PROPHET IPM AWAUMBUA WACHUNGAJI WANAOTUMIA MAFUTA YA UPAKO NA MAJI HUWEZI PATA UTAJIR KWA MAFUTA

Sdílet
Vložit

Komentáře • 647

  • @augenmagabila3081
    @augenmagabila3081 Před 22 dny +30

    Mtumishi wa MUNGU IPM, Hongera sana kwa neno lako na umejua sana kuelezea hii ni biashara ya watu. Asiyejua haya yote, atafute na asome kitabu cha aliyefanya mamboo hayo ya kuuza mafuta,maji,vitanbaa, udongo, hela za mapepo , n.k anaitwa Makhado Ramabulana, na kitabu chake kinaitwa Church Mafia. Soma utaelewa ni kitabu kizuri.

    • @augenmagabila3081
      @augenmagabila3081 Před 22 dny +3

      Kitabu kipo Mtandaoni yaani soft copy bure.

    • @marthajarome1718
      @marthajarome1718 Před 8 dny

      Mafuta na maji yakiombewa yanakuwa na nguvu ya kuondoa vifungo na nira vinavyopelekea magonjwa laana na mapepo,hasa ukiyatumia kwa imani, sema wanaoyachukua na kuyatumia ndio shida, akili za kuambiwa changanya na kwako

  • @BlessedAnne-fh6lk
    @BlessedAnne-fh6lk Před 22 dny +19

    Asifiwe Yesu Prophet..Mungu akubariki Sana Kwa kusema ukweli..hayo nimeoyaona Mimi..unasema ukweli mtubu.🎉

  • @justinemisigaro1471
    @justinemisigaro1471 Před 21 dnem +13

    Hapo IPM nakuunga mkono kabisa Mungu akulinde na kukujaza ujasiri zaidi damu ya Yesu kristo ikufunike

  • @FelisterMunissy
    @FelisterMunissy Před 22 dny +11

    Ubarikiwe sana sana kwa kuliona hilo hawa watu wanatumia nguvu za giza mwish wanaua watu mungu akupe maisha marefu sana

  • @obedimunguachiza8434
    @obedimunguachiza8434 Před 22 dny +21

    Mbarikiwa Mwakipesile, hata mwisho ataeleweka kwa,njia yakumbinga uovu. Big up Mbarikiwa Mwakipesile wetu.

  • @LINNAHPATER
    @LINNAHPATER Před 9 dny +3

    Yaani umenifunguwa sana baba Mungu akubariki eweeee baba muumba wa mbinguni Akulinde jaman Mungu baba mlinde IPM

  • @DINANCHAGWA
    @DINANCHAGWA Před 17 dny +6

    Kuhusu Kafara ya Wanyama mtumishi wa Mungu nakushaur kwamba iliishia msalabani kama unasoma maandiko vzr Yesu alpokata roho Pazia la hekalu lilikatika katikati kumanisha upatanisho wetu na Mungu ni kupitia damu ya mwana wa Mungu.
    Wanyama,biashara,mazao,na vngne vpo tu kwa ajili ya kutolea zaka na sadaka na syo vingnevyo.
    Mungu wa mbinguni awape uwelewa

    • @npiperito19
      @npiperito19 Před 9 dny

      Inamana walio kuwa wanatoa kafara Au sadaka ya wanyama walikiwa awantii mwenyezi mungu? Acha kuzarau agano la kale. Ayo yote ni mapendekezo ya mwenyewe.

  • @grationgabriel4904
    @grationgabriel4904 Před 19 dny +4

    I appreciate your research is alright IPM, may God defend you always, and go ahead.

  • @rajabukiza4851
    @rajabukiza4851 Před 24 dny +10

    Aiseee asant mtumishii umenifungua macho kuhusu kafaraa asnte saana❤

  • @nanubob1969
    @nanubob1969 Před 21 dnem +4

    kweli nimevutiwa na mazungumzo yako! Ninatamani sana uwe mwokovu genuine! Ubarikiwe!!!

  • @FlorensiaMkombozi-et1ts
    @FlorensiaMkombozi-et1ts Před 23 dny +8

    Nakuombea Mungu akulinde Mungu akusimamie na Mungu akupe ngu ya neno lake takatifu

  • @johnsonkategela479
    @johnsonkategela479 Před 23 dny +9

    Daah brother umeongea facts ambazo wanufaika zitawauma sana! Watu wamepigwa na vitu vizito mpaka wanakuwa mazuzu Kwa kuamini vitu badala ya Mungu. Yaani huo mchanha ungewasaidia Israel na Palestina waache kuuwana. Asante Kwa upelmbuzi yakinifu

    • @alexandermilanzi9860
      @alexandermilanzi9860 Před 22 dny

      Hakuna cha dear brother yy mwenyewe mpigie tu!..... Ameshauza mafuta huyu tena yeye 5000-10000 kama sijakosea nimesahau tu gharama lakini

    • @hashimchaoga9566
      @hashimchaoga9566 Před 9 dny

      Sasa nae ni prophet gani kama si biashara tu. Prophet wa mwisho ni Muhammad basi. Wala maprophet wenyewe hawakufanya hivyo

    • @hashimchaoga9566
      @hashimchaoga9566 Před 9 dny

      Anaelewa kur ani na mtume Muhammad alimtambua Issa na alisema kwamba yeye ndie prophet wa mwisho iweje yeye nae awe prophet? Si ni uongo? Muongo si mtu wa motoni? Huyu kaenda ukristo ameona kuna wadanganywa kirahisi na kujiongezea kipato. Hupati waislam wa kuwadanganya kirahisi. Sidhani kama anaombea watu bure na hachukui sadaka na kuzitumia yeye

    • @hashimchaoga9566
      @hashimchaoga9566 Před 9 dny

      Ana nini cha ziada hadi nae ajitawadhe uprophet? Kuna Yule wa Nigeria Joshua kumbe alikua na maovu kibao na wengi tu ni hivyo hivyo kudanganya tu na kujitajirisha

  • @user-pg9dv9vo8p
    @user-pg9dv9vo8p Před 22 dny +12

    Fact kabisa Leo umeongea ukweli

  • @RobartNgwembe-m3h
    @RobartNgwembe-m3h Před 11 dny +3

    Mtumishi naamini ujumbe umefika, na usirudi nyuma katika hili mungu akupe nguvu

  • @user-rn8lm2nc5i
    @user-rn8lm2nc5i Před 16 dny +2

    Nakubalisana mtumishi
    Ipm Mungu akupenguvu
    Naitwa Alex kutokeya canada

  • @ImaniTinda-h6x
    @ImaniTinda-h6x Před 9 dny +1

    Neno lako ni zuri lakin apo kwenye kafara mchungaji sijaelewa Bado, nachojua mm kafara kafara ya dam ya yesu ilimaliza hakunaga mnyama au fahari inayoweza ondoa dhambi (damu ya yesu yatosha) amen

  • @josephlorri431
    @josephlorri431 Před 16 dny +1

    Hongera mtumishi..umenena ukweli. Mitume na manabii hawa ni matapeli watupu..nimelia kabisa kwa jinsi watu wa imani zote wanavyotapeliwa

  • @alwatanalgilgilan-y3078
    @alwatanalgilgilan-y3078 Před 20 dny +2

    Hongera kiongozi kwenye uislamu pia yupo tapeli mmoja aitwa Dokta S

  • @agnesspaul1866
    @agnesspaul1866 Před 21 dnem +3

    ❤❤❤❤❤❤apo niko nacwewe Ubarikiwe mnooo

  • @rosemarykimath9337
    @rosemarykimath9337 Před 21 dnem +4

    Some times ifike mahali watumishi wa Mungu mfocus na mambo yenu jmn kma mwenzio ana karama amekuzid basi mshukur Mungu kila mtu ana karama yake kma huna uwezo basi acha wanatoa muujiza watoe Mungu ndo hakimu wa kweli

  • @victorngimbwa5558
    @victorngimbwa5558 Před 24 dny +5

    Hujafanya utafiti ,Mungu akusaidie.waliofanikiwa Ni wengi mno.Na nani alikwambia wanaotoa mafuta wanawambia watu wasifanye KAZI.Jifunze bila Hila utajua Nini kinaendelea .Petro alipovua usiku kucha asipate samaki,shida ilikuwa Nini, na kwanini alipoambiwa na Yesu atupe nyavu alipata samaki wengi mpaka akaita watu kumsaidia.Yapo mambo mengi yanayozuia watu kufanikiwa licha ya kufanya KAZI kwa bidii.Mwombe Mungu atakufungua macho.asilimia kubwa ya wanaofanya KAZI kwa bidii ndio hafanikiwi wanapata mlo TU

  • @BENEDICTMwanga
    @BENEDICTMwanga Před 19 dny +4

    Ipm mbona wewe unauza maji na mafuta unaonana na watu kwa pesa broo au umeacha umemrudia mungu kaka

  • @saidiathuman-og6bc
    @saidiathuman-og6bc Před 24 dny +11

    Nikweli lakini hata wew hauna imani kabiza aloo sikukubali kabisa

  • @KhalifaChuma
    @KhalifaChuma Před 15 dny +1

    inshaallah Mungu Atakulinda Bro bora ukwli ukifa unanafac yko kwa Mungu

  • @SanyuMoses-vp3dw
    @SanyuMoses-vp3dw Před 24 dny +5

    God bless you it's true brother

  • @Jacksonswai685
    @Jacksonswai685 Před 22 dny +4

    Mungu atusaidie mwisho watimia yan binadamu tunaangamia kwa kukosa maarifa

  • @stanleynyakunga5926
    @stanleynyakunga5926 Před 20 dny +3

    Barikiwa sana IPM

  • @livingistonmalula262
    @livingistonmalula262 Před 14 dny +1

    Hongera sana usichoke kutupa elimu Mungu yuko pamoja na wewe

  • @meshackntoga1566
    @meshackntoga1566 Před 4 dny +1

    Mungu atusaidie saana,Kujifunza MEMA

  • @user-gt4rp4bo8y
    @user-gt4rp4bo8y Před 18 dny +3

    Mungu atusaidie sana ww mwenyewe hueleweki unasema tuuze sigara ktk biashara zetu je ni sawa?

  • @amanimanase8799
    @amanimanase8799 Před 19 dny +3

    Mchungaji nimekupenda sana

  • @Hamisi-uz9cj
    @Hamisi-uz9cj Před 20 dny +10

    Wewe kalia wivu sisi tunaendelea kupiga mafanikio yetu kupitia upako wetu arise and shine kazi iendelee

    • @joshuatituslusinde1260
      @joshuatituslusinde1260 Před 20 dny

      Umepotea kwasababu hujui maandiko

    • @joshuatituslusinde1260
      @joshuatituslusinde1260 Před 20 dny

      Mwapotea kwasababu hamjui maandiko

    • @LilyWeitz
      @LilyWeitz Před 18 dny +1

      Wivu Tu 😅

    • @richardsiame8328
      @richardsiame8328 Před 17 dny +1

      Sio wazima nyie kunawivu hapo ,anaongea kweli tupu

    • @LilyWeitz
      @LilyWeitz Před 17 dny

      @@richardsiame8328 kwa kuwa anekuwa mungu anahukumu watu au watumishi wengine yeye ni mungu au .kila mtu acheze kalata yake mwenyewe mambo ya watumishi wa mungu yeye inamuhusu nini.yeye kama kashidwa atulie au akalime vitunguu shamba

  • @user-bp5pq9to9e
    @user-bp5pq9to9e Před 20 dny +3

    Uko sahihi, MUNGU akulinde Amina

  • @JonasAmon-q3z
    @JonasAmon-q3z Před 7 dny +1

    Uko saw mtumishi.unajua hao watumishi siyo wabaya ila sisi tunao wafuata ndio wabaya.Mungu atusaidie tu

  • @user-cy4xf1eu3q
    @user-cy4xf1eu3q Před 24 dny +6

    Kivuli cha Agano la kale ...kiliwakilisha watu kutoa kafara za wanyama ...ila kwa kufa kwake Yesu sisi sote tumesamehewa

    • @zaidiissa3714
      @zaidiissa3714 Před 24 dny

      Endeleatu kufanya zambi na uzidijuamini umesamehewa utajua hauajua lakini siku yamwisho utasaga meno

    • @Shalom2018
      @Shalom2018 Před 24 dny +2

      Ni kweli kwenye Agano jipya Yesu alikufa pale msalabani na damu yake imetukombo tena inafanya kazi mpaka sasa,hatuhitajiki kutumia tena damu za wanyama,tuanaweza kutumia damu ya Yesu Kristo kwa kuitamka,hayo mambo ya kafara ya kuchunja wanyama na watu yapo kwa shetani.

    • @farajis3dtech306
      @farajis3dtech306 Před 24 dny +1

      Fanya zambi ukijua umesamehewa maana ya kila mtu na msalaba wake naona huijui jichanganye ukifanya zambi utajua baadae

    • @MrMwadila
      @MrMwadila Před 23 dny

      Waebrania 10:1-4”Basi torati, kwa kuwa ni kivuli cha mema yatakayokuwa, wala si sura yenyewe ya mambo hayo, kwa dhabihu zile zile wanazozitoa kila mwaka daima, haiwezi wakati wo wote kuwakamilisha wakaribiao.
      2 Kama ndivyo, je! Dhabihu hazingekoma kutolewa; kwa maana waabuduo, wakiisha kusafishwa mara moja, wasingejiona tena kuwa na dhambi?
      3 Lakini katika dhabihu hizo liko kumbukumbu la dhambi kila mwaka.
      4 Maana haiwezekani damu ya mafahali na mbuzi kuondoa dhambi.”

    • @AfricaQueen
      @AfricaQueen Před 22 dny +1

      @@farajis3dtech306wacha asime ukweli 🫵🏾

  • @user-cp1uo3lb7w
    @user-cp1uo3lb7w Před 9 dny +1

    Ubarikiwe sana baba yesu atakulinda

  • @mtumishiraymond2001
    @mtumishiraymond2001 Před 22 dny +4

    Amina, Umeongea ukweli na umefunguwa watu macho

  • @JUBRANBULAYHl-yb4ke
    @JUBRANBULAYHl-yb4ke Před 22 dny +1

    Ubushakashatsi hamwe nisoko hamwe nabasaza Ntamuntu numwe, nyuma yawe, uri ghos, bityo tuzagororerwa guhumurizwa numuyaga Aho mubuntu bwanjye, Mana yanjye, nyereka ibitangaza byubushobozi bwawe, imbaraga, gukandamizwa , n'igitugu, yewe Mana Mana Mana, yewe Yahi Yaqiyam, Banyakubahwa Cyubahiro kandi benshi, ibi ni, kandi kubakuru b'ikuzimu, barasenze, bityo bazabe bamwe. Reka rero baryohe, ubushyuhe n'umwijima. Mana, hagarika abarenganya, abanyagitugu, n'abagome. Uyu muhengeri uraza hamwe nawe. Binjiye mu muriro , Nyagasani w'isi, kubera ubuhemu bwacu muri Palesitine, Gaza, Rafah, no mu bihugu byose bya Palesitine Bati: "Mwami wacu," watugejejeho ibi, byongera umubabaro we, kandi wikubye kabiri mu muriro baravuze bati: "Ikibazo ni iki kuri twe ko tutabona abagabo?" Twakundaga kubatekereza mu bantu babi gutongana hagati yabantu. Vuga uti: "Ndi umuburo gusa, kandi nta yindi mana ibaho uretse Allah, Umwe, Isumbabyose," mu ijuru no ku isi ndetse n'ibiri hagati yabo Oh, Nyirububasha, Kubabarira Mana, Amen, Mwami w'isi.☝☝🤲🤲☝☝

    • @IreneAlphonce-zi3if
      @IreneAlphonce-zi3if Před 17 dny

      Acha. Umbea wakutega. Masikio kwa. Watumishi. Wenzio. Mbona. Kwa. Waganga. Wa kienyeji. Wanapeleka. Vingapi? Fanya. Yako. We. Prophet. Wa. Kuzim. Wewe.

  • @FrankBororo-dk1fv
    @FrankBororo-dk1fv Před 23 dny +4

    Penye mzoga ndipo wakutanikapo ndege waitwao tai,brother. Ni kweli watu wanainuka kiuchumi baada ya upako na ndomana wanaweza kuhudhuria mara zote hizo na kutoa sadaka hizo mara zote hizo. Umati mnaouona kwa watumishi hao maisha yao yamebadilika na ndomana wanakua na uwezo wa kutoa kila wakati. Hawajaaminishwa,wanaona matokeo ndomana wanaendelea kwenda. Inashangaza kuona mtumishi wa Mungu anapoona miujiza anasema ni nguvu za giza! Hii tafsiri yake ni kwamba wanaamini shetani ndo mwenye miujiza mikubwa na sio Mungu. Mungu wao ana mipaka na matendo ya miujiza. Watu wameinuka kiuchumi sana na wao wenyewe ni mashahidi ndomana anaweza hata kutoa 50,000 kila wiki na alikua hata 2,000 hawezi kutoa. Watu wanakwenda ili kazi zao zifunguliwe na sio hawafanyi kazi,huo ni upotoshaji.

    • @edwinmbunda6709
      @edwinmbunda6709 Před 21 dnem

      Hakuna kitu kama hicho, wengi ni choka Mbaya

    • @Imaniamockgmail
      @Imaniamockgmail Před 17 dny +1

      Umeongea umemalza Kila kitu Asante !binafsi nimeielewa point Yako 👏👏👏🙌♥️🙏

  • @AyubuJkechegwa
    @AyubuJkechegwa Před 10 dny +1

    MUNGU akulinde mtumishi

  • @JoshuaMolen-oc3vi
    @JoshuaMolen-oc3vi Před 20 dny +1

    ipm nakukubali San mungu akubalik lakn loho inaniuma San make nakupigia San SMU unisaidie lakin hopokei SMU yang

  • @eliviraedward9466
    @eliviraedward9466 Před 22 dny +2

    Kafala ilishia msalabani IPM Yesu alipokufa na kumwaga damu hiyo yote ilikuwa ni kielelezo tosha kwa kuacha kafala za wanyama.

    • @enockmarwa7635
      @enockmarwa7635 Před 21 dnem

      Una uhakika? imeandikwa kitabu gan sura ipi?

  • @JUBRANBULAYHl-yb4ke
    @JUBRANBULAYHl-yb4ke Před 22 dny

    Die twee lesers wat onthou word, maar die wat nie geglo het in trots en spiesjies, hoeveel mense is voor hulle Hulle is 'n gevolg van hulle, en hulle het gesê: Hulle loop en wees geduldig met jou afleiding Ons het nie gehoor nie dit in die hiernamaals Dit is niks anders as 'n versinsel nie. Die Boodskap is uit ons midde gestuur Voor hulle was die mense van Noag en Aad Farao, die man met stokke, en die mense van Lot, en die metgeselle van Mekka reg Aqaba al -Masabar oor wat hulle sê en onthou ons dienaars, dit is dieselfde Die een wat 'n muddhur het Moenie bang wees vir die twee opsommings nie, ons wil hê ons moet dit doen, so ek sal onder ons wees met die waarheid Soetheid van die bose, ons het jou 'n opvolger in die land gemaak. Diegene wat deur die pad van God mislei word, het 'n ernstige pyniging van wat hulle vergeet het op die dag van die rekenskap. , of ons sal maak Die wat veilig is, doen die geregtigheid in die land in die land Wat is die aanbidder, want hy is 'n wyk Met die sluier, het hulle geantwoord op my, so hy het geslaag

  • @DelilaRitte-sr9wr
    @DelilaRitte-sr9wr Před 15 dny +1

    Kweli mtumishi wa Mungu,, watumishi wengi wana wanyonyo sana ,, waumini waoo,, na wao kifanikiwaa waoo

  • @nsiamasawe4578
    @nsiamasawe4578 Před 24 dny +3

    Keki, chumvi, mafuta, maji na kitambaa ni biashara ya kichawi.
    Serikali inafahamu na imekaa kimya matapeli wanawaua watu kwa kuwaambia wasitumie dawa za hospitali wameponywa. Yatima wameongezeka kwa ajili ya vibaka waliyojificha kwenye dini.

    • @moseshaule586
      @moseshaule586 Před 22 dny +1

      Unaposema biashara ya kichawi hapo umedanganya. Ulishasikia mchawi gani anatumia sabuni na mafuta na maji ya upako.

    • @nantaembanusurupia5674
      @nantaembanusurupia5674 Před 21 dnem

      Wee ni uchawi tu hapo hamna kitu😮​@@moseshaule586

  • @FrancisMliga-pp7cp
    @FrancisMliga-pp7cp Před 24 dny +6

    Sema me ulinipiga lakimbili Mtumishi na hivo mbona na wewe huwa unauza kichupa Cha Asali kidogooo unasema hiyo Asali umeionbea ina Nguvu flani ya Mafanikio hicho kichupa Cha Asali unauza elf kumi

    • @rebecayenda6780
      @rebecayenda6780 Před 24 dny

      😂kafulia kaanza kujisahaulisha

    • @harmonylogisticszimbabweli3294
      @harmonylogisticszimbabweli3294 Před 19 dny

      Afanye kazi ya mungu wake sio kukosoa wenzio. Kila mtu anaufunuo wake.

    • @Imaniamockgmail
      @Imaniamockgmail Před 17 dny

      ​@rebecayen😂😂😂😂😅Yani Rebecca yen umenifanya nicheke mpaka mawazo yamepotea duu Asante🙏jamani sisi binadamu tunakazida6780

  • @user-rg1vs9mb8x
    @user-rg1vs9mb8x Před 16 dny +1

    NI KWELI MCHUNGAJI BILA KAZI HAKUNA MAFANIKIO WAELEZE UKWELI MUNGU YU PAMOJA NAWE UBARIKIWE SANAAA

  • @BennyCrisanto
    @BennyCrisanto Před 24 dny +2

    Apo sawa ipm .👏👏👏👏

  • @bishopmmbando530
    @bishopmmbando530 Před 23 dny +4

    Wewe unakosoa makosa na wew unafanya makosa makubwa zaidi.Unawaambia wafanye kazi ya Kuuza pombe,sigara na vilevi ili kupata Pesa. Kama umeamua KUNYOOKA,NYOOOKA NA NENO LA MUNGU SIO MAWAZO YAKO

    • @AfricaQueen
      @AfricaQueen Před 22 dny +1

      🤣😂🤣Tutawatumbua Na moto unawasubiri anayosema ni kweli 🤝

  • @SimonFire-ms2be
    @SimonFire-ms2be Před 22 dny

    Waoooooooo Asante Sana Mtumishi

  • @user-zz9gr1vd9h
    @user-zz9gr1vd9h Před 14 dny +1

    Hakalii wivu anawafungua wati macho wajue nini Mungu anasema siyo wivu kumbuka pia utafanikiwa lakini utaviacha hivo vote mtafute Mungu atakufanikisha mjue sana Mungu

  • @emmanuelpeter5686
    @emmanuelpeter5686 Před 18 dny +2

    Lalini mimi sitaki unafiki wewe IPM c uliwahi kuwauzia wafanya biashara na wafanya kazi mafuta ulikua unasema ni mafuta ya dhahabu we hukua mwongo acha unafiki wivu tu umekujaa

  • @johnmhangi315
    @johnmhangi315 Před 14 dny

    Mungu akulinde na ahsante kwa somo nzuri

  • @MordAlly-ng8jj
    @MordAlly-ng8jj Před 22 dny +2

    Huu ndio ukweli, ni wakati sasa serikali kubadilisha sheria kuanza kutoza kodi kwa wezi wa aina hii.

  • @stefanomasolwa8979
    @stefanomasolwa8979 Před 21 dnem +1

    Prophet IPM ubarikiwe sana kwa ukweli wako nafwatiliya kabisaa pia Na mimi nimewahi kununuwa shule ya Tanzania kwenye kanisa ya SUNGUYE na Mafuta ya upako sijaona hata kitu kufanyikiwa hahahaha Mungu tusamehee kweli

  • @BENEDICTMwanga
    @BENEDICTMwanga Před 19 dny +1

    Mafuta yanakusaidia kuondoa vipingamizi kwenye maisha yako my be uchawi nguvu za Giza amefungwa Kila anacho Fanya afanikiwi kwahio mafuta yanamsaidia anacho kifanya afanikiwe

    • @rerisamba
      @rerisamba Před 17 dny

      Kumbuka Mungu kama Mungu hahitaji kusaidiwA neno lake latosha je ukifa itakusaidia kuingia mbinguni

  • @alfredizabdieli6226
    @alfredizabdieli6226 Před 20 dny +2

    Acha unamfki mtumish wapo wenye matatzo mengi na sio wote wanataka utajr

  • @AnociathaChuwa-cb5nk
    @AnociathaChuwa-cb5nk Před 20 dny +2

    MIMI NI MUUMINI
    NATUMIA MAFUTA
    CHUMVI
    NA VINGINEVYO SAWA NA NENO LA MUNGU
    NAFANYA KAZI NAMWABUDU MUNGU
    NASOMA NENO LA MUNGU
    NAISHIA NENO LA MUNGU

  • @josephinesagumo
    @josephinesagumo Před 21 dnem +3

    Hizo bei ni za kwako, hakuna bei kama hizo, meamposa maji na mafuta elfu moja moja

  • @nicodemshello163
    @nicodemshello163 Před 22 dny +2

    Binadam akili ziko tofauti ndio maana hata kwenye mtihani Kuna wa kwanza na WA mwisho

  • @YasreArafat-kk9en
    @YasreArafat-kk9en Před 6 dny +1

    Huyu Jamaa haekeweki kabisa ukiwa unasema unaamini ktk kafara
    Je wewe ulipewa Na Nani Hilo jukumu la kuwafanyia watu hizo kafara
    We ni mtume WA Nani acha ubwege
    Unamnyea mwenzako wakati we mwenyewe ni tapeli
    Huna Lolote fara 17:44

  • @rizikilubula4078
    @rizikilubula4078 Před 7 dny

    Ubarikiwe mutumishi wa Mungu!

  • @EstaDaffi-wg5cr
    @EstaDaffi-wg5cr Před 22 dny +2

    Wivu tu wa idadi ya wafuasi wa hao manabii wanawatu wengi sana.japo mimi simwamini hata moja ila nawewe kinachokutesavni mafanikio yako

  • @user-gc1ez1yv4k
    @user-gc1ez1yv4k Před 21 dnem +1

    Makanisa yamekuwa silaha ya kuwaumiza wananchi.Inakuwaje mtu anakusanya 800M.Lkn hata Kodi halipi,uwizi huo

  • @user-xl5xi1uq9z
    @user-xl5xi1uq9z Před 16 dny +1

    Duu😢,prophet anamwita mwandishi broo , maneno ya kihuni hayo afu unajiita nabii , umeongea point ila nakuona na wale wale tu ,manabii wa uongo unawapondea wenzako ila wote ni walaji wa waumini

  • @migerajacob581
    @migerajacob581 Před 16 dny

    Huko nyuma niliwamini Hawa ma pastor wanyonyaji, Wana waumiza watu sana,, elimu ya Imani iendelee kutolewa,,

  • @user-yc7dk4vy7v
    @user-yc7dk4vy7v Před 21 dnem

    Facts bro I appreciate you.

  • @JumaAbdallah-c7u
    @JumaAbdallah-c7u Před 15 dny

    jaman munguu akubarikii na awez kukupa ujasirii uouo ni kweliii kabsaaa aiseeee munguuu akubarikii xn nimefurahii sio kidog maanaa umenenaa babaaa

  • @DominikiChristian
    @DominikiChristian Před 21 dnem +1

    Tuna jua ila mafuta nikama yesu alivyo pakwa mafuta ya bei mbaya na jule m mama wengi wana jatumia kwa jini ya kujilinda na maatui wa kidunia ila sio kwajili ya mafaniko

  • @AnthonyRuben-fi7cc
    @AnthonyRuben-fi7cc Před 20 dny +2

    Wewe mwenyewe muhuni nyie wote NI mbiz kasolo langi

  • @fredrickkaaya6287
    @fredrickkaaya6287 Před 20 dny +1

    Mtumishi hakuna mtume au nabii mwenye uwezo wa kuuzia watu Kwa maelfu vifaa vya kiroho kama unavyodanganya watu. Sikatai Kwamba Kuna wanaoigiza upako na wanajipatia pesa lakini si Kwa kiwango kikubwa kivile. Pia elewa Kwamba Kila nabii au mtume wa kweli lazima awe na ufunuo wake aliopewa na Mungu. Wewe ni vizuri ukashughulika na mambo yako uliyotumwa na Mungu wako. Sijui wewe ni mtumishi gani unayetumia usembe?

  • @upendofredrick8988
    @upendofredrick8988 Před 18 dny

    Asante mtumishi,mwenye masikio haambiwi sikia

  • @estamarodaofficialtz5233

    barikiwa sana baba shetani anatutenda kwaakili mungu atutetee

  • @wanguwangu34
    @wanguwangu34 Před 23 dny +2

    Uko sahihi IPM

  • @innosentimugarula8625
    @innosentimugarula8625 Před 24 dny +6

    Wewe umetoa hoja nzuri sana Ila hakuna binadamu asiekosea umekosea kumlinganisha yesu na babu

  • @ZachariaGilbert-c7y
    @ZachariaGilbert-c7y Před 6 dny

    Hongera sanaaaa.tunaangamia kwa kukosa maarifa.

  • @BlessedAnne-fh6lk
    @BlessedAnne-fh6lk Před 22 dny +2

    Makanisa yametushida paka tunakaa Kwa nyumba zetu..unanishidwa umwamini Nani??

  • @emmanuelmanga3478
    @emmanuelmanga3478 Před 24 dny +2

    Vinavyo patikana kwa miujiza vinapotea kimiujiza,vilivyo patikana kwa upepo wa kisurisuri vita potea hivyohivyo

  • @bilid4128
    @bilid4128 Před 20 dny +1

    😂😂😂😂 hapo kwenye unyayo wa yesu 🙌🙌🙌

  • @user-mz7pv3uo9y
    @user-mz7pv3uo9y Před 18 dny

    Nime barikiwa Sana usiche kusema kweli lpm mungu Yuko nawe

  • @asmanikahungu7171
    @asmanikahungu7171 Před 16 dny +1

    Kafara ya mu Christo ni Yesu ikisema myama sioni sawa île damu ilio mwangika musalabani inamana gani.

  • @aderanderwa7623
    @aderanderwa7623 Před 21 dnem

    YESU KRISTO ATUSAIDIE NA WEWE SIKU NYINGINE MTANDAO UNAKAMA SIKU NYINGINE MTANDAO UNAKATA YESU KRISTO UTUREHEMU MAANA WAJINGA NDIO WALIWAO

  • @user-me5qu5kw4u
    @user-me5qu5kw4u Před 24 dny +2

    Jpm hilo la hosp ni kweli ss arusha tumejenga selian arusha na atutibiwi ni pesa kwenda mbele

    • @stephanSandika
      @stephanSandika Před 22 dny

      Haiseeeeee mtihani unaweza Kuta anaacha kwenda kanisani

  • @LuciaChacha-y9l
    @LuciaChacha-y9l Před 6 dny

    Jamani mungu ni mwema namshukuru Mimi namwomba mungu peke yangu na anasikia maombi yangu

  • @bridgetphiri5663
    @bridgetphiri5663 Před 20 dny

    Amen 🙏 it true 💯 you have to work hard 🙏🙏

  • @Brunotarimo10
    @Brunotarimo10 Před 24 dny

    Tunashukuru kwa somo Suri mtumishi

  • @SHIJADAVIS
    @SHIJADAVIS Před 19 dny +1

    Ukweli siku zote haupingani na Uongo. Huo ni ukweli.

  • @LenardAmani-bc3sl
    @LenardAmani-bc3sl Před 21 dnem +3

    Ao wote wanao Pinga mafuta na maji ni maajanti Wa shetani.

  • @Nerialulambo
    @Nerialulambo Před 22 dny +1

    Sasa na maji ya dhahabu ni mma.na yeye ndio walewale tu.hubilini injili ya kweli watu wamjue Mungu wa kweli sio mimaji yenu ukaona utokelezee kivyako ukaita maji ya dhahabu

  • @JUBRANBULAYHl-yb4ke
    @JUBRANBULAYHl-yb4ke Před 22 dny

    Ondersoek met die mark en die bejaardes Niemand van my nie, na jou, jy is die spoke, so ons sal beloon word vir die troos van die wind Waar in my genade, my God, wys my die wonders van u vermoë, krag, onderdrukking , en tirannie, o God O God, O Yahi Yaqiyam, liewe Eerbewyse en die meeste, dit is, en vir diegene wat die oudstes van die Hel is, het hulle gebid, sodat hulle dieselfde sal wees, so laat hulle dit proe, die hitte en duisternis O God, stop die onderdrukkers, die tiranne. Hierdie golf kom saam met hulle , O Heer van die wêrelde, vir ons verraad in Palestina, Gaza, Rafah, en al die Palestynse lande hulle het gesê: "Wat is die saak met ons dat ons nie mense sien nie?" rusie tussen mense Vuur Sê: "Ek is net 'n waarskuwer, en daar is geen god behalwe Allah, die Een, die Allerhoogste," in die hemele en die aarde en alles wat tussen hulle is O, die Magtige, die Vergewensgesinde God, Amen, Here van die wêrelde.☝☝🤲🤲☝☝

  • @ShaurijulienMarandura
    @ShaurijulienMarandura Před 19 dny

    Mungu Akulinde mtu wa mungu

  • @user-im7vi2yf2d
    @user-im7vi2yf2d Před 24 dny +4

    Nilikuwa nakuchukia Sana ipm, kutokana na yale uliyokuwa unayasuport, na binafsi niliona kitu kikubwa kwako lakini mpaka Sasa ukibadilisha tu kidogo, ntakapokuja dar, ntakuja kusalia kanisan kwako.

  • @anoldswai9829
    @anoldswai9829 Před 15 dny

    Mungu akubarik kwa kusema ukwel

  • @abuhassan9552
    @abuhassan9552 Před 24 dny +4

    SIWEWE PIA JAMBAZI TU ULIUZA MAFUTA YA GOLD WAJINUNULIA MAGARI YA KIFAHARI WEWE NA BIBI YAKO

    • @lucaslupaso5824
      @lucaslupaso5824 Před 22 dny

      Amesahau

    • @paschalpaul3862
      @paschalpaul3862 Před 22 dny

      @@lucaslupaso5824 alikuwa anafanya tafiti na hivyo amejiridhisha, na hivyo uwezi kuelewa jambo bila kwenda field, uwezi elewa uchawi bila kwenda kwa mchawi

    • @user-id1cg8ik1d
      @user-id1cg8ik1d Před 22 dny

      ​@lucas😂😂😂😂😂😂😂😂lupaso5824

    • @phiniasbagoka3998
      @phiniasbagoka3998 Před 4 hodinami

      Nami niliona

  • @reginaaloyce4055
    @reginaaloyce4055 Před 22 dny +2

    Wewe ujapewa hayo mafunuo kaka waache waliopewa wafanye kazi zao, Mungu mwenyew aliwatifautisha Kwa karama na vipawa, ndo mana cyo wote ni wachungaji wengine ni Manabii, wengine Waalimu, wengine ni wainjilisti Kila mtu afanye kazi kulingana na nafasi yake na alichotumwa kufanya, wewe ujapewa kazi hyo, uwezi kujua misingi yake acha kupotisha uma kaka

    • @BobgIsmail
      @BobgIsmail Před 15 dny

      Wewe huna akili hujitambui jitafakaru

  • @alluminiumexperttz.12mview13

    Ni kweli kabisa. Ubaya ni kwamba mtu akishaenda kwa hao wachungaji hashauriki tena. Kuna dawa wanapewa zinawafunga wanakuwa wakali kweli ukitaka kuwashauri. Hata huku kwenye comment ukiona mtu anapinga huu ukweli jua kashafungwa hajielewi tena.

  • @gracesamson3675
    @gracesamson3675 Před 21 dnem

    Funzo Zuri sanaa wa kuelewa aelewe wasioelewa Mungu awape ufahamu waelewe

  • @shukranjulius9526
    @shukranjulius9526 Před 20 dny

    Aisee Mungu akubariki sana

  • @armansabbor-ui3jb
    @armansabbor-ui3jb Před 21 dnem +3

    Baba mungu akubariki sana ni ukweli mtupu❤

  • @nikusamwel3434
    @nikusamwel3434 Před 22 dny

    Duh hongera mtumishi