aanbidder, want hy is 'n wyk Met die sluier, het hulle geantwoord op my, so hy het geslaag
Kweli mtumishi wa Mungu,, watumishi wengi wana wanyonyo sana ,, waumini waoo,, na wao kifanikiwaa waoo
Keki, chumvi, mafuta, maji na kitambaa ni biashara ya kichawi.
Serikali inafahamu na imekaa kimya matapeli wanawaua watu kwa kuwaambia wasitumie dawa za hospitali wameponywa. Yatima wameongezeka kwa ajili ya vibaka waliyojificha kwenye dini.
Unaposema biashara ya kichawi hapo umedanganya. Ulishasikia mchawi gani anatumia sabuni na mafuta na maji ya upako.
Wee ni uchawi tu hapo hamna kitu😮@@moseshaule586
Sema me ulinipiga lakimbili Mtumishi na hivo mbona na wewe huwa unauza kichupa Cha Asali kidogooo unasema hiyo Asali umeionbea ina Nguvu flani ya Mafanikio hicho kichupa Cha Asali unauza elf kumi
😂kafulia kaanza kujisahaulisha
Afanye kazi ya mungu wake sio kukosoa wenzio. Kila mtu anaufunuo wake.
@rebecayen😂😂😂😂😅Yani Rebecca yen umenifanya nicheke mpaka mawazo yamepotea duu Asante🙏jamani sisi binadamu tunakazida6780
NI KWELI MCHUNGAJI BILA KAZI HAKUNA MAFANIKIO WAELEZE UKWELI MUNGU YU PAMOJA NAWE UBARIKIWE SANAAA
Apo sawa ipm .👏👏👏👏
Wewe unakosoa makosa na wew unafanya makosa makubwa zaidi.Unawaambia wafanye kazi ya Kuuza pombe,sigara na vilevi ili kupata Pesa. Kama umeamua KUNYOOKA,NYOOOKA NA NENO LA MUNGU SIO MAWAZO YAKO
🤣😂🤣Tutawatumbua Na moto unawasubiri anayosema ni kweli 🤝
Waoooooooo Asante Sana Mtumishi
Hakalii wivu anawafungua wati macho wajue nini Mungu anasema siyo wivu kumbuka pia utafanikiwa lakini utaviacha hivo vote mtafute Mungu atakufanikisha mjue sana Mungu
Lalini mimi sitaki unafiki wewe IPM c uliwahi kuwauzia wafanya biashara na wafanya kazi mafuta ulikua unasema ni mafuta ya dhahabu we hukua mwongo acha unafiki wivu tu umekujaa
Mungu akulinde na ahsante kwa somo nzuri
Huu ndio ukweli, ni wakati sasa serikali kubadilisha sheria kuanza kutoza kodi kwa wezi wa aina hii.
🤝🤝🤝
Prophet IPM ubarikiwe sana kwa ukweli wako nafwatiliya kabisaa pia Na mimi nimewahi kununuwa shule ya Tanzania kwenye kanisa ya SUNGUYE na Mafuta ya upako sijaona hata kitu kufanyikiwa hahahaha Mungu tusamehee kweli
Mafuta yanakusaidia kuondoa vipingamizi kwenye maisha yako my be uchawi nguvu za Giza amefungwa Kila anacho Fanya afanikiwi kwahio mafuta yanamsaidia anacho kifanya afanikiwe
Kumbuka Mungu kama Mungu hahitaji kusaidiwA neno lake latosha je ukifa itakusaidia kuingia mbinguni
Acha unamfki mtumish wapo wenye matatzo mengi na sio wote wanataka utajr
MIMI NI MUUMINI
NATUMIA MAFUTA
CHUMVI
NA VINGINEVYO SAWA NA NENO LA MUNGU
NAFANYA KAZI NAMWABUDU MUNGU
NASOMA NENO LA MUNGU
NAISHIA NENO LA MUNGU
Hizo bei ni za kwako, hakuna bei kama hizo, meamposa maji na mafuta elfu moja moja
Anayatoa wapi??
Binadam akili ziko tofauti ndio maana hata kwenye mtihani Kuna wa kwanza na WA mwisho
Huyu Jamaa haekeweki kabisa ukiwa unasema unaamini ktk kafara
Je wewe ulipewa Na Nani Hilo jukumu la kuwafanyia watu hizo kafara
We ni mtume WA Nani acha ubwege
Unamnyea mwenzako wakati we mwenyewe ni tapeli
Huna Lolote fara 17:44
Ubarikiwe mutumishi wa Mungu!
Wivu tu wa idadi ya wafuasi wa hao manabii wanawatu wengi sana.japo mimi simwamini hata moja ila nawewe kinachokutesavni mafanikio yako
Makanisa yamekuwa silaha ya kuwaumiza wananchi.Inakuwaje mtu anakusanya 800M.Lkn hata Kodi halipi,uwizi huo
Duu😢,prophet anamwita mwandishi broo , maneno ya kihuni hayo afu unajiita nabii , umeongea point ila nakuona na wale wale tu ,manabii wa uongo unawapondea wenzako ila wote ni walaji wa waumini
Huko nyuma niliwamini Hawa ma pastor wanyonyaji, Wana waumiza watu sana,, elimu ya Imani iendelee kutolewa,,
Facts bro I appreciate you.
jaman munguu akubarikii na awez kukupa ujasirii uouo ni kweliii kabsaaa aiseeee munguuu akubarikii xn nimefurahii sio kidog maanaa umenenaa babaaa
Tuna jua ila mafuta nikama yesu alivyo pakwa mafuta ya bei mbaya na jule m mama wengi wana jatumia kwa jini ya kujilinda na maatui wa kidunia ila sio kwajili ya mafaniko
Wewe mwenyewe muhuni nyie wote NI mbiz kasolo langi
Mtumishi hakuna mtume au nabii mwenye uwezo wa kuuzia watu Kwa maelfu vifaa vya kiroho kama unavyodanganya watu. Sikatai Kwamba Kuna wanaoigiza upako na wanajipatia pesa lakini si Kwa kiwango kikubwa kivile. Pia elewa Kwamba Kila nabii au mtume wa kweli lazima awe na ufunuo wake aliopewa na Mungu. Wewe ni vizuri ukashughulika na mambo yako uliyotumwa na Mungu wako. Sijui wewe ni mtumishi gani unayetumia usembe?
Asante mtumishi,mwenye masikio haambiwi sikia
barikiwa sana baba shetani anatutenda kwaakili mungu atutetee
Uko sahihi IPM
Wewe umetoa hoja nzuri sana Ila hakuna binadamu asiekosea umekosea kumlinganisha yesu na babu
Wajinga hawaishagi Tena wasomi ndo wengi kwenye mafuta
Hongera sanaaaa.tunaangamia kwa kukosa maarifa.
Makanisa yametushida paka tunakaa Kwa nyumba zetu..unanishidwa umwamini Nani??
Vinavyo patikana kwa miujiza vinapotea kimiujiza,vilivyo patikana kwa upepo wa kisurisuri vita potea hivyohivyo
😂😂😂😂 hapo kwenye unyayo wa yesu 🙌🙌🙌
Nime barikiwa Sana usiche kusema kweli lpm mungu Yuko nawe
Kafara ya mu Christo ni Yesu ikisema myama sioni sawa île damu ilio mwangika musalabani inamana gani.
YESU KRISTO ATUSAIDIE NA WEWE SIKU NYINGINE MTANDAO UNAKAMA SIKU NYINGINE MTANDAO UNAKATA YESU KRISTO UTUREHEMU MAANA WAJINGA NDIO WALIWAO
Jpm hilo la hosp ni kweli ss arusha tumejenga selian arusha na atutibiwi ni pesa kwenda mbele
Haiseeeeee mtihani unaweza Kuta anaacha kwenda kanisani
Jamani mungu ni mwema namshukuru Mimi namwomba mungu peke yangu na anasikia maombi yangu
Amen 🙏 it true 💯 you have to work hard 🙏🙏
Tunashukuru kwa somo Suri mtumishi
Ukweli siku zote haupingani na Uongo. Huo ni ukweli.
Ao wote wanao Pinga mafuta na maji ni maajanti Wa shetani.
Pamoja na wewe
Wew naw ni shetani mmojawapo
Sasa na maji ya dhahabu ni mma.na yeye ndio walewale tu.hubilini injili ya kweli watu wamjue Mungu wa kweli sio mimaji yenu ukaona utokelezee kivyako ukaita maji ya dhahabu
Ondersoek met die mark en die bejaardes Niemand van my nie, na jou, jy is die spoke, so ons sal beloon word vir die troos van die wind Waar in my genade, my God, wys my die wonders van u vermoë, krag, onderdrukking , en tirannie, o God O God, O Yahi Yaqiyam, liewe Eerbewyse en die meeste, dit is, en vir diegene wat die oudstes van die Hel is, het hulle gebid, sodat hulle dieselfde sal wees, so laat hulle dit proe, die hitte en duisternis O God, stop die onderdrukkers, die tiranne. Hierdie golf kom saam met hulle , O Heer van die wêrelde, vir ons verraad in Palestina, Gaza, Rafah, en al die Palestynse lande hulle het gesê: "Wat is die saak met ons dat ons nie mense sien nie?" rusie tussen mense Vuur Sê: "Ek is net 'n waarskuwer, en daar is geen god behalwe Allah, die Een, die Allerhoogste," in die hemele en die aarde en alles wat tussen hulle is O, die Magtige, die Vergewensgesinde God, Amen, Here van die wêrelde.☝☝🤲🤲☝☝
Mungu Akulinde mtu wa mungu
Nilikuwa nakuchukia Sana ipm, kutokana na yale uliyokuwa unayasuport, na binafsi niliona kitu kikubwa kwako lakini mpaka Sasa ukibadilisha tu kidogo, ntakapokuja dar, ntakuja kusalia kanisan kwako.
Mungu akubarik kwa kusema ukwel
SIWEWE PIA JAMBAZI TU ULIUZA MAFUTA YA GOLD WAJINUNULIA MAGARI YA KIFAHARI WEWE NA BIBI YAKO
Amesahau
@@lucaslupaso5824 alikuwa anafanya tafiti na hivyo amejiridhisha, na hivyo uwezi kuelewa jambo bila kwenda field, uwezi elewa uchawi bila kwenda kwa mchawi
@lucas😂😂😂😂😂😂😂😂lupaso5824
Nami niliona
Wewe ujapewa hayo mafunuo kaka waache waliopewa wafanye kazi zao, Mungu mwenyew aliwatifautisha Kwa karama na vipawa, ndo mana cyo wote ni wachungaji wengine ni Manabii, wengine Waalimu, wengine ni wainjilisti Kila mtu afanye kazi kulingana na nafasi yake na alichotumwa kufanya, wewe ujapewa kazi hyo, uwezi kujua misingi yake acha kupotisha uma kaka
Wewe huna akili hujitambui jitafakaru
Ni kweli kabisa. Ubaya ni kwamba mtu akishaenda kwa hao wachungaji hashauriki tena. Kuna dawa wanapewa zinawafunga wanakuwa wakali kweli ukitaka kuwashauri. Hata huku kwenye comment ukiona mtu anapinga huu ukweli jua kashafungwa hajielewi tena.
Funzo Zuri sanaa wa kuelewa aelewe wasioelewa Mungu awape ufahamu waelewe
Aisee Mungu akubariki sana
Baba mungu akubariki sana ni ukweli mtupu❤
Duh hongera mtumishi